Mototo huyu anakipaji kikubwa Allah amemjalia.insha Allah mwenyezi mungu amlinde amuepushie hasad,namungu amuepushe nawale wenyekutumia vipaji vya Walio jaaliwa kuwadidimiza na kujinufaisha wao binafsi.mungu amuepushe nao insha Allah.amjalie kwa wale watakao msimamia wamjali na kumtendea haki ili nae faundar aone neema aliyo barikiwa na Allah imfae yeye na wazazi wake na nduguze pia.na Allah amzidishie hekma busara elmu na neema insha Allah.
Mdogo wangu hata usipokwenda wcb mungu akikuinua atakuinua tu huko WCB siyo kwamungu mwamini mungu alie kutoa nyarugusu atakutambulisha duniani kote watakujua
Biology = biologie in french Science = science ( the same ) pronunciation ndo tofauti Kigoma dogo alikuwa anasoma kwenye program ya kikongo ambayo wabatumia french tu
Hivi huyo dogo si alichukuliwa na wale wa congo kina nyoshi elsadate walimtoa kwa babu tale vip karudi tena?? Kwa tale mbona wanamybisha sana huyu mtoto😂😂
Kama unamukubali founder gonga like
❤vipi
❤❤ mimi sofia
@@MackErasmus-w2o saf
@@MackErasmus-w2o nambie uk wap
Dogo ni smart kwenye kujibu anawazid had wasanii wenye majina makubwa
Kweli kbs
All the way from malawi❤❤❤pamoja sana
KIGOMA NDIVY TULIVYO
Nakubali sana Founder Tz ❤❤❤🎉🎉🎉
Founder Tz anawazidi wasanii wakubwa wengi kwenye kujibu maswali
Mm nankubali sana founder talentoso jovem from mozambique 🇲🇿 sadrinho
Burundi 🇧🇮 tunamupenda
Mototo huyu anakipaji kikubwa Allah amemjalia.insha Allah mwenyezi mungu amlinde amuepushie hasad,namungu amuepushe nawale wenyekutumia vipaji vya Walio jaaliwa kuwadidimiza na kujinufaisha wao binafsi.mungu amuepushe nao insha Allah.amjalie kwa wale watakao msimamia wamjali na kumtendea haki ili nae faundar aone neema aliyo barikiwa na Allah imfae yeye na wazazi wake na nduguze pia.na Allah amzidishie hekma busara elmu na neema insha Allah.
Ana kubalika sana ule bro❤❤❤❤
Namjubali sana dogo
Mdogo wangu hata usipokwenda wcb mungu akikuinua atakuinua tu huko WCB siyo kwamungu mwamini mungu alie kutoa nyarugusu atakutambulisha duniani kote watakujua
Biology = biologie in french
Science = science ( the same ) pronunciation ndo tofauti
Kigoma dogo alikuwa anasoma kwenye program ya kikongo ambayo wabatumia french tu
Ndugu zangu mushikeni dogo
This founder Tz ni brave
Founder big up bro, from 254❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤
Smart sana kwenye kujib maswali🥊
Saan😊
Tumpe dogo sapot
Mwambiye dogo focus sana na shule
Hivi huyo dogo si alichukuliwa na wale wa congo kina nyoshi elsadate walimtoa kwa babu tale vip karudi tena?? Kwa tale mbona wanamybisha sana huyu mtoto😂😂
Dogo anawashinda kuwajibu
Sahii
Science imeji group kwakundi nne
namkubali sanaa founder tz,ila pia Mimi nasema asome kwanza akisha maliza aendelee na mziki🎉🎉🎉
Founder TZ 🎉🎉🎉
Kigoma one
Anaakili saaaan 🎉🎉🎉
Nakubali
Kipaji og mmm tupo pamoja
❤❤ok
Watangazji ndo wanazingua
Uhakika found kaza shule kisha mziki kwasababu kipaji kipo
Good
❤
❤❤❤❤❤❤❤ 1:27
Nakubal San dogo founder tz
Mtangazaji jinga....nyooo u can't ask such questions
Sema kakutana meneja ngangarii
Ana weza sana
Upcoming young king 🤴 🔥
Mtoto mdgo uyo maswali mnayo muuliza fezea
🎉🎉🎉
Saw👍tal❤
Ana kipaji duuuu
Ivi kwann watu wote huwa mnapenda kusema wasafi wasafi mnasahau kuna Konde kuna Crown wambien nako waende tu
FOUNDER TZ 🎉🎉🎉🎉
kam yeye🤣🤣🤣 anaikazia zabibu
😂😂ww umemuelewa vibaya zabibu anasoma sana na anapita darasani sasa dogo anatamani watoto wengine waige tabia za zqbibu
Kwenye makambi ya wakimbizi mitahala tofauti
Dogo mkali sana
Dogo mkali uyo. Mtoe kimaisha
muungeni.mtt mkono kielem.napika kikazi
Nimewaelewa
👍👍🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Pambana pia shule usiache utatoboa tu
Hayo maswali magumu jamani punguzeni maswali
Sema mnamuuliza maswali magum mno
KISWAHILI CHA DAR KIMESHAPANDA KWA DOGO
Babu tale nimemuelewa
HUYU DOGO ALIKUWA KAMBINI NYARUGUSU ELEWENI
Kinachokusumbuwa nini
🇨🇩🇨🇩✌️
Dogo piga kazi
Dogo atari
S
Na mkumbali mdogo uyu
Dogo Ametisha saana congole kwake
Dogo focus
Janja janja founder
Kama unamukubali founder gonga like
Namjubali sana dogo
Verry smart
Msaidie jamani mungu atawabarikini Kwa moyo wenu
Dogo yupo makini saana
❤❤❤
hata kenya tuna ku follow tanu kwatanu FOUNDER, naomba wew tukopamoja wakati huu bonyeza kwa hii piture yangu tupate mazuri zaidi na mafunzo
Mtangazaji boya sana. Hili nalo ni tatizo, kuwa katika media wakati huo nauna exposure ya mambo ni changamoto sana.
Upcoming star📌🔥
❤❤❤❤❤