niki yuko sahihi inawezekana ingeitwa kondoo, labda aliyetoa jina alikuwa anafuga mbuzi sasa akaona vinafanana na majina mengine hutokea tu bila kufikiri na hayana maana. inawezekana sahani ingeitwa kikombe na kikombe kikaitwa sahani bila shaka.
Come and hug me ni movie mpya 🎬 kabsa Kutoka korea Watch now Na usisahau kusubacribe kwa nyingne nyng za season ruclips.net/video/rmxL1B27Zz0/видео.html Thanks Share and support us
Sio maeneo yote wanaita kibao chambuzi,maeneo mengine wanaita mbuzi ya kukunia nazi. Inawezekana kuwepo na maana ya kuchambua ukitumia neno chambuzi na pia inawezekana ikawa ni moja ya nadharia za awali za sifa za lugha kwamba haina mpangilio maalum na pia inawezekana ikawepo maana ya ufanano wa kifaa hicho na mnyama mbuzi.
HAHAhhh jamani me napendaga kweli kuwasikiliza mkiwaga safarini mana mnanifurahisha na kunichemsha ubonge kwa maswali yenu yasiyotegemewa hahahahhaha vavavavvavavavvva VABE KAMA LOOOOTEEEEEEEE
peter ngasala si kweli niki yuko sahihi, kuna maneno hayana maana katika mustakabari wa misamiati. ispokuwa unaweza kutofautisha kitu kwa muonekano. wazungu wanaita plate waswahili wanaita sahani bila sababu ya kimantiki.
kiukweli Roma nawe ni four kabisa sasa blue na chegge watajibu nini,nikk ana reason lugha imezuka kwa nasibu pia lugha ya picha ina husika sasa cha mbuzi,na chambua wap na wap mavi kabisa ndio mahana siwaelewagi hawa jamaa kujitia uhuni tu
hakuna kitu ka hicho wew la sivyo tungekua tuna chukua ubao wowte ule, tunakunia naz et kibao cha kukunia Nazi bila chuma mfano wa msumeno inakamilsha neno chambuz coz inachambua amka kichwa maji usimfuate nick , blue katoa jibu sahh
unazngua wew tumia akili, ulisema Nick huko sahihi unamaanisha tutumie ubao wowte kukunia Nazi???kimeitwa kibao chambuz coz kimeunganishwa na ile chuma kina chambua et ni lugha tu kimeitwa vile Think Big
Niki wapili nikuma tu anajifanya anajuwa kila kitu kumbe nikuma tu siutowe jibu sasa unabixha nn unajifanya mjuwaji umexha ambiwa niswali la kiakili so unaleta ukuma wako atakama mxomi uwezi elewa kila kitu /roma mwenyewe ni mwalim
Ili jamaa Nick nalichuki linajifanya kila kitu linajua watu wane elimu zao hadi PHD wamepasua acha ujinga kujiona we ndiyo unajua sana bwege wew Mr blue yupo Saii .ih niaina ya maneno ninomino .Bwe we
Sio kila aliyefikia level ya juu ki masomo anauwelewa wa kujibu maswali yote, maswali mengine yanataka uwelewa mdogo sana, sasa Niki2 anataka kuforce mambo kutokana na uwelewa wake, lkn Niki kapuyangaa Vibaya sana Kaulizwa swali alipaswa ajibu swali kwa namna anavyoelewa na ndio aje na argument zake.
Niki yuko sahihi Ila hadi ujuwe lugha nini, language is learned, shared, arbitrary vocal symbols through which human communicate. Kwaiyo arbitrariness ya language ndiyo hiyo, hakuna sababu maalum ya mbuzi kuitwa mbuzi na Kondoo kuitwa kondoo nk
Kuna njia nyingi za kuunda msamiati na kuvipa vitu maneno na sio kila neno ni la unasibu Kuna vitu vimepewa majina kutokana na kazi yake kama CHUJIO vipo vilivyopewa kulingana na sauti au mlio wake mfano mtutu Vipo vilivyopewa kulingana na muasisi wa kufanya hivyo Mfano Kitanzi,Kisingeli,Mkapa Garden Vipo pia vilivyopewa kulingana na lugha nyengine zinavyoita mf Sala,adhuhuri Zipo njia nyingi sana tatizo la Nikki anaamini anajua sana kuliko wote hapo Ila kile kimeitwa kibao chambuzi (kinachambua nazi na nyama ya nazi)na kinaandikwa KIBAO CHAMBUZI sio kibao cha Mbuzi
Duuuh,kasome language vzr ww,mwalim wako kuna v2 hajakufundsha. Kuna k2 kinaitwa audiophonic sounds ambazo zenyew co arbirtrary..mweus tii ,nyauu n.k. ko roma na blue kusema hvo wako sahh kwa7bu kile kibao kaz yake ni kuchambua ndio kikaitwa kibao chambuzi...
Hongereni wasanii c kutuburudishatu Bali pia kutuelimisha. Much respect to my lovely artist Roma mkatoliki
Nikki kasoma ila hajaelimika.. apo angekuwepo Unju kila kitu kingekaa sawa.. respect Nikki Mbishi
waaa leo ndio nimeskia nikki akiongea😂😂😂yuko na accent ya R
Nikki yupo sahihi wengine mmefeli
Kisoda ni lugha ya mtanzania lakini chenyewe kinaitwa klauni koku
Hahahaha babilon uko sawa pia kumbuken Kuna chuma chakavu
Roma kwa 7bu na ww ni mwalimu ndomana umewachemusha wanafunzi.,
Chegeeeee bhan
#Nikk mbishi 😜😂😂😂 love your mwaya 🙈
Nmekuelewa roma, ckuaga najua hii kituu, kumbe ni kibao chambuuziii
BASI MOJA MALIPO TOFAUTI INUKENI VIJANA ,, MJIAJILI HAPOO SIJAONA UBUNIFUU,,
hawa vipepeo wazuri kweli ila miaka 30 ni hatariii😂😂😂😂😂😂😂😂😂
python python hahahahaha
hata mimi ndiyo nimejua leo, #halaaaa #sawasawa
Nikki isiwe mbishi maana wew ni wa pili
BONGO IN MOTION mambo ya chege anayajuaga mwenyewe
niki yuko sahihi inawezekana ingeitwa kondoo, labda aliyetoa jina alikuwa anafuga mbuzi sasa akaona vinafanana na majina mengine hutokea tu bila kufikiri na hayana maana. inawezekana sahani ingeitwa kikombe na kikombe kikaitwa sahani bila shaka.
Come and hug me ni movie mpya 🎬 kabsa
Kutoka korea
Watch now
Na usisahau kusubacribe kwa nyingne nyng za season
ruclips.net/video/rmxL1B27Zz0/видео.html
Thanks
Share and support us
Sio maeneo yote wanaita kibao chambuzi,maeneo mengine wanaita mbuzi ya kukunia nazi. Inawezekana kuwepo na maana ya kuchambua ukitumia neno chambuzi na pia inawezekana ikawa ni moja ya nadharia za awali za sifa za lugha kwamba haina mpangilio maalum na pia inawezekana ikawepo maana ya ufanano wa kifaa hicho na mnyama mbuzi.
Sasa...hapa ww unasimamia wap mkuu...maana kote upo🤣
Kwanin hawakuita ng'ombe
Junior Mtega kuna sehemu wanaita kondoo sasa tatizo liko wp
Niki kakubali😁😁😁😁😁😁
well done blue na roma kwa majibu sahihi, wasiotaka kukubali wawafuate wataalamu wa KISWAHILI kwani kujifunza ni Bora na sio dhambi hata kidogo.
😂😂😂😂 haya xaxa chambuweni na hii (kuku dume anaitwa jogoo je bata dume anaitwa nani..???)
Gegedu
Bata dume anaitwa gegedu
Mancherster
Gegedu
😅😅😅😅 mna jitahidi..
kaliii nakubal
janjaroo nomaaaa
HAHAhhh jamani me napendaga kweli kuwasikiliza mkiwaga safarini mana mnanifurahisha na kunichemsha ubonge kwa maswali yenu yasiyotegemewa hahahahhaha vavavavvavavavvva VABE KAMA LOOOOTEEEEEEEE
Kiboa kwangua 😂😂😂
Niki wa pili na miakili yako yote umeshindwa kuchambua umeungana na watoto jibu kalitoa mr blue sawa kabisa
peter ngasala si kweli niki yuko sahihi, kuna maneno hayana maana katika mustakabari wa misamiati. ispokuwa unaweza kutofautisha kitu kwa muonekano. wazungu wanaita plate waswahili wanaita sahani bila sababu ya kimantiki.
MIMI NIMEMUELEWA VZR MR BLUE... KWELI NI SWALI LA KIMTEGO.... KIBAO CHAMBUZI.. YAAN BILA KUTULIA HUWEZ KUPATA JIBU
huyu Roma ni mwalimu mzur
Mwambieni nick asijifanye yeye ni nick mbishi wkt yeye ni nick Wa ²....li
Hahaha ungefaa uitwe Niki mbishi... alafu kumbe ni shalii ya R... mejua leo 😂😂😂
Thnx kaka roma
Nikki is brave asee! Respect you bro
barriedal parsea
kiukweli Roma nawe ni four kabisa sasa blue na chegge watajibu nini,nikk ana reason lugha imezuka kwa nasibu pia lugha ya picha ina husika sasa cha mbuzi,na chambua wap na wap mavi kabisa ndio mahana siwaelewagi hawa jamaa kujitia uhuni tu
Kama hauielewi jua haikuhusu so usichukie
Kweli chege kafanana na jengua
kwaiyo Blu alikua sahihi,, Aaaalah.!
hakuna kitu ka hicho wew la sivyo tungekua tuna chukua ubao wowte ule, tunakunia naz et kibao cha kukunia Nazi bila chuma mfano wa msumeno inakamilsha neno chambuz coz inachambua amka kichwa maji usimfuate nick , blue katoa jibu sahh
unazngua wew tumia akili, ulisema Nick huko sahihi unamaanisha tutumie ubao wowte kukunia Nazi???kimeitwa kibao chambuz coz kimeunganishwa na ile chuma kina chambua et ni lugha tu kimeitwa vile Think Big
Niki wa 2 kwa mara ya kwanza nakupinga happy namuunga mkono Roma na bayser
Niki wapili nikuma tu anajifanya anajuwa kila kitu kumbe nikuma tu siutowe jibu sasa unabixha nn unajifanya mjuwaji umexha ambiwa niswali la kiakili so unaleta ukuma wako atakama mxomi uwezi elewa kila kitu /roma mwenyewe ni mwalim
Nikki wa pili wewe no mtanzania halali kwa7bu swali juu ya swali duuh
mmechambua vzr
🔥🔥🔥
Hao wasanii wote hamna shule poleni sana
duuh Mr president Niki nmekukubali unabishana na watu wanne
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂me napita tyu
Ili jamaa Nick nalichuki linajifanya kila kitu linajua watu wane elimu zao hadi PHD wamepasua acha ujinga kujiona we ndiyo unajua sana bwege wew Mr blue yupo Saii .ih niaina ya maneno ninomino .Bwe we
Aaaaah hWa w2 wameshibaaaaaa
Alaaaaa
bac kibia 😁😁😁
roma yuko sawwa kabisa au kwanini iliitwa tanzania
Nakupendaaa nick na Roma
Fellow Kenyans najua ata nyinyi hamjui...tumeet KICC apo juu niwaelezee...
Mr. Blue yuko very smart
mambo
Hahaha eti kibia
😂😂😂😂😂Duuhhh nyie watu
Sio kila aliyefikia level ya juu ki masomo anauwelewa wa kujibu maswali yote, maswali mengine yanataka uwelewa mdogo sana, sasa Niki2 anataka kuforce mambo kutokana na uwelewa wake, lkn Niki kapuyangaa Vibaya sana Kaulizwa swali alipaswa ajibu swali kwa namna anavyoelewa na ndio aje na argument zake.
Hebu mueleweni roma coz ni mwalimu kabsa
Brother Nikki alikwama hapo blue na Roma waposahihi
Chege chenga kweli eti kibia 😂😂😂
dorcas Kihiyo chege chenga haswaaa ati anasema kibia
jamaa noma
Ushindani Raha hahahaha
vipo
😀
bablon yuko sawa
It's lesson taught
Du Roma bhana
roma big up
Wa fasi ndo mie nn leo kukometiii
blue yupo sahihi
kweli ww ni mwalimu
hahahaha halaaaaaaa
Eti kibia
Roma taratibu na hao viumbe miaka 30jela hao
Hawa laia wanapokutana. Fujo nyingi
Blue alikua sawa
Nikki huna logic na ucjifanye kila kitu Unajua huku hujui na kujiona unaweza kila kitu kama hujui ucbishe tuu
wengi watachelewa kuelewa
kwani Nikki unachojua wewe ndio sahihi, usichojua sio sahihi?
Fungeni seat belts
Nick msomi bhana yupo sahihi
Chigundaaaa hahaaaaa nikajua unatoa jibu
Niki yuko sahihi Ila hadi ujuwe lugha nini, language is learned, shared, arbitrary vocal symbols through which human communicate. Kwaiyo arbitrariness ya language ndiyo hiyo, hakuna sababu maalum ya mbuzi kuitwa mbuzi na Kondoo kuitwa kondoo nk
Salim Luge
We na Nick hamjaelewa swali
Niwachache tulio elewa alicho ongea Niki
😂😂😂
We rais unafeli
Mtoto wa Chuga Mbishi Sana.
Ukifuta bangi toa koko
Nikki yuko sawa
nick yukoo sahihi
Hahahaha😂😂😂😂😂😂😂
Nikki Maswar yake anayaweza fidq tu
😅😅😅
Nikki wa pili mjuaji
😂😂😂😂
Hahahaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣
charge subili upew jibu Na nikki
Nikki yupo sawa hiyo tunaita arbitrariness character of language... Yaan hakuna ufanano kati ya jina na kitu chenyewe kilivyo
Kuna njia nyingi za kuunda msamiati na kuvipa vitu maneno na sio kila neno ni la unasibu
Kuna vitu vimepewa majina kutokana na kazi yake kama CHUJIO
vipo vilivyopewa kulingana na sauti au mlio wake mfano mtutu
Vipo vilivyopewa kulingana na muasisi wa kufanya hivyo Mfano Kitanzi,Kisingeli,Mkapa Garden
Vipo pia vilivyopewa kulingana na lugha nyengine zinavyoita mf Sala,adhuhuri
Zipo njia nyingi sana tatizo la Nikki anaamini anajua sana kuliko wote hapo
Ila kile kimeitwa kibao chambuzi (kinachambua nazi na nyama ya nazi)na kinaandikwa KIBAO CHAMBUZI sio kibao cha Mbuzi
Martha Steven mbona kuma ina ufafanuzi wa neno lenyewe
Duuuh,kasome language vzr ww,mwalim wako kuna v2 hajakufundsha. Kuna k2 kinaitwa audiophonic sounds ambazo zenyew co arbirtrary..mweus tii ,nyauu n.k. ko roma na blue kusema hvo wako sahh kwa7bu kile kibao kaz yake ni kuchambua ndio kikaitwa kibao chambuzi...
@@gkaniel87 yap ni kweli bt sio kwa manenp yote nd maana kuna maneno 7 ya muhimu kweny definition ya language
@@kitonekantasha1687 ni kweli na nimetolea mfano kweny neno la nikki
je
Nikki yupo sahihi
bila fiesta mtakufa njaa nyie, wasanii fiesta hamna lolote
Na wewe bila kuparatwa au kuinama utakimbia tanzania
Eliah John bitch😂
kwa story za mapenzi usiache kupitia link hii
👇
ruclips.net/channel/UCvggjFUC-wl5_AhOFZY3iFA
.
..
..
nicki umesoma unajua hao wenzio ni wabishi hawajui
Roma hajasoma kwa akili yako ? ukitaka kumlinganisha Roma na Nikki utapotea roma ana IQ kubwa kumzid huyo nikki
@@thomashamis9084 hafu roma alikua teacher wa secondary
Tembo Mnyama ata roma pia pcm
Ata roma pia kasoma
Uhalisia wa nick anaouzungumza upo,lkn pia hoja ya roma na blue wako sahihi
NiNikibacha kukunia nazi
*150*78*661#
Nunua Vocha toka Vodacom kwenda Mtandao wowote pia unaweza kulipia
Umeme
Kung'amz nakadharika
0626849656
Kwa maelezo zaid
Fanya kweli
Jaribu kununua chochote
Niki upo sahihi kila kitu vinakuja tu kutokana na kiswahili kama ulivyosema bakuli limeitwa kutokana nann? Jibu hamna kwaio icho nikiswahili tu
Binafsi huwa siukubali usomi wa nick wa pili hana logic kabisa kwenye mambo yake Msikilize ROMA Anayo logic kwa vitu anavyoongea hata Mr.Blue
Nyie ndiyo mlikuwa vilaza wa class au matera ya trekta
victor victor kama unadai Nikki hajaongea logic....naungana na aliyekujibu......kuwa ww darasani ulikuwa kilaza....
tatizo ujuaji mwingi nikk acha upumbavu ww