Mtu wangu mshikaji wangu sana, saleh saigon, tulikuwa pamoja almuntazir sekondari upanda na akina eliamani seushi, kwame ndulute, Hamis kika na imam Shafi Mimi ni mtu wako na nimefurahi kukuona ukiwa na afya na furaha pamoja na mitihani mingi uliopita Ukipenda nikontakt ndugu yangu. Mimi ni Nassor almaarufu donnas. Nimefurahi sana kukuona na furaha MashaAllah
Ujumbe umefika ma kamanda Basaga + Saigon ! Endelea kujinowa na kuboresha kazi. Uko na mwalimu Bora kuliko wote, Masta Saigon ! Big up Sagg represent the Real Hip Hop. Pamoja sana, Balozi Dola
Saigon my brother you need to make your own platform, you have a very strong background i can say rich background and one of the realest hip hop mc so make it happen youtube is one thumb away
Umenikumbusha enzi za hip hope base kipindi icho! Watoto wa 2000 hawawez elewa ilo pindi oyaaa sio powaa kabsa! Ni real hip hop segment kibao za kinyama
We saigon si ulisema umeacha mziki na umahamia kwenye dini mpaka ukawa tunakuona tv imaan ukitoa da'awa maeneo mbalimbali nchini kama bukoba na kwingineko?. KIMEKUKUTA KITU GANI TENA???!!!!!
Hiyo finishing na freestyle ndio nimekukumbuka sana saleh Mzee. Nitafute mimi ni don Nas tulikuwa wote almis..Enzi hizo kila hatua ulikuwa ukipiga mistari kinoma
mi sio mzee asee lakini kusema ukweli leo ndo napata picha kwamba SAIGON na BALOZI walikuwa kundi moja DIPLOWMATS dah asee jamaa hawa wameanza rap mi sijazaliwa
Bro mtafutie session huyo jamaa ana madini mengi sana ya kutupa...Diplomat and Kwanza Unit natamani sana kusikia story zao na wapo wapi kwa sasa...very interesting to hear abt them
Uyo ndo miongoni mwa walioweka msingi wa hii industry..so pay some respect..soigon yupo so knowledgeable sio sifa mdogo wangu..soma,jifunze..ktk maisha yako..
Mtu wangu mshikaji wangu sana, saleh saigon, tulikuwa pamoja almuntazir sekondari upanda na akina eliamani seushi, kwame ndulute, Hamis kika na imam Shafi
Mimi ni mtu wako na nimefurahi kukuona ukiwa na afya na furaha pamoja na mitihani mingi uliopita
Ukipenda nikontakt ndugu yangu. Mimi ni Nassor almaarufu donnas.
Nimefurahi sana kukuona na furaha MashaAllah
Deplowmatz 'Dpt Crew' Founder's..shout out saigon,Dola Soul,Stiggo,Storm "Amour Shamte" rip to CrissMansa...
Ujumbe umefika ma kamanda Basaga + Saigon ! Endelea kujinowa na kuboresha kazi. Uko na mwalimu Bora kuliko wote, Masta Saigon ! Big up Sagg represent the Real Hip Hop. Pamoja sana, Balozi Dola
Pamoja sana Balozi
#Balozi🎉
Wengi walikuwepo sasahivi wako wapi, balozi bado nipo ninapanda kwenye chart...
Ooooooi oooooiiiii................ Basaga ana nidhamu sana.
Tbway360 role model wake atakua ni huyu jamaa aisee yaani nikimsikiliza Broo Saigon na sauti ya Tbway naona zinafanana sana.
Kuna kipindi walifanya kipind kimoja, ilikuwa kutafuta vipaji vya makundi kwahyo upo sawa kabsa
Yeah uko sahihi
Dance miamia hy oiii ebwana daah
Basaga anaongeaje huyu
Dance mia mia alianza Saigon alikua anakichafua mbayaa
Namna Saigon anavyosimulia, najifunza vingi hapo.. 🏆🏆
Saigon my brother you need to make your own platform, you have a very strong background i can say rich background and one of the realest hip hop mc so make it happen youtube is one thumb away
in support
Nilikua natamani sana muone huyu jamaa 😢... Nilijua atakua umezeeka na amechoka mbaya kweli... Kumbe Ndo kwanza kijana... Hongera sana broo Saigon🎉
Jamaa ndo waanzilishi wa hiphop bongo miaka ya tisini saigon na Ana slang kali sana
maandalizi yanahitaji kwa hakika tujiandae, katika kila mtu ambaye ajuae yupo mwenye anayejua juu zaidi yake yupo ambaye ajuaye
Mama rudia
Mama rudia
Umenikumbusha enzi za hip hope base kipindi icho! Watoto wa 2000 hawawez elewa ilo pindi oyaaa sio powaa kabsa! Ni real hip hop segment kibao za kinyama
Bring back Saigon tenaaa tunakuombaa sanaa kaka SKY
yanii interview inaishaa na unaonaa kabisaaa bado ile kiuu ya kupata madiniii bado ipo
Thanks For the Looove❤
DAMN! WE NEED ANOTHER EPISODE FOR SAIGON
Great to see Saigon looks health and comfortable💪
Sky,Saigon and Basaga good interview
dah huyu jamaa yuko humble sana
Ebhana Basaga nina tracks zako kibao, ikiwemo wanaume wa dar ila sijawahi kujua ndio wewe. keep goin bruh unajua sana oii
Duh asante sana kumleta Saigon, is the best rapper mate
We saigon si ulisema umeacha mziki na umahamia kwenye dini mpaka ukawa tunakuona tv imaan ukitoa da'awa maeneo mbalimbali nchini kama bukoba na kwingineko?. KIMEKUKUTA KITU GANI TENA???!!!!!
😂😂😂😂😂😂
Umemsikiliza vizuri?ana rap nn?kwan kwenye dini hakuna kuimba?inategemea unaimba nn
Saigon respect brother
Nimefurahi sana kusikia amepiga msamba
Huyo bro ni 🔥 tumemiss kazi zake
Hiyo finishing na freestyle ndio nimekukumbuka sana saleh Mzee.
Nitafute mimi ni don Nas tulikuwa wote almis..Enzi hizo kila hatua ulikuwa ukipiga mistari kinoma
Oii oii kalinye kalinye episode
Huyu jamaa ni mwamba kabisa yan ooi
Saigon kichwaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥 🔥🔥🔥
My dream collabo/Saigon ft. Brian Simba, Imam Abbas......
Sijui Saigon nini kilimuangusha alitakiwa awe mbali sana kama mwenzie balozi dola soul
#ahmeddola4648
Sahv ni amekuwa mtu wa ibada
Skiza Tena pale alipoongelea familia utapata picha flan
Kwani Balozi yuko wapi?
@@HaikaFredrick marekani kitambo sana
Ebhana daaah kalinya kali
Oooi.... Ajiiib
Oi oi Saigon namkubali sana huyu mwana
Bg time my g saigon
noma sana kkmk this is real hip hop
Kabsa Yani, Malejendi Tukutane hapa
Oioiooooi shikamo bro
mi sio mzee asee lakini kusema ukweli leo ndo napata picha kwamba SAIGON na BALOZI walikuwa kundi moja DIPLOWMATS dah asee jamaa hawa wameanza rap mi sijazaliwa
Huyu kuna kipindi nilisikia kwenye kuitumikia dini vp..
Arudi Saigon kwa ajiri ya historia ya kundi lao, itapendeza
Mi nilijua labda ana miaka 60 something kumbe bado kijana tuu
Diplomats.... Ana slaing imenyoooka sanaaaa
Childhood yake aliishi nigeria huyu
Kaishi UK
Shule anayo halafu mhuni freestyle zinakuja tuu
Hatari sana huyo mtuu
Hujumaaa noma hanashobo na kiswakinge
Ooi kuna ile rudia ile ngoma noma sana
Huyu ndio msanii.
Namkubal sana ungemuuliz Jin lake Lina maana gan. Jamaa namkubal sana
Saigon Karne Karne dooh ulikuwaa mkali kipindi Cha nyumaa uliendaa wapi uonekanagii
Oooooooi...... oooooooi
Oiiiiii
kwani uyo saigon azeekagi??
Sasa hivi ana miaka 48
Hehehe hii comment ndo nilokua naitafuta kweli huyo mchizi toka mm niko dogo yy yuko hivyo hivyo hadi saiv niko na 33 yy bado yuko hivyo hivyo
Lakini angekuwa mwenzangu namimi yes no you no zakutoshaaa
Ooiii ooiii
saigon
Simulizi na Sauti zimepata msimuliaji yaani burudani na maarifa mengi....Kunta...Kinte.
👊👊👊
Bro mtafutie session huyo jamaa ana madini mengi sana ya kutupa...Diplomat and Kwanza Unit natamani sana kusikia story zao na wapo wapi kwa sasa...very interesting to hear abt them
Saigoni anatakiwa awe na account za mitandao ya kijamii ili angalau mashabiki zake wawe karibu nae.
Ningumu sana ila Tuombe mungu
watt wa buku mbili hawawezi kusikiliza hii interview
😂😂😂😂😁😁😁 kabisaa hawaelewi na hawataelewa hadi waeleweshwe
Huyu ndoaliyekuwaga anasemaga eee bwanaa daah
Yeah ni yeye
Mtu akifa anaweza akazikwa na amapiano pia 😅
EBWANA DAAAH OIIIII😂😂
Saigon akutanishwe na zombie , kuna kitu nakiona.
Ajeeb sana
Hahahaha Saigon ukiongea tu naona kama unarap tu
Huyo msanii mwengine ni motivational speaker 😂😂😂😂
Huyo jamaa wa kikofia cha yanga linasifa 😂😂😂
Watoto WA 2000 hamumjui Saigon
Saigon uyo ebwana dah ebwana oi oi😂
Huwez kumjua kma umezaliwa buku 2
Uyo ndo miongoni mwa walioweka msingi wa hii industry..so pay some respect..soigon yupo so knowledgeable sio sifa mdogo wangu..soma,jifunze..ktk maisha yako..
Huyo ni miongoni mwa waanzilishi wa hip hop miaka ya 90
Rudia...😂😂
Huyu dogo mbona Kama miyeyusho flan hivi. Yupo very slow Hana michakato ya ki Hip Hop, Hana zile swags Kama bro ake
Na ukweli uyo si ndugu yake wanafamiana tu
Michakato ya kihiphop ni ipi?? 😂😂msela anaheshima na nidhamu unataka afanye fujo?
Jamaa Jamaa ni motivational speaker speaker kuna kitu hakiko sawa kichwan😂😂😂
@@trex6661una matatizo sana wew Huyu mpole tuna Ana eshima sana
Jamaaa alikuja msikitini kwetu mbezi beach na mashekhe katoa mawaidha ni balaa utafikir idhaa ya kiswahili ya DW
Oiiiioii Legendary Fikra Pana 🫡💎🧠
Jamaa pekee kuhusu Saigon sijawahi kumuona kichwa wazi lazima ukute kafaa kofia,kitambaa n.k kichwani mwake....Kunta...Kinte.
Brother sky kama itakupendeza mpe ajira Saigon kwenye SNS awe na session yake arudishe kipindi cha hip hop Base
Daah umeongea kikubwa sana kweli tunamiss sana hip hop base itafanya hata hip hop iwe still