Manengo ft.Jaivah,Moni Centrozone, PMawenge, Nacha ,Stamina, Frida Aman - Oyah Mzee (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 13 апр 2024
- #Manengo #Jaivah #MoniCentrozone #PMawenge #Nacha #StaminaShorwebwenzi #FridaAmani
#slidedigital
(C) Free Nations
Manengo Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/manengo
Written & Performed by Manengo
For Bookings: cshusho@gmail.com
Follow Manengo on:
Instagram: / manengo_tz
Facebook: / manengo.tz
Twitter: manengo_tz?s=09
Watch More Videos
Bombaipepee● • Manengo Ft Stamina & M...
Habari●
• Manengo - Habari (Off...
Kwambinde● • Manengo - Kwa Mbinde (...
Jirani●
• Manengo Feat Belle 9 -...
Kwaheri●
• Manengo_ Kwaheri (Offi...
Mbuzi●
• Manengo_Mbuzi (Officia...
Warm up●
• Manengo - Warm Up (Off...
Hayana Jipya●
• Manengo Ft Belle9 & Mr...
Warm up remix●
• WARM UP (Remix)_Maneng...
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz - Развлечения
P Mawenge ameifanya rap kuwa kakitu ambako hakampi shida. Flow, vina, bars,social consciousness 💯
sina budi ni appreciate wote walioshiriki kwenye huu mkwaju👏
Mamanina NACHA kijana toka nyasubi kahama umeua sana
Nacha ,eyoo! Buda like yule rapa wa kesho 😅😅
P mawenge🎉
Kweli P The Mc Ni Rapper Wa Taifa Ila Nacha Na Stamina Jamaha Wamekomesha
Wazee mmeuwa Sana ila mawenge itabid tukupe mtaa au tukuchongee Sanam kiwalani, Kama vip shushen dude lingine🤸
Aliepiga chorus likes zake ni hapa❤❤❤
Malume ametisha sanaa👑
Aliyesikia akitajwa Perci Tau na Pacome like hapa
P mawenge vs Nacha nataka mje na battle yenu 🙏🙏🙏🙏🙏
Nacha anapitaa 🔥🔥💯💯
Itakuwa hatarii san ✊✊✊✊
humjui p vzr eeeeh @@allysonjohn8578
Kama umeskiliza vizuri Kila mtu. Kaongelea kuliwa tako japokua kwa namna tofauti
Kasoro shorobwenzi na madam president
Ila nacha na p mawenge shenzi nyie watoto🔥🔥🔥
Nacha umenyosha sana humu nacha umepigaje hapo
P mawenge ni level nyingine kabisa kaua sana mistar hadi flow jumlisha ujumbe husika....
Stamina, nacha ,weng, frida amani 🔥🔥🙌
Nime jaribu kuacheck Mara 4 kujuwa Nani kauwa nimeshindwa aisee Yaani wote wapo, Ila P the MC mawenge mustari yake ime bezi ndo kauwa zaidi
mawenge 🙌
ruclips.net/video/EyBLxDK490I/видео.html uganda remix luga version
Ni noma sana🔥
Kila mmoja kala, katafuna, na kameza mistar yake
Una sikio nzuri
P mawenge, nacha, mon🔥🔥 gone deep bruuh, wamechambuwa vizuri mada
Frida ,huyu dada haogopi yupo na nani, very big confident
Banger Hit Noma 🔈🔉🔊🇰🇪🇰🇪💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜
Jaival iyo sauti tuanze kuilipia sasa maan tayari umebobea oyaa mzeeeeeeyaaa
Oyaa weeeh mie shabiki wa p mawenge ila nacha Manina zako 🙌🙌🙌🙌🙌
Bonge Moja la ngoma beat Kali kolasi yamoto San, nmependa idea yakumuwek mtot wakike Frida amani mm namfananish na Dej loaf umu kaumiza San....nimerudia ngoma mar mbil nmepat wakat mgum San kujua Nan wakwanz mpak wa mwisho maan wote wamepita vizr nafikir kwasab ya beat Kali inaleta Radha na vionjo vikali San....binafsi nmependa flow za nacha na p mawenge bila kuwakosea heshim wngn maan wot wamepita vzr ila hao wamenivutia Zaid....all in all kazi nzr ❤ congratulations nying kwa Mr T tachi 🔥 🔥
Aisee hy mtu uliomtaja dej loaf mby sn hy kiumbe aisee
Oyaaa wenge nacha nengo naomben like zao hawa wadau🔥🔥🔥
Pmawenge,Nacha,Frida,shorobwenz,na mwenye chorus Yake AWEEEEEEEEEE 🔥🔥🔥
mother far car 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 respect hiphop. half kenyan half tanzanian and my two countries never fail to earn my respect. i am a proud east-african hizi ndio amsha amsha zetu sasa let the world know we are here, let them hear that we are near
Uwenda hii inaweza kuwa hip hop Bora Kwa sasa mana wamekutana wanahip hop Bora wa kisasa @manengo
Nacha umepigaje hapo…. 🔥🔥
P mawange hajawai kosea i seh😁
oya mzee hii ni bonge moja la anthem....respect broh
Majengo sokoni🔥🙌🏻
P the Mc namuita macho paka ooeeeeeee hiii NI yakooo🔥🔥🔥
Mawenge mbaya sana nyongeza nacha ☝️
Long live nyasubi ndani ya mbanyu .....kanda ya ziwa manegani kwako mzeee🤝👽
Nacha+wengeee noma sanaaaaa
Ngoma kali sana best collaborazione
Nacha atengweee🖐️🖐️🖐️
Nacha ataree mzee
@@allysonjohn8578 ameshindikana mkuu
Sikutegemeya kama #Nacha anauezo kama huu.bro tukitowa stamina, ww umeua
#NACHA umepigaje apo💪🇧🇮wakukome😂😂😂😂
Goma limetembea kote wameua ila stamina moto wa kuotea mbali ndo stering wa rapper walioshiriki kuimba nacha wenge central wote wameua na jaivah kwenye corus ...maua yao tafadhali...🎉🎉
NYANSUBIIII NDANI YA MBANYUUUU🎉🎉🎉
Kawakimbiza sana humuu 🔥💯
Mwenge kaua sana hajaenda nje ya Topic ....100% ...wengine wameingia na kutoka ..Mwenge the Killer
Tuko pa1 umeona km mm waliopiga verse ya mwisho kimtindo wameikimbia topic
ila stamina kzngua kinoma
katoka nje ya mada
@@michaelmlingi479 wee unajuwa mzk utackia kima zngne zinakuja kuandika kelele hapa
p mawenge umeua sana🎉
My favorite rappers 🔥🔥🚨🚨...... bongo noma
#Nacha Umekill Ukamaliza Show....
Mucha Love From Kenya...
P mawenge na moni centrozone 🔥🔥🔥
Nacha, Mawenge na stamina, mmeua
Conscious sana, old school kwenye replay hapo 2050
Wenge 🔥🔥 but all you did 🎙️💯
Aisee this trap music 🎶 good 👍 iko na content kali .....wazee hakun kukaa ghetto bila pesa qfuu malengo ...shouts sana kwenu
Nacha kaingia vzr kinoma 🎉😂😂
Mawenge Hana Muda wa kujisifia wakati anataka kuwapa ushauri 😂 dah Wazee wamesikia Mr Mawenge
Alaf hana hata haraka
Nacha kaua sana na p the MC pamoja na moni alfu Kuna anajiita God😂😂 mtu mfupiii
Ni got usialibu maana
Wazee mmeuwaaa,mpk sijui Nani kafunika bonge la ngoma
Every bar is lit🎉🎉
Mawenge na stamina plus nacha ndio wameuwa kwnye hii ngoma 🔥🔥
P mawenge amefanya niuelewe huu wimbo!
MAWENGEEEEE huwa anajua kukaa kwenye topic sana..
Sema umelikubali sema "oyah mzee"
marapa wote wa kali sema frida umeniangusha umeimba
This is amazing, we need more projects kama hizi. EastAfrica OnTop
Oyah mzeee 🔥 umri unakwenda
Goma ra hip hop la mwaka 🔥🔥🔥🔥🔥
NACHAAAA 🔥🔥
oya mzeee noma sana, kweli umri unakwenda
Nacha🔥🔥🔥
Saut ni kubwa mnoh!!! Kijiji kimesikia na kimeitika!!! Hip hop
Nacha na Mawenge wameua sana🔥🔥🔥
Big up. To all Rap nzuri lets Go #oyamzee
P mawenge na nacha wameuwa sana humu🔥🔥🔥🔥🔥
Hip hop collab of the year❤
NACHAAA🔥🔥
nacha ni nouma ety verse ina mablich kama imeandikwa na pacome🔥🔥🔥🔥
Frida aman 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nacha🔥🔥🔥🔥
Goma kali manengo💯💯💯
Hiii ngoma ya moto hip hop imetendewa haki
Maluuuuuuume 🔥 🔥 🔥 nomaaaaaa
Moni cetrozon na nacha wameu 🔥
Mburahati stend up jaivah mwanangu sana
Vijana vichwa vya hip-hop 💪
Hip hop on top 💪oyaaaaa mzeeeeee💥
Reo nimekua wa mwisho Ila sio mbaya kama una ikubali hii ngoma gonga like hapa
Nacha killed this 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mawengeee
Best rapper ,he knows how to unit artists
Mawenge, manengo,nacha 🔥 🔥
Kabla sijamaliza wimbo nacha is unstopable
Manengo rasta man
Mawenge AMEZINGATIA sana CONTENT inaonyesha anaihusudu sn kalamu... Amebase humo ajatoka tofauti nawenzi huwa wanaingia wsnatoka wanaingia wanatoka... P mawenge B.C.B.G
Hii kali sana man Manengo🎉🎉🎉
Sawa sawa mawenge naelewa ka mbkubwaaa
Nacho mtu atari kama Pacome 🔥🔥🔥🔥
Once banger fire on hip hop
P mawenge kawatuliza mawenge humu ndani😂🔥🔥🔥🔥🔥
Ka kipapa ka kiafande unashindana na berger wakati ni makande 🔥 🫡🙌
Nacha mzee wa mifuniko🔥🔥🙌
FRIDA AMAN ❤❤❤
Part ya NACHA kauwa sanaa humu ndani 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Roma zimbabwe amekosekana angeua mnooo
mi legend by stamina
Oya hawa wana noma sana🔥🔥🔥
Oyaa Nacha mtu na nusu, kaua sana humu ndani