''NIKISEMA USICHAGULIWE HUTOCHAGULIWA'' MANENO YA ASKOFU KWA WANASIASA WANAOTAFUTA VYEO...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 149

  • @MartinMwasyeba
    @MartinMwasyeba 25 дней назад +16

    Askofu Mwamalanga .Umeongea kweli bila kupepesa macho.Barikiwa sana.

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 25 дней назад +6

    Amina mtumishi.
    Hatuwezi kuwa watumwa kwenye nchi yetu. Hata Mungu wetu hapendi. Watalaaniwa wooote wanaotufanya tuwe watumwa kwa faida zao binafsi

  • @milkajm4762
    @milkajm4762 25 дней назад +13

    Mungu akubariki mchungaji

  • @rashiditembo1574
    @rashiditembo1574 25 дней назад +14

    Asante baba askofu,umesema ya moyoni,huna deni kwa mungu,wa kusikia amesikia ,Ambae hatasikia mwenyezi mungu atamlazimisha kusikia

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 25 дней назад +4

    What a precious and awesome speech. Asante sana
    Umeongea mambo ya maana mno natumaini umeeleweka vizuri kabisa kwa wahusika wote.

  • @mackjonathan1005
    @mackjonathan1005 25 дней назад +9

    Mungu akuongezee hekima da, huna unafiki kama watumishi wengine wa kujipendekeza ili waonekane hakika mungu yu nawe hata mbinguni mungu anakuangalia kwa jicho la karb kwa ukweli wako amina.

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 25 дней назад +5

    Barikiwa sana mtumishi wa 💪🏻

  • @user-hq8wn9tz2l
    @user-hq8wn9tz2l 25 дней назад +5

    Asanteee mchungaji

  • @sophiamalinga18
    @sophiamalinga18 25 дней назад +7

    Mungu yuko kazini

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 24 дня назад +1

      Haswaaaa sio wao kama wao Mungu yupo kazini haswaaaa🙏🤲

  • @OscarKasalile
    @OscarKasalile 23 дня назад +1

    Tunashukuru baba kwa maneno mazuri, Mungu akubariki

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 25 дней назад +4

    Kila nimsikilize naona kama mungu anaingia na sisi kupitia mtumishi huyu kwa sababu analipenda sana taifa hili.

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 25 дней назад +10

    Baba hongera umeongea ukweli ww hujipendekezi Kwa serikali 😊

  • @MagakaManyanya
    @MagakaManyanya 25 дней назад +6

    Ukitaka habari za uhakika sikilza jambo tv

  • @anordiobadia.nycsong8123
    @anordiobadia.nycsong8123 25 дней назад +2

    Ubarkiwe mtumishi wa mungu

  • @HenryKisusi
    @HenryKisusi 22 дня назад +1

    Amina baba askofu Mwamalanga, sema Samia Suluhu asichaguliwe, sema CCM isichaguliwe ni wezi na wqla rushwa kwani nguo ya kuazima wanatuita mbwa ili hali nguo wanayojivunia siyo yao.. hapana hatutaki CCM na mwizi kutoka Zanzibari

  • @GabrielOmassawe
    @GabrielOmassawe 25 дней назад +3

    Hongera baba Askofu kwa kuongea ukweli kwa Kwa hii serikali ya ubinafsi wachezaji wao revarii wao😊

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s 24 дня назад +1

    Wenye masikio wamesikia. Asante baba Askofu umenena. Maneno ya hekima saaana.

  • @RehemaMoses-w3m
    @RehemaMoses-w3m 17 дней назад

    Asante sana .mzee wa hekima umeena kweli,baba Mungu akubariki

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka 25 дней назад +3

    Mkilazimisha watu kuwaletea viongozi wasiowataka kwa njia za namna yoyote safari hii arithi na mawe vitapiga kelele kwa jina la yesu

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 16 часов назад

    Mungu Akubariki sana

  • @davidjohn8908
    @davidjohn8908 22 дня назад +1

    Hongera sana askofu, kama wanakisikia na wasikilize kwa makini, hao waarabu wanaoitaka ngorongoro walaanike

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 25 дней назад +2

    Hiki ndio kipindi kwa Watumishi wa Mungu kuingia kwenye SALA NZITO na MAOMBI MAKALI kuzuia ushirikina na uchawi visifanye kazi, Rushwa ionekane upumbavu maana hupofusha na KUTOA ELIMU ya Uraia na Haki kwa waumini, UPENDO utawale.

  • @IreneRama-jp6pm
    @IreneRama-jp6pm 8 дней назад

    Ubarikiwe baba.

  • @johnjulius3092
    @johnjulius3092 25 дней назад +1

    Uko sahihi mungu akubariki

  • @AzizaMohhamed
    @AzizaMohhamed 24 дня назад +6

    Mimi nakipendaa chama ,lakinii matendoo yaoo miee nakosaa amanii

  • @phillipmasungwa7365
    @phillipmasungwa7365 25 дней назад +7

    SAFI SANA BABA ASIKOFU.

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 25 дней назад +2

    Baba askofu hongera sana wahamasisheni wengne maaskofu kama nyie watoke waseme saf sana nchi imeoza hii jamana utekaji ngoro ngoro bandari ubabe polis wanatumika vbya yani daa

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 25 дней назад +3

    Mungu mwenyewe anaongea ndani ya mtumishi huyu.
    Jima la bwana lihimidiwe na maneno yake yatimie kwetu....amina

  • @JekobuNgwara
    @JekobuNgwara 25 дней назад +5

    CCM WEZI WANAUZA NCHI

  • @AnociathaChuwa-cb5nk
    @AnociathaChuwa-cb5nk 20 дней назад

    Ahsante Baba Askofu MUNGU atakubariki

  • @sadikimwalongo7871
    @sadikimwalongo7871 18 дней назад

    Safi sana

  • @user-zz1sj6sp8z
    @user-zz1sj6sp8z 7 дней назад +1

    Angalia.baba.yangu.wasije.kukuua

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 25 дней назад +3

    Mnaachwa kwa kusema ukweli.

  • @patrickJosse-t7h
    @patrickJosse-t7h 21 день назад

    Hatumutaki Huyu mama ,kwani Bila katiba lao bovu lá mabavu sisi hatukumchagua, hatumutaki bana anatukandamiza sana wananchi hali ni mbaya sana saizi

  • @AnjelicaBayyone
    @AnjelicaBayyone 21 день назад

    Baba askofu asante sana
    Ccm kweli walevi wa madaraka
    Kuwa na chama kimoja na kinachotumia ujinga wa wanainchi wanaona kama ni haki yao kuitawala akili za mjinga

  • @jesaminzo
    @jesaminzo 22 дня назад

    ❤❤❤

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw 22 дня назад

    Aliyekuwa na uwezo huo alikuwa Nyerere tu,leo hakuna mtu wa kushawishi watu kuchagua mtu au kutomchagua.

  • @CalistusTitus-s5o
    @CalistusTitus-s5o 25 дней назад +1

    Pameanza kuchangamka, watakuja mashekhe ubwabwa wataingiza udini hapo. Awajui magufuri alikuwa mkristo na maaskofu walikuwa wa kwanza kumpinga. Jamani shida ya hii nchii ni CCM ni mashetani yasiyotaka kubadirika

  • @edgarkaijage1750
    @edgarkaijage1750 18 дней назад

    Askofu ebu mtumikie Mungu ,ebu achana na siasa ,ukishindwa kagombee ubunge,au urahisi uone siasa ilivyo ngumu

    • @RevocatusMchau-mp2mg
      @RevocatusMchau-mp2mg 7 дней назад

      Yaani wewe ndio unalazimisha Siasa ionekane ni ngumu.

    • @josehmark
      @josehmark 4 дня назад

      Unataka amtumkie Mungu yupi huyo? Anapenda mauwaji? Au wew unaelewa kumtumika Mungu ni kanisani tu? Hebu panua fikra zako vizr watu hawahawa ndo wamo makanisani na misikitini na kwenye siasa pia,, na kuhubiri au kukemea maovu sio mpaka kwenye nyumb ya ibada tu ndg elewa hivyo

  • @patrickJosse-t7h
    @patrickJosse-t7h 21 день назад

    Tumeshafikia baba askofu sababu saizi tunaongozwa na waarabu , uwongozi saizi tunaongozwa na vibalaka

  • @PeterKisiongo
    @PeterKisiongo 25 дней назад

    in Jesus name 🙏🙏 God bless mutumishi wa Mungu

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 5 дней назад

    Askofu umeongea ukwer lakini hawaskii wamegeuza vyama pinzani niadui mungu ingilia kati tunajua unafaham kilakitu kinachoendelea wekamikonoyako tuokoe katika mikono yamagaidi

  • @BabaBabalili
    @BabaBabalili 17 дней назад

    Daaaa

  • @ElishaMasuka
    @ElishaMasuka 25 дней назад

    Thanks mchungaji!

  • @IssaHirsy
    @IssaHirsy 25 дней назад +3

    Sema hatumtaki huyo b tozo

  • @fxmeddy9567
    @fxmeddy9567 24 дня назад

    Jambo TV Big up sanaaa

  • @bishopaugustinempemba4561
    @bishopaugustinempemba4561 19 дней назад

    R moja ni RECONCILIATION yaani MARIDHIANO. Hiyo R imeshindwa kufanya kazi nchini. Watu kutekwa, kupotezwa na kuuawa ni udhihirisho kuwa nchi haina MARIDHIANO. Hizo R nne hata viongozi waliopo hawawezi kueleza maana yake maana hazikuwa zimetoka kwenye kilindi cha moyo bali kwenye porojo tu za kisiasa ili kuhadaa watu wasio na ufahamu. Wanaojielewa hawadanganyiki!

  • @JofreySanga-lu8pn
    @JofreySanga-lu8pn 25 дней назад +1

    Askofu upo vizuri nawengine waige kwako kuwa wazarendo kwa binadamu wenzetu

  • @mohdhussein4548
    @mohdhussein4548 23 дня назад

    Amina baba mama afai

  • @nasaelmanya1850
    @nasaelmanya1850 17 дней назад

    Nashukuru Viongozi wa dini wanaojitambua kama wew....wengine kama wale wa KKKT wametekwa kimawazo wamepiga kimya hawasemi chochote, Wamewekwa mfukoni wamebakia kushangilia na kuunga mkono yote mabaya yanayofanywa na serikali.

  • @YonahMwamwaja
    @YonahMwamwaja 25 дней назад +4

    BARIKIWA ASKOFU WETU MUNGU AKUKUBUKE UMENAWA BERE ZAMUNGU.

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 25 дней назад +4

    CCM watuona watanganyika ni wajinga,

  • @abubakarimburu9096
    @abubakarimburu9096 22 дня назад

    Tumataka useme ili tuona kama kweli ww umekuwa mungu maana mmezidi kujifanya miungu watu

  • @user-ig3bu6lb5i
    @user-ig3bu6lb5i 24 дня назад

    Sema.

  • @gabrielmahala9848
    @gabrielmahala9848 22 дня назад

    Hawa ndio viongozi wa dini pamoja askofu Mwamakula wanaomtumikia Mungu kweli

  • @dillonfoya
    @dillonfoya 25 дней назад +4

    Naiwe hivyo

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 20 дней назад

    Askofu uanfalie utakamatwa na watu wasiojulikana
    Kwa sasa nchi inatisha! Imekuwa nchi ya mazingaombwe!

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns2646 19 дней назад

    MBWA MWENYE BUSARA HAMBWAKII MWEWE ANGANI.... NA BADO... 🖐🏼 MITANO TENA.... MAMMAEE 😂😂😂😂

  • @CharlesMulaki-j8h
    @CharlesMulaki-j8h 25 дней назад

    Big up baba

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx 12 дней назад

    Chama nakipenda ila kwasasa wanakiuka misngi yakikatiba ndio maana tumefika hapa ya wenye nacho nawasionacho

  • @GodfreyMwendawila-ff7on
    @GodfreyMwendawila-ff7on 25 дней назад +1

    Katiba ya CCM ndo inaeleza hivo kuwa mwenye mamlaka anaweza amua lolote na hakuna wa kuongea, kama raisi anaweza kuandaa jeshi kwa ajili ya uchaguzi ni nini kinafuata hapo kama sio kuchukua madalaka kwa Hila ili waendelee kutuumiza ndo maana tukilalamika tunaambiwa mhamie Burundi kama vip

  • @mackjonathan1005
    @mackjonathan1005 25 дней назад

    Enyi watanzania hakika siku za mwisho zimefika, hii inchi inako kwenda mmmh ni kuanguka kbs mungu atuokoe, selikali msipuze maoni ya wananchi wenu hata baba wa taifa mwl. Julias nyelele alisha sema, siku yaja mbaya zaidi dalili ndoo hizi.

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 20 дней назад

    Huu ni ukweli wa mungu...

  • @charlesngalison7554
    @charlesngalison7554 25 дней назад

    Askofu tumika uwasaidie watanzania. Mungu akutie nguvu.

  • @MosesMagwila
    @MosesMagwila 6 дней назад

    Kweli baba ww askofu wa mfano sio kama bendera kufuata upepo

  • @HassaniUlenge-j5j
    @HassaniUlenge-j5j 8 дней назад

    Ccm ni gang la wahuni waliojitolea kwa njia yoyote kuendelea kushika madaraka kwa ajili ya maslahi Yao binafsi

  • @johnsonsamwel7207
    @johnsonsamwel7207 23 дня назад

    Inasikitisha sana viongozi tumewaweka sisi ili watutumikie alafu badala yake wanatugeuza watumwa haifai

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 25 дней назад +2

    Unafaa kuwa kiongozi mkubwa

  • @AnociathaChuwa-cb5nk
    @AnociathaChuwa-cb5nk 20 дней назад

    Rushwa zimeanza toka juu
    Mapikipiki

  • @KudraSadiki
    @KudraSadiki 25 дней назад

    Lakini Mimi binafsi nashangaa,,,yamefabyika mambo hapa kwenye awamu Fulani,,,watu wameuwawa,watu wamepotea,hamkuonekana hata mmara Moja kuijia juu serikali,,sasa serikali hii ya. Awamu ya sita,,ndio imefanya maajabu gani?

    • @nahlaaasidee1848
      @nahlaaasidee1848 24 дня назад

      Wanachuki za kidini hawana jipya hao washajulikana.
      Hakuna madhaaalimu kama wao hawatubabaishi.

  • @FrankEdson-l2o
    @FrankEdson-l2o 6 дней назад

    Nikutangaza bara wakisto tokowengi tusichague hao wsuaji, hata waislam pia yumechoka

  • @KudraWanguvu-em1xw
    @KudraWanguvu-em1xw 25 дней назад +3

    wakristu huwa una ugonjwa gani akiwa kiongozi muislam huwa mnakelwa sana nyinyi ndio mnahaki ya kuwa kuwasemea watanzania muache uchochezi wakati wa magufuli hatukuwaona muache uchechezi

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 25 дней назад

      HAWAJIELEWI WAGALATIA MAASKOFU WAO WAKIWAAMBIA HATA WALE MAVI WANAKULA HAWAJUI KUHOJI PALE MPUNGA UKIISHA 😢😢😢😢

    • @healinggospeltz4762
      @healinggospeltz4762 24 дня назад

      Sas kama mtu anatoka nje ya misingi ya nchi tumfanyaje?, wasiseme kisa mwislam, mama yenu analazimisha kuhamisha wamasai unataka wakae kmya, anauza bandar unataka wakae kmya
      Mmerogwa nyie

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 24 дня назад

      @@healinggospeltz4762 WAGALATIA MNAJULIKANA CHUKI ZENU WALA SIO SAMIA NYIE KANISA LINAMIPOTEZA WAULIZENI WA KENYA WALIVOWAAMBIA KANISA STAY OUT OF POLITICS WAKO NA MASLAHI YAO HAWO JAMAA NDIO POVU LINAWATOKA 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

    • @mwlpierre
      @mwlpierre 22 дня назад

      Umesahau wewe ebu kumbuka vizuri au hujamsikia Sheikh Kadogoo

  • @sundaystanley5322
    @sundaystanley5322 23 дня назад

    Nyie wenyewe ni wezi kwenye chaguzi zenu makanisani,

  • @FocusmachumuMwizarubi
    @FocusmachumuMwizarubi 21 день назад

    Sema baba askofu

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 25 дней назад

    Mungu simama na Tanzania yetu Khali mbaya naona giza mbele😢

  • @MkingaJulius
    @MkingaJulius 25 дней назад +2

    Bora wewe asikofu umetwambia ukweli

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 25 дней назад +1

    Kwa hiyo baba,hao wateule wanaovunja sheria inamaana wanahawamheshimu aliyewapa madaraka?

  • @KandidoLuvanga
    @KandidoLuvanga 4 дня назад

    Hukuiringa huwatunasema tackle dada longee zao

  • @Nghomano
    @Nghomano 25 дней назад +1

    WeWe nani mwenye mamlaka ya kuamlisha tusichague tunacho kipenda,ongea tu uonekane

    • @BoscorPatrick
      @BoscorPatrick 25 дней назад

      Ukitaka kujua unalo bishia kua linawezekana.kumbuka,wakenya walikufa kwa kujifungia kanisan.waislam wangapi wangapi wamekufa wakitetea uisilam au fatilia mikusanyiko .ya dini yoyote na watu wana aminishwa nini.juu ya mungu,mitume na Shetan .mtu akiaminishwa yupo tayali kwa lolote kutetea dini..ukimwambia akuonyeshe mungu na Shetan majibu utakayo jibiwa utaamin wahubili na wasanii wanaweza kuwa aminisha watu wakamin wasivyo viona na wakachukua maamuzi

  • @issapagali1330
    @issapagali1330 20 дней назад

    Asante Sana BABA kiongozi., Tafadhali naomba umuelimishe na BABA MTAKATIFU PAPA FRANSIS huko VATICAN asifungishe NDOA ya JINSIA MOJA😢, ni LAANA KUBWA. Tafadhali BABA mwambie ili tupate radhi za MUNGU.

  • @PeterJonathan-c8k
    @PeterJonathan-c8k 24 дня назад

    Wanaoteka watu na kuwa uwa waniwe watokapo na waingiapo, na wao yawakute, malipo ni hapa hapa duniani na ardhi iandike na mbingu zishudie

  • @tumainimayala8187
    @tumainimayala8187 25 дней назад +1

    Sema baba….Wasilazomishe kukubalika wakati wamesha kataliwa….

  • @philomenastephen3364
    @philomenastephen3364 24 дня назад

    NILITAKA UENDELEE KUWAELIMISHA HAWA VIONGOZI.

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 24 дня назад

    Sawakabisa baba

  • @willymgaya7618
    @willymgaya7618 20 дней назад

    ASKOFU, UKO SAHIHI.

  • @richardmwandanji65
    @richardmwandanji65 25 дней назад

    Wanatutenga kama wakimbizi katika nchi yetu hatuta nyamaza Eemwenye enziyote utusaidie

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai 24 дня назад

    Baba ubarikiwe sasa bora kufa kiliko kuishi kwa wasiwasi kutii waovu

  • @ZawadyKaoneka
    @ZawadyKaoneka 19 дней назад

    Wana tuchosha kuongoza hawajui

  • @ramadhanimmana3829
    @ramadhanimmana3829 25 дней назад

    Hawajifunz kwa bidden

  • @joshuakasemelo1675
    @joshuakasemelo1675 25 дней назад

    Asikofu umenena vyema hongera

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 23 дня назад

    Askofu shughulika wakristo acha siasa

  • @hamisijuma5297
    @hamisijuma5297 24 дня назад

    Katema madini matupu Askofu abarikiwe

  • @phiniaswandiba3130
    @phiniaswandiba3130 25 дней назад

    Umesema haki tupu,,mbona Raisi husikii Ngorongro kuna watu, hutamki Achana na waarabu, hii,nchi utaiagamiza,mimi sipendi, majaiwa uu wapi, kikwet,e nawengineo hamshauri, muache wamasai waishi kwao,

  • @RizikiMlela
    @RizikiMlela 24 дня назад

    Askofu hiiniserekari ya ubabe hakunahaki

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 24 дня назад

    Tatizo yanachaguliwa kwa sababu nchi au dunia nzima inakabiriwa na dhambi,mfano kuna kundi la wale manabii utasikia yanapiga kampeni achaguliwe fulani kisa anakumbatia uovu wao

  • @sofiakhan9706
    @sofiakhan9706 25 дней назад +1

    Wewe ni nani kwani mpanga ukisema unakufuata nani ???

    • @AwardHakimu
      @AwardHakimu 25 дней назад

      Huyo si kiongozi wa dini kwaiyo anaongea kama kiongozi wa dini na anao watu wa wakuwaambia

  • @knight6757
    @knight6757 25 дней назад

    'Matukio' ndio inaelimisha watu !!

  • @cyprianpetetmbonde6374
    @cyprianpetetmbonde6374 25 дней назад

    Kuna baadhi ya watu ni viherehere cha uovu utadhani hakuna kesho yao

  • @coolsinare8824
    @coolsinare8824 25 дней назад

    huo ni utumwaaaa una wacha watu wabebe wa nyama kwenye ndege halafu wewe una unawapiga virungu watu wako..watu mtabeba laana mpaka vizazi..maana ya uhuru kutoka mabeberu ni nini sasa??

  • @HASSANWAZIRIGAO
    @HASSANWAZIRIGAO 25 дней назад +3

    Wew e Huna lolote Mpumbavu Taarfa Tunazo Taarifa Mnendesha Kampeni Makanisani Huna Ajenda i