MTUMISHI 'FEKI' wa IKULU AKAMATWA AKIOMBA CV YA MTUMISHI ILI RAIS AMTEUE
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- MTUMISHI 'FEKI' wa IKULU AKAMATWA AKIOMBA CV YA MTUMISHI ILI RAIS AMTEUE
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Hawa watu wanaumiza sana watu! Wapewe adhabu Kali! Wanachezea na kudharau mamlaka
hyo jamaa ni genius km kwa wenzetu employed ila kw2 ungoje jela
Wallah njaa zinawapa watu ujasiri watu wanaishi kwa uwongo tu sheriya uchukuwe mkondo wake
Hatari Mungu ibariki Tanzania
Yaani unafikia kumshape Katibu Mkuu na Rais pia....Duh....Hii kali kwa kweli.
Kumbe zanzibar😳😳
😂😂😂, watu wakitaka kudanganya watu wasiingize serikali yatawapata makubwa, kuna mtu nilishawahi kukutana naye akawa anajifanya ni lecturer wa Chuo fulani cha Serikali, nadhani hakujua ningepata ukweli mapema kuhusu yeye, akikutana na Mimi sikuhizi anainamisha kichwa chini kwa aibu
Wao ndo wale waitwao liwalo na liwe
Na tulowengi nadhani hatujui ya kwamba Msgs na Simu (Calls) zinarikodiwa....So zikitakiwa zinapatikana na utashikwa kirahisi tu....Wazee tutafuteni kazi za halali tufanye ila sio ujanja ujanja....Mungu ibariki Tanzania pia na Jeshi la Police.
Je sheria inakubali kudukuliwa m2 simu yake iwe kwa simu au sms suwali lako ilo
Sasa umeishia wapi uongo wake ,kama siña kazi japo nikalime mbogamboga
Uyujamaa anakipaji kikubwa ushauli tu apewe ajira selikalini
Jamaa anatakiwa ajengewe sanamu pale Malindi sio kufungwa uyo ni hazina ya nchi
Doh! Jamaa atoa maagizo!!!
CV na vyeti huwa vinatumika kwa watoto waliomaliza vyuo juz juz tu.
Kwanza nicheke 🤣🤣🤣🤣
Tukitaka Polisi tunaweza
Kumbe kajitakia anahamu najela amemilimisi sembe la bure
Uyo sio wakupelekwa jela uyo ni hazina ya Taifa
@@kassimali2273 najuwa simnawapeleka wanyonge wenye pesa mnawaacha
@@kassimali2273 kwahiyo unamaanisha matapeli wanafungwa ili wazidi kutapeli watu sindio
@@sofitanzanian955 apo hakuna utapeli kilicho fanyika ni ujanja na ujanja kama uo hauna ubaya hahahah
Watu hawana uoga doooh 😂😳
Maisha dada yangu,,,,
@@jumakapilima7295 hahah ugumu wa maisha haujaanza leo ndugu basi tuu matamanio ya nafsi zao
Habali ya leo Dada
😃😃😃😃😃😃😃
Chomeni hawa majambaxi.
Hata wewe jambazi wa wake wa wenzio, watoto wa wenzio
Mw,mungu atuvue kwa hili na jengine ya rabbi na wao awafanyie wepesi kwa kweli wasifike huko mbali awape miyo wa uvumilivu wote kwa ujumla
🤣🤣🤣 duuh