Hamorapa~ Mzungu Wangu Ni Mzuri Kuliko Wa Harmonize
HTML-код
- Опубликовано: 28 июл 2019
- Send in Your FeedBack And Comments to SMS 40920
Like our pages and follow us on twitter for more hot entertainment. Twitter: / ebrutvkenya Facebook: / ebrutvkenya #EbruChipukeezyShow #SMS40920 - Развлечения
Watangazaji wamemdharau Harmorapa alaf maswali km wanamuinjoi walimuita interview wamkomeshe tu na kiki zake km umeona hilo gonga like..
Tz kuna tatizo daaaaaah
@@mdl6463 ustaa unakazi
Sio mchezo 😄 😄 😄 😄 😄 😄 wamempata
@@mayahhajih2636 kbs
nouma
Kutoka Kenya Nimechukizwa saana na hii interview, chipukizy amemdharau saana harmorapa na Mungu akuzindishie hamo
Heshima muhimu...chipukizi ni chizi tu akwendeeee
Heeeeee. How is trable hamo lapa to make English for you
Wengi wenyu hamuelewi hii inakuaga a comedy show.... Bure nyinyi
Am from Kenya! Kama umefuatilia hii show! This guy is very intelligent! He's trying cover some issues zenye awa jamaa wanataka kujua bt wameambulia patupu! In short akuna kitu awa jamaa wamepata kutoka kwauyu jamaa! Uyu jamaa anakuaga muangalifu sana! Big up bro
Kama umegundua kuwa watangazaji wanamchuria harmorapa gonga like tujuanee
Kabisa
Ni wachekeshaji kakangu, hakuna watangazaji wala dharau, it's all about having fun.
Kumchuria maanake nini
Calm down bitch..these are comedians
Christopher Willium kweli hawezi kujibu maswali
Hamorapa is a very intelligent guy.I like the way he answered all those silly questions.
Good morning english
Kama umegundua hawa jamaa wanamchora hamorapa gonga like za kumwaga hakuna interview Ni commed
Yn haka kajamaa sijui km katakua na ham tena na Kenya..
Haw jaam wanamuinjoy n siy poa.
This guy is very knowledgeable, the way he expressed himself in swahili I bet very many of us with our English we won't be able to express ourselves the same way.
It takes intelligence and wisdom to realize that.
clinton kaingu the way he answers the questions, very intelligent, he is very articulate with the swahili
Some of these people when intervied wouldn't express themselves as this boy do.
😅😅😅😅😅😅
I believe
Mimi hapa nipo USA namtambua harmorapa
Eti kiingereza kule kwetu kina tupiga chenga, 😂😂we jiongelee mwenyewe ,
😂😂😂
Harmorapa hajuw kiingereza hata kidgo mpka aibu
Kasema kweli kiingereza watz hatuwezi tuandaye watoto wetu waje watutoe kimasomaso..!
😂😂😂
Arafu anasema anajua kinge 🤣🤣🤣🤣
Interview ilikuwa ni kama kumukejeli harmorapa.... respect msanii harmorapa.
SAWA SAWA WEWE NDIO G KING LA MABISHOO WAUMIZE MPAKA WAKOME WACHE WASEME MWISHO WATACHOKA WAUMIZE HAMORAPA TUMEKUMISI DAAAAAAAAA MZUNGUWAKO BOMBA WAKOMESHWE UNAYAWEZA STAA HOMORAPA ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🇹🇿❤️🇹🇿🇹🇿❤️❤️🇹🇿❤️❤️🇹🇿❤️❤️❤️❤️👀
hahahah harmorapa yupo seriously kiintarview afu hao wa kenya wanam jokeskama umeona nie like 5 twende xawaa
Mnakosea kumdhalilisha sio poa Mola wetu sote
nikwel br,lait ingekuw mm,wangkom,kwanz ukiw musanii n usichek n waulz maswli,maan ukiw mujng,watakuhoj pak wakuulze choon kW sku unaend mar ngap.
Nyie watangazaju washezi kwani kingireza nini? Ni lungha kama ya mama maana mmezaliwa kwakuongea kingereza. Mzalikisha MTU, nyie wenyewe kingereza chenu kibayaaa, nimewachukia sanaaaa wasenge nyie watangazaji
Hehe. Chepukeezy God is watching you
mzungu wake mzuri kuliko hamo duuu kweli huyu ni kchwa
Hongela mtangazaj hii account numeijua baada ya kumuhoj harmorapa na saiz tupo trendi namba 13 tz sema mumemuenjoy huyo harmokk😁😁😁😁😁
Wakenya kukuvua nguo rahisi sana 😂😂😂
Matharau yanini, this guy is going pleases, wivu ni mbaya very an professional ebru bure kabisa.
Mrudisheni Hamorapa wetu bongo
ngalawekikohi ngalawekikohi 😂😂😂😂
Hakulazimishwa kuja,kaja mwenyewe kutafuta kiki,hahahah wakenya moto
😂😂
Chipukizi mungu anakuona😂😂😂
Kwa hakika ni upumbavu tu wa ki African kwa hiyo intevew sii ngefanyika kwa Lugha ya kiswahili. ingekua safi sana
Mmenifurahisha sana... Mnamuenjoy mwenzenu... Halafu yeye yupo bize
Eti nilikuwa namfukuzia wema sepetu harmorappa we noma
😂😂😂hamorapa ulikuwa wapi wewe sijakuona toka siku nape anatishiwa chamoto
Wakenya mumemuita Hamorapa ku mchezea🥰🥰
Chipu ubarikiwe,I waited for this,😂😂😂😂😂this is, awesome
This guy is just too intelligent...but these guys are ridiculing him for nothing.
Its true niggah
Noma kweli
Washamba wa ki Kenya Studio !
We boya tz tuko fresh
Hahahahaha very funny this interview
Uko poa Sana hamorapa jinenee mema Mungu atakupandisha jiamini nimependa kujiamini kwako
Big respect ✊ bro umeendelea
Leo ndio siku nimecheka sijapatakuona 😂😂😂😂😂
sio lazima kingereza kujuwa mbona ata wazungu kiswaili awajui
Hehehe sasa mzungu wa Nyeri
Sema ma hostt acheni zarau kama umegundua watangazaji wanadharau gonga like hapa harmorapa peperusha bendera nakubal sana brother keep it up 💪💪
JAX ONLINE TV huyu hapeperushi bendera,,anaitiya matundu na doa bendera.
Tuongee lugha ya taifa😂😂😂
Kweli ehee
khadija omar Kali hiyo munzu mkenya hahahhj
Hizo nywele zimemzeesha sana
life is just beautiful with such people in it one love ❤ bro🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Chipukeezy uko chini
Sana tena sana
Ongeza volume...... English sio lugha ya wote
ngereni wakenya mnajivnia kizungu, ,shikamoo mkoloni
Houa watanzania sio wote awajui kingereza
Hawa jamaa wasenge
Nawaombeni msamaha dungu zangu watanzania, sio wakenya wote Wana upumbavu huku. Tunawapenda
love From USA big up brother.
Daaaah kumbe harmorapa ni chenga kiasi hichi, hajagundua tu wanampiga picha za kichogo, bado anaendelea kuonyesha chenga
Kiukweli nakubali vituko vya harmorapa
Mimi na mjua sana hamo ni bingua, jikaze bro.
Vile amekaa uyu harmofala apendeza kuw comed😂😂😂
Safi sana hamorapa tafuta riziki mwanangu
Upo sawa Harmorapa never give up
Hamorapa aiseeee arudi shule
Ongea kiswahili bwana nimecheka peke yangu
This guy is a big artist in Tanzania. Big up. Follow him on RUclips.... Hamorapa... His songs are lit 😍👌👌👌👌👌👌
Hiyo ya Kartelo nimekufa,,eti Kartelo ni Dawa Fulani huko TZ, aaah I resign!!!
It's unfair to refer somebody as Ugly ; being ugly, handsome and beautiful starts in your brain, confidence is key, bravo Harmorapa for your confidence
jina LA mpenzi wake halijui hahaaa
Sema nn jamaaa anajiamin Sana 😁😁😁😁😁
Wakenya pls turudishieni hamorapa wetu😂😂😂
😂😂😂
Hahahahaaaaaa
@@jinomojamswakiwaninilukas783 hhhhhhh maana Wakenya wana mfanya hamorapa ni chizi hahaha😂😂😂
😂😂😂😂😂😂🚴🚴🚴🚴
Ahahahaaaaa umeniacha hoi
Tz tuna vivutio hadi visukumio Mungu ibariki Tz na vyote vilivyomo.
Grace Yohana umefanyaa nichekeee sanaaa
Grace yohana,what do you mean sielewi
Wakenya msi abudu kizungu msiwe watumwa original
maswali mengine ni ya dharau,,,, wakati mwingine si poa fikiria ingekuwa ni ww
paul kitabu kweli
usirudie tena hamo wana zarau sana
Noma kwel
Hahahahaha hahahahaha nyie watangazaji Mungu anawaona 😂
Hahahaha hii imeniweza Sana,
Hahahaaaa Harmorapaaa bhna
Hahahahaha 😂🤣😂🤣🤣🤣🤣harmorapa mdogo wangu haya Mambo yanawenyewe kaz inayokufaa labda uganga wa jadi😆😆😁
Duu hii kali sana🤣😁😂
Ni hatar Sana
Kmmk walai
Unajuwa huyo HAMORAPA anapenda sana kiki na bra kiki hawez mziki Yan basi tu anaboa sana
Mmetisha mazee
Kiswahili wanajuwa wakaona wamzingue sio powa kabsa coz hii ni kazi na hapo anatafuta soko sio fresh kabsa
Hamorapa ni comedian sio singer anatakiwa atambue kipaji chake kama vp aungane na mkali wenu watoe kitu mujarrabu
Safi sana homorapa unajikubali sana Mzee kaka
I like harmoraper
Daah sio poa wallah😭😭😭
I can't believe Chipo brought this guy all the way from Tanzania just to ashame and bilittle him...Some jokes do not add up
that was part of the fun
Aki nimeboeka
Hahahahahaha Harmorapaaa na Engulusingi
Hamorapa mtu ambaye anajikuza Sana na anapenda sifa hamorapa mungu apendi kujipandisha hivyo jishushe utapandishwa
hahahahaaaaa!!... daaaah! hammorapa umenivunja mbavu jmn! yan nmejikuts nabomoka kicheko pekeangu usiku watu wote wamelala kmyaaaa!.... yan hongera sana kwa kujiamini!.. uskate tamaa dogo we utajikuta sku moja nawewe unaflow English kama maji!... big up sana Hammorapa!!!... hahahahahahahahaaaaaaaaaa!
Unazalilika wew
Kitu gani nimekutana nayo kabla nilale, nimecheka Mpaka kitanda imejaa udenda
Hahahaha 😂😂😂😂 kama nakuona, this side hoi hae macho ya mejaa maji sioni tena screen
Interview hii sijaifurahia wa Kenya wanaonekana kama wanam joke sana Harmorapa
Elinah Daudi ningekuwa mimi ningeondoka zangu dharau hizo maswali ya kejeli
@@majaliwamsigwa3974 haswaa yaani wamemkebehi sana kaka wa watu
harmo ndie alianza vibaya,kwanza kabisa aliita Chipkeezy Fala,Pia alikuwa anataka security kabla ya kuingia,magari ya kifahari kutoka penye alikuwa analala hadi kwa studio. Hakuna msanii Tanzania wa kizazi kibya nimewaiona akiwa na maringo kama huyu.
😁😁😁
But that's a comedy show.its for fun
Nakubali
Aki chipukeezy muliamua kuvamia hamorapa
Huyu msanii kachaganyikiwa msanii nambari moja n diamond
KING OF KIKI
Mmepatana na chizi mwezenu mngekutana na konde boy mumuulize huo upumbavu wenu sema nini hata karibu yake hamfiki dadeki zenu
Kwa kweli huyu ni chizi mwenzao
hawa ni comedians so hawana dharau sema hyo harmo rapper hajui kizngu alf hyo konde boy ndo ana nn cha haja mpaka asifikiwe.
The 🐦 with same firthes flaying to gather. Unganeni mfanye Comedi wote akili zenu sawa hakuna mjanja hapo!!
Hamorapa unatakiwa kujiamini hao washenzi wanadharau halafu hawana lolote ,yaani ni mazero
You're the one who is stupid
Waaaaah harmorapa nimecheka saaana 😂
Mzungu wa nyeri hahaha
Chepukeezy this not fair...
Duuuuh.!! Haya maisha si kila anaye kupigia makofi ana kupenda.🤗🤗🤗🤗🤗😍😍😍😁😁😁😁😁. Hamorapa wana mubwenda tu na yeye anajitahidi kufurukuta🤗🤗🤗🤗🤗😬😬😬
Hamorapa uko vzr kene maswali
fayaaa hamorapa
Kupagawa tu 😂😂😂
Daaah ww harmorapa ww
Jamaa wamemdharau sana..
Hamorapa da handsome boy
Mhhhh harmorapa anaropok tyuu haongei kama mtu alieelimika juxt mtu wa uswaz
Kali Sana hii ya in the ward
Iki kiboya duuuh
mungu atakulinda
kweli harmorapa kituko
Jamani jamani
Good good baba watakuelewa tu big up
Hamorapa hongera mwaya
Nimegundua uyu harmorpa anafaa kua mchekeshaji maana duuuuh fyaaaatuuuuu