Msamiati x Country Wizzy x Young Lunya - Bibi Titi (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 19 апр 2024
- Bibi Titi Mohammed (June 1926 - 5 November 2000) was a Tanzanian politician and activist. She was born in June 1926 in Dar es Salaam, at the time the capital of former Tanganyika. She first was considered a freedom fighter and supported the first president of Tanzania, Julius Nyerere. Bibi Titi Mohammed was a member of the Tanganyika African National Union (TANU), the party that fought for the independence of Tanzania
Download/ Stream Bibi Titi - onerpm.link/968653933052
Follow @Msamiart on social medias
Instagram- msamiart?ig...
Twitter - x.com/msamiart?s=21
Tiktok - / msamiart
You tube - / @msamiart
Apple music - / msamiati
Spotify - open.spotify.com/artist/6YyGx...
Boomplay- www.boomplay.com/share/artist...
You Tube Music- / msamiati - topic
Follow @CountryWizzy
RUclips: / @countrywizzy
Website : linktr.ee/countrywizzy
Instagram: / countrywizzy_tz
Twitter: / countrywizzy_tz
Facebook: web. profile.php?...
Tik Tok : / countrywizzy__tz
Triller : triller.co/@countrywizzy_tz
Follow @YoungLunya
Instagram : / younglunya
X - / younglunya - Видеоклипы
Thank you all i feel the love❤️
Tuendelee kushare mziki mzuri na marafiki👊🏽
#UghweUmenyee🔥
ruclips.net/video/MWo1Y3mMErE/видео.htmlsi=jotgE2bGyWJffr0I
Ndaaaaghaaaaa
Ughweeee
Safi sana nipo Zambia nakupata kamanda gwah kukaja mbeya home
Ulinkafu nkamu
Hatr sanaaaa
Mishe zimenyoka kama Barabara BIBI TITI MOHAMMED 💨
Zee La Kukomesha
Hatar mzee wangu
Toto la mama Mandingo
Umeuwa hatar fahter
Father umeuwa sana
Cheenbees angekuwepo umu ndaniii
Ngoma ni Kali sana mara ya kwanza nimeisikiliza zaidi ya mara 4 sija elewa lakini baada ya kuskia verse ya country wizzy ndio nime elewa maana kwanini Ngoma imeitwa bibi titi Ina maana kua Barabara ya bibi titi ime nyoka aina Kona Kona kwaio Kila mmoja kati ya hao mambo yame wanyokea kama barabara ya bibi titi naomba like zenu kama na nyie mme wailewa wanetu
❤
U make sense kwa tafsiri hiyo, lkn bado title inafikirisha sana.. maana barabara ya bibi titi haijanyooka moja kwa moja, zipo barabara zilizonyooka kama morogoro road, nyerere road. Pia msamiati na Lunya mashairi yao hayajaconnect kabisa na title ya wimbo.
Nadhani walitakiwa kufanya vzr zaidi ya hv kwa upande wa mashairi kuendana na title
Yule boy ameuaaaa
@@CountryWizzyumeuaaa mzee
Lunya wajua bro!!! O maiiiiiii
Naacha hii comment kila muda mtu aki-like nitarudi kucheki huu UNYAMA
Weeeee njoooo huku nisha like mimi 🙌🙌🙌🙌💣💣🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥
Unajua
Sawa
County wizzy
Sinzaaa
Since meakuwa shabiki wa msamiati cjawai juta....njoo dondosha comments n likes team msamiati @msamiart
Hili goma la kwenda 🎉
daa mmeua sana like a bibi titi mohamed
Bibi titj mhamed njia imenyokaa
Verce kalii
Nomaa.sanaa
Tulishaondoka mzee❤️❤️bonge la drill from tz to the world
Noma sana
Country wizzy kauwa sana daa sijaona
Oya bongo mziki wetu ni next level sana bhs time Will tell 🇹🇿✌🏿
Anaitw Country lakn sio wa nchi hiii kubabake 🎉🎉🎉🎉🎉
Mnyama Kabisa
Mnyama huyooo
Kal sanaaaa
Atar sanaaaa
Atar sanaaa
Pop smoke wa bongo , ambae hatatupia like apa kudadeki zake🎉
Oyaaa wee sio poa
Jamaa anajua sana alafu haringi
Anaelewa wabongo tunataka nini
Boss wa hip hop
Oyaaa wametisha sanaa
Lunya Waga hakoseyi💪
Nakubalii maniga funiko kwishaaa
Country wizzy awekeweee ulinziiii❤😂😂
Wameuwa sana kinomaa
Jamaa fundi so powa
Wanajua San
Mnajuaaa kaka
Namba mojaaaa ipooooo
Sina mambo mengi like wanna wetu🇧🇮🇧🇮like yaupendo kana unamkubali mwamba Kama yanga fc
Unajua
Huna bayaaa
Huna bayaaa
Bibi titi Mohamed
Unajua
Msamiati kauwa sana❤
Best Bibi titi lunya msamiati country wizzy
Lakini jaman huyu lunya atafika mbali sanaaa🔥🔥👍👍👍💯💯
angeshafika mbali tatizo lugha tu. Angekua anajua kizungu awe anaimba ngoma nyingine kizungu tupu kama anavyoimbaga khalighraph alafu atafute collaboration hata moja ya rapper mmoja mkali wa mambele Lunya angekua tishio bongo maana styles zake anazoimba zinapendwa sana mambele ila kinachomkosti ni lugha
Nime dead
Lak lak
Atar sanaa
Unajua
Watoto wa Mungu tumenye ridhiki mafungu. Umetisha sana braza ngoma ni ya🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ngoma itasumbua kila kona
Ngoja mvua inyeshe tuone panapo vuja
Big idea
Namba moja leoo
Lazmaaa utisheee moja
🔥🔥🔥💯🔥🔥
Mada dem🔥💪
Mbeya nyumban
Ni furaha sana jamaa huu mziki wanapoupeleka ni pakubwa sana
Sijawai ona show mbovu
Oyaaa sio poa
Nasikia nyepesi hii ngoma
County unajua sanaa mzeee
Balaa sio la nchi hii
Watoto wa Mungu 😇
Mmetishaa kinoma.nomaa
❤🎉
Au bas lunya kaweka funzooo
Kiboss aseee
Tumekwenda town
Kibabe zaid
Hakuna kupoa wazee
Sio Kwa uwezo huu
Kichupaa safiiii
Weka mbali na watoto
Sio Kwa moto huu
Vijana wanabalaa sio poa
❤
Hiii ni bibi
Your the best broo masong yako yaana vibe sanaaaaaah
Beat ya Khali bdo 😢saaana
Unyama mwingi sana❤🎉❤🎉bongo land ❤🎉❤
Vijana wanajua sana mpk wanaboa
Sikutegemea Kwa ufundi huu
Maana wametrend sana
Niljua 2 hawa n noma
Hawa watu sio wa kawaida
Unyama kama wa mbelee vitu ivyo tulikuq tunavion kwa akina lily durck sasa mbongo vimewakaaa🙌🙌
Saf sanaaaaa
Watu wa maan kabsa
Daaaaa wizy nomaaa
Mmetishaaa sanaaa
Kaka mnajua sanaa nyieee
Ndaaaagaa
Mamen mbuzi🔥
Ngoma Kali mbn sioni views
Wamejifungia ndani wanaogopa mvua
Sio Kwa kibard hiki
Full shangwe
Bibi titi Mohamed
Saf sanaaa
Nomaaa na nusu
Hatari sana hiii oy oyo
hi ngoma ni ya Father na watoto wake 🙌🏿
Uhakk hajawai niangusha
Bila kusahau mjukuu wake mmoja
Lunya
Mpka wajukuu wapo asee
Goma sio kawaida
HUYU MCHZ ATAZAMWE KWA UMAKIN ANAFUJO SANA
Uwezoo mkubwaa
Wakuu nyie nomaa
Moto sanaaa wazee wng
Kupejaaaa majungu nomaa
Mbwa wakal
Nomaa.sanaa
Msamiati umeua
I feel like Khaligraph Jones could have made it an anthem...
Nomaaaaaa
Kaz kaz wazee
Leooo Ngoma nomaa
Hiii fujooooo
Watu wa maan
GWA-KUKAJA 🥰🥰
Ngoma kal
Mnajuaaa sanaaaa
Ndoto zetuuuu
Wott wa mungu
Kilughaaaa unajua kaka
Huyi country mbn mkali sana
Unajua sanaa
Kizazi noma sana asee hii ni baraa zito naona bibi titi
Wameimba kama.hawaimbii tena
Kunawatuu wanajua san.kuimba daah
Hatari sana hiii
Hii ngoma hapana aisee...jamaa wanajua ila Lunya hapana aisee 🔥🔥🔥
Unajuaaa sanaaa🎉
Mpewe.maua yenu❤❤❤
Nomaa.sana
Huyu ndo msamiatii🎉
Nomaa zaidi mzee wakazii
Wanajua sana awa vijana wangu
Talented guys
Boomplay
Nice sound
Nomaaa zaidii🎉
Wameua
Nomaa sansss
Msamiatii unakuja kasi sanaa
U.aweza sanaa
Mnajuaaa sanaaa
Nakubr sana uwezo msamiatii
Mnajuaaa
Uwezo mkubwa kak msamiat
Ya kwetu soteeee
Namba mojaaaa yakooi
Fujooooo hiii ngomaaaa
Mmeua🎉🎉🎉 my brothers
Yani ukijua hujui bibi titi
Wameua sana hii
Kichupa safiiii
Mnajua sanaaa
Verse ya piliii nikalii san lunyaaa umeua
Imekuwa ya moto hiii
uyu country wizzy sio mtanzania ukweli usemwe anajua sana ebu niwarudiahe nyuma kidogo kuna ile ngoma ya poa alioimba na marioo ebu itazame utajua ekweri❤❤❤❤
Unajua sanaaaaaaa
Levels on top
Country father💥💥💥💥💥
Game linaitaji swagger oya noma.sana hii❤❤
Noma.nanusu
Bibi ziwaaaaa😅
Msamiati kauwa mbaya sana@msamiati😂😂😂
Kubababake wekaweka weka umo tuu
Kubabake nomaa
Mnajuaaa sanaaaa
Nomaaaa hiii pin
Mmetishaaa wanyama wang
Ilishipa siopoa
Kipajii akijifchiiii
Bibi titi imewasha moto mpaka moto umeungua hii hatari sana 🌹
😂😂😂 hatari sana
Karibu mjini mpaka chozi qanlipia
Wanangu wa kyuba maisha nikupata bibi titi
Wanaweza hawa
Ngoma kali sana aseeh
Haina kufeliii
Nomaaaa
Uhakika mwingi saa
So powa wazeeee
No kufelooo
Bibi titi ni hatari sana
Watu wa maan kbc
Dua kila hatua bibi titi
Bibi ziwaaaa
Trap imenyooksaa sana
Huyi jaamaa anajiita msamiati.daah.anajua sana 😢😢
Kazingtia mzk❤🎉
Country wiz🔥
Wanjuaaaa😊
Lunyaa mjuajia kajua tenaa
HAWA MAJAMA.WANAJUA SANA
Kz wanayooo
Choo tunalipia
Kuna fujo.sana hum.ndaniii
Nomaa zaidi❤
Noma.sana
Tunaishi ndoto zetu🎉🎉🎉
Hiii jiwe zito sana
Bonge moja la ngomaaaa wazeee
Hili goma so powa wanangu
Nakubl san mzeee
Hili la sawa noma
Dude noma sana aseeh
Nakubl sana ngoma nzr
Alooh wizzy kwel father 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Wa bongo
Anabalaa sio poa
Moto sio wa nchi hii
Kipaji kipo kikubwa sana
Hatari sana asee
Naona hii imepenya mpaka mbari sana asee
Ngoma la kwenda asee
Kichup safiii