Vijana wengi wanawaza mpira nakubet na ukijaribu kuongelea mambo ya msingi wanakushangaa, unakuta kijana hamjui hata mkuu wake wa mkoa ila ukimuuliza akutajie kikosi Cha yanga, Simba atakufafanulia vzr mpaka unajiuliza au nae nikiongozi wa klabu nini😮😮
Huyu mwamba ni mnafiki sana.Wakati wa Magu lkulu iliiba trillioni 1 na nusu kwa ripoti ya CAG Proffessor Assad.Huyu mwamba alikaa kimyaa wala hakutoa ripoti kama hii kwa umma.
Magu aliiba trillioni 1 na nusu kwa mujibu wa ripoti ya CAG ASSAD huyu Mpina alibaki kimyaaa hakusema chochote wala kutaarifu umma kama anavyosema leo.Kuna nini nyuma ya pazia?
Acha ukabila wewe ,yeye anamshambulia makamba wakati wizara inaongozwa na msukuma mwenzake kwanini asimwambie biteko aidai hizo pesa na kusimamia hiyo miradi? Huonni huo ni uhuni ni wa siasa
hongera mwamba, shida elimu za wabunge wenzio zinawahukumu hapo bungeni hawatakuelewa. tunapaswa sisi wananchi tukulinde sana mwamba jasiri fearless as kenyans
Ewe mwenyeeziMungu wape ulinzi wote wanaofichua maovu katika nchi yetu, na utubainishie wote wanaohujumu nchi yetu na kutusababishia maisha magumu sisi wananchi na familia zetu ilihali wao wanaishi maisha mazuri na familia zao, kwani ewe mwenyeeziMungu hushindwi na jambo lolote...💓😭😭😭.. in-shaallah...kwa uwezo wako haki itatawala katika nchi yetu..❤️❤️🙏
Sasa mhe mpina unaeleweka lazima Serikali itoe majibu juu ya tuhuma hizi haiwezekani mtu/ Kiongozi wa Serikali afanye wizi na Ufisadi huu harafu Serikali ikakaa kimya. Fedha zote zinazo tajwa na mhe Mpina ikumbukwe kuwa ni fedha za walipa Kodi wa Tanzania kwa hiyo wahusika lazima wachukuliwe hatua na kurejesha fedha hizo haraka iwezekanavyo. Tulikuwa tunashangaa kwanini mradi wa bwawa la Nyelele hauishi!, Pia mbona mradi wa reli ya SGR unasuasua kumbe fedha zinapigwa!. Tunaomba taarifa ya mhe.Mpina ifanyiwe kazi.
MZALENDO NI HUYU?WAKATI WA MAGU CAG ALITOA RIPOTI KUWA IKULU YA MAGU ILIIBA TRILIONI TRILIONI MOJA NA NUSU HUYU MPINA ALIKUWA BUNGENI NA WAZIRI ALIKINI ALIBAKI KIMYA HAKULASNI WALA KUARIFU WATU KAMA ANAVYOFSNYA SASA.NINI KIKO NYUMA YA PAZIA?
Mambo kama haya yanapotokea watanzania tunatakiwa tuandamane kupinga huu ufisadi, watanzinia tunaumizwa sana lakini sisi ni kama kuku wa kisasa ama kondoo ama mkundu unaosubili kutoa mavi inaniuma sana tunaibiwa halafu tunasubili Mungu asaidie wakati tuna mikono na miguu na mdomo tukavitumia kuondoa mafisadi halafu mweshimiwa luhanga mpina anatuonyesha njia tunjifanya vipofu masikini sisi wa saoga mavi yakuku.
Kitaka kumjua mjinga mfuatilie maongezi yake Silaha ya mjinga na mpumbavu ni kujihami na matusi. Hivi huyu mjinga anaweza kumshawishi nani aanda mane.?
ULIPATA HASIRA KAMA HII WAKATI MAGU ALIPOIBA TRILLIONI MOJA NA NUSI IKULU?HAYA YALISEMWA NA CAG PROFESSOR ASSAD.JEE WATU WALIVYOKUWA WAKITEKWA NA KUUWAWA KILA SIKU .WSKIPIGWA RISASI NA KUCHUKULIWA MALI ZAO KEA NGUVU.
Mungu akubariki sana Mpina. Wanatetea wameisha pewa chao hata kama Tanganyika ina zidi kuwa masikini yeye January Makamba na familia zao watakuwa hawana shida. Shida ni watanganyika ndiyo wanateseka.
Wakati wa Magu akiwa Rais lkulu ilipigwa trillioni moja na nusu kwa mujibu wa ripoti ya CAG Professor Asad.Huyu mtetezi alibaki kimya,na wala hakutoa ripoti kama hii kwa vyombo vya habari.
Unafaa kuwa Rais na ccm wajifunze kuwa wakweli viongozi wa ccm wale bendera gusta upepo tunawaambia nini ni goigoi kizazi hiki sio Cha kudanganya Kwa hiyo minaiba ela ili mkahonge uchaguzi mkijuwa ninyi wananchi tunawachukia , mpira na mungu ww ccm anayejitambua
Waambie Mpina.. Hayo majitu ni majizi sana.. Hata huyo mwenye kiti kikubwa pale kwenye jumba la sanaa anaonekana alikua na kibali cha sukari.. ndo maana alikutoa mbio...
HUyu si Mzalendo,kwa maana Mzalendo huwa hana makengeza jana haona leo anaona.Tujadili.Wakati wa Magu akiwa Rais CAG Professor Assad aliona hela imeibwa ikulu na Magu trillioni 1 na nusu huyu Mpina alikuwa. Ni waziri na Mbunge hakusema lolote wala kuchukizwa, wala hakutoa ripoti kama hii kwa jamiii alibaki kimyaaaaaaa.
hivi kwanza mtu unaanzaje hata kuchukua Tshs 5000 kwenda kula chips na ni hela umetoa ndani ya mfuko wa wizara? ile kuchukua tuu mkono wangu ungetetema haraka sana. ningekimbia chooni kutuliza pumzi
Yako Mambo yanashangaza Sana katika Taifa hili, Sijajua shida ni Mifumo ya Maamuzi iliyopo au shida ni Viongozi wetu, Unaendaje kumtoa Bungeni Mbunge kama huyu? Very Smart Uzalendo usio tiliwa shaka hata kidogo katika hili la kupambana na wizi na Ufisadi ss kama Taifa Tunayosafari ndefu, ukiachilia Mbali Mchango Wa Mheshimiwa Mpina huyu angetakiwa awe Moja ya Wasaidizi WA Rais kwenye serikali yake
Tatizo ni wananchi tumewaachia hawa viongozi wezi waendelee kutuibia Inabidi tuwaangilie maofisini na tuwatimue waachie ngazi na tuwapeleke mbele ya sheria Jamani watanzania tuamke tuache kulalamika tu pembeni Tunahaki ya kutetea nchi yetu kwa hali na mali It is time to wake up Tunga ne kWa pamoja kuwaondoa hawa mawaziri majambazi wote
Hongera sana Mheshimiwa Mpina kuweka wazi namna fedha nyingi za uma zinavyoliwa na watu wachache. Kuweka wazi haya lazima utapigwa vita sana, nakuomba usichoke na wa Tanzania tuko pamoja na wewe
maskini ya Mungu, waliopewa kura na maskini waende wakatusimamie wanatuangusha..tunaangalia kwa mioyo iliojaa simanzi..kesho wametuahidi wanarudi tena kutuomba watusimamie
Kweli inaumiza Sana watu Wana mitadi kibao shauri za hela za walalahoi wenhine hata kununua mlo wa siku Ni ngumu kwanini watanzania wenzetu hao viongozi hamna huruma kwetu na ndio inasababisha watoto wanatekwa watu wanauawa mpona big up
Huyu Mwamba sasa ninamwelewa sana ila watanzania wako bize na mpira wala so 😊mambo ya msingi kama haya
Umeona Eee wamerogerezwa huko
Na hapa watanzania ndipo walipotulogea.
Tunaacha kufatilia mambo ya manufaa tunafatilia mambo yasiyoyamusingi
Vijana wengi wanawaza mpira nakubet na ukijaribu kuongelea mambo ya msingi wanakushangaa, unakuta kijana hamjui hata mkuu wake wa mkoa ila ukimuuliza akutajie kikosi Cha yanga, Simba atakufafanulia vzr mpaka unajiuliza au nae nikiongozi wa klabu nini😮😮
Huyu mwamba ni mnafiki sana.Wakati wa Magu lkulu iliiba trillioni 1 na nusu kwa ripoti ya CAG Proffessor Assad.Huyu mwamba alikaa kimyaa wala hakutoa ripoti kama hii kwa umma.
@@user-oh6pc7zd4s mnafiki tu anayoongea sio mabaya ila ni kwasababu hana chakula kama wenzie
Asante Mungu naiona Roho ya Magufuli ndani ya mtu huyu.
Mungu akulinde mpina na mkono wa kuzimu Mungu akubariki wewe na uzao wa tumbo lako
Sio tumbo ni kiuno mwanaume habebi mimba bhana Ila hongera Kwa kuwa timu mpina
Mungu akulinde na mabaya nikikuona unapigana namkumbuka Mangufuli Roho ya marehemu ilale mahali pema peponi
Mpina ni mtu sana.. ukimsikiliza hana chuki binafsi bali uzalendo unamsukuma kifanya hivi. Mungu akulinde mhe. Mpina.
Rais wa nchi ni kama huyu wanao mkubali like apa
Kwel
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊@@awadhally1052
Mpina akiwa raisi itakuwa bora
Magu aliiba trillioni 1 na nusu kwa mujibu wa ripoti ya CAG ASSAD huyu Mpina alibaki kimyaaa hakusema chochote wala kutaarifu umma kama anavyosema leo.Kuna nini nyuma ya pazia?
Tulia aongee Mpina. Siku zote tunafichwa haya nao wanatanua tu na kodi zetu.
Wasukuma hatunaga kaz mbovu kama wewe ni msukuma nampenda maendeleo gonga like hapa kupinga ufisadi
Na yule kashuke ni kabila gani😂
Acha ukabila wewe ,yeye anamshambulia makamba wakati wizara inaongozwa na msukuma mwenzake kwanini asimwambie biteko aidai hizo pesa na kusimamia hiyo miradi? Huonni huo ni uhuni ni wa siasa
Mm sio Msukuma ila Wasukuma oyeeeee
Uongoz wa misifa na kupenda kiki ndo style zenu
Mm siwajui wasu KUMA
Sema sema mpina mungu atakusaidia ❤
Mpina, mungu akupe maisha marefu, mzalendo pekee uliye baki katika bunge lile
Hakuna cha mzalendo wote hao hatukuwachaguwa kwa kura zetu
@@isaliisu3408kuma kuma tu haiwezi badilika kua nyama 🤣🤣
@@isaliisu3408haukuwai kuwa na akili jinga wewe na familiar yako mpuuzi mkubwa
@@isaliisu3408hata kama hatukumchagua lakin vitu anavyo ongea n vya maana sana tena sana
Wewe nikiongozi pekee jasili, makamba NI jambazi.. NI mpigaji Sana arudishe pesa za WA tz
Kipara kama kipara!
@@OS-pf6opkipara kama tako 🤣🤣
Asante sana mpina mimi nimekuelewa
Makamba ana lamba ASALI Mwigulu Nchemba Mwizi kihalisia.
hongera mwamba, shida elimu za wabunge wenzio zinawahukumu hapo bungeni hawatakuelewa. tunapaswa sisi wananchi tukulinde sana mwamba jasiri fearless as kenyans
Anatakiwa kuwa Raisi wetu Tanzania naiona roho ya maghufuli ndani yake.
KABISAAAAAAAAA
Naaaaaaaam
Kweli
TRUE
B
Ndio huyu anatufaa
Ewe mwenyeeziMungu wape ulinzi wote wanaofichua maovu katika nchi yetu, na utubainishie wote wanaohujumu nchi yetu na kutusababishia maisha magumu sisi wananchi na familia zetu ilihali wao wanaishi maisha mazuri na familia zao, kwani ewe mwenyeeziMungu hushindwi na jambo lolote...💓😭😭😭.. in-shaallah...kwa uwezo wako haki itatawala katika nchi yetu..❤️❤️🙏
Mama anafuga WEZI amkeni WaTanzania.
Huyu mtoto wa makamba kweli ni fisadi sanaa yeye ndiye amefanya umeme upande bei kwa maslai yake hana uruma naw
Hafai kuwa rais huyu
Ukimsikiliza Mheshimiwa Mpina vizur ni lazima mwisho utoe machozi dah kumbe pesa ni nyingi kiasi hicho
Umeeleweka Mr.Mpina,kweli una uchungu sana na unasema kweli.Ufisadi umezidi Tz
Mpina asikilizwe tafadhali 🤙
Wenye roho mbaya mwacheni mwana wa Mungu aseme.msimuue Mungu akusaidie.Amina.
Huyu mzalendo wa kweli...huyu pia akiwa kiongozi mkubwa hawezi kununuliwa
alikuwa waziri hamna kitu kabisa
@@ananiambalai4783tumjaribu ukiwa Waziri bado upo chini ya mwenye nguvu
Hakuwai kununuliwa tofauti na majungu kwa waliokuwa wanavunja Sheria kwa maslahi yao.
Huyu ni kiongozi mzalendo 🎉🎉🎉🎉 HAKUNA MTU WA KUNIAMINISHA VINGINE...
Siasa ndugu
Jembe letu hilo tuliunge mkono
Naaaaaaaam
Wakumuunga mkono waTanzania wenyewe hawana mikono..
Usiseme jembe, jembe lina tundu kwa nyuma na haliwezi kufanya kazi hadi litiwe mpini.
Sasa mhe mpina unaeleweka lazima Serikali itoe majibu juu ya tuhuma hizi haiwezekani mtu/ Kiongozi wa Serikali afanye wizi na Ufisadi huu harafu Serikali ikakaa kimya. Fedha zote zinazo tajwa na mhe Mpina ikumbukwe kuwa ni fedha za walipa Kodi wa Tanzania kwa hiyo wahusika lazima wachukuliwe hatua na kurejesha fedha hizo haraka iwezekanavyo. Tulikuwa tunashangaa kwanini mradi wa bwawa la Nyelele hauishi!, Pia mbona mradi wa reli ya SGR unasuasua kumbe fedha zinapigwa!. Tunaomba taarifa ya mhe.Mpina ifanyiwe kazi.
Yafanyiwe kazi ukweli ujulikane, ukimya utaendelea kuleta Mashaka.
Hajibiwi chochote ni kama redio inaongea na hakuna msikilizaji
Mzalendo pekee bungeni, mungu akuzidishie baraka zaidi mpina
MZALENDO NI HUYU?WAKATI WA MAGU CAG ALITOA RIPOTI KUWA IKULU YA MAGU ILIIBA TRILIONI TRILIONI MOJA NA NUSU HUYU MPINA ALIKUWA BUNGENI NA WAZIRI ALIKINI ALIBAKI KIMYA HAKULASNI WALA KUARIFU WATU KAMA ANAVYOFSNYA SASA.NINI KIKO NYUMA YA PAZIA?
@@user-oh6pc7zd4s Acha uongo....CAG mwenyewe aliulizwa ziliibiwaje hakuweza kufafanua!!! Mwacheni mwamba apumzike kwa amani😔😔
Nimeumia Sana uyu jamaa kumsimamishe bungeni kwa kosa LA kutetea maslahi ya inchi yetu
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Muda utaongea
Ndiyò uje hakuna bunģe mpaka spikàa
SPEAKER wa MCHONGO Hawezi.
@@user-su6xu7ks7m IPO siku hata magufuli alitokea bila kutarajia natuliona juhudizake na wote tukakubali kazi zake
Hao ndo ccm
Mambo kama haya yanapotokea watanzania tunatakiwa tuandamane kupinga huu ufisadi, watanzinia tunaumizwa sana lakini sisi ni kama kuku wa kisasa ama kondoo ama mkundu unaosubili kutoa mavi inaniuma sana tunaibiwa halafu tunasubili Mungu asaidie wakati tuna mikono na miguu na mdomo tukavitumia kuondoa mafisadi halafu mweshimiwa luhanga mpina anatuonyesha njia tunjifanya vipofu masikini sisi wa saoga mavi yakuku.
Ni kweli bro,hebu itisha maandamano na utangulie mbele tukufuate
Kitaka kumjua mjinga mfuatilie maongezi yake Silaha ya mjinga na mpumbavu ni kujihami na matusi. Hivi huyu mjinga anaweza kumshawishi nani aanda mane.?
ULIPATA HASIRA KAMA HII WAKATI MAGU ALIPOIBA TRILLIONI MOJA NA NUSI IKULU?HAYA YALISEMWA NA CAG PROFESSOR ASSAD.JEE WATU WALIVYOKUWA WAKITEKWA NA KUUWAWA KILA SIKU .WSKIPIGWA RISASI NA KUCHUKULIWA MALI ZAO KEA NGUVU.
@@user-oh6pc7zd4s Acha ujinga
@@walidmgonja3644Mawazo yako mfuu
Kama umeangalia na kusikiliza mwanzo hadi mwisho kama mimi nakuumia na 🇹🇿 yetu gonga like.
Wanaoibiwa ni Watanganyika, MUNGU aingilie kati Tanganyika iliyopokwa irudi.
Mungu akulinde uingiapo na utokapo.
Mpina ni kiongozi shupavu hatetei chama anatetea madilah ya nchi yake love you mpina Big up p💪💪💪
Mungu akubariki sana Mpina. Wanatetea wameisha pewa chao hata kama Tanganyika ina zidi kuwa masikini yeye January Makamba na familia zao watakuwa hawana shida. Shida ni watanganyika ndiyo wanateseka.
Wakati wa Magu akiwa Rais lkulu ilipigwa trillioni moja na nusu kwa mujibu wa ripoti ya CAG Professor Asad.Huyu mtetezi alibaki kimya,na wala hakutoa ripoti kama hii kwa vyombo vya habari.
Huyu anafaa kurudi mjengoni 2025. hongereni sana wananchi wa jimboni kwake.
Kura yangu nampa
Naomba Jimbo lako likupe tena nafasi
Thanks to God to see you Jembe Mpina. If you were not in the house wouldn't know these. But this GOVERNMENT is there for Arabs.
Mpina Mpina Mpina Watanzania tunakusikia na tunakuona
Unafaa kuwa Rais na ccm wajifunze kuwa wakweli viongozi wa ccm wale bendera gusta upepo tunawaambia nini ni goigoi kizazi hiki sio Cha kudanganya Kwa hiyo minaiba ela ili mkahonge uchaguzi mkijuwa ninyi wananchi tunawachukia , mpira na mungu ww ccm anayejitambua
Si kwa cmm hii, watamuona adui
The only man standing😊
Duh kwa maneno haya ingekua ni Kenya zamaaan hao wanaotajwa hapo wameshaachia viti muda mrefu
Yes na kufilisiwa juu
JANUARY MAKAMBA HANA UCHUNGU NA TANZANIA NA WANANCHI MWIZI KAMA WEZI WENGINE
Tenabola panyaload anamuathiri mmtu mmja kuliko huyojamaa na ahlizake wanateketeza taifa lasasa nalijalo
Dah...hii ni . Zaidi ya Uchungu
Kiukweli ccm ni wez sana yaan hawanaga haya wanakula sana
Tumekuelewa mpina
Huyu anastahili kua aidha waziri mkuu Kwa makonda au Mpina awe Rais makonda waziri mkuu
A moja nakuomba
Huyu msukuma ni kichwa kweli....
Ila raiisi mwenye elimu ya unga unga , QT sort, hawezi akampenda kipanga huyu!!
Mpina you are hero, bro!!
Hakika umesema point bro
Yaani nchi hii Raisi ni kilaza kuliko anaowatawala
HIVI UNAIJUA CV YA MAMA SAMIA AU WAROPOKA UPUMBAVU TU?! TULETEE CV YA MAMA YAKO TUIONE!!
Mtu akisoma qt anakua kilaza una huakika brother
@@rayisadesigns2646 Wewe mavi ya kuku wewe
Mjinga mkubwa fala hujasoma shule wewe kibwengo wewe
@@rayisadesigns2646wewe unaeijua umefanya nn wewe jizi kubwa unaemtetea raisi na huu ujinga wenu, Mungu anawasubiri
Mpina hongera
Waambie Mpina.. Hayo majitu ni majizi sana.. Hata huyo mwenye kiti kikubwa pale kwenye jumba la sanaa anaonekana alikua na kibali cha sukari.. ndo maana alikutoa mbio...
Wajinga sana
Sioni maiki ya tbc, clouds, itv , startv , ayo tv 😢😢😢😢😢😢😢😢kwel mtu anatoa madini hivi halafu 😢😢😢😢😢😢
Hakunaga habar za maana huko
Chawa hao hawawezi weka mic hapo
Kiongozi kama hawa wapo wachache na wanapigwa vita sana
RIP Magufuli. Angekuwepo, pangechimbika kwa hawa wezi.
Wangezipitishia wapi kwanza😂, sema basi tu GEN TZ ISIMAME TU
Wasingekuwepo hawa wezi
Chuma sasa kimerudi kivingine🎉🎉🎉 asante sana #Mpina
Mungu akutunze xn mpina
Jeshi lipo!naliamini chukueni nchi tuachane na ubabaishaji wa wanasiasa wa tz hii.ovyo sana..
Sana
kabisa
Siku jeshi likijitambua tutatoka hapa tulipo
Mm kama general wa jeshi hatuko tayari kuchafua nchi kwa stain iyo
Uyu jamaa ni zaidi ya mzalendo
HUyu si Mzalendo,kwa maana Mzalendo huwa hana makengeza jana haona leo anaona.Tujadili.Wakati wa Magu akiwa Rais CAG Professor Assad aliona hela imeibwa ikulu na Magu trillioni 1 na nusu huyu Mpina alikuwa. Ni waziri na Mbunge hakusema lolote wala kuchukizwa, wala hakutoa ripoti kama hii kwa jamiii alibaki kimyaaaaaaa.
Wewe ulikuwa wapi😂😂😂@@user-oh6pc7zd4s
Nakushuru kwani nimepata elimu kubwa sana toka kwako, ubarikiwe na Mungu .
Elimu gani ulopata ndugu na mm pengine naweza kujifunza kwako na kwake
Sipika wa Bunge Upooooo msikie magufuri Mpya Uyooo Yani mwaka huu kazi mnayo uyu Anafaa kuwa Rais Wa Nchi Hii Mtamia Ccm Mapema SANA
Mungu akubarikiwe,ingawa mhe Mpina hizo pesa hazitumii peke yake.
Mwabukusi akiwa Rais na mpina akiwa makamu na Bitoke akawa waziri mkuu na makonda akawa waziri wa mipango nchi lazima inyooke
Nadhani alimanisha Makamu Waziri Mkuu Dotto Biteko
😂😂😂
Makamba, Nchimbi, Nape, bashe, lizone, ngereja, msonga, mwigulu hawa ni mashetan wa Taifa
Ndauli
Umenena👌✔️
Wauliwe ubwa Hawa huyo makamba barabara ya kwao Ni aibu
@@user-nt3mb3pr6m barabara ipi? mtaani anapokaa?
Mpina na kuna mmoja namsikilizaga ndugu mwabukusi kweli wako vizuri na mh mmoja mimi nimemsahau
Mwenyez mungu Fanya rehema zako tupate mzalendo huyu awe kiongozi wajuu alinyanyue taifa hili
Badilishen katiba Mambo yanyoke zalau ziishe😮
I'm appreciate this guy.na mungu ambariki sana kwakuwa jasiri
Mungu akulinde na aendelee kukupa ujasiri huo
Ilitakiwa iwe wawe 3 huyu Mwigulu wanamuogopa sana nilishaamia Burundi 🇧🇮 kama alivyoagiza mwigulu bakini ufisadi wenu bora Kenya 🇰🇪 wamefanya maamuzi
Watanzania tumeshakuwa na roho ya ajabu,tena m b aya .Tusi muue😢😢Mwacheni atusaidie Mwenye nia mbaya,alaaniwe😢.
Ubarikiwe Mpina❤
Mpina ndo mbunge peke yake mzalendo msema kweli Mungu akulinde
Unfortunately he is alone 😢
Hongera MH kwa kueleza mambo tuliyokuwa ha2yajui
SHIKAMOO mpina Vijana hawa ndio Moyo wa Tz Mungu mpe ulinzi mlinzi huyu wa Tangany😅❤❤ikaaaaaa
Hawa walopiga hizo hela spika badilisheni sheria wanyongwe mpaka kufa bila hivyo tutakuja kumbuka maneno ya ndugai nchi itapigwa mnada hii
hivi kwanza mtu unaanzaje hata kuchukua Tshs 5000 kwenda kula chips na ni hela umetoa ndani ya mfuko wa wizara? ile kuchukua tuu mkono wangu ungetetema haraka sana. ningekimbia chooni kutuliza pumzi
Mama Rais wetu haya yote yafanyiwe kazi Tunakuamini sana KOMAA MAMA WASIKUCHZEEEeee
Tunakuelewa sana babaa❤
Yako Mambo yanashangaza Sana katika Taifa hili, Sijajua shida ni Mifumo ya Maamuzi iliyopo au shida ni Viongozi wetu, Unaendaje kumtoa Bungeni Mbunge kama huyu? Very Smart Uzalendo usio tiliwa shaka hata kidogo katika hili la kupambana na wizi na Ufisadi ss kama Taifa Tunayosafari ndefu, ukiachilia Mbali Mchango Wa Mheshimiwa Mpina huyu angetakiwa awe Moja ya Wasaidizi WA Rais kwenye serikali yake
Huyu mwamba sijui kama mimi uelewaji wangu mdogo au VP mbona naona anaongea vitu muhimu sana katika nch
Yaani mpaka anatutia uchungu
Sasa mtu huyu inakuwaje kusimamishwa bungeni vipindi hivyo vyote ni kweli nimekubali msema kweli hakubaliki msema uongo ndiyo wanao onekana ni wazuri
ni kweli..lakini alivoanza kujieleza kutoa ushahidi kwa wanhabari watanzania wengi walimtukana..walimuongea vibaya sana
Tatizo ni wananchi tumewaachia hawa viongozi wezi waendelee kutuibia
Inabidi tuwaangilie maofisini na tuwatimue waachie ngazi na tuwapeleke mbele ya sheria
Jamani watanzania tuamke tuache kulalamika tu pembeni
Tunahaki ya kutetea nchi yetu kwa hali na mali
It is time to wake up
Tunga ne kWa pamoja kuwaondoa hawa mawaziri majambazi wote
Raia wa tz wengi hawana elimu ya uraia hivyo wako tayari kupoteza haki Yao Kwa hongo.
Political giant and wisdom..MPINA JESHI LA MTU MMOJA
Mpina is on FIRE !!! Waziri wa Fedha anajiita Doctor of Economy !!
@@mahadhikawia3610 , kasura ka Mwigulu kamekaa kama MarvinGay
😂😂
Hongera sana Mheshimiwa Mpina kuweka wazi namna fedha nyingi za uma zinavyoliwa na watu wachache. Kuweka wazi haya lazima utapigwa vita sana, nakuomba usichoke na wa Tanzania tuko pamoja na wewe
Kweli bongo tunachezewa na tunachezeka kweli hili Bwawa limeotea mbawa sehemu gani tena?
Hii nchi tuwape wasukuma tu , wanaweza
Wabunge wengine wanajambia vitu vya bunge tuu hamna kitu "
Asee safar hii jembe kama hili likitinga ikulu tutalilinda kwa gharama yeyote mungu akubarik mkuu wetu
Mh rais uko wapi, upuuzi wote huo unafanyika😭😭😭😭😭😭😭😭
WENYEWE WAMEKAZANA KUTUTUMIA TRA WATUFILISI.😢HUKU JUU HELA ZINALIWA😢
Nakuombea siku moja upate uraisi
Ndani ya CCM hii hii na mfumo huhu!!!? Kamwe hawawezi kumpa nafasi hiyo.
Watu kama hawa, hawapati urais. Mafisadi wameiteka serikali.
Sema brother
Iko siku huyu mama atakuja kumuelewa mpina.
İnauma sana Mpina na kuelewa Sana Jembe
Mwenyenzi Mungu azidi kukupa nguvu na uweza!🫶💪🤝
Usifadhaike mzalendo wa kweli kwa wale wakuchukiao kwani hao ndo wale wachukiwao na Mungu
Thanks for defending us...
Point
God bless you.
Roho ya Magufuli bado inaishi ijapokua wanajitahidi kukandamiza
Mama Rais wetu Mama Samia tunaomba umsikilize MPINA
Magufuli alimfukuza Januari Samia amkamrudisha maana hana uchungu na Tanganyika
Asante sana baba umetutoa gizan mfupa ulio mshinda gisi mbwa atauwezaje makamba Alisha shindikana
maskini ya Mungu, waliopewa kura na maskini waende wakatusimamie wanatuangusha..tunaangalia kwa mioyo iliojaa simanzi..kesho wametuahidi wanarudi tena kutuomba watusimamie
Safi sana yaani tunskuombea uje kuwa Rais mwema dua na maombi tunakuombea
Kweli inaumiza Sana watu Wana mitadi kibao shauri za hela za walalahoi wenhine hata kununua mlo wa siku Ni ngumu kwanini watanzania wenzetu hao viongozi hamna huruma kwetu na ndio inasababisha watoto wanatekwa watu wanauawa mpona big up
Mpina asikilizwe Kwa umakini Sana poiti zakutosha mwagalazi Tema cheche kunawabunge wanalala2 hawana hoja za mana