SHILOLE AMTAMBULISHA RASMI MPENZI WAKE, STEVE NYEYERE ATEMA CHECHE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 107

  • @maimoonahamadi4362
    @maimoonahamadi4362 3 года назад +3

    Wooow mashallh love 😘😍😍😍😍dada shilole 🇰🇪

  • @saidinuhu1959
    @saidinuhu1959 3 года назад +3

    "Kijana anajua mama anataka furaha" umeelew nn hapo like kam zote.

  • @elizabethgeorge802
    @elizabethgeorge802 3 года назад +4

    waoooooh mamy love san shem wetu rommy

  • @gloriouslameck6909
    @gloriouslameck6909 3 года назад +2

    Waooooh shem wetu pa1❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @themagadir
    @themagadir 3 года назад +3

    Am happy for shilole na rommy3d

  • @faridasiraji9396
    @faridasiraji9396 3 года назад +1

    Hngera sna my cster

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis3303 3 года назад +7

    piga kelele kwa shishi baby yakeeeeee😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

    • @gloriouslameck6909
      @gloriouslameck6909 3 года назад

      Weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee😊😊😊😊

  • @faridaiddi104
    @faridaiddi104 3 года назад +2

    Shishi tulia nae mmetka mbali Arafu shemeji mpole mashallah

  • @sistadready5368
    @sistadready5368 3 года назад +3

    She's very young. congratulations girl. Enjoy life

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 3 года назад +1

    Duh mambo ni mengi muda hautoshi😂😂😂

  • @mariamahmad1716
    @mariamahmad1716 3 года назад

    Hongera sana dada Shilshi

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 года назад +2

    Ni kweli stive,mwambie shishi

  • @shadyakhatib3348
    @shadyakhatib3348 3 года назад

    CONGRATS SHISHY BABE GAL AND GOOD LOOKING GUY ROMMY💘🙏

  • @fidesbenard2836
    @fidesbenard2836 3 года назад +1

    Hongera

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara5480 3 года назад +5

    Asingekua maarufu Shilole hichi kikinda hata km kilidate nae zamani kisingemkumbuka.Hichi kijana kinatembelea nyota ya Shilole.Ukiwa maarufu kupata mpenzi wa kweli kazi.

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 3 года назад +2

    Kiukweli shishi nakupenda Sana ila ulivyo kuwa na uchebe hapa ulipo nguvu zimeniisha siku chaguliwa mtu ila uchebe bwana mlipendeza saaaaanaaaaa yani lakini hapoo mmmmh haya sijui ndiyo mshaowana hapoo au? Stevu naweyeee hakuna mkamilifu jamanii mkumbukee 😪 namlilia shishi na uchebe😥😥😥😥😥😥😥😭😭😭😭😭😭

  • @hadijasalim7769
    @hadijasalim7769 3 года назад

    Ongera dada

  • @mcheshcomedy5809
    @mcheshcomedy5809 3 года назад +1

    Baada ya miezi mitatu UTASIKIA wamehachana!!!!🌟

  • @vero57
    @vero57 3 года назад

    KWELI KABISA, Steve

  • @kassimkaira7558
    @kassimkaira7558 3 года назад

    Twins in love 60

  • @mlasinyongolo3256
    @mlasinyongolo3256 3 года назад

    UNANICHEKESHA STEVE , ila umehongelea mazima, na Dada SHISHI, tekeleza HUSIA wa Mzee STEVE .

  • @saadiaali5609
    @saadiaali5609 3 года назад +2

    Aisee shishi kwakweli hakuwa na mawazo

  • @swaumuabdallah4547
    @swaumuabdallah4547 3 года назад +1

    Nyelele mbea jmn😁😁

  • @mymunamymuna4807
    @mymunamymuna4807 3 года назад +5

    Ata ufanye nini uchebe harushiki roho baki na huyo kikima chako hapo

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 3 года назад +5

    Kiherehere endelea nacho Steve next time sijui utaongea nini.

  • @atanasjuma433
    @atanasjuma433 3 года назад +4

    shilole hajachoka tu kuchezewa na watoto

    • @themagadir
      @themagadir 3 года назад

      Ni mpenzi wake wa zamani sana. Mapenzi ya utotoni leo wanayakumbusha

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 3 года назад +1

      He! Uyo sio mtoto my dear na shilole ni mdogo

    • @joycekasimbazi9817
      @joycekasimbazi9817 3 года назад +1

      Ni mkubwa ukiangalia

    • @joycekasimbazi9817
      @joycekasimbazi9817 3 года назад +1

      @@jescajulius8023 ni mkubwa zile picha Enzi hizo wako Sawa tena anaweza kumzidi ila ni Mpole hivi

    • @khalekichambo2143
      @khalekichambo2143 3 года назад +2

      Ni k yake muache achezewe. Kipa mtu anahangaika na mapenzi kwahiyo muache ahangaike mpaka ampate wa kumtuliza moyo wake

  • @tamaraseff.9707
    @tamaraseff.9707 3 года назад

    Wagu wagu shish baby upoooo

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 3 года назад +2

    Kwani hii ni ndoa?

  • @dechaggagirl1614
    @dechaggagirl1614 3 года назад

    Wow basi mdumu habbt ikawe kher

  • @khalekichambo2143
    @khalekichambo2143 3 года назад +2

    Romy ina onyesha ni mpole si msemaji na anampenda Zuwena. Tuna waombea kila la kheri, muoane tena muache zina

  • @ramadhanathuman940
    @ramadhanathuman940 3 года назад +3

    Huyo jamaa haendani na shishi ila kwakua wanawake wajanja hupenda wanaume maboya 😁😁😁😁

    • @fetty1571
      @fetty1571 3 года назад

      Ha ha ha umetustukia,unakuwa na Mume Hana kauli unamtuma hadi kudeki chooni

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 3 года назад +1

      Mbona nyie mnatufanya maboya sasa zamu yenu mkae kwa kutulia mtafanya kazi za ndani

    • @fetty1571
      @fetty1571 3 года назад

      @@maloomaalmnsj5111 ha ha ha haaa

    • @magynzioka1122
      @magynzioka1122 3 года назад

      @@fetty1571 divio wanawake wa bongo wanavio taka

    • @jenipherkavusha1661
      @jenipherkavusha1661 3 года назад

      Hahahaha nimecheka kizembe

  • @beatricemshiu2816
    @beatricemshiu2816 3 года назад +1

    Hyo miwani si akaikaze hizo screw kila saa anaishikilia si itaanguka

  • @jesusmyeverything9179
    @jesusmyeverything9179 3 года назад

    Steve leo amekuwa wale mama wazee wa zamani.Siku ya sendoff au harusi walikuwa wanakera walikuwaga wanaongea kasoro zote za mabinti zao mbele ya kadamnasi.Utasikia wanasema,mwanangu zuwena au Halima,tabia yako ya kiburi na kuzura uache mwanangu,sasa hivi unaenda kuolewa unakuwa mke wa watu usiniiabishe,uwe unarudi nyumbani mapema.Ulikuwa unanisumbua kufanya usafi nyumbani,kwa mume wako kafanye mwanangu,masufuria uwe unayang'arisha yanatakata😁😁😁walikuwa wanakera.Kuna mwingine alivyoona mama yake anazidi kumuaibisha akamwambia mc nenda kamnyang'anye kipaza sauti huyo mama asituharibie sherehe🤔🙌😁😁😁.

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 3 года назад

    Shishi kila cku ww miaka haisongi mbele khaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @amanimanase5794
      @amanimanase5794 3 года назад +1

      Wacha fitna wew usimfananishe shishi na akina wema,uwoya na wolper,uyu mie namfahamu alikotokea amezaliwa mwaka 1987 sasa piga hesabu anamiaka ngapi mpk sasa

  • @abdalahmohamedi1806
    @abdalahmohamedi1806 3 года назад +2

    Shishi sehemu zako za siri sio siri tena

  • @vumiliakilosa1690
    @vumiliakilosa1690 3 года назад

    Shilole mkweli

  • @suzanemwangingo6932
    @suzanemwangingo6932 3 года назад +1

    Nuhu wanini tena

  • @nuraabdi1379
    @nuraabdi1379 3 года назад +3

    Kwa hiyo mm sielewi hiyo ndoa itakuwa ya msikitini au kanisani?

    • @faridaiddi104
      @faridaiddi104 3 года назад

      Kwan shishi mkirsto

    • @khalekichambo2143
      @khalekichambo2143 3 года назад

      Wote Waislamu anaitwa Rajab, kwanini waoane kanisani?

    • @nuraabdi1379
      @nuraabdi1379 3 года назад

      @@khalekichambo2143 Hilo jina la mchumba wake nilijua ni dhehebu jingine ndo maana nukauliza

    • @khalekichambo2143
      @khalekichambo2143 3 года назад

      @@nuraabdi1379hilo jina naona la kibiashara/kimitandao

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 3 года назад

    Mmh

  • @mwanahamisseif5506
    @mwanahamisseif5506 3 года назад

    Kumbe shishi mdg angu

  • @ramadhanikiluwa2536
    @ramadhanikiluwa2536 3 года назад

    Ndio maana wakaitwa wasanii nmekubali leo

  • @muanashaswaleh5110
    @muanashaswaleh5110 3 года назад +2

    Tena shishi ajitambua akifikasha 40 years atakuambali sana kama sahii anamiliki mjengo wake siwale wakudaiwa kodi kilasiku

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 3 года назад

    Mpenzi wako Baba levo leo yupo wapi hapo?

  • @yusuphomsumary3445
    @yusuphomsumary3445 3 года назад

    Gumegume holo

  • @yudadaniel4867
    @yudadaniel4867 3 года назад

    hao mabaunsa sasa daaa

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 3 года назад

    Shilole ameoa

  • @azizaiddy1453
    @azizaiddy1453 3 года назад

    Shishi jaman tulia nahuyu kaka

  • @maloomaalmnsj5111
    @maloomaalmnsj5111 3 года назад +3

    Shishi bhana msemeji wako mmegombana asaivi umemchukua stive nyelele ila uyo shemeji kama mgonjwa ivi

  • @bensimon7330
    @bensimon7330 3 года назад

    Kabemendwa huyoo kijana

  • @ahmuhally4430
    @ahmuhally4430 3 года назад

    Mnaongea Pumba tu

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 3 года назад

    Kila la kheri

  • @happinessmartini8567
    @happinessmartini8567 3 года назад

    Huyo bwana arusi mke wake na mtt wameisha achana au shishi mke wa pili

    • @florencegideon1467
      @florencegideon1467 3 года назад

      Wanavyodai wote walishaachana ndio wakakutana tenaaa

  • @saadiaali5609
    @saadiaali5609 3 года назад +1

    Stiv wacha kumsifu sana

  • @neemamariki4030
    @neemamariki4030 3 года назад

    Unafiki wa tivu ni wa ngaz ya phd

  • @asiaenzi5542
    @asiaenzi5542 3 года назад

    Weuweeee wapi uchebe

  • @halimajamaniamekuwamndeme9617
    @halimajamaniamekuwamndeme9617 3 года назад

    Mbona hako kakijna ni katoto sana

  • @mwanaisharobert6830
    @mwanaisharobert6830 3 года назад +1

    Hivi shishi wewe mbona unaolewa kila siku tena na vijana wadogo tu

  • @selestineosoo5045
    @selestineosoo5045 3 года назад +1

    Eti kio cha jamii.. Wafundisha nini waschana wadogo wewe..

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 3 года назад

    Kweli kabisa tuliya shishi

    • @zenayakalawa930
      @zenayakalawa930 3 года назад

      Msemaji mmempata!!! Anaongea pumba tupu...Na pia mpeni kitengo Cha kukusanya michango ya Harus,,,

  • @faridaiddi104
    @faridaiddi104 3 года назад +1

    Shishi tulia nae mmetka mbali Arafu shemeji mpole mashallah