ROMA MKATOLIKI AMFANYIA SURPRISE, AMPIGiA SIMU LIVE VANILLAH WA ALI KIBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 апр 2024
  • Facebook: / earadio
    Twitter: / earadiofm
    Subscribes: / @eastafricaradio
  • СпортСпорт

Комментарии • 39

  • @swala-official
    @swala-official Месяц назад +16

    Nimekua wa kwanza ku like video hi vanilla umetisha kwenye nimbo never Mind ukimushilikish roma

  • @majimoto2398
    @majimoto2398 Месяц назад +14

    Mpeni like zake mzee roma kwa kusaport dogooo❤❤❤

  • @user-cv5dc3br2q
    @user-cv5dc3br2q Месяц назад +6

    Kaká Vanillah Wewe Noma Sana Mimi ninakukubali Tena Sana❤

  • @user-gn3ph9dh3r
    @user-gn3ph9dh3r Месяц назад +9

    Young king kiba vanilla

  • @nagmsempirawillpower9283
    @nagmsempirawillpower9283 Месяц назад +6

    Vanilla kwa sasa ni msanii hatari sana!kwanza kwa talent yake hakuna msanii yyte mkubwa Tanzania anaweza goma fanya nae ngoma

  • @barakamunga5265
    @barakamunga5265 Месяц назад +8

    Uyo mwanao kinyozi alievaa shati nyekundu, anaumwa na njaa kwakweli

  • @NordPictures012
    @NordPictures012 Месяц назад +1

    Sema Rish msafi unatishaaaa san mkubwa nakukubal san kiufupi unajuaaaa🔥

  • @HEHE-BOY080
    @HEHE-BOY080 Месяц назад +1

    Oii kaongea Fact mtupu fundi wa mzikii❤❤

  • @user-by2gj2bw9f
    @user-by2gj2bw9f Месяц назад +6

    Vanilla your so hot bro. 2naitaji matisheti ya never mid

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h Месяц назад +7

    Huyo richi bado sana kama hata kuwa makini atabaki kuwa wa kawaida mana kunawakati anauliza maswali ambayo yeye mwenyewe hajayaelewa

    • @superwhitetz3258
      @superwhitetz3258 Месяц назад +2

      Rich bado sana kama umemzingatia Vanilla dizain kama amemkataa frani ivi inshort rich anahitaji kubadilika

    • @NordPictures012
      @NordPictures012 Месяц назад

      Acha unafk mwamba anajuaa san sem mtot mdog huwez elewaaa tuachieeee sis😂

    • @user-td4le3xf7h
      @user-td4le3xf7h Месяц назад +1

      @@NordPictures012 watu waaina yako ndio munae wadanganya watu kabla kuwaambia ukweri munawasifia kwenye ujinga

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx Месяц назад +1

    Vanillah Gooh mazeeh unapambana sana mkuu

  • @kingsmusicfans1416
    @kingsmusicfans1416 Месяц назад +5

    🔥🔥🔥

  • @hassanihussein2731
    @hassanihussein2731 Месяц назад +6

    Oya wazee iyo beat apo punguzeni kidogo bac

  • @mazikumaziku8434
    @mazikumaziku8434 Месяц назад +1

    Hii Song Harmonize Angetia Sauti🙌🙌

  • @BluebellOmar
    @BluebellOmar Месяц назад +2

    Yo, did your see jama akiwa analamba makamasi akiwa anajingiza vidole ndani ya pua.?

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 Месяц назад +4

    ❤❤

  • @user-qr6rr3vl7d
    @user-qr6rr3vl7d Месяц назад +1

    Sema vanillah mm nmemuelewa kimavaz alikuw dili akaona isiwe tabu tatizo lipo kw uyo mbavu mbili mtangazaji inaonyesha anadharau yaan ata kushow love kw masela hana mfyuu😏kwa jinsi tuh anavyoongea n kuwatizama maisha mchakato km alivyosema vanillah leo upo pale kesho unaendesha boda

  • @kingdeniscrocodile
    @kingdeniscrocodile 19 дней назад

    Nimependa style

  • @LeonardSinkala-sw4ne
    @LeonardSinkala-sw4ne Месяц назад +1

    ❤ vanilla

  • @user-or4lg6vk5c
    @user-or4lg6vk5c Месяц назад +5

    Weee. fundi Nakubali.

  • @salimNdendya
    @salimNdendya Месяц назад +1

    Oy we rich msafi tunakuhitaji crown haraka iwezekanavyo

  • @LaleAli-bw8do
    @LaleAli-bw8do Месяц назад +3

    Vanillah ni hatarr xan tommy flavour yuko wap

  • @benox5062
    @benox5062 Месяц назад +2

    Spana🎉

  • @bongetimwa4948
    @bongetimwa4948 Месяц назад +1

    Hao jamaa hapo nyuma hawaja kula wanapiga miayo sana

  • @YusuphNyenje
    @YusuphNyenje Месяц назад +3

    Hili kopo najarb kuliludiy lengo nijuw nan kauuwa lakin wap naambuliy tu wote kuwakubal

  • @faustinhommedetatnifasha9669
    @faustinhommedetatnifasha9669 Месяц назад +4

    Nani kaona kama zuchu kakatwa😂😂

  • @user-rx7te2px5d
    @user-rx7te2px5d Месяц назад +1

    Acha ajipiganie;kama jamaa uwezo anao

  • @uchebetz7284
    @uchebetz7284 Месяц назад +1

    Eti kiwalo kizur mapaka kimechafuka😅

  • @dizzomontana7219
    @dizzomontana7219 Месяц назад

    Kuma nyie sehemu ya zuchu mmeona mkate siyo

  • @OfficialKilinda
    @OfficialKilinda Месяц назад

    Kwenye ujenzi apo sasa ukiaza tu unitafute

  • @msakadoobongeladada-uh3sk
    @msakadoobongeladada-uh3sk Месяц назад

    mjomba Mpoto unatoka ulikuwa latatu me nshamaliza form four kweli we dogo

  • @clionmasha3328
    @clionmasha3328 Месяц назад

    vanessa sanaaa bado tunamdaaiii.yule mschana ni wa moto sana

  • @HidayaKarim-wy9yc
    @HidayaKarim-wy9yc Месяц назад

    ❤❤