Hii nyimbo kali ina ujumbe mzito Ila toka imetoka ilikkua inasua sua mpka magufuli kaichagua kma ngoma yake bora ndo watu wakaamka kuanza kuitazama 🙄🙄 bongo mziki mzuri hausapotiwi hta kdg ila ile ya hovyo ya akina naniiii ndo inatrend balaaa na haina ujumbe wwte..
Baada ya kusikia kisa Cha mama diamond na baba aliyekuwa wa diamond kujulikana sio baba halali wa diamond ukaamua kuja kuangalia huu wimbo weka like yako tujuane
*Tazama Lyrics ya wimbo mpya wa Zuchu sukari kwa kugusa linki hii ya chini* ruclips.net/video/LMMcOLVk4rs/видео.html Lakin pia naomba subscribe kwenye channel yangu ili niweze kumonitize channel
Watoto wengi huwa wanawaraumu wazazi Bila kujuwa walipitia nini, hakuna mtu anaye penda maisha magumu, Ila chochote huwa kinasababu ya kuwa na matokeo mazur au mabaya. Ndo maana wanasema usilo lijuwa Ni sawa na ucku wa Giza, ndo maana hataujuwi mengi waliyo pitia wazazi wetu. Sasa badala ya kutowa lawama, watoto tupambane , tusilaumu wazazi, hatujuwi yaliyo wasibu yaliyo pita
Daaah ujumbe mzuri sema viewers kwenye nyimbo hizi huwa wachache.......hadi muda huu hata 1m bado watu wanataka mapenzi tu....wakati hii nyimbo imeakisi ukweli haswaa....katika jamii.....
Tumepewa shavu na Rais tayari daaah....nimeamini maoni ukiwa nayo ni muhimu sana huwezi juwa ya mbele I hatimaye umekuwa wimbo bora na kumbe wapo wengine wameusikiliza ✊🏻
Elimu siku izi bure Cha ajabu umeshindwa kunipeleka adi shule..... Hebu toa bangi zako apa aliekuambia usisome Nani... CREATIVITY IKO JUU HIPHOP🇹🇿 from 🇰🇪
Kiukweli wabongo tumemisi nyimbo kama hizi burudani plus elimu, bonge la hit song Mbunge uliyeibiwa kura big up..... Hii lazma ikae ikae on trending mwezi.
*Tazama Lyrics ya wimbo mpya wa Zuchu sukari kwa kugusa linki hii ya chini* ruclips.net/video/LMMcOLVk4rs/видео.html Lakin pia naomba subscribe kwenye channel yangu ili niweze kumonitize channel
This Song is really Deep and It's also a lesson to Young parents like me that we must work hard and give Our Children the BEST we can Bure tutakuja laumiwa... 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
You cannot produce a hit song when you don't feel the song itself. Many artist fail to understand singing and fun they sing for fun instead of singing from their emotions. The reason professor Jay has been in industry for many years he knows this secret. I see Stamina knows this too whenever he goes to studio he produce a hit song. One Six not only he sings the chorus but you can tell he sings from the bottom of his heart. I love y'all this song ain't just a song but a lecture to all of us
All of Stamina's songs leave you emotional, they have a clear protagonist and antagonist- this is art, this is what music should do: evoke strong emotions!
Dah mwanangu stamina ujawai niangusha mwanangu. Nandika hii comment kwa furaa ya ubingwa wa mapinduzi cup. Yanga bingwa kama we ni yanga gonga like twende sawa mwananchi bingwa🏆🏆🏆🏆🏆 wanangu 🔥🔥😃🇹🇿🇹🇿.
Respect to all parents...Children should learn to love their parents unconditionally cause we dont know what our parents had to go through to make ends meet when we were young...God bless our parents...Amin inshaallah...
Kusema kweli huu ni mzuri sana, marehemu Baba yetu magufuli hakusema Uongo. Huu utakuwa kumbukumbu kila ukichezwa nitamkumbuka Mh. Hayati JPM r.i.p ma president!
Nyimbo za aina hii ndizo zinazopaswa kuimbwa na wasanii wetu, sio matusi daily na nyimbo za kijinga jinga. Heshima kwako Stamina kwa ubunifu uliowekeza humu ndani, ingawa ulitaka kumzingua mshua wako, lakini ukubwa dawa Profesa Jay akakupiga knock out ya kibabe. One Six, umepiga Kona za hatari kwenye kolasi, much respect all of you guys.
Lemmy talk to the young people here. You can't blame your parents for what they did or they didn't do to you. Step out and take responsibility of your life. Everybody is personally accountable to what they become in life. Go out there and do whatever you gotta do to cook your own story with your own recipe. What your parents did is the much they could have done. RESPECT!!!!
Tuliokuja kuurudia 2024 nipeni like zangu 🔥
Who's here after The President said this is one of his favourite song's in Tanzania 🇹🇿 much love from KENYA 🇰🇪.
Mimi hapa 😃✋
I am here!
Me too🤣🤣🤣🤣
Me too
Am here
Waliokuja kuangalia hii song baada ya kuombwa na Rais gonga like hapa
✌🏼
Me
Tupo
Jamaaa ametisha hatareeee..
ata mimi nilikua siijui
Kama wewe ni mkenya na unaukubali huu wimbo,ngoga like msela
Mm jamn kiukweli nampend cn
like kama umerudi apa baada ya Magufuli kurequest hii nyimbo
Hii nyimbo kali ina ujumbe mzito Ila toka imetoka ilikkua inasua sua mpka magufuli kaichagua kma ngoma yake bora ndo watu wakaamka kuanza kuitazama 🙄🙄 bongo mziki mzuri hausapotiwi hta kdg ila ile ya hovyo ya akina naniiii ndo inatrend balaaa na haina ujumbe wwte..
Rais wangu Dk John pombe magufuri umenisababishia kusikiliza huu wimbo leo tarehe 25.02.2021
Tuko wote nami nimesikiliza Leo baada ya laisi kauomba
wallah hata mie mimerudia kuisikiliza tena baada ya rais kuipromo
Bless
Km mm hii tarehe uipende mwenye wimbo👌😂
Hata Mimi Jamani
Mh rais anaisikiliza ndani ya channel ten pongezi kwa jpm rais wetu mpendwa
We ni nooumaaaa 👌👌👌👌👌
Dear my president Magufuli( Hero),i remember you through this song😥😥😥😥😭.Rest in peace Baba, we are missing you😭😭
"Hebu toa bangi zako aliyekuambie usisome ni nani?"
Likes za Prof. J zikam👍
254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😂😂😂ruclips.net/video/kGY6Tp8Du3E/видео.html
🇰🇪 atoe dom hapa😃😃
🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Professor kalea mtoto sio damu yake alafu anakuja kubwatuka bwatuka nakubali professor
Noma sana ila inauma pia
Waliokuja hapa kwa kuwa JPM ameuchagua wimbo huu akiwa anazindua studio ya MAGIC FM!! Ila wimbo huu umebeba ujumbe mkubwa Sana!!!
Sanaa
Hata mie nimekuja baada ya jpm kuutaja
Tumekuja kwel
Sana nipo naangalia tena
Wimbo unafundisha aiseee nimetoa machozi
Wangapi tupo apa kuskiliza ngoma ya stamina baada ya kuskikia jpm ameipenda gonga like apa😄😄
Nipo
One six one si one six nimemuita mara tatu ebu gonga like apo kama umeuelew the best chorus maker
Hapo hata linex mjeda angefunika pia
Nampa g nako namba mja one six anakuja vizurii
@@KingKong-db9zv hapna Yule muha hapo apamfai six kauwa
Nimerudia ii ngoma zaidi ya mara kumi..si nipewe likes mbili tu☺️
Dah hameimba sn
We jamaa zizd sasa zngine nigaie mm
A@a@a@@%@@ki se on more 8 ko ni lol my
Mi Mkenya, naheshimu Tanzania na mashahiri yao and good story telling. Stamina, Prof jay (currently an MP) na One six, nawafulia kofia.
Kama umeona UJUMBE umewafikia wakina NYANGE au wakina DANGOTE.. NIPE malike zaidi na zaidi.
Simon binagwa
Wanao SEMA Ihingoma ufikie mama diamond platnam na family yk like hp tujuwane
Hii ngome mahususi kwa familia ya mama dangote na mzee abdul
UMEUWAAA NITAFUT
Reality mama Diamond umesikia hii
😀😀😀😀
Noma saaaaaaan
Nimerudia kuitazama zaid ya mara ya 5 ila huyu ONE SIX ni bonge la chorus maker 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ameuaa one six
One six ni noma sana
Jamaa anajua san
Kama umeona kiabango kimeandikwa masikini Diamond tujuane hapa
Huyu dogo anaye kaa kwenye CHORAS huwa anapendezesha sana nyimbo zote za STAMINA
Wababa tunaonewa Sana nivile tu Tumeumbwa kuyameza Magumu. Gonga like kwa Wababa wote.
Baada ya kusikia kisa Cha mama diamond na baba aliyekuwa wa diamond kujulikana sio baba halali wa diamond ukaamua kuja kuangalia huu wimbo weka like yako tujuane
mama dangotmh
Yaaaap
*Tazama Lyrics ya wimbo mpya wa Zuchu sukari kwa kugusa linki hii ya chini*
ruclips.net/video/LMMcOLVk4rs/видео.html
Lakin pia naomba subscribe kwenye channel yangu ili niweze kumonitize channel
Kwahiyo mama Diamond alikuwa Malaya si ndio?
Ngoma umetoka kabla ya Mambo ya mond
Kwa aliyesikiliza zaidi ya Mara moja kama Mimi plzz like zikusanywe hapa!!
Wd
Mwenye amekuja hapa baada ya kauli ya Mzee Magufuli, gonga like tujuane hapa. Love from Uganda 🇺🇬
Waliosikia korasi ya one six zetu apaaaaa jmn...🎵🎵
😂😂😂ruclips.net/video/kGY6Tp8Du3E/видео.html
Anajua sana
Chaguo la JPM hili👏👏 tia likes hapa.
Hajakosea kbs
Kama unamkubali professor jay kwa vesee yake gonga like hapa
Njooi na huku kwa Simba la singeli
Stamina is such a good lyricist.,the message is top norch. Big fan from Kenya 🇰🇪
Stamina huimba Hali halisi ya maisha nipeeni like wadau⚡⚡
Mmmh
Naomba Basata wampe tuzo ya heshima profesa J
Huyu ndio legendary bora wa hip hop Tanzania
Wimb wa Taif ...Mpk JPM kauelewa Gong lik Twend xaw🔥🔥🔥
Prof J my all time best musician. This one you've killed it. Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tuliyo kuja kwa nguvu za JPM weka like hapa
Tupo wengi baada ya Baba kuuchagua
Nimeletwa huku na J. P. M 🙏 🇰🇪 gonga like tusonge
Kama na ww umemuona mama Kanumba tujuane hapa kwa like na coment
nime muonah🙄🙄🙄🙄
@@husnahassan2124 Ni hgf
CG Rico wqqeei wifi Wawa fw
CG Rico wqqeei wifi Wawa fw
This song it make me crying!2claumu xana wazazi coz ha2jui mpaka cc 2mekua wamepitia magumu mangap!tena kuwapenda xana baba zetu!
Watoto wengi huwa wanawaraumu wazazi Bila kujuwa walipitia nini, hakuna mtu anaye penda maisha magumu, Ila chochote huwa kinasababu ya kuwa na matokeo mazur au mabaya. Ndo maana wanasema usilo lijuwa Ni sawa na ucku wa Giza, ndo maana hataujuwi mengi waliyo pitia wazazi wetu. Sasa badala ya kutowa lawama, watoto tupambane , tusilaumu wazazi, hatujuwi yaliyo wasibu yaliyo pita
Kweli kabisa
Baada ya Mh. Magufuli kuusifu huu wimbo nimekuja tena leo
wanaocheki leo like hapa twende sawa
Kabisa
I love Tanzania's contents they are musicians NOT singers ...get the difference!.... From Kenya spreading love only!!!
Sans2
Ebana ngoma Ni nzuri sana
They do arts, they do really reflect what society find out
Totally true
@@24seventv99 ...yah and they do what they are best at!
Daaah ujumbe mzuri sema viewers kwenye nyimbo hizi huwa wachache.......hadi muda huu hata 1m bado watu wanataka mapenzi tu....wakati hii nyimbo imeakisi ukweli haswaa....katika jamii.....
Wanaitadjj nyimbo za usharati tu dunia nimbaya kitu kizuri ivi ndo kibaya mbele ya watu
Nikweli wengi hawajui Kuskiliza ujumbe wanaskiliza mdundo na rington
Tumepewa shavu na Rais tayari daaah....nimeamini maoni ukiwa nayo ni muhimu sana huwezi juwa ya mbele I hatimaye umekuwa wimbo bora na kumbe wapo wengine wameusikiliza ✊🏻
Hii ngoma wangapi wamemwelewa huyu jamaa ana mwambia naogea nawee aogea naweeee
Tuliokuja hapa baada ya raisi kuomba hii nyimbo
Nani anasema hii ngoma inamkosa ROMA MKATOLIKI? Gonga like kama una mawazo sawa nami.
Kweli kabisa
Hiyoooooooookookkkkkkkk
Hiiiiyoooooooooookkooooookiiii
Duh angekuwepo hata stamina mngeona hajaimba kitu maana yule mtu ni hatarii
Kwel
Waliokuja baada ya Rais kuukubali huu wimbo weka like yako hapa!!
Mie Apana
Wasanii jitaidini nyimbo zinazo ishi magufuli mi tano tena walokuja kwa niaba ya rais tuonane
Tuliokuja hapa baada ya Rais kusema huu wimbo una ujumbe mzuri sanaaaaaa
Chama Cha wasoma comments Tanzania CHAWACOTA ✔️
Naenda kusajili hiki chama
Chawacota
@@shambaprojects488 I pa1
Haaaaas
All sides of the coin explained here. Kweli nobody should blame anybody. Good one @stamina 🇰🇪
Yani Kenya mshafika💕
Hapo Kweli
Daha aisee hiv stamina hihi ngoma mliimba kwaajili yangu au tupowengi maan umenigusa Sana mzee
🇰🇪🇰🇪🇰🇪☺️☺️😁😁
Bonge la ngoma pia inafundishoooo makubwaaa kama umeelewa weka likeeee yakooo hapaaa
Salute kwa Stamina and professor Jay. Much love from Kenya. Hii ngoma naikubali. 🇰🇪. Watanzania twawapenda sanaa sisi wakenya.
Sisi ndugu kaka
Kwel nas twawapenda sana wakenya
@@justine8742 Shukraan.
Nasi twa wapenda pia
Bongo vipaji ni vingi mnooo
Tunaoamini hii michano Professor Ja ameumiza tu like hapa🙏
hivi hizi like za nn lkn mnaboa mjue
@@mramsayo1025 hahaaaaaaaaa
Nan amekuja hapa baada ya Rais wetu kuifagilia..
Mh Rais leo kauomba akiwa Chanel 10, kwa ujumla ni bonge la wimbo
JPM loved this song, rest well best president, father, mentor, hero. In our hearts forever ❤️❤️❤️🇰🇪
Naomba tujuwane walio rudia Iyi nyimbo badaa yakusikia Mama Dangote kamkana Mzee Abdul sio baba Diamond nipe like twende ifikishe 1 million
Are we just going to ignore those vocals of the chorus guy, please give him a like for me.That chorus is lit.
Absolutely...... Goosebumps
One six massive
The guy have high class vocal
@@wittywayimba9617 ya get
Huu ndo muziki wa kusikiliza..... siyo yale matusi ya nguoni ya wale jamaa
Wananiuzi sana wale mabaradhuli, wao wanafikiri maisha ni all about sehemu za siri tu. Ni wale na majambazi. Mh. Rais kwapa za uso kiaina
Kwel wanaimba ujinga mtupu 👐👐
Elimu siku izi bure Cha ajabu umeshindwa kunipeleka adi shule.....
Hebu toa bangi zako apa aliekuambia usisome Nani...
CREATIVITY IKO JUU HIPHOP🇹🇿
from 🇰🇪
"Kuzaliwa maskin cyo kosa lako kufa maskin ndio kosa lako’'🤣🤣🤣🤣ebu toa mibang yako aliyekwambia usisome nan???!!! I like it
Ngoma kaliii asee big up
Mamaeeee🤣🤣🤣
Sure
Htr sana
naona kama raia hawamuoni ONE SIX ivi kwenye hii ngoma... ila JAMAAA kiukweli AMEUA.
NGOMA KALI. KICHUPA KINAENDA na maudhui. aiseee ni FIREEEEEEE
Kiukweli wabongo tumemisi nyimbo kama hizi burudani plus elimu, bonge la hit song Mbunge uliyeibiwa kura big up..... Hii lazma ikae ikae on trending mwezi.
Kama sio rais huu wimbo ningekuja kuusikia badae sana kwenye vigrosari
Hizi ndo ngoma za kuelimisha tunazotaka,rest in peace magwea,way bak miaka hiyo,,,
Prof jay umeamua na wewe uvunje ukimya kama mama Diamond mnatuchanganya jamniiiiii, kama umeliona lisemwaloooo tulike hapo
KAMA UNAAMINI STAMINA ALIMWIMBIA DIAMOND GONGA LIKE
Kwakwel
Hahahah
@@aaa64sa13 halikuwa Amesha juwa hivyo
*Tazama Lyrics ya wimbo mpya wa Zuchu sukari kwa kugusa linki hii ya chini*
ruclips.net/video/LMMcOLVk4rs/видео.html
Lakin pia naomba subscribe kwenye channel yangu ili niweze kumonitize channel
@@aaa64sa13 unadhan nani mlengwa kama si nassibu nyange😎
Jpm nishida sio kazitu mpaka muziki anajua ni upi muzur hongera wausika
Tulio furahi kumuona mama kunumba tujuane hapa kwa like😳
Am So happy kuona mamake the great kanumba
Ngoma tamu Sana Kama nawew unaamini naomba like jamani..mwanionea ata like moja mwaninyima kweli🤔
ruclips.net/video/GG-W8u0RWzo/видео.html
Utajua thamani ya Baba vizuri mpaka pale ukiwa baba. Ndiyo siku utakayoacha kumchukia na kumlaumu Baba yako. Thanks Legend One six and Stamina
Well said
I honestly didn't know this song till I heard JPM talk about it today...love from 254🇰🇪
Wangapi tumerudi apa baada ya Rais kuomba hii ngoma🙌🏾tujuane apa kwenye like👍🏾
This song deserves many views guys east africans where a you this is a a hit
This song is on another level,I loved how Stamina has approched the song...Then legend Professor J...😍.....waah....wapi likes jamani... From Kenya🇰🇪🇰🇪
Ni Vibaya Sana kutuonyesha mwenzetu anayeishi na ulemavu(zeru zeru) unapotaja laana.Hiyo sio Laana kaka
Kama umeuwelewa mstari wa profesa j wa ngawila like 🔥🔥🔥🔥
Anaye amani maneno ya baba ni makali fanya ku like.🤣🤣🤣🤣
Duuh patakufa jitu hapa wacha n comment Ntarud baadae..
Achia like kma hpa uksubr mapinduzi cup ya stamina na professor j
baba we love doctor jpm the hero of Africa, eastafrica at large and all the world baba tunakukumbuka kwa mazuri sio mabaya ulale salama
*Nani kaangaliah hii video zaid ya maramoja heb tujuane kwa like hapo mr creativity*
nimekuwa wa 15 ku comment likes nyingi kwanguuuuuu kama huna roho kwatu sema nini ngoma kaliiiii ya kufungia January ya majangaaaaaa💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿
This Song is really Deep and It's also a lesson to Young parents like me that we must work hard and give Our Children the BEST we can Bure tutakuja laumiwa... 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
True say brother
True
And don't forget to teach them the right way to go coz you have experienced. Giving our kids only the BEST it's not Enough Bro.
True
true
You cannot produce a hit song when you don't feel the song itself. Many artist fail to understand singing and fun they sing for fun instead of singing from their emotions. The reason professor Jay has been in industry for many years he knows this secret. I see Stamina knows this too whenever he goes to studio he produce a hit song. One Six not only he sings the chorus but you can tell he sings from the bottom of his heart. I love y'all this song ain't just a song but a lecture to all of us
All of Stamina's songs leave you emotional, they have a clear protagonist and antagonist- this is art, this is what music should do: evoke strong emotions!
@@robertmuendo9540
Well said brother
Quality music
Nice song indeed though I don't understand the language.
Mimi hapa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 naomba sehemu ya pili alafu jay mpe verse mbili 🔥🔥🔥
"Mwanangu nimekusikia Kua uyaone" hapo ndio kamaliza mtoto huwa analaumu tuu nakuelemea upande mmoja tuu huo mstari ndio umemaliza kila kitu
Ten baba zetu wanaptia meng n bas tyuu
kipingu
Weng tunaraum wazazi asahteni San kwakutupa burudan za ubunifu Jay na stamina na one xis
material nambie
Sana tu sisi wazazi wa kiume tunapia mambo mengi sana ya uvumilivu
Nilimiss ngoma za kikubwa kama hizi! Safi sana, Stamina.
Huu wimbo umeimbwa maalum kwaajili ya diamond kwa alimvyomfanyia Mzee Abdul.
Dah mwanangu stamina ujawai niangusha mwanangu. Nandika hii comment kwa furaa ya ubingwa wa mapinduzi cup. Yanga bingwa kama we ni yanga gonga like twende sawa mwananchi bingwa🏆🏆🏆🏆🏆 wanangu 🔥🔥😃🇹🇿🇹🇿.
Nani amekuja hapa baada ya kusikia mh Rais kuomba apigiwe wimbo huu
Naked girls 🚫, Matusi 🚫, Talent 💯🙌🏾..... vijana wenzangu ikitokea umegundua kwamba baba alishaharibu kuliko kuanza kulaumu kaa chini angalia utajikwamua vp ufikie ndoto zako. 👍🏾
Mliokuja hapa baada ya kumsikia Presidaa punguzeni fujo coz wenzenu hatujawahi ondoka 👐🏾. Haya tupambane views zifike 2m na zaidi ✌🏽😆😃
I like you
🔨🔧
Mbona una jina langu full shooo,anyway point umeongea
@@lydiajulius5339 hakika inashangaza 😃😃 dah duniani kufanana hadi majina 🤝🙌🏾
Daa nipo pilika sana hadi anko magu ndio amenistua kuwa kuna wimbo huu, hongera my president magufuli
Wadau wangu wa Kenya wapii likes za Stamina na professor......
Msanii wangu bora wa muda wote Professor Jay
Respect to all parents...Children should learn to love their parents unconditionally cause we dont know what our parents had to go through to make ends meet when we were young...God bless our parents...Amin inshaallah...
Amen God bless our parents
Our parents had go through a lot in life .. May God bless them endlessly
Ntafsirie basi kidogo hapo nami nielewe😁
Well said @carolyne
Logic✊
Kusema kweli huu ni mzuri sana, marehemu Baba yetu magufuli hakusema Uongo. Huu utakuwa kumbukumbu kila ukichezwa nitamkumbuka Mh. Hayati JPM r.i.p ma president!
Nyimbo za aina hii ndizo zinazopaswa kuimbwa na wasanii wetu, sio matusi daily na nyimbo za kijinga jinga. Heshima kwako Stamina kwa ubunifu uliowekeza humu ndani, ingawa ulitaka kumzingua mshua wako, lakini ukubwa dawa Profesa Jay akakupiga knock out ya kibabe. One Six, umepiga Kona za hatari kwenye kolasi, much respect all of you guys.
Huu wimbo umufikie baba angu Koko aliko , alivo nifanyia mungu anajua ,
Pole sana
Pole
😂😂😂😂😂
Anaweza akawa sio baba yako usimlaumu pambana
Lemmy talk to the young people here. You can't blame your parents for what they did or they didn't do to you. Step out and take responsibility of your life. Everybody is personally accountable to what they become in life. Go out there and do whatever you gotta do to cook your own story with your own recipe. What your parents did is the much they could have done. RESPECT!!!!
True, parents should alwys be respected and never get in the middle of their fights.Alwys remain neutral.
So trueee !!!🔥🔥
😂😂😂ruclips.net/video/kGY6Tp8Du3E/видео.html
Say it louder please...
True.... salute
Nami nimecomment baada ya President Uncle Kuikubali. Hongera kwenu. Nyimbo bila kiki inawezekana Tanzania 👏👏👏👏👏👏👏
Mwanangu stamina unajua kaka....prof baba ya hiphop bigup mkuu
One six ft Roma one six ft stamina, one six ft roma_anaitwa Roma song dah! Huyu mwamba namkubal co poa chorus anaumiza vibaya mno🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jamaa waga ni jini huyu haiwezekan kila akiwekwa anaua vile
Huyu onesix 😍
Anauwa mzee ile Mkombozi Dah nilikuwa najaribu kumjua huyu kijana yuko vizuri ile mbaya...
@@joeaub2185 Tena hatar xn huyu mwamba
@@shambaprojects488 jini huyu mtu
wakenya tuweke likes ya stamina hapa..🇰🇪🇰🇪
Rais wang wa jamhur ya muungano wa TANZANIA kaichagua mm ni nani nibixhane na stamin⚡⚡⚡⚡⚡⚡⚡