KESI YA MAKONDA: MAPYA YAIBUKA, JAMUHURI WAWEKA KIGINGI, WAKILI AELEZEA..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 59

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @janekichonge4957
    @janekichonge4957 2 года назад +7

    Mna muda WA kupoteza nyinyi watanzania fanyeni KAZI hacheni visasi mtakufa masikini

  • @sarahmwansile6007
    @sarahmwansile6007 2 года назад +4

    Mmeona mnavyo lazimisha kesi ,hata mungu hapendi

  • @raymonadsaliboko3068
    @raymonadsaliboko3068 2 года назад +3

    Acheni wivu,mtu kafanya kazi kama kijana mzalendo,pongezi kwa selikari

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 2 года назад +1

    Fanyeni kaz,acheeni mambo ya kipuuzi,

  • @jaffarichimbuvu9409
    @jaffarichimbuvu9409 2 года назад

    Amna chochote mnatupotezea bando tu,pumbavuu

  • @mwanaharusisaidi6889
    @mwanaharusisaidi6889 2 года назад +3

    sio ndugu wala rafiki wanayomsema vibaya makinda wakapimwe akili maana kesi yenyewe haina mashiko kuwashinda kimaisha pambaneni siovisasi acheni kupotezeana muda mnaacha kuhudumia wananchi mahosipitarini michango shuleni imezidi hizo ndio vitu vyakushugulikia

  • @alphadreammedia
    @alphadreammedia 2 года назад +2

    Mmekwama aibuuu🤣🤣🤣

  • @mashakaamosgabinza3893
    @mashakaamosgabinza3893 2 года назад +2

    ni hivi shauli hilo halina mashiko makonda anahaki acheni jaja

  • @Baba-JJ
    @Baba-JJ 2 года назад

    Hizi ndo zile sheria walizokuwa wamejitungia wenyewe kina Makonda. Yaani kama unaona kuna mtu anaonewa na hajui sheria, huwezi kwenda kumfungulia kesi mwonezi kwasababu wewe sio unayeonewa. Sheria ya kishetani kabisa yaani. Eti Kubenea hana maslahi na hii kesi simply yeye sio mwanafamilia wa clouds kwahiyo kama ni kesi wakafungue clouds, sheria gani hiyo ya kitumwa.

  • @nipautago8574
    @nipautago8574 2 года назад

    Chuki binafsi zinamsumbua kubenea!
    Huko kupotezeana mda

  • @stanleykitika2129
    @stanleykitika2129 2 года назад +1

    Ngojaa.aki.ifanyekaziyake

  • @mashimbazephania3511
    @mashimbazephania3511 2 года назад +3

    Mnapoteza mda Mungu atamcmamia hamtaweza.

  • @janekichonge4957
    @janekichonge4957 2 года назад +3

    Hacheni visasi tafuta pesa muda wote alikuwa wapi kutomshitaki hiyo imeisha expire

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 года назад +2

    Makonda babalau.

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 2 года назад +1

    Chuki zenu zitawauwa. Kama kufukuwa makaburi tuanze serikali ya awamu ya nne, wakati wakina Manji walipewa fedha za Watanzania na kuwagawia kwa kuwapunja Kama zawo. Wauza madawa ya kulevya kwa sasa ni mawaziri. Jamani oneni aibu. Watanzania sio wajinga. Wana macho. Mukianza serikali za visasi, mukiiondoka madarakani, watoto zenu wataanza kukamatwa.

  • @mwanaharusisaidi6889
    @mwanaharusisaidi6889 2 года назад +1

    Kwani tunajua awamu ya sita ya visasi tutakutana 25 tunataka kubadili gamba

  • @musabarnabas7628
    @musabarnabas7628 2 года назад

    Kesi inasikilizwa katika viunga vya mahakama?

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 2 года назад +1

    Kubenea au kuna mtu nyuma yake?

  • @promisetenson7258
    @promisetenson7258 2 года назад +1

    makonda lazima ashughulikiwe ipasavyo kafanya uovu mwingi mno bila kuchukuliwa hatua za kisheria akilindwa na mwenda zake,malipo ni hapahapa kwa duniani.

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 2 года назад

      Kafanya maovu gani hebu tuambie

    • @marryjohn6855
      @marryjohn6855 2 года назад

      Siuseme hayo maovu aliyofanya mbona hatujayasikia mahakamani

    • @simonnick1242
      @simonnick1242 2 года назад

      Pumbavu alimbaka bibi yako?

  • @SamsungGalaxy-kx2zj
    @SamsungGalaxy-kx2zj 2 года назад

    Ulisikia wapi makosa 2017 ifunguliwe kesi 2022 unaambiwa hata check unaambiwa isizidi miezi 6 ugomvi huwa hauzidi masaa ila kwa Tanzania hata miaka 100 itafufuliwa kesi baada ya mshitaka kuhonga kuanzia mashahidi wa uwongo mpaka jaji wa kusimamia kesi kama tulivyo ona kwa Ole Sabaya kesi yake

    • @promisetenson7258
      @promisetenson7258 2 года назад

      Sipingani na unachokiongea ila napingana na makosa ya sabaya,mkuu sabaya alikuwa kiongozi jambazi kama utakumbuka ktk ushahidi wake alishawahi kusema mbele ya mahakama kuwa nikweli alikwenda kufanya kazi kwa mroso ambayo alikuwa aneagizwa na hayati magufuli na philipo mpango akiwa waziri wa fedha,je arusha hakuna mkuu wa wilaya? hakuna mkuu wa mkoa na wakurugenzi?kitendo cha kutoka wilaya ya hai na kwenda arusha dc kufanya kz sehemu iliyo na mtu mwenye cheo kama chake ule ni uhuni mtupu,yaliyomkuta sabaya anastahili kabisa kile upandacho leo ndio matokeo ya utakachovuna kesho.

    • @chrissfordsadickh8280
      @chrissfordsadickh8280 2 года назад

      Jinai haina expire, hata miaka 1000.....kwan kenya waliishtaki UK kudai fidia ya dhulma za ukolon, Kenya ilipata uhuru lin

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 2 года назад

    Tuko busy na MAISHA acheni visasi mumble na mazuri aliyoyafanya Makonda kubenea Unaroho ya visasi Unaroho ya kixhetwani utakuwa mchawi hivi roho mbaya itakusaidia nini chefuu 😏😏😏

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 2 года назад

    Kote Kukwepa Kwenda Vijijini Watu Upenda Kuonekana Wakiwa Mijini2 Basi

  • @whimsymaverick3057
    @whimsymaverick3057 2 года назад

    Dada anapenda kweli "VIUNGA VYA MAHAKAMA HII'. Maana yake nini? Kwani ukisema tu MAHAKAMANI HAPA AU KATIKA MAHAKAMA HII utakufa? ☹️

    • @adeeltz9111
      @adeeltz9111 2 года назад

      ppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp

    • @adeeltz9111
      @adeeltz9111 2 года назад

      ppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp

    • @maulidihassani8324
      @maulidihassani8324 2 года назад

      Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeèe

    • @MohamedSleyim
      @MohamedSleyim 2 года назад

      @@adeeltz9111 kidogo kiswahili kinampiga chenga.

  • @richardmasanja6163
    @richardmasanja6163 2 года назад

    Acheni uhasama wa kipuuzi jamn tanzania tunataka amani Mama raisi kuwa makini wanatugawa hawa jaman makonda hana hatia hapa waache siasa hawajamaa

    • @linuskyando4155
      @linuskyando4155 2 года назад

      KWA HIYO MAKONDA KI STORES ALIFANYA UHASAMA WA KISTARABU???

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 2 года назад

    No siyo visasi Makonda siyo kwamba wanapenda visasi aliyesababisha ni serikali na Rais aliyetangulia mbele za haki hao akina Makonda ni wateule wa Rais aliyetangulia mbele za haki Makonda ana kesi ya kujibu japo aliyekuwa anamtuma alikuwa na kinga Hayo ni matatizo ya kikatiba ndiyo maana watanzania wanataka katiba mpya ili mtu akitumia madaraka vibaya kuonea raia awajibishwe na katiba kisheria

    • @promisetenson7258
      @promisetenson7258 2 года назад

      Sawa kabisa ww unaupiga mwingi sio huyu anayejiita galax

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 года назад

    Kibenea anataka kiki na kujulikana. Kisiasa,nonsense. Makonda humuwezi

    • @promisetenson7258
      @promisetenson7258 2 года назад

      Makondo hana chake hapa kwenye kiwanja hachomoki kwa kubenea hatoki mjomba

  • @bethjohn928
    @bethjohn928 2 года назад

    Yote haya ya Nini watu tupo busy kupambana na Maisha nyie mnakazi yakuvurugiana Maisha yaliopita yamepita Kila mtu atAjibu anayoyatenda kwa mola wake

  • @omariramadhani9990
    @omariramadhani9990 2 года назад

    Kumbe ni kesi ya jamhuri na kubenea

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 года назад

    Atamwaga mboga kama sabaya

  • @edwardlutema6006
    @edwardlutema6006 2 года назад +1

    Mme koswa kazi nyie

    • @bethjohn928
      @bethjohn928 2 года назад

      Kabisa Yani Kuna vitu vinatia aibu kah

  • @stanleykitika2129
    @stanleykitika2129 2 года назад

    Ukobizeniwewe

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 2 года назад

    Funga mpoteza watu

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 2 года назад

      Alimpoteza nani au unafata tu mkumbo na chuki zako

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy95 2 года назад +2

    Makonda ashughulikiwe

    • @saimonkaswahilikaswahili639
      @saimonkaswahilikaswahili639 2 года назад

      Fala wewe

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 2 года назад

      @@saimonkaswahilikaswahili639 fala mwenyewe

    • @godwinkileo50
      @godwinkileo50 2 года назад

      Makonda Hana tofauti na Sabaya tofauti Yao nimajina tuu

    • @simonnick1242
      @simonnick1242 2 года назад

      Keajina yesu hashughulikiwi mtu acheni kutuchefua mshindwe na mregeeeee