Mshindi wa Milioni 10 alivyotembelewa na Masta Shangwe jijini Dar es salaam

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Hivi ndivyo jinsi Bi Godfrida Kamashanju alivyotembelewa na Masta shangwe kumkabidhi zawadi ya kukamilisha ndoto yake ya kuendeleza biashara.
    Bi Kamashanju ni kati ya wateja wengi walioweza kuamsha ndoto zao kupitia kampeni yetu inayoendeleza lengo letu la kubadilisha maisha ya watanzania kupitia huduma zetu.
    Asanteni wateja wetu na hongera kwa washindi wote.
    #Amshandoto #Pamojatunaweza #Zaidiyamtandao

Комментарии • 3