Vanillah feat Roma - Never Mind (Official Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 24 апр 2024
- Music by Vanillah featuring Roma performing "Never Mind" (c) 2024 Kings Music Records Label.
Stream/Download:linktr.ee/vanillahmusic
Listen to Vanillah on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/vanillahtz
Apple Music: / vanillah
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
Spotify:open.spotify.com/artist/2KFj5...
Connect with Vanillah on Social Media:
Instagram: / vanillahmusic
Twitter: / vanillahmusic_
+For More Information Booking Vanillah:
Contact:KingsmusicrecordsAfrica@gmail.com
Record Label:kingsmusicrecords.com/vanillah
©2024 Kings Music Records.All rights reserved.
#Vanillah #Roma #NeverMind - Видеоклипы
Watu hamna aibu kabisa inamaana hamjaona comment yangu mnipe like hat 5 khaaaaa😢😢
😂😂😂😂
😂😂iv mkipewa like mnapata nn
Naomben kusabcrbe account yang
Izo baba
@@TozzyCeth ww ni nani mwenzangu
Wakwanza Leonipeni like zangu Toka moro town
Kitambi bila pesa ni ugonjwa. Kama umesikia hii verse, Basi tujuane kwa ku like 😅😅
Hahahaah!!!Wakati Nasoma comment yako na iyo verse ndo ikafika bhn😂😂😂
Roma songs the best
SIJAWAHI COMMENT RUclips ILA HII NGOMA MWANANGU UNAJUA SANA ROMA KATISHA SANA UKIWA MBUNIFU HIVI MZEE TUTAKUONA KILELENI 👆
Hii itakua funga mwaka bila shaka 🎉🎉
Mwanza boi masupana wewe🎉
Unatafut job umekos unarud umechoka wengine wako hom michong inawafata aloo nakubal mme ua um
Jaman wanakings wenzang bado nyimbo tano tu tuzidondoshe tukae sisi namba moja on trending never mind lazima tufike namb moja toka way back sisi ni wakali yan hii vita tunaiweza
Nyimbo kali kaka zangu naomba collaboration ❤❤❤❤❤ fan's subscribe kwangu pia 💯💯💯💯💯💯🙏🙏🙏
Kama umeskia verse ya Roma gonga ata like bibi kameza shoka😂
Kwenye hiii 🎶 Ngoma imenigusa maisha yangu kipindi nipo najitafuta nipo home natafuta chakufanya alfu Kuna watu MTAANI utawasikia unaishi bila kazi wendo unaetuibia Yani ilimradi TU uwe na stress 😬😬 so big up my brother Vanillah ngoma kali na wanakitaani imetufikia. 👇
Yereee unyama huu hapa sasa
Roma Kazingua kinowmaa yaaaniii....
Mr Blue alikuwa ahusike ktk hii kitu cuz ANGERAP & ANGEIMBA
Ishi ukiwa unatambua kwamba, hata watu wanaotamani uteseke wapo pia kwenye kundi la watu wanaokusifia kila siku.
#Nevermind
#Spana
❤🔞🔥🔥🔥🔥
Ungetoa video moja kwa
Moja ingefika mbali sana
Unatafuta pesa unakesha kwa mwamposa. Ukizipata “bibi kameza shoka”.. ilimradi wakupe stress
Hii ngoma lazima itoboe
Wanao iaga dunia ni wale wanaokupenda wanakusaidia
Unawazika unalia kila ikija njaa unawamiss unalia 😢😢#izi verse ni za hazi ya nyota tano,gonga like kama umezikubali kama mimi
❤❤
Hii ngoma 💯 % kali sana ila Roma kanokumbusha Enzi za bwana misosi yan kapita kama BWANA MISOSI umo.............. @Roma salute
Dogo anajua mpaka anajua tena
@vanillah aka Spana we ni mtu na nusu kabisa basi ngoja tukuamini sasa kaka
naombeni like 7 basi msinipiteeeeeee😢😢😢
kama kweli unajuwa nyimbo bass huu ndoo wimbo wakukupa furaha pale unapopitia magumu ya maisha mpeni maua yake vanillah kwa kweli unajuwa
King's tuko nanyi bega kwa bega siku ii tuko bifuwa mbele tu
huyu jamaa mbona Kama anajua sana
Kali sana ushawezaaa
Ngoma kali sana kaka
Likes sasa jaman
Ujama fundi sana
Hili gomo nimesikiliza zaid ya mara 30 asee big up broo
Like zetu hapa wakulungwa
Best song ya 2024 nipeni like zangu na mimi
Mbona haifiki trending no 1 keep pushing people 😢😢
Vanillah anajua kuandika jamn sijaona hapa TZ na cjawahi ona kaandika nyimbo nikashindwa kuipenda unatisha sna mpka Roma umembadili rap stail yake we mwambaaa❤✊👍💪🦾
We ndo nembo ya label awo wengine Mungu awafanyie wepesi
Aiseee hii song ni Kama nimeimbiwa mimi walai ndo life life yangu vyenye iko this time 💔💔
Unakuja kwa kasi spana boy ongeza bidii tupo pamoja nawe
Jamani kama kweli umeupenda huu wimbo kama mimi mnipe like ata 30 guys
Haya nan anataka like , like hapa, nikulike 😅
Roma Yuko flexible Sana
Vanillah melodies Kali
Meseji Kali
Kazi nzuri
King's asahivi ni mwendo wa mawe tu ila vanillah huyu 🙌🙌🙌🙌🛠️
We vanilla ni moto mwengine
Tuacheni wivu jamaa fundi sana❤❤❤
Nilidhania K2GA atachukua mikoba ya King Kiba ila Vanilla ndio the next King Kiba mark ma words....
Spana wakaze wew ni mkali sana zaid ya wanavyokujua
Like zikiwa nyingi mnakipwa kumbe
Vanilla unajua nilijua kubana pua ni dili kumbe amna
Sasa hapa ndo nimethibitisha ukubwa wa vanilla kwenye uandishi 🙌🙌🙌
Goma letu bad lipo namb sita tuu halija panda namb moja jamani
Kmmmke huyu vanillah apewe idala 🔥
Ila usiwaze kujitoa Roho 🔥🔥🔥🙏💜👑
😅😅mbona comment zote mmeomba like???? Mimi siombi like ila ngoma Kali bhna daaah KINGS MUSIC FOR EVERYBODY LETSSSS GOOOOOOOOOOOOI
naikubal sana hii ngoma hata kabla ujaitoa yate💯
Jamani tufosini goma lipande liwe namb moja bhn mbn mnazingua bhn
Mziki mzuri uwa ujifichi kama unakubalina na mimi like apa twende sawa team mziki mzuri kingsmusic 🎧
Bonge moja la ngoma ujumbe mkubwa 🙌🙌vanilla
Sijuwi tuitaje hiii
Kali kinoma yanii dahh
Jmn comment kwa wingi wazee
Itoshe kusema vannila hamna Kama yeye kwasasa bongo
vanillah waye atari
Muda tayari achiago langu
Hujawahi kuharibu spana kila kazi 🔥🔥
Jamani naombeni likes zenu😭😭😭
Vanillah ni zaidi ya genius 🎵👑 hauna kazi ndio unayetuibia🤣🤣🤣
😂😂😂
🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌 vanila mmh hili n bangaaa noma saana
naomba like
Naomba iludiwe iludiwe kupigwa crown fm ni moto
Ila usiwaze kujitoa rohoooooooo 🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🤗
Ukizipata utasikia bibi kameza shoka😂😂
Good sana bos 🔥👑👑🔥🔥🔥 kweli kabisa tutafute mapene
Kama unaamini vanilla atakuwa super star mkubwa hii tz gonga like apa
Exactly
Bonge la Ngoma afu 🔥
Kama wewe ni shambiki wa king music really like hapa kwa kijana wetu big talented vanillah 🔧🔧
Ngoma kali sana sana. Big Up Roma ilikuwa ya kipekee
Bonge moja la sing asante sana vanil
🔧🔧 umeua
Like 10 tu. Nahitaji kuzipeleka ukweni
Spana aujai toa kaz mbovu unajua kinyama
Daaah nakumbuka like nyingi kupata ilikua moja na ta kwangu, plz bless me with many likes people
Kipara bila pesa ni kidonda, alieskia hii verse tujuane kwa likes
Kama unaamini Ngoma Kali ifanye ikae trending namba moja
Tukimsapoti vannila atafika mbali jamaa anajua sana
Spana Spana Spana huu ni zaidi ya motoooo🔥🔥🔥🔥
Kama unamkubali nipen like zangu hap😅😅😅
Spana unakaza kweli❤
Hiv kila mtu anakuja kuomba likes humu jamn😂😂
Gonga like kama umesikia mwondoko wa R.O.M.A
we wait for it from Kenya 🇰🇪
Definition of Good Music❤🎶
Kwani mbona kila mtu anaemia likes kuna nini wadau michongo hiyo tujuzane😂😂😂😂😂😂
Jaman kwa walio ielewa hii ngoma kama mim gonga like hapa
Spana. Noma hii
Never mind vanillah 💯💯💯💯💯
Tim kiba tukutane apa kwa like
Tushaskia wimbo cha ajabu eti mda bad
Mbona kila mtu anataka likes kumetokea nn leo😅😅😅😂😂🏃♂️🏃♂️
Dubwana flani hivi Spanaaaa..🦴
Njia za Mkatoliki ni mwendo sana hum ndan 🔥💯
Comment yako isipopata like usijewaza kujitoa roho, nevermind
Good Music
Lyrics 100%
Instrumental 100%
Melody's 100%
Roma kaua 100%
Like za Vanillah na Roma hapa tafadhal 🔥🔥
Good song
Naskiliza toka Moçambique naombeni likes zangu jamani