Hawa jamaa wakitoa wimbo mm naamini hakuna aliesokiliza mata moja na akapita lazma arudie hata mara kumi hivi ili kujua nn wanamaanisha safi sana rostam
Njiwa:Ndege Banda kjjn: Airport Chato Bamdog Mchng: Gwaj Boy Anc w sngda :Lissu B mkbw wa msoga Kikwt Ntard janur na ntafkzia kw mjmba bumbl :Januar Makamba
I don't stop to listen to this song,vijana wanafanya kazi kweli na sio upumbavu waki diamond na Harmonize social media,we need good music,positive vibes,strong msg,respect to Feroos,professional chorus big up guys and keep the good tracks
Yesu akamwambia, “Waache wafu wazike wafu wao; bali wewe nenda ukatangaze ufalme wa Mungu.” Jesus said unto him, Let the dead bury their dead; but go thou and publish abroad the kingdom of God. ” Straight Line.
Ney alitoa ngoma wakaifungia! Haya fungieni na hii nyie wachumia matumbo! Watu Wana mengi vifuani mwao! Acheni waseme ili wawe huru! Wewe Kama unaona ulineemeka kaa ukijua Kuna wengine waliumizwa Tena moja kwa moja acheni waongee watoe ya moyoni! Kuwazuia kwa kivuli sijui Cha maadili haisaidii! Bravo rostam! Hii ngoma ni Kali na ya kufikirisha sana!
Niamini Mimi hii nyimbo unatakiwa uisikilize si chini ya mala 5 ndiyo uielewe vizuri tena ukiwa umetulia TULIII. Rostam hawajawahi niangusha 💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Luka 9:60 hongereni sana vijana! hawa ndio wasanii sasa wanaoonyesha nini maana ya msanii maana wengine sio kioo cha jamnii tena👍 like kwa ajili ya vijana hawa.
Feooz pia Kasimama vizuri sana na Chorus . Ni kama kafanya majumuisho kwamba vijana wanataka mama Yao afanye nini...wanantazama awafute machozi,awarudishie na tabasamu
Rostam tufanye feat na kikosi kazi 🔥🔥 please itakuwa soo sana nakukuza mziki mbali wa hip-hop . Tungo Safi sana mchabiki wenu number moja toka drc congo Nataka like 💯
"Hata kaka aliyekuwa hakupendi, Mambo yake yako mshazali, Aliuza nyumba ya kino bila hela ya udalali, Akapata ya kigamboni ikasombwa na upepo wa bahari,"
Nyie ndio mnakila sifa yakuitwa wasani.mmepewa kipaji,mnakitumia ipasavyo mungu atazidi kuwafungulia njia,hamzungumzii hisia zenu tu mnatizama na za wengine
Anaeijua Luka 9:60 tangu utotoni na alisahau ila leo malegendary wamemkumbusha Basi gonga like Hapa ili kupitia kumbusho MUNGU pia akukumbuke ktk Mambo yako. PST Chris Soraya.
jameni nipee like atleast zifike kumi nmekua nasaport mziki wa stamina toka .. WAKENYA TUPO DANI... ONE LOVE
Unapenda like
Mziki sawa
Dah wimbo mkali Sana huu
ruclips.net/video/66Qq6RjxAjI/видео.htmlsi=kSrtbvEwAKKsXpB2❤
Dah rostam mnafanya mpka najisikia kuimba wakati siwez ila ii ngoma naomba irudiweeee iirudiweeeeee naomb like zifike 20k kwa leo tu
Mad sick 🔥
Otiti
Piga kazi na rostam kaka
Noma sanaa
Kaka fanya Kazi na hawa Rostam nawakubali sanaa
Collabo kaka inaeza kuwa kubwa
Alioickiliza hii ngoma Zaid ya mara kumi kutafuta haya mafumbo jiwe gizani limempata nan Tujuwane hapa kwa like
Pongezi sana Rostam
609:60 Mt 3:2Yesu akamwambia, “Waache wafu wawazike wafu wao, bali wewe nenda ukautangaze Ufalme wa Mungu.”
Yani hii Bakora inapiga kimnya. Wale wadau wenzangu wa rostom Gonga like tujuane... Listing From Zurich Switzerland 🇨🇭
Zurich imexhana mikeka bhn
@@trynergang1371 yani kinoma Boy
tuko pamoja bro
@@brightshola3778 poa Boy. Be blessed mjengoni uko p1
@@chumkhamis8924 pamoja braa
WANAOAMINI AWA JAMAA NI MA GENIUS. KILA WAKITOA DUDE LINA TREND LIKE APA JMN👋👋👋👏👏
You guys God bless you....couse this is the reality guys
Mwanacha ndaki ndaki wa rostam naomba like 100 ivi
Hawa jamaa wakitoa wimbo mm naamini hakuna aliesokiliza mata moja na akapita lazma arudie hata mara kumi hivi ili kujua nn wanamaanisha safi sana rostam
Luke 9:60
📜 Akamwambia Waache wafu wawazike wafu wao; bali wewe enenda ukautangaze ufalme wa Mungu.
Wavivu kusoma Bible umetusaidia sanaaa🙏🙏
@@jessieboaz4592 hhhhh
🔥🔥🔥
*Tunaimba wote nafungiwa Mimi* -Roma
Hii nyimbo ni bonge la GOMA. Safi Sana.
Magufuli . Kweli ataishi miyoni mwetu daima . Kumbukeni alituambia mungu anaipenda tanzania .Kwaiyo tumtangulize mungu
Naombeni likes japo tatu tu jamani mimi nduguyenu wa damu mkinibagua ntawasema na mama...
mama Mtia saini2
@Hilal haswa huyo huyo😂😂
Kama Uelewi Code Hapa Uezi Elewa Kinachoendelea Respect Sana Chama Langu Rostam ✊✊
Nmerudi tena... Sijaona likes🇰🇪
Naombeni hata like 10 jamani tunaokubali hii ngoma
Roma umeprove km umekimbia uhaibuni dah! Sema ngoma kali madini mengi yanayok kw hivi vichw 2 ila feruu hodari w mda wot 💣💥🔥😍
Eeh this is talent...achana na kina,diamond
LUKA 9 : 60
Yesu akamwambia, “Waache wafu wazike wafu wao; bali wewe nenda ukatangaze ufalme wa Mungu.”
Pamoja sana
imeisha hio....
Maana Yake??
@@jandaboytzz2755 waache wajinga wapotoshane wenyewe
Kaka mbona kmya sana jamani
Rostam mnastahili kupewa tuzo nyimbo zenu hazichoshi kusikiliza na Zina ujumbe mzuri Kama ukiweza kufumbua mafumbo yake,,big up @rostam
Nyimbo kali wanangu Rostam na ferooz
Aliye enda kuangaliaa #luka9:60 gonga like tujuane
Akamwambia waache wafu wawazike wafu wao, Bali wewe nenda ukatangaze ufalume was mungu
@@neemaernest2906 👏
Luka 9:60
Akamwambia Waache wafu wawazike wafu wao; bali wewe enenda ukautangaze ufalme wa Mungu.
LUKA 9:60,Yesu akawaambia "Waache wafu wazike wafu wao,bali wewe nenda ukatangaze ufalme wa mungu"
Luka inasemaje wengine waislam
Unausikiliza wimbo huu najua hatujuani ila naomba mwenyezi mungu akuzidishie maishani 🙏🙏🙏❤️❤️❤️
Wanao sema "ROSTAM KAZI IENDELEE" like yako pia
😄😄
Mimi ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 ila wimbo nilikuwa nausubiri sana kabisa..... Wa Congo nipe like zangu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Nyinyi wasenge mnajuwa xana
Kaka mimi mbondo tuko pamoja
Zambi wa moyo
Nimekupa dislike na comment au hutaki 😂😂😂
@@Isaac_Nehemia 😂😂😂Niatari nehemia nimekupata
Yesu akamwambia, “Waache wafu wawazike wafu wao, bali wewe nenda ukautangaze Ufalme wa Mungu.”
pamoja nawe
et broo hyo ndo kitab Cha Luka alichosem roma
@@veriasmathayo7306 Luka 9:60
@@veriasmathayo7306 ndio hivo kk
Ho ngera sana rostama wimbo mzuri mungu azidi kuwainua kwa viwango vya juu ameen
luka 9:60 Lakini Yesu akamwambia, “Waache waliokufa wawazike wafu wao. Ni lazima uende kuhubiri kuhusu Ufalme wa Mungu.”
shikamo Roma🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Good sana kija
Ĺ
Njiwa:Ndege
Banda kjjn: Airport Chato
Bamdog Mchng: Gwaj Boy
Anc w sngda :Lissu
B mkbw wa msoga Kikwt
Ntard janur na ntafkzia kw mjmba bumbl :Januar Makamba
Umetisha sana
Mwalimu tanga ni ummy mwalimu
kaka alie hai..sabaya,ally hapi,musiba,mwigulu
Bamdogo mchungaji sio gwaji kaka....ni mpango 🙌🙌
@@jastinreuben1518 ha ha ha katika code ngumu, ilikua hii - maana gwaji boy hana ushawishi wowote kwa mama. NAKUBALIANA NA WEWE
2024 hapa. Ngoma bado kali
Mamae mnajuwa mpaka mnaniuz like kama zote kwa ferouz✅✅🙏
Kwanza atali
Mziki ungekua wa namna hii czan kama mzki ungekua na mashabiki,,,mana kwa hii ngoma inaitaji ufikir sana ndipo uielewe respect my ROSTAM🎶🎶🎶🎶🎶
Hahahahaha
ferooz ametisha sana
I don't stop to listen to this song,vijana wanafanya kazi kweli na sio upumbavu waki diamond na Harmonize social media,we need good music,positive vibes,strong msg,respect to Feroos,professional chorus big up guys and keep the good tracks
Kama unawakubali wasanii naombeni like zenu Leo..wimbo huu ni shiiiidaaa
Ummy mwalimu ckia vijana wako mama Samia ckia wanao majaliwa mariza tofauti za vijana makonda utapata tabuu juu ya vijana Hawa🙏🙏
awa jamaa wanajua mbaka wanajua tena
kama kutakuwa na uhuru wa kuongea kwenye hii nchi basi tutegemee ngoma kari kwa hawa jamaa ROSTAM ❤❤
Yesu akamwambia, “Waache wafu wazike wafu wao; bali wewe nenda ukatangaze ufalme wa Mungu.”
Jesus said unto him, Let the dead bury their dead; but go thou and publish abroad the kingdom of God. ”
Straight Line.
😂😂😂
😃😃😃😃😃😃
Dah nyie jamaa rostam n balaa na nusu good idea good song 👏👏🤘
Rostam tunawapenda milele nyimbo zinu zinaelmisha hatuwezi kuwasahau Mungu awalende milele
Bonge la ngoma mzazi
💯💯
Ferooz voice is Priceless 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Luka 9:60 BHND
Yesu akamwambia, “Waache wafu wazike wafu wao; bali wewe nenda ukatangaze ufalme wa Mungu.”
Ney alitoa ngoma wakaifungia! Haya fungieni na hii nyie wachumia matumbo! Watu Wana mengi vifuani mwao! Acheni waseme ili wawe huru! Wewe Kama unaona ulineemeka kaa ukijua Kuna wengine waliumizwa Tena moja kwa moja acheni waongee watoe ya moyoni! Kuwazuia kwa kivuli sijui Cha maadili haisaidii! Bravo rostam! Hii ngoma ni Kali na ya kufikirisha sana!
Fact line
hawawezi kuifungia sababu haieleweki.... kirahisi
Hahahahhajahajjaja
Ni kweli bro umenena
Hii ngoma wametumia akili kiasi kwamba hata professa kuielewa anahitaji muda@ big up rostam
TUNAIMBA WOTE ILA NAFUNGIWA MIM"" hili hata Mimi najiulizaga na sipati jibu".... Roma mtata Sana.. Kuna vitu vinafikirisha humu
nomaaa
Njiwa wanatutia hasara tuuu wanaumia mikono wanatibiwa Kambodiaa daaaah
Mm nimesikiliza... Zaid ya Mara Tano... Kam ww umesikiliz gonga like
Narud January ntafikia kwa kaka bumbulli...........sijawahi pata like 100 jaman
We timu yako inashuka daraja huko wew unatafuta likes huku🤔
@@smartworktz2128 😂😂😂
Mzee umapata ongea mengine
Ferooz unaninilizaa mwenzio😭🙌🙌
Luka 9:60
Yesu akamwambia, "waache wafu wazike wafu; wao bali wewe nenda ukatangaze ufalme wa Mungu"
Niamini Mimi hii nyimbo unatakiwa uisikilize si chini ya mala 5 ndiyo uielewe vizuri tena ukiwa umetulia TULIII. Rostam hawajawahi niangusha 💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Ni kwel
@@salehkupaza4547 mala moja uongo labda kama ulikuwa unarudisha rudisha nyuma. But the reality lazima uisikilize zaidi ya mala moja ili kuielewa
Roma ni fala
Please give us frequent music.. Sometimes I listen to your lyrics and am just crying.
Kenya listening
ROMA “kasema tukasome ,Luka : 9 : 60 - Akamwambia Waache wafu wawazike wafu wao; bali wewe enenda ukautangaze ufalme wa Mungu.
Kweli boss!!✔️
Sio poa
Luka 9:60 hongereni sana vijana! hawa ndio wasanii sasa wanaoonyesha nini maana ya msanii maana wengine sio kioo cha jamnii tena👍 like kwa ajili ya vijana hawa.
Waache wafu wakazike wafu wao bali wewe nenda ukatangaze ufalme wa Mungu.
Rostam wanajua sana💯🙌🙌
Yesu akamwambia, “Waache wafu wawazike wafu wao. Bali wewe nenda ukautangaze Ufalme wa Mungu.” luka 9:60
Nice
Bonge la ngoma
Ile swimming pool ya rufijii
Daa sema wana wanajua sanaa aseeb
Shout out kwa #rostam
Rostam tunataka mrudi kama zamani tunawakumbuka
Luke 9:60 " Waache Wafu Wawazike Wafu Wao, Bali wewe Nenda Ukautangaze Ufalme Wa Mungu"
Walioirudia zaidi ya mara moja naomba like zakutosha ✍️✍️
Feooz pia Kasimama vizuri sana na Chorus . Ni kama kafanya majumuisho kwamba vijana wanataka mama Yao afanye nini...wanantazama awafute machozi,awarudishie na tabasamu
Naomba like za mtumzima Roma na Stamina. Mana walikua wame nifanya nipoze mtaani💪🏾💪🏾💪🏾
Hii ndio ngoma yang pendwa ndan ya mwaka huu haitokei respect rostam ft ferooz .
Rostam wana fanya mtu apende Hip-hop na poetry. Kazi safi hawajawahi ku ni angusha.
Rostam for life..kama unawakubali rostam like hapa..🤝
Damn! The art in this song... Maana fiche!
Love from Kenya 🇰🇪
Hawa jamaa ni shiidaa!
@@abbyadams8691 but mkenya huwez elewa hapo mpak ujue siasa ya TZ
@@hafydhmo9566 Km unajua Kiswahili walau 50-70% utaelewa ila km hujui Kiswahili hapo ni Zero kabisa!!
kama hujui habari za tanga huezi elewa
Wabongo bana , wanaogopa kuongelea siasa alafu wanapita kwa mbali .
Rostam tufanye feat na kikosi kazi 🔥🔥 please itakuwa soo sana nakukuza mziki mbali wa hip-hop . Tungo Safi sana mchabiki wenu number moja toka drc congo Nataka like 💯
Huu wimbo uko kimafumbo,big up Rostam👊
Halooo,,hujambo mwanangu? How Sweet is that 🥰
"Hata kaka aliyekuwa hakupendi,
Mambo yake yako mshazali,
Aliuza nyumba ya kino bila hela ya udalali,
Akapata ya kigamboni ikasombwa na upepo wa bahari,"
Makonda tunapita nae hapo kweny uo ubet
Makonda huyo
Mmerisha humohumo nikosawa na nyinyi
Itakua Ni nani huyo
Kondakta
Hawa jamaa ni wabunifu mno mekubali🔥🔥🔥
Video ije sasa.,.. Roma ni mpiganaji kweli
Hawa jamaa wapewe ulinzi naomben like zanguu kwa hii ngoma kaliii
Daaah ngoma kalii hii gonga #like_hap Kama una wakubar Hawa wasanii wetu
Nyie ndio mnakila sifa yakuitwa wasani.mmepewa kipaji,mnakitumia ipasavyo mungu atazidi kuwafungulia njia,hamzungumzii hisia zenu tu mnatizama na za wengine
"Waache wafu wazike wafu wao; bali wewe nenda ukatangaze ufalme wa Mungu.” Luka 9:60
dah hawa jamaa ngoma yao kalii ni balaaaaaaa...hii ngoma ukisikilza mara tatu ndio unazidi kuielewa......NAOMBA STAMINA HII NGOMA IRUDIWE
Aisee.....ukiongelea mziki....sasa hapa ndo tumekutana Na wanaojua mziki....big up to you rostam...saluteeee
Anaeijua Luka 9:60 tangu utotoni na alisahau ila leo malegendary wamemkumbusha Basi gonga like Hapa ili kupitia kumbusho MUNGU pia akukumbuke ktk Mambo yako.
PST Chris Soraya.
Rostam wanajua mziki wao!
Akamwambia Waache wafu wawazike wafu wao; bali wewe nenda ukautangaze ufalme wa Mungu.
Nime chelewa dakika chache Sana ila like nipewe Mana so kwa hili lijimbo
Hii ngoma, ni kama shule ya bure, elewa maisha yanabadilika.
Ng'ombe wew kumbe unajua kuimba nyimbo tamu
Kumbe ng'ombe humjuiii?
Hivi umeonana na Dadaa..... Gonga like Kama umeelewa dada ni mange kimambi
Kaka ni Makonda
hamjawai toa bokoo you have too much creativited..... @rostam forever
Waah...this is pure talent from Roma and Stamina....I love this...💙
Hatari hii ngoma ukiisikiliza kichwa kichwa huwezi kuelewaaah Ila big u rostam
Hatariiii na nusu, tulimiss vitu kama hivi......ngonjera za bongo flavour zilituchoshaaaaa.
wangapi wanataka tuwachambulie hii ngoma
Mm hap
Tuchambulie Tafadhali
@@KimbaloEt-Ohms njiwa ni zile ndege halaf banda la kijijin ni airport chato
Tufafanulie
@@iradiboni5272 dada.. ni Mange Kimambi, Njiwa ni Ndege, banda kijijini.. uwanja wa Ndege Chato
This deep...🔥🔥shout out to Ferooz for bringing out the emotion on the hook.
Nyimbo mbovu inakamata namba one on trending wameisumbua sauti ya ferooz
I've struggled to find a proper way to put it but nothing sufficed more than "YOU GUYS ARE TALENTED"
Waliosikia kama #mama ni #prsnt #mama#samia wanipe #like✅🇿🇲🇿🇲
Madini kama Madini
Mwana kulitafuta,mwanakulipata,round hii sio ununio,Daraja LA mkapaaa....
Ushauri anapewa na Baba mkubwa wa msoga.😀😀😀😀😀 Ngonga Like za kutosha kwa #Rostam
Congrats Rostam.....!!!
This how artist potrey things...Artistically...Hahhha!!!!
Wanaosema nyimbo hii angeshirikishwa nay wa mitego gonga like hapa🤙🤙
All the way from Germany, In love with the flow, 100 likes for we Tanzanians in Germany.
Kali
Kali
Kali
Kali
Kali