Hizi ndo zile sheria walizokuwa wamejitungia wenyewe kina Makonda. Yaani kama unaona kuna mtu anaonewa na hajui sheria, huwezi kwenda kumfungulia kesi mwonezi kwasababu wewe sio unayeonewa. Sheria ya kishetani kabisa yaani. Eti Kubenea hana maslahi na hii kesi simply yeye sio mwanafamilia wa clouds kwahiyo kama ni kesi wakafungue clouds, sheria gani hiyo ya kitumwa.
Chuki zenu zitawauwa. Kama kufukuwa makaburi tuanze serikali ya awamu ya nne, wakati wakina Manji walipewa fedha za Watanzania na kuwagawia kwa kuwapunja Kama zawo. Wauza madawa ya kulevya kwa sasa ni mawaziri. Jamani oneni aibu. Watanzania sio wajinga. Wana macho. Mukianza serikali za visasi, mukiiondoka madarakani, watoto zenu wataanza kukamatwa.
makonda lazima ashughulikiwe ipasavyo kafanya uovu mwingi mno bila kuchukuliwa hatua za kisheria akilindwa na mwenda zake,malipo ni hapahapa kwa duniani.
Ulisikia wapi makosa 2017 ifunguliwe kesi 2022 unaambiwa hata check unaambiwa isizidi miezi 6 ugomvi huwa hauzidi masaa ila kwa Tanzania hata miaka 100 itafufuliwa kesi baada ya mshitaka kuhonga kuanzia mashahidi wa uwongo mpaka jaji wa kusimamia kesi kama tulivyo ona kwa Ole Sabaya kesi yake
Sipingani na unachokiongea ila napingana na makosa ya sabaya,mkuu sabaya alikuwa kiongozi jambazi kama utakumbuka ktk ushahidi wake alishawahi kusema mbele ya mahakama kuwa nikweli alikwenda kufanya kazi kwa mroso ambayo alikuwa aneagizwa na hayati magufuli na philipo mpango akiwa waziri wa fedha,je arusha hakuna mkuu wa wilaya? hakuna mkuu wa mkoa na wakurugenzi?kitendo cha kutoka wilaya ya hai na kwenda arusha dc kufanya kz sehemu iliyo na mtu mwenye cheo kama chake ule ni uhuni mtupu,yaliyomkuta sabaya anastahili kabisa kile upandacho leo ndio matokeo ya utakachovuna kesho.
Tuko busy na MAISHA acheni visasi mumble na mazuri aliyoyafanya Makonda kubenea Unaroho ya visasi Unaroho ya kixhetwani utakuwa mchawi hivi roho mbaya itakusaidia nini chefuu 😏😏😏
No siyo visasi Makonda siyo kwamba wanapenda visasi aliyesababisha ni serikali na Rais aliyetangulia mbele za haki hao akina Makonda ni wateule wa Rais aliyetangulia mbele za haki Makonda ana kesi ya kujibu japo aliyekuwa anamtuma alikuwa na kinga Hayo ni matatizo ya kikatiba ndiyo maana watanzania wanataka katiba mpya ili mtu akitumia madaraka vibaya kuonea raia awajibishwe na katiba kisheria
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Mna muda WA kupoteza nyinyi watanzania fanyeni KAZI hacheni visasi mtakufa masikini
Mmeona mnavyo lazimisha kesi ,hata mungu hapendi
Acheni wivu,mtu kafanya kazi kama kijana mzalendo,pongezi kwa selikari
Fanyeni kaz,acheeni mambo ya kipuuzi,
Amna chochote mnatupotezea bando tu,pumbavuu
sio ndugu wala rafiki wanayomsema vibaya makinda wakapimwe akili maana kesi yenyewe haina mashiko kuwashinda kimaisha pambaneni siovisasi acheni kupotezeana muda mnaacha kuhudumia wananchi mahosipitarini michango shuleni imezidi hizo ndio vitu vyakushugulikia
Mmekwama aibuuu🤣🤣🤣
ni hivi shauli hilo halina mashiko makonda anahaki acheni jaja
Hizi ndo zile sheria walizokuwa wamejitungia wenyewe kina Makonda. Yaani kama unaona kuna mtu anaonewa na hajui sheria, huwezi kwenda kumfungulia kesi mwonezi kwasababu wewe sio unayeonewa. Sheria ya kishetani kabisa yaani. Eti Kubenea hana maslahi na hii kesi simply yeye sio mwanafamilia wa clouds kwahiyo kama ni kesi wakafungue clouds, sheria gani hiyo ya kitumwa.
Chuki binafsi zinamsumbua kubenea!
Huko kupotezeana mda
Ngojaa.aki.ifanyekaziyake
Mnapoteza mda Mungu atamcmamia hamtaweza.
Hacheni visasi tafuta pesa muda wote alikuwa wapi kutomshitaki hiyo imeisha expire
Makonda babalau.
Chuki zenu zitawauwa. Kama kufukuwa makaburi tuanze serikali ya awamu ya nne, wakati wakina Manji walipewa fedha za Watanzania na kuwagawia kwa kuwapunja Kama zawo. Wauza madawa ya kulevya kwa sasa ni mawaziri. Jamani oneni aibu. Watanzania sio wajinga. Wana macho. Mukianza serikali za visasi, mukiiondoka madarakani, watoto zenu wataanza kukamatwa.
Kwani hii imefunguliwa na serikali au mtu binafsi
Kubenea😂😂😂
Kwani tunajua awamu ya sita ya visasi tutakutana 25 tunataka kubadili gamba
Kesi inasikilizwa katika viunga vya mahakama?
Kubenea au kuna mtu nyuma yake?
makonda lazima ashughulikiwe ipasavyo kafanya uovu mwingi mno bila kuchukuliwa hatua za kisheria akilindwa na mwenda zake,malipo ni hapahapa kwa duniani.
Kafanya maovu gani hebu tuambie
Siuseme hayo maovu aliyofanya mbona hatujayasikia mahakamani
Pumbavu alimbaka bibi yako?
Ulisikia wapi makosa 2017 ifunguliwe kesi 2022 unaambiwa hata check unaambiwa isizidi miezi 6 ugomvi huwa hauzidi masaa ila kwa Tanzania hata miaka 100 itafufuliwa kesi baada ya mshitaka kuhonga kuanzia mashahidi wa uwongo mpaka jaji wa kusimamia kesi kama tulivyo ona kwa Ole Sabaya kesi yake
Sipingani na unachokiongea ila napingana na makosa ya sabaya,mkuu sabaya alikuwa kiongozi jambazi kama utakumbuka ktk ushahidi wake alishawahi kusema mbele ya mahakama kuwa nikweli alikwenda kufanya kazi kwa mroso ambayo alikuwa aneagizwa na hayati magufuli na philipo mpango akiwa waziri wa fedha,je arusha hakuna mkuu wa wilaya? hakuna mkuu wa mkoa na wakurugenzi?kitendo cha kutoka wilaya ya hai na kwenda arusha dc kufanya kz sehemu iliyo na mtu mwenye cheo kama chake ule ni uhuni mtupu,yaliyomkuta sabaya anastahili kabisa kile upandacho leo ndio matokeo ya utakachovuna kesho.
Jinai haina expire, hata miaka 1000.....kwan kenya waliishtaki UK kudai fidia ya dhulma za ukolon, Kenya ilipata uhuru lin
Tuko busy na MAISHA acheni visasi mumble na mazuri aliyoyafanya Makonda kubenea Unaroho ya visasi Unaroho ya kixhetwani utakuwa mchawi hivi roho mbaya itakusaidia nini chefuu 😏😏😏
Wehamnazo kweli
Kote Kukwepa Kwenda Vijijini Watu Upenda Kuonekana Wakiwa Mijini2 Basi
Dada anapenda kweli "VIUNGA VYA MAHAKAMA HII'. Maana yake nini? Kwani ukisema tu MAHAKAMANI HAPA AU KATIKA MAHAKAMA HII utakufa? ☹️
ppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp
ppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeèe
@@adeeltz9111 kidogo kiswahili kinampiga chenga.
Acheni uhasama wa kipuuzi jamn tanzania tunataka amani Mama raisi kuwa makini wanatugawa hawa jaman makonda hana hatia hapa waache siasa hawajamaa
KWA HIYO MAKONDA KI STORES ALIFANYA UHASAMA WA KISTARABU???
No siyo visasi Makonda siyo kwamba wanapenda visasi aliyesababisha ni serikali na Rais aliyetangulia mbele za haki hao akina Makonda ni wateule wa Rais aliyetangulia mbele za haki Makonda ana kesi ya kujibu japo aliyekuwa anamtuma alikuwa na kinga Hayo ni matatizo ya kikatiba ndiyo maana watanzania wanataka katiba mpya ili mtu akitumia madaraka vibaya kuonea raia awajibishwe na katiba kisheria
Sawa kabisa ww unaupiga mwingi sio huyu anayejiita galax
Kibenea anataka kiki na kujulikana. Kisiasa,nonsense. Makonda humuwezi
Makondo hana chake hapa kwenye kiwanja hachomoki kwa kubenea hatoki mjomba
Yote haya ya Nini watu tupo busy kupambana na Maisha nyie mnakazi yakuvurugiana Maisha yaliopita yamepita Kila mtu atAjibu anayoyatenda kwa mola wake
Malipo hapahapa duniani
Kumbe ni kesi ya jamhuri na kubenea
Atamwaga mboga kama sabaya
Mme koswa kazi nyie
Kabisa Yani Kuna vitu vinatia aibu kah
Ukobizeniwewe
Funga mpoteza watu
Alimpoteza nani au unafata tu mkumbo na chuki zako
Makonda ashughulikiwe
Fala wewe
@@saimonkaswahilikaswahili639 fala mwenyewe
Makonda Hana tofauti na Sabaya tofauti Yao nimajina tuu
Keajina yesu hashughulikiwi mtu acheni kutuchefua mshindwe na mregeeeee