STAMINA FEAT PROFESSOR JAY & ONE SIX - BABA (OFFICIAL VIDEO) SMS SKIZA 7917152 to 811

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии •

  • @laizorclassic7384
    @laizorclassic7384 9 месяцев назад +98

    Tuliokuja kuurudia 2024 nipeni like zangu 🔥

  • @sadamdominic7030
    @sadamdominic7030 4 года назад +629

    Waliokuja kuangalia hii song baada ya kuombwa na Rais gonga like hapa

  • @Thedonbling
    @Thedonbling 4 года назад +357

    Mh rais anaisikiliza ndani ya channel ten pongezi kwa jpm rais wetu mpendwa

  • @njorohnjoroh7246
    @njorohnjoroh7246 3 года назад +65

    Kama wewe ni mkenya na unaukubali huu wimbo,ngoga like msela

    • @Rehema-n8h
      @Rehema-n8h 9 месяцев назад

      Mm jamn kiukweli nampend cn

  • @princenewton
    @princenewton 4 года назад +1219

    Who's here after The President said this is one of his favourite song's in Tanzania 🇹🇿 much love from KENYA 🇰🇪.

  • @liverpoolvsrangers2273
    @liverpoolvsrangers2273 4 года назад +277

    Baada ya kusikia kisa Cha mama diamond na baba aliyekuwa wa diamond kujulikana sio baba halali wa diamond ukaamua kuja kuangalia huu wimbo weka like yako tujuane

    • @jacksonmapunda9207
      @jacksonmapunda9207 4 года назад

      mama dangotmh

    • @lilyjoseph8482
      @lilyjoseph8482 4 года назад

      Yaaaap

    • @jurassicparkmovies8805
      @jurassicparkmovies8805 4 года назад

      *Tazama Lyrics ya wimbo mpya wa Zuchu sukari kwa kugusa linki hii ya chini*
      ruclips.net/video/LMMcOLVk4rs/видео.html
      Lakin pia naomba subscribe kwenye channel yangu ili niweze kumonitize channel

    • @expert5898
      @expert5898 4 года назад

      Kwahiyo mama Diamond alikuwa Malaya si ndio?

    • @fredricco5975
      @fredricco5975 4 года назад +1

      Ngoma umetoka kabla ya Mambo ya mond

  • @msherimsheri381
    @msherimsheri381 4 года назад +254

    like kama umerudi apa baada ya Magufuli kurequest hii nyimbo

    • @mursallusinde9189
      @mursallusinde9189 3 года назад +2

      Hii nyimbo kali ina ujumbe mzito Ila toka imetoka ilikkua inasua sua mpka magufuli kaichagua kma ngoma yake bora ndo watu wakaamka kuanza kuitazama 🙄🙄 bongo mziki mzuri hausapotiwi hta kdg ila ile ya hovyo ya akina naniiii ndo inatrend balaaa na haina ujumbe wwte..

  • @joycemaresi8741
    @joycemaresi8741 3 года назад +2

    Wimbo unafundisha aiseee nimetoa machozi

  • @zachariamahaja9890
    @zachariamahaja9890 4 года назад +72

    Tujuane tuliokuja kuingalia baada ya kumskia mkuu akiongelea hii ngoma

  • @patrickrichard4690
    @patrickrichard4690 4 года назад +1005

    Wanao SEMA Ihingoma ufikie mama diamond platnam na family yk like hp tujuwane

  • @binyezanch8271
    @binyezanch8271 4 года назад +154

    Narudia Tena mtanisameee na team zenu hizi ndo nyimbo zinatakiwa kutrend bongo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @popoluqman1250
    @popoluqman1250 4 года назад +28

    Hii Ngoma imeweza Kenya nzima kila kona wimbo n huu 🇰🇪 safi professor Jay na Stamina endeleeni kuelimisha jamii 🔥🔥🔥🔥

  • @stopermawetv8681
    @stopermawetv8681 4 года назад +109

    One six one si one six nimemuita mara tatu ebu gonga like apo kama umeuelew the best chorus maker

    • @KingKong-db9zv
      @KingKong-db9zv 4 года назад +1

      Hapo hata linex mjeda angefunika pia

    • @robertomlewa6901
      @robertomlewa6901 4 года назад

      Nampa g nako namba mja one six anakuja vizurii

    • @amiriramadhan7753
      @amiriramadhan7753 4 года назад

      @@KingKong-db9zv hapna Yule muha hapo apamfai six kauwa

  • @ronaldo3359
    @ronaldo3359 4 года назад +296

    "Hebu toa bangi zako aliyekuambie usisome ni nani?"
    Likes za Prof. J zikam👍
    254🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mremoney6276
    @mremoney6276 4 года назад +124

    Wangapi tupo apa kuskiliza ngoma ya stamina baada ya kuskikia jpm ameipenda gonga like apa😄😄

  • @badifundi6089
    @badifundi6089 3 месяца назад +3

    ONE OF THE GREATEST MASTERPIECE BIN LADEN KUTOA THUMBS UP..HII NYIMBO NA ILE YA FEROUZ STAREHE ZIEKWE KWA SYLLABUS YA TANZANIA

  • @jaksonmakorere2521
    @jaksonmakorere2521 4 года назад +373

    Waliokuja hapa kwa kuwa JPM ameuchagua wimbo huu akiwa anazindua studio ya MAGIC FM!! Ila wimbo huu umebeba ujumbe mkubwa Sana!!!

  • @dr.ayolizer8778
    @dr.ayolizer8778 4 года назад +99

    Stamina huimba Hali halisi ya maisha nipeeni like wadau⚡⚡

  • @josephdomi9393
    @josephdomi9393 4 года назад +284

    Wangapi tumerudi hapa baada ya mheshimiwa rais kuipromot hii ngoma like tujuane

    • @Chepkiriengtobias
      @Chepkiriengtobias Год назад +1

      Nimerudia mara mingi .. almost every week huwa nawatch hii nyimbo

  • @tituskilonzo9766
    @tituskilonzo9766 2 года назад +3

    Mi Mkenya, naheshimu Tanzania na mashahiri yao and good story telling. Stamina, Prof jay (currently an MP) na One six, nawafulia kofia.

  • @joeaub2185
    @joeaub2185 4 года назад +51

    Naomba Basata wampe tuzo ya heshima profesa J
    Huyu ndio legendary bora wa hip hop Tanzania

  • @stefanocheruu8114
    @stefanocheruu8114 4 года назад +468

    Nimerudia ii ngoma zaidi ya mara kumi..si nipewe likes mbili tu☺️

  • @dripboy2026
    @dripboy2026 4 года назад +144

    Kama na ww umemuona mama Kanumba tujuane hapa kwa like na coment

  • @issashigela2574
    @issashigela2574 3 года назад +1

    Huwezi kuamini hiphop ilipoanza paka leo inapata 2Million viewers

  • @kabulamhembe1024
    @kabulamhembe1024 4 года назад +328

    Rais wangu Dk John pombe magufuri umenisababishia kusikiliza huu wimbo leo tarehe 25.02.2021

    • @maryfelix4221
      @maryfelix4221 4 года назад +9

      Tuko wote nami nimesikiliza Leo baada ya laisi kauomba

    • @hadijalukas5959
      @hadijalukas5959 4 года назад +7

      wallah hata mie mimerudia kuisikiliza tena baada ya rais kuipromo

    • @clementbabuu4811
      @clementbabuu4811 4 года назад +4

      Bless

    • @hamedabashir9
      @hamedabashir9 4 года назад +3

      Km mm hii tarehe uipende mwenye wimbo👌😂

    • @nyangimarwa3448
      @nyangimarwa3448 4 года назад +3

      Hata Mimi Jamani

  • @funnycomonline413
    @funnycomonline413 4 года назад +188

    Kwa aliyesikiliza zaidi ya Mara moja kama Mimi plzz like zikusanywe hapa!!

  • @Sunsetkenya
    @Sunsetkenya 4 года назад +473

    Nani anasema hii ngoma inamkosa ROMA MKATOLIKI? Gonga like kama una mawazo sawa nami.

  • @isaacopolot2027
    @isaacopolot2027 3 года назад +20

    Mwenye amekuja hapa baada ya kauli ya Mzee Magufuli, gonga like tujuane hapa. Love from Uganda 🇺🇬

  • @Dan1one1
    @Dan1one1 4 года назад +112

    Kama umeona UJUMBE umewafikia wakina NYANGE au wakina DANGOTE.. NIPE malike zaidi na zaidi.

  • @modricmakalila2361
    @modricmakalila2361 4 года назад +281

    Tuliyo kuja kwa nguvu za JPM weka like hapa

  • @MalegesiMakunja
    @MalegesiMakunja 4 года назад +123

    Tunaoamini hii michano Professor Ja ameumiza tu like hapa🙏

  • @teenah1759
    @teenah1759 3 года назад +40

    Dear my president Magufuli( Hero),i remember you through this song😥😥😥😥😭.Rest in peace Baba, we are missing you😭😭

  • @zotempyaonline8485
    @zotempyaonline8485 4 года назад +49

    Waliosikia korasi ya one six zetu apaaaaa jmn...🎵🎵

  • @fromgascity
    @fromgascity 4 года назад +50

    Nimerudia kuitazama zaid ya mara ya 5 ila huyu ONE SIX ni bonge la chorus maker 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @jacobmazziwajr6221
    @jacobmazziwajr6221 4 года назад +159

    Waliokuja baada ya Rais kuukubali huu wimbo weka like yako hapa!!

    • @deborahjm8890
      @deborahjm8890 3 года назад +2

      Mie Apana

    • @tatuamidu40
      @tatuamidu40 3 года назад +1

      Wasanii jitaidini nyimbo zinazo ishi magufuli mi tano tena walokuja kwa niaba ya rais tuonane

  • @SalvatoryEphraim-ny1vn
    @SalvatoryEphraim-ny1vn 2 месяца назад +2

    Hii ngoma kali sana yaan daah ina mafunzo makubwa professa jay alipoingia mpka raha

  • @moseskaiza4448
    @moseskaiza4448 4 года назад +19

    Wababa tunaonewa Sana nivile tu Tumeumbwa kuyameza Magumu. Gonga like kwa Wababa wote.

  • @mohamedhongo5085
    @mohamedhongo5085 4 года назад +24

    Bonge la ngoma pia inafundishoooo makubwaaa kama umeelewa weka likeeee yakooo hapaaa

  • @chawedonard6617
    @chawedonard6617 4 года назад +77

    Baada ya Mh. Magufuli kuusifu huu wimbo nimekuja tena leo
    wanaocheki leo like hapa twende sawa

  • @michaelyaa3200
    @michaelyaa3200 2 месяца назад +2

    Mungu Mkubwa aisee..Tuzidi kumuomba maulana Daima Na tumuamini tu yeye bila kukata tamaa.Amiin

  • @djkeis3125
    @djkeis3125 4 года назад +101

    Nimeletwa huku na J. P. M 🙏 🇰🇪 gonga like tusonge

  • @mussakhamis57
    @mussakhamis57 4 года назад +62

    Wimb wa Taif ...Mpk JPM kauelewa Gong lik Twend xaw🔥🔥🔥

  • @medardsotta5211
    @medardsotta5211 4 года назад +54

    Nilimiss ngoma za kikubwa kama hizi! Safi sana, Stamina.

  • @queennjau5815
    @queennjau5815 2 года назад +2

    Here for the love of MAGUFULI♥️

  • @ramadhaniharuna8110
    @ramadhaniharuna8110 4 года назад +172

    Chaguo la JPM hili👏👏 tia likes hapa.

    • @deeh7322
      @deeh7322 4 года назад

      Hajakosea kbs

  • @enocklumbasi5249
    @enocklumbasi5249 4 года назад +194

    I love Tanzania's contents they are musicians NOT singers ...get the difference!.... From Kenya spreading love only!!!

  • @mkojanicomedy8292
    @mkojanicomedy8292 4 года назад +275

    KAMA UNAAMINI STAMINA ALIMWIMBIA DIAMOND GONGA LIKE

    • @maryammwinyimaryammwinyi5082
      @maryammwinyimaryammwinyi5082 4 года назад +1

      Kwakwel

    • @maryammwinyimaryammwinyi5082
      @maryammwinyimaryammwinyi5082 4 года назад +1

      Hahahah

    • @MMUNGAHOSEA
      @MMUNGAHOSEA 4 года назад +2

      @@aaa64sa13 halikuwa Amesha juwa hivyo

    • @jurassicparkmovies8805
      @jurassicparkmovies8805 4 года назад

      *Tazama Lyrics ya wimbo mpya wa Zuchu sukari kwa kugusa linki hii ya chini*
      ruclips.net/video/LMMcOLVk4rs/видео.html
      Lakin pia naomba subscribe kwenye channel yangu ili niweze kumonitize channel

    • @idrisaameir2204
      @idrisaameir2204 4 года назад +1

      @@aaa64sa13 unadhan nani mlengwa kama si nassibu nyange😎

  • @mosesabwao2673
    @mosesabwao2673 Год назад +1

    when two story tellers meet, what comes out is bombshell ,big up also to Laden

  • @Manjay_killer
    @Manjay_killer 4 года назад +31

    Kama unamkubali professor jay kwa vesee yake gonga like hapa
    Njooi na huku kwa Simba la singeli

  • @ishengomamlangila4341
    @ishengomamlangila4341 4 года назад +27

    Kama umeuwelewa mstari wa profesa j wa ngawila like 🔥🔥🔥🔥

  • @stopermatip5966
    @stopermatip5966 4 года назад +40

    Msanii wangu bora wa muda wote Professor Jay

  • @MaczuLofficiaL
    @MaczuLofficiaL 11 месяцев назад +1

    Bro the chorus is killing me❤

  • @goodluckbenny123
    @goodluckbenny123 4 года назад +19

    uyu one six namuona mbali sanaa daah bonge la collabo big up sanaa jay

  • @yusufumajid9168
    @yusufumajid9168 4 года назад +76

    Tulio furahi kumuona mama kunumba tujuane hapa kwa like😳

    • @MoohMonsa2947
      @MoohMonsa2947 Год назад

      Am So happy kuona mamake the great kanumba

  • @youngnonda5769
    @youngnonda5769 4 года назад +34

    Ambao tunacheki hii ngoma twende sawa

  • @salehjuma5242
    @salehjuma5242 4 года назад +1

    Kama presdar anauskiliza huu wimbo na akauelewa pamoja na majukumu alionayo ww nan mpaka usielewe tupia like kwa magu kwa kuwasaport vijana wake😎

  • @emmahbishoo7303
    @emmahbishoo7303 4 года назад +69

    Ngoma tamu Sana Kama nawew unaamini naomba like jamani..mwanionea ata like moja mwaninyima kweli🤔

    • @charlykin5719
      @charlykin5719 4 года назад

      ruclips.net/video/GG-W8u0RWzo/видео.html

  • @josephatie2163
    @josephatie2163 4 года назад +41

    naona kama raia hawamuoni ONE SIX ivi kwenye hii ngoma... ila JAMAAA kiukweli AMEUA.
    NGOMA KALI. KICHUPA KINAENDA na maudhui. aiseee ni FIREEEEEEE

  • @andsonmwakomana2278
    @andsonmwakomana2278 4 года назад +38

    Tuliokuja hapa baada ya raisi kuomba hii nyimbo

  • @Mboro7
    @Mboro7 4 года назад +2

    nimemfuata magufuli nilikuwa siujui huu rais uko vizuri

  • @jamesakhabuhaya6194
    @jamesakhabuhaya6194 4 года назад +31

    Hizi ndo ngoma za kuelimisha tunazotaka,rest in peace magwea,way bak miaka hiyo,,,

  • @medykapesa5926
    @medykapesa5926 4 года назад +17

    Mwanangu stamina unajua kaka....prof baba ya hiphop bigup mkuu

  • @cpapaulmshanga1831
    @cpapaulmshanga1831 4 года назад +68

    Mh Rais leo kauomba akiwa Chanel 10, kwa ujumla ni bonge la wimbo

  • @lionlion89
    @lionlion89 2 месяца назад +1

    Hapa duniani akuna wakumlaumu ukisha kua yaache tu ibaki ivyo❤

  • @eugenesamuel989
    @eugenesamuel989 4 года назад +88

    This song is on another level,I loved how Stamina has approched the song...Then legend Professor J...😍.....waah....wapi likes jamani... From Kenya🇰🇪🇰🇪

  • @salummkandemba780
    @salummkandemba780 4 года назад +192

    Nyimbo za aina hii ndizo zinazopaswa kuimbwa na wasanii wetu, sio matusi daily na nyimbo za kijinga jinga. Heshima kwako Stamina kwa ubunifu uliowekeza humu ndani, ingawa ulitaka kumzingua mshua wako, lakini ukubwa dawa Profesa Jay akakupiga knock out ya kibabe. One Six, umepiga Kona za hatari kwenye kolasi, much respect all of you guys.

  • @bnasibaraka2956
    @bnasibaraka2956 4 года назад +90

    wakenya tuweke likes ya stamina hapa..🇰🇪🇰🇪

  • @SamirBSam
    @SamirBSam 2 года назад +1

    Kuanzia leo bro Stamina nakuwa shabiki wako, uko wamoto saaaaaana.

  • @ramcymosungu4700
    @ramcymosungu4700 4 года назад +15

    Prof jay umeamua na wewe uvunje ukimya kama mama Diamond mnatuchanganya jamniiiiii, kama umeliona lisemwaloooo tulike hapo

  • @richardkabadi2691
    @richardkabadi2691 4 года назад +39

    Utajua thamani ya Baba vizuri mpaka pale ukiwa baba. Ndiyo siku utakayoacha kumchukia na kumlaumu Baba yako. Thanks Legend One six and Stamina

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 4 года назад +8

    Tuliokuja huku baada ya JPM kuisect channel ten,gonga like twende sawaaaaaa

  • @miangijunior4358
    @miangijunior4358 2 месяца назад +2

    Hii nyimbo nilikua naona ona tu status zawatu tu kumbe ni nyimbo ya mwamba hapa bravo bro ila huyo sister nae kajitahidi kupotesa.

  • @royalphonce
    @royalphonce 4 года назад +22

    Mimi hapa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 naomba sehemu ya pili alafu jay mpe verse mbili 🔥🔥🔥

  • @georgeodina6460
    @georgeodina6460 4 года назад +190

    Are we just going to ignore those vocals of the chorus guy, please give him a like for me.That chorus is lit.

  • @gracethomas683
    @gracethomas683 4 года назад +16

    Daaah ujumbe mzuri sema viewers kwenye nyimbo hizi huwa wachache.......hadi muda huu hata 1m bado watu wanataka mapenzi tu....wakati hii nyimbo imeakisi ukweli haswaa....katika jamii.....

    • @yusufumungo5057
      @yusufumungo5057 4 года назад +1

      Wanaitadjj nyimbo za usharati tu dunia nimbaya kitu kizuri ivi ndo kibaya mbele ya watu

    • @suleimanshehe252
      @suleimanshehe252 4 года назад +1

      Nikweli wengi hawajui Kuskiliza ujumbe wanaskiliza mdundo na rington

    • @gracethomas683
      @gracethomas683 4 года назад

      Tumepewa shavu na Rais tayari daaah....nimeamini maoni ukiwa nayo ni muhimu sana huwezi juwa ya mbele I hatimaye umekuwa wimbo bora na kumbe wapo wengine wameusikiliza ✊🏻

  • @hamzaomary1346
    @hamzaomary1346 4 года назад

    Naangalia tena kwasabab na rais wetu kaipenda, ahsante

  • @ellyzsic374
    @ellyzsic374 4 года назад +9

    Kiukweli wabongo tumemisi nyimbo kama hizi burudani plus elimu, bonge la hit song Mbunge uliyeibiwa kura big up..... Hii lazma ikae ikae on trending mwezi.

  • @georgeludakulo6848
    @georgeludakulo6848 4 года назад +29

    Huu wimbo mpelekee diamond jamani #stamina uliona MBali sana bro respect

  • @josewillson1813
    @josewillson1813 4 года назад +41

    One six ft Roma one six ft stamina, one six ft roma_anaitwa Roma song dah! Huyu mwamba namkubal co poa chorus anaumiza vibaya mno🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @elickmaendeleo1141
      @elickmaendeleo1141 4 года назад +2

      Jamaa waga ni jini huyu haiwezekan kila akiwekwa anaua vile

    • @shambaprojects488
      @shambaprojects488 4 года назад +1

      Huyu onesix 😍

    • @joeaub2185
      @joeaub2185 4 года назад +1

      Anauwa mzee ile Mkombozi Dah nilikuwa najaribu kumjua huyu kijana yuko vizuri ile mbaya...

    • @josewillson1813
      @josewillson1813 4 года назад

      @@joeaub2185 Tena hatar xn huyu mwamba

    • @josewillson1813
      @josewillson1813 4 года назад

      @@shambaprojects488 jini huyu mtu

  • @jennyrizo6432
    @jennyrizo6432 2 года назад +1

    Congo 🇨🇩 we are undestand 👂

  • @mrmago4870
    @mrmago4870 4 года назад +18

    Huu ndo muziki wa kusikiliza..... siyo yale matusi ya nguoni ya wale jamaa

    • @nicodemkomba2677
      @nicodemkomba2677 4 года назад

      Wananiuzi sana wale mabaradhuli, wao wanafikiri maisha ni all about sehemu za siri tu. Ni wale na majambazi. Mh. Rais kwapa za uso kiaina

    • @tabufredmakunga8436
      @tabufredmakunga8436 4 года назад

      Kwel wanaimba ujinga mtupu 👐👐

  • @nelsonchivaula6574
    @nelsonchivaula6574 4 года назад +13

    Anaye amani maneno ya baba ni makali fanya ku like.🤣🤣🤣🤣

  • @eshmaelgalo298
    @eshmaelgalo298 4 года назад +107

    This song deserves many views guys east africans where a you this is a a hit

  • @sheriltalu8194
    @sheriltalu8194 6 месяцев назад

    ROSTAM love from 🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲 2024 mid Year Jam

  • @alexiddtv
    @alexiddtv 4 года назад +30

    nimekuwa wa 15 ku comment likes nyingi kwanguuuuuu kama huna roho kwatu sema nini ngoma kaliiiii ya kufungia January ya majangaaaaaa💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿

  • @niyogushimaoscar9248
    @niyogushimaoscar9248 4 года назад +31

    Naomba tujuwane walio rudia Iyi nyimbo badaa yakusikia Mama Dangote kamkana Mzee Abdul sio baba Diamond nipe like twende ifikishe 1 million

  • @hamisibaisi1186
    @hamisibaisi1186 4 года назад +39

    Ngoma kali gonga like hapa kama umeludia kuangalia zaidi ya mara moja

  • @Eventjekonia-kt4rn
    @Eventjekonia-kt4rn 3 месяца назад +1

    Daaaah namkumbuk magu hii 2024

  • @daudjames6877
    @daudjames6877 4 года назад +8

    One Six ni 🔥🔥🔥🔥" hata kama we ni mzazi muda mwingine nawaza nikuchukie" umeua sana mzazi

  • @goodluckymassawe4718
    @goodluckymassawe4718 4 года назад +17

    Sema we tu ni mzazi naomba like za watu jamanii📌📌

  • @ibrahimhussein2358
    @ibrahimhussein2358 4 года назад +21

    Duuh patakufa jitu hapa wacha n comment Ntarud baadae..
    Achia like kma hpa uksubr mapinduzi cup ya stamina na professor j

  • @AbdulZahran-v8t
    @AbdulZahran-v8t 3 месяца назад +1

    Mimi nakubali sana hilo bet sio mchezo hamna bongo mzina wala halitotokea kama hilo mzee yani salut

  • @reportstime187
    @reportstime187 4 года назад +14

    Hebu toa bangi zako alokuambia usisome naniiii...!!!!!

  • @njengapaul9203
    @njengapaul9203 4 года назад +15

    Professor jay mo 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mzeewahisia9959
    @mzeewahisia9959 4 года назад +9

    Lazima ifikie million 5 baada yah;president kuipenda nyimbo hii

  • @Elijahjohn-m9j
    @Elijahjohn-m9j Год назад +1

    This is the reality to parents

  • @fulgensilucas7757
    @fulgensilucas7757 4 года назад +14

    Bonge la ngoma limepenya! Like za kutosha jaman leo mwenye nchi kaithibitisha ngoma kali mnooo.

  • @kristenbelz6216
    @kristenbelz6216 4 года назад +94

    All sides of the coin explained here. Kweli nobody should blame anybody. Good one @stamina 🇰🇪

    • @leahhmwangi
      @leahhmwangi 4 года назад +1

      Yani Kenya mshafika💕

    • @georgemorara4028
      @georgemorara4028 4 года назад +3

      Hapo Kweli

    • @sanchezfashiontz5750
      @sanchezfashiontz5750 4 года назад +3

      Daha aisee hiv stamina hihi ngoma mliimba kwaajili yangu au tupowengi maan umenigusa Sana mzee

    • @djdave8710
      @djdave8710 4 года назад

      🇰🇪🇰🇪🇰🇪☺️☺️😁😁

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 4 года назад +22

    Stamina kama staminaaaaaaaa gonga like kama umeikubali ngomaaaaaaa🇹🇿

  • @kelvinandati7887
    @kelvinandati7887 3 года назад +1

    Ni Vibaya Sana kutuonyesha mwenzetu anayeishi na ulemavu(zeru zeru) unapotaja laana.Hiyo sio Laana kaka