ROMA ft Abiud - Nipeni Maua Yangu (official Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 18 апр 2023
- NIPENI MAUA YANGU by ROMA MKATOLIKI featuring Abiud
Audio produced by Bea
Twitter: / roma_mkatoliki
/ roma_mkatoliki
Copyright (C) 2023 ROMA.
---
Powered by www.vydia.com
ALL RIGHTS RESERVED.
#NIPENIMAUAYANGU #ROMA #ABIUD
Kaka Tuchati ► • Rostam - Kaka Tuchati ...
Now You Know ► • KHALIGRAPH JONES x ROS...
Kibamia ► • Video
HIvi Ama Vile ► • Rostam (Roma & Stamin...
Zimbabwe ► • Roma - Zimbabwe [Offic...
Kaolewa ► • Rostam - Kaolewa (Off...
ParaPanda ► • ROSTAM - PARAPANDA | ...
Anaitwa Roma ► • Roma Ft One Six - An...
Mkombozi ► • Roma - Mkombozi (Offic...
Watani Wa Jadi ► • Rostam Ft Mr. Blue - W... Видеоклипы
Waliorudia wimbo huu mwaka 2024 tujuane kwa likes hapa
Npo hapa
🎉
Nyimbo Kali Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 tumeipokea kwa hamu kubwa, mtupe like kama mmependa nyimbo hii
Hizi ndo nyimbo tunazo zitaka kama unamkubali Roma na nyimbo zake kama Mimi nipeni maua yangu🔥🔥🔥🙌
🎉🎉🎉
🔥🔥🔥🔥
#Makonda anaongoza #Arusha kwakutumia huu wimbo
Waliorudia huu wimbo zaidi yà mara moja, Gonga like please 😊
Wengne tumeuchkuwa ndo ringtone
Kweli ujumbe wa kutosha
Kumbe wewe mara mbili tuu??
Nimerudia Mara tano
Sio mara mbili tu me nimerudia zaid ya mara tano
kama umeupenda huu wimbo kama mimi basi nipe maua yangu 🤝
Bitanakwangu
💐🌸🌷
🌸🌸🌸
🎉❤🎉🎉
Nachagua Andazi
Hatari sana, nyimbo iko poa sana nimeisikiliza zaidi ya mara 6, mistari imetulia na message delivered. Hongera sana Mkatoliki, KEEP IT UP.
Kiswahili ndio lugha ya taifa katika bara letu la Africa na ni jukumu langu keendeza lugha hii pale Sudan Kusini 🇸🇸 number one Roma/Rostam fan . Nakupa maua yako Roma Mkatoliki 🌹 ✊
Karibu bongo
Huu wimbo una kila kitu ambacho watanzania tunahitaji, basi kama unakubaliana na Mimi basi nipeni Maua yangu pia👏👏😂
🌺🌺🌻🌻🌼🌼🌷🌷
🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌷💐🌷💐🌷💐🌷💐🌷💐🌷💐💐🌷💐💐💐💐💐🌺🌺
Hatari sana huu wimbo bonge la shairi
Yamoto sana
🎀🎊🎉💎🇹🇿
To those listening this song in 2098....ROMA was a pure talent from God.
Legendary comment😢
RIP Roma
Huyu ndio wewe sasa, yaani ni🔥🔥🔥🔥👌
I give this capt 100 likes
umetisha
Ukisikia popote wimbo huu ukipigwa simama kwa heshima ukiisha endelea na safari yako.
TULIWAONA MARAPA LEO WAPO BUNGENI ROMA NI 💥💪💪💪💪💪
Salut
Kaka wewe ni kioo cha jamii mzalendo unatufariji sisi watz wenye maisha ya kila kukicha kheri y Jana mwenyezi Mungu akupe nguvu uzidi kutetea wanyonge amiin.
To Everyone listening to this song in 2070’s this man was a Legend ✅🐐
😆😆😆
Legendary comment.
Eeeish 😅
Akiachia nyimbo huwa yamaaana
@@allykamanga4366 Hakoseagi kwenye hii vipengele muhimu vya hip hop hasa hasa Kukosoa.
Huyu Jamaa ukisema umsikilize sana unaweza ukijikuta unakuwa Mpinzani ghafla au Mwanaharakati... A pure Talent, GENIUS...🫡🫡🫡
kabisa kabisa yan unaweza jikuta hutamani kuskia kuhus chamantawalq
Umesahau kuwa na hasira kwa walio madarakan
Siyo thambi kuwa
Bora atuammshe watanzania ujinga ututoke
Mm mwenyewe kupitia huu wimbo natamani Sana kuwa mwanaharakati
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥💥💥💯🎶🎵message recieved to those who think the own our live ...,Bomboclat politicians..even here in kenya we are 😭😭😭 more than you brothers .,wapi likes za kenya please
😢😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
kwa mara ya kwanza nausikiliza huu wimbo,nimeurudia zaidi ya mara 10, VIVA ROMA chukua maua yako dadeki,you are the in AFRICA
Anaechelewesha msafara ni ng'ombe wa mbele ila anachapwa wa myuma na ndie anaepiga kelele ,,What a line✊🙌
Aiseeee ni nondo kuliko
Atali
Kwamba ujaelewa
Ng`ombe wa mbele ndo nani na wanyuma ndo nani?
@@hashimhassan4812 ng'ombe wa mbele Ni viungozi wasiio waadlifu na ng'ombe wa nyuma Ni wananchi
Siwezi kutosha huu wimbo. Wangapi wameusikiza mara nyingi kama mimi? Naukumbuka Zimbabwe ila huu ni next level 🎉🎉🎉🎉🎉
Wallah machozi yananitoka .ukweli hata usikilize mara mbl bado utahitji kuusikiliza. sna cha kusema Roma na kundi lako Allah awajalie afya ktk kaz zenu👏
🤝👏👏
Roma ubaki huko huko na uendelee kutusemea mzee♥ tunakupenda sana
Kabla ya kulala hadi niusikilize huu wimbo. Roma chukuwa mauwa yako ndugu yangu. 🎉🎉🎉🎉
Roma supporters gonga like twende ,Nasio utani ukishindwa kujifunza hapa ndo bas tena😢.....nipeni maua yangu niyanuse ningali Hai ....amen tutaonana tenaa roma tutaonana tena
Nipeni like zangu
huyu ndo Roma tunayemjua sasa
You killed it bruh
@@allanmwakibinga959 thanks 🙏🏻
Aise like you romaaaaaa
Nakukubali mwamba,kwa huu wimbo sina la kusema,uko na kipaji sana,shabiki wako mkubwa kutoka Kenya🇰🇪
Nitajie mstari mmoja ulio ukubali Sana.
@@bakarihassani-ss3qx Sasa sijui nianzie wapi kifuani nimebeba mengi 🥺na sitotenda haki nisiposema hiki sipendi hiki napenda kile sitaki mambo ya kishenzi
Na ukisema hawatufai wanakuumiza wee mpole yani wanaangua papai kwa kutumia gogole wanatumia nguvu kubwa kwenye mambo madogo jeshi gani mpaka leo mmeshindwa kumjua kigogo?
Mkiongelea kutekwa eti tunarudia agenda,hamjibu mnakwepa mbona mama anarudia kilemba?🤷
Nchi gani raia akihoji mnasema anakosoa na akikosoa anatukana serikali hii sio poa!
Haya basi tuseme mko sawa na mna nia nzuri na sisi eeeh 😌mbona vyuma vimekaza alafu mama anaificha grisi?
Mara mkapandisha tozo kampeni mkaona hatuwaungi si tulihoji mkajibu kwa dharau tuhamie burundi
Tatizo mkiapishwa tu mnawaza uchaguzi ujao,hamuwazi njia mbadala kumlinda mkulima na mazao
Yani bongo kikubwa uzima tu 😣
Sasa mnatuambia tujiajiri mbona nyinyi hamkujiajiri ok nikupe bodaboda yangu kisha wee unipe uwaziri?Nikukabidhi vyeti vyangu hangaika navyo mwezi mmoja niko pale nakungoja uje tuongee lugha moja!
Mimi sio CCM sio Chadema,hili niliweke wazi ila ukieka CCM na Andazi nitachagua Andazi,simwamini mtawala na mpinzani simsadiki maana wanaendelea kukatika huku Dj kauzima muziki
Na inaiuma kuona msomi wa degree tatu mnashindwa kumpa ajira sasa anauza nyanya Karatu,Sasa sijui mtaniua nikimshikia mama shiringi maana hata inyeshe mvua mnasema naupiga mwingi 🤔
Na namkubali na nitamng'ata sikio kama hajui wanaomkosoa ndo wanampenda wanaomsifia ndo maadui,ili wapate teuzi ndo wanamlamba miguu wakimpamba hawamsaidii amri jeshi mkuu
Hivi hamjasikia tetesi kuwa rimoti iko msoga?Sukuma geni imedoda,magogoni imenoga
Tatu ndani ya track moja,wamekalia kigoda
Ngolo kante anampa
Mbappe cross anafunga Pogba😁
Hii nchi ina wenye nchi ,wala nchi na wananchi,na kuendelea kuwachagua ni kuenda na mchanga kwenye beach,kuwajaribu na wapinzani na watawala si wameshapata? Ugoro umewaingia puani sasa ona wanapiga chafya!
Wanatumia dollar kubaki kongo za Dollar watawafunga watapora wataua watahonga vijora
Karatasi tunaibiwa za kura kwenye sanduku,kwa hiyo mnatuonyesha ziwa huku mmeziziba chuchu???
Dini gani mchungaji akitaka gari twamchangia,muumini akitaka gari twamuombea twamsalia,mchungaji tusimpe pesa tumuombee na yeye pia,tukae pale tusubiri miujiza ya wagalatia😂
Wabunge wengi mlishinda kwa hisani ya mwendazake,mkipatacho muende chato mkumbuke hata ndugu zake,,,, jimbo hili haliendelei coz mmemchagua mpinzani,haya sasa mmeshinda kote fauluni huo mtihani
Wa Basata msikie hili msije fungia huu wimbo ,
Kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo
Ushauliza kwa nini bega liko karibu na kwapa?Usiondoke baki hapa usikie vesi inayofuata!!!!!!
Yanga na Simba ni wapinzani ila sio kwamba hawapatani,maji yanayotoka mto msimbazi ndo yanayojaza jangwani!!!
Na sio utani msipojifunza hapa ndo basi tena aliyesema aongezewe muda bungeni ameaga mapema,wakamlisha asali kwa kisu akalamba akamwaga wino,tangulia na dereva barua utaikuta chamwino
Hii inchii ina wala nchi na wenyee nchii 👂 noma saanaa 🤔
@@zulayfasalumu701 😂nnchi ina wananchi wenye nnchi na walannchi
anarudia kiremba
"Anayechelesha msafara siku zote ni ngombe wa mbele ila anachapwa wa nyuma na ndiye anayepiga kelele"....deep 🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀 maua yako hayo yanuse
Wish my fellow Kenyans can listen to this great message🇰🇪🇰🇪 💯💯
Tunakupenda Roma wewe ni mkombozi wa fikra za wengi Tanzania ❤❤ Mungu akulinde nakuona mtu mkubwa sana Tanzania soon❤
Si utani
Waliorudia wimbo huu zaidi ya mara 3 tujuane nipeni like zangu
Sio mara tatu me ni siku nzima nauplay
Sio mara tatu nimerudi mara 50
Big up Roma the pride of Tanzania ngoma imesheheni mistari mizuri sana ambayo inamgusha kila Mtanzania Mzalendo note Ngolo Kante anampa Mbabe cross anafunga Pogba mm nataka niimbe verse tunakumissss mwana rudi njoo utusemee
“We all face difficult times. It is only the grace of God that gives strength to endure.”
Hii ngoma imeandikwa kwa kipindi cha miaka 8, yaani tangu mwaka 2015.
Dah Tanzania mwanamuziki ni mmoja tu. Long Live Roma. Mtanzania mzalendo mwenye kuipenda nchi yake.
Dizasta vina
@@iwishtv7907 hamnakitu
Mungu akulinde daimaaa mr Roma
Na true boy, one nation🤝🏼😃😃😃
@@iwishtv7907 Hana ushawishi kwa jamii anaushawishi kwa masela tu😂
Namshukuru Mungu kupata nafasi ya kusikiliza majestic writings of ROMA. Huyu mwamba ni pure talented hipHop artist..Kazi yake itaishi milele Daima, vizazi na vizazi. Tanzania yangu Mwenyezi Mungu atusaidie, tuna mtihani mkubwa sana kuijenga nchi yetu.
respect man👍👍👍👍😥😥😥😱 big up best rapper of TZ
viva roma
Ujyuuwu
Hhehuwu
@@hassanhussein5749 huuyyrdy
You're great man mr roma,,you will be forever remembered,,we celebrate you.when you're still alive,,here in Kenya 🇰🇪 we love you,,you're real ,lyrics ✅️, message ✅️,,the song is complete what a common mwananchi needs to hear
this song so creative music all the best brother
Hii ngoma inaweza kuandikwa na watu wenye level ya juu kabisa ya kifikra ROMA I salute you bro🕴️
Roma,danrodi
Ngoma hii mtu yoyote anaweza kuiandika maana hamna line hata moja ambayo haijawahi kusikika kabla ya hii ngoma, lines zote zipo mtaani. Kungekuwa na lines mpya ndio ingekuwa exceptional siyo.
Roma Rudi
Amesema kweli
🎉
Wakwanza nipenii like zangu Roma oooooyeeee
Roma kaka unajua sana tunakutegemea bila ww hatuwezi toboa
If you have a voice you've got the obligation to project it for humanity. Thank you Roma for being the voice of the voiceless🙏🏿.
Nyimbo umeuwa sana hii kaka na umeiyongelea hali alisi ya maisha tunayoyaishi watanzania wotee yan🙏🏿🙏🏿🙏🏿 VIVA ROMA
Yaan nikisikiliza Hii nyimbo..... Nakuvuta picha Hali ilivyo Tz basi TU Roma Umri mrefu ViVa....!!! Mungu akujalie Afya njema Mwanaharakati✅
Nice song
Nimeipenda hii ngoma ROMA ametumia vina vya Rap hajaimba Ngonjera kama nilivyomzoea 👏🏿
This guy is phenomenal,..very different from other artists,..mtetezi wa wanyonge. Big love from Kenya 🇰🇪
❤
So much love from 254 ❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wanatumia guvu kubwa kwenye mambo madogo💥💥👊namkubali mia mia kaka Roma💪from Mombsa 🇰🇪
Roma ni Mwamba ajab ,East and Central Africa ajawai tokea mwanamuziki kama Roma.Pokea flowers Bingwa
Respecto ROMA
It's 2090 and am listening this song i can confirm this man was a legend my grandfather used to tell me that !
ROMA🔥🔥🔥
ROMA🔥🔥🔥
😅😅😅😅 fr
😂😂😂😂😂
Stop pretending is still 2023
Kwa wimbo huu nina imani kabisa huwezi rudi bongo leo wala kesho big up roma viva romaa
Nice song ✌️🇹🇿TZ🇹🇿 Big up Sana 💥 nivizuri kuwa shauri ata kwenye nyimbo ✌️❤️❤️❤️❤️❤️from DRC🇨🇩 and Buja ville 🇧🇮
❤❤❤Roma I wish you were a Kenyan, voice for voiceless. VivaRoma
Kama umeisikiliza mara 3 na zaidi , gonga like hapa🎉🎉🎉🎉
Maneno makubwa yamo kwenye track huu,Wimbo huu umekubalika nchini Kenya 🇰🇪
HONGERA Roma kwa one milion hiii ni revolution kwenye mziki wa HIP HOP Africa
From Kenya Malindi ((kilifi county) umekubalika kaka
Roma Bwana 😂😁😁😁😁
Mungu akuhongezee miaka yakuishi🔥🔥🔥🔥🔥🌟🌟🌟🌟🌟
Huu ndiyo wimbo wa taifa sasa achana na ule wa Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote
😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
🤣🤣 hiii imeenda
Kwa kweli sio uongo 😂😂😂😂
Kabisaaaaaaa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wow I have came across this song and it is touching....... My son..dad come and sleep
Me... Relax son Roma have just drop a song and I can't stop from playing it....
I love it🔥🔥🔥🔥
To my daughter listening to this song when you grow up, know that your father gave Roma his flowers when he was alive.
ruclips.net/video/R78Av_uiBxg/видео.html
This is what is called immortal music. It's full of social, economic and political contents. VIVA ROMA THE KING OF TANZANIAN HIP HOP!
Plus military aspects
Bro, i salute u 100times mtfk, viva bro...nitemee mate ukiwa umelala chali, wanangu fatilieni huu wimbo hata kama sintakuwepo, wachache sana wataelewa
Ooooo Africaaa......Those with wisdom have no power and those who have power have no brains nor wisdom...❤#Roma
The real definition of 'KIOO CHA JAMII',.....maua yako chukua VivaRoma✍️💯
Wamemchokoza beeeeeaaaaa 🙌
Hamna kitu humo nimesikiliza ndo hayohayo...kila. Siku...
Roma 🔥🔥🔥 vitu vya kweli vyote ulivyosema! Anayechelewesha msafara 😢😢! Chukua maua yako Roma 🌹💐🌺🍁🪸🥀🪷🌹🌷🌺🌺🌸🌸🍁🍁🪷🪷🌺🌺🌸🌸
Waliorudia huu wimbo zaidi ya mara mbili.. tujuane.
Music huu sichoki kuusikiliza, kila dakika nairudia Sana 🙏🙏 Roma
Roma doesn't Disappoint....Much love from Uganda
Omwana omuwuludde. Ebu muimbie nahuyu Kaguta😅
Rimoti ipo msoga
Kbs🥰🥰🥰 big up San
Hatari Sana kama umeiludia zaidi ya mara Tano kama mimi gonga like hapa👍
mimi zaidi ya mara 10
🥔🥔🥔💐💐💐🌷maua na maandazi hayo bro umeua Sana🔥🔥🔥
Vyuma vimekaza afu mother anaificha griss
Wimbo Ni dk 6 ila naon kma dk 2😂👍
Hata inyesha mnasema anaupiga mwingi,
Nikukabidhi vyeti vyangu uangaike nazo.mwezi mmjo , Niko pale nakusubiri uje tuongee lugha moja
Leo nimekupa maua yako💐🌸💮🏵🌹🥀🌺🌻🌼🌷⚘️
Daah huu ni binge la wimbo Maua yako chukua
LONG LIVE ROMA, MUCH LOVE AND BLESSINGS FROM KENYA 💯 🙏 💓 💐💐💐💐💐💐
Sawa kabisa
Ameruuuuuudi😁😁😁😁😁😁
❤🎉🎉🎉
"Jimbo hili haliendelei coz limemchangua mpizani" Listening from Kenya 🇰🇪 and what Roma is talking about is also happening here. Anyway have your flowers;🌹 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Whole afroca myfriend
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
@@foodbasiccourt2028 True 100%
Roma never disappoints
Kila nikifungua u tube lazima nikusikilize Roma Mungu akuhifadhi milele na milele nakukubali sana binafsi mimi nimeshakupa maua yako kabla ya kwenda kaburini ❤❤u so much wangapi tumerudia huu wimbo mara kwa mara kila tukiingia u tube
U never disappoint Roma.....Kama unamkubali Roma kwa asimia 100 gonga like hapa♥️🙏
The song has words of wisdom I wish all my fellow Kenyans could listen to this song it's high time we open our third eye thank broh Roma tumepata ujumbe 🙏🙏🙏
Tupo hapa
Namskia na mchungaji hk
King Kaka alijaribu #wajinga sisi
🇹🇿🇿🇼🇹🇿🇿🇼❤️
@@cyrosvlog780 kweli king Kaka alikua ameona mbali hawa politians tumechoka na wao
Tuitikie wote..... Tunakumiss Romaaa....
This Masterpiece Will Remain Forever 🇰🇪🇰🇪
Huyu ndio Roma tunae mjua sisi
Roma wewe ndiyo msanii pekee unaewasemea wanyonge,waoga,na wasiotambua haki zao,Roma mungu akupe maisha marefu uendelee kumsea mnyonge,Roma yote uliyoimba ni ya kweli100%
sio mwanamuziki huyo ni kibaraka. hakuna msanii anaendelea kwa kukosoa siasa
@@paresamaseko5422 sio kila msanii anawaza maendeleo unayowaza wewe wengine hawahitaji hayo maendeleo coz wanayo tyr
Na Ney wa Mitego pia
@@paresamaseko5422 Loh! Maendeleo gani sasa
Namutaka roma ayimbiee burundi🇧🇮 ingin song kam hio
Na kiongozi bola atoka
Kwa Mungu.🙏
#nape "nikupe boda yangu unipe uwaziri wako"
oya nipeni emoji za moto 🔥🔥
Hii nchi ina wananchi, wenye nchi na wala nchi🙌🙌
The message is so powerful, talent revealed 🎉
This music is on another level. Lit🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
May God keep this MAN for our next generation 🙏
Tukimpoteza huyu msanii bac ❤❤❤
True
How i wish we had these kind of patriot in DRCongo, chukua maua yako Mkatoliki🌹🌷🌹
Kutoka Kenya nakubali Roma
Nimutanzania ule siyo mukenya
MTANZANIA MZWA UYU JAMAA 🇹🇿 hii ngoma ikipigwa tunatakiwa kusimama wote Tanzania. Akili mingi sana Roma, ata mm nitakula andazi. Come back home mwamba.
L
daaah mwamb anajua sana yani✊💌
Kweli kabisa ata mm nitakula andazi
L
😂
The baddest and topper Artist with lot of wisdom from Tz representing East Africa. We love your creations Roma. More love❤️❤️ from 254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Big up bro !!❤
For sure
Abihudi kamaliza kazi🎉
best singer always produce good songs, nice work
Kwakweli tulimiss hizi kazi ahsante Mr Roma tulikuwa tushachoka na habari za JEJE 😁😁
Respect bro 🙌🙌🙌🙌
I wish Kenya had a musician like Roma. This guy is a legend.
King kaka??
Eric omondi 🇰🇪
Kaa La Moto🔥
@Collins Masiga Bro kwani hujawahi kuskiza king kaka_ Wajinga Nyinyi ?
@@evansmayuro8038 yes king kaka is good but bro, Roma is just on another level.
Nipeni na mimi like zangu roma ana fight🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wimbo mzuri sana wenye ujumbe mzito wenye mpangilio wa mashairi hongera sanah unastairi tunzo ya usanii Bora Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿
+254 here listening show some love for roma 🇰🇪
Much love Roma m2makin sana
Uko poa Sana Roma bigapu sana
Bonge la ngomaaa aseee daaaah huyu jamaaa ni genius 🙏
HII NDIO MAANA YA MSANII ACHANA NA HAWA WAIMBA MAPIANO PUMBAFU SANA, Ishi sana brother, we na Ney ndo sauti ya Tanzania ilio baki 🇹🇿
na Ney wa Mitego