Big up sana mr. Muliro speech yako ina maana kubwa sana kwa jamii, pia tunashukuru kwa juhudi zako juu ya hili tatizo la panya road, thanks for your rapid response units.
Nalikubali sana, jeshi lapolisi Tanzania ,lipo.imara sana,kwakweli.linajitahdi sana,hongeren sana jeshi letu,mwenye ebxi MUNGU awalinde,awape msisha marefu,mzidi kutetea wananchi!
Safi sana, yani hawa watoto wazur hivi kwa muonekano ndio wanakatakata watu hovyo kama wale wachonja nyama kule tandale, alafu mbona wameanza kuchechrmea, mmeshaanza kuwadunda nini? Wadundisheni jinzi ya kuishi kwenye jamii kwenye nchi isiokuwa na vita.
Mimi nafikiri sasa waliobakia sio panya rod ni wavuta bangi wauza bangi na vijana wakorofi wa maskani na mitaa maana panya rod hawapo wengi kiasi hiki cha kila siku wanaingia central makundi kwa makundi, panya rod wenyewe kwa mimi ninavyohisi ni vikundi visivyozidi hata 5 isipokua ni watu wanaofanya matukio yao sehemu mbali mbali sasa basi jeshi la police lisitutangazie kwamba wanakamata panya rod hao ni wahalifu tu wa kawaida
Kosa la mtoto haliwezi kumwadhibu mzazi, au kosa la mzazi haliwezi kumwadhibu mtoto. Hawa panya wakihasiwa watakuwa wapole na Mori wa kutenda uhalifu unaisha.
Inasikitisha sana vijana wadogo sana na ndiyo nguvu ya taifa jamani tufanye nini Ee MUNGU tusaidie watanzania tufanyeni kazi jamani hata kama huna wazazi
Jaman naumia sana nikiwa kama mzazi ukizingatia ni watoto wadogo sana,eee Mwenyewe wasaidie watoto waache tabia zisizofaa katika jamii na hawa wauza madawa ya kulevya natamani wakikamatwa wauwawe tu maana wakiwauzia hayo madawa wakishayatumia ndyo yanawavuruga watoto akili na kufanya vitendo vya kinyama
Hawaadhimishi msibahuo kwa kupora ila wanakuja kulipiza kisasi yaani ni kuchinja tu, ,sasa hilo eneo liwekewe ulinzi wa muda mrefu hata mwezi hasira zao zipungue,bora wao waue kuliko wao kufa
Vijana hawa wana Nini kichwani ? bange lipi wanavuta ?mpaka akili hawana , roho Zao ziko kama chuma ? angalau kuhiba Sawa lakini mapanga na risasi ? AAA sijawahi kuona
Hivi nyie watoto mnajisikiajee hivyo mlivya bomolewa mifimbo mpaka kutembea wengine mnachechemea na kuwapa hekaheka wazee wenu wacheni jamani utukutu watoto nyieee
Nakukubali sana kamanda mliro kila lakher mkuu mwenyezi mungu azidi kukutia nguvu uendelee kuchapa kazi na mwenyezi mungu ikimpendeza upande ngazi mpaka IGP
Big up sana mr. Muliro speech yako ina maana kubwa sana kwa jamii, pia tunashukuru kwa juhudi zako juu ya hili tatizo la panya road, thanks for your rapid response units.
Ukiwaona kama mzazi unaumia sana lakini ukikumbuka matendo yao unamwomba Mungu tu 😭😭
Tena Sana nawaonea huruma wazazi wao unasema umepata mtoto kumbe ni mtihani
@@hadijamandanje6189 mtihani kwa kweli
ya Allah tunusuru sisi na ndugu zetu na hii mitihani
Amiin 🤲 ya Allah
Yaani Mungu wasamehe hawa vijana utafkiri wamezaliwa na mmaa mmoja fanana yao
serekali kazi nzuri sana,Sasa anzeni misako na mitandaoni kunamajitu hayana haya yanavaa nguo ambazo hazina maadili alafu yanajiweka mitandaoni.
Hongera JESHI LETU LA POLISI kwa kutimiza JUKUMU lenu la kulinda Wananchi na Mali zao.
Good
Hongera sana jeshi letu la polisi. Kazeni buti tu na mahakama itende haki tu
Nalikubali sana, jeshi lapolisi Tanzania ,lipo.imara sana,kwakweli.linajitahdi sana,hongeren sana jeshi letu,mwenye ebxi MUNGU awalinde,awape msisha marefu,mzidi kutetea wananchi!
Nakukubali Sana mwamba.mumqu akulinde sana.
Next IGP
Asante makamanda wetu mungu awalinde
Afande Muriro namuelewa sana
Please expand this operation nationwide and Tanzania will become a peaceful place as it was before
Hao panyaroad wauliwe
Ya rabb Waongoze vijana wetu
Biq up Makamanda.
Tz bila uhalifu inawezekana timizeni wajibu wenu na rasilimali mlizonazo kuwamaliza hawa shenz panya road
Safi sana, yani hawa watoto wazur hivi kwa muonekano ndio wanakatakata watu hovyo kama wale wachonja nyama kule tandale, alafu mbona wameanza kuchechrmea, mmeshaanza kuwadunda nini? Wadundisheni jinzi ya kuishi kwenye jamii kwenye nchi isiokuwa na vita.
Biashara ya uuzaji mapanga kiholela barabarani hasa Barabara ya Mandera na Nyerere unatakiwa ukomeshwe, Siraha hizo hazitakiwi kuuzwa hadharani
Ndiyo maana Uingereza hauziwi bila ID kitambulisho
Mzazi mlezi mtt ananyoa nywele ivyo bado unaangalia tuu mtuhani kwakweli vjana wadogo
Utafikiri misukule
Hii mtihani
Washenzi hawa wakatwe mikono yao
mpaka naogopa wallahy😔😔🙏
Wapigeni sindano za sumu tu wanazingua sana
Muliro piga kazi kamanda wetu pia mwanza tumeku miss
Naumia nikiwa kama mzazi yarabi kiokowe kizazi chetu
Tanzania siyo ya kuchezea.
Mkiwa kamata muwache msiwatowe mana wanapotoka wanafanya makosayao
🤲🙏
Jaman tuomba opereshen ifike na kivule
Mbona wanatembea kama walemavu?
Mimi nafikiri sasa waliobakia sio panya rod ni wavuta bangi wauza bangi na vijana wakorofi wa maskani na mitaa maana panya rod hawapo wengi kiasi hiki cha kila siku wanaingia central makundi kwa makundi, panya rod wenyewe kwa mimi ninavyohisi ni vikundi visivyozidi hata 5 isipokua ni watu wanaofanya matukio yao sehemu mbali mbali sasa basi jeshi la police lisitutangazie kwamba wanakamata panya rod hao ni wahalifu tu wa kawaida
Wanakwenda kuhojiwa kwa kina
Kosa la mtoto haliwezi kumwadhibu mzazi, au kosa la mzazi haliwezi kumwadhibu mtoto. Hawa panya wakihasiwa watakuwa wapole na Mori wa kutenda uhalifu unaisha.
Muwahasi na hao wanaoiba hela za umma ili wasiwe wezi kwa kukosa ajira.
7
Ni kosa la jinai kuuza siraha Barabarani, hasa mapanga, wauzaji wa mapanga wakamatwe
Panga sio silaha bali ni kitendea kazi
@@swahilit.v7287 hats bunduki na bastola ni kitendea kazi.
@@swahilit.v7287 PANGA SILAHA
jeshi letu liweke muda maalum wa kumaliza michezo viwanjan kwetu na watu kusambaratika haiwezekan mkae uwanjani mpaka saa 1 na nusu
dooh jamani ?!!! hii ni Nini ? watz !!!
Vijana wachanika mnaosuka kaeni makini alf mbona wanachechemea
🤣🤣🤣🤣
Inasikitisha sana vijana wadogo sana na ndiyo nguvu ya taifa jamani tufanye nini Ee MUNGU tusaidie watanzania tufanyeni kazi jamani hata kama huna wazazi
Jaman naumia sana nikiwa kama mzazi ukizingatia ni watoto wadogo sana,eee Mwenyewe wasaidie watoto waache tabia zisizofaa katika jamii na hawa wauza madawa ya kulevya natamani wakikamatwa wauwawe tu maana wakiwauzia hayo madawa wakishayatumia ndyo yanawavuruga watoto akili na kufanya vitendo vya kinyama
Kabisa
Hizo nywele nyoeni kwanza wembe mkali ndo waeleze
Kamanda makini umeeleweka.Unastahili kuongoza jeshi la Polisi.
Hawa wanyolewe minywele wapat adhab stahik maan washenz sana
KWANI KUNYOLEWA NYWELE ADHABU??? WAKATWE MIKONO.
@@salimmalaka256 😆😆😆😆😆sheria iyo amn sas ndio maan
Yan hao ni hatari Sana
Yani wanashuka ktk gari kilaini laini ivyo piga mpaka wasaau walikotoka
dah hawa ndo wenyewe hasaaa
Hawaadhimishi msibahuo kwa kupora ila wanakuja kulipiza kisasi yaani ni kuchinja tu, ,sasa hilo eneo liwekewe ulinzi wa muda mrefu hata mwezi hasira zao zipungue,bora wao waue kuliko wao kufa
Ila kamanda kwa hapo nadhani ni vizur kila kijana atembee na kitambulisho, ili wakishukiwa wajulikane haraka ni kina nani,
Wakateni viganja vya mikono tuone Hilo panga wanalishikaje.
Duu panya road kwa madolizeni hawa si panya road ni jeshi la mtu kajifantia kwa kuipinga erikali
Tumalizane nao tu site. Mbona wakati wa JPM huu uhalifu haukuwa mkubwa hivi
Sio kweli, Panya road wapo nyakati zote na awamu zote. Wewe upo Dunia gani? Siyo mfuatiliaji wa Mambo.
Fuatilia kituo cha polisi cha mbagala maturubai
Yes..mbagala inahitaji kuangaliwa haswaa
Hao miaka 30 inaweza kuwaweka sawa, sio miezi sita kisha munawawachia
Sasa ao sivitakua vibinti via jera Sasa sirikari Ina tuzarishia vibinti via jeraa
Kamanda umeongea Vema nimekuelewa
Hahahaha jamaaa wanachechemeaa...walikuaa hawataki kuingiaa Kwa defenda bila Shaka hahahaha
WAMEUMIA WALIPOKUWA KATIKA UVAMIZI WAO.
Vijana hawa wana Nini kichwani ? bange lipi wanavuta ?mpaka akili hawana , roho Zao ziko kama chuma ? angalau kuhiba Sawa lakini mapanga na risasi ? AAA sijawahi kuona
Asilimia 90 ya hao vijana watatoka kwasababu polisi hawana ushahidi wa kuwafunga. Watakaa rumande lakini wengi watarudi mtaani.
Wengine wanakosa hatamda wa kuoga kazikuwaza mauajitu
sawa baada ya kushikwa serikali imewafanya nini ao sio watoto wanaakili zao timamu watoto awawezi kufanya matukio kama ayo ya ujambazi
Ww unaongea nn kwanz mbon unalopoka tu
Hao panya load ningekuwa RAISI wa nchi ningewapeleka mbuga za wanyama na Simba wakawala live.
Nyie sasa mnakamata wapwa zetu ovyo ovyo,wengine sio panya road
Kateni ganja la kulia,watu hawawezi kukosa amani kiss yenyewe.
Hivi nyie watoto mnajisikiajee hivyo mlivya bomolewa mifimbo mpaka kutembea wengine mnachechemea na kuwapa hekaheka wazee wenu wacheni jamani utukutu watoto nyieee
Hayati Magufuli akatowa ilimu bure ili watoto wote watz wapate ilimu wawo wanachagua kua makatili wawuaji?
Ulipi hapo mpaka chato nauli ni bei gani🤔🤔
serekali inabidi iwakamate nawalewa wanaojianika uchi mitandaoni maana uku mitandaoni nibalaa tupu,hawa pia wanaaribu vijana.
Kwani lazima uangali😂😂
Hiii nikwasababu yakukosa kazi selekali iangaliye jinsi yakusaifiya wa vijana kupata kazi
Hivi vipanya vihasiwe(castration) na viachiwe huru. Hakuna haja ya kuvirundika na kuwalisha bure. Wafanyiwe open castration.
Ukivihasi vitaua baade kwa uchungu. Vipelekwe kule mbali ya Mbudya Island 🏝 kwa boti halafu vimwagwe kule, kila kimoja na jiwe la kilo 50 kiunoni
@@johnlembo2955 si watakufa
@@johnlembo2955 hahahah we umewaza nin
Ebu kateni mikono alafu muone kama wataiba
Nakukubali sana kamanda mliro kila lakher mkuu mwenyezi mungu azidi kukutia nguvu uendelee kuchapa kazi na mwenyezi mungu ikimpendeza upande ngazi mpaka IGP