MTUMISHI 'FEKI' wa IKULU AKAMATWA AKIOMBA CV YA MTUMISHI ILI RAIS AMTEUE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • MTUMISHI 'FEKI' wa IKULU AKAMATWA AKIOMBA CV YA MTUMISHI ILI RAIS AMTEUE
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 32

  • @methodiutou7278
    @methodiutou7278 Год назад +3

    Hawa watu wanaumiza sana watu! Wapewe adhabu Kali! Wanachezea na kudharau mamlaka

  • @mullestv2680
    @mullestv2680 Год назад +1

    hyo jamaa ni genius km kwa wenzetu employed ila kw2 ungoje jela

  • @goragora9204
    @goragora9204 Год назад +2

    Wallah njaa zinawapa watu ujasiri watu wanaishi kwa uwongo tu sheriya uchukuwe mkondo wake

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Год назад

    Hatari Mungu ibariki Tanzania

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 Год назад +2

    Yaani unafikia kumshape Katibu Mkuu na Rais pia....Duh....Hii kali kwa kweli.

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Год назад +2

    Kumbe zanzibar😳😳

  • @deborahmassawe4367
    @deborahmassawe4367 Год назад +1

    😂😂😂, watu wakitaka kudanganya watu wasiingize serikali yatawapata makubwa, kuna mtu nilishawahi kukutana naye akawa anajifanya ni lecturer wa Chuo fulani cha Serikali, nadhani hakujua ningepata ukweli mapema kuhusu yeye, akikutana na Mimi sikuhizi anainamisha kichwa chini kwa aibu

  • @emmanuelnyinyigwa8043
    @emmanuelnyinyigwa8043 Год назад

    Wao ndo wale waitwao liwalo na liwe

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 Год назад +3

    Na tulowengi nadhani hatujui ya kwamba Msgs na Simu (Calls) zinarikodiwa....So zikitakiwa zinapatikana na utashikwa kirahisi tu....Wazee tutafuteni kazi za halali tufanye ila sio ujanja ujanja....Mungu ibariki Tanzania pia na Jeshi la Police.

    • @kassimali2273
      @kassimali2273 Год назад

      Je sheria inakubali kudukuliwa m2 simu yake iwe kwa simu au sms suwali lako ilo

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Год назад +1

    Sasa umeishia wapi uongo wake ,kama siña kazi japo nikalime mbogamboga

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Год назад

    Uyujamaa anakipaji kikubwa ushauli tu apewe ajira selikalini

  • @kassimali2273
    @kassimali2273 Год назад

    Jamaa anatakiwa ajengewe sanamu pale Malindi sio kufungwa uyo ni hazina ya nchi

  • @alwatanalgilgilan-y3078
    @alwatanalgilgilan-y3078 Год назад

    Doh! Jamaa atoa maagizo!!!

  • @expert5898
    @expert5898 Год назад

    CV na vyeti huwa vinatumika kwa watoto waliomaliza vyuo juz juz tu.

  • @salimumohammedsalimu1720
    @salimumohammedsalimu1720 Год назад +1

    Kwanza nicheke 🤣🤣🤣🤣

  • @shamsahamdan3274
    @shamsahamdan3274 Год назад

    Tukitaka Polisi tunaweza

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Год назад +1

    Kumbe kajitakia anahamu najela amemilimisi sembe la bure

    • @kassimali2273
      @kassimali2273 Год назад

      Uyo sio wakupelekwa jela uyo ni hazina ya Taifa

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 Год назад

      @@kassimali2273 najuwa simnawapeleka wanyonge wenye pesa mnawaacha

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 Год назад

      @@kassimali2273 kwahiyo unamaanisha matapeli wanafungwa ili wazidi kutapeli watu sindio

    • @kassimali2273
      @kassimali2273 Год назад

      @@sofitanzanian955 apo hakuna utapeli kilicho fanyika ni ujanja na ujanja kama uo hauna ubaya hahahah

  • @neemapaul2162
    @neemapaul2162 Год назад +1

    Watu hawana uoga doooh 😂😳

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад +1

      Maisha dada yangu,,,,

    • @Awatee
      @Awatee Год назад

      @@jumakapilima7295 hahah ugumu wa maisha haujaanza leo ndugu basi tuu matamanio ya nafsi zao

    • @ambelemwaitebele6131
      @ambelemwaitebele6131 Год назад

      Habali ya leo Dada

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Год назад

    😃😃😃😃😃😃😃

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Год назад +1

    Chomeni hawa majambaxi.

    • @omarymbaraj8072
      @omarymbaraj8072 Год назад

      Hata wewe jambazi wa wake wa wenzio, watoto wa wenzio

    • @ashasalehali
      @ashasalehali Год назад

      Mw,mungu atuvue kwa hili na jengine ya rabbi na wao awafanyie wepesi kwa kweli wasifike huko mbali awape miyo wa uvumilivu wote kwa ujumla

  • @daudcharles4048
    @daudcharles4048 Год назад

    🤣🤣🤣 duuh