🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 97

  • @stevejohn611
    @stevejohn611 2 года назад +2

    Big up sana mr. Muliro speech yako ina maana kubwa sana kwa jamii, pia tunashukuru kwa juhudi zako juu ya hili tatizo la panya road, thanks for your rapid response units.

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 2 года назад +10

    Ukiwaona kama mzazi unaumia sana lakini ukikumbuka matendo yao unamwomba Mungu tu 😭😭

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 2 года назад +1

      Tena Sana nawaonea huruma wazazi wao unasema umepata mtoto kumbe ni mtihani

    • @aishachambo8663
      @aishachambo8663 2 года назад

      @@hadijamandanje6189 mtihani kwa kweli

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 2 года назад +5

    ya Allah tunusuru sisi na ndugu zetu na hii mitihani

  • @annamushiaminaaa4367
    @annamushiaminaaa4367 2 года назад +1

    Yaani Mungu wasamehe hawa vijana utafkiri wamezaliwa na mmaa mmoja fanana yao

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 2 года назад +1

    serekali kazi nzuri sana,Sasa anzeni misako na mitandaoni kunamajitu hayana haya yanavaa nguo ambazo hazina maadili alafu yanajiweka mitandaoni.

  • @jambo3751
    @jambo3751 2 года назад +6

    Hongera JESHI LETU LA POLISI kwa kutimiza JUKUMU lenu la kulinda Wananchi na Mali zao.

  • @amunikanju4342
    @amunikanju4342 2 года назад +2

    Good

  • @rashidmohammed4887
    @rashidmohammed4887 2 года назад +2

    Hongera sana jeshi letu la polisi. Kazeni buti tu na mahakama itende haki tu

  • @mozespaul7138
    @mozespaul7138 2 года назад

    Nalikubali sana, jeshi lapolisi Tanzania ,lipo.imara sana,kwakweli.linajitahdi sana,hongeren sana jeshi letu,mwenye ebxi MUNGU awalinde,awape msisha marefu,mzidi kutetea wananchi!

    • @scolarshija3215
      @scolarshija3215 2 года назад

      Nakukubali Sana mwamba.mumqu akulinde sana.

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 2 года назад +2

    Next IGP

  • @jacklinmasawe2697
    @jacklinmasawe2697 2 года назад

    Asante makamanda wetu mungu awalinde

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 2 года назад +2

    Afande Muriro namuelewa sana

  • @dennischarles8524
    @dennischarles8524 2 года назад +1

    Please expand this operation nationwide and Tanzania will become a peaceful place as it was before

  • @marongotatarakea7458
    @marongotatarakea7458 2 года назад +1

    Hao panyaroad wauliwe

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 2 года назад +1

    Ya rabb Waongoze vijana wetu

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 2 года назад +2

    Biq up Makamanda.
    Tz bila uhalifu inawezekana timizeni wajibu wenu na rasilimali mlizonazo kuwamaliza hawa shenz panya road

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 2 года назад +1

    Safi sana, yani hawa watoto wazur hivi kwa muonekano ndio wanakatakata watu hovyo kama wale wachonja nyama kule tandale, alafu mbona wameanza kuchechrmea, mmeshaanza kuwadunda nini? Wadundisheni jinzi ya kuishi kwenye jamii kwenye nchi isiokuwa na vita.

  • @peterjohn7613
    @peterjohn7613 2 года назад +8

    Biashara ya uuzaji mapanga kiholela barabarani hasa Barabara ya Mandera na Nyerere unatakiwa ukomeshwe, Siraha hizo hazitakiwi kuuzwa hadharani

    • @keifatuke99
      @keifatuke99 2 года назад +1

      Ndiyo maana Uingereza hauziwi bila ID kitambulisho

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 года назад +1

    Mzazi mlezi mtt ananyoa nywele ivyo bado unaangalia tuu mtuhani kwakweli vjana wadogo

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 2 года назад +1

    Utafikiri misukule

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад +1

    Hii mtihani

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 2 года назад +6

    Washenzi hawa wakatwe mikono yao

  • @arafasalim9948
    @arafasalim9948 2 года назад +1

    mpaka naogopa wallahy😔😔🙏

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 2 года назад +1

    Wapigeni sindano za sumu tu wanazingua sana

  • @samwelmagima6081
    @samwelmagima6081 2 года назад

    Muliro piga kazi kamanda wetu pia mwanza tumeku miss

  • @saodashabani2652
    @saodashabani2652 2 года назад +2

    Naumia nikiwa kama mzazi yarabi kiokowe kizazi chetu

  • @abdallahmilaba5407
    @abdallahmilaba5407 2 года назад +2

    Tanzania siyo ya kuchezea.

  • @muniramunira401
    @muniramunira401 2 года назад +2

    Mkiwa kamata muwache msiwatowe mana wanapotoka wanafanya makosayao

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 2 года назад

    🤲🙏

  • @lililili5621
    @lililili5621 2 года назад +1

    Jaman tuomba opereshen ifike na kivule

  • @donaldtadeodontado9991
    @donaldtadeodontado9991 2 года назад

    Mbona wanatembea kama walemavu?

  • @matataoneproduction5355
    @matataoneproduction5355 2 года назад

    Mimi nafikiri sasa waliobakia sio panya rod ni wavuta bangi wauza bangi na vijana wakorofi wa maskani na mitaa maana panya rod hawapo wengi kiasi hiki cha kila siku wanaingia central makundi kwa makundi, panya rod wenyewe kwa mimi ninavyohisi ni vikundi visivyozidi hata 5 isipokua ni watu wanaofanya matukio yao sehemu mbali mbali sasa basi jeshi la police lisitutangazie kwamba wanakamata panya rod hao ni wahalifu tu wa kawaida

  • @salehaliy7198
    @salehaliy7198 2 года назад +1

    Wanakwenda kuhojiwa kwa kina

  • @gebrastemu5010
    @gebrastemu5010 2 года назад +1

    Kosa la mtoto haliwezi kumwadhibu mzazi, au kosa la mzazi haliwezi kumwadhibu mtoto. Hawa panya wakihasiwa watakuwa wapole na Mori wa kutenda uhalifu unaisha.

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 2 года назад

      Muwahasi na hao wanaoiba hela za umma ili wasiwe wezi kwa kukosa ajira.

  • @jacksongidion5170
    @jacksongidion5170 2 года назад +1

    7

  • @peterjohn7613
    @peterjohn7613 2 года назад +4

    Ni kosa la jinai kuuza siraha Barabarani, hasa mapanga, wauzaji wa mapanga wakamatwe

    • @swahilit.v7287
      @swahilit.v7287 2 года назад +1

      Panga sio silaha bali ni kitendea kazi

    • @ramadhanimbulu4941
      @ramadhanimbulu4941 2 года назад +1

      @@swahilit.v7287 hats bunduki na bastola ni kitendea kazi.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад +1

      @@swahilit.v7287 PANGA SILAHA

  • @mosongatz4534
    @mosongatz4534 2 года назад +1

    jeshi letu liweke muda maalum wa kumaliza michezo viwanjan kwetu na watu kusambaratika haiwezekan mkae uwanjani mpaka saa 1 na nusu

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 2 года назад

    dooh jamani ?!!! hii ni Nini ? watz !!!

  • @samsonimago4692
    @samsonimago4692 2 года назад +1

    Vijana wachanika mnaosuka kaeni makini alf mbona wanachechemea

  • @priscillalyimo3659
    @priscillalyimo3659 2 года назад +1

    Inasikitisha sana vijana wadogo sana na ndiyo nguvu ya taifa jamani tufanye nini Ee MUNGU tusaidie watanzania tufanyeni kazi jamani hata kama huna wazazi

  • @rebeccamagita9174
    @rebeccamagita9174 2 года назад +3

    Jaman naumia sana nikiwa kama mzazi ukizingatia ni watoto wadogo sana,eee Mwenyewe wasaidie watoto waache tabia zisizofaa katika jamii na hawa wauza madawa ya kulevya natamani wakikamatwa wauwawe tu maana wakiwauzia hayo madawa wakishayatumia ndyo yanawavuruga watoto akili na kufanya vitendo vya kinyama

  • @annamushiaminaaa4367
    @annamushiaminaaa4367 2 года назад +1

    Hizo nywele nyoeni kwanza wembe mkali ndo waeleze

  • @ramadhanimbulu4941
    @ramadhanimbulu4941 2 года назад +1

    Kamanda makini umeeleweka.Unastahili kuongoza jeshi la Polisi.

  • @munakhamis982
    @munakhamis982 2 года назад +1

    Hawa wanyolewe minywele wapat adhab stahik maan washenz sana

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад

      KWANI KUNYOLEWA NYWELE ADHABU??? WAKATWE MIKONO.

    • @munakhamis982
      @munakhamis982 2 года назад

      @@salimmalaka256 😆😆😆😆😆sheria iyo amn sas ndio maan

  • @samwelipaul1462
    @samwelipaul1462 2 года назад

    Yan hao ni hatari Sana

  • @iddyissa8110
    @iddyissa8110 2 года назад

    Yani wanashuka ktk gari kilaini laini ivyo piga mpaka wasaau walikotoka

  • @atanasjuma433
    @atanasjuma433 2 года назад +1

    dah hawa ndo wenyewe hasaaa

    • @asiakisongo400
      @asiakisongo400 2 года назад

      Hawaadhimishi msibahuo kwa kupora ila wanakuja kulipiza kisasi yaani ni kuchinja tu, ,sasa hilo eneo liwekewe ulinzi wa muda mrefu hata mwezi hasira zao zipungue,bora wao waue kuliko wao kufa

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 2 года назад +1

    Ila kamanda kwa hapo nadhani ni vizur kila kijana atembee na kitambulisho, ili wakishukiwa wajulikane haraka ni kina nani,

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 2 года назад +1

    Wakateni viganja vya mikono tuone Hilo panga wanalishikaje.

  • @SamsungGalaxy-kx2zj
    @SamsungGalaxy-kx2zj 2 года назад

    Duu panya road kwa madolizeni hawa si panya road ni jeshi la mtu kajifantia kwa kuipinga erikali

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 года назад +1

    Tumalizane nao tu site. Mbona wakati wa JPM huu uhalifu haukuwa mkubwa hivi

    • @mwinyibakarisenkopwa931
      @mwinyibakarisenkopwa931 2 года назад +1

      Sio kweli, Panya road wapo nyakati zote na awamu zote. Wewe upo Dunia gani? Siyo mfuatiliaji wa Mambo.

  • @zuberimohamedi255
    @zuberimohamedi255 2 года назад +2

    Fuatilia kituo cha polisi cha mbagala maturubai

  • @mhogomchungu7168
    @mhogomchungu7168 2 года назад

    Hao miaka 30 inaweza kuwaweka sawa, sio miezi sita kisha munawawachia

  • @babuloliondo5975
    @babuloliondo5975 2 года назад

    Sasa ao sivitakua vibinti via jera Sasa sirikari Ina tuzarishia vibinti via jeraa

  • @jacklinmasawe2697
    @jacklinmasawe2697 2 года назад

    Kamanda umeongea Vema nimekuelewa

  • @flova7022
    @flova7022 2 года назад +1

    Hahahaha jamaaa wanachechemeaa...walikuaa hawataki kuingiaa Kwa defenda bila Shaka hahahaha

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад

      WAMEUMIA WALIPOKUWA KATIKA UVAMIZI WAO.

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 2 года назад +1

    Vijana hawa wana Nini kichwani ? bange lipi wanavuta ?mpaka akili hawana , roho Zao ziko kama chuma ? angalau kuhiba Sawa lakini mapanga na risasi ? AAA sijawahi kuona

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 2 года назад

    Asilimia 90 ya hao vijana watatoka kwasababu polisi hawana ushahidi wa kuwafunga. Watakaa rumande lakini wengi watarudi mtaani.

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du 2 года назад

    Wengine wanakosa hatamda wa kuoga kazikuwaza mauajitu

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm 2 года назад

    sawa baada ya kushikwa serikali imewafanya nini ao sio watoto wanaakili zao timamu watoto awawezi kufanya matukio kama ayo ya ujambazi

  • @samwelmagima6081
    @samwelmagima6081 2 года назад

    Hao panya load ningekuwa RAISI wa nchi ningewapeleka mbuga za wanyama na Simba wakawala live.

  • @dauda-adamadam6283
    @dauda-adamadam6283 2 года назад

    Nyie sasa mnakamata wapwa zetu ovyo ovyo,wengine sio panya road

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 2 года назад +1

    Kateni ganja la kulia,watu hawawezi kukosa amani kiss yenyewe.

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 2 года назад

    Hivi nyie watoto mnajisikiajee hivyo mlivya bomolewa mifimbo mpaka kutembea wengine mnachechemea na kuwapa hekaheka wazee wenu wacheni jamani utukutu watoto nyieee

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 2 года назад

    Hayati Magufuli akatowa ilimu bure ili watoto wote watz wapate ilimu wawo wanachagua kua makatili wawuaji?

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 2 года назад +1

    serekali inabidi iwakamate nawalewa wanaojianika uchi mitandaoni maana uku mitandaoni nibalaa tupu,hawa pia wanaaribu vijana.

  • @AzabeOficial
    @AzabeOficial 2 года назад +1

    Hiii nikwasababu yakukosa kazi selekali iangaliye jinsi yakusaifiya wa vijana kupata kazi

  • @gebrastemu5010
    @gebrastemu5010 2 года назад +2

    Hivi vipanya vihasiwe(castration) na viachiwe huru. Hakuna haja ya kuvirundika na kuwalisha bure. Wafanyiwe open castration.

    • @johnlembo2955
      @johnlembo2955 2 года назад +1

      Ukivihasi vitaua baade kwa uchungu. Vipelekwe kule mbali ya Mbudya Island 🏝 kwa boti halafu vimwagwe kule, kila kimoja na jiwe la kilo 50 kiunoni

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 2 года назад +1

      @@johnlembo2955 si watakufa

    • @lovehawa4758
      @lovehawa4758 2 года назад

      @@johnlembo2955 hahahah we umewaza nin

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 2 года назад +1

    Ebu kateni mikono alafu muone kama wataiba

    • @bakaryngoneke5606
      @bakaryngoneke5606 2 года назад +2

      Nakukubali sana kamanda mliro kila lakher mkuu mwenyezi mungu azidi kukutia nguvu uendelee kuchapa kazi na mwenyezi mungu ikimpendeza upande ngazi mpaka IGP