DC UBUNGO AFUKUZWA NA WAFANYABIASHARA WA SIMU 2000

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июл 2024

Комментарии • 34

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 13 дней назад +4

    Mheshimiwa Rais Dokta Samia naomba utafakari muenendo wa wasaidizi wako. Sisi Vijana tunaenda kuleta Mabadiliko kuanzia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa 2025 na ndiyo mwanzo wa anguko la CCM. Vijana maisha yao yamekuwa magumu sana na Nchi inanufaisha wachache. Vladimir Putin wa Russia na Xi Jin Ping wa China wamesema Changes is coming to Africa na Kenya wameanza kuonesha njia

  • @godsonmngara5722
    @godsonmngara5722 13 дней назад +2

    CHANGAMOTO NYINGI ASHUGHULIKII KAZI KUKAMATA MADADA POA 😂😂😂😂

  • @htx1873
    @htx1873 13 дней назад +1

    GEN Z WATANDALE 🔥🔥🔥

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 13 дней назад +1

    Mbona Paul Makonda alivyokuwa Dar es Salaam hizi kejeli za Wakuu wa Wilaya hazikuwepo. Hata Mkuu wa Mkoa Chalamila inabidi awajibike haiwezekani Wasaidizi wako wanakurupuka kunyanyasa Wananchi

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 13 дней назад +2

    Chama cha Mapinduzi kinakosa Imani kwa Wananchi. Inabidi tuwe na Katiba mpya ili tuwe na mfumo wa Majimbo ili Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa wawe wanapigiwa Kura na Wananchi. Sasa unakuwa Mkuu wa Wilaya Kijana lakini unapenda kuona Vijana wenzako waliokosa Ajira Serikalini wanajiajiri bado unataka kuwaharibia mifumo ya utafutaji. Hili halikubaliki

    • @jumakivuma5247
      @jumakivuma5247 13 дней назад

      wew umefatilia chanzo au unaongea tu

  • @livingstonekabantega
    @livingstonekabantega 13 дней назад

    Mzee wa dada poa

  • @AbuuThabiti
    @AbuuThabiti 13 дней назад

    Piga kazi mkuu wananchi wenye akili timamu tupopamoja mama ikikupendeza mpandishe cheo awemkuu wa mkoa

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c 11 дней назад

    Alichoona ni kupambana na madada poa mjinga uyu unapewa kacheo ka ukuu wilaya unanyanyua mabega hufai

  • @SamwelMbaga
    @SamwelMbaga 13 дней назад +2

    Kukemea uchafu ndo munamuona afai acheni ujinga

    • @zanzibar.
      @zanzibar. 13 дней назад

      ni kweli kwakuw akemea uchafu ndio wamuon hafai

  • @revocatussebastian2427
    @revocatussebastian2427 5 дней назад

    Kama kweli hamumtaki mgetia moto hilo gari ndo tungejuwa kweli mnahasira lakini mnazomea hku mnakimbia # kunguru waoga nyie

  • @mohammededy7086
    @mohammededy7086 13 дней назад +1

    so hamumtak seme ukwel munachukia anachokifanya munapenda machafu yaendelee

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c 11 дней назад

    Huyu mkuu wa wilaya hafai

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 12 дней назад

    Huu ulimwengu wa sasa ni mtiani mkubwa ukiwa unapinga mambo machafu ambayo kuna watu baazi Wana manufaa nayo utapigwa kila sehemu hii Ndio Dunia ya leo unafki Ndio pesa kuwa mkweli unakuwa maskin

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n 13 дней назад

    Allah tunusuru wajawako

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n 13 дней назад

    Wanyonge wakianzisha pakishanoga mnatutoa,tukigundua dhahabu serikali inampa muwekezaji tukigundua mashamba mara utasikia tokeni tunataka kuweka hifadhi,ukiwa karibu na bara bara ndio baraha unaambiwa bomoa eneo la Tanroad,muda mwingine serikali ata kama Wananchi tumekosea muweke ubinadamu.kwanza kwa Allah kunahukumu..

  • @abdallamohdhiyonineematush408
    @abdallamohdhiyonineematush408 13 дней назад

    Mnaharibu iwe kama kenya

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 13 дней назад

    Kitendo hiki kikufungue macho mh. Rais. Usiseme wanasema naziba maskio. Hawa wateule sio. Kuwa mkali.

  • @user-lj7pu9js1d
    @user-lj7pu9js1d 13 дней назад

    Hii sio haki kiukweli

  • @user-hb7mq8lg9e
    @user-hb7mq8lg9e 13 дней назад

    Waache2Time Will Tell🚶🚶🚶

  • @abdallamohdhiyonineematush408
    @abdallamohdhiyonineematush408 13 дней назад

    Mmm acheni kuiga

  • @user-ow7pl6tz2c
    @user-ow7pl6tz2c 13 дней назад

    Huyo jamaa hafai tuludishie komba

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 13 дней назад

    Mkuu wamkoa yupo vixuri kimaadili laazima watuwahovyo wakuchukie nawapowengiwatuwahovyo. Duniani

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 13 дней назад

    Huyu Mkuu wa Wilaya ni kijana lakini hana uzalendo mara avamie Guest za watu usiku wa manane, Chama cha Mapinduzi kibadilishe mfumo kama chama cha China Communists Party yaani kuwa Mwanachama tu unapewa Usaili angalau itapunguza kuwa na Viongozi wenye mihemuko kama huyu

  • @gililwise
    @gililwise 13 дней назад

    Mkuu wa wilaya hana busara bado hajakomaa kiakili ni mtoto

  • @raphaelmacha1173
    @raphaelmacha1173 13 дней назад

    Safari imeanza naona wamekaa kama wazamoiaji kwenye sherehe pole mkuu wa mkoa watu wananchi wanajitambua mzee think twice

  • @MwajumaMtonda
    @MwajumaMtonda 13 дней назад +1

    Mimi naona wahuni tuu hapo

    • @user-md7sd3hk6l
      @user-md7sd3hk6l 13 дней назад

      kwani muuni ni mtu gani akuna ata mmoja kwenu alie anzia ujana wote kwenu wazee watupu wewe kwa sasa upoje kijana au mzee

    • @issaramadhaniathuman
      @issaramadhaniathuman 13 дней назад

      Wahuni tena kuweni Sirius n kauli za wananchi

  • @Zero_og45
    @Zero_og45 13 дней назад

    Kavamia mji kwa pupa atakiona cha mtema kuni

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 13 дней назад

      Hawanalolote wanzinxitu hao wanajua anachokifanya ndiyomaana inawsuma. Anawakamata machangudoa

  • @user-re5xb2hk4g
    @user-re5xb2hk4g 13 дней назад

    Wakenya tujuane😂😂😂

  • @AbuuThabiti
    @AbuuThabiti 13 дней назад

    Mimi ningekuwa rais ningempandisha cheo awemkuu wa mkoa awnyooshe vizuri