Rapper SAIGON afunguka sababu ya KUACHA muziki na kuzama zaidi kwenye DINI ‘Nilifiwa na Mama, mke’

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Basaga Mp4 Ft One Six & Saigon - Kabla Sijafa (Official Video Lyrics)
    • Basaga Mp4 & Saigon ft...

Комментарии • 112

  • @nasserm.nasser5087
    @nasserm.nasser5087 3 месяца назад +5

    Mtu wangu mshikaji wangu sana, saleh saigon, tulikuwa pamoja almuntazir sekondari upanda na akina eliamani seushi, kwame ndulute, Hamis kika na imam Shafi
    Mimi ni mtu wako na nimefurahi kukuona ukiwa na afya na furaha pamoja na mitihani mingi uliopita
    Ukipenda nikontakt ndugu yangu. Mimi ni Nassor almaarufu donnas.
    Nimefurahi sana kukuona na furaha MashaAllah

  • @FrankMbuna
    @FrankMbuna 3 месяца назад +4

    Deplowmatz 'Dpt Crew' Founder's..shout out saigon,Dola Soul,Stiggo,Storm "Amour Shamte" rip to CrissMansa...

  • @ahmeddola4648
    @ahmeddola4648 3 месяца назад +3

    Ujumbe umefika ma kamanda Basaga + Saigon ! Endelea kujinowa na kuboresha kazi. Uko na mwalimu Bora kuliko wote, Masta Saigon ! Big up Sagg represent the Real Hip Hop. Pamoja sana, Balozi Dola

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  3 месяца назад

      Pamoja sana Balozi

    • @khanafrica22
      @khanafrica22 3 месяца назад

      #Balozi🎉

    • @RaiderTube
      @RaiderTube 2 месяца назад

      Wengi walikuwepo sasahivi wako wapi, balozi bado nipo ninapanda kwenye chart...

  • @contempo_builders
    @contempo_builders 3 месяца назад +7

    Ooooooi oooooiiiii................ Basaga ana nidhamu sana.

  • @josephjohn8363
    @josephjohn8363 3 месяца назад +15

    Tbway360 role model wake atakua ni huyu jamaa aisee yaani nikimsikiliza Broo Saigon na sauti ya Tbway naona zinafanana sana.

    • @magnuslunyungu4894
      @magnuslunyungu4894 3 месяца назад

      Kuna kipindi walifanya kipind kimoja, ilikuwa kutafuta vipaji vya makundi kwahyo upo sawa kabsa

    • @justinesonga926
      @justinesonga926 3 месяца назад +1

      Yeah uko sahihi

    • @ShedrackSylvester-yl6be
      @ShedrackSylvester-yl6be 3 месяца назад

      Dance miamia hy oiii ebwana daah

    • @pesaspy_tv
      @pesaspy_tv 3 месяца назад +1

      Basaga anaongeaje huyu

    • @eddytheblayze3810
      @eddytheblayze3810 3 месяца назад

      Dance mia mia alianza Saigon alikua anakichafua mbayaa

  • @gambajunior138
    @gambajunior138 3 месяца назад +2

    Namna Saigon anavyosimulia, najifunza vingi hapo.. 🏆🏆

  • @craftmediatz
    @craftmediatz 3 месяца назад +3

    Saigon my brother you need to make your own platform, you have a very strong background i can say rich background and one of the realest hip hop mc so make it happen youtube is one thumb away

  • @juniorsonofgod5675
    @juniorsonofgod5675 3 месяца назад +1

    Nilikua natamani sana muone huyu jamaa 😢... Nilijua atakua umezeeka na amechoka mbaya kweli... Kumbe Ndo kwanza kijana... Hongera sana broo Saigon🎉

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 3 месяца назад +2

    Jamaa ndo waanzilishi wa hiphop bongo miaka ya tisini saigon na Ana slang kali sana

  • @EmbassyofTheStateofPalestinein
    @EmbassyofTheStateofPalestinein 3 месяца назад +8

    maandalizi yanahitaji kwa hakika tujiandae, katika kila mtu ambaye ajuae yupo mwenye anayejua juu zaidi yake yupo ambaye ajuaye

  • @Chelar_haule
    @Chelar_haule 3 месяца назад +3

    Umenikumbusha enzi za hip hope base kipindi icho! Watoto wa 2000 hawawez elewa ilo pindi oyaaa sio powaa kabsa! Ni real hip hop segment kibao za kinyama

  • @robertmalale9097
    @robertmalale9097 3 месяца назад +1

    Bring back Saigon tenaaa tunakuombaa sanaa kaka SKY
    yanii interview inaishaa na unaonaa kabisaaa bado ile kiuu ya kupata madiniii bado ipo

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 3 месяца назад +4

    Thanks For the Looove❤

  • @almaxmovies
    @almaxmovies 3 месяца назад +6

    DAMN! WE NEED ANOTHER EPISODE FOR SAIGON

  • @Chemba67
    @Chemba67 3 месяца назад

    Great to see Saigon looks health and comfortable💪

  • @zulfikakalumba1977
    @zulfikakalumba1977 3 месяца назад +1

    Sky,Saigon and Basaga good interview

  • @DavidMwakilembe
    @DavidMwakilembe 3 месяца назад +1

    dah huyu jamaa yuko humble sana

  • @samwelmasssawe1767
    @samwelmasssawe1767 3 месяца назад

    Ebhana Basaga nina tracks zako kibao, ikiwemo wanaume wa dar ila sijawahi kujua ndio wewe. keep goin bruh unajua sana oii

  • @Kiggy22
    @Kiggy22 3 месяца назад

    Duh asante sana kumleta Saigon, is the best rapper mate

  • @SuddyElite-pq5ur
    @SuddyElite-pq5ur 3 месяца назад +4

    We saigon si ulisema umeacha mziki na umahamia kwenye dini mpaka ukawa tunakuona tv imaan ukitoa da'awa maeneo mbalimbali nchini kama bukoba na kwingineko?. KIMEKUKUTA KITU GANI TENA???!!!!!

    • @fauzishabani2622
      @fauzishabani2622 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @ayk20
      @ayk20 3 месяца назад

      Umemsikiliza vizuri?ana rap nn?kwan kwenye dini hakuna kuimba?inategemea unaimba nn

  • @brightvatta284
    @brightvatta284 3 месяца назад +2

    Saigon respect brother

  • @kingnyamafutv8646
    @kingnyamafutv8646 3 месяца назад +1

    Nimefurahi sana kusikia amepiga msamba

  • @nurdinkarata7985
    @nurdinkarata7985 3 месяца назад

    Huyo bro ni 🔥 tumemiss kazi zake

  • @nasserm.nasser5087
    @nasserm.nasser5087 3 месяца назад

    Hiyo finishing na freestyle ndio nimekukumbuka sana saleh Mzee.
    Nitafute mimi ni don Nas tulikuwa wote almis..Enzi hizo kila hatua ulikuwa ukipiga mistari kinoma

  • @gnmbi
    @gnmbi 3 месяца назад

    Oii oii kalinye kalinye episode

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 3 месяца назад +1

    Huyu jamaa ni mwamba kabisa yan ooi

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh 3 месяца назад

    Saigon kichwaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥 🔥🔥🔥

  • @Chemba67
    @Chemba67 3 месяца назад

    My dream collabo/Saigon ft. Brian Simba, Imam Abbas......

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 3 месяца назад +1

    Sijui Saigon nini kilimuangusha alitakiwa awe mbali sana kama mwenzie balozi dola soul

    • @ce-08
      @ce-08 3 месяца назад

      #ahmeddola4648

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 3 месяца назад

      Sahv ni amekuwa mtu wa ibada

    • @eddytheblayze3810
      @eddytheblayze3810 3 месяца назад

      Skiza Tena pale alipoongelea familia utapata picha flan

    • @HaikaFredrick
      @HaikaFredrick 3 месяца назад

      Kwani Balozi yuko wapi?

    • @jacksonmsendo3478
      @jacksonmsendo3478 3 месяца назад

      @@HaikaFredrick marekani kitambo sana

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 3 месяца назад

    Ebhana daaah kalinya kali

  • @mossesmungure8982
    @mossesmungure8982 3 месяца назад

    Oooi.... Ajiiib

  • @abuunyalioto1752
    @abuunyalioto1752 3 месяца назад

    Oi oi Saigon namkubali sana huyu mwana

  • @SululuZungu
    @SululuZungu 3 месяца назад

    Bg time my g saigon

  • @justcruize
    @justcruize 3 месяца назад

    noma sana kkmk this is real hip hop

  • @Vichuda_Tz
    @Vichuda_Tz 3 месяца назад

    Kabsa Yani, Malejendi Tukutane hapa

  • @aligomatumla2930
    @aligomatumla2930 3 месяца назад

    Oioiooooi shikamo bro

  • @AwardBillb000ard
    @AwardBillb000ard 3 месяца назад +1

    mi sio mzee asee lakini kusema ukweli leo ndo napata picha kwamba SAIGON na BALOZI walikuwa kundi moja DIPLOWMATS dah asee jamaa hawa wameanza rap mi sijazaliwa

  • @Rakim-y2z
    @Rakim-y2z 3 месяца назад +1

    Huyu kuna kipindi nilisikia kwenye kuitumikia dini vp..

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 3 месяца назад

    Arudi Saigon kwa ajiri ya historia ya kundi lao, itapendeza

  • @Selemanian
    @Selemanian 3 месяца назад

    Mi nilijua labda ana miaka 60 something kumbe bado kijana tuu

  • @AdamCharles-cc8vr
    @AdamCharles-cc8vr 3 месяца назад +4

    Diplomats.... Ana slaing imenyoooka sanaaaa

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh 3 месяца назад

    Hujumaaa noma hanashobo na kiswakinge

  • @mlamytz
    @mlamytz 3 месяца назад +1

    Ooi kuna ile rudia ile ngoma noma sana

  • @alisaid5392
    @alisaid5392 3 месяца назад

    Huyu ndio msanii.

  • @Mawe156
    @Mawe156 3 месяца назад

    Namkubal sana ungemuuliz Jin lake Lina maana gan. Jamaa namkubal sana

  • @SipeKato
    @SipeKato 3 месяца назад

    Saigon Karne Karne dooh ulikuwaa mkali kipindi Cha nyumaa uliendaa wapi uonekanagii

  • @nicholouspaschal3586
    @nicholouspaschal3586 3 месяца назад

    Oooooooi...... oooooooi

  • @mohamedhamisi9766
    @mohamedhamisi9766 3 месяца назад

    Oiiiiii

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 3 месяца назад +3

    kwani uyo saigon azeekagi??

    • @timothymikola2317
      @timothymikola2317 3 месяца назад +1

      Sasa hivi ana miaka 48

    • @seifmiraji43
      @seifmiraji43 3 месяца назад

      Hehehe hii comment ndo nilokua naitafuta kweli huyo mchizi toka mm niko dogo yy yuko hivyo hivyo hadi saiv niko na 33 yy bado yuko hivyo hivyo

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh 3 месяца назад

    Lakini angekuwa mwenzangu namimi yes no you no zakutoshaaa

  • @majaliwaandulile8379
    @majaliwaandulile8379 3 месяца назад

    Ooiii ooiii

  • @fauzishabani2622
    @fauzishabani2622 3 месяца назад

    saigon

  • @webstersinje7712
    @webstersinje7712 3 месяца назад

    Simulizi na Sauti zimepata msimuliaji yaani burudani na maarifa mengi....Kunta...Kinte.

  • @augustinojohn9481
    @augustinojohn9481 3 месяца назад

    👊👊👊

  • @makukamakaveli6581
    @makukamakaveli6581 3 месяца назад

    Bro mtafutie session huyo jamaa ana madini mengi sana ya kutupa...Diplomat and Kwanza Unit natamani sana kusikia story zao na wapo wapi kwa sasa...very interesting to hear abt them

  • @khalidibero
    @khalidibero 3 месяца назад

    Saigoni anatakiwa awe na account za mitandao ya kijamii ili angalau mashabiki zake wawe karibu nae.

  • @stanslauschatata3483
    @stanslauschatata3483 3 месяца назад +1

    watt wa buku mbili hawawezi kusikiliza hii interview

    • @kingtoldipset7050
      @kingtoldipset7050 3 месяца назад

      😂😂😂😂😁😁😁 kabisaa hawaelewi na hawataelewa hadi waeleweshwe

  • @editorfrank7471
    @editorfrank7471 3 месяца назад

    Huyu ndoaliyekuwaga anasemaga eee bwanaa daah

  • @ikabako2454
    @ikabako2454 3 месяца назад

    Mtu akifa anaweza akazikwa na amapiano pia 😅

  • @saidulaya7308
    @saidulaya7308 3 месяца назад +1

    EBWANA DAAAH OIIIII😂😂

  • @alexanderhaule7667
    @alexanderhaule7667 3 месяца назад

    Saigon akutanishwe na zombie , kuna kitu nakiona.

  • @SalimSalim-ls9lg
    @SalimSalim-ls9lg 3 месяца назад

    Ajeeb sana

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 3 месяца назад

    Hahahaha Saigon ukiongea tu naona kama unarap tu

  • @trex6661
    @trex6661 3 месяца назад

    Huyo msanii mwengine ni motivational speaker 😂😂😂😂

  • @timothykaiza327
    @timothykaiza327 3 месяца назад

    Huyo jamaa wa kikofia cha yanga linasifa 😂😂😂

    • @bongomastory791
      @bongomastory791 3 месяца назад +4

      Watoto WA 2000 hamumjui Saigon

    • @mutaji5454
      @mutaji5454 3 месяца назад

      Saigon uyo ebwana dah ebwana oi oi😂

    • @emmanuelmchomvu2676
      @emmanuelmchomvu2676 3 месяца назад +3

      Huwez kumjua kma umezaliwa buku 2

    • @FrankMbuna
      @FrankMbuna 3 месяца назад +2

      Uyo ndo miongoni mwa walioweka msingi wa hii industry..so pay some respect..soigon yupo so knowledgeable sio sifa mdogo wangu..soma,jifunze..ktk maisha yako..

    • @seifmiraji43
      @seifmiraji43 3 месяца назад

      Huyo ni miongoni mwa waanzilishi wa hip hop miaka ya 90

  • @josephdonald6199
    @josephdonald6199 3 месяца назад

    Rudia...😂😂

  • @bakarikilangilo5197
    @bakarikilangilo5197 3 месяца назад +2

    Huyu dogo mbona Kama miyeyusho flan hivi. Yupo very slow Hana michakato ya ki Hip Hop, Hana zile swags Kama bro ake

    • @jacksonmsendo3478
      @jacksonmsendo3478 3 месяца назад +1

      Na ukweli uyo si ndugu yake wanafamiana tu

    • @abuubaqr5808
      @abuubaqr5808 3 месяца назад +3

      Michakato ya kihiphop ni ipi?? 😂😂msela anaheshima na nidhamu unataka afanye fujo?

    • @trex6661
      @trex6661 3 месяца назад +3

      Jamaa Jamaa ni motivational speaker speaker kuna kitu hakiko sawa kichwan😂😂😂

    • @peteremmanuelymatwimatwiem3258
      @peteremmanuelymatwimatwiem3258 3 месяца назад +1

      ​@@trex6661una matatizo sana wew Huyu mpole tuna Ana eshima sana

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 3 месяца назад +2

    Jamaaa alikuja msikitini kwetu mbezi beach na mashekhe katoa mawaidha ni balaa utafikir idhaa ya kiswahili ya DW

  • @ksonrap
    @ksonrap 3 месяца назад +2

    Oiiiioii Legendary Fikra Pana 🫡💎🧠

  • @webstersinje7712
    @webstersinje7712 3 месяца назад

    Jamaa pekee kuhusu Saigon sijawahi kumuona kichwa wazi lazima ukute kafaa kofia,kitambaa n.k kichwani mwake....Kunta...Kinte.

  • @aaronjohn416
    @aaronjohn416 3 месяца назад

    Brother sky kama itakupendeza mpe ajira Saigon kwenye SNS awe na session yake arudishe kipindi cha hip hop Base

    • @mohamedhamisi9766
      @mohamedhamisi9766 3 месяца назад +1

      Daah umeongea kikubwa sana kweli tunamiss sana hip hop base itafanya hata hip hop iwe still