@@frankkajoba8372 fd Q me nimtu wa home kabisa anatokea nela uswahilin kabisa yan so Mimi nasemea HP hop awez kua mkali mbele ya Roma mkatoriki wew ndio shog unafirwa wew na mama ako mbwa Koko
@@derickkasim570 nishasoma sana shuleni adi nikawa mvivu adi kuandika notes mademu wananiandika saiz mistari yananitoka kichwani Ngoma kwasiku nikisema niandike ata nne kwasiku naandika biti tofauti tofauti
fidi ni bishoo sana aise anajigamba tu mmda wote had sauti anaongea kwa kuigiza be real nigga stop acting like ur trying to attract b****s be real have ur voice back ambayo tumezoea kukuisikia kipnd kile naona unaongea kama nicole anavyoongea kama wema hahahha
Huwez kumuelewa fid ukiwa na akili ya a, e, i, o, u. . Kwanza ngoma ya fid akitoa leo hata mi mwenye IQ pana. Natuliaga kama one week ndio niielewe ngoma yote. Wewe level yako ni lunya au usikilize hip hop katuni maana wew hutakagi kusumbua ubongo unataka utafuniwe hadi uji ufanye kumeza2
Fid Q is one of the greatest rappers in east and central Africa ❤ him.
From 254...i rate Fid q 100% real talent
Huyu Dem nimetokea kumpenda bure... ana vibe kubwa sana kwenye kipindi ❤️🔥🙏
Binafsi huyu ndio msanii ambaye naeza kusikiliza interview yake hata masaa 5 jamaa ni mnomaa sana🙌🔥🔥
Mwanza mwanza🔥🔥🔥home boy
The greatest TZ rapper and the smartest of all times. Respect from🇨🇩
Respect
Noma sana huyu mwamb hii ngoma huwa sichokagi kuiskiliza kusema kwer ni bonge 1 la ngoma...big up sana fid 👊👊
Inaitwaje hiyo ngoma?
Best hip hop artist so far
Munaokutana na farid nakushare stor munabahat sana,,maisha maref big man
mwamba anazid kuniaminisha kuwa cku hizi wanaochana hawajiiti ni consuous ni ngoshazi
Dude ni fire 🔥🔥🔥
ni mtu mmoja aliyeamua 🎉🎉big man
Sema huyu dada nampendaga❤
🔥🔥🔥 wasanii wengi wanachukulia pre caution wakitaka ama wakitakiwa kucolaborate na fid 😅😅😅noma
Greateat of all time 🐐🇹🇿
Legend himself 📌📌📌📌
Yeah it's rill conscious Big MAN Tii
Ngosha the swagger doooon!! A.k.a FARID KUBANDA.
Genius rapper the goat who a live in tz like if you agree my comment
Ngosha ameongea ukweli ni kweli ukilisikiliza kwenye ndinga shiiit is hot🔥🔥 tisha baba💪💪💯
Moja kati ya wasanii bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania. Hip Hop Id in Africa.
Very Good Fareed kubanda
🐐 fid respect from Kenya
Fid bench watu watakaa sanaa
Tanzania HipHop icon
BABA WAKIZAZI CHOTEEEE 💙💙💙💙💙💙💙💙🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇺🇲
Madly vibe
Mzee Mbuzi, BigMan
Mke wangu anajuwa hesabu haangaiki kutafuta saman ya x dah big man 💪
Nasubiri collabo ya roma na fid q
Ng'wanamalūndī in the house
unyama kaka nakubali mastar
Mengi ana mengi kama alivyo jina lake Mengi👐🏿
Hip hop imezaliwa wap? Mwanza kwenye miamba imara❤❤❤
Ukiwa kichwa box huwez muelewa mr. Professional. Farid Q
Nimeelewa sana kaka
Me Hua nikimuona FID Q namkumbuka mangwea maana FID hana mpizani tena!! HIPHOP ipewe heshima maana ndio music unaotufundisha.
We unaumwa mavi huyo fd amuwez Roma hat busu take nakwambia
@@MahelaMnazaleti-vg6mo hukosi kuwa shoga wewe. Kasikilize tarabu fucking🖕
@@frankkajoba8372 fd Q me nimtu wa home kabisa anatokea nela uswahilin kabisa yan so Mimi nasemea HP hop awez kua mkali mbele ya Roma mkatoriki wew ndio shog unafirwa wew na mama ako mbwa Koko
Huyu jamaa kando na mziki ana busara kinoma af mtu flani friendly
TOP OF THA RAP ELITES
Najivunia kuwa mfuasi wa huyu jamaa😅
Mke wangu anajua hesabu,sina sababu ya kutafuta thamani ya "X" what a punchline 🔥
Paripo moshi pana Moto cheki shish apatoshi kwa huu mtoko feki pishi✍️✍️✍️✍️✍️
Kuna Farid wawili tuu tz wenye kipaji Cha Sanaa 1-ni Farid MUSSA Maliki na 2-Farid KUBANDA!!
Motoo
sanaa faridii ✌✌✌💪💪💪💪
Fid Will always be FID HipHop
Q bana sema anajua sana 😂😂😂
Msanii wang pendwa wa hphp tz Nisipo msikilz dah ad naumw yan man cm yang amejaa yey ty fid q mnyam
"Kichwa kina vitu vingi"......jibu ndo hili. Haya MBUZI kajibu sasa
👏🙌
Bratha ngosha kioo cha jamii na hip hop bongo na este africa
Fundiiii from Mwanza
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
UPEWE MAUA YAKO
Bruce Lee wa Rap Africa@Mr kubanda
Success ya joh makini ndo anavoelezea pia kweli ndomaana mnashindanishwaa
dada mrembo kweli,,africana de verdede,,nime penda kipindi na geniu Fid,,Mozambice online on air
Fid q is back now
Ngosha mwenzio wajob kila siku anajisifia kuitwa BBA ila wewe wala huringi
Ngoshaa maisha real hphp
Fid q Ili umwelewe kichwa yako isiwe namang'amung'amu! Viva sana mdada hapo kushoto tabasamu lake sio lakunuuaanalitoa kw dhat yamoyo
Jamaa mashaili yake huwa magumu sana lakini huwa yana maana kubwa sana
Atareeee sn
👉💯
King fid
Goat
Na singombanii mpira kama sina uhakika wa kufunga gori😅
manisha anayosema fdi ndo nayoish naishi Kama hakuna jipya lolote dunian
Oyeeeyooo pupu pa
NGOSHA WA MOTO SANA BGMAN
Faridi kubanda a.k.a mwana marundi,niko nawewe
I’m professional,mwanza ,
C mtuconnectie fid q na Mr blue
Ebwana eeeeeeeh 😂😂😂😂
🔥🔥🔥🔥🔥 fire
Fid Q noma sana brother
Mungu akupe maisha malefu sana brother
Jibu nkwambaa hakuna uhuru wa habariii
Ebana ile tuzo Bill apokonywe bana
Watu wa kisesa & nyanguge Mwanza jisajilini na Vodacom kama Fid Q
😁😁😁
Duuuu mantare,sumve tusimame wapi
Anazingua anavyo soma😂
@@greysonkisinda7390 mkali lakini
Na wew soma
@@derickkasim570 nishasoma sana shuleni adi nikawa mvivu adi kuandika notes mademu wananiandika saiz mistari yananitoka kichwani Ngoma kwasiku nikisema niandike ata nne kwasiku naandika biti tofauti tofauti
Mwanza mwanza
Sio Mwanza Mwanza, alichomaanishaga Farid ni Mmwanza Mmwanza...kama useme Mtanga Mtanga 😎
Tunaludia tuuh achuji tu fund
Bonge la ngoma
fidi ni bishoo sana aise anajigamba tu mmda wote had sauti anaongea kwa kuigiza be real nigga stop acting like ur trying to attract b****s be real have ur voice back ambayo tumezoea kukuisikia kipnd kile naona unaongea kama nicole anavyoongea kama wema hahahha
Acha chuki ww, kasililize kina young lunya ndio saizi yako.
Mi najua tatizo lako ni akili ya kuelewa kinachoimbwa . Fid ni akili kubwa hivyo ubongo wako ukiwa umefungwa na nyororo huwez elewa
Toka namjua fid huwa anaongea hivyo, unless kama ulikua naye na unamfahamu zaidi yetu
Baki na kina Lunya mkuu... Huyu kumuelewa ni mpaka uwe na akili💪
Huwez kumuelewa fid ukiwa na akili ya a, e, i, o, u. .
Kwanza ngoma ya fid akitoa leo hata mi mwenye IQ pana. Natuliaga kama one week ndio niielewe ngoma yote. Wewe level yako ni lunya au usikilize hip hop katuni maana wew hutakagi kusumbua ubongo unataka utafuniwe hadi uji ufanye kumeza2
𝑭𝒊𝒅 𝒏𝒅𝒊𝒐 𝒎𝒂𝒏 𝒐𝒇 𝒎𝒖𝒔𝒊𝒄 𝒌𝒘𝒂𝒏𝒈𝒖