Underated (Remix) Stamina Shorwebwenzi Ft. Maarifa, Dizasta Vina, Motra, P Mawenge & Boshoo ( Video)
HTML-код
- Опубликовано: 20 дек 2023
- #Stamina #SlideDigital
Stamina Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/staminashorwebwenzi
Written & Performed by Stamina
Video Directed by
Follow Stamina on:
/ staminashorwebwenzi
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz - Видеоклипы
Dizasta vina ni msitu....wa ....VINA....MISTARI YAKE LAZIMA UPITE SHULE....MWENYEWE ANASEMA.....I CAN SCHOOL YOU....kama unamuelewa VINA LIKES ZAKE HAPA
Vina ni kichwaaa, head yan brain 🧠🥶🔥 HE REALLY BELONG TO THE UPPER CLASS 🔥🙌🏽
Balaaa hilo
Aminia 🔥
Hawa wote sio size yake kiakili na mtazamo wa namna wanavyoliangalia solo, ndio maana kajiweka tofauti humpati walipo wao wa kufurahia kioo kama sehem ya kujionesha.
Pande lake moja tu la ki K RS1 AMA RAKIM. Nguvu moja kwa uzima wa mwili na uhai wa roho milele utaishi miongoni mwa wanaoamni na kuishika kweli.
Haraf kaimb sekunde 30 tu
Mpoo wapi mashabili wa dizasta vina like zotee hapa
Dizasta vina kauwaa
Kila siku mnaambiwa HUYUUUU VINA SIO WA KUMUWEKA KWENYE ,,, COMPETITION hamsikiii😂😂😂😂😂 ona alichowafanya🎉
Vinaaa
Duuh dizasta vina angepewa nafasi mara mbili ni hatari 😮😮😮
Dizasta kaanza kaa Eminem im in survival mode
DIZASTA VINA THE KING OF STREET
MZEE ANA BARS NZITO HAZIBEBEKII 🙌🙌
Kwa yoyote aloelewa verse ya Dizasta he deserve to be UNDERRATED..wengi hawajastic na topic
Mawenge pia kauwa...
Wana wa Dizasta vina tukutanee😂 hapaa
nipo hapa kijana wa vina
Nimeingia apa kumsikiliza dizasta tu likes nying kwa vinaaa
Ivi dizasta ni mtu kama sisi kweli 🤣🤣🤣
😅😅😅
😂😂😂 nomaaaa uyu jamaaa
Hahahaha ni kwikwii
Vina ni shule kwaiyo ina bidi uchukue peni na daftari utoke na kitu like hapa kama vina una jua kafanya mauaji ya halaiki
kwa kwanza mm nipen likes zangu🙏🫵🏻
Dizasta na p mawenge wameuwa sana
Vina katumia silaha nzito sana kwenye ugomvi wa fimbo
Dizasta + wenge we need another collaboration from them🔥🔥🔥🔥🔥
Dizasta vinaaa
Niite maarifa misondo😂😂😂
Naombeni like hata 10
Vina gottA LOWKEY sh*T🔥🔥🔥
Huyu Dizasta, P Mawenge Na Motrah! 🙌🙌🙌🙌
Asee Dizasta vina ni habar nyngne 🔥🔥 so underrated
Nikiambiwa msanii gani nimpe dada free ( DIZASTA VINA ) anachukua toto la kitutsi rwanda to bongo✊🔥na nipo tayari kununua kazi zake mpya kwa bei yyte kmk🙌
Vina ....should go international no one can be compared to this rapper
Dizasta n past present n future
Nachana kama nmegundua rap 😊😊vina ni 🔥🔥🔥🔥
Hii ngoma kali sana yaani iko juu sana, mwanangu p mawengeeee umeuwaaaa sanaaaa
Sio kila mada niwe wa kwanza kuzua jamboooooooo
😂😂😂 Vina bana🙌🏽🙌🏽🙌🏽♥️♥️♥️♥️. Lyrically monster aloooo. Dizasta vina 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽😂😂😂😂
DIZASTER VINA NI ANOTHER LEVEL FROM CBE UNIVERSITY ...MORE LOVE TO DIZASTER
kumuelewa vina n lzm upate lyrics uyu mwamba haangalii n ngoma ya aina gn ye anaweka uzito ule ule 😀😀
sure
Nipo kwenye top two and I'm not second.... JUDGE MWENYEWE --VINA🙌🙌🙌
"Nipo kwenye top two and am not second" Dizasta vina.
Huyu maarifa na dizasta vina wame funika wote.
Dizasta vina on fire 🔥 ❤
Dizastaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mamae
U guyz u have kill it 👌Dizasta & Stamina &p mawenge salute
Stamina Is Another Level Guys Let's Go To Support Them , Good Music Never Dissapoint Our Fans 🎉🎉🎉🎉🎉
Kweli asee afu hapewi uzito wako😢
Vina ni version ya Ace hood wa bongo
VINA is bringing a DISASTER 🔥🔥🔥🔥🚀🙌🏽
Wewe kuna watu makini sana hum ndan Dizasta vina recpect ma bratha nyie ndio nembo ya taifa
Vinaaaa
Vina ni mmoja tanzania😂😂😂
I can school you coz I'm like wanger... Nipo kwenye top 2 n I'm not second😂 Uyu black Maradona c mtu wa kawaida wala c wa sayari hii huyu level zake n za kina Drake🎉
Hatwariiiiii
D vina..boshoo...mawenge...maarifa
Vina never disappoint 💥💥
Underated dizAsta kashaua na kuzika
dizasta Hana mfano namkubali sana sitamina lakn anisamee kama akiwekwa na dizasta
Hahaha kma mm nilivomssliti pmawenge Kwa DIZASTA T'TCHAAA🙌
I just found myself having watching the whole video waiting for Stamina's verse😊Much love from 🇰🇪
1. DIZASTA 2. DIZASTA 3. DIZASTA 😎🙌💯✔️
Dizaaast
Vina
vina is underrated
Dizasta vina apewe kombe lake
Africa's finest, big up Stamina, My friend Maarifa, Vina is 🔥🔥🔥 Motra on another level P-Mawenge is fire 🔥 plus gasoline, Boshoo is something else Underated is lit 🔥 like hellfire 🙌....
D vina n nomaaa
Nipo kwenye top 2 and iam not 2nd Vina hatariii😅😅😅😅😅
Wasikutishe wakawaida tuu hawana maisha
Walichokuzidi Simu zao nzuri wakipiga picha Boshoo Ninja 🔥✊
MOTRA THE FUTURE 🔥🔥
STAMINA IS SO MUCH UNDERRATED!!
Sahihi
Napepea na mshkaji wa roma
Namshukuru mungu sho n nyingi zaid ya idadi ya ngoma
😂😂😂😂😂kibaha kuna Vanga
Heshima yako konda smata nakukubali sana mshua nakumbuka ngoma yako ilinitoa kwenye hali ngumu mpe mkubwa hizi kazi stamina kwake sina nongwa yeye kama mto gordan kazima hipapu ibatizwe kwake kolabo ya amani sana japo hamjatusha sana ila umoja ni Nguvu
Dizasta brain vina hatar sanaaaaa
Dizasta💥💥💥💥💥
Ukute huyu dizasta vina ni Allien ila kaamua 2 kuvaa ngozi ya binaadamu philosophy msanii wa Karne respect 💪
Jina la nyimbo. Limebebwa na mistarii ya VINA
Akili ya vina Ina akili mingi sana🔥🔥🔥 kapewa sekunde lakin ni kaka dakika mbili
Dizasta ni moto sana
Yaani hapo wamekutana wote wakali saaaaaana. Nimeshindwa kuwapa rank aise! .. kila mmoja kaua saaana. Mmmh!
Wasanii walio piga mistari konzi humu ni hawa.
1.Maarifa 4
2.Vina 4
3.P mawenge 4
4.Motra 5
5.Stamina 4
6. Boshoo 1
So kwa hali ilivyo ukiachana na mitindo na midondoko, kila msanii kaweka punchline za kutosha kasoro mwamba wa kanga moko na maulidi kitenge. Kama Vina ange pata muda kama stamina, nadhani angefanya balaa zaidi. Salute Kazi nzuri na kubwa sana💪👋
Dizasta vina❤ niwakip3k33saana nimnona kinoma yaaan
Dizasta atengwe aisee🙌🏼
Daaah😂 vina kapiga kivywake mwanangu sana booom tena🎉
Vina anajua mpaka anajua tena
Dizasta vina 💪
Dizasta vina ndo kanileta hapa ....mi ni top two na sipo namba 2
vina vina vina vina vina vinaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kuna mnyama apo DZSTVN Aaaaaghhh 🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Dizasta vina underated
Happy to see Vina akiwa na wana
Wana wnyw kajitenga nao
@@user-cd4dv7wq9g Itakuwa hawezi kuvaa nguo zenye rangi nyingi nyingi kama miamvuli ya zamani
Dizasta sio poa yule mtoto alkuwa anabipu...
P the mc my lol model
Walio Bak wote tumevunja kwamajna staj nsha taja wamataji ...
Big up all underlated
Hapa nimetendewa haki aise wanangu kwenye treli moja❤❤❤❤...mm ndio yule fan mtukutu toka sirisia kenya🇰🇪
Ndo mkome kumshirikisha dizaster vina 😅
😂😂😂😂 inawezekana kuna watu wapo umo ndani na hawajamuelewa vina
Maarifa ni mkali sana mtoto wa baba
Di dazta vina moto wakuotea mbali kama unamkuli vina gonga like kwa vina
Wote mme Kill it maniger..
halisi ya underrated
Vina is of another level.... P mawenge ❤❤
1. DIZASTA 2. DIZASTA 3. DIZASTA 😎🙌💯✔️
Wenzio hawaniombi collabo ni raaanaaa
Dizasta utaniua kws love😢😢😢😢 namkubali inakua mpaka kelo Kama ilikua unaimba na wanafunz wako m niljua mp3 kumbe hata mp4 👊
DIZASTA WEEEA A YUUUUUU😢😢
Hizi ndizo kazi tunazo hitaji..huu ndio ushirikiano tunao uhitaji...mukiwa hivi hip hop itasimama... kazi mzuri...heshima kwako stamina kuja na wazo hili
Shorobwenzi umeua broo😂😂😂🤗🤗
Inaonesha dizasta hakuwepo shooting ila alituma clip ya video aliyoshoot akiwa separate na wenzake
Best hip-hop 2023 mmeua wakali
Stamina :- "na ndio maana skuizi mapenzi hayatupi pressure ukinitaka unachagua nkupe moyo au nkupe pesa 🔥🔥🔥" Stamina the GOAT kama unamkubali gonga like
kuna jamaa hapo kasema "Nipo kwenye Top 2 and am n't second".... 🔥🔥 huyo sio mtu ni Elian Dakaa wa Area 51.
Dizaata🎉🎉🎉
DIZASTAAAAA
Unyama huu
Huyu dizasta vina moto bwana mjinga mjinga ataon km kaongea pumba ananikosha wallah mungu akuweke nizidi kupata madini🙏🙏 na p mawenge wameuwa hmu Yan 🤙
P mawengeeee
Hayo manguo yenu kama watoto wa kike dizasta kakataa kabisa kuyavaa😂
DIZASTA ni T'TCHAA
watanzania mnashindwa kumuamini STAMINA mimi kama mkenya nawaambia HE IS THE BEST
Nimewaona vina na mawenge sio shuuli dogo
My boy Motra baaabako killed that verse,maarifa did justice to the beat ..
Hawa jamaa wote ni noma sana Big ups Kwa Stamina kuwaleta All underated Rappers.Dizasta anahitaji skio la tatu
Maarifa anasema Mi sio missondo inarudi Misso misondo.Boshoo wao Khanga Moko mi ndio Maulidi Kitenge
wenge anasema atageuka rambo
@@dangomc_niger noma sana
Mfungua Dimba ukisikiliza vizur utajua kwann alianza kurap 🙌
Vina msiombe collaboration ni Laana hujamaa
I love Disasta Vina.
Boshoo salute