Sema vanillah mm nmemuelewa kimavaz alikuw dili akaona isiwe tabu tatizo lipo kw uyo mbavu mbili mtangazaji inaonyesha anadharau yaan ata kushow love kw masela hana mfyuu😏kwa jinsi tuh anavyoongea n kuwatizama maisha mchakato km alivyosema vanillah leo upo pale kesho unaendesha boda
Nimekua wa kwanza ku like video hi vanilla umetisha kwenye nimbo never Mind ukimushilikish roma
Mpeni like zake mzee roma kwa kusaport dogooo❤❤❤
Kaká Vanillah Wewe Noma Sana Mimi ninakukubali Tena Sana❤
Young king kiba vanilla
Sema Rish msafi unatishaaaa san mkubwa nakukubal san kiufupi unajuaaaa🔥
Vanillah Gooh mazeeh unapambana sana mkuu
Uyo mwanao kinyozi alievaa shati nyekundu, anaumwa na njaa kwakweli
Kichwa yake kama mchome mapovu
😂
Nimecheka sana 😂😂
Vanilla kwa sasa ni msanii hatari sana!kwanza kwa talent yake hakuna msanii yyte mkubwa Tanzania anaweza goma fanya nae ngoma
Hii Song Harmonize Angetia Sauti🙌🙌
Oii kaongea Fact mtupu fundi wa mzikii❤❤
Nimependa style
Vanilla your so hot bro. 2naitaji matisheti ya never mid
Oya wazee iyo beat apo punguzeni kidogo bac
vanessa sanaaa bado tunamdaaiii.yule mschana ni wa moto sana
Oy we rich msafi tunakuhitaji crown haraka iwezekanavyo
❤ vanilla
Hao jamaa hapo nyuma hawaja kula wanapiga miayo sana
Weee. fundi Nakubali.
Yo, did your see jama akiwa analamba makamasi akiwa anajingiza vidole ndani ya pua.?
Spana🎉
❤❤
Huyo richi bado sana kama hata kuwa makini atabaki kuwa wa kawaida mana kunawakati anauliza maswali ambayo yeye mwenyewe hajayaelewa
Rich bado sana kama umemzingatia Vanilla dizain kama amemkataa frani ivi inshort rich anahitaji kubadilika
Acha unafk mwamba anajuaa san sem mtot mdog huwez elewaaa tuachieeee sis😂
@@NordPictures012 watu waaina yako ndio munae wadanganya watu kabla kuwaambia ukweri munawasifia kwenye ujinga
Sema vanillah mm nmemuelewa kimavaz alikuw dili akaona isiwe tabu tatizo lipo kw uyo mbavu mbili mtangazaji inaonyesha anadharau yaan ata kushow love kw masela hana mfyuu😏kwa jinsi tuh anavyoongea n kuwatizama maisha mchakato km alivyosema vanillah leo upo pale kesho unaendesha boda
Vanillah ni hatarr xan tommy flavour yuko wap
Hili kopo najarb kuliludiy lengo nijuw nan kauuwa lakin wap naambuliy tu wote kuwakubal
Nani kaona kama zuchu kakatwa😂😂
🔥🔥🔥
Eti kiwalo kizur mapaka kimechafuka😅
Kuma nyie sehemu ya zuchu mmeona mkate siyo
Acha ajipiganie;kama jamaa uwezo anao
Kwenye ujenzi apo sasa ukiaza tu unitafute
mjomba Mpoto unatoka ulikuwa latatu me nshamaliza form four kweli we dogo
❤❤