CHEKA TU. Kings Edition. Mr Beneficial kwenye stage.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Follow us on Instagram for daily updates: / cheka.tu

Комментарии • 489

  • @antoinebakevya8911
    @antoinebakevya8911 6 лет назад +27

    Mr BENEFICIAL is among the greatest artist, I do love hum too much. I'M from Burundi

  • @colmanlesulie250
    @colmanlesulie250 6 лет назад +82

    Yaan Beneficial for sure your great, keep it up. Nakupa one year utakua mwingine. Ongeza tuu bidii katika uandishi pia ubunifu na pia uzidi kunifunza sehemu mbalimbali. Nakuelewa Sana.

  • @mathayonyerera3144
    @mathayonyerera3144 5 лет назад +12

    Masai village Tanga! Unatuvunja mbavu baba la baba! Pamoja sana!

  • @younginspired3899
    @younginspired3899 5 лет назад +17

    Mr beneficial.. Umenivunja mbavu wallah anyone in 2019?

  • @khadijahassan3504
    @khadijahassan3504 6 лет назад +66

    hakika leo beneficial leo umeniua mbavuuuuuu hongera sana
    kazi ya ukanda kaanzisha nuhuu😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @bletv6130
      @bletv6130 5 лет назад +1

      12. Ndipo ngati Mulungu apulumutsa Mkatolika, wa Chiprotesitanti, wa chievangeliko, wa chiBranham, kapena membala m’modzi wa mamishoni ndi mautumiki amenewo, Mulungu ayenera kuchotsa gehena ndipo aliyense adzapite ku Paradaiso, ngakhale Satana. [Mkonzi: Osonkhana akuti, "Ameni!"]. Kodi munthu angakane bwanji m’neneri wamoyo wa nthawi yake ndikupita ku Paradaiso? Kodi munthu angapulumutsidwe bwanji ku Chigumula pamene atakana Nowa? Pamene Ambuye Yesu Khristu anali pa dziko lapansi, zikanatheka bwanji kumukana iye ndi kupulumuka? Dziko lonse lapansi liri ku mphompho chifukwa cha mipingo iyi.

    • @tedyjuma6393
      @tedyjuma6393 5 лет назад

      kwan mnapatikana wap nami nije kucheka 😃😃

  • @davidluwondo4753
    @davidluwondo4753 5 лет назад +4

    Daah...Mr. upo vizur Godbless uu...maana unanipa rahaaa

  • @emmanuelchristophersangawe8374
    @emmanuelchristophersangawe8374 5 лет назад +5

    Daaaah kwel kipaji hicho Olevel ujakionyesha broo (head prefect)

  • @ernnesty7268
    @ernnesty7268 6 лет назад +11

    Tengeneza character mmoja ambae watu watamzoea to all comedian kwenye cheka wawe unique

  • @seriousofficialtz3702
    @seriousofficialtz3702 6 лет назад +8

    Huyu jmaaa anajua sanaaaaa big up brooo😀😀😀😀😀

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 6 лет назад +40

    Uko vzuri Bro Sanaaa. Nimekubali
    Ila nakushauri tu, ukiweza kuunganisha vzuri story ya kwanza inapoisha.. kwenda nyingine ila una vchekesho vngi sana

  • @karathajunior6675
    @karathajunior6675 6 лет назад +21

    You bro..so creative.. Nakuona mbali..saaaana..kwa stand up comedy.. Hapa bongo..Bro ukae vizur..saaana...mana uko mbele utakua ndo king wao kwenye standup..take it from me..bro..!

  • @laurynurban5847
    @laurynurban5847 5 лет назад +5

    daah umefany wonders #perfect#

  • @othumanmaulid7406
    @othumanmaulid7406 6 лет назад +15

    Yes! Nimekubali umepanda kiwango

  • @pendojames8262
    @pendojames8262 5 лет назад +10

    aisee chari yangu umetisha kinoma🔥🔥🔥🔥

  • @hutheinplat5881
    @hutheinplat5881 Год назад

    2023 still looking on this Hii ndio ilikuwaga cheka tu

  • @wawerufrancise771
    @wawerufrancise771 5 лет назад +1

    day nimeipenda hii nakubali San kangaroo from chga we are grow up jam Keny na nchi zingn

  • @jackychangula9139
    @jackychangula9139 5 лет назад +4

    aseee nilicheka sana nilipo ona ile vd ya mungu angekuwa muhaya kipaji cha injili wangepewa wachaga

  • @mwanamisaomar346
    @mwanamisaomar346 6 лет назад +14

    Mr .beneficial ..mbavu zangu jamani unaweza..big up..😆😆

  • @abdulkarimyahya6369
    @abdulkarimyahya6369 5 лет назад +9

    so impressed mr keep it up

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 6 лет назад +3

    thanks kwa kuwa mbunifuja

  • @mushitv4760
    @mushitv4760 6 лет назад +7

    We Chali ukafungue hospitali nakwambia unacho tufanyia kwenye mbavu si poa

  • @jumasaid6073
    @jumasaid6073 5 лет назад +4

    Daaa!!! Mbagala imenivunja mbavu,unatisha kaka!!

  • @priscillapaul595
    @priscillapaul595 5 лет назад +4

    Mbavu zangu mieeee we beneficial ni nini lkn...u made my day

  • @blackpanther4825
    @blackpanther4825 6 лет назад +3

    This dude beneficial anajua sana

  • @nemaodhiambo7274
    @nemaodhiambo7274 6 лет назад +1

    Great job hongera kaka angu unafanya vizuri sana

  • @MakunguSir
    @MakunguSir 5 лет назад +11

    Safi sana kijana. Mpangilio mzuri. Keep it up.

  • @GidionEmamuel
    @GidionEmamuel 5 лет назад +1

    Umenilazimish kuchek duhhh ara chug big up

  • @emmanuelallexander9114
    @emmanuelallexander9114 4 года назад +5

    Keep it up my brother!!!your great in this fun.

  • @goodluckpaul7829
    @goodluckpaul7829 6 лет назад +44

    Congratulations school mate Brian Mrikaria 'Beneficial'

  • @younginspired3899
    @younginspired3899 5 лет назад +20

    Mr beneficial msengee sanaa 😂😂😂😂😂😂😂😂 et unacheka kama mgen aliemaliza mboga..

  • @sebastianshosi7687
    @sebastianshosi7687 6 лет назад +16

    Aisee jamaa ckumzania kama anauwezo mkubwa kiac hiki.hongera kwake

  • @Calixdesigns
    @Calixdesigns 6 лет назад +8

    Gud work all comedians,,big up san my bro coy mzungu...😂😂

  • @mctidohondoa1652
    @mctidohondoa1652 6 лет назад +5

    Best uko sawa kaza buti

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 6 лет назад +3

    Nakukubali sana Mr *Beneficial*

  • @zanudiajaffary7240
    @zanudiajaffary7240 6 лет назад +9

    U gud bro keep it up.👊🏽

  • @rahimyusuph9568
    @rahimyusuph9568 6 лет назад +1

    Big umeuwa dah!! Sina chakusema hongera

  • @issajohn8983
    @issajohn8983 5 лет назад +7

    Uko poa sana kaka kaza sana nakuombea

  • @anthonymsenga2031
    @anthonymsenga2031 6 лет назад +16

    Like za kutosha kama unamkubali beneficial...kiukweli jamaa anauwezo

  • @gracedismas1108
    @gracedismas1108 4 года назад

    Beneficial congrats broda umejua kunimaliza mbavu

  • @ivyom7521
    @ivyom7521 6 лет назад +3

    😂😂one....two...chechechecheee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😍

  • @praygodlema3867
    @praygodlema3867 5 лет назад +5

    Chali ya R mamboni swagireeee

  • @stevenbenson5713
    @stevenbenson5713 6 лет назад +5

    Nimeipenda hii, na pia nimefurahi naona Tz tumepiga hatua maana tulikua nyuma sana kwenye tastia hii ya Stand up comedy.. Thanks bro uko vizuri aisee.

  • @danielromario5183
    @danielromario5183 6 лет назад +5

    Head prefect wangu olo
    O level brian

  • @fabianimwaluko6468
    @fabianimwaluko6468 4 года назад +1

    Hahahaha ww jamaa chenga sana 👏👏👏👏

  • @muchomersonmichael4615
    @muchomersonmichael4615 6 лет назад +2

    Chilchil imehamia Tanzania, badilisheni, muongozo tofauti kidogo, sio kilakitu, bt congratulation upo vzr

  • @shabanimdugi6813
    @shabanimdugi6813 6 лет назад +9

    UNAJUA SANA MWANANGU

  • @RamatonyJensian
    @RamatonyJensian 5 месяцев назад

    Daaaaa!!! Huy dg aabudiwe na majambaz xugu😊😅😅😅😅😅😅😅

  • @RamatonyJensian
    @RamatonyJensian 5 месяцев назад

    Daaaaa!!! Huy dg aabudiwe na majambaz xugu

  • @halcyonmrosso7002
    @halcyonmrosso7002 3 года назад +3

    Best show in 🇹🇿💥

  • @Officialboneka
    @Officialboneka 6 лет назад +1

    hongera brother kazi nzuri

  • @angelinacharles4587
    @angelinacharles4587 5 лет назад

    haki ya mungu leo nimecheka sana hongera Mr Beneficial

  • @joeljohn1770
    @joeljohn1770 6 лет назад +12

    Nawakubali sana Cheka tuuuu

  • @eclardickson54
    @eclardickson54 6 лет назад

    baba la baba beneeee @ ase izi wanji wanji fekecheee unazidoroooo ni kwere dingiiiii *upo fulluuuu arifuuu*

  • @emmanuelimaxxaka754
    @emmanuelimaxxaka754 6 лет назад +10

    😂😂😂😂 B gap xana mr Beneficial una tisha kinyama

  • @FrediMassawe
    @FrediMassawe 6 месяцев назад

    😮mwamb home kabisa

  • @diomedesmtayoba3955
    @diomedesmtayoba3955 6 лет назад +4

    Uko vzr Mr Beneficial

  • @gastocelestine5525
    @gastocelestine5525 6 лет назад

    Big up Coy ..Mr. Beneficial uko vzuri

  • @ellymshana9774
    @ellymshana9774 5 лет назад

    Cheka tu you made my day tse kwi kiki he he

  • @awazipuru9919
    @awazipuru9919 2 года назад

    Napenda sanaaaaaaa

  • @irmgardsamia1827
    @irmgardsamia1827 4 месяца назад +1

    Here 2024

  • @AlanaJoseph
    @AlanaJoseph 5 лет назад +4

    Mr beneficial! Keep it up

  • @ahmadkibamba7245
    @ahmadkibamba7245 6 лет назад +8

    Aahaaa hapo kwa mbagala hapo umeuwa watu mno maana ahhaaaa nimecheka

  • @michaelzumba9142
    @michaelzumba9142 6 лет назад +67

    Sikuwahi jua kama jamaa anakipaji hivi

  • @peterkilassa2912
    @peterkilassa2912 5 лет назад +3

    Tatizo unapenda kuchambua maisha yawatu nakutengeneza matabaka,its not good man, watu wote tupo sawa,, masaki na mbagara, wote twakushabikia

    • @keysaldiwani4927
      @keysaldiwani4927 5 лет назад

      Peter Kilassa anaburudisha watu cyo uhalisia man

    • @gloriousnp
      @gloriousnp 5 лет назад

      Peter Kilassa it’s just a comedy
      Don’t take life thaaaat serious bro
      Utakufa siku siyo zako 😩😩😩

  • @simonjoseph7156
    @simonjoseph7156 6 лет назад +3

    Hahahahaaa!!!! 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Atarii

  • @paschalmotera7934
    @paschalmotera7934 6 лет назад +7

    😂😂😂😂😂😂 ,,...saf saan man

  • @antoncharles8710
    @antoncharles8710 5 лет назад +1

    >>>> nice sana bro

  • @tinafrenk5540
    @tinafrenk5540 5 лет назад +4

    Jamn mm nakufa yaani nimechoka akli na roho

  • @christambonde9587
    @christambonde9587 3 года назад

    Umetisha kaka

  • @witnessmfinanga9732
    @witnessmfinanga9732 5 лет назад +20

    hata iwe nzur vp watanzania hatukosagi chakuongea sijui tufanyiwe nini au tutaangalia za watu mpaka lini tupende vyakwetu

    • @juniorsmart2483
      @juniorsmart2483 5 лет назад

      Wako wachekeshaji bhana,sasa huyu anachekesha nn??kajaribu kwa mbagala2 hayo mengine ni kama maxmango2!

    • @faithaction2505
      @faithaction2505 4 года назад +1

      @@juniorsmart2483 kwan stand up comedy kinachochekeshaga nn zaid ya mambo kama haya, au Ip unayofatlia wew inachekesha

    • @rachelchelango941
      @rachelchelango941 4 года назад

      Tatizo wabongo wivu unatusumbua sana, ukiona hakuchekishi acha kuanglia

  • @mastermusic5796
    @mastermusic5796 Год назад +1

    He is amazing😊

  • @damisokaikomaboy3883
    @damisokaikomaboy3883 6 лет назад +53

    Gonga like hapa

  • @Mtumish_sam
    @Mtumish_sam 6 лет назад +1

    Shukurn kwa ajir kwa vijan Mungu abrk

  • @sirpaindakiseya697
    @sirpaindakiseya697 5 лет назад

    Ohh nice one and only love

  • @feysalhamis5277
    @feysalhamis5277 2 года назад

    Hichi n kichwa cha arusha🧨

    • @alphaally
      @alphaally Год назад

      Umetixha can dingiii

  • @supersoulsupersoul4667
    @supersoulsupersoul4667 6 лет назад

    ...hahahaha! Mabafu ya uswahilini!... Umetisha mzee baabah!... Big up sana!

  • @kayfx2594
    @kayfx2594 6 лет назад +107

    gonga like. Mr beneficial

  • @Bitlontravels555
    @Bitlontravels555 6 лет назад +5

    Good try, Mr. Beneficial is great in telling intelligent jokes! Kudos mkuu!

  • @stevenkasele7874
    @stevenkasele7874 6 лет назад +1

    Daaah powerful too wonders. , Big up broo

  • @karugirakarugila6094
    @karugirakarugila6094 5 лет назад +1

    Baba baba nakuelewa kinoma

  • @RamatonyJensian
    @RamatonyJensian 5 месяцев назад

    Hahahaahahaaaaa itabd mr offixial akutane na xtive mweux

  • @velejilyonatalis1787
    @velejilyonatalis1787 5 лет назад +1

    Nampenda sana huyu Dogo

  • @jozzsimbatv1199
    @jozzsimbatv1199 4 года назад +1

    Wale wa 2020 tujuane

  • @petrophilip2279
    @petrophilip2279 5 лет назад +2

    Mr. Beneficial yupo vizuri katika standup comedy.

  • @salhishashania216
    @salhishashania216 6 лет назад +5

    Harmoniz ft professional j

  • @youngprophertmc6711
    @youngprophertmc6711 6 лет назад +1

    We masaiiiiii hatareeeeeeee mbavuuuu zangu

  • @tigerchristmas5491
    @tigerchristmas5491 6 лет назад +10

    aisee kuna watu mliumbwa kuja kukonga nyoyoo hahaha

  • @mabujr4746
    @mabujr4746 6 лет назад +8

    mr beneficial you kill me broooo

  • @omarvuai7069
    @omarvuai7069 6 лет назад +5

    Alio na tecno aondoke mbele haaaaaa

  • @obadiampolo4123
    @obadiampolo4123 3 года назад

    Pongez kwako👏👏👏

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 6 лет назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kwa kweli jamaa yuko vizu

  • @henoczoundi2986
    @henoczoundi2986 5 лет назад +2

    2. Lolani Satana ndi ana ake akhale ndi sukulu za ubusa, masukulu wolemba Baibulo ndi intaneti, ine ndi nyumba yanga tidzakhala ndi vumbulutso la uneneri. [Mkonzi: Osonkhana akuti: "Ameni!"]. Ndipo pambuyo pa sukulu ya ubusa, maseminare ndi madigiri a zaumulungu, pamene achinyengo awo, ana a mdierekezi akuima pa guwa, iwo amati: "O Mulungu, ine ndichepe ndipo inu muyankhule kupyolera mwa ine." Inu mukuona? Ndi chisokonezo! Ngati mukudziwa kuti mukhoza kuchepa kuti Mulungu alankhule kudzera mwa inu, nanga mumapita kukayang'ana chiyani ku sukulu za ubusa?

  • @halemasalim9330
    @halemasalim9330 5 лет назад

    Cheka kamamgeni kamaliza mboga!

  • @abedinegonnko6422
    @abedinegonnko6422 2 года назад

    Good snaa blood

  • @jonathanicrisatijonathanic6708
    @jonathanicrisatijonathanic6708 3 года назад +1

    Sheka mpaka mpaka basi

  • @nyanikongwe9207
    @nyanikongwe9207 5 лет назад

    chaliii ya chuga Konk Konk Oili master chafu

  • @subraissiaka6440
    @subraissiaka6440 5 лет назад

    Unaweza sana bro🔥

  • @darmillionaire
    @darmillionaire 5 лет назад +6

    Hii ilifanyika lini na ukumbi gani?

  • @frankchami4503
    @frankchami4503 3 года назад

    So good my brother

  • @richardaugustino6775
    @richardaugustino6775 5 лет назад +9

    Ati mpk sura yako mwenyew inak-snitch yani man huna hela brother......!!!! dah hiki kipande nishakiangalia zaidi ya mara saba mshikaji yuko vzr