"Asiwaze " imenikuna sana hii ngoma alafu nahisi huyu ndo stamina wengi tunaomjua gonga like kama tupo pamoja....nampa 5 producers kwa kusimamia kazi nzuri kama hizi...natamani nisign kwenye hii label inaonyesha uhalisia wa mziki na maisha yapo hapa ..hii ndio sanaa kamili.
Life nayo na ndoa...aty unaeza kumpamia mkongo mkeo na usimridhishe, alfu anaempakia mkorogo ndo akamfanya amridhishe.... Daaaah.... 254....stamina is killing yo
Akisikia nmekufa.........................Chonde stamina toa hiyo mistari jmn, Ngoma Kali Kwa tuiowah tendwa but tusikufuru mungu ,kufufuka!!!!!!!!mhhhh!!!
😂😂😂daaah,.. Stamina katiiiisha saaana,...: "Pole wasimamizi wa ndoa, Kwa ujinga mliosimamia, Mngesimamia ukucha, Mngekuza hata familia" 😂😂😂HIVI JAMANI,..MSIMAMIZI WA NDOA YA STAMINA SI ALIKUWA PACHA WAKE " ROMA" ?? 😂😂 "Nikiziona picha za harusi, Najisikia vibaya, Namuonea huruma padre, Pamoja na waimba kwaya" 😂😂😂😂 Saaaaaaaaaluuuute kwako STAMINA
"Kaka yake Nilishakula so ruksa kutoa vyombo", "Ila atakayemuoa mwambie ampe mtaji wa Bodaboda", Wimbo mkali kila nikisikiliza natamani kurudia, Ujumbe kwa masela na wanandoa. Take it from Stamina
Duh!!! Mimi nimeielewa sana hii ngoma kwa ambae ameielewa kama mimi agonge like hapa!! Ndoa bhana walio kwenye ndoa wanatamani kutoka ambao hawapo wanatamani kuingia 😭🙏🙏
DaaaaaH!!! Amakwel nDoa inamitiHani migimUsana thus why vyetiVyake vnaanZa kutoka kabla yamitiHan xo pole sanaBroo c0z wew nikakayake ushakula so muache2 atoeVyomBo
Hayo ndo mapungufu yakutanguliza cheti badala ya mtihani so tahasisi ya mahusiano irekebishe kufungu cha ndoa tuwe tunaanza mtihani chet baadae ahsante starmina
Nene N ruclips.net/channel/UCspwtwPhNmcupcRXwGemhQA Hello hope you good and healthy kindly Just Click on this link And S U B S C R I B E to my CHANNEL please 🙏😀 Subscribe May God Bless You
"Akisikia nimekufa, mwambie asilie sana, aite rafiki wafurahi wachome nyama, nitazikwa na ndugu-marafiki na mafans kibao" kwa wale wote waliotuacha kwa sababu za kijinga
Mke wangu katoroka nakuniachia mtoto mdogo ndani wa mwaka moja na miezi miwili sijui kaenda wapi natena kaondoka usiku tena mida ya 8:00 kasema Ana enda kununua mafuta ya kupikia ila kaenda mazima hajarudi ten a mpaka saa tisa usiku sijamuona ten a na saizi hajarudi saa tisa 3:05 nimeandika message kwa ukrasa wa stamina asante kaka maisha y angu kama umeyaona nitatuza mwanangu bila kujali mwanamke tena maisha yakumtegemea mwanamke yashaa nitoa imani nisito yataka tena
"Mwambieni yule dogo aliyechezea club ya Simba..kutembea na mke wangu asijione kama ameshinda..mi samaki, mapenzi yangu yana shombo..kaka yake nishakula, so rukhsa kutoa vyombo.."..
Romaaa😭😭😭wimbo wako was ASIWAZE Ni kitu kinacho nisumbua mpaka Leo yaani badala ya kusikilza na kufurahi najikuta nalia tuu kwani Kuna misemo Ni adhabu kubwa kwenye ndoa.aliesema neno ndoa ndoano aliharibu sana.na aliefundisha mapenzi alisahau na tendo.ukweli cheti Cha ndoa hakina mchongo popote.bora sonara nilikula nusu asara.kama hujui ndoa uliza Kwanza upewa maelekezo ili usije ukajuta Kama walio kutangulia.big up Broo stamina😭😭😭🙏🙏🙏🙏god bless you
Pole ila chukulia kama sehemu ya kujifunza..! nakumbuka siku naenda kuoa nakutana na rafiki yangu tuliyepoteana muda mrefu akaanza kunisimulia misuko suko aliyokutana nayo Kwenye ndoa yake..! Dah nilihisi kama ndo nafanyiwa mimi..! Tuombe Mungu inshallha
Tulio rudia kuskiliza huu wimbo 2024 tujuane kwa like
✌✌✌🤣
Tunao endelea kufatilia Goma hili hadi 2024 gongeni like hapa
💯
🎉
Kenya onyesheni upendo 👊 👊
Rdcongo tuko,butembo
Huu wimbo mimi napenda chorus tu!!! 👑👑🙌🙌🙌
Asante amefanya @Atan mcheki kwenye account zake upate nyimbo zake zaidi
Mwambieni yule dogo alie ichezea club ya Simba kutembea na mke wangu asijione kama ameshinda😢😢,mstari ulionikosha na kuniumiza zaidi
😅
Kipaji kilishaishaa sijui anacheza ndondo
@@grevinmgaya9237n nani Kwan huyo
2024...❤🇰🇪🇰🇪....😢cjai pata likes jameni
Kenya 🙌 🙌
Nilicho gundua kwenye huu wimbo stamina ametoa ya moyoni kabisaa tena kwa hisia.
Ila ujawahi kosea bro salute 🔥🔥
Skizeni ujumbe wa Stamina kwanza LIKES mtaomba baadae..
Nataka kukupigia Lake marambili but imekataa badala tusikilize ngoma tuomba Lake
Yuko vizuri nice song
Exactly
Nimeipenda sana
Tangu enzi za sikati Tama Badoo naganda sitamina ujumbe mzito Papa Davio from+254
Wimbo umeimbwa ukaimbika....imagine wa Uganda 🇺🇬 hawawezi elewa huu wimbo watanzania big love ❤from 🇰🇪 🇰🇪
Kiswahili ilikuwa mob 🤗lakin tumeelewa ✌🏿🇺🇬🫡
From uganda 🇺🇬 wapi likes za Uganda 🇺🇬. We love u man talented
*Hata Posa niliyotoa mwambieni aingize vikoba* daah hyu jamaa katisha san like hapa chin tulisongeshe mbele goma la mkali rostam tz
Ndoa ni kama boti haiwezi ikapaki stendi
Huyo manzi mwizi arudishe hela za stamina za posa
Bongo la ngoma stamini
Kwa kweli bonge la ujumbe, kama umeulewa gonga like kwake!!!!
Dah hii ngoma inawagusa wengi japo like 100 jmny
Biblia imetuagiza kuishi kwa akili na wake zetu. Angalizo Kama huna akili usioe utakuja kuimba ujinga kama huyu mpuuzi utafikiri tulimtuma.
Akili za wanawake wazijua wenyewe
Sanaaaaa
Ah simchezo stamina kaongea maneno makali sana
Baby Pendo mamae ndo mhn wanyamwezi tunachap nakuacha
Kama uko USA 🇺🇸🇺🇸🇺🇸na upo ndoani same time umemuelewa stamina NIPE LIKE ZAKE 🔥🔥🔥🔥✈️✈️✈️ ndoa shemo la wahuni
0scarnaiza Oscar sisi ambao atujaowa tuwe makini sana kuowa hapa marekani, ndoa ndo wano.
Acha tu brow niulize mm ndoa za America 🇺🇸🇺🇸🇺🇸 utadeal na 911 kila siku 😂
Stamina
Mhh
Bora wew ametoka mwenyewe broo me alibeba na vyombo vya ndan vyote daaaaaa ASIWAZE
Daaaah kwl asiwaze
Duuu wanawake akili zao
"Asiwaze " imenikuna sana hii ngoma alafu nahisi huyu ndo stamina wengi tunaomjua gonga like kama tupo pamoja....nampa 5 producers kwa kusimamia kazi nzuri kama hizi...natamani nisign kwenye hii label inaonyesha uhalisia wa mziki na maisha yapo hapa ..hii ndio sanaa kamili.
Sitamina nimekubar iyo nyimbo imebeba mashauli mazit San km unamkupali stamina bac mpe Moy IPO sk yatakua sawa
Kam unamkubar stamina bc mpe Moy IPO sk
atari subscliber chanel yangu javani wamakao
Enjoy Your Favourite Artist Official New Video Song...
ruclips.net/video/1N_f8LpIJTc/видео.html
Da asiwaze imenigusa sana
Wew ambae hujasikiza hii ngoma
Kabla ya kuomba like hebu kwanza anza kusonya
Classic music stamina wew ni mkali
Mxiiiiieeewww
Amin kwamba jamaa nizaid y Kipaji cha Hipapu ngoma kali acha like kam umeanglia zaid y mal100
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪niwakilisha wakenya wote tunamkubali stamina 100/100
Tuko ndani
@MR KANTOROKE egg of foggy GGT
Namkubali sana hta nlimtumga bro namuita stamina
What country flag is this ?
254 tuko wengi
Life nayo na ndoa...aty unaeza kumpamia mkongo mkeo na usimridhishe, alfu anaempakia mkorogo ndo akamfanya amridhishe.... Daaaah.... 254....stamina is killing yo
Roma this song is gonna touch the whole society man!kazi ya msanii ni sanaa na umedeliver....no matter how painful it is!
Ni Stamina
Ni stamina baby, check your shit
#fact
Hehe😂
Kama umesikiliza hii ngoma zaidi ya marambili gonga like hapa twende sawaa
Poleni wasmamizi, kwa ujinga mlosimamia. 100%💥
Kama Umerudia this song two times wapi likes.. Im from Kenya 👊👊👊👊
Not only 2 times bro but every day ✌️🇺🇬👊
"Unawez mpakia mkongo mkeo na usimlizishe, arafu anae mpakia mkorogo ndo akafanya amridhishe"
mstari nime ukubali sanahuu big up 🙌🙌🙌
Mapande Jr ndugu yangu, mwenzio hapa nataman kujua kamaanisha nin ila naon huu mstari unanipa utata...
Atari xn hp
Mi sijauelewa🙄😳
@@waltermfikwa4361 njooo inbox nikuambie kamanisha nn 0714333699
Hahahaaaa bro kweli cha mkongo hatari sana ,huo mstari tunaelewa Wa chache
Sana
Tunaoiba wake za watu ...tuonane hapa gonga like apa😀
Kama unamku bari stamina gonga raiki
Daah 😂😂😂😂
@@mohammedsudi5151 noma
@@meronstudioz hatar😀😀
Daudi Chawo ukipakwa Mafuta pia uje kugonga Like
Dah gonga like kama Moyo wako umeuma kwa hii stori ya kweli😭😭😭
Kuna mwingine amepanga kwenda kununua ile pete ya Stamina kwa nusu bei pale dukani😂😂😂
Onore Mbeleci k
Nimemuelewa sana
Duh
Aiseee hii inakubalika 💯 akunapinga mizi yoyotee 🇹🇿🤛🤛🤛🇰🇪🇰🇪💯💯💯
"Aliesema ndoa ndoanoo hivii huyo mjinga ni naniii" !!!
Oya me namjua anapoishii
@@dullahbeats7539 ntumie no zake kudadeq
The first one from Mozambique.
Personally me ni shabiki wa WCB, lakini napenda sana music wa huyu jamaa. Stamina is an awesome guy 👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽
Daaaaah blother katugusa tulio single
Like utatisha Sanaa
Akisikia nmekufa.........................Chonde stamina toa hiyo mistari jmn, Ngoma Kali Kwa tuiowah tendwa but tusikufuru mungu ,kufufuka!!!!!!!!mhhhh!!!
❤❤❤❤😍😍😍 hisia za kweli kwa stamina
Kama nawwe unaamini huwimbo unaujumbe mkubwa ndani yake gonga like apa
👇👇
Good sana iyo nyimbo conk sa naaah
Ezekiel Charles nikweli kabisa
Naaamini
Cheed Madebe nisahhi 😎
Ndoa ndoano
Km umesha sikiliza zaidi ya mara mbili 😣😣😣😣😣😣 gonga like yako
Eliud Changamike 👇👇👇👇👇👇👇👇👇ruclips.net/video/x1-jSq-yEeU/видео.html
Wimbo wa kwanza kuwa namba moja kwenye trend. Then ukatoka arafu baadae ukarudi tena namba moja.
Kama umegundua ilo dondosha like.
Duuu!! Bonge la ngomaaaa
Sio wa kwanza seduce me wa alikiba ulotolewa na zilipendwa then ukarud
Duu!!
Nyimbo Zuli sana
Staminaa
Stamina anahitaji cancelling hayuko sawa anaonekana kweli amemaanisha maneno aliyo ya sema
Immaa Bukuku counseling
hapana huu ni mziki kuna vitu lazima ameongeza na vingine kapunguza lakini kuna asilimia kubwa sana ya ukweli.
Kaongea ya moyoni yupo sawa
😂😂😂daaah,.. Stamina katiiiisha saaana,...:
"Pole wasimamizi wa ndoa,
Kwa ujinga mliosimamia,
Mngesimamia ukucha,
Mngekuza hata familia"
😂😂😂HIVI JAMANI,..MSIMAMIZI WA NDOA YA STAMINA SI ALIKUWA PACHA WAKE " ROMA" ??
😂😂
"Nikiziona picha za harusi,
Najisikia vibaya,
Namuonea huruma padre,
Pamoja na waimba kwaya"
😂😂😂😂
Saaaaaaaaaluuuute kwako STAMINA
bora mngesimamia kucha mngeongeza familia hahaa!!
Ukucha ndo nini?!
Hahahaha bora wangesimamia ukucha😂😂😂
🤣🤣🤣
Kama umeludia zaidi ya mala 2 like🇹🇿
Alie ielewangoma hiii gonga like!
😉pesa aingize vikoba🤣🤣🤣
Hii mara 3
Nilike nini kwani ni wewe umeimba?? We kima au??
Saiz mtaan kwel nyimbo hii unaisiliza bila bando mstali hunyumba hii huu nyumba ile ad nyimbo inaisha
Ukiamua kuingia kwenye uhusiano na binti wa kisasa, basi iandae loho yako.
Chkuwa zako bwana Stamina, nimekusoma
Kama umejifunza kitu kipitia huu wimbo achia like
Upo kwenye mahusiano ila hujui yanausiana na nini🙌🙌🙌🔥🔥😁😁
Kwa kifupi alifata mkumbo tu bila kujua anakumbana na nini😁😁😀
@@eneolatukio8493 eiwaa rafiki yake kaoa na yeye akaoa😁😁😁😁
Hahahahahaha
Hahahahah
Nipo
Kama umerud baada ya kusikiliza interview ya roma like tujuane
Daah sielewi
Bonge la ngoma
Mimi apa mana dah roma kaniliza
nicelly lyimo 😂😂😂sure nimerud kwa umakin
@@zakyahya4645 hahaha ndoa ipo mwaka huu kweli
Unaeza jipaka mkongo umfikishe kumbe mwingine anampa mkorogo anaridhike
Daaah stamina nakukubali
Kama uko single na ujumbe umeuelewa gonga like
Hahaa sifun wee oa tu bwana.. Ndoa hazifanan
@@felisterkamuli1893 somo Zuri sana kwetu
Mi ndo mana cnaga shobo na hiz mambo za ndoa ubachela ndo naulewaga tu
Hii nyimbo nimeiyelewa
@@aminajohn9678 !
"Kaka yake Nilishakula so ruksa kutoa vyombo", "Ila atakayemuoa mwambie ampe mtaji wa Bodaboda",
Wimbo mkali kila nikisikiliza natamani kurudia, Ujumbe kwa masela na wanandoa. Take it from Stamina
True that
Mwita Range .
Aya bulol
Duh!!! Mimi nimeielewa sana hii ngoma kwa ambae ameielewa kama mimi agonge like hapa!! Ndoa bhana walio kwenye ndoa wanatamani kutoka ambao hawapo wanatamani kuingia 😭🙏🙏
dah true man
DaaaaaH!!! Amakwel nDoa inamitiHani migimUsana thus why vyetiVyake vnaanZa kutoka kabla yamitiHan xo pole sanaBroo c0z wew nikakayake ushakula so muache2 atoeVyomBo
Not only a song but a life lesson❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪254
Straight outta kenya,,, we are asking for likes here but this guy has represented all men, we keep things inside us with leads to depression,,, big up
Special agent bullet sm Sm ruclips.net/video/x1-jSq-yEeU/видео.html
Special agent bullet sm Sm 👇👇👇
ruclips.net/video/x1-jSq-yEeU/видео.html
Daaaah Inafundisha
Pole kwa kutoswa kama mm ningemto sadaka pole sana stamina
Jikaze mana syo ridhiki yako
Rostam ni majembeeee kama unakubali hiyo piga like tuwe wazalendooo
"Sijui aliyenishauri nani" that's deep.
Hayo ndo mapungufu yakutanguliza cheti badala ya mtihani so tahasisi ya mahusiano irekebishe kufungu cha ndoa tuwe tunaanza mtihani chet baadae ahsante starmina
Kwer mzee iwe ivyo!!
Be wise as you engage yourself with women.
Aisy!!! Stamina ushasema. Bonge la hit. 💯💯💯
moses bariuh hatari sana
Zimefanana.. ruclips.net/video/1N_f8LpIJTc/видео.html
tulio single ii nyimbo ina tuusu🔥
Gusa like kama umeelewa✋🏿
weee usijishauli we owa ikifa tunazka
Inatuhusu sana
😂😂
@@eddymenas 🤗
@@andrewmsofu3390 dahh sijui itakuaje😊
Kama umesikiliza interview ya Roma ndo ukarud kusikiliza wimbo gonga like.
we do go wa club ya simba
et akija msiban nitafufuka nimzabe vibao
Kama nipete nisharudisha kwa sonara nisharudisha nusu hasara - 2024 agost
Like kwajamaa alieimba hii chorus aise
Noma sanaaaaa
What goes around comes around..
Pole sana kaka
Kama Leo Umeview Tena Hii Ngoma Gonga Like Chap.!!
Uchebe O
nline TV
Ni shida
Bro mtandao una tatizo…..ningegonga like100🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii ngoma ilitakiwa iwe on trend zaman sana cjui ilikuwa inakwama wap
Kama umemuelewa stamina halaf ukarud kuwaza mahusiano yako kama mim hapa heb like tujuane
Ha ha ha
Umeongea Sana broo kudadeki like zangu from🇰🇪🇰🇪🇰🇪👇👇
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nene N ruclips.net/channel/UCspwtwPhNmcupcRXwGemhQA
Hello hope you good and healthy kindly
Just
Click on this link And S U B S C R I B E to my CHANNEL please 🙏😀
Subscribe
May God Bless You
jamali 001 yooo bro rieng safi
Subscribe Arif wa KE Bless up
Stamina nakukubali Sana Ila usiwaze hayo ni mapitotu
emmanuel
am addicted to this song, i have to listen it daily before i sleep
Khabla hujjafunga ndoa ,,sikiliza vizuli iyi ujjumbe ...........ndoa ndoano 🤷🙆✌️🇺🇬
Vipi Kuna anae mkubali huyu jamaa tugonge like
Nyimbo inameng sana
Check
ruclips.net/video/nfBI5dRtlcc/видео.html
Tupo pamoja, pata biashara nzuri hapa ruclips.net/video/C_oUN-VndWA/видео.html
Iv like zinkusaidia nn
@@batulemwamwaja6524 Kama hujui faida y like bonyeza hapa ruclips.net/video/OWjp4jJpu_c/видео.html
"Akisikia nimekufa, mwambie asilie sana, aite rafiki wafurahi wachome nyama, nitazikwa na ndugu-marafiki na mafans kibao" kwa wale wote waliotuacha kwa sababu za kijinga
peace
" Nikimuona msibani nitafufuka nizabe vibao!" Hatariii Sana.
Da kiukwl hii ngoma ni kali sana
😂😂😂😂 Pole Wasimamizi, Yakwamba Wangesimamia Ukucha Wangeongeza Familia! 👏👏👏🙌🙌🙌
gosbert buberwa kafumbo ako brother
Hahaha hayaa
@@ebenezerykimendo115 hatari Sana!
@Ashura Hamisi 😃😃😃😃😃 yaap! Yaap!
Nakubali Sana hii nyimbo aseee
Ndoa ni nouma bro, japo wachache wanahesabika thank my brother for good song
Gonga like kama umeangalia zaidi ya mara tano.
sio mara tano tu endless
Bonge LA ngoma hata like kumi tyu
Nakubaliana na wewe....tunakupa like zaidi ya Kumi tyu 👊🏼👊🏼👊🏼
Sasa nawashangaa nilike comments zako umeimba wew??
Like unazoomba kwani umeimba wewe?
tuliokubali huu wimbo tujuane hapa kwa like🙂🙂🙂
ile posa niliyo toa mwambieni aingize vikoba
Mwambie Yule dogo anayechezea club ya simba
Imeandikwa tuishi nao kwa akili
Na ile cake
Na yule mshenga
Noma saaaaaaaaaaaaaaaan
Leo tar 13/1/2024 nasikiliza hii ngoma never die ❤
Sadaka misa ya ndoa hero ningewapa watoto yatima gonga like
😂 😂 😂 😂 😂 😂
Kamaww tem rostam tujuane kwaku piga like hapa
Nakubal
Check
ruclips.net/video/nfBI5dRtlcc/видео.html
Frank Mgaya kama kawa
Mhh!!!
@@charlesmahundu252 fresh tu
Mke wangu katoroka nakuniachia mtoto mdogo ndani wa mwaka moja na miezi miwili sijui kaenda wapi natena kaondoka usiku tena mida ya 8:00 kasema Ana enda kununua mafuta ya kupikia ila kaenda mazima hajarudi ten a mpaka saa tisa usiku sijamuona ten a na saizi hajarudi saa tisa 3:05 nimeandika message kwa ukrasa wa stamina asante kaka maisha y angu kama umeyaona nitatuza mwanangu bila kujali mwanamke tena maisha yakumtegemea mwanamke yashaa nitoa imani nisito yataka tena
Pole mwanangu
@@khalifabiggy3439 asante kaka sasa mtoto ana miaka nne amjui mama ake
👊👊👊keep going brother
@@eliahrioba6679 asante kaka sasa dogo ana miaka minne na miezi mitano amjui mama yake
Polee😢
Big up Kaka kwa nyimbo nzuri sana ,iyi nyimbo inagusa watu wengi sana ...
"Mwambieni yule dogo aliyechezea club ya Simba..kutembea na mke wangu asijione kama ameshinda..mi samaki, mapenzi yangu yana shombo..kaka yake nishakula, so rukhsa kutoa vyombo.."..
Umevunja baba
Umevunja baba
Iko njema ngoma
Nakubali sana huu wimbo huku nikiendelea kujifunza
Pamoja sn mzee
YANI HAPA NDIO NIMEAMINI KUWA MAPENZI HAYANA MWENYEWE MTU YEYOTE YULE ANAWEZA KUACHA AU KUACHWA KUMBE TUKO WENGI SIO MM TU DAH
Oy mbona una jina kama langu kaka
Waziri khamisi wa wapi wewe?
Walio ludia huu Mara mbili huu wimbo gonga like tujuane
ruclips.net/video/C_oUN-VndWA/видео.html tizama biashara kaka
Zaid ya Mara 5
5x
Romaaa😭😭😭wimbo wako was ASIWAZE Ni kitu kinacho nisumbua mpaka Leo yaani badala ya kusikilza na kufurahi najikuta nalia tuu kwani Kuna misemo Ni adhabu kubwa kwenye ndoa.aliesema neno ndoa ndoano aliharibu sana.na aliefundisha mapenzi alisahau na tendo.ukweli cheti Cha ndoa hakina mchongo popote.bora sonara nilikula nusu asara.kama hujui ndoa uliza Kwanza upewa maelekezo ili usije ukajuta Kama walio kutangulia.big up Broo stamina😭😭😭🙏🙏🙏🙏god bless you
Wanao ona #stamina yupo sahii kuweka waz hisia zake tujuane kwa like
Sanaa
Inamsaidia kwa kias kikubwa mAan ingeendelea kumtesA
Hak hii nyimbo iko sw
Yupo sahihi imemuuma sana
Hii nyimbo ina ukwel mwanamke wa mtu ni sumu ila inatia huruma ukiangalia picha yake ya ndoa ila pole stamina
Kama umeona mikono ikiwa imeshika kamba nipe like zangu
Wale tunao iangalia iii ngoma kali uku tunaxoma comment tujuane kwa like 👇🏼👇🏼👇🏼
Tupo wengi
Daaah yn unaweza kosa cha kusema
Ngoma kali sana thanks you brother kwa ku2fundishi aujakosea ata kdg
Hello ivi ni mmi narudia kuplay au tuko wengi jamani weka like kaa ulishakata tamaa ya kuolewa/kuoa Kwa kuogopa matokeo kama hii
Siogopi kuoa lakini naogopa kupenda
Kama kuna kitu umejifunza kupitia Wimbo huu gonga like tujuane
Duuuh aiseeh
Nmejifunza sana
Niheshimu ndoa za watu sije kuwwvunjia malengo
Jckson Daudon 👇👇👇
ruclips.net/video/x1-jSq-yEeU/видео.html
safi
Kama kuna alieona ndoa inazikwa agonge like hapa
Watangazaji na wenye mawazo finyo watamtafuta dogo wa clabu ya simba.ila kwa sisi waelewa no comment
Ha ha ha ha. Nmelewa
@@meddyally4416 Nieleweshe na mm ulichoelewa
Swaleh Yahya mistali yote kwenye ngoma hii umeelewa ila kwa dogo wa simba hujaelewa
@@ebenezerykimendo115 Ndio. Nimeshindwa kumtambua huyo mchezaji wa Simba ambaye aliyechepuka na Mke wa Stamina
Duuuu inauma sana kaka pole sana wanawake viumbe vya ajabu wote madelila
Dah kama nawewe umeirudia rudia kama mm gonga like
Tumefunga mwaka 2019 na safina,Anaitwa Roma tunafungua mwaka mkombozi na hii
Sio poa dis people nailed it
Dahaaaaa imependeza sana
REGARDLESS OF PAIN, TEARS, DISSAPPOINTMENT, BETRAYAL, BUT NUMBER #1 ON TRENDING UNTIL 1MIL VIEWER. THUMB FOR STAMINA PLS
Numb 1 on trending till forever
Filbert Habashi 👇👇👇
ruclips.net/video/x1-jSq-yEeU/видео.html
Kuolewa apana Doa huumiza🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️wacha nikae single
Huyu na Roma ndo wana Hip Hop for real....i love them
Imefanana Sanaa na Mambo ninayo yapitia Sahii niombeeni 😪😪😪
Ntakuombea bro
Pole ila chukulia kama sehemu ya kujifunza..! nakumbuka siku naenda kuoa nakutana na rafiki yangu tuliyepoteana muda mrefu akaanza kunisimulia misuko suko aliyokutana nayo Kwenye ndoa yake..! Dah nilihisi kama ndo nafanyiwa mimi..! Tuombe Mungu inshallha
Pole sana ndgu yaani nmeuckiliza wimbo vzr lakini bado mapata wakati mgumu kuelewa kwanini amenogusa
Pole bro sana ndugu lakn kuna njia mbadala usiumize sana moyo wako wewe una thamani
Mengine siyo ya kuombewa bali ni kupambana na hali yako na kuchukua maamuzi yenye tija kwako na kwa mwenzako
Kamaa unasikiliza ngomaa ukuunasomaa comment gonga like twende sawa
Denis mpagas
Namkubarixana kayumbanyimbozake
Duuh!! Inauma ety pole kaka starmina
Silva Zidekr ngoma ipo sawa
Safi sanAt
Kweli yakikukuta ni balaa huu wimbo hebu wanawake wajifunze kitu. Stamina safi sana lekod iko vizuri
Ni kwel
Kama bado unatazama huu wimbo weka like yako hapa
Nshawahi kuwa na mahusiano afu sijui yanahusu nini... Tujuane tuliokwenye huu mstari
Adriano Mtanzaniano duhh
Anayempenda stamina like hapa please from +255
Iyunga boi eeeh
@@theodolyrevocatus1005
Ndo hivyo iyunga boy moja
Mad respect Stamina.Huku Kenya tumekubali 👏👏👏