Hii Ngoma Yote Ni Ya Moto 🔥🔥🔥🔥 Yaani Kuanzia Chorus Mpaka Verses ZOTE Ni PUNCHES...✍️ Mwanzo Mwisho 🎧🎤🎵💥💥💥💥💥💥💥💥💥 MUCH RESPECT TO #Youngkiller #Kontawa #Stamina na #Rapcha 👏👏👏👏👏👏
Hapo ndyo utajua marapa wanatembea vp na puch line hamna kelele bint haiisikii sana unasikia miamba inaongea nn na wana wa mitaa . Big up sana kwa msodoki kwa kutupa hip hop og yenyew
Unyama Mwingi..!!!! Rappers WANGU Hawavimbi Maana Nna Dawa ya kuchua!!!!Oiiii!!Stamina.......Ngoma Kali Sana Kila Mmoja Kaiwakilisha Vizuri..Ila Kosa Kidogo Tu Wamembania Sana KONTAWA Kwenye Chorus...Baada ya Verse ya Stamina Angepiga chorus Au Angemalizia Ila Big Up Hip Hop Tz ....
Any song with Stamina and youngkiller is always a hit before you listen to it🔥🔥
"tumetoka chini ndo maana tuko deep"😅
ruclips.net/video/Ts6MWufd-e0/видео.htmlsi=IfsVFec9cCPLimwJ
To gether
😂😂😂bongo nyoso
hapo ndipo utaelewa maana ya neno sanaa
"akili yako imeenda mbali, ila itatukuta hapa"
Hii Ngoma Yote Ni Ya Moto 🔥🔥🔥🔥 Yaani Kuanzia Chorus Mpaka Verses ZOTE Ni PUNCHES...✍️ Mwanzo Mwisho 🎧🎤🎵💥💥💥💥💥💥💥💥💥 MUCH RESPECT TO #Youngkiller #Kontawa #Stamina na #Rapcha 👏👏👏👏👏👏
ruclips.net/video/Ts6MWufd-e0/видео.htmlsi=IfsVFec9cCPLimwJ
Hapo ndyo utajua marapa wanatembea vp na puch line hamna kelele bint haiisikii sana unasikia miamba inaongea nn na wana wa mitaa . Big up sana kwa msodoki kwa kutupa hip hop og yenyew
@@JaymbwanziOg Ni Hatari Yaani BITI Lina Mfata Rapper Na Sio Rapper Kufuata Biti...✍️
@@johnrichard5482😂😂😂
@@mrsinia3064 Sio Poa...
mtu mzima ata ashike shoka hadharani hawezi kukata gogo❤🔥❤🔥❤🔥
Young killer u remind me verses za mwsho kwenye "tungo" . Stamina remains a dude, killer killed it. Rapcha + kontawa ❤❤
stamina wew ni lulu hapa Tz sijui kwama wanakupa respect nayokupa mim
Una love kubwa sana Y Killer . This is more than love. 🇹🇿
Bila unafki wote mumetisha🔥🔥👍 hakuna mnyonge🚶gig up
🙌🙌hapa mmecheza kama nyinyi wakuu Leo from 🇰🇪❤️🔥🙌
Rapcha you really killed it🔥🔥👏
Young killer una vitu vingi sana 🙌🙌mistar Yako chakula Cha ubongo 🙌🕯️tunainjoy kwa kifupi.......
Kabisa
Muunganiko wa maana, respect to this collaboration
Wanangu wote kwenye daladala Moja,.... dereva msodoki this song is a killer🔥🔥🔥🔥rep. Kenya ❤❤
sure
Young killer mwanza mwanza💯
Collabo yaa mwaka
Wote mmeitendea vyema ngoma..
Ndoa ya kochi🔥🔥🔥
Hip hop ya kweli...huu ndo mziki sasa
All the best msodoki all time for me
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Rapcha you killed it💥😬😬😬
Watu wamelinda vyeo sana humu ndani..collabo imesimama
All the way from Zenji#Marashi ya Karafuu...🔥🔥🔥🙌🙌🙌❤❤
ruclips.net/video/Ts6MWufd-e0/видео.htmlsi=IfsVFec9cCPLimwJ
Unyama Mwingi..!!!! Rappers WANGU Hawavimbi Maana Nna Dawa ya kuchua!!!!Oiiii!!Stamina.......Ngoma Kali Sana Kila Mmoja Kaiwakilisha Vizuri..Ila Kosa Kidogo Tu Wamembania Sana KONTAWA Kwenye Chorus...Baada ya Verse ya Stamina Angepiga chorus Au Angemalizia Ila Big Up Hip Hop Tz ....
Best collaboration so far
Nakukubali young 🤝nakufatilia kutoka🇨🇩
this song make me to be proud of my home Jambiani❤🎉
Oyaaaaaaaaaaa like 2k kwa young killer
Ndani ya uwezoo toeni mawazo alf usikaze msuli kama upaja wako mdogo💪💪💪
Motooo🔥🔥 Donberry Mr Lines rapper from 254 Kenya
Jeans ya mgunda ni hatari lakini😂😂🙌🔥🔥🔥
Ukichoka kuumia haujakua
Makini Rasta🎉🎉
Mpemba naomba chps kaki na mishkavu kwanza nijenge shavu,,,like zangu hapa
Im a Kenyan but this one here, this one here is a banger
Siku hazigandi hata ukiziweka Kwenye friji,,,kunywa tuu serengeti ila maisha ni safari
Kaka much respect unajua mpk unaanz kupitiliza kipimo kwelii your regend ⭐
You're incredible artist..!
But I would like to see the video coz this track is very hit and should be on the top five of rap songs trending this year
Stamina ndo king wa hip hop bongo
Hip hop sio ya kila mtu ni ya wachacheeeeeeee good collabolation
3GENIUS IN TRACK 1 KIUKWELI YOUNG KILLER ARE ICON BONGO HIPHOP
Eeeh alaf mbona mmeikatiza bhana,this one though 🔥
Bora ukweli unaouma kuliko uongo unaofaliji SALUTE SANA msodoki YOUNG KILLER💯💯💯
StAmina nlikuwa nshaAnza kukukatia tamaa ila umeniprove wrong Apa🔥🔥
Siku hazigandi hata ukiziweka kwa fridge ❤nipe like hapa
Kubwaa You Guys Killed it 🎉
ruclips.net/video/Ts6MWufd-e0/видео.htmlsi=IfsVFec9cCPLimwJ
"kontawa" Bonge Moja La Chorus Kmmk 🔥💪
Hii ngoma🔥🔥 inahitaji video 🔥🔥
Young Killer 💯✌️💥
Ukiwa snitch kunjaaa____. stamina😂😂🔥🔥🔥🔥🔥
Oiiii wanangu mume deliver🔥🔥🔥#HipHopStandUp
Siku izi nimeshika spanner namkaza hadi Usain 🔩"- Stamina
Crazy fire verse hapo
Ukipima ni oversize kama jeans ya Mgunda @stamina 🙌🙌
Have a lot of feelings to express about this song but in short this banger is next level 🔥🔥
Oya Stamina🔥🔥🔥
Meza ya wanangu inaitwa MVIP 👊👊👊 Rapcha
Batalokota benyewe kunyavu,
Miruzi mingi kama wowo limekatiza magengeni,mmetisha sana
Ikooo poa san ☄️
NOMAAAAAA MZEEE WANGU SIJUI HATA NANI KAUA ZAIDI YA MWENZAKE 😢
Track 5 ndo yangu nmeikubali mia mia …..killer ni mwamba toka back days Alfu collabo wana hawakusua pia 😂hatariiii
wanang rapcha ataftiwe kiti akae asee sema baba baado baba mwanza ndo city
Nimetibuka nungu 🔥🔥🔥💪 *333#
Ujichukie alaf ujiletee hasira kama mbogo😂😂😂
Taking Bongo Rap To De Next Universe 🎉 Shout To @YoungKillerMsodokii @Stamina @Rapcha @Kontawa
Hiki ngoma hata kama unadaiwa lazima usahau deni😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🏧
So creative 🔥🔥🔥🔥
Young killer N moto wek mbal watot
Leo wamelipuka, wamepita sheli waka-smoke 🔥🔥
Respect for you bro
Killer young 🔥🔥🔥🔥
All dope 🔥🔥🔥
Smart students in one group🔥🔥
ruclips.net/video/Ts6MWufd-e0/видео.htmlsi=IfsVFec9cCPLimwJ
ila humu @stamina ndo kaauwaaaaa #ukiwa central ukirequest aijibolt 😂😂🎉
Nimerudia Hii Ngoma Mara tano....Ila Kiukweli Stamina Ni Bonge Ya Rapper.....Big up Sana...
stamina kaua
Usishangae kulala masikini na kuamka boss
Definition of good music
Uyo stamina 🔥🔥🔞🔞🔞
shorwebweeeeeenz,noma sana
Salute 110 Kitee tumekubali
Wanyama wamekutana🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Chips kaki na mishkavu😅🔥🔥🔥
Show kambaa one dei mim na wew
mistari iliyokwenda shule
Ila Stamina we ninyoko💥💯
🎉
Hii ngoma niipe shavu kwa jina gani maana tunajua moto ndo tishio sa hii nizaidi ya moto mkali labda kama nyie jina mnalo 😂😂💥🔥🔥🔥🔥🏁🏁
This is good collaboration, respect for young killer killing it
Ukichoka kuumia ujue haujakuwa💣
Eti Leo nmeshika spanner namkaza Hadi Hussein bolt🤣🤣🤣🤣🤣 utafunguliwa mashtaka shauri yko ebu jaribu uone blaza....tamu sana hii
The killer we know ..the one papa Jones intended
Much respect from Kenya.
Big up Rachaaaa 🎉🎉
Mm ndo mwenyeji kwenye nyumba za wageni😂😂😂
Ngoma Kali sana mmefanya vizur my brother
Wht a combination... kings👑
Msodikiiiiiiiii🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Aaaaaah hyoo rapcha kdadadkiiii
HII STORY INAFUNZA..MISTARI MIKALI SANA
Hii Kali sana 🔥 🎉
Shida sio mawazo ni mawazo yenye tija😅
Hip hop means every thing
Sumu ya 🎉🎉🎉🎉penzi kaonja belle sio mi
Msodoki Video lakibabe lije Mapema. Kama Vipi hata tulichangie 💪🏻
Iyo batonni ya Moto I wish angekuepo maarifa😂
Leo tunakunywa maji matitu unyama sana
Mbona kama stamina ameludia mistari killer rapcha wauwaji
Big up bro unaweza bro 100%🔥🔥🔥🔥