Mheshimiwa Rais Dokta Samia naomba utafakari muenendo wa wasaidizi wako. Sisi Vijana tunaenda kuleta Mabadiliko kuanzia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa 2025 na ndiyo mwanzo wa anguko la CCM. Vijana maisha yao yamekuwa magumu sana na Nchi inanufaisha wachache. Vladimir Putin wa Russia na Xi Jin Ping wa China wamesema Changes is coming to Africa na Kenya wameanza kuonesha njia
Mbona Paul Makonda alivyokuwa Dar es Salaam hizi kejeli za Wakuu wa Wilaya hazikuwepo. Hata Mkuu wa Mkoa Chalamila inabidi awajibike haiwezekani Wasaidizi wako wanakurupuka kunyanyasa Wananchi
Chama cha Mapinduzi kinakosa Imani kwa Wananchi. Inabidi tuwe na Katiba mpya ili tuwe na mfumo wa Majimbo ili Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa wawe wanapigiwa Kura na Wananchi. Sasa unakuwa Mkuu wa Wilaya Kijana lakini unapenda kuona Vijana wenzako waliokosa Ajira Serikalini wanajiajiri bado unataka kuwaharibia mifumo ya utafutaji. Hili halikubaliki
Huu ulimwengu wa sasa ni mtiani mkubwa ukiwa unapinga mambo machafu ambayo kuna watu baazi Wana manufaa nayo utapigwa kila sehemu hii Ndio Dunia ya leo unafki Ndio pesa kuwa mkweli unakuwa maskin
Wanyonge wakianzisha pakishanoga mnatutoa,tukigundua dhahabu serikali inampa muwekezaji tukigundua mashamba mara utasikia tokeni tunataka kuweka hifadhi,ukiwa karibu na bara bara ndio baraha unaambiwa bomoa eneo la Tanroad,muda mwingine serikali ata kama Wananchi tumekosea muweke ubinadamu.kwanza kwa Allah kunahukumu..
Huyu Mkuu wa Wilaya ni kijana lakini hana uzalendo mara avamie Guest za watu usiku wa manane, Chama cha Mapinduzi kibadilishe mfumo kama chama cha China Communists Party yaani kuwa Mwanachama tu unapewa Usaili angalau itapunguza kuwa na Viongozi wenye mihemuko kama huyu
Mheshimiwa Rais Dokta Samia naomba utafakari muenendo wa wasaidizi wako. Sisi Vijana tunaenda kuleta Mabadiliko kuanzia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa 2025 na ndiyo mwanzo wa anguko la CCM. Vijana maisha yao yamekuwa magumu sana na Nchi inanufaisha wachache. Vladimir Putin wa Russia na Xi Jin Ping wa China wamesema Changes is coming to Africa na Kenya wameanza kuonesha njia
CHANGAMOTO NYINGI ASHUGHULIKII KAZI KUKAMATA MADADA POA 😂😂😂😂
GEN Z WATANDALE 🔥🔥🔥
Mbona Paul Makonda alivyokuwa Dar es Salaam hizi kejeli za Wakuu wa Wilaya hazikuwepo. Hata Mkuu wa Mkoa Chalamila inabidi awajibike haiwezekani Wasaidizi wako wanakurupuka kunyanyasa Wananchi
Chama cha Mapinduzi kinakosa Imani kwa Wananchi. Inabidi tuwe na Katiba mpya ili tuwe na mfumo wa Majimbo ili Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa wawe wanapigiwa Kura na Wananchi. Sasa unakuwa Mkuu wa Wilaya Kijana lakini unapenda kuona Vijana wenzako waliokosa Ajira Serikalini wanajiajiri bado unataka kuwaharibia mifumo ya utafutaji. Hili halikubaliki
wew umefatilia chanzo au unaongea tu
Mzee wa dada poa
Piga kazi mkuu wananchi wenye akili timamu tupopamoja mama ikikupendeza mpandishe cheo awemkuu wa mkoa
Alichoona ni kupambana na madada poa mjinga uyu unapewa kacheo ka ukuu wilaya unanyanyua mabega hufai
Kukemea uchafu ndo munamuona afai acheni ujinga
ni kweli kwakuw akemea uchafu ndio wamuon hafai
Kama kweli hamumtaki mgetia moto hilo gari ndo tungejuwa kweli mnahasira lakini mnazomea hku mnakimbia # kunguru waoga nyie
so hamumtak seme ukwel munachukia anachokifanya munapenda machafu yaendelee
Huyu mkuu wa wilaya hafai
Huu ulimwengu wa sasa ni mtiani mkubwa ukiwa unapinga mambo machafu ambayo kuna watu baazi Wana manufaa nayo utapigwa kila sehemu hii Ndio Dunia ya leo unafki Ndio pesa kuwa mkweli unakuwa maskin
Allah tunusuru wajawako
Wanyonge wakianzisha pakishanoga mnatutoa,tukigundua dhahabu serikali inampa muwekezaji tukigundua mashamba mara utasikia tokeni tunataka kuweka hifadhi,ukiwa karibu na bara bara ndio baraha unaambiwa bomoa eneo la Tanroad,muda mwingine serikali ata kama Wananchi tumekosea muweke ubinadamu.kwanza kwa Allah kunahukumu..
Mnaharibu iwe kama kenya
Kitendo hiki kikufungue macho mh. Rais. Usiseme wanasema naziba maskio. Hawa wateule sio. Kuwa mkali.
Hii sio haki kiukweli
Waache2Time Will Tell🚶🚶🚶
Mmm acheni kuiga
Huyo jamaa hafai tuludishie komba
Mkuu wamkoa yupo vixuri kimaadili laazima watuwahovyo wakuchukie nawapowengiwatuwahovyo. Duniani
Huyu Mkuu wa Wilaya ni kijana lakini hana uzalendo mara avamie Guest za watu usiku wa manane, Chama cha Mapinduzi kibadilishe mfumo kama chama cha China Communists Party yaani kuwa Mwanachama tu unapewa Usaili angalau itapunguza kuwa na Viongozi wenye mihemuko kama huyu
Mkuu wa wilaya hana busara bado hajakomaa kiakili ni mtoto
Safari imeanza naona wamekaa kama wazamoiaji kwenye sherehe pole mkuu wa mkoa watu wananchi wanajitambua mzee think twice
Mimi naona wahuni tuu hapo
kwani muuni ni mtu gani akuna ata mmoja kwenu alie anzia ujana wote kwenu wazee watupu wewe kwa sasa upoje kijana au mzee
Wahuni tena kuweni Sirius n kauli za wananchi
Kavamia mji kwa pupa atakiona cha mtema kuni
Hawanalolote wanzinxitu hao wanajua anachokifanya ndiyomaana inawsuma. Anawakamata machangudoa
Wakenya tujuane😂😂😂
Mimi ningekuwa rais ningempandisha cheo awemkuu wa mkoa awnyooshe vizuri