KAULI ZA NAPE NA KASHKASH ZILIZOWAHI KUMKUTA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 211

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Месяц назад +14

    Mwenyezi Mungu sasa amewasaidia kutuonyesha wizi wenu mliokuwa mnaufanya

    • @user-so8nr4zr9r
      @user-so8nr4zr9r Месяц назад +1

      Watanzania tujipange kuchagua viongozi bora sio bora viongozi

    • @adieljoshua640
      @adieljoshua640 Месяц назад

      Ni kweli hapo kuna wizi wa kura tena si kidogo

  • @Yeshuatv729
    @Yeshuatv729 Месяц назад +7

    Hawa Jamaa wanajiandaa kuwa wapinzani.
    Hiyo kauli itawasaidia Sana wakihamia upinzani

  • @veronicanabina3380
    @veronicanabina3380 Месяц назад +3

    Anasema Mungu amsamehe na wakati alifanya kazi ya shetani, na sasa anapokea zawadi za shetani za kuaibika,

  • @MussaGaetan
    @MussaGaetan Месяц назад +2

    Pia Mungu ni mwema wakati wote kwa sisi wakulima na fukala na masikini , ipo siku tutampata tena wa kututetea na kujua masilahi yetu pia kuondoa ile huyu alikuwa mtoto wa mtu fulani ktk serikali . tuzidi tuh kuomba hii Dunia hawa jaumbiwa wao tuh. kila la kheli wtanzania wenzangu.

  • @Janetben-m1k
    @Janetben-m1k Месяц назад +2

    Tutajua mengi sana yaliyo jifisha maana hata kifo Cha jpm alisema mungu kaamua anafurah kufa Kwa wengine

  • @user-tt9bp2id5p
    @user-tt9bp2id5p Месяц назад +4

    Jambo tv leo umeuwa 1 on trending
    Na nape analenga kwenye mishono tu

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l Месяц назад +8

    mungu ni mwema wengi wata umbuka na kauli zao wata jikuta wana fanya tofa uti kilio cha wa tanzania mungu mkubwa

  • @user-tb4gh1sm9k
    @user-tb4gh1sm9k Месяц назад +2

    Daaaaa hii hatarii kwaiyo mungu niwakwenu pekeenu kila mtenfa dhambi ajue siku ya mwisho hukumu ipo

  • @frankbutati8343
    @frankbutati8343 Месяц назад +24

    Sisiemu hawapendi mtu aseme ukweli, napo yuko sahihi kabsaa, na hiyo michezo wajue2 hawataicheza milele, Yuko MUNGU mbinguni

    • @user-yj3mu3bo6t
      @user-yj3mu3bo6t Месяц назад

      NYOKO WOTE N CCM ND WANAPANG MATOKEO UNAPITAJ N WAPINZAN WENYEW AWAN LOLOTE LILE

    • @valenakomba9218
      @valenakomba9218 Месяц назад

      Huo kweli ni ujinga. Bila aibu na bilakujali haki za watu katika kuchaguwa.

  • @YoungTiger-z4h
    @YoungTiger-z4h Месяц назад +1

    Watanzania tuelewe kuwa hata kutolewa huko ni mbele ya macho yetu tu mbona anaenda anarudi kuwa waziri kwan yeye ndo kasoma kuliko wengine au tuseme ni mzoefu wa uwaziri kuwa alizaliwa nao? Kuwaongoza watu sio elimu ni akili na hekima naomba siku Moja mungu atimize ndoto yangu

  • @user-oj1cp8xo8k
    @user-oj1cp8xo8k Месяц назад +2

    nape ulimtukana sana mzee wetu lowasa sasa mdomo huohuo unakutoa kwenye mstari na utaendelea sana kutukana ovyo,mdomo umemponza kichwa.

  • @MussaGaetan
    @MussaGaetan Месяц назад +1

    Hakika alisema ukweli ila kwa sababu huwa hawapendi haki na ukweli lazima Nape aumie huo ndio uhakika kwa watanzania

  • @JamaliAmour-jp9dd
    @JamaliAmour-jp9dd Месяц назад +7

    Tumekuelewa

  • @umranim5854
    @umranim5854 Месяц назад +3

    Hapo utasema umeonewa kutumbuliwa mjinga sana

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Месяц назад +6

    Kila jambo linamwisho ispokua hawa tumewaona udhaifu wao hatujui hao watakaokuja madhaifu yao ispokua kuwatesa masheh imetuumiza sana ispokua hukumu ya mungu ipoo

  • @kandorealfred152
    @kandorealfred152 Месяц назад +2

    Nilikuwa nafikiri kuwa Dhana ya wizi wa kura ni ya kufikirika mpaka Nape alipokuja kuweka wazi😢😢

  • @annemlay11
    @annemlay11 Месяц назад +1

    Hao wanaosema kauli za hovyo kwani wanaridhishwa na ccm wanavyoiba kura.Ilitakiwa watu waonyeshe jinsi wanavyokerwa na jbo hili na kulilaani.Nape kasema ukweli.CCM mjitafakari na mjue huu ni ushahidi tosha kuwa mnaiba kura kwani aliyetoa ushuhuda ni mwana CCM mwenzenu.Aibu.

  • @FintanFelix-z6c
    @FintanFelix-z6c Месяц назад +1

    Unamtania mungu best

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 28 дней назад

    Wale wazed wanawafadhili watakapoondoka Dunia hawa jamaa wataishi kwa taabu sana kwa sbb kila mmoja anajuwa wanachokifanya kwa viongozi

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 Месяц назад +3

    Nnacho amini mie CCM inambinu nyingi sana, Mbona hawajatumbukiwa miezi mingi nyuma ilio pita na watu walikuwa washasema ao hawafai, lakin wametolewa ili raia tuamin na turud kwenye imani ya CCM lakin izo ni mbinu tu ..

    • @Flvian
      @Flvian Месяц назад

      kilicho fanya atumbuliwe ni kurudia hizo kauli

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 Месяц назад +1

    Mmmh kazi ipo

  • @PeterGodwin-e1k
    @PeterGodwin-e1k Месяц назад +1

    Shida ya nape nimwepesi sana kusahau

  • @josephkamatha407
    @josephkamatha407 Месяц назад +1

    Wakurugenzi wote wa halmashauri waondolewe katika chaguzi zote kwani nape amethibitisha ccm ni mwezi wa kura

  • @abdalamfinanga6434
    @abdalamfinanga6434 Месяц назад +4

    Huyu nape ana mambo ya Ajabu.sana anaamini ataishi.milele na anamdhihaki sana mungu hakuna jambo baya kama dhuluma ogopa machozi ya watu

    • @Allybinamour
      @Allybinamour Месяц назад

      pumzi zinamuhadaa

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Месяц назад +1

      Tatizo lake amesema ukweli hadharani.... wenzie wakamtosa

    • @adieljoshua640
      @adieljoshua640 Месяц назад

      Mambo yote ya ndani kbs yaliyojificha ipo cku yatawekwa waz ndo kilichotokea hiyo ndo reality ya Siasa Tz

  • @YohanaMwakaje
    @YohanaMwakaje Месяц назад +4

    Nyoko kweli wewe kumbe ndo mnavyo tuibia mungu ata wafyeka wote

  • @joycerichard9274
    @joycerichard9274 Месяц назад +10

    Kapigwa ufunguo na mwenyezi mungu ndomaana anaropoka

    • @Allybinamour
      @Allybinamour Месяц назад +1

      na bado mungu atazid kumshusha

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf Месяц назад

      Imekula upande WA dereva

    • @adieljoshua640
      @adieljoshua640 Месяц назад

      Bora asemee 2jue ukwel ili ikifika cku ya uchaguzi tunakua bze na mashughuli zetu hakuna kwenda kupiga kura upetezaji wa muda Mungu amewaumbua CCM

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv Месяц назад +1

    MUNGU C MWANADAMU WEKENI AKILINI HILO CCM

  • @sarahmwampulo4401
    @sarahmwampulo4401 Месяц назад

    Mmmm

  • @MtatiloStevin
    @MtatiloStevin Месяц назад

    😊😊😊

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 Месяц назад +4

    tuwe na akiba ya maneno wanasiasa wanajuana

  • @user-zo8ep4rz3l
    @user-zo8ep4rz3l Месяц назад

    Huyu na Kinana walizunguka nchi nzima Tanzania kukifufua chama cha CCM kwani wananchi walikua wsmechoka na ukiritimba. Hayo watu hawayaoni wala hawampi sifa bali wanawatetea watu wasio faa.

  • @JosephMarwa-m1j
    @JosephMarwa-m1j Месяц назад

    Umekatwa..makucha..kibuli.chako..kwisha..kalime..vitunguu,😊😊😊😊

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther5908 Месяц назад

    RIP JPM🙏

  • @DeogratiasLaurent-r4t
    @DeogratiasLaurent-r4t Месяц назад

    Umeujum aki za watu makusudi Arafu unajinasibu eti Kuna garama za kusimamia aki unaanza kuvuna ulicho kipanda unasitaili ufukuzwe ata kwenye chama ww hufai jabiiiisa

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 Месяц назад +1

    Watanzania niwajinga sana Nape is very genius. Ameona awezi kukaa nayo na kufa nayo. Maana moyo ukijaa huwa yanatoka yenyewe

    • @LeonardFrancis-hk9ku
      @LeonardFrancis-hk9ku Месяц назад

      Ipo siku itakughalimu mkuu, sidhani kama uko sahihi kusema " watanzania ni wajinga sana !" Jihadhali sana

  • @benjaminmtebe5009
    @benjaminmtebe5009 Месяц назад

    Alishindwa kumsaidia mama mkwe wake kumshinda Uchaguzi wa Bunge la afrika mashariki

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Месяц назад +1

    Hakuna kisicho na. Meisho hata ccm imefika mwisho . Mpaka huyo aseme ni kwamba MUNGU HALI GALI TUMECHOSHWA KUIBIWA.

  • @user-zt6re1dr5f
    @user-zt6re1dr5f Месяц назад

    Hafsi kua kiongozi,no mbinafsi

  • @RevocatusSebastian-c8o
    @RevocatusSebastian-c8o Месяц назад

    Nape kaongea ukweli ivo ndivyo wanavyofanya chichiem miaka yote Mungu atakuja kuwanyoosha kama wale waliojenga mnara wababeri ili wamfikie mungu ndipo alipowachanganya wakashindwa kuelewana lugha ndivyo itakavyokuwa kwa chichiem wameshaanza kupoteana wao kwa wao na mungu anajibu maombi yawananchi Ahmen

  • @benjaminmtebe5009
    @benjaminmtebe5009 Месяц назад

    Mpuuzi Sana hafai kabisa Nape

  • @awadhge-son1395
    @awadhge-son1395 Месяц назад

    Vitabu vyadini vinasema "Unayoyafanya usiku kizani ipo siku mungu atayafichua mchana kweupe kila mtu ataona " ndy haya tunayaona sasa ccm mijizi sana😢😢😢😢😢

  • @adieljoshua640
    @adieljoshua640 Месяц назад

    Huyu jamaa hafai kabisa kuwa kiongozi mambo gani hayo😢😢😢😢😢

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz Месяц назад

    Watalamu wakuiba yatawashida hayo nalaanazenu

  • @HAPPYSULE
    @HAPPYSULE Месяц назад +1

    Mungu hazihakiwi

  • @NuruKanyenye
    @NuruKanyenye Месяц назад

    CCM BWANA SHIDA KWELI. MTAONGEA YOTE NA WANANCHI ETI WANASHANGILIA SIJUI WAMELOGWA, KWELI NDIO KAULI YA KUISHANGILIA HIYO?

  • @LashidiMaengo
    @LashidiMaengo Месяц назад

    Yuko sahihi

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr Месяц назад +3

    Kwahiyo nape ameamua kuweka wazi siri inayofichwa kwa muda mrefu.
    Ukweli unauma ila ndio uhalisia aliyoyasema.
    Binafsi nimpongeze kwa ujasiri wa kuyasema hayo.
    Hakujali kuipoteza nafasi aliyonayo ya uwaziri.

  • @Khaleedsaleh-m4e
    @Khaleedsaleh-m4e Месяц назад

    Aliji sahau sana ulimi. Hupoza kichwa

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Месяц назад +1

    Huyu mjinga sana kauli zake zinamgeukia mwenyewe sasa

  • @ziadasadiki8196
    @ziadasadiki8196 Месяц назад +1

    Kubwa jinga

  • @furahamwatwinza9560
    @furahamwatwinza9560 Месяц назад

    Mh ,,huyu kaka mm,yaani nlichokiona kwenye ulimwengu wa roho ,,,mmmh,,,,ngoja nyamaze

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 Месяц назад +1

    Ningekuwa nape nisingekubali tena uwaziri, kutumbuliwa mara mbili kweli

    • @shalomchaula4420
      @shalomchaula4420 Месяц назад

      Njaa Kali rafiki yangu 😂

    • @shalomchaula4420
      @shalomchaula4420 Месяц назад +1

      Unaweza tenguliwa hata Mara 100 ilimradi uvunjiki ila maslahi kule sio kitoto kaka

  • @MedsonUlendo
    @MedsonUlendo Месяц назад

    Hakuna utawala wa haki Kumbe c amedhitisha mwenyewe je ataka kutufanya tususie kupiga kura kwa kua huwa tunasumbuka chaguzi wanazo wao?

  • @joshuasaigilu
    @joshuasaigilu 16 дней назад

    ccm ukiwa muizii unapandishwa cheo

  • @MarthaBura-or8fe
    @MarthaBura-or8fe Месяц назад

    Aibu

  • @ErickyKatunzi-gx3mi
    @ErickyKatunzi-gx3mi Месяц назад

    Kasema ukweli, ccm wanashinda uchaguzi kwa wizi wa kula nasiyo halali, kwani shida iko wapi.! "Si amesema ukweli wangemuacha tu. Pengine kachoshwa na wizi wa chama chake.

  • @PriscaJulius
    @PriscaJulius Месяц назад

    😂😂😂 noma

  • @godsson5954
    @godsson5954 Месяц назад +2

    mbna walikua wanamshangilia wakat anaongea je waliomshangilia tuwachukulieje?

    • @adieljoshua640
      @adieljoshua640 Месяц назад

      Waliokua wanamshangilia nao cjui hawana kaz za kufanya pumb@vu saaaana

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz Месяц назад

    Mimi diyo nasema siwezi hadi wabadilishe katiba yawakoloni yakazi gani unachagua wakati waishapita

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 Месяц назад +1

    Tuwe na akiba ya maneno nape hajitambui. Unaweza kuwa na mwili mkubwa kumbe kichwani sifuri

  • @AmosSniper
    @AmosSniper Месяц назад

    Huyu jamaa anapandisha hasira sana kw washindani wa serikali,, ni adui mkubwa sana wa Taifa hili

  • @AliMwingwa
    @AliMwingwa Месяц назад

    Oh kaharibu

  • @MehmetAshraf
    @MehmetAshraf Месяц назад

    huyu jamaa lazima watamrudisha, niko pale😊

  • @salmaramadhan2725
    @salmaramadhan2725 Месяц назад

    Hakutakiwa kupata uongozi Tena sijui tz yetu ikoje,,,

  • @abdulrahimmohamed7066
    @abdulrahimmohamed7066 Месяц назад

    Dah jamaa alilewa akazingua , pole kaka utajutia

  • @victormbaga5772
    @victormbaga5772 Месяц назад

    Ukweli ni kwamba majamaz makubwa ndo yako serikalin .na yanalindwa mno .maka huu Mungu usiwasamehe wapige wametutesa kwa myaka mingi .hawakubaliki hawashindi wanatumia mapolic kupiga watu hovyo .

  • @user-fl1xz3ln3c
    @user-fl1xz3ln3c Месяц назад

    Ukiwa mwizi Kuna muda utajisahau tu Sasa umeanza kusahau mungu fundi

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 Месяц назад

    Duh! Mdomo unaponza jamani. Hakika tumejifunza.

  • @tithomhagama
    @tithomhagama Месяц назад +1

    mwamba huyu hapa

  • @NancyChristopher-b2t
    @NancyChristopher-b2t Месяц назад

    Wenyewe mnaanza kujichanganya mnabwabwaja kama mchawi kalishwa usembe

  • @cosmasmilanzi7117
    @cosmasmilanzi7117 Месяц назад

    MZAHA MZAHA HUTUMBUA USAHA!

  • @salmaramadhan2725
    @salmaramadhan2725 Месяц назад

    Wamelewa Hela zetu,mpaka wanavuka Hawa,pesa zetu tu Ku......,..

  • @gaagwasaugustino2584
    @gaagwasaugustino2584 Месяц назад +1

    Hili jinga Sana, ndiyo Sababu JPM alilitumbua na yule wa Mzee wa watu wazuri hawafi! Mungu ameshaamua mnara wa baberi uanguke na siku zake ccm zinahesabika! Mungu alipotaka waliyomdhihaki waanguke wakati wanajenga mnara wa baberi,aliwachanganya Katika Lugha wakashindwa kuendelea kujenga mnara! Hivyo ccm anguko lao linalokuja ni kubwa Sana! Bado akina chalamila,mwigilu na wengine! MUNGU atusaidie Watanganyika.

  • @faidamuhamed3011
    @faidamuhamed3011 Месяц назад

    Kwqkauli hii ya mwidho mmmhh

  • @FintanFelix-z6c
    @FintanFelix-z6c Месяц назад

    Anapenda sifa

  • @jameskyando178
    @jameskyando178 Месяц назад

    Kuropoka ropoka huku ka walevi wa pombe za kienyeji

  • @SimuliziDhahiri
    @SimuliziDhahiri Месяц назад

    Duuuu kweli uwizi

  • @AliphonceMartina
    @AliphonceMartina Месяц назад

    Mimi ningemiliki bunduki ningelikuwa nimeshamtoa uhai mtu kama huyu

  • @AliphonceMartina
    @AliphonceMartina Месяц назад

    Watu wanamchukia nape tu je hamjiulizi nyie mnaoshangilia mnahali gani

  • @user-lx2lo2lp8m
    @user-lx2lo2lp8m Месяц назад

    Pumbaf ww,Mungu atakuadhibu sana kwa kumdhihaki Bado sana mwizi mkubwa wa kura!...

  • @HusseinNkuna
    @HusseinNkuna Месяц назад

    daah ila huyu jamaa akili zake hazimtoshi kabisa yani yani bukoba ndio ameharibu kabisaa😅😅

  • @PlatnamzChoma-gl4jw
    @PlatnamzChoma-gl4jw Месяц назад

    Umelewa. Sana. Madsrskaka.

  • @victormbaga5772
    @victormbaga5772 Месяц назад

    Nape kaongea ukwel wanajifanya kumtumbua kwakua kayaweka was Ila ndivyo walivyo .police c muamke mtaburutwa na ccm mpaka lini. Simuamke msimamie haki

  • @charlesmagahi-rr6wl
    @charlesmagahi-rr6wl Месяц назад

    Hicho ,sio hiko. Ungea kiswahili sahihi

  • @mchungajiegidiuskategile5773
    @mchungajiegidiuskategile5773 Месяц назад

    Kwa hizo kauli hawezi mlaumu mtu amejichanganya Sana aiseeee

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Месяц назад

    Sasa maongez ayo imekuwaje tena hee

  • @oscarjoseph8156
    @oscarjoseph8156 Месяц назад

    😂 jinga sanaaaa hili litoto

  • @JoelRichard-hj3bi
    @JoelRichard-hj3bi Месяц назад

    Ya Mungu mengi,Nape ni msema ukweli ndani ya CCM ameshamwaga mchele wameanza figisu,MSEMA UKWELI NDANI YA CCM NI ADUI MKUBWA.

    • @George-jz3jg
      @George-jz3jg Месяц назад

      Wewe ni jinga kama alivyokuwa mjinga nape

    • @adieljoshua640
      @adieljoshua640 Месяц назад

      Huo ndo ukwel hakuna kupindisha Manzee.. michezo ya CCm imewekwa wazi tumesikia sasa​ mkatae@@George-jz3jg

  • @GeuzaaMsemwa
    @GeuzaaMsemwa Месяц назад

    Makufulu kawamwaga mapema haya kaona mwenyewe wote hawafai kabisaa nabado wapo ondoa makapi .

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 Месяц назад

    Alikua amerewa huyu

  • @HBI-TV
    @HBI-TV Месяц назад

    Haifai kiongozi kutamka maneno kama haya

  • @basilmwalongo6149
    @basilmwalongo6149 Месяц назад

    Duh aiseee yamekuwa wazi sasa

  • @SuphianMaingwa-h4y
    @SuphianMaingwa-h4y Месяц назад

    Duh

  • @OswardPaul
    @OswardPaul Месяц назад

    Siku zaja mtatupwa kwenye bwa la moto

  • @EmmanuelLupoja
    @EmmanuelLupoja Месяц назад

    Kumbe tunapigaga kula bure

  • @IshaSaid-w7q
    @IshaSaid-w7q Месяц назад

    mutasema mengi bado

  • @bulubakipole9077
    @bulubakipole9077 Месяц назад +1

    Huyu jamaa zuzu kweli

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Месяц назад

    NAPE AMELAANIWA NA SHETANI, MAANA AMESHA MCHOKA👁️👁️🐵🐵

  • @wonderskapoti
    @wonderskapoti 20 дней назад

    Hii nidunia tunapita

  • @RestidaAbeid-es9xi
    @RestidaAbeid-es9xi Месяц назад

    Anaropoka vzr