Hii Ngoma Yote Ni Ya Moto 🔥🔥🔥🔥 Yaani Kuanzia Chorus Mpaka Verses ZOTE Ni PUNCHES...✍️ Mwanzo Mwisho 🎧🎤🎵💥💥💥💥💥💥💥💥💥 MUCH RESPECT TO #Youngkiller #Kontawa #Stamina na #Rapcha 👏👏👏👏👏👏
Hapo ndyo utajua marapa wanatembea vp na puch line hamna kelele bint haiisikii sana unasikia miamba inaongea nn na wana wa mitaa . Big up sana kwa msodoki kwa kutupa hip hop og yenyew
Unyama Mwingi..!!!! Rappers WANGU Hawavimbi Maana Nna Dawa ya kuchua!!!!Oiiii!!Stamina.......Ngoma Kali Sana Kila Mmoja Kaiwakilisha Vizuri..Ila Kosa Kidogo Tu Wamembania Sana KONTAWA Kwenye Chorus...Baada ya Verse ya Stamina Angepiga chorus Au Angemalizia Ila Big Up Hip Hop Tz ....
Ata mlango wa fahamu unahitaji funguo😂
mtu mzima ata ashike shoka hadharani hawezi kukata gogo❤🔥❤🔥❤🔥
Any song with Stamina and youngkiller is always a hit before you listen to it🔥🔥
Mpemba naomba chps kaki na mishkavu kwanza nijenge shavu,,,like zangu hapa
"tumetoka chini ndo maana tuko deep"😅
ruclips.net/video/Ts6MWufd-e0/видео.htmlsi=IfsVFec9cCPLimwJ
To gether
😂😂😂bongo nyoso
hapo ndipo utaelewa maana ya neno sanaa
"akili yako imeenda mbali, ila itatukuta hapa"
Hii Ngoma Yote Ni Ya Moto 🔥🔥🔥🔥 Yaani Kuanzia Chorus Mpaka Verses ZOTE Ni PUNCHES...✍️ Mwanzo Mwisho 🎧🎤🎵💥💥💥💥💥💥💥💥💥 MUCH RESPECT TO #Youngkiller #Kontawa #Stamina na #Rapcha 👏👏👏👏👏👏
ruclips.net/video/Ts6MWufd-e0/видео.htmlsi=IfsVFec9cCPLimwJ
Hapo ndyo utajua marapa wanatembea vp na puch line hamna kelele bint haiisikii sana unasikia miamba inaongea nn na wana wa mitaa . Big up sana kwa msodoki kwa kutupa hip hop og yenyew
@@JaymbwanziOg Ni Hatari Yaani BITI Lina Mfata Rapper Na Sio Rapper Kufuata Biti...✍️
@@johnrichard5482😂😂😂
@@mrsinia3064 Sio Poa...
Rapcha you really killed it🔥🔥👏
Young killer u remind me verses za mwsho kwenye "tungo" . Stamina remains a dude, killer killed it. Rapcha + kontawa ❤❤
Watu wamelinda vyeo sana humu ndani..collabo imesimama
Stamina ndo king wa hip hop bongo
Collabo yaa mwaka
Wote mmeitendea vyema ngoma..
Ndoa ya kochi🔥🔥🔥
Hip hop ya kweli...huu ndo mziki sasa
Una love kubwa sana Y Killer . This is more than love. 🇹🇿
Bila unafki wote mumetisha🔥🔥👍 hakuna mnyonge🚶gig up
Muunganiko wa maana, respect to this collaboration
Young killer una vitu vingi sana 🙌🙌mistar Yako chakula Cha ubongo 🙌🕯️tunainjoy kwa kifupi.......
Kabisa
🙌🙌hapa mmecheza kama nyinyi wakuu Leo from 🇰🇪❤️🔥🙌
Unyama Mwingi..!!!! Rappers WANGU Hawavimbi Maana Nna Dawa ya kuchua!!!!Oiiii!!Stamina.......Ngoma Kali Sana Kila Mmoja Kaiwakilisha Vizuri..Ila Kosa Kidogo Tu Wamembania Sana KONTAWA Kwenye Chorus...Baada ya Verse ya Stamina Angepiga chorus Au Angemalizia Ila Big Up Hip Hop Tz ....
Ukichoka kuumia haujakua
Makini Rasta🎉🎉
Oyaaaaaaaaaaa like 2k kwa young killer
Wanangu wote kwenye daladala Moja,.... dereva msodoki this song is a killer🔥🔥🔥🔥rep. Kenya ❤❤
sure
Young killer mwanza mwanza💯
Ndani ya uwezoo toeni mawazo alf usikaze msuli kama upaja wako mdogo💪💪💪
Nakukubali young 🤝nakufatilia kutoka🇨🇩
StAmina nlikuwa nshaAnza kukukatia tamaa ila umeniprove wrong Apa🔥🔥
Ukipima ni oversize kama jeans ya Mgunda @stamina 🙌🙌
All the best msodoki all time for me
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Rapcha you killed it💥😬😬😬
All the way from Zenji#Marashi ya Karafuu...🔥🔥🔥🙌🙌🙌❤❤
ruclips.net/video/Ts6MWufd-e0/видео.htmlsi=IfsVFec9cCPLimwJ
Best collaboration so far
Jeans ya mgunda ni hatari lakini😂😂🙌🔥🔥🔥
You're incredible artist..!
But I would like to see the video coz this track is very hit and should be on the top five of rap songs trending this year
this song make me to be proud of my home Jambiani❤🎉
Msodoki Video lakibabe lije Mapema. Kama Vipi hata tulichangie 💪🏻
Siku hazigandi hata ukiziweka kwa fridge ❤nipe like hapa
"kontawa" Bonge Moja La Chorus Kmmk 🔥💪
ila humu @stamina ndo kaauwaaaaa #ukiwa central ukirequest aijibolt 😂😂🎉
Kwel ww msukuma mjanja nakukubari sana
3GENIUS IN TRACK 1 KIUKWELI YOUNG KILLER ARE ICON BONGO HIPHOP
Uyo stamina 🔥🔥🔞🔞🔞
wanang rapcha ataftiwe kiti akae asee sema baba baado baba mwanza ndo city
Eeeh alaf mbona mmeikatiza bhana,this one though 🔥
Im a Kenyan but this one here, this one here is a banger
Usishangae kulala masikini na kuamka boss
mistari iliyokwenda shule
#ukitaka kunywa serengeti kumbuka maisha safari
Nimetibuka nungu 🔥🔥🔥💪 *333#
Bora ukweli unaouma kuliko uongo unaofaliji SALUTE SANA msodoki YOUNG KILLER💯💯💯
NOMAAAAAA MZEEE WANGU SIJUI HATA NANI KAUA ZAIDI YA MWENZAKE 😢
Motooo🔥🔥 Donberry Mr Lines rapper from 254 Kenya
Hip hop sio ya kila mtu ni ya wachacheeeeeeee good collabolation
Chips kaki na mishkavu😅🔥🔥🔥
killer anajua mpka anakera qmmke💔😅😅na mluguru mwenye hasira za Kipogoro apo anatisha sana😅
Wanyama wamekutana🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Meza ya wanangu inaitwa MVIP 👊👊👊 Rapcha
Msodoki hii ndo staily ya rap tunayotaka 👍 sio ile staily yako kama unatufokea
Oya ni hatari sana hizi punches et usishangae kuona mfanyakaz wa embassy anavuta sports 😂😂😂 🙌🙌
Mm ndo mwenyeji kwenye nyumba za wageni😂😂😂
Siku izi nimeshika spanner namkaza hadi Usain 🔩"- Stamina
Crazy fire verse hapo
Batalokota benyewe kunyavu,
Miruzi mingi kama wowo limekatiza magengeni,mmetisha sana
stamina wew ni lulu hapa Tz sijui kwama wanakupa respect nayokupa mim
Respect for you bro
Young killer nakukubar sana umetisha sana kwenye ngoma saluti kubwa
Taking Bongo Rap To De Next Universe 🎉 Shout To @YoungKillerMsodokii @Stamina @Rapcha @Kontawa
Siku hazigandi hata ukiziweka Kwenye friji,,,kunywa tuu serengeti ila maisha ni safari
HII STORY INAFUNZA..MISTARI MIKALI SANA
Oya mbona ngoma kali sio mchezo
Nakuba sana yankila mala wote umepiga chini na stamina ninoma hao wengine wakalime viazi
Kaka much respect unajua mpk unaanz kupitiliza kipimo kwelii your regend ⭐
Shetani Hali mbaya baada ya chapter ya ufunuo 👊👊✊
Roma mlimuacha wapi ❤❤
Hii Ya Moto✌️✌️✌️
Oiiii wanangu mume deliver🔥🔥🔥#HipHopStandUp
hiii ndo track pendwa kwangu jamaaa wameua sawa chukue 🍿 mpoze tumbo😊
Sumu ya 🎉🎉🎉🎉penzi kaonja belle sio mi
Shida sio mawazo ni mawazo yenye tija😅
Hii ngoma🔥🔥 inahitaji video 🔥🔥
Ujichukie alaf ujiletee hasira kama mbogo😂😂😂
#Dizasta Much respected Ila #Pmawenge 🔥🔥🔥 mkubwa n mkubwa tu
aah!! asikwambie mtu babu kushindanishwa na YOUNG KILLER kujitakia KIFO jombaa
Ngoma Kali sana mmefanya vizur my brother
Ukichoka kuumia ujue haujakuwa💣
Hii ngoma niipe shavu kwa jina gani maana tunajua moto ndo tishio sa hii nizaidi ya moto mkali labda kama nyie jina mnalo 😂😂💥🔥🔥🔥🔥🏁🏁
Kubwaa You Guys Killed it 🎉
ruclips.net/video/Ts6MWufd-e0/видео.htmlsi=IfsVFec9cCPLimwJ
Noma killer
Killer young 🔥🔥🔥🔥
Eti Leo nmeshika spanner namkaza Hadi Hussein bolt🤣🤣🤣🤣🤣 utafunguliwa mashtaka shauri yko ebu jaribu uone blaza....tamu sana hii
Kwel stamina ni m1 wengine wa mabua
Ata ushike shoka hadharani huwezi kuakata Gogo...😂😂😂😂 Elewa neno gogo....
Ngoma bora 2023
Ukiwa snitch kunjaaa____. stamina😂😂🔥🔥🔥🔥🔥
Leo wamelipuka, wamepita sheli waka-smoke 🔥🔥
Hii ndio colabo ya mwaka walai...very hot than my beb
Salute 110 Kitee tumekubali
Ikooo poa san ☄️
Aaaaaah mume ua kwenye ili goma respect aipingw kitaaan
Show kambaa one dei mim na wew
Young Killer 💯✌️💥
Usishangae kulala maskini unaamka Boss 👍
Ila Stamina we ninyoko💥💯
🎉
great wazee bonge la hit