Stamina Ft Atan - ASIWAZE (Official Video) Sms 9560614 to 15577 Vodacom Tz

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 6 тыс.

  • @KiziboKigo
    @KiziboKigo 2 месяца назад +20

    Tulio rudia kuskiliza huu wimbo 2024 tujuane kwa like

  • @December-p3n
    @December-p3n 6 месяцев назад +107

    Tunao endelea kufatilia Goma hili hadi 2024 gongeni like hapa

  • @agnesrutebuka827
    @agnesrutebuka827 3 месяца назад +7

    Huu wimbo mimi napenda chorus tu!!! 👑👑🙌🙌🙌

    • @onyolivino3846
      @onyolivino3846 2 месяца назад

      Asante amefanya @Atan mcheki kwenye account zake upate nyimbo zake zaidi

  • @miketez2160
    @miketez2160 6 месяцев назад +21

    Mwambieni yule dogo alie ichezea club ya Simba kutembea na mke wangu asijione kama ameshinda😢😢,mstari ulionikosha na kuniumiza zaidi

  • @miketez2160
    @miketez2160 5 месяцев назад +28

    2024...❤🇰🇪🇰🇪....😢cjai pata likes jameni

  • @kelvinebens5239
    @kelvinebens5239 4 года назад +34

    Nilicho gundua kwenye huu wimbo stamina ametoa ya moyoni kabisaa tena kwa hisia.
    Ila ujawahi kosea bro salute 🔥🔥

  • @peteradonga7668
    @peteradonga7668 4 года назад +941

    Skizeni ujumbe wa Stamina kwanza LIKES mtaomba baadae..

    • @davidsedekia1337
      @davidsedekia1337 4 года назад +8

      Nataka kukupigia Lake marambili but imekataa badala tusikilize ngoma tuomba Lake

    • @mariyaal5366
      @mariyaal5366 4 года назад +6

      Yuko vizuri nice song

    • @Babjerr
      @Babjerr 4 года назад +4

      Exactly

    • @shabanmnyama2567
      @shabanmnyama2567 4 года назад +3

      Nimeipenda sana

    • @papadaviofficial254ke9
      @papadaviofficial254ke9 4 года назад +3

      Tangu enzi za sikati Tama Badoo naganda sitamina ujumbe mzito Papa Davio from+254

  • @Drash254
    @Drash254 6 месяцев назад +12

    Wimbo umeimbwa ukaimbika....imagine wa Uganda 🇺🇬 hawawezi elewa huu wimbo watanzania big love ❤from 🇰🇪 🇰🇪

    • @joshuason557
      @joshuason557 2 месяца назад +1

      Kiswahili ilikuwa mob 🤗lakin tumeelewa ✌🏿🇺🇬🫡

  • @imriddenvlogs1077
    @imriddenvlogs1077 Год назад +18

    From uganda 🇺🇬 wapi likes za Uganda 🇺🇬. We love u man talented

  • @jacksonreuben948
    @jacksonreuben948 4 года назад +84

    *Hata Posa niliyotoa mwambieni aingize vikoba* daah hyu jamaa katisha san like hapa chin tulisongeshe mbele goma la mkali rostam tz

    • @hadjially9013
      @hadjially9013 4 года назад +2

      Ndoa ni kama boti haiwezi ikapaki stendi

    • @giftgwness132
      @giftgwness132 4 года назад +1

      Huyo manzi mwizi arudishe hela za stamina za posa

    • @yohanagunda8335
      @yohanagunda8335 4 года назад +1

      Bongo la ngoma stamini

  • @mvoih4854
    @mvoih4854 4 года назад +31

    Kwa kweli bonge la ujumbe, kama umeulewa gonga like kwake!!!!

  • @babyofficial7767
    @babyofficial7767 4 года назад +382

    Dah hii ngoma inawagusa wengi japo like 100 jmny

    • @laurentthomas235
      @laurentthomas235 4 года назад +8

      Biblia imetuagiza kuishi kwa akili na wake zetu. Angalizo Kama huna akili usioe utakuja kuimba ujinga kama huyu mpuuzi utafikiri tulimtuma.

    • @abdukadrilwassa408
      @abdukadrilwassa408 4 года назад +4

      Akili za wanawake wazijua wenyewe

    • @nasramkuya9828
      @nasramkuya9828 4 года назад +4

      Sanaaaaa

    • @babyofficial7767
      @babyofficial7767 4 года назад +2

      Ah simchezo stamina kaongea maneno makali sana

    • @stevenmbaga8683
      @stevenmbaga8683 4 года назад +1

      Baby Pendo mamae ndo mhn wanyamwezi tunachap nakuacha

  • @0scarnaizaoscar480
    @0scarnaizaoscar480 4 года назад +75

    Kama uko USA 🇺🇸🇺🇸🇺🇸na upo ndoani same time umemuelewa stamina NIPE LIKE ZAKE 🔥🔥🔥🔥✈️✈️✈️ ndoa shemo la wahuni

    • @Watema23
      @Watema23 4 года назад

      0scarnaiza Oscar sisi ambao atujaowa tuwe makini sana kuowa hapa marekani, ndoa ndo wano.

    • @0scarnaizaoscar480
      @0scarnaizaoscar480 4 года назад

      Acha tu brow niulize mm ndoa za America 🇺🇸🇺🇸🇺🇸 utadeal na 911 kila siku 😂

    • @suleimanhaji5559
      @suleimanhaji5559 4 года назад

      Stamina

    • @suleimanhaji5559
      @suleimanhaji5559 4 года назад

      Mhh

  • @abelysimbeye8903
    @abelysimbeye8903 4 года назад +18

    Bora wew ametoka mwenyewe broo me alibeba na vyombo vya ndan vyote daaaaaa ASIWAZE

  • @petermaengo
    @petermaengo 4 года назад +156

    "Asiwaze " imenikuna sana hii ngoma alafu nahisi huyu ndo stamina wengi tunaomjua gonga like kama tupo pamoja....nampa 5 producers kwa kusimamia kazi nzuri kama hizi...natamani nisign kwenye hii label inaonyesha uhalisia wa mziki na maisha yapo hapa ..hii ndio sanaa kamili.

    • @oskamkwele723
      @oskamkwele723 4 года назад +2

      Sitamina nimekubar iyo nyimbo imebeba mashauli mazit San km unamkupali stamina bac mpe Moy IPO sk yatakua sawa

    • @oskamkwele723
      @oskamkwele723 4 года назад +1

      Kam unamkubar stamina bc mpe Moy IPO sk

    • @javaniwamakao4987
      @javaniwamakao4987 4 года назад

      atari subscliber chanel yangu javani wamakao

    • @BossMistari
      @BossMistari 4 года назад

      Enjoy Your Favourite Artist Official New Video Song...
      ruclips.net/video/1N_f8LpIJTc/видео.html

    • @mzungumzungu3988
      @mzungumzungu3988 3 года назад

      Da asiwaze imenigusa sana

  • @MrManchoso
    @MrManchoso 4 года назад +34

    Wew ambae hujasikiza hii ngoma
    Kabla ya kuomba like hebu kwanza anza kusonya
    Classic music stamina wew ni mkali

  • @thabitilinolo740
    @thabitilinolo740 4 года назад +27

    Amin kwamba jamaa nizaid y Kipaji cha Hipapu ngoma kali acha like kam umeanglia zaid y mal100

  • @chrismute8186
    @chrismute8186 4 года назад +217

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪niwakilisha wakenya wote tunamkubali stamina 100/100

  • @miketez2160
    @miketez2160 3 года назад +5

    Life nayo na ndoa...aty unaeza kumpamia mkongo mkeo na usimridhishe, alfu anaempakia mkorogo ndo akamfanya amridhishe.... Daaaah.... 254....stamina is killing yo

  • @lovenessandrew9121
    @lovenessandrew9121 4 года назад +69

    Roma this song is gonna touch the whole society man!kazi ya msanii ni sanaa na umedeliver....no matter how painful it is!

  • @dioncmusic7027
    @dioncmusic7027 4 года назад +76

    Kama umesikiliza hii ngoma zaidi ya marambili gonga like hapa twende sawaa

  • @DYKeynan
    @DYKeynan 4 года назад +31

    Poleni wasmamizi, kwa ujinga mlosimamia. 100%💥

  • @eliahrioba6679
    @eliahrioba6679 Год назад +5

    Kama Umerudia this song two times wapi likes.. Im from Kenya 👊👊👊👊

    • @joshuason557
      @joshuason557 Год назад

      Not only 2 times bro but every day ✌️🇺🇬👊

  • @mapandejr8932
    @mapandejr8932 4 года назад +76

    "Unawez mpakia mkongo mkeo na usimlizishe, arafu anae mpakia mkorogo ndo akafanya amridhishe"
    mstari nime ukubali sanahuu big up 🙌🙌🙌

    • @waltermfikwa4361
      @waltermfikwa4361 4 года назад +1

      Mapande Jr ndugu yangu, mwenzio hapa nataman kujua kamaanisha nin ila naon huu mstari unanipa utata...

    • @samwelimseyi3388
      @samwelimseyi3388 4 года назад

      Atari xn hp

    • @eneolatukio8493
      @eneolatukio8493 4 года назад

      Mi sijauelewa🙄😳

    • @samwelimoshi5614
      @samwelimoshi5614 4 года назад

      @@waltermfikwa4361 njooo inbox nikuambie kamanisha nn 0714333699

    • @korneliserafini7843
      @korneliserafini7843 4 года назад +1

      Hahahaaaa bro kweli cha mkongo hatari sana ,huo mstari tunaelewa Wa chache
      Sana

  • @daudichawo240
    @daudichawo240 4 года назад +93

    Tunaoiba wake za watu ...tuonane hapa gonga like apa😀

  • @honorekiza8762
    @honorekiza8762 4 года назад +75

    Dah gonga like kama Moyo wako umeuma kwa hii stori ya kweli😭😭😭
    Kuna mwingine amepanga kwenda kununua ile pete ya Stamina kwa nusu bei pale dukani😂😂😂

  • @JoshwaaMollelMwangii
    @JoshwaaMollelMwangii 6 месяцев назад +2

    Aiseee hii inakubalika 💯 akunapinga mizi yoyotee 🇹🇿🤛🤛🤛🇰🇪🇰🇪💯💯💯

  • @dizzonofficial1937
    @dizzonofficial1937 4 года назад +80

    "Aliesema ndoa ndoanoo hivii huyo mjinga ni naniii" !!!

  • @ivanmcdonimcdoni7890
    @ivanmcdonimcdoni7890 4 года назад +10

    The first one from Mozambique.
    Personally me ni shabiki wa WCB, lakini napenda sana music wa huyu jamaa. Stamina is an awesome guy 👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽

  • @foxboyofficial3334
    @foxboyofficial3334 4 года назад +23

    Daaaaah blother katugusa tulio single
    Like utatisha Sanaa

  • @Aron-ep2ge
    @Aron-ep2ge Год назад +1

    Akisikia nmekufa.........................Chonde stamina toa hiyo mistari jmn, Ngoma Kali Kwa tuiowah tendwa but tusikufuru mungu ,kufufuka!!!!!!!!mhhhh!!!

  • @jojoqn1043
    @jojoqn1043 4 года назад +32

    ❤❤❤❤😍😍😍 hisia za kweli kwa stamina

  • @arexmerck2324
    @arexmerck2324 4 года назад +623

    Kama nawwe unaamini huwimbo unaujumbe mkubwa ndani yake gonga like apa
    👇👇

  • @eliudchangamike7827
    @eliudchangamike7827 4 года назад +334

    Km umesha sikiliza zaidi ya mara mbili 😣😣😣😣😣😣 gonga like yako

    • @Zanzibar_quiztv
      @Zanzibar_quiztv 4 года назад +1

      Eliud Changamike 👇👇👇👇👇👇👇👇👇ruclips.net/video/x1-jSq-yEeU/видео.html

  • @samsondaniel3377
    @samsondaniel3377 4 года назад +254

    Wimbo wa kwanza kuwa namba moja kwenye trend. Then ukatoka arafu baadae ukarudi tena namba moja.
    Kama umegundua ilo dondosha like.

  • @immaabukuku7180
    @immaabukuku7180 4 года назад +18

    Stamina anahitaji cancelling hayuko sawa anaonekana kweli amemaanisha maneno aliyo ya sema

  • @dopnap4855
    @dopnap4855 4 года назад +70

    😂😂😂daaah,.. Stamina katiiiisha saaana,...:
    "Pole wasimamizi wa ndoa,
    Kwa ujinga mliosimamia,
    Mngesimamia ukucha,
    Mngekuza hata familia"
    😂😂😂HIVI JAMANI,..MSIMAMIZI WA NDOA YA STAMINA SI ALIKUWA PACHA WAKE " ROMA" ??
    😂😂
    "Nikiziona picha za harusi,
    Najisikia vibaya,
    Namuonea huruma padre,
    Pamoja na waimba kwaya"
    😂😂😂😂
    Saaaaaaaaaluuuute kwako STAMINA

  • @stevekyando1561
    @stevekyando1561 4 года назад +655

    Kama umeludia zaidi ya mala 2 like🇹🇿

  • @NdikumwenayoFelix-t5d
    @NdikumwenayoFelix-t5d Год назад +1

    Ukiamua kuingia kwenye uhusiano na binti wa kisasa, basi iandae loho yako.
    Chkuwa zako bwana Stamina, nimekusoma

  • @edwingwesso129
    @edwingwesso129 4 года назад +20

    Kama umejifunza kitu kipitia huu wimbo achia like

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 4 года назад +96

    Upo kwenye mahusiano ila hujui yanausiana na nini🙌🙌🙌🔥🔥😁😁

  • @nicellylyimo6788
    @nicellylyimo6788 4 года назад +363

    Kama umerud baada ya kusikiliza interview ya roma like tujuane

  • @kaarajustus2496
    @kaarajustus2496 2 года назад +1

    Unaeza jipaka mkongo umfikishe kumbe mwingine anampa mkorogo anaridhike
    Daaah stamina nakukubali

  • @ciphertz
    @ciphertz 4 года назад +740

    Kama uko single na ujumbe umeuelewa gonga like

    • @felisterkamuli1893
      @felisterkamuli1893 4 года назад +9

      Hahaa sifun wee oa tu bwana.. Ndoa hazifanan

    • @ciphertz
      @ciphertz 4 года назад +6

      @@felisterkamuli1893 somo Zuri sana kwetu

    • @juliussanane1860
      @juliussanane1860 4 года назад +11

      Mi ndo mana cnaga shobo na hiz mambo za ndoa ubachela ndo naulewaga tu

    • @rosemaganga3901
      @rosemaganga3901 4 года назад +4

      Hii nyimbo nimeiyelewa

    • @fredrickwebiro3605
      @fredrickwebiro3605 4 года назад +2

      ​@@aminajohn9678 !

  • @mwitarange8938
    @mwitarange8938 4 года назад +45

    "Kaka yake Nilishakula so ruksa kutoa vyombo", "Ila atakayemuoa mwambie ampe mtaji wa Bodaboda",
    Wimbo mkali kila nikisikiliza natamani kurudia, Ujumbe kwa masela na wanandoa. Take it from Stamina

  • @florianmasawe9520
    @florianmasawe9520 4 года назад +11

    Duh!!! Mimi nimeielewa sana hii ngoma kwa ambae ameielewa kama mimi agonge like hapa!! Ndoa bhana walio kwenye ndoa wanatamani kutoka ambao hawapo wanatamani kuingia 😭🙏🙏

    • @flovamanmusic3663
      @flovamanmusic3663 4 года назад +1

      dah true man

    • @samirrymichealpollah1767
      @samirrymichealpollah1767 4 года назад +1

      DaaaaaH!!! Amakwel nDoa inamitiHani migimUsana thus why vyetiVyake vnaanZa kutoka kabla yamitiHan xo pole sanaBroo c0z wew nikakayake ushakula so muache2 atoeVyomBo

  • @amnazoh254
    @amnazoh254 2 года назад +45

    Not only a song but a life lesson❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪254

  • @shaddymarks7472
    @shaddymarks7472 4 года назад +340

    Straight outta kenya,,, we are asking for likes here but this guy has represented all men, we keep things inside us with leads to depression,,, big up

    • @Zanzibar_quiztv
      @Zanzibar_quiztv 4 года назад +1

      Special agent bullet sm Sm ruclips.net/video/x1-jSq-yEeU/видео.html

    • @Zanzibar_quiztv
      @Zanzibar_quiztv 4 года назад +2

      Special agent bullet sm Sm 👇👇👇
      ruclips.net/video/x1-jSq-yEeU/видео.html

    • @mwanahmisidd7759
      @mwanahmisidd7759 4 года назад

      Daaaah Inafundisha

    • @ahadyeahboyemmanuel2999
      @ahadyeahboyemmanuel2999 4 года назад +1

      Pole kwa kutoswa kama mm ningemto sadaka pole sana stamina

    • @ahadyeahboyemmanuel2999
      @ahadyeahboyemmanuel2999 4 года назад +1

      Jikaze mana syo ridhiki yako

  • @innocentg.2733
    @innocentg.2733 4 года назад +52

    Rostam ni majembeeee kama unakubali hiyo piga like tuwe wazalendooo

  • @abdallasarai6327
    @abdallasarai6327 4 года назад +19

    "Sijui aliyenishauri nani" that's deep.

  • @mtembeijulias3074
    @mtembeijulias3074 4 года назад +4

    Hayo ndo mapungufu yakutanguliza cheti badala ya mtihani so tahasisi ya mahusiano irekebishe kufungu cha ndoa tuwe tunaanza mtihani chet baadae ahsante starmina

    • @AlfanDidas
      @AlfanDidas 7 месяцев назад

      Kwer mzee iwe ivyo!!

  • @mosesbariuh5443
    @mosesbariuh5443 4 года назад +23

    Be wise as you engage yourself with women.
    Aisy!!! Stamina ushasema. Bonge la hit. 💯💯💯

    • @nurdinkijaji6886
      @nurdinkijaji6886 4 года назад +1

      moses bariuh hatari sana

    • @BossMistari
      @BossMistari 4 года назад

      Zimefanana.. ruclips.net/video/1N_f8LpIJTc/видео.html

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 4 года назад +185

    tulio single ii nyimbo ina tuusu🔥
    Gusa like kama umeelewa✋🏿

  • @mustaphamuslim6564
    @mustaphamuslim6564 4 года назад +65

    Kama umesikiliza interview ya Roma ndo ukarud kusikiliza wimbo gonga like.

  • @NasraBadi
    @NasraBadi Месяц назад

    Kama nipete nisharudisha kwa sonara nisharudisha nusu hasara - 2024 agost

  • @africangirls482
    @africangirls482 4 года назад +36

    Like kwajamaa alieimba hii chorus aise

  • @feisalkigoda26
    @feisalkigoda26 4 года назад +35

    What goes around comes around..
    Pole sana kaka

  • @uchebemedia5418
    @uchebemedia5418 4 года назад +289

    Kama Leo Umeview Tena Hii Ngoma Gonga Like Chap.!!

    • @maulidisufi9891
      @maulidisufi9891 4 года назад

      Uchebe O
      nline TV

    • @rehemawidon4015
      @rehemawidon4015 4 года назад

      Ni shida

    • @msisili
      @msisili 2 года назад

      Bro mtandao una tatizo…..ningegonga like100🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sultanvdeo4996
    @sultanvdeo4996 4 года назад +20

    Hii ngoma ilitakiwa iwe on trend zaman sana cjui ilikuwa inakwama wap

  • @jullyusyshillatu5789
    @jullyusyshillatu5789 4 года назад +13

    Kama umemuelewa stamina halaf ukarud kuwaza mahusiano yako kama mim hapa heb like tujuane

  • @jamali0017
    @jamali0017 4 года назад +202

    Umeongea Sana broo kudadeki like zangu from🇰🇪🇰🇪🇰🇪👇👇

    • @nellysonjeambrose5109
      @nellysonjeambrose5109 4 года назад +1

      🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @marvotv
      @marvotv 4 года назад +1

      Nene N ruclips.net/channel/UCspwtwPhNmcupcRXwGemhQA
      Hello hope you good and healthy kindly
      Just
      Click on this link And S U B S C R I B E to my CHANNEL please 🙏😀
      Subscribe
      May God Bless You

    • @marvotv
      @marvotv 4 года назад +1

      jamali 001 yooo bro rieng safi
      Subscribe Arif wa KE Bless up

    • @michaelmrindoko1962
      @michaelmrindoko1962 4 года назад +1

      Stamina nakukubali Sana Ila usiwaze hayo ni mapitotu

    • @emmanuelamosi6025
      @emmanuelamosi6025 4 года назад +1

      emmanuel

  • @nikkithe2rd383
    @nikkithe2rd383 3 года назад +32

    am addicted to this song, i have to listen it daily before i sleep

  • @joshuason557
    @joshuason557 Год назад +4

    Khabla hujjafunga ndoa ,,sikiliza vizuli iyi ujjumbe ...........ndoa ndoano 🤷🙆✌️🇺🇬

  • @Ngepetv
    @Ngepetv 4 года назад +159

    Vipi Kuna anae mkubali huyu jamaa tugonge like

    • @ngederemkatamkaachuwa6445
      @ngederemkatamkaachuwa6445 4 года назад +1

      Nyimbo inameng sana

    • @NEXTtz
      @NEXTtz 4 года назад

      Check
      ruclips.net/video/nfBI5dRtlcc/видео.html

    • @coronavirustanzania7514
      @coronavirustanzania7514 4 года назад

      Tupo pamoja, pata biashara nzuri hapa ruclips.net/video/C_oUN-VndWA/видео.html

    • @batulemwamwaja6524
      @batulemwamwaja6524 4 года назад

      Iv like zinkusaidia nn

    • @Ngepetv
      @Ngepetv 4 года назад

      @@batulemwamwaja6524 Kama hujui faida y like bonyeza hapa ruclips.net/video/OWjp4jJpu_c/видео.html

  • @ibrahimsitati744
    @ibrahimsitati744 3 года назад +76

    "Akisikia nimekufa, mwambie asilie sana, aite rafiki wafurahi wachome nyama, nitazikwa na ndugu-marafiki na mafans kibao" kwa wale wote waliotuacha kwa sababu za kijinga

  • @bigbossmanbossman6946
    @bigbossmanbossman6946 4 года назад +41

    " Nikimuona msibani nitafufuka nizabe vibao!" Hatariii Sana.

  • @gosbertbuberwa6198
    @gosbertbuberwa6198 4 года назад +48

    😂😂😂😂 Pole Wasimamizi, Yakwamba Wangesimamia Ukucha Wangeongeza Familia! 👏👏👏🙌🙌🙌

  • @VictoriaMahewa
    @VictoriaMahewa 7 месяцев назад +3

    Ndoa ni nouma bro, japo wachache wanahesabika thank my brother for good song

  • @mkongafiber4285
    @mkongafiber4285 4 года назад +132

    Gonga like kama umeangalia zaidi ya mara tano.

  • @mouhmahsein5798
    @mouhmahsein5798 4 года назад +199

    Bonge LA ngoma hata like kumi tyu

    • @eriqemarson2362
      @eriqemarson2362 4 года назад +1

      Nakubaliana na wewe....tunakupa like zaidi ya Kumi tyu 👊🏼👊🏼👊🏼

    • @brainbuzzsystemtech.9408
      @brainbuzzsystemtech.9408 4 года назад

      Sasa nawashangaa nilike comments zako umeimba wew??

    • @maulakaroli8323
      @maulakaroli8323 4 года назад

      Like unazoomba kwani umeimba wewe?

  • @reginaphilimon782
    @reginaphilimon782 4 года назад +316

    tuliokubali huu wimbo tujuane hapa kwa like🙂🙂🙂

  • @SHARIFUMBIRO
    @SHARIFUMBIRO 8 месяцев назад +1

    Leo tar 13/1/2024 nasikiliza hii ngoma never die ❤

  • @godfreyeugen4595
    @godfreyeugen4595 4 года назад +38

    Sadaka misa ya ndoa hero ningewapa watoto yatima gonga like

  • @frankryricstv129
    @frankryricstv129 4 года назад +690

    Kamaww tem rostam tujuane kwaku piga like hapa

  • @eliyasanga6374
    @eliyasanga6374 4 года назад +14

    Mke wangu katoroka nakuniachia mtoto mdogo ndani wa mwaka moja na miezi miwili sijui kaenda wapi natena kaondoka usiku tena mida ya 8:00 kasema Ana enda kununua mafuta ya kupikia ila kaenda mazima hajarudi ten a mpaka saa tisa usiku sijamuona ten a na saizi hajarudi saa tisa 3:05 nimeandika message kwa ukrasa wa stamina asante kaka maisha y angu kama umeyaona nitatuza mwanangu bila kujali mwanamke tena maisha yakumtegemea mwanamke yashaa nitoa imani nisito yataka tena

    • @khalifabiggy3439
      @khalifabiggy3439 2 года назад +3

      Pole mwanangu

    • @eliyasanga6374
      @eliyasanga6374 2 года назад +3

      @@khalifabiggy3439 asante kaka sasa mtoto ana miaka nne amjui mama ake

    • @eliahrioba6679
      @eliahrioba6679 Год назад +3

      👊👊👊keep going brother

    • @eliyasanga6374
      @eliyasanga6374 Год назад +2

      @@eliahrioba6679 asante kaka sasa dogo ana miaka minne na miezi mitano amjui mama yake

    • @albertmoris7925
      @albertmoris7925 7 месяцев назад

      Polee😢

  • @tontonwakabila2836
    @tontonwakabila2836 4 года назад +7

    Big up Kaka kwa nyimbo nzuri sana ,iyi nyimbo inagusa watu wengi sana ...

  • @adamlibenanga5045
    @adamlibenanga5045 4 года назад +239

    "Mwambieni yule dogo aliyechezea club ya Simba..kutembea na mke wangu asijione kama ameshinda..mi samaki, mapenzi yangu yana shombo..kaka yake nishakula, so rukhsa kutoa vyombo.."..

  • @wazirikhamisi4828
    @wazirikhamisi4828 4 года назад +34

    YANI HAPA NDIO NIMEAMINI KUWA MAPENZI HAYANA MWENYEWE MTU YEYOTE YULE ANAWEZA KUACHA AU KUACHWA KUMBE TUKO WENGI SIO MM TU DAH

  • @neemalukombe2571
    @neemalukombe2571 4 года назад +285

    Walio ludia huu Mara mbili huu wimbo gonga like tujuane

  • @luthimunuo8838
    @luthimunuo8838 4 года назад +1

    Romaaa😭😭😭wimbo wako was ASIWAZE Ni kitu kinacho nisumbua mpaka Leo yaani badala ya kusikilza na kufurahi najikuta nalia tuu kwani Kuna misemo Ni adhabu kubwa kwenye ndoa.aliesema neno ndoa ndoano aliharibu sana.na aliefundisha mapenzi alisahau na tendo.ukweli cheti Cha ndoa hakina mchongo popote.bora sonara nilikula nusu asara.kama hujui ndoa uliza Kwanza upewa maelekezo ili usije ukajuta Kama walio kutangulia.big up Broo stamina😭😭😭🙏🙏🙏🙏god bless you

  • @fabianfacho8841
    @fabianfacho8841 4 года назад +379

    Wanao ona #stamina yupo sahii kuweka waz hisia zake tujuane kwa like

  • @montz7045
    @montz7045 4 года назад +36

    Kama umeona mikono ikiwa imeshika kamba nipe like zangu

  • @jaxboy5880
    @jaxboy5880 4 года назад +73

    Wale tunao iangalia iii ngoma kali uku tunaxoma comment tujuane kwa like 👇🏼👇🏼👇🏼

  • @ironladyhawa536
    @ironladyhawa536 4 года назад +10

    Hello ivi ni mmi narudia kuplay au tuko wengi jamani weka like kaa ulishakata tamaa ya kuolewa/kuoa Kwa kuogopa matokeo kama hii

    • @Dr.zaidi4
      @Dr.zaidi4 4 года назад

      Siogopi kuoa lakini naogopa kupenda

  • @jcksondaudon6530
    @jcksondaudon6530 4 года назад +145

    Kama kuna kitu umejifunza kupitia Wimbo huu gonga like tujuane

  • @emanuelkubona4949
    @emanuelkubona4949 4 года назад +25

    Kama kuna alieona ndoa inazikwa agonge like hapa

  • @ebenezerykimendo115
    @ebenezerykimendo115 4 года назад +19

    Watangazaji na wenye mawazo finyo watamtafuta dogo wa clabu ya simba.ila kwa sisi waelewa no comment

    • @meddyally4416
      @meddyally4416 4 года назад +1

      Ha ha ha ha. Nmelewa

    • @footballshorts9869
      @footballshorts9869 4 года назад

      @@meddyally4416 Nieleweshe na mm ulichoelewa

    • @ebenezerykimendo115
      @ebenezerykimendo115 4 года назад +2

      Swaleh Yahya mistali yote kwenye ngoma hii umeelewa ila kwa dogo wa simba hujaelewa

    • @footballshorts9869
      @footballshorts9869 4 года назад

      @@ebenezerykimendo115 Ndio. Nimeshindwa kumtambua huyo mchezaji wa Simba ambaye aliyechepuka na Mke wa Stamina

  • @edwardreonard9878
    @edwardreonard9878 4 года назад +3

    Duuuu inauma sana kaka pole sana wanawake viumbe vya ajabu wote madelila

  • @superandemediatv953
    @superandemediatv953 4 года назад +77

    Dah kama nawewe umeirudia rudia kama mm gonga like

  • @ebenezerykimendo115
    @ebenezerykimendo115 4 года назад +44

    Tumefunga mwaka 2019 na safina,Anaitwa Roma tunafungua mwaka mkombozi na hii

  • @filberthabashi3366
    @filberthabashi3366 4 года назад +15

    REGARDLESS OF PAIN, TEARS, DISSAPPOINTMENT, BETRAYAL, BUT NUMBER #1 ON TRENDING UNTIL 1MIL VIEWER. THUMB FOR STAMINA PLS

    • @jameslizomba9883
      @jameslizomba9883 4 года назад

      Numb 1 on trending till forever

    • @Zanzibar_quiztv
      @Zanzibar_quiztv 4 года назад

      Filbert Habashi 👇👇👇
      ruclips.net/video/x1-jSq-yEeU/видео.html

  • @prisillahnjeri1804
    @prisillahnjeri1804 4 года назад +7

    Kuolewa apana Doa huumiza🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️wacha nikae single

  • @douglasslawrence7992
    @douglasslawrence7992 4 года назад +14

    Huyu na Roma ndo wana Hip Hop for real....i love them

  • @senetamtangazaji2901
    @senetamtangazaji2901 4 года назад +203

    Imefanana Sanaa na Mambo ninayo yapitia Sahii niombeeni 😪😪😪

    • @jontezmuzik
      @jontezmuzik 4 года назад +3

      Ntakuombea bro

    • @saidbanga
      @saidbanga 4 года назад +4

      Pole ila chukulia kama sehemu ya kujifunza..! nakumbuka siku naenda kuoa nakutana na rafiki yangu tuliyepoteana muda mrefu akaanza kunisimulia misuko suko aliyokutana nayo Kwenye ndoa yake..! Dah nilihisi kama ndo nafanyiwa mimi..! Tuombe Mungu inshallha

    • @runigangwamizungo7647
      @runigangwamizungo7647 4 года назад +3

      Pole sana ndgu yaani nmeuckiliza wimbo vzr lakini bado mapata wakati mgumu kuelewa kwanini amenogusa

    • @jafariholota9200
      @jafariholota9200 4 года назад +4

      Pole bro sana ndugu lakn kuna njia mbadala usiumize sana moyo wako wewe una thamani

    • @godfreymagoso5334
      @godfreymagoso5334 4 года назад +2

      Mengine siyo ya kuombewa bali ni kupambana na hali yako na kuchukua maamuzi yenye tija kwako na kwa mwenzako

  • @silvazidekr4436
    @silvazidekr4436 4 года назад +216

    Kamaa unasikiliza ngomaa ukuunasomaa comment gonga like twende sawa

  • @yusuphlungwa479
    @yusuphlungwa479 4 года назад

    Kweli yakikukuta ni balaa huu wimbo hebu wanawake wajifunze kitu. Stamina safi sana lekod iko vizuri

  • @happinessshirima3279
    @happinessshirima3279 3 года назад +28

    Kama bado unatazama huu wimbo weka like yako hapa

  • @adrianomtanzaniano6310
    @adrianomtanzaniano6310 4 года назад +53

    Nshawahi kuwa na mahusiano afu sijui yanahusu nini... Tujuane tuliokwenye huu mstari

  • @willbardkacholi2778
    @willbardkacholi2778 4 года назад +25

    Anayempenda stamina like hapa please from +255

  • @kevinkituyi5143
    @kevinkituyi5143 3 года назад +4

    Mad respect Stamina.Huku Kenya tumekubali 👏👏👏