UBAYA UBWELA! KIGOGO 2014 AFICHUA MAZITO YA NAPE ALIMDHARAU RAIS HII NDIO SABABU NI ZAIDI YA NDUGAI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • UBAYA UBWELA! KIGOGO 2014 AFICHUA MAZITO YA NAPE ALIMDHARAU RAIS HII NDIO SABABU NI ZAIDI YA NDUGAI
    #napennauye #ndugai #raissamia #uteuzi

Комментарии • 208

  • @drbalagomwatvonline4937
    @drbalagomwatvonline4937 Месяц назад +9

    Mama yetu mrejeshe Jerry Slaa kwenye wizara ya ardhi huko Kuna ufisadi na unyanyasaji wa watu wa hali ya chini, watu wamezulumiwa ardhi sana ila Jerry Slaa ameweza kutatua na kutetea watu waliokuwa wamezulumiwa ardhi zao.

    • @mutabebwa-bm6pm
      @mutabebwa-bm6pm Месяц назад

      Ni kweli amefanya kaz nzuri mno i ambayo haikuwahi kufanywa na waziri yeyote aliyepewa nafasi hiyo.

  • @joycebenjamin6017
    @joycebenjamin6017 Месяц назад +4

    Wakati wa Mungu ni wakati sahihi👍🏼🙏hizi ndizo mbinu zinazotumika kuanzia 1995 mpaka leo hii,na Mungu alimchagua Nape ili aweze fikisha ujumbe kwa watanzania kwa ujumla wetu,Mungu ni jibu👍🏼👏🙏

  • @mohamedkazema6381
    @mohamedkazema6381 Месяц назад +16

    Problem is to speak the truth publicly, not all the truth should be spoken in that way.---- that's the payment of the cost. 😅

    • @knight6757
      @knight6757 Месяц назад +1

      🤔🍺

    • @rizikiminga3010
      @rizikiminga3010 Месяц назад +5

      Always CCM doesn't need the truth to be spoken publicly 😢

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Месяц назад

      Kweli alikuwa amelewa

    • @Lubango-gj3ud
      @Lubango-gj3ud Месяц назад

      Ndugai said the truth ,
      Luhaga mpina said the truth ,
      Also Nape said the truth too. Wakapoteza nafasi zao.that is Ccm​@rizikiminga3010

    • @sylvestersamwel8210
      @sylvestersamwel8210 Месяц назад

      ​@@adelinelyaruu3036hakuwa amelewa ila laana ya Mwenyezi Mungu inaanza kuwatafuna, wanapokabidhiwa madaraka wanatoa viapo kwa kutumia vitabu vya Dini alafu baada ya hapo wanaanza dhuluma kwa Watanzania. Bado wakina Msukuma walioenda Dubai kuuza bandari zetu.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад +26

    Hayo maneno ya Nape alikuwa anasema ukweli lakini unaona amesema vibaya kwani huwa hawaibi? Leo tunaambiwa na ukweli kuwa CCM huwa wanaiba mnamkemea nini? Jamani CCM waache kuiba kabisa hakuropoka bali alisema ukweli. Kusem ukweli ni kosa? Ila ninyi mnata asiseme?

    • @sabrinaali9750
      @sabrinaali9750 Месяц назад

      Hajatumbuliwa kawekwa kwenye masuala ya uchaguzi bila Nape uchaguzi ni mgumu inabidi aachishwe kazi zote ashuhulike na uchaguzi tu.

  • @foibennjeje7730
    @foibennjeje7730 Месяц назад +19

    Hayo maneno siyo ya uongo. ni kweli ila sema amewasema shetani wenzake

  • @ndugaijacob359
    @ndugaijacob359 Месяц назад +26

    Pia mheshimiwa huyu alikuwa anatukana lakini SIRIKALI ilimfumbia macho,tunashukuri Dr Rais Samia S Hassan ameliona hili. VIONGOZI tupewapo uongozi tujiheshimu .TUJISAHIHISHE

    • @YussufPandu-es7ou
      @YussufPandu-es7ou Месяц назад +2

      Kwani nape AMESEMA uongo? Jibu amesema kweli,,kwani Uchaguzi 2020 yalitokezea nini? Si ndo hayo ALOSEMA nape? Kwa hiyo nape nI WAKUPONGEZWA Asante nape,,,ccm kama kawaida wembe ni ule ule ushindi,,,CCM HAWAAMINIKI KWENYE SANDUKU LA KURA

    • @sabrinaali9750
      @sabrinaali9750 Месяц назад

      ​@@YussufPandu-es7ou hajatumbuliwa kapelekwa kwenye masuala ya uchaguzi na kaahiduwa donge nono wakishinda

    • @user-gg1pb2du5u
      @user-gg1pb2du5u Месяц назад

      Ukioga sana hatima yake utaichubua ngozi yako

  • @user-kg5yu4kg9p
    @user-kg5yu4kg9p Месяц назад +3

    Napenda tutoe maoni ya kujenga nchi siyo uchama hakuna mtu aliye juu ya sheria nampongeza rais kwa alichokifanya

  • @MatildaFrank-bp5oq
    @MatildaFrank-bp5oq Месяц назад +2

    Saa umefika yaliyo sirini yoote ,Mungu mwenyewe atayaweka wazi Kwa maana haki uinua taifa.

  • @fannyboy_tz2062
    @fannyboy_tz2062 Месяц назад +1

    Watanzania kuandamana kwa comment tu live aaaah😂😂

  • @AAbubakariSharif
    @AAbubakariSharif Месяц назад +7

    Awa wezi tu wanamaliza Kodi za watanzania na wanawadharau

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 Месяц назад +2

    Nchi hii ukiwa mkweli unaonekana umekiuka maadili na itikadi ya chama na hiyo ndo siri za kiwizi ndani ya ccm

  • @user-wc6dl8kp9p
    @user-wc6dl8kp9p Месяц назад

    Mama Amuondoe pia mwigulu ambaye alisema wananchi ambao hawatakubaliana na tozo katika mitandao ya simu wakaishi Burundi hiyo lugha haikuwa nzuri kwa wananchi nae aondolewe.

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 Месяц назад +4

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @SeifYusuf-jf7bn
    @SeifYusuf-jf7bn Месяц назад +1

    Ukishiba Sana Mwishowe Utavimbiwa Tu..

  • @ayoubsanga315
    @ayoubsanga315 Месяц назад +1

    Nape Hana kosa kwa sababu aliingea ukweli , walioichukia kauli ya Nape ndo hatary zaidi

  • @RIZIKIPEJILA
    @RIZIKIPEJILA Месяц назад +1

    Ila nape anasema ukweli tupu hayo ndio yanayotumika siku zote

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo Месяц назад +2

    Ndugai aliongea ukweli...na Nape pia kaongea ukweli!
    Nchi hiii msema kweli huwa "haishi"

  • @user-zd7mb9ke2p
    @user-zd7mb9ke2p Месяц назад

    Mama hanajitahidi sana sana tatizo wasariti wanamuangusha

  • @ToivoJase
    @ToivoJase Месяц назад +2

    Bado na huyu mtu mfupi wa hapa dar,CHALAMILA

  • @Wambula..deogratias
    @Wambula..deogratias Месяц назад +4

    Hawa mmewarea sana ivo taifa lime frai sana

  • @AlhadjtwahaMbululo
    @AlhadjtwahaMbululo Месяц назад +12

    JPM alishawaona mapema, Kisha akawapiga chini, Rais hakuwa na sababu ya kuwarudisha Tena Hawa watuhumiwa, sababu nchi hii Ina vijana wengi wasomi,

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso Месяц назад +8

    Kilichomponza ni kusema ukweli ccm ni kweli wanaiba kura wanajua kabisa bila kuiba hawawezi kushinda wanajua hawakubariki na watz vijana waliyo wengi hawaikubali ccm Mungu ameamua kuwafichua mbinu ovu wamayowafanyia watz

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza Месяц назад +4

    Na bado damu ya muzee itawaandama

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 Месяц назад +2

    Mimi naona tusubili tarehe 8,, 8,, 24 pale kwa mkapa stadium au yanga bingwa

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Месяц назад +13

    Huyu Nape ndiyo mwasisi wa goli la mkono. Kwahiyo sikumshangaa kumsikia akiendelea kubuni mbinu zinazofanana na hiyo ya wizi wa kura. Sasa kama hayo yanafanyika si ni siri ya wanaofanya? Kulikuwa na sababu gani kutangazia umma wa wananchi jinsi kura zinavyoibiwa. Hii ni kukidhalilisha Chama chake na kumdhalikisha Raisi. Raisi amefanya jambo jema sana kumtumbua. Sisi Wananchi tunampongeza.

    • @sylvestersamwel8210
      @sylvestersamwel8210 Месяц назад +1

      Hata akitumbuliwa lakini amesema ukweli wote!! Kwakuwa wanatumia vitabu vya Dini wanapoapishwa laana ya Mwenyezi Mungu inaanza kuwatafuna na wataropoka sana.

  • @JoelNgwengweta-m6k
    @JoelNgwengweta-m6k Месяц назад +1

    Tunapongeza kazi zako kwa ufafanuzi uliochambuliwa vema. Endelea

  • @SubyMwaisumo
    @SubyMwaisumo Месяц назад +7

    God is in control

  • @HanchoJunior
    @HanchoJunior Месяц назад +17

    Laan inawaandama na bado tutajua meng

  • @vallemaparadise7620
    @vallemaparadise7620 Месяц назад

    Mungu ni mwema ,Raisi wetu mpendwa asante Kwa kuleta Amani ya kweli Tz naamini uchaguzi ujao 2025 utakuwa wa uwazi na wa haki, Mungu akutie nguvu na ujasiri mama ameni

  • @AzizaMengwa-wg5ik
    @AzizaMengwa-wg5ik Месяц назад

    Pole yake

  • @mohamedmasoud8956
    @mohamedmasoud8956 Месяц назад +4

    Anapelekwa kwenye fani yake ya kuiba kura tayari uchaguzi subirini tuone

  • @serafineslaa1082
    @serafineslaa1082 Месяц назад +2

    Huo ni mwendelezo wa haramu kwenye chaguzi za nchi yetu. Siyo kosa lake ni mbinu zao. Ni kama ametoa Siri ya ushindi

  • @IbraMyota
    @IbraMyota Месяц назад +2

    Samola Michael once said "mkiona Wareno wananisifia mjue nimewasaliti". We need another GADDAFI

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Месяц назад +5

    Kigogo si amekamatwa yuko
    Mahabusu huko tanga? Sasa anawezaje kutoa habari mitandaoni? Au mmemkamata mtu aside na hata?

  • @CretusMwalongo
    @CretusMwalongo Месяц назад

    Yanajifanyia ya hovyo kama nchi ya niaje sasa malipo ni hapahapa

  • @haroldgabriel8767
    @haroldgabriel8767 Месяц назад +1

    Kuna halali, nusu halali na haramu. CCM oyeee. Ila, ipo siku

  • @user-gg1pb2du5u
    @user-gg1pb2du5u Месяц назад

    Nape ni mnafiki Sasa anatembelea kwenye ubaya wake na malipo ndo hayo

  • @FilbertRobert
    @FilbertRobert Месяц назад

    Uko sahihi kuwatoa hawa mama

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Месяц назад

    Hapo ni geresha toto Nape na makamba watapewa kazi ya kuiba kura ina maana Samia haujui kuwa ukwel ccm wanaibaga kura

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 Месяц назад +4

    Majivuno ni shina la dhambi kiongozi

  • @amuckytz
    @amuckytz Месяц назад +2

    KWELI NDIO WANAVYOFANYA NANI AJUI KAMA WANAIBA KURA

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Месяц назад +1

    Hakuna Cha myunani Wala myahudi mbele ya SSh Rais fyeka hayo micho Ngoma yatakuzuia usifikie maono yako watanzania tuko nyuma yako

  • @rajakakamaginga3848
    @rajakakamaginga3848 Месяц назад

    Ukweli unauma😂

  • @abelnyoni5808
    @abelnyoni5808 Месяц назад +1

    Hizo ndizo tabia za chaguzi zetu. Alichokifanya Nape na kuonekana amekosea ni kutoa siri za wizi wa kura. Amekosea kutoa siri za uchawi. Aliyosema ni kweli tupu na watanzania tunaufahamu utamaduni huo katika chaguzi zetu.

    • @sylvestersamwel8210
      @sylvestersamwel8210 Месяц назад

      Hakuna mamlaka iliyowahi kudumu Duniani. Na hata hii tuliyonayo ipo siku tu kitaeleweka.

  • @Henrysemgutu
    @Henrysemgutu Месяц назад

    Mapendo mama ana maana kubwa Mana anataka tusome kama libia wape veeeeo

  • @goodluckmogela6291
    @goodluckmogela6291 Месяц назад +1

    Mungo tusaidie
    Yaliyowapata kenya
    Yasitupate
    🙏

  • @user-jv3ug6qu5i
    @user-jv3ug6qu5i Месяц назад +2

    Ni wazi kabisa nape nijeuri sanaaaaàà. Aliwahi kunukuliwa akijigamba yeye ndio walipigania uhuru wa nchi hii Kwa kulala porini. Hawa ndo wanachafua ccm.

  • @frankmwakalinga7455
    @frankmwakalinga7455 Месяц назад

    Maneno yanaumba😮

  • @IddyDaruweshi-jv1fu
    @IddyDaruweshi-jv1fu Месяц назад

    SASA ALIPOSEMA HIVYO ALIKUSUDIA AU LILIMTOKA DAAA MITIHANI MENGINE YA AJABU SANA

  • @abdulsalaamkahttan1037
    @abdulsalaamkahttan1037 Месяц назад +7

    Nape hua anasemaga kweli, nakumbuka kipindi cha Lisu kupigwa risasa, aliwahi kusema, hatayeye aliwahi kufuatiliwa, na hilohilo gari. kwa hiyo! sisi watanzania, tuchukue hili, kwamba, serikali hii,haitaki mtu atakae sema ukweli?

    • @RobertMushi-yh7re
      @RobertMushi-yh7re Месяц назад

      Mmesahau wakati wa Magu alisema alilala msituni akichakachua kura?😮 Kauli ya kuwa yeye ni mmakonde hamuogopi mtu yeyote nn mana yake?

    • @user-yd1pc8uy8x
      @user-yd1pc8uy8x Месяц назад

      Mhhhhh kwa kipi?sijaona jipya kwa lisu Wala nape,January wote ni hasara tupu.

    • @user-gs3qj8iw8i
      @user-gs3qj8iw8i Месяц назад

      ​@@RobertMushi-yh7reand nape.alijitowaga.sadaka.anasemaga.kweli.na.ccm.haitaki.msema.kweli

  • @MoshiBuhoyelo
    @MoshiBuhoyelo Месяц назад

    Kwani laisi anaubaya Gani minaona yupo sawa Ili apange safu yake harafu Hawa wabovu mama enderea kuwapangua

  • @EdwardMashauri-q1q
    @EdwardMashauri-q1q Месяц назад +4

    Hili kweli bumunda

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 Месяц назад

    Kwahiyo ww kigogo unatakaje...tuamini 4r na tusiamini alichokisema Nape?? Ameamua kuweka wazi yanayojulikana kwahiyo usitudanganye na 4r..hii ina maana hata ccm ikishinda kiti chochote tunaamini ni kwa michezo kama hiyo..usisahau na kauli ya goli la mkono kwahiyo ameendelea kukoleza moto.

  • @user-iy8mq9ii8t
    @user-iy8mq9ii8t Месяц назад

    Walipokua kwenye nyadhifa hawakujua kama wanaweza kutenguliwa iweni wapole mkiwa madarakani

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Месяц назад

    Wakiteuliwa tutajuwa Tanzania ni ya watu binafsi na siyo ya watanzania wote. Hawa Magufuli aliwatema, mama alipoingia akarudisha mafisadi wote. Wengi walijitajirisha kutumia Mali za chama. Na wakiiba hawakamatwi. Hawa wako juu yasheria

  • @PAMBEMASAKA-vv2tp
    @PAMBEMASAKA-vv2tp Месяц назад

    Kigogo

  • @jamalMuhammed-w1v
    @jamalMuhammed-w1v Месяц назад

    Nape hana adabu na muhuni yy na wenzake bado wapo hawajajitokeza

  • @wilbroadjovin5631
    @wilbroadjovin5631 Месяц назад

    Ndugu ni kutoa kuweka na kupangiwa upya
    Hawawezi kutupwa kama marofa

  • @mwitanyantora4542
    @mwitanyantora4542 Месяц назад

    Mama hogera kwa hatua hiyo lakini bado wapi wengine

  • @africamoja2924
    @africamoja2924 Месяц назад +2

    Umeanza kuelezea vizur lkn Hapo kwa Ndugai umechemka, ndugai hakudhihaki juhudi ama mamlaka bro, alichofanya ni kutumia uhuru wake wa kikatiba yaan FREEDOM of speech hivyo acha kupotosha jamii na hakuna mfanano wa alichokiongea Ndugai na Nape.
    Ndugai alizungumzia mstakabali wa taifa kwa ujumla wakt Nape kazungumzia suala la kichama... Get it brow!!!!

    • @DianaElias-d1v
      @DianaElias-d1v Месяц назад

      Hata mm nimejiuliza sana,kwann wanafananisha na alichokisema ndugai??

    • @MageAwe-hl5zb
      @MageAwe-hl5zb Месяц назад

      Kwa kweli mungu aitwe Mungu cheo ni koti lakuazima

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 Месяц назад +1

    Mama kafanya vizuri sana, tumefeli kidogo kumtoa Jerry Siraha upande wa ardhi, mapapa wamefurahi sana na watatunyanyasa sana.

  • @user-oq6dx8mf9x
    @user-oq6dx8mf9x Месяц назад

    CCM huwa hawashindi

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 Месяц назад +1

    Kwa kweli Kuna waziri naona ni kosa kubwà silaa alivyofanya kazi kwa maarifa bidii tuljua Sasa tumepata mtu muhimu sijui amehamishwa kwa Nini inauma sana

    • @furahachuma9039
      @furahachuma9039 Месяц назад

      Yuko bize na nchi jimboni kwake Aaaaah....!

  • @thetas08
    @thetas08 Месяц назад

    Vyeo si dhamana jamani politics hata uwe nani siku upo cheoni siku upo ubaoni kawaida kwenye siasa zote duniani hili neno cheo ni dhamani ni dogo lakini zito kwenye politics kuondokewa na kuwekwa kwenye position ni kawaida kwenye siasa Sasa Cha ajabu ni kipi ndungai wajkati yupo speaker WA bunge nani alijua ataondolewa siasa Leo upo kesho haupo kawaida

  • @GrceLaurentkaboigora
    @GrceLaurentkaboigora Месяц назад

    Makufuri, alikuwa anaona mbali sana

  • @augustinemainde
    @augustinemainde Месяц назад +1

    Ubaya ubwela!😢😢😢😢

  • @user-og4ox5jb4v
    @user-og4ox5jb4v Месяц назад

    Msaema kweli mpenzi wa mungu kwa Nini atumbuliwe?

  • @SelemaniIkombe-y8q
    @SelemaniIkombe-y8q Месяц назад +2

    Machozi ya marehemu Bado hayajakauka

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 Месяц назад

      Kweli kabisa, walimnenea marehemu mambo mengi sana ya ovyo juu yake wakijua kabisa hawezi kujitetea. Wengine wakasema eti "wazuri hawafi"🤔. Leo kiko wapi sasa - malipo ni hapa hapa duniani.

    • @bolelambunda6554
      @bolelambunda6554 Месяц назад

      MAGU RIP wao Kwa wao kinawaramba na Bado Rolinga utabiri unaanza kutimia

  • @user-rz9xx7nx8t
    @user-rz9xx7nx8t Месяц назад

    Big up nape kwani uliamua kuwa mkeri japo bado ww huko huko kwenye uchafu na ww ni mchafu 2

  • @edwardwatson7552
    @edwardwatson7552 Месяц назад

    Hawajaanza Leo kuiba kula mbona ukiongea ukweli selekali inakualest

  • @BenithoMkissy
    @BenithoMkissy Месяц назад

    Brother nape hayuko sawa kabisa na mh. Katimiza majukumu yake vyema na imempasa mtu huyu kutendewa hivyo kwani haheshim mamlaka zake za juu

  • @yussufrajab9346
    @yussufrajab9346 Месяц назад +6

    Mm maono yng hawa mabwana wadogo wawili, wanaulevi tu wamadaraka!!!
    Haina haja ya kuongea sana, kisaikolojia ni ulevi wa madaraka na tamaa..

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Месяц назад

    Hawa ndiyo wanatuzarau wananchi wa nchi hii, mwigulu nchemba,bashe makamba,mbawala,na nape, ndiyo wanaleta ufisadi wa nchi hii

  • @stedeteam531
    @stedeteam531 Месяц назад

    BINAFSI NINGEPENDA
    RAIS WETU APITIE COMENT
    BINAFSI NNATAMANI ANGEMREJESHA BROTHER SLAA ILIMPENDEZA WIZARA HII
    BINAFSI MIE PIA NNA TATIZO LA KIWANJA NLIKUWA NNAMSUBIRI AKIJAGA KWETU NIMJUZE
    TATIZO LANGU

  • @SayoreSautie
    @SayoreSautie Месяц назад

    Vizuri San kwa kutumbuliwa .

  • @levissamweli9005
    @levissamweli9005 Месяц назад

    Ni sahihi kutumbuliwa kwa jamaa iwapo kuna nia ya kweli ktk kuiponya demokrasia, bila kutengeneza jinsi ya kupoza kelele kwa muda fulan i tu!!!

  • @daltonmunguatosha1197
    @daltonmunguatosha1197 Месяц назад

    Afukuzwe ubunge alime korosho ajue mtiti wake

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Месяц назад

    Sana

  • @MTAVASSYTv
    @MTAVASSYTv Месяц назад

    Yani watu wanamsubiri huyo Nape tu, mzinguaji ametukana watu sana anasema watu wahame nchi???? Eti kwa kuongelea tu jambo ambalo wanayo haki ya kuongelea (Tozo) sisi hii nchi ni yetu tunamsubiri 2025 Domo lake linaongea tu

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 Месяц назад

    Mungu anawaumbua wanajiroposha wenyewe ha ha ha haaaa🙆🙆🙆🙆

  • @jumakisailo8496
    @jumakisailo8496 Месяц назад

    Mara nyingi mwanadamu akiwa amezaliwa amekuta raha, akulia kwenye raha, kasoma akiwa kwenye raha, yani anaogelea tu kwenye raha hajakutana na ugumu wa aina yoyote katika maisha, mtu wa namna hiyo akipata madaraka ni vigumu sana kuvaa uhalisia wa watu anaowaongoza, analewa bila kunywa kilevi chochote.

  • @Wambula..deogratias
    @Wambula..deogratias Месяц назад +1

    Hawa hawa takiwi kupata nafasi yoyote serkalini

    • @sylvestersamwel8210
      @sylvestersamwel8210 Месяц назад +1

      Wakipata ndio vizuri kwani kuna muda wanajisahau na kusema ukweli.

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 Месяц назад

      Umesema vyema​@@sylvestersamwel8210

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Месяц назад

    Makonda je mama mungu Yuko pamoja

  • @GeofreySenka
    @GeofreySenka Месяц назад

    Magufuri hizi nyoka alisha ziona muda mrefu zina majigambo viburi kujisikia

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Месяц назад

    Safi saaana

  • @RaymondZindah-ow7wr
    @RaymondZindah-ow7wr Месяц назад

    Nape yupo sawa kwa alicho kifanya, ccm wakati wao umefika.

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 Месяц назад +1

    Mungu ametulipia watu hawa walimdhihaki sana Jembe letu .Mungu ametulipia Ongera sana Rais weu kipenzi umetufuta machozi mazuri hayataki HARAKAAaaa

  • @IdrissaAmir
    @IdrissaAmir Месяц назад +1

    Seasa za tanzania ubabaishaji tu kiongozi anafanya madudu bado anapewa cheo 10:42 10:42

  • @FrankSalehe-us7zg
    @FrankSalehe-us7zg Месяц назад +1

    Badowa3 mama utakuasalama sana mwigulu chalamila na lidhiwan kikwete badohaotuu mamaangu utakua salama sana ukifanyaivo

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 Месяц назад

      Ridhiwan kikwete ndiyo kwanza kampandisha cheo. Hata waziri was tamisemi mchengelwa hafai hata kdg

    • @johnjoseph1106
      @johnjoseph1106 Месяц назад

      True

    • @ShamteMohmed-ed2kk
      @ShamteMohmed-ed2kk Месяц назад

      Unajenda Yako weka wazi​@@miltonjohn9779

    • @user-kg5yu4kg9p
      @user-kg5yu4kg9p Месяц назад

      Unaposema kiongozi hafai lazima utoe sababu siyo kwa sababu unamchukia kwa itikadi ya udini,chama,au kabila.Mfano nape ndugai wamejitoa kwa makosa yaliyo wazi ,sasa niambie ridhiwan,na mwigulu wamefanya nini?Toa hoja

  • @filexkivuyo8383
    @filexkivuyo8383 Месяц назад

    Kawaida yao kuiba kwaiyo tusha wazoya. Bali wajue mungu yupo na nasi

  • @RichardAmosi-hz3nm
    @RichardAmosi-hz3nm Месяц назад +1

    Tatizo ya nape bangi zimemzid

  • @HildaMlay
    @HildaMlay Месяц назад

    Yaliyomo yamo ulimi umempoza

  • @RIZIKIPEJILA
    @RIZIKIPEJILA Месяц назад

    Kwa maneno hayo hakuna umuhimu wananchii kupiga kula

  • @user-eb3hf1lm9e
    @user-eb3hf1lm9e Месяц назад +2

    Hakuna alichokikosea ndugai yupo sahh nchi inakopa mno

  • @filexkivuyo8383
    @filexkivuyo8383 Месяц назад

    Iko siku watatoka madarakani.

  • @robertandrew6062
    @robertandrew6062 Месяц назад

    Waliotamka mambo mengi ya hovyo ni wengi na wakawaudhi wa Tanzania kwa kiasi kikubwa sana mbona hawakufukuzwa wala hawakuchukuliwa hatua za kinidhamu

  • @MichaelMagige
    @MichaelMagige Месяц назад

    Bado Mwigulu!

  • @isaacalex6327
    @isaacalex6327 Месяц назад

    Nape yupo sawa anajuwa anacho sema

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Месяц назад +1

    Mama hongera kwa kuondoa mikeka yote ulianikia maono yako kwa ajili ya watanzania hayo mikeka yanvuja Bora tamdika maturbai yatakusaida

  • @NOVATISIYAME-iz9qw
    @NOVATISIYAME-iz9qw Месяц назад

    Bado wazili wa fedhaa amna lolote pale anachofanya