MPINA, "MAKAMBA AKAMATWE, AMEFANYA UBADHIRIFU MKUBWA, NI MPIGAJI/ AMEIHUJUMU SERIKALI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 846

  • @jonasmbala1326
    @jonasmbala1326 Месяц назад +120

    Huyu Mwamba sasa ninamwelewa sana ila watanzania wako bize na mpira wala so 😊mambo ya msingi kama haya

    • @beatricehenry6776
      @beatricehenry6776 Месяц назад +3

      Umeona Eee wamerogerezwa huko

    • @abidandastanmaliyatabu1373
      @abidandastanmaliyatabu1373 Месяц назад +5

      Na hapa watanzania ndipo walipotulogea.
      Tunaacha kufatilia mambo ya manufaa tunafatilia mambo yasiyoyamusingi

    • @jeremiahblazio4781
      @jeremiahblazio4781 Месяц назад +2

      Vijana wengi wanawaza mpira nakubet na ukijaribu kuongelea mambo ya msingi wanakushangaa, unakuta kijana hamjui hata mkuu wake wa mkoa ila ukimuuliza akutajie kikosi Cha yanga, Simba atakufafanulia vzr mpaka unajiuliza au nae nikiongozi wa klabu nini😮😮

    • @user-oh6pc7zd4s
      @user-oh6pc7zd4s Месяц назад

      Huyu mwamba ni mnafiki sana.Wakati wa Magu lkulu iliiba trillioni 1 na nusu kwa ripoti ya CAG Proffessor Assad.Huyu mwamba alikaa kimyaa wala hakutoa ripoti kama hii kwa umma.

    • @ananiambalai4783
      @ananiambalai4783 Месяц назад

      @@user-oh6pc7zd4s mnafiki tu anayoongea sio mabaya ila ni kwasababu hana chakula kama wenzie

  • @uzimameditv8148
    @uzimameditv8148 Месяц назад +26

    Asante Mungu naiona Roho ya Magufuli ndani ya mtu huyu.

  • @elifacestafordntilongwa603
    @elifacestafordntilongwa603 Месяц назад +81

    Mungu akulinde mpina na mkono wa kuzimu Mungu akubariki wewe na uzao wa tumbo lako

    • @isayashayo4777
      @isayashayo4777 Месяц назад

      Sio tumbo ni kiuno mwanaume habebi mimba bhana Ila hongera Kwa kuwa timu mpina

  • @user-cw7xy8jh2e
    @user-cw7xy8jh2e Месяц назад +31

    Mungu akulinde na mabaya nikikuona unapigana namkumbuka Mangufuli Roho ya marehemu ilale mahali pema peponi

  • @africaone4306
    @africaone4306 Месяц назад +35

    Mpina ni mtu sana.. ukimsikiliza hana chuki binafsi bali uzalendo unamsukuma kifanya hivi. Mungu akulinde mhe. Mpina.

  • @phare_tz
    @phare_tz Месяц назад +338

    Rais wa nchi ni kama huyu wanao mkubali like apa

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 Месяц назад +13

      Kwel

    • @GERALDAMCHONDE-yt5is
      @GERALDAMCHONDE-yt5is Месяц назад

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊​@@awadhally1052

    • @EmmanuelLupoja
      @EmmanuelLupoja Месяц назад +5

      Mpina akiwa raisi itakuwa bora

    • @user-oh6pc7zd4s
      @user-oh6pc7zd4s Месяц назад

      Magu aliiba trillioni 1 na nusu kwa mujibu wa ripoti ya CAG ASSAD huyu Mpina alibaki kimyaaa hakusema chochote wala kutaarifu umma kama anavyosema leo.Kuna nini nyuma ya pazia?

    • @lindajohansen9220
      @lindajohansen9220 Месяц назад +1

      Tulia aongee Mpina. Siku zote tunafichwa haya nao wanatanua tu na kodi zetu.

  • @RevocatusSebastian-c8o
    @RevocatusSebastian-c8o Месяц назад +262

    Wasukuma hatunaga kaz mbovu kama wewe ni msukuma nampenda maendeleo gonga like hapa kupinga ufisadi

    • @iddmsingapore5319
      @iddmsingapore5319 Месяц назад +2

      Na yule kashuke ni kabila gani😂

    • @omarymkamba3045
      @omarymkamba3045 Месяц назад +6

      Acha ukabila wewe ,yeye anamshambulia makamba wakati wizara inaongozwa na msukuma mwenzake kwanini asimwambie biteko aidai hizo pesa na kusimamia hiyo miradi? Huonni huo ni uhuni ni wa siasa

    • @beatricehenry6776
      @beatricehenry6776 Месяц назад +7

      Mm sio Msukuma ila Wasukuma oyeeeee

    • @shabannayopa5406
      @shabannayopa5406 Месяц назад

      Uongoz wa misifa na kupenda kiki ndo style zenu

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 Месяц назад +2

      Mm siwajui wasu KUMA

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq Месяц назад +37

    Sema sema mpina mungu atakusaidia ❤

  • @Uhuru1234
    @Uhuru1234 Месяц назад +74

    Mpina, mungu akupe maisha marefu, mzalendo pekee uliye baki katika bunge lile

    • @isaliisu3408
      @isaliisu3408 Месяц назад +1

      Hakuna cha mzalendo wote hao hatukuwachaguwa kwa kura zetu

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Месяц назад

      ​@@isaliisu3408kuma kuma tu haiwezi badilika kua nyama 🤣🤣

    • @GaspercomedyTv
      @GaspercomedyTv Месяц назад

      ​@@isaliisu3408haukuwai kuwa na akili jinga wewe na familiar yako mpuuzi mkubwa

    • @rizikiminga3010
      @rizikiminga3010 Месяц назад

      ​@@isaliisu3408hata kama hatukumchagua lakin vitu anavyo ongea n vya maana sana tena sana

  • @mercyzakariah
    @mercyzakariah Месяц назад +59

    Wewe nikiongozi pekee jasili, makamba NI jambazi.. NI mpigaji Sana arudishe pesa za WA tz

    • @OS-pf6op
      @OS-pf6op Месяц назад

      Kipara kama kipara!

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Месяц назад +1

      ​@@OS-pf6opkipara kama tako 🤣🤣

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi7001 Месяц назад +60

    Asante sana mpina mimi nimekuelewa

  • @user-su6xu7ks7m
    @user-su6xu7ks7m Месяц назад +33

    Makamba ana lamba ASALI Mwigulu Nchemba Mwizi kihalisia.

  • @piusmaduka
    @piusmaduka Месяц назад +9

    hongera mwamba, shida elimu za wabunge wenzio zinawahukumu hapo bungeni hawatakuelewa. tunapaswa sisi wananchi tukulinde sana mwamba jasiri fearless as kenyans

  • @japhethbaalinda1756
    @japhethbaalinda1756 Месяц назад +119

    Anatakiwa kuwa Raisi wetu Tanzania naiona roho ya maghufuli ndani yake.

  • @jumakisailo8496
    @jumakisailo8496 Месяц назад +9

    Ewe mwenyeeziMungu wape ulinzi wote wanaofichua maovu katika nchi yetu, na utubainishie wote wanaohujumu nchi yetu na kutusababishia maisha magumu sisi wananchi na familia zetu ilihali wao wanaishi maisha mazuri na familia zao, kwani ewe mwenyeeziMungu hushindwi na jambo lolote...💓😭😭😭.. in-shaallah...kwa uwezo wako haki itatawala katika nchi yetu..❤️❤️🙏

  • @user-su6xu7ks7m
    @user-su6xu7ks7m Месяц назад +32

    Mama anafuga WEZI amkeni WaTanzania.

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt Месяц назад +38

    Huyu mtoto wa makamba kweli ni fisadi sanaa yeye ndiye amefanya umeme upande bei kwa maslai yake hana uruma naw

  • @alphoncejmrema7912
    @alphoncejmrema7912 Месяц назад +28

    Ukimsikiliza Mheshimiwa Mpina vizur ni lazima mwisho utoe machozi dah kumbe pesa ni nyingi kiasi hicho

  • @user-jc1do5gf3w
    @user-jc1do5gf3w Месяц назад +10

    Umeeleweka Mr.Mpina,kweli una uchungu sana na unasema kweli.Ufisadi umezidi Tz

  • @noeljuvenalmunishi75
    @noeljuvenalmunishi75 Месяц назад +62

    Mpina asikilizwe tafadhali 🤙

  • @kijadogan6711
    @kijadogan6711 Месяц назад +8

    Wenye roho mbaya mwacheni mwana wa Mungu aseme.msimuue Mungu akusaidie.Amina.

  • @PenuelDaniel
    @PenuelDaniel Месяц назад +63

    Huyu mzalendo wa kweli...huyu pia akiwa kiongozi mkubwa hawezi kununuliwa

    • @ananiambalai4783
      @ananiambalai4783 Месяц назад

      alikuwa waziri hamna kitu kabisa

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Месяц назад

      ​@@ananiambalai4783tumjaribu ukiwa Waziri bado upo chini ya mwenye nguvu

    • @emmanueliman7408
      @emmanueliman7408 Месяц назад +2

      Hakuwai kununuliwa tofauti na majungu kwa waliokuwa wanavunja Sheria kwa maslahi yao.

  • @ahmedhamis
    @ahmedhamis Месяц назад +9

    Huyu ni kiongozi mzalendo 🎉🎉🎉🎉 HAKUNA MTU WA KUNIAMINISHA VINGINE...

  • @user-ku1wf2pw2w
    @user-ku1wf2pw2w Месяц назад +43

    Jembe letu hilo tuliunge mkono

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 Месяц назад +26

    Sasa mhe mpina unaeleweka lazima Serikali itoe majibu juu ya tuhuma hizi haiwezekani mtu/ Kiongozi wa Serikali afanye wizi na Ufisadi huu harafu Serikali ikakaa kimya. Fedha zote zinazo tajwa na mhe Mpina ikumbukwe kuwa ni fedha za walipa Kodi wa Tanzania kwa hiyo wahusika lazima wachukuliwe hatua na kurejesha fedha hizo haraka iwezekanavyo. Tulikuwa tunashangaa kwanini mradi wa bwawa la Nyelele hauishi!, Pia mbona mradi wa reli ya SGR unasuasua kumbe fedha zinapigwa!. Tunaomba taarifa ya mhe.Mpina ifanyiwe kazi.

    • @drp3721
      @drp3721 Месяц назад +1

      Yafanyiwe kazi ukweli ujulikane, ukimya utaendelea kuleta Mashaka.

    • @chrismassawe2939
      @chrismassawe2939 Месяц назад

      Hajibiwi chochote ni kama redio inaongea na hakuna msikilizaji

  • @Uhuru1234
    @Uhuru1234 Месяц назад +42

    Mzalendo pekee bungeni, mungu akuzidishie baraka zaidi mpina

    • @user-oh6pc7zd4s
      @user-oh6pc7zd4s Месяц назад

      MZALENDO NI HUYU?WAKATI WA MAGU CAG ALITOA RIPOTI KUWA IKULU YA MAGU ILIIBA TRILIONI TRILIONI MOJA NA NUSU HUYU MPINA ALIKUWA BUNGENI NA WAZIRI ALIKINI ALIBAKI KIMYA HAKULASNI WALA KUARIFU WATU KAMA ANAVYOFSNYA SASA.NINI KIKO NYUMA YA PAZIA?

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Месяц назад

      @@user-oh6pc7zd4s Acha uongo....CAG mwenyewe aliulizwa ziliibiwaje hakuweza kufafanua!!! Mwacheni mwamba apumzike kwa amani😔😔

  • @IbrahimShomari-sw4ii
    @IbrahimShomari-sw4ii Месяц назад +28

    Nimeumia Sana uyu jamaa kumsimamishe bungeni kwa kosa LA kutetea maslahi ya inchi yetu

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Месяц назад

      Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Muda utaongea

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Месяц назад

      Ndiyò uje hakuna bunģe mpaka spikàa

    • @user-su6xu7ks7m
      @user-su6xu7ks7m Месяц назад

      SPEAKER wa MCHONGO Hawezi.

    • @IbrahimShomari-sw4ii
      @IbrahimShomari-sw4ii Месяц назад

      @@user-su6xu7ks7m IPO siku hata magufuli alitokea bila kutarajia natuliona juhudizake na wote tukakubali kazi zake

    • @girwawehhary6605
      @girwawehhary6605 Месяц назад +1

      Hao ndo ccm

  • @Kwarasi
    @Kwarasi Месяц назад +25

    Mambo kama haya yanapotokea watanzania tunatakiwa tuandamane kupinga huu ufisadi, watanzinia tunaumizwa sana lakini sisi ni kama kuku wa kisasa ama kondoo ama mkundu unaosubili kutoa mavi inaniuma sana tunaibiwa halafu tunasubili Mungu asaidie wakati tuna mikono na miguu na mdomo tukavitumia kuondoa mafisadi halafu mweshimiwa luhanga mpina anatuonyesha njia tunjifanya vipofu masikini sisi wa saoga mavi yakuku.

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Месяц назад

      Ni kweli bro,hebu itisha maandamano na utangulie mbele tukufuate

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz Месяц назад

      Kitaka kumjua mjinga mfuatilie maongezi yake Silaha ya mjinga na mpumbavu ni kujihami na matusi. Hivi huyu mjinga anaweza kumshawishi nani aanda mane.?

    • @user-oh6pc7zd4s
      @user-oh6pc7zd4s Месяц назад

      ULIPATA HASIRA KAMA HII WAKATI MAGU ALIPOIBA TRILLIONI MOJA NA NUSI IKULU?HAYA YALISEMWA NA CAG PROFESSOR ASSAD.JEE WATU WALIVYOKUWA WAKITEKWA NA KUUWAWA KILA SIKU .WSKIPIGWA RISASI NA KUCHUKULIWA MALI ZAO KEA NGUVU.

    • @GaspercomedyTv
      @GaspercomedyTv Месяц назад

      ​@@user-oh6pc7zd4s Acha ujinga

    • @rashidabasi7940
      @rashidabasi7940 Месяц назад

      ​@@walidmgonja3644Mawazo yako mfuu

  • @filbertfaustine7357
    @filbertfaustine7357 Месяц назад +45

    Kama umeangalia na kusikiliza mwanzo hadi mwisho kama mimi nakuumia na 🇹🇿 yetu gonga like.

    • @sylvestersamwel8210
      @sylvestersamwel8210 Месяц назад +2

      Wanaoibiwa ni Watanganyika, MUNGU aingilie kati Tanganyika iliyopokwa irudi.

  • @amermakeny5505
    @amermakeny5505 Месяц назад +15

    Mungu akulinde uingiapo na utokapo.

  • @ngimbakuyi3250
    @ngimbakuyi3250 Месяц назад +12

    Mpina ni kiongozi shupavu hatetei chama anatetea madilah ya nchi yake love you mpina Big up p💪💪💪

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад +6

    Mungu akubariki sana Mpina. Wanatetea wameisha pewa chao hata kama Tanganyika ina zidi kuwa masikini yeye January Makamba na familia zao watakuwa hawana shida. Shida ni watanganyika ndiyo wanateseka.

    • @user-oh6pc7zd4s
      @user-oh6pc7zd4s Месяц назад

      Wakati wa Magu akiwa Rais lkulu ilipigwa trillioni moja na nusu kwa mujibu wa ripoti ya CAG Professor Asad.Huyu mtetezi alibaki kimya,na wala hakutoa ripoti kama hii kwa vyombo vya habari.

  • @RabihuHussein
    @RabihuHussein Месяц назад +47

    Huyu anafaa kurudi mjengoni 2025. hongereni sana wananchi wa jimboni kwake.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад +4

    Thanks to God to see you Jembe Mpina. If you were not in the house wouldn't know these. But this GOVERNMENT is there for Arabs.

  • @petersamwelm7279
    @petersamwelm7279 Месяц назад +14

    Mpina Mpina Mpina Watanzania tunakusikia na tunakuona

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 Месяц назад +19

    Unafaa kuwa Rais na ccm wajifunze kuwa wakweli viongozi wa ccm wale bendera gusta upepo tunawaambia nini ni goigoi kizazi hiki sio Cha kudanganya Kwa hiyo minaiba ela ili mkahonge uchaguzi mkijuwa ninyi wananchi tunawachukia , mpira na mungu ww ccm anayejitambua

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 Месяц назад +1

      Si kwa cmm hii, watamuona adui

  • @mamaz2907
    @mamaz2907 Месяц назад +2

    The only man standing😊

  • @alphoncejmrema7912
    @alphoncejmrema7912 Месяц назад +16

    Duh kwa maneno haya ingekua ni Kenya zamaaan hao wanaotajwa hapo wameshaachia viti muda mrefu

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim5156 Месяц назад +15

    JANUARY MAKAMBA HANA UCHUNGU NA TANZANIA NA WANANCHI MWIZI KAMA WEZI WENGINE

    • @user-hj4bc5uh2x
      @user-hj4bc5uh2x Месяц назад

      Tenabola panyaload anamuathiri mmtu mmja kuliko huyojamaa na ahlizake wanateketeza taifa lasasa nalijalo

  • @rizikimtei1635
    @rizikimtei1635 Месяц назад +27

    Dah...hii ni . Zaidi ya Uchungu

    • @user-ng9bn3jj3x
      @user-ng9bn3jj3x Месяц назад

      Kiukweli ccm ni wez sana yaan hawanaga haya wanakula sana

  • @EnockChingula-gw1po
    @EnockChingula-gw1po Месяц назад +29

    Tumekuelewa mpina

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Месяц назад +5

    Huyu anastahili kua aidha waziri mkuu Kwa makonda au Mpina awe Rais makonda waziri mkuu

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo Месяц назад +44

    Huyu msukuma ni kichwa kweli....
    Ila raiisi mwenye elimu ya unga unga , QT sort, hawezi akampenda kipanga huyu!!
    Mpina you are hero, bro!!

    • @user-rn9og1rk3l
      @user-rn9og1rk3l Месяц назад +1

      Hakika umesema point bro
      Yaani nchi hii Raisi ni kilaza kuliko anaowatawala

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Месяц назад +2

      HIVI UNAIJUA CV YA MAMA SAMIA AU WAROPOKA UPUMBAVU TU?! TULETEE CV YA MAMA YAKO TUIONE!!

    • @AwardHakimu
      @AwardHakimu Месяц назад

      Mtu akisoma qt anakua kilaza una huakika brother

    • @user-rn9og1rk3l
      @user-rn9og1rk3l Месяц назад

      @@rayisadesigns2646 Wewe mavi ya kuku wewe
      Mjinga mkubwa fala hujasoma shule wewe kibwengo wewe

    • @zachariamakoba8368
      @zachariamakoba8368 Месяц назад

      ​@@rayisadesigns2646wewe unaeijua umefanya nn wewe jizi kubwa unaemtetea raisi na huu ujinga wenu, Mungu anawasubiri

  • @jamesnyaulingo673
    @jamesnyaulingo673 Месяц назад +12

    Mpina hongera

  • @shabanikigogo2444
    @shabanikigogo2444 Месяц назад +11

    Waambie Mpina.. Hayo majitu ni majizi sana.. Hata huyo mwenye kiti kikubwa pale kwenye jumba la sanaa anaonekana alikua na kibali cha sukari.. ndo maana alikutoa mbio...

  • @customerservicetanesco2773
    @customerservicetanesco2773 Месяц назад +5

    Sioni maiki ya tbc, clouds, itv , startv , ayo tv 😢😢😢😢😢😢😢😢kwel mtu anatoa madini hivi halafu 😢😢😢😢😢😢

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 Месяц назад +11

    Kiongozi kama hawa wapo wachache na wanapigwa vita sana

  • @Mkrist
    @Mkrist Месяц назад +14

    RIP Magufuli. Angekuwepo, pangechimbika kwa hawa wezi.

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Месяц назад +3

    Chuma sasa kimerudi kivingine🎉🎉🎉 asante sana #Mpina

  • @zachariamakoba8368
    @zachariamakoba8368 Месяц назад +12

    Mungu akutunze xn mpina

  • @user-hf4mv5gu3f
    @user-hf4mv5gu3f Месяц назад +13

    Jeshi lipo!naliamini chukueni nchi tuachane na ubabaishaji wa wanasiasa wa tz hii.ovyo sana..

  • @user-pc8ym8lk7o
    @user-pc8ym8lk7o Месяц назад +39

    Uyu jamaa ni zaidi ya mzalendo

    • @user-oh6pc7zd4s
      @user-oh6pc7zd4s Месяц назад

      HUyu si Mzalendo,kwa maana Mzalendo huwa hana makengeza jana haona leo anaona.Tujadili.Wakati wa Magu akiwa Rais CAG Professor Assad aliona hela imeibwa ikulu na Magu trillioni 1 na nusu huyu Mpina alikuwa. Ni waziri na Mbunge hakusema lolote wala kuchukizwa, wala hakutoa ripoti kama hii kwa jamiii alibaki kimyaaaaaaa.

    • @isayasimwinga2854
      @isayasimwinga2854 Месяц назад

      Wewe ulikuwa wapi😂😂😂​@@user-oh6pc7zd4s

  • @masuzahMkumbo-vs6ng
    @masuzahMkumbo-vs6ng Месяц назад +3

    Nakushuru kwani nimepata elimu kubwa sana toka kwako, ubarikiwe na Mungu .

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Месяц назад

      Elimu gani ulopata ndugu na mm pengine naweza kujifunza kwako na kwake

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n Месяц назад +3

    Sipika wa Bunge Upooooo msikie magufuri Mpya Uyooo Yani mwaka huu kazi mnayo uyu Anafaa kuwa Rais Wa Nchi Hii Mtamia Ccm Mapema SANA

  • @FestoLalata
    @FestoLalata Месяц назад +3

    Mungu akubarikiwe,ingawa mhe Mpina hizo pesa hazitumii peke yake.

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Месяц назад +7

    Mwabukusi akiwa Rais na mpina akiwa makamu na Bitoke akawa waziri mkuu na makonda akawa waziri wa mipango nchi lazima inyooke

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 Месяц назад +16

    Makamba, Nchimbi, Nape, bashe, lizone, ngereja, msonga, mwigulu hawa ni mashetan wa Taifa

  • @AdelaMtena-yn1zm
    @AdelaMtena-yn1zm Месяц назад +2

    Mpina na kuna mmoja namsikilizaga ndugu mwabukusi kweli wako vizuri na mh mmoja mimi nimemsahau

  • @OmarMihulu
    @OmarMihulu Месяц назад +1

    Mwenyez mungu Fanya rehema zako tupate mzalendo huyu awe kiongozi wajuu alinyanyue taifa hili

  • @simonjackson7068
    @simonjackson7068 Месяц назад +2

    Badilishen katiba Mambo yanyoke zalau ziishe😮

  • @ClaveryMwasomola-lh5ev
    @ClaveryMwasomola-lh5ev Месяц назад +1

    I'm appreciate this guy.na mungu ambariki sana kwakuwa jasiri

  • @ramadhaniomar4774
    @ramadhaniomar4774 Месяц назад +2

    Mungu akulinde na aendelee kukupa ujasiri huo

  • @RashidLupatu-bg8dr
    @RashidLupatu-bg8dr Месяц назад +2

    Ilitakiwa iwe wawe 3 huyu Mwigulu wanamuogopa sana nilishaamia Burundi 🇧🇮 kama alivyoagiza mwigulu bakini ufisadi wenu bora Kenya 🇰🇪 wamefanya maamuzi

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Месяц назад

    Watanzania tumeshakuwa na roho ya ajabu,tena m b aya .Tusi muue😢😢Mwacheni atusaidie Mwenye nia mbaya,alaaniwe😢.
    Ubarikiwe Mpina❤

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Месяц назад +10

    Mpina ndo mbunge peke yake mzalendo msema kweli Mungu akulinde

  • @taamimlussigi7811
    @taamimlussigi7811 Месяц назад +1

    Hongera MH kwa kueleza mambo tuliyokuwa ha2yajui

  • @justinelukumay5308
    @justinelukumay5308 Месяц назад +1

    SHIKAMOO mpina Vijana hawa ndio Moyo wa Tz Mungu mpe ulinzi mlinzi huyu wa Tangany😅❤❤ikaaaaaa

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Месяц назад +3

    Hawa walopiga hizo hela spika badilisheni sheria wanyongwe mpaka kufa bila hivyo tutakuja kumbuka maneno ya ndugai nchi itapigwa mnada hii

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Месяц назад

      hivi kwanza mtu unaanzaje hata kuchukua Tshs 5000 kwenda kula chips na ni hela umetoa ndani ya mfuko wa wizara? ile kuchukua tuu mkono wangu ungetetema haraka sana. ningekimbia chooni kutuliza pumzi

  • @elizabethmwakatobe6207
    @elizabethmwakatobe6207 Месяц назад +1

    Mama Rais wetu haya yote yafanyiwe kazi Tunakuamini sana KOMAA MAMA WASIKUCHZEEEeee

  • @saultulumbura9620
    @saultulumbura9620 Месяц назад +3

    Tunakuelewa sana babaa❤

  • @Dominaevance
    @Dominaevance Месяц назад +2

    Yako Mambo yanashangaza Sana katika Taifa hili, Sijajua shida ni Mifumo ya Maamuzi iliyopo au shida ni Viongozi wetu, Unaendaje kumtoa Bungeni Mbunge kama huyu? Very Smart Uzalendo usio tiliwa shaka hata kidogo katika hili la kupambana na wizi na Ufisadi ss kama Taifa Tunayosafari ndefu, ukiachilia Mbali Mchango Wa Mheshimiwa Mpina huyu angetakiwa awe Moja ya Wasaidizi WA Rais kwenye serikali yake

  • @medlucas5686
    @medlucas5686 Месяц назад +10

    Huyu mwamba sijui kama mimi uelewaji wangu mdogo au VP mbona naona anaongea vitu muhimu sana katika nch

    • @Ambwene
      @Ambwene Месяц назад

      Yaani mpaka anatutia uchungu

  • @elevenmeela8713
    @elevenmeela8713 Месяц назад +6

    Sasa mtu huyu inakuwaje kusimamishwa bungeni vipindi hivyo vyote ni kweli nimekubali msema kweli hakubaliki msema uongo ndiyo wanao onekana ni wazuri

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Месяц назад

      ni kweli..lakini alivoanza kujieleza kutoa ushahidi kwa wanhabari watanzania wengi walimtukana..walimuongea vibaya sana

  • @Globalpeace123
    @Globalpeace123 Месяц назад +4

    Tatizo ni wananchi tumewaachia hawa viongozi wezi waendelee kutuibia
    Inabidi tuwaangilie maofisini na tuwatimue waachie ngazi na tuwapeleke mbele ya sheria
    Jamani watanzania tuamke tuache kulalamika tu pembeni
    Tunahaki ya kutetea nchi yetu kwa hali na mali
    It is time to wake up
    Tunga ne kWa pamoja kuwaondoa hawa mawaziri majambazi wote

    • @romanmwaisela
      @romanmwaisela Месяц назад

      Raia wa tz wengi hawana elimu ya uraia hivyo wako tayari kupoteza haki Yao Kwa hongo.

  • @hassanmasuke5078
    @hassanmasuke5078 Месяц назад

    Political giant and wisdom..MPINA JESHI LA MTU MMOJA

  • @mahadhikawia3610
    @mahadhikawia3610 Месяц назад +8

    Mpina is on FIRE !!! Waziri wa Fedha anajiita Doctor of Economy !!

  • @scotttineja4246
    @scotttineja4246 Месяц назад +4

    Hongera sana Mheshimiwa Mpina kuweka wazi namna fedha nyingi za uma zinavyoliwa na watu wachache. Kuweka wazi haya lazima utapigwa vita sana, nakuomba usichoke na wa Tanzania tuko pamoja na wewe

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Месяц назад +4

    Kweli bongo tunachezewa na tunachezeka kweli hili Bwawa limeotea mbawa sehemu gani tena?

  • @SamuelWerema-s9y
    @SamuelWerema-s9y Месяц назад +1

    Hii nchi tuwape wasukuma tu , wanaweza

  • @user-hd3ks3cj6w
    @user-hd3ks3cj6w Месяц назад +3

    Wabunge wengine wanajambia vitu vya bunge tuu hamna kitu "

  • @emmanuelnjelekela6299
    @emmanuelnjelekela6299 Месяц назад

    Asee safar hii jembe kama hili likitinga ikulu tutalilinda kwa gharama yeyote mungu akubarik mkuu wetu

  • @mbuyaelyaoni6266
    @mbuyaelyaoni6266 Месяц назад +2

    Mh rais uko wapi, upuuzi wote huo unafanyika😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 Месяц назад +2

    WENYEWE WAMEKAZANA KUTUTUMIA TRA WATUFILISI.😢HUKU JUU HELA ZINALIWA😢

  • @irenekalinga323
    @irenekalinga323 Месяц назад +28

    Nakuombea siku moja upate uraisi

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd Месяц назад

      Ndani ya CCM hii hii na mfumo huhu!!!? Kamwe hawawezi kumpa nafasi hiyo.

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im Месяц назад

      Watu kama hawa, hawapati urais. Mafisadi wameiteka serikali.

  • @BenjaminMapalala
    @BenjaminMapalala Месяц назад +2

    Sema brother

  • @salumjoka6286
    @salumjoka6286 Месяц назад +1

    Iko siku huyu mama atakuja kumuelewa mpina.

  • @festootieno6647
    @festootieno6647 Месяц назад +1

    İnauma sana Mpina na kuelewa Sana Jembe

  • @user-pw8ml6ts8r
    @user-pw8ml6ts8r Месяц назад

    Mwenyenzi Mungu azidi kukupa nguvu na uweza!🫶💪🤝

  • @user-yt8db6et9q
    @user-yt8db6et9q Месяц назад

    Usifadhaike mzalendo wa kweli kwa wale wakuchukiao kwani hao ndo wale wachukiwao na Mungu

  • @herie16m
    @herie16m Месяц назад

    Thanks for defending us...

  • @jayzeem14
    @jayzeem14 Месяц назад

    Point

  • @benedictorwamuhuru6376
    @benedictorwamuhuru6376 Месяц назад +1

    God bless you.

  • @user-yo7sj8fs4h
    @user-yo7sj8fs4h Месяц назад +1

    Roho ya Magufuli bado inaishi ijapokua wanajitahidi kukandamiza

  • @DevotaIjumba
    @DevotaIjumba Месяц назад +2

    Mama Rais wetu Mama Samia tunaomba umsikilize MPINA

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Месяц назад +1

    Magufuli alimfukuza Januari Samia amkamrudisha maana hana uchungu na Tanganyika

  • @SanulaMustafa
    @SanulaMustafa Месяц назад

    Asante sana baba umetutoa gizan mfupa ulio mshinda gisi mbwa atauwezaje makamba Alisha shindikana

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Месяц назад

    maskini ya Mungu, waliopewa kura na maskini waende wakatusimamie wanatuangusha..tunaangalia kwa mioyo iliojaa simanzi..kesho wametuahidi wanarudi tena kutuomba watusimamie

  • @janetymatola6639
    @janetymatola6639 Месяц назад

    Safi sana yaani tunskuombea uje kuwa Rais mwema dua na maombi tunakuombea

  • @AdelaMtena-yn1zm
    @AdelaMtena-yn1zm Месяц назад

    Kweli inaumiza Sana watu Wana mitadi kibao shauri za hela za walalahoi wenhine hata kununua mlo wa siku Ni ngumu kwanini watanzania wenzetu hao viongozi hamna huruma kwetu na ndio inasababisha watoto wanatekwa watu wanauawa mpona big up

  • @simonjackson7068
    @simonjackson7068 Месяц назад +1

    Mpina asikilizwe Kwa umakini Sana poiti zakutosha mwagalazi Tema cheche kunawabunge wanalala2 hawana hoja za mana