Mungu akuongezee hekima da, huna unafiki kama watumishi wengine wa kujipendekeza ili waonekane hakika mungu yu nawe hata mbinguni mungu anakuangalia kwa jicho la karb kwa ukweli wako amina.
Amina baba askofu Mwamalanga, sema Samia Suluhu asichaguliwe, sema CCM isichaguliwe ni wezi na wqla rushwa kwani nguo ya kuazima wanatuita mbwa ili hali nguo wanayojivunia siyo yao.. hapana hatutaki CCM na mwizi kutoka Zanzibari
Hiki ndio kipindi kwa Watumishi wa Mungu kuingia kwenye SALA NZITO na MAOMBI MAKALI kuzuia ushirikina na uchawi visifanye kazi, Rushwa ionekane upumbavu maana hupofusha na KUTOA ELIMU ya Uraia na Haki kwa waumini, UPENDO utawale.
Baba askofu hongera sana wahamasisheni wengne maaskofu kama nyie watoke waseme saf sana nchi imeoza hii jamana utekaji ngoro ngoro bandari ubabe polis wanatumika vbya yani daa
Baba askofu asante sana Ccm kweli walevi wa madaraka Kuwa na chama kimoja na kinachotumia ujinga wa wanainchi wanaona kama ni haki yao kuitawala akili za mjinga
Pameanza kuchangamka, watakuja mashekhe ubwabwa wataingiza udini hapo. Awajui magufuri alikuwa mkristo na maaskofu walikuwa wa kwanza kumpinga. Jamani shida ya hii nchii ni CCM ni mashetani yasiyotaka kubadirika
Unataka amtumkie Mungu yupi huyo? Anapenda mauwaji? Au wew unaelewa kumtumika Mungu ni kanisani tu? Hebu panua fikra zako vizr watu hawahawa ndo wamo makanisani na misikitini na kwenye siasa pia,, na kuhubiri au kukemea maovu sio mpaka kwenye nyumb ya ibada tu ndg elewa hivyo
R moja ni RECONCILIATION yaani MARIDHIANO. Hiyo R imeshindwa kufanya kazi nchini. Watu kutekwa, kupotezwa na kuuawa ni udhihirisho kuwa nchi haina MARIDHIANO. Hizo R nne hata viongozi waliopo hawawezi kueleza maana yake maana hazikuwa zimetoka kwenye kilindi cha moyo bali kwenye porojo tu za kisiasa ili kuhadaa watu wasio na ufahamu. Wanaojielewa hawadanganyiki!
Nashukuru Viongozi wa dini wanaojitambua kama wew....wengine kama wale wa KKKT wametekwa kimawazo wamepiga kimya hawasemi chochote, Wamewekwa mfukoni wamebakia kushangilia na kuunga mkono yote mabaya yanayofanywa na serikali.
Katiba ya CCM ndo inaeleza hivo kuwa mwenye mamlaka anaweza amua lolote na hakuna wa kuongea, kama raisi anaweza kuandaa jeshi kwa ajili ya uchaguzi ni nini kinafuata hapo kama sio kuchukua madalaka kwa Hila ili waendelee kutuumiza ndo maana tukilalamika tunaambiwa mhamie Burundi kama vip
Enyi watanzania hakika siku za mwisho zimefika, hii inchi inako kwenda mmmh ni kuanguka kbs mungu atuokoe, selikali msipuze maoni ya wananchi wenu hata baba wa taifa mwl. Julias nyelele alisha sema, siku yaja mbaya zaidi dalili ndoo hizi.
Lakini Mimi binafsi nashangaa,,,yamefabyika mambo hapa kwenye awamu Fulani,,,watu wameuwawa,watu wamepotea,hamkuonekana hata mmara Moja kuijia juu serikali,,sasa serikali hii ya. Awamu ya sita,,ndio imefanya maajabu gani?
wakristu huwa una ugonjwa gani akiwa kiongozi muislam huwa mnakelwa sana nyinyi ndio mnahaki ya kuwa kuwasemea watanzania muache uchochezi wakati wa magufuli hatukuwaona muache uchechezi
Sas kama mtu anatoka nje ya misingi ya nchi tumfanyaje?, wasiseme kisa mwislam, mama yenu analazimisha kuhamisha wamasai unataka wakae kmya, anauza bandar unataka wakae kmya Mmerogwa nyie
@@healinggospeltz4762 WAGALATIA MNAJULIKANA CHUKI ZENU WALA SIO SAMIA NYIE KANISA LINAMIPOTEZA WAULIZENI WA KENYA WALIVOWAAMBIA KANISA STAY OUT OF POLITICS WAKO NA MASLAHI YAO HAWO JAMAA NDIO POVU LINAWATOKA 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Ukitaka kujua unalo bishia kua linawezekana.kumbuka,wakenya walikufa kwa kujifungia kanisan.waislam wangapi wangapi wamekufa wakitetea uisilam au fatilia mikusanyiko .ya dini yoyote na watu wana aminishwa nini.juu ya mungu,mitume na Shetan .mtu akiaminishwa yupo tayali kwa lolote kutetea dini..ukimwambia akuonyeshe mungu na Shetan majibu utakayo jibiwa utaamin wahubili na wasanii wanaweza kuwa aminisha watu wakamin wasivyo viona na wakachukua maamuzi
Asante Sana BABA kiongozi., Tafadhali naomba umuelimishe na BABA MTAKATIFU PAPA FRANSIS huko VATICAN asifungishe NDOA ya JINSIA MOJA😢, ni LAANA KUBWA. Tafadhali BABA mwambie ili tupate radhi za MUNGU.
Tatizo yanachaguliwa kwa sababu nchi au dunia nzima inakabiriwa na dhambi,mfano kuna kundi la wale manabii utasikia yanapiga kampeni achaguliwe fulani kisa anakumbatia uovu wao
huo ni utumwaaaa una wacha watu wabebe wa nyama kwenye ndege halafu wewe una unawapiga virungu watu wako..watu mtabeba laana mpaka vizazi..maana ya uhuru kutoka mabeberu ni nini sasa??
Askofu Mwamalanga .Umeongea kweli bila kupepesa macho.Barikiwa sana.
Amina mtumishi.
Hatuwezi kuwa watumwa kwenye nchi yetu. Hata Mungu wetu hapendi. Watalaaniwa wooote wanaotufanya tuwe watumwa kwa faida zao binafsi
Mungu akubariki mchungaji
Asante baba askofu,umesema ya moyoni,huna deni kwa mungu,wa kusikia amesikia ,Ambae hatasikia mwenyezi mungu atamlazimisha kusikia
What a precious and awesome speech. Asante sana
Umeongea mambo ya maana mno natumaini umeeleweka vizuri kabisa kwa wahusika wote.
Mungu akuongezee hekima da, huna unafiki kama watumishi wengine wa kujipendekeza ili waonekane hakika mungu yu nawe hata mbinguni mungu anakuangalia kwa jicho la karb kwa ukweli wako amina.
Barikiwa sana mtumishi wa 💪🏻
O
Ooj
Asanteee mchungaji
Mungu yuko kazini
Haswaaaa sio wao kama wao Mungu yupo kazini haswaaaa🙏🤲
Tunashukuru baba kwa maneno mazuri, Mungu akubariki
Kila nimsikilize naona kama mungu anaingia na sisi kupitia mtumishi huyu kwa sababu analipenda sana taifa hili.
Baba hongera umeongea ukweli ww hujipendekezi Kwa serikali 😊
Umbarikiwe mtumishi wa mungu 🎉
Ukitaka habari za uhakika sikilza jambo tv
Ubarkiwe mtumishi wa mungu
Amina baba askofu Mwamalanga, sema Samia Suluhu asichaguliwe, sema CCM isichaguliwe ni wezi na wqla rushwa kwani nguo ya kuazima wanatuita mbwa ili hali nguo wanayojivunia siyo yao.. hapana hatutaki CCM na mwizi kutoka Zanzibari
Hongera baba Askofu kwa kuongea ukweli kwa Kwa hii serikali ya ubinafsi wachezaji wao revarii wao😊
Wenye masikio wamesikia. Asante baba Askofu umenena. Maneno ya hekima saaana.
Asante sana .mzee wa hekima umeena kweli,baba Mungu akubariki
Mkilazimisha watu kuwaletea viongozi wasiowataka kwa njia za namna yoyote safari hii arithi na mawe vitapiga kelele kwa jina la yesu
Mungu Akubariki sana
Hongera sana askofu, kama wanakisikia na wasikilize kwa makini, hao waarabu wanaoitaka ngorongoro walaanike
Hiki ndio kipindi kwa Watumishi wa Mungu kuingia kwenye SALA NZITO na MAOMBI MAKALI kuzuia ushirikina na uchawi visifanye kazi, Rushwa ionekane upumbavu maana hupofusha na KUTOA ELIMU ya Uraia na Haki kwa waumini, UPENDO utawale.
Ubarikiwe baba.
Uko sahihi mungu akubariki
Mimi nakipendaa chama ,lakinii matendoo yaoo miee nakosaa amanii
SAFI SANA BABA ASIKOFU.
Baba askofu hongera sana wahamasisheni wengne maaskofu kama nyie watoke waseme saf sana nchi imeoza hii jamana utekaji ngoro ngoro bandari ubabe polis wanatumika vbya yani daa
Mungu mwenyewe anaongea ndani ya mtumishi huyu.
Jima la bwana lihimidiwe na maneno yake yatimie kwetu....amina
CCM WEZI WANAUZA NCHI
Du
Ahsante Baba Askofu MUNGU atakubariki
Safi sana
Angalia.baba.yangu.wasije.kukuua
Mnaachwa kwa kusema ukweli.
Hatumutaki Huyu mama ,kwani Bila katiba lao bovu lá mabavu sisi hatukumchagua, hatumutaki bana anatukandamiza sana wananchi hali ni mbaya sana saizi
Baba askofu asante sana
Ccm kweli walevi wa madaraka
Kuwa na chama kimoja na kinachotumia ujinga wa wanainchi wanaona kama ni haki yao kuitawala akili za mjinga
❤❤❤
Aliyekuwa na uwezo huo alikuwa Nyerere tu,leo hakuna mtu wa kushawishi watu kuchagua mtu au kutomchagua.
Pameanza kuchangamka, watakuja mashekhe ubwabwa wataingiza udini hapo. Awajui magufuri alikuwa mkristo na maaskofu walikuwa wa kwanza kumpinga. Jamani shida ya hii nchii ni CCM ni mashetani yasiyotaka kubadirika
Askofu ebu mtumikie Mungu ,ebu achana na siasa ,ukishindwa kagombee ubunge,au urahisi uone siasa ilivyo ngumu
Yaani wewe ndio unalazimisha Siasa ionekane ni ngumu.
Unataka amtumkie Mungu yupi huyo? Anapenda mauwaji? Au wew unaelewa kumtumika Mungu ni kanisani tu? Hebu panua fikra zako vizr watu hawahawa ndo wamo makanisani na misikitini na kwenye siasa pia,, na kuhubiri au kukemea maovu sio mpaka kwenye nyumb ya ibada tu ndg elewa hivyo
Tumeshafikia baba askofu sababu saizi tunaongozwa na waarabu , uwongozi saizi tunaongozwa na vibalaka
in Jesus name 🙏🙏 God bless mutumishi wa Mungu
Askofu umeongea ukwer lakini hawaskii wamegeuza vyama pinzani niadui mungu ingilia kati tunajua unafaham kilakitu kinachoendelea wekamikonoyako tuokoe katika mikono yamagaidi
Daaaa
Thanks mchungaji!
Sema hatumtaki huyo b tozo
Jambo TV Big up sanaaa
R moja ni RECONCILIATION yaani MARIDHIANO. Hiyo R imeshindwa kufanya kazi nchini. Watu kutekwa, kupotezwa na kuuawa ni udhihirisho kuwa nchi haina MARIDHIANO. Hizo R nne hata viongozi waliopo hawawezi kueleza maana yake maana hazikuwa zimetoka kwenye kilindi cha moyo bali kwenye porojo tu za kisiasa ili kuhadaa watu wasio na ufahamu. Wanaojielewa hawadanganyiki!
Askofu upo vizuri nawengine waige kwako kuwa wazarendo kwa binadamu wenzetu
Amina baba mama afai
Nashukuru Viongozi wa dini wanaojitambua kama wew....wengine kama wale wa KKKT wametekwa kimawazo wamepiga kimya hawasemi chochote, Wamewekwa mfukoni wamebakia kushangilia na kuunga mkono yote mabaya yanayofanywa na serikali.
BARIKIWA ASKOFU WETU MUNGU AKUKUBUKE UMENAWA BERE ZAMUNGU.
CCM watuona watanganyika ni wajinga,
Tumataka useme ili tuona kama kweli ww umekuwa mungu maana mmezidi kujifanya miungu watu
Sema.
Hawa ndio viongozi wa dini pamoja askofu Mwamakula wanaomtumikia Mungu kweli
Naiwe hivyo
Askofu uanfalie utakamatwa na watu wasiojulikana
Kwa sasa nchi inatisha! Imekuwa nchi ya mazingaombwe!
MBWA MWENYE BUSARA HAMBWAKII MWEWE ANGANI.... NA BADO... 🖐🏼 MITANO TENA.... MAMMAEE 😂😂😂😂
Big up baba
Chama nakipenda ila kwasasa wanakiuka misngi yakikatiba ndio maana tumefika hapa ya wenye nacho nawasionacho
Katiba ya CCM ndo inaeleza hivo kuwa mwenye mamlaka anaweza amua lolote na hakuna wa kuongea, kama raisi anaweza kuandaa jeshi kwa ajili ya uchaguzi ni nini kinafuata hapo kama sio kuchukua madalaka kwa Hila ili waendelee kutuumiza ndo maana tukilalamika tunaambiwa mhamie Burundi kama vip
Enyi watanzania hakika siku za mwisho zimefika, hii inchi inako kwenda mmmh ni kuanguka kbs mungu atuokoe, selikali msipuze maoni ya wananchi wenu hata baba wa taifa mwl. Julias nyelele alisha sema, siku yaja mbaya zaidi dalili ndoo hizi.
Huu ni ukweli wa mungu...
Askofu tumika uwasaidie watanzania. Mungu akutie nguvu.
Kweli baba ww askofu wa mfano sio kama bendera kufuata upepo
Ccm ni gang la wahuni waliojitolea kwa njia yoyote kuendelea kushika madaraka kwa ajili ya maslahi Yao binafsi
Inasikitisha sana viongozi tumewaweka sisi ili watutumikie alafu badala yake wanatugeuza watumwa haifai
Unafaa kuwa kiongozi mkubwa
Hata sasa ni kiongozi.
WA KANISA LAKO AU VIPI?! 😂😂😂
Rushwa zimeanza toka juu
Mapikipiki
Lakini Mimi binafsi nashangaa,,,yamefabyika mambo hapa kwenye awamu Fulani,,,watu wameuwawa,watu wamepotea,hamkuonekana hata mmara Moja kuijia juu serikali,,sasa serikali hii ya. Awamu ya sita,,ndio imefanya maajabu gani?
Wanachuki za kidini hawana jipya hao washajulikana.
Hakuna madhaaalimu kama wao hawatubabaishi.
Nikutangaza bara wakisto tokowengi tusichague hao wsuaji, hata waislam pia yumechoka
wakristu huwa una ugonjwa gani akiwa kiongozi muislam huwa mnakelwa sana nyinyi ndio mnahaki ya kuwa kuwasemea watanzania muache uchochezi wakati wa magufuli hatukuwaona muache uchechezi
HAWAJIELEWI WAGALATIA MAASKOFU WAO WAKIWAAMBIA HATA WALE MAVI WANAKULA HAWAJUI KUHOJI PALE MPUNGA UKIISHA 😢😢😢😢
Sas kama mtu anatoka nje ya misingi ya nchi tumfanyaje?, wasiseme kisa mwislam, mama yenu analazimisha kuhamisha wamasai unataka wakae kmya, anauza bandar unataka wakae kmya
Mmerogwa nyie
@@healinggospeltz4762 WAGALATIA MNAJULIKANA CHUKI ZENU WALA SIO SAMIA NYIE KANISA LINAMIPOTEZA WAULIZENI WA KENYA WALIVOWAAMBIA KANISA STAY OUT OF POLITICS WAKO NA MASLAHI YAO HAWO JAMAA NDIO POVU LINAWATOKA 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Umesahau wewe ebu kumbuka vizuri au hujamsikia Sheikh Kadogoo
Nyie wenyewe ni wezi kwenye chaguzi zenu makanisani,
Sema baba askofu
Mungu simama na Tanzania yetu Khali mbaya naona giza mbele😢
Bora wewe asikofu umetwambia ukweli
Kwa hiyo baba,hao wateule wanaovunja sheria inamaana wanahawamheshimu aliyewapa madaraka?
Hukuiringa huwatunasema tackle dada longee zao
WeWe nani mwenye mamlaka ya kuamlisha tusichague tunacho kipenda,ongea tu uonekane
Ukitaka kujua unalo bishia kua linawezekana.kumbuka,wakenya walikufa kwa kujifungia kanisan.waislam wangapi wangapi wamekufa wakitetea uisilam au fatilia mikusanyiko .ya dini yoyote na watu wana aminishwa nini.juu ya mungu,mitume na Shetan .mtu akiaminishwa yupo tayali kwa lolote kutetea dini..ukimwambia akuonyeshe mungu na Shetan majibu utakayo jibiwa utaamin wahubili na wasanii wanaweza kuwa aminisha watu wakamin wasivyo viona na wakachukua maamuzi
Asante Sana BABA kiongozi., Tafadhali naomba umuelimishe na BABA MTAKATIFU PAPA FRANSIS huko VATICAN asifungishe NDOA ya JINSIA MOJA😢, ni LAANA KUBWA. Tafadhali BABA mwambie ili tupate radhi za MUNGU.
Wanaoteka watu na kuwa uwa waniwe watokapo na waingiapo, na wao yawakute, malipo ni hapa hapa duniani na ardhi iandike na mbingu zishudie
Sema baba….Wasilazomishe kukubalika wakati wamesha kataliwa….
NILITAKA UENDELEE KUWAELIMISHA HAWA VIONGOZI.
Sawakabisa baba
ASKOFU, UKO SAHIHI.
Wanatutenga kama wakimbizi katika nchi yetu hatuta nyamaza Eemwenye enziyote utusaidie
Baba ubarikiwe sasa bora kufa kiliko kuishi kwa wasiwasi kutii waovu
Wana tuchosha kuongoza hawajui
Hawajifunz kwa bidden
Asikofu umenena vyema hongera
Askofu shughulika wakristo acha siasa
Katema madini matupu Askofu abarikiwe
Umesema haki tupu,,mbona Raisi husikii Ngorongro kuna watu, hutamki Achana na waarabu, hii,nchi utaiagamiza,mimi sipendi, majaiwa uu wapi, kikwet,e nawengineo hamshauri, muache wamasai waishi kwao,
Askofu hiiniserekari ya ubabe hakunahaki
Tatizo yanachaguliwa kwa sababu nchi au dunia nzima inakabiriwa na dhambi,mfano kuna kundi la wale manabii utasikia yanapiga kampeni achaguliwe fulani kisa anakumbatia uovu wao
Wewe ni nani kwani mpanga ukisema unakufuata nani ???
Huyo si kiongozi wa dini kwaiyo anaongea kama kiongozi wa dini na anao watu wa wakuwaambia
'Matukio' ndio inaelimisha watu !!
Kuna baadhi ya watu ni viherehere cha uovu utadhani hakuna kesho yao
huo ni utumwaaaa una wacha watu wabebe wa nyama kwenye ndege halafu wewe una unawapiga virungu watu wako..watu mtabeba laana mpaka vizazi..maana ya uhuru kutoka mabeberu ni nini sasa??
Wew e Huna lolote Mpumbavu Taarfa Tunazo Taarifa Mnendesha Kampeni Makanisani Huna Ajenda i
Udini umemjaa