UTATA WAIBUKA ROMA, MR BLUE, NIKK WA PILI, CHEGE KUHUSU MBUZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 окт 2018
  • #KIPEPEOTANGA #VIBEKAMALOTEEEEE "Kwanini Kibao cha Kukunia Nazi Kinaitwa Mbuzi na Sio Ng'omb au Mbwa??

Комментарии • 148

  • @alphoncemmbaga5624
    @alphoncemmbaga5624 5 лет назад +7

    Hongereni wasanii c kutuburudishatu Bali pia kutuelimisha. Much respect to my lovely artist Roma mkatoliki

  • @West-side-lt9nb
    @West-side-lt9nb 5 лет назад +6

    Nikki kasoma ila hajaelimika.. apo angekuwepo Unju kila kitu kingekaa sawa.. respect Nikki Mbishi

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika7477 5 лет назад +14

    waaa leo ndio nimeskia nikki akiongea😂😂😂yuko na accent ya R

  • @dismasruga1568
    @dismasruga1568 5 лет назад +6

    Nikki yupo sahihi wengine mmefeli

  • @Hbmeditv
    @Hbmeditv 5 лет назад +3

    Kisoda ni lugha ya mtanzania lakini chenyewe kinaitwa klauni koku

  • @kulilyhassankulily521
    @kulilyhassankulily521 5 лет назад

    Hahahaha babilon uko sawa pia kumbuken Kuna chuma chakavu

  • @nbfchisotta3749
    @nbfchisotta3749 5 лет назад +2

    Roma kwa 7bu na ww ni mwalimu ndomana umewachemusha wanafunzi.,

  • @abdiridhiwani3396
    @abdiridhiwani3396 5 лет назад +1

    Chegeeeee bhan

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 лет назад +1

    #Nikk mbishi 😜😂😂😂 love your mwaya 🙈

  • @darviswantana7669
    @darviswantana7669 5 лет назад +1

    Nmekuelewa roma, ckuaga najua hii kituu, kumbe ni kibao chambuuziii

  • @lameckntahondi8073
    @lameckntahondi8073 5 лет назад

    BASI MOJA MALIPO TOFAUTI INUKENI VIJANA ,, MJIAJILI HAPOO SIJAONA UBUNIFUU,,

  • @kilazajr3720
    @kilazajr3720 5 лет назад +9

    hawa vipepeo wazuri kweli ila miaka 30 ni hatariii😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @simonmtuka8473
    @simonmtuka8473 5 лет назад

    hata mimi ndiyo nimejua leo, #halaaaa #sawasawa

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 5 лет назад +16

    Nikki isiwe mbishi maana wew ni wa pili

    • @priscadanny3367
      @priscadanny3367 5 лет назад

      BONGO IN MOTION mambo ya chege anayajuaga mwenyewe

    • @edwardsichilengwe2330
      @edwardsichilengwe2330 5 лет назад

      niki yuko sahihi inawezekana ingeitwa kondoo, labda aliyetoa jina alikuwa anafuga mbuzi sasa akaona vinafanana na majina mengine hutokea tu bila kufikiri na hayana maana. inawezekana sahani ingeitwa kikombe na kikombe kikaitwa sahani bila shaka.

  • @mnyamwezi_tz4542
    @mnyamwezi_tz4542 5 лет назад

    Come and hug me ni movie mpya 🎬 kabsa
    Kutoka korea
    Watch now
    Na usisahau kusubacribe kwa nyingne nyng za season
    ruclips.net/video/rmxL1B27Zz0/видео.html
    Thanks
    Share and support us

  • @ghaflabinvuu4143
    @ghaflabinvuu4143 5 лет назад +12

    Sio maeneo yote wanaita kibao chambuzi,maeneo mengine wanaita mbuzi ya kukunia nazi. Inawezekana kuwepo na maana ya kuchambua ukitumia neno chambuzi na pia inawezekana ikawa ni moja ya nadharia za awali za sifa za lugha kwamba haina mpangilio maalum na pia inawezekana ikawepo maana ya ufanano wa kifaa hicho na mnyama mbuzi.

  • @youngkillermsodoki7664
    @youngkillermsodoki7664 5 лет назад +2

    Niki kakubali😁😁😁😁😁😁

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 5 лет назад

    well done blue na roma kwa majibu sahihi, wasiotaka kukubali wawafuate wataalamu wa KISWAHILI kwani kujifunza ni Bora na sio dhambi hata kidogo.

  • @emmanuelimaxxaka754
    @emmanuelimaxxaka754 5 лет назад +7

    😂😂😂😂 haya xaxa chambuweni na hii (kuku dume anaitwa jogoo je bata dume anaitwa nani..???)

  • @nemesmassawe7326
    @nemesmassawe7326 5 лет назад

    kaliii nakubal

  • @gastomushy8412
    @gastomushy8412 5 лет назад

    janjaroo nomaaaa

  • @hamzamapande9910
    @hamzamapande9910 5 лет назад

    HAHAhhh jamani me napendaga kweli kuwasikiliza mkiwaga safarini mana mnanifurahisha na kunichemsha ubonge kwa maswali yenu yasiyotegemewa hahahahhaha vavavavvavavavvva VABE KAMA LOOOOTEEEEEEEE

  • @khadijambuya794
    @khadijambuya794 4 года назад +1

    Kiboa kwangua 😂😂😂

  • @peterngassalah6454
    @peterngassalah6454 5 лет назад +3

    Niki wa pili na miakili yako yote umeshindwa kuchambua umeungana na watoto jibu kalitoa mr blue sawa kabisa

    • @edwardsichilengwe2330
      @edwardsichilengwe2330 5 лет назад

      peter ngasala si kweli niki yuko sahihi, kuna maneno hayana maana katika mustakabari wa misamiati. ispokuwa unaweza kutofautisha kitu kwa muonekano. wazungu wanaita plate waswahili wanaita sahani bila sababu ya kimantiki.

  • @starboychyner3458
    @starboychyner3458 5 лет назад

    MIMI NIMEMUELEWA VZR MR BLUE... KWELI NI SWALI LA KIMTEGO.... KIBAO CHAMBUZI.. YAAN BILA KUTULIA HUWEZ KUPATA JIBU

  • @msafirnyau5471
    @msafirnyau5471 5 лет назад

    huyu Roma ni mwalimu mzur

  • @evanskowero3869
    @evanskowero3869 5 лет назад

    Mwambieni nick asijifanye yeye ni nick mbishi wkt yeye ni nick Wa ²....li

  • @OverdozClassic
    @OverdozClassic 4 года назад

    Hahaha ungefaa uitwe Niki mbishi... alafu kumbe ni shalii ya R... mejua leo 😂😂😂

  • @masoudrashid8381
    @masoudrashid8381 5 лет назад

    Thnx kaka roma

  • @barriedalparsea701
    @barriedalparsea701 5 лет назад +1

    Nikki is brave asee! Respect you bro

  • @barakakulwa431
    @barakakulwa431 5 лет назад +3

    kiukweli Roma nawe ni four kabisa sasa blue na chegge watajibu nini,nikk ana reason lugha imezuka kwa nasibu pia lugha ya picha ina husika sasa cha mbuzi,na chambua wap na wap mavi kabisa ndio mahana siwaelewagi hawa jamaa kujitia uhuni tu

  • @salminswaggz8649
    @salminswaggz8649 5 лет назад

    Kweli chege kafanana na jengua

  • @masmosteve5213
    @masmosteve5213 5 лет назад +1

    kwaiyo Blu alikua sahihi,, Aaaalah.!

    • @evaristmandilindi6147
      @evaristmandilindi6147 5 лет назад

      hakuna kitu ka hicho wew la sivyo tungekua tuna chukua ubao wowte ule, tunakunia naz et kibao cha kukunia Nazi bila chuma mfano wa msumeno inakamilsha neno chambuz coz inachambua amka kichwa maji usimfuate nick , blue katoa jibu sahh

    • @evaristmandilindi6147
      @evaristmandilindi6147 5 лет назад

      unazngua wew tumia akili, ulisema Nick huko sahihi unamaanisha tutumie ubao wowte kukunia Nazi???kimeitwa kibao chambuz coz kimeunganishwa na ile chuma kina chambua et ni lugha tu kimeitwa vile Think Big

  • @deocratiucybatister383
    @deocratiucybatister383 5 лет назад

    Niki wa 2 kwa mara ya kwanza nakupinga happy namuunga mkono Roma na bayser

  • @jafetlaizer9191
    @jafetlaizer9191 5 лет назад

    Niki wapili nikuma tu anajifanya anajuwa kila kitu kumbe nikuma tu siutowe jibu sasa unabixha nn unajifanya mjuwaji umexha ambiwa niswali la kiakili so unaleta ukuma wako atakama mxomi uwezi elewa kila kitu /roma mwenyewe ni mwalim

  • @stephankapwellah8932
    @stephankapwellah8932 5 лет назад +1

    Nikki wa pili wewe no mtanzania halali kwa7bu swali juu ya swali duuh

  • @saidmkiu734
    @saidmkiu734 4 года назад

    mmechambua vzr

  • @youngramajrtz2215
    @youngramajrtz2215 5 лет назад

    🔥🔥🔥

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri9905 5 лет назад

    Hao wasanii wote hamna shule poleni sana

  • @itz_ashirr
    @itz_ashirr 5 лет назад

    duuh Mr president Niki nmekukubali unabishana na watu wanne

  • @rahmaninoh7434
    @rahmaninoh7434 5 лет назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂me napita tyu

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 5 лет назад

    Ili jamaa Nick nalichuki linajifanya kila kitu linajua watu wane elimu zao hadi PHD wamepasua acha ujinga kujiona we ndiyo unajua sana bwege wew Mr blue yupo Saii .ih niaina ya maneno ninomino .Bwe we

  • @saidykitinindikitinindi7095
    @saidykitinindikitinindi7095 5 лет назад

    Aaaaah hWa w2 wameshibaaaaaa

  • @Mad1netv
    @Mad1netv 5 лет назад

    Alaaaaa

  • @shadiluck9015
    @shadiluck9015 5 лет назад

    bac kibia 😁😁😁

  • @anthonymwandu2615
    @anthonymwandu2615 5 лет назад

    roma yuko sawwa kabisa au kwanini iliitwa tanzania

  • @farajachengula9227
    @farajachengula9227 5 лет назад

    Nakupendaaa nick na Roma

  • @zacharykengere427
    @zacharykengere427 5 лет назад

    Fellow Kenyans najua ata nyinyi hamjui...tumeet KICC apo juu niwaelezee...

  • @Husnamushi
    @Husnamushi 5 лет назад

    Mr. Blue yuko very smart

  • @yassirkassim7999
    @yassirkassim7999 5 лет назад

    Hahaha eti kibia

  • @saidjuma9782
    @saidjuma9782 4 года назад

    😂😂😂😂😂Duuhhh nyie watu

  • @Husnamushi
    @Husnamushi 5 лет назад

    Sio kila aliyefikia level ya juu ki masomo anauwelewa wa kujibu maswali yote, maswali mengine yanataka uwelewa mdogo sana, sasa Niki2 anataka kuforce mambo kutokana na uwelewa wake, lkn Niki kapuyangaa Vibaya sana Kaulizwa swali alipaswa ajibu swali kwa namna anavyoelewa na ndio aje na argument zake.

  • @azizkarata5394
    @azizkarata5394 5 лет назад

    Hebu mueleweni roma coz ni mwalimu kabsa

  • @Nilo-hf8ye
    @Nilo-hf8ye 5 лет назад +4

    Brother Nikki alikwama hapo blue na Roma waposahihi

  • @dorcaskihiyo3594
    @dorcaskihiyo3594 5 лет назад +1

    Chege chenga kweli eti kibia 😂😂😂

  • @sabrinamakame6693
    @sabrinamakame6693 5 лет назад

    Ushindani Raha hahahaha

  • @skelewiisudeisa5528
    @skelewiisudeisa5528 5 лет назад

    vipo

  • @misedua1
    @misedua1 5 лет назад +1

    😀

  • @clarencetrinidady4300
    @clarencetrinidady4300 5 лет назад

    bablon yuko sawa

  • @abdallahamad4682
    @abdallahamad4682 4 года назад

    It's lesson taught

  • @ansongambalama2042
    @ansongambalama2042 5 лет назад

    Du Roma bhana

  • @iddmghamba721
    @iddmghamba721 5 лет назад

    roma big up

  • @saidussi3233
    @saidussi3233 5 лет назад +3

    Wa fasi ndo mie nn leo kukometiii

  • @nuruhabdul5307
    @nuruhabdul5307 5 лет назад

    blue yupo sahihi

  • @mustaphaitasso4256
    @mustaphaitasso4256 5 лет назад

    kweli ww ni mwalimu

  • @halfanrashid4977
    @halfanrashid4977 5 лет назад

    hahahaha halaaaaaaa

  • @shakiraabdallah7824
    @shakiraabdallah7824 5 лет назад

    Eti kibia

  • @emmanuelmasoko1013
    @emmanuelmasoko1013 5 лет назад

    Roma taratibu na hao viumbe miaka 30jela hao

  • @ayubusaid2723
    @ayubusaid2723 5 лет назад

    Hawa laia wanapokutana. Fujo nyingi

  • @issaabubakari5950
    @issaabubakari5950 5 лет назад

    Blue alikua sawa

  • @thomashamis9084
    @thomashamis9084 5 лет назад

    Nikki huna logic na ucjifanye kila kitu Unajua huku hujui na kujiona unaweza kila kitu kama hujui ucbishe tuu

  • @maikomwaryobawaryoba3804
    @maikomwaryobawaryoba3804 5 лет назад

    wengi watachelewa kuelewa

  • @kinarazemaster7321
    @kinarazemaster7321 5 лет назад

    kwani Nikki unachojua wewe ndio sahihi, usichojua sio sahihi?

  • @rowlandlaurent9793
    @rowlandlaurent9793 5 лет назад

    Fungeni seat belts

  • @mtaanitv3991
    @mtaanitv3991 5 лет назад

    Nick msomi bhana yupo sahihi

  • @safinaomary7610
    @safinaomary7610 5 лет назад +4

    Chigundaaaa hahaaaaa nikajua unatoa jibu

  • @salimluge4233
    @salimluge4233 5 лет назад +10

    Niki yuko sahihi Ila hadi ujuwe lugha nini, language is learned, shared, arbitrary vocal symbols through which human communicate. Kwaiyo arbitrariness ya language ndiyo hiyo, hakuna sababu maalum ya mbuzi kuitwa mbuzi na Kondoo kuitwa kondoo nk

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton8268 5 лет назад

    😂😂😂
    We rais unafeli

  • @mariammkuya6874
    @mariammkuya6874 5 лет назад

    Mtoto wa Chuga Mbishi Sana.

  • @juniorborbo
    @juniorborbo 5 лет назад

    Ukifuta bangi toa koko

  • @jamilajuma3811
    @jamilajuma3811 5 лет назад

    Nikki yuko sawa

  • @nemesmassawe7326
    @nemesmassawe7326 5 лет назад

    nick yukoo sahihi

  • @marmarim3816
    @marmarim3816 5 лет назад

    Hahahaha😂😂😂😂😂😂😂

  • @priscapaul1922
    @priscapaul1922 5 лет назад

    Nikki Maswar yake anayaweza fidq tu

  • @jumasayeed742
    @jumasayeed742 5 лет назад

    😅😅😅

  • @40kstore
    @40kstore 5 лет назад

    Nikki wa pili mjuaji

  • @marydaudi4384
    @marydaudi4384 5 лет назад

    😂😂😂😂

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 5 лет назад

    Hahahaaaa

  • @kingkiba3728
    @kingkiba3728 5 лет назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @marthasteven3205
    @marthasteven3205 5 лет назад +6

    Nikki yupo sawa hiyo tunaita arbitrariness character of language... Yaan hakuna ufanano kati ya jina na kitu chenyewe kilivyo

    • @gkaniel87
      @gkaniel87 5 лет назад +2

      Kuna njia nyingi za kuunda msamiati na kuvipa vitu maneno na sio kila neno ni la unasibu
      Kuna vitu vimepewa majina kutokana na kazi yake kama CHUJIO
      vipo vilivyopewa kulingana na sauti au mlio wake mfano mtutu
      Vipo vilivyopewa kulingana na muasisi wa kufanya hivyo Mfano Kitanzi,Kisingeli,Mkapa Garden
      Vipo pia vilivyopewa kulingana na lugha nyengine zinavyoita mf Sala,adhuhuri
      Zipo njia nyingi sana tatizo la Nikki anaamini anajua sana kuliko wote hapo
      Ila kile kimeitwa kibao chambuzi (kinachambua nazi na nyama ya nazi)na kinaandikwa KIBAO CHAMBUZI sio kibao cha Mbuzi

    • @kitonekantasha1687
      @kitonekantasha1687 5 лет назад +2

      Martha Steven mbona kuma ina ufafanuzi wa neno lenyewe

    • @emmanuelgeorge2654
      @emmanuelgeorge2654 5 лет назад

      Duuuh,kasome language vzr ww,mwalim wako kuna v2 hajakufundsha. Kuna k2 kinaitwa audiophonic sounds ambazo zenyew co arbirtrary..mweus tii ,nyauu n.k. ko roma na blue kusema hvo wako sahh kwa7bu kile kibao kaz yake ni kuchambua ndio kikaitwa kibao chambuzi...

    • @marthasteven3205
      @marthasteven3205 5 лет назад +1

      @@gkaniel87 yap ni kweli bt sio kwa manenp yote nd maana kuna maneno 7 ya muhimu kweny definition ya language

    • @marthasteven3205
      @marthasteven3205 5 лет назад

      @@kitonekantasha1687 ni kweli na nimetolea mfano kweny neno la nikki

  • @gasperkimario8411
    @gasperkimario8411 5 лет назад

    je

  • @khamisali8203
    @khamisali8203 5 лет назад +2

    Nikki yupo sahihi

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926
    @jeremiahmwasapilicharlie2926 5 лет назад +2

    bila fiesta mtakufa njaa nyie, wasanii fiesta hamna lolote

  • @signalboy4260
    @signalboy4260 5 лет назад +1

    kwa story za mapenzi usiache kupitia link hii
    👇
    ruclips.net/channel/UCvggjFUC-wl5_AhOFZY3iFA

  • @kingstaronlinetv266
    @kingstaronlinetv266 5 лет назад +3

    nicki umesoma unajua hao wenzio ni wabishi hawajui

    • @thomashamis9084
      @thomashamis9084 5 лет назад +4

      Roma hajasoma kwa akili yako ? ukitaka kumlinganisha Roma na Nikki utapotea roma ana IQ kubwa kumzid huyo nikki

    • @amiriramadhan7753
      @amiriramadhan7753 5 лет назад +2

      @@thomashamis9084 hafu roma alikua teacher wa secondary

    • @husseinmtambila2621
      @husseinmtambila2621 5 лет назад +1

      Tembo Mnyama ata roma pia pcm

    • @husseinmtambila2621
      @husseinmtambila2621 5 лет назад

      Ata roma pia kasoma

    • @emmanuelgeorge2654
      @emmanuelgeorge2654 5 лет назад

      Uhalisia wa nick anaouzungumza upo,lkn pia hoja ya roma na blue wako sahihi

  • @babubabz4507
    @babubabz4507 5 лет назад

    NiNikibacha kukunia nazi

  • @mrmkandaras7491
    @mrmkandaras7491 5 лет назад +1

    *150*78*661#
    Nunua Vocha toka Vodacom kwenda Mtandao wowote pia unaweza kulipia
    Umeme
    Kung'amz nakadharika
    0626849656
    Kwa maelezo zaid

  • @mohamedali4347
    @mohamedali4347 5 лет назад

    Niki upo sahihi kila kitu vinakuja tu kutokana na kiswahili kama ulivyosema bakuli limeitwa kutokana nann? Jibu hamna kwaio icho nikiswahili tu

  • @victorvictor3064
    @victorvictor3064 5 лет назад +3

    Binafsi huwa siukubali usomi wa nick wa pili hana logic kabisa kwenye mambo yake Msikilize ROMA Anayo logic kwa vitu anavyoongea hata Mr.Blue

    • @eliahjohn9289
      @eliahjohn9289 5 лет назад

      Nyie ndiyo mlikuwa vilaza wa class au matera ya trekta

    • @goodluckcharles3748
      @goodluckcharles3748 5 лет назад

      victor victor kama unadai Nikki hajaongea logic....naungana na aliyekujibu......kuwa ww darasani ulikuwa kilaza....

  • @boazmsongole3705
    @boazmsongole3705 5 лет назад +2

    tatizo ujuaji mwingi nikk acha upumbavu ww