Rapcha ft Vanillah - 40 Missed Calls (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 дек 2023
  • STREAM/DOWNLOAD TTTV2: linktr.ee/rapcha
    LYRICS
    Someone is playing with me
    kuna mtu ananichezea
    Someone is playing with me
    Nashuka kiuchumi ndoa yangu inachafuka
    Kuna mchezo unaendelea they are playing with me
    Muda mchache kwenye ndoa maumivu yamenizidia
    Huu ni mwezi wa tano unaingia
    Nkitazama muda ni Saa sita usiku,
    baada ya kumtafuta sana
    huyu mwenzangu ndo nyumbani anaingia
    Niambie umetoka wapi Salma
    Hii kesi isidingo si tumetoka kuisolve jana
    Isingefika 40 missed calls ka ulikua kwa mama
    Nakuambiaga huniheshimu Salma unanidharau sana
    story zako mjini naambiwa
    Hamna kitu kinaniuma kama habari kwamba mi namegewa
    Unanipandisha hasira
    navokuambia ukweli afu unanijibu kwa kufoka
    kama unaonewa Hebu Leta simu yako, fungua!!!
    Salma usinipandishie, icho kiburi chako ntakupasua
    Naichukua nianze kuipekua akaja kuikwapua
    Akili ikaflip, gun nkanyanyua
    Salma Kanijia juu, Nimechoka maisha ya kubaniwa
    Bora tu tuachane umezidi kunitishia
    Story za malaya wako nikikuambia unajifanya mkali
    Kama we kidume fyatua..
    Gun shots!!
    [Chorus: Vanilla]
    Nilikupenda mpaka kufuru
    nikawa nawaza jidhuru
    ukiwa mbali
    Tena nikakupa uhuru
    na ukashindwa shukuru
    ikawa ndo dosari
    Ukaenda ku date na wale
    Mi wakuwa nasota we ule
    Na mie kukuacha siwezi
    Ni bora dunia tuiache aah
    [Verse 2: Rapcha]
    Fahamu zinarudi akili imeduaa
    Salma anateseka chini baada ya risasi nne kumvaa
    Hofu kubwa inaniingia nikiangalia
    Damu yake inavyonililia chini inatapakaa
    Ndo Idea ya kukamatwa ikanijia
    Nikajua haitopita muda mapolisi watanitimbia
    Ila nguvu zote zishaniishia
    Nikiumia kuona safari yetu ya mapenzi ilipokwamia
    Dhambi inaanza kunitafuna
    Natamani nirudishe muda nyuma niongee na Salma
    Najiona mnafki kwa kumwaga damu
    kwa makosa ambayo moyoni najua kuwa na mimi nafanya
    Itanitesa maisha yangu yote hii memory
    Ego zetu zimefanya tumeharibu destiny
    Vita na Insecurities hakukuwa na honesty
    Na loyalty marafiki wakatunyima privacy
    litimie agano
    Nahisi Mungu ametuchagua mi na wewe tuwe mfano
    Salma, hukustahili hii adhabu ninakiri
    Naomba kabla haujafika mbali nisubiri
    Gun shot!!
    [Vanilla]
    Roho yangu inauma
    Kosa lako kuzichezea hisia zangu Inamaana hukuona
    Nilivyopambana kuziheshimu hisia zako? Aaah
    [Chorus]
    Nilikupenda mpaka kufuru
    nikawa nawaza jidhuru
    ukiwa mbali
    Tena nikakupa uhuru
    na ukashindwa shukuru
    ikawa ndo dosari
    Ukaenda ku date na wale
    Mi wakuwa nasota we ule
    Na mie kukuacha siwezi
    Ni bora dunia tuiache aah
    Audio produced by: / papa_tz
    Mixing and Mastering by: / yogobeats
    Join Our Family:
    / rapcha_tz
    / rapcha_tz
    / rapcha_tz
    #rapcha #vanillah #40missedcalls
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 2,4 тыс.

  • @user-cj5lo6pw2r
    @user-cj5lo6pw2r 6 месяцев назад +1131

    Kuna mda nshawahi kusema kwamba rapcha ni kijana ambaye hatumii nguvu nyingi kwenye kazi lakini akifanya anafanya kweli📌📌❤️Kama unaniunga mkono please twende pamoja

    • @farajaishebabi8089
      @farajaishebabi8089 6 месяцев назад +12

      Naunga mikono sio mikono mmoja..Rapcha ni fire

    • @goodluckmolleltennis5980
      @goodluckmolleltennis5980 6 месяцев назад +11

      Ni rapcha kaka not lapcha..and your right, anajua sana

    • @jonster7973
      @jonster7973 6 месяцев назад +5

      Lapcha😂😂

    • @saidmadimba6098
      @saidmadimba6098 6 месяцев назад +3

      Is true

    • @DanielChaula
      @DanielChaula 6 месяцев назад +3

      King 👑👑👑👑👑 rapcha 😅😅🎉🎉❤❤❤

  • @hellensizya7706
    @hellensizya7706 6 месяцев назад +13

    Wanawake tunazidi midomo sana, mwanaume unaona umemchoka bora uondoke , mwanaume kaumbwa kumiliki lazima ukiwa nae ujimilikishe shuka chini jinyenyekeze onyesha una adabu mbona maisha yataenda vizur, tujifunze kuheshim wanaume zetu maana tumeumbwa tutawaliwe sio tujitawale iko iyo maandiko yanasema.. sad ending though too bada jmn tusifikie uku. Rapcha Master j zaylisaa big up🙏

    • @vinchystyles1675
      @vinchystyles1675 6 месяцев назад

      Real talk!

    • @claudebitangalo4459
      @claudebitangalo4459 6 месяцев назад +1

      Thanks mamy, nyumba nyingi Zina vujika kwa hilo, yes Kuna wengine wavulana Wana kuwa too much, but mkee ana takiwa kutizama njisi yaku endelesha Familia

    • @bandolatztrump2470
      @bandolatztrump2470 5 месяцев назад

      Ahsante

  • @aggreysallah6905
    @aggreysallah6905 6 месяцев назад +11

    "Najiona mnafki Kwa kumwaga Damu Kwa makosa ambayo moyoni najua na Mimi nafanya" 😢 ..... Hongera sna #Rapcha nyimbo nzuri sanaa

  • @mashairiyamachinga2379
    @mashairiyamachinga2379 6 месяцев назад +15

    Hii ni historia ya Saidi .... kule Mwanza kama unakubaliana na mimi gonga like

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 6 месяцев назад +11

    Once again...!!I ll never force my children to follow the same artist I like.The will have the total freedom to choose between following RAPCHA or leaving in my house..PURE TALENT EVER SEEN

  • @saxprince10
    @saxprince10 6 месяцев назад +6

    TRUE STORY in MWANZA axeeeeee!!!!! Unajuaa kutupa Storey ❤

  • @MWALIMU21
    @MWALIMU21 6 месяцев назад +7

    Sema ukiachana na miatari. Embu mchek masta j alivovaa uhusika. Oya wee masta igweeee🔥🔥🔥

  • @JosephDeoo-by7pe
    @JosephDeoo-by7pe 6 месяцев назад +7

    SIO KAWAIDA YANGU KUKOMENT KWENYE RUclips LAKIN NAOMBA NISEME KUNA NYAZIFA ZA SANAA WAMEPEWA WATU AMBAOO HAWANA UTASHI. MASTER J NA MAJANI NYIE NI ZAID YA BARAZA LA SANAA. RESPECT LEGEND🎉

    • @Ellyne001
      @Ellyne001 6 месяцев назад

      Uwakikaa kiogozii

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk 6 месяцев назад +9

    Ambao tume rudia zaidi ya mala 3 huu wimbo naomba tujuane....🙏

  • @johnnyoni6947
    @johnnyoni6947 6 месяцев назад +6

    Master Jay (Joachim Kimario) ameua sana kwenye acting. I never thought he could be this best in acting. He needs a role in our movie industry

  • @255Digitalizeit
    @255Digitalizeit 6 месяцев назад +9

    Video imefufua wimbo masterjay Ametendea haki uhusika majonzi yanarudi juu ya tukio la mwanza haya hebu namimi nipeni like sijui hata zinakazi gani ila LIKES TU

    • @Ellyne001
      @Ellyne001 6 месяцев назад

      😂😂😂 ila likee

  • @Rukwembe7712
    @Rukwembe7712 3 месяца назад +9

    Nitahakikisha 40 missed calls inafikisha views milion

  • @norbertdamas9638
    @norbertdamas9638 6 месяцев назад +6

    Mater J's Acting is going to cost peoples' jobs🔥

  • @josephkwai1819
    @josephkwai1819 4 месяца назад +10

    Master J. Ametisha saana... Darasa kubwa sana wimbo huu na video yake

  • @ChamaziMusic
    @ChamaziMusic 6 месяцев назад +9

    hii imafanan na ile stori ya mwanza . fulle respect from Chamazi,Dar es salaam🇹🇿🇹🇿🇹🇿🎉🎉

  • @dynachriss5126
    @dynachriss5126 3 месяца назад +9

    Hii song story inafanania na lile tukio la maharusi mwanza mume alomuua mkewe kwa risasi na yeye akaenda kujipiga risasi ziwani📌

  • @amanrashid7061
    @amanrashid7061 6 месяцев назад +7

    Jaman wanawake ambao mpo kwenye ndoa na pia katika mahusiano ya kimapenz ya kawaida kama unajua upo na kijana au mwanaume ambaye unamwona yup seriously na wewe na anakupenda sana kupita kiasi jitahid usichezee hisia zake kama ukiona humpendi bora umwambie mapema kuliko kuendelea kumfanyia vituko maana watu hao Huwa na hasira sana wanapochezewa hisia zao 😢😢😢

  • @simonjuma2912
    @simonjuma2912 6 месяцев назад +6

    Hii ngoma acha tuipe mauwa yake ........walio angalia zaid ya mara mbili kwa ajil ya mashar matam pita hapa na like tuende sawa

  • @marafikistation
    @marafikistation 6 месяцев назад +8

    VANILLA AMELIPWA NGAPI JAMANI SIO KWA KOLASI KALI HIIIIII🔥🔥🔥🔥

  • @maureensunguya8779
    @maureensunguya8779 6 месяцев назад +5

    Master J kumbe ana uwezo mkubwa ivi wa kuigiza? This is one of the best performances hadi nimefeel uhalisia wa nyimbo na video. Good job to Zaylissa too

  • @mrwhite24lyrics32
    @mrwhite24lyrics32 6 месяцев назад +3

    isipo ingia top five ya trending siingii RUclips mwaka huu mpaka uishe

  • @EdisonCavanny
    @EdisonCavanny 6 месяцев назад +7

    Kwani nikichelewa ndo sipati like kabisa😂😂

  • @QuincyOJohns
    @QuincyOJohns 3 месяца назад +6

    This song is poweful. there's a lot to learn from this. thanks Rapcha, vanillah and Master J for putting out such a masterpiece

  • @MuttaRweyemamu-ni6iz
    @MuttaRweyemamu-ni6iz 4 месяца назад +8

    Nimetafuta makosa kwenye hii ngoma naona umekuw mtihan mgumu....iko sawa kila kitu

  • @petrolambe
    @petrolambe 6 месяцев назад +4

    Master J kumbe ni mtu loyal tu

  • @oscartwinzi2705
    @oscartwinzi2705 6 месяцев назад +4

    Naomba like ZA vannila kutoka king's music aap

  • @stevensenghana1593
    @stevensenghana1593 6 месяцев назад +6

    wanao sema Master na bidada ndio wameba hii sound niunge hapa mimi naona mtu mpka atazame kideo big up kwa masta zailissa rapcha

  • @Iyna-kd3ge
    @Iyna-kd3ge 3 месяца назад +7

    Mapenz yanaumiza sana,😞jibu ni kukimbia,,lia ukiwa mbali na mtu anaekuumiza,,itachukua muda ila ipo siku utamsahau tu na utajua ulifanya maamuz yaliyosahihi 👏😔(bado yupo moyon mwangu na nampenda ❤ila its too late siwez kuwa nae)

  • @user-wq2jq7on7t
    @user-wq2jq7on7t 6 месяцев назад +3

    Master J aendelee na uigizaji, anakipaji sana. Bonge la ngoma uandishi umetulia.

  • @CatherineKabelege-te3yo
    @CatherineKabelege-te3yo 6 месяцев назад +5

    Master ni noma anajua kuigiza mno ila sema iki kisa kinafanana na cha mwanza

  • @gregorygendowaga1509
    @gregorygendowaga1509 6 месяцев назад +5

    Cha ajabu ngoma kama hizi hazipewi nafasi kama makirikiri Yao, dope lyrics dope video dope casting.....hizi ndio materials tunahitaji Kwa industry

  • @fabianijoseph-me8jk
    @fabianijoseph-me8jk 6 месяцев назад +4

    Kweli rapcha ni last King of 90's baby kama unamuelewa rapcha twende p1 weka like

  • @user-vu2bl9su5f
    @user-vu2bl9su5f 6 месяцев назад +6

    kam mnakumbuka jisa kilichotokea mwanza cha mchimba madin na mkewe basi master kapita mulemule

  • @silvesterjohn8
    @silvesterjohn8 6 месяцев назад +3

    3:35 best story ...... True story ile ya mwanza yule bwanake nae akaenda kujiua baharini umetisha sana mwanangu RAPCHA🎉maua yako kaka🎉🎉

  • @ruthmarco1489
    @ruthmarco1489 6 месяцев назад +6

    Hivi ndivyomahusiano mengi yalivyo currently... Am sure Kuna some of us tuko missed call ya 50😂... Big up bro unatufunza through your songs

  • @saidmakorijr-ko3fi
    @saidmakorijr-ko3fi 5 месяцев назад +10

    Video Kama ile story ya said wa buswelu na swalleha mwil wa said ulipatikana ziwan mwanza 2021 good idea yatuacha vibaya maamuz ya hasira

  • @Fanzy_kabaya
    @Fanzy_kabaya 6 месяцев назад +4

    No body talks about the chorus ❤❤vanillah ukoo juu sana

  • @edwinfelix6298
    @edwinfelix6298 4 месяца назад +8

    Hii ni historia ya kweli ilitokea Buswelu Mwanza, baada ya jamaa kumshut wife nayeye alienda kujipiga risasi ZIWA VICTORIA.

  • @shadrackalum2696
    @shadrackalum2696 6 месяцев назад +9

    binafsi master jay. ameonyesha u master wake

  • @KennedyMbawala-pr4bt
    @KennedyMbawala-pr4bt 4 месяца назад +7

    My favorite song in 2023 to 2024 hii videoo ndio nmeionaa leoo january 29 2024 nmeaangliaa zaid ya maraa 10 master j kauvaa uhusikaa vizurii

  • @Hashdough
    @Hashdough 6 месяцев назад +4

    RAPCHA IS GOOD WITH STORY TELLING RAP MPAKA BASI ASEEE

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 6 месяцев назад

      He is so good 🔥🔥

  • @agnessnkandi5229
    @agnessnkandi5229 6 месяцев назад +4

    Dah! Vanilla ni nyoko🔥🔥🔥🔥

  • @lilwiz5414
    @lilwiz5414 6 месяцев назад +9

    Everything amazing, master j 👏performance

  • @JuliusTushabe
    @JuliusTushabe Месяц назад +5

    Wangapi wanaisikiliza Tena hii Ngoma, 10 may 2024

  • @vostin3537
    @vostin3537 6 месяцев назад +8

    Feels like a tribute to the deaths of those beloved souls from Mwanza last year😢Swalha/Said

  • @jacksonbruno487
    @jacksonbruno487 6 месяцев назад +5

    The song should be verified by TBS. From audio (verses with amazing chorus from Vannila 🙌🏽) to qualified video (MJ killed 😅) 🔥 🔥

  • @aloiceassenga7582
    @aloiceassenga7582 6 месяцев назад +7

    Vanilla may God bless u broo💯💯 💯💯 unyama mwingiii

  • @mosessilungwe1670
    @mosessilungwe1670 6 месяцев назад +6

    Rapcha I'm your number one fan from Zambia 🇿🇲

  • @ibrahimsamsonichristian5704
    @ibrahimsamsonichristian5704 6 месяцев назад +3

    Master j bonge mmoja la actor. Mpeni likes zake

  • @flinchclassic1531
    @flinchclassic1531 6 месяцев назад +4

    Kwenye uhalisia master Jay umetisha sana kwenye hii video

  • @asumanisadikianswa
    @asumanisadikianswa 5 месяцев назад +5

    Vanillah love from canada 🇨🇦

  • @kalziidazamba2862
    @kalziidazamba2862 5 месяцев назад +9

    Ngoma hii inaendana na kile kisa ambacho kilitokea kule mwanza 2022👍👍👍

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 6 месяцев назад +9

    Hii story ni ya yule tajiri wa samaki wa Mwanza aliyemuua mkewe kisha nae akaenda kujiua ziwa victoria🎉

  • @user-yp6fw5vy7z
    @user-yp6fw5vy7z 6 месяцев назад +11

    Basi bana nimekaa mahali karibu na barabaran nachek hii video 😅😅nimefika kwenye hicho kipande master j anataka kujilipua then kuna scania ikapita hapa barabarani tairi ikapasuka nimeshtuka kinoma 😅😅😅true story mazee 😅😅😅😅😅

  • @yaedlifemedia3203
    @yaedlifemedia3203 2 месяца назад +4

    Acha na mistar mcheki master alivyo uwa kwenye uhusika Noma sana pia uyu shemej yetu nae kacheza sana Safi Heshima kwa director 🎉🎉🎉

  • @wizonqao839
    @wizonqao839 6 месяцев назад +4

    Mbali na kuujua mziki master J anajua na kuigiza very talented.

  • @RichardMbwelwa-xk3tm
    @RichardMbwelwa-xk3tm 6 месяцев назад +4

    Master J is a good character inabi afanye filamu moja classic na mi niwemo

  • @AstarikoMalanda-jn2xn
    @AstarikoMalanda-jn2xn 6 месяцев назад +4

    Huwa mnaesma ngoma tuh! Hii ni bonge kiukweli❤❤ hayaaaah nupeni likes basi

  • @Mgodza
    @Mgodza 4 месяца назад +5

    Mwamba nimemkubali kumbe uko vizuri ❤❤ nilikuwa kwenye sikufatilii saiv nakifuatilia sasa

  • @godluckgmanartist-ju7jp
    @godluckgmanartist-ju7jp 6 месяцев назад +4

    Hii inanikumbusha said wa mwanza aliye mpigia mke wake more than 40 missed call akasema alkuwa kwamama akamshuti the same story km hii big up sana Rapcha

  • @adammagoli3956
    @adammagoli3956 6 месяцев назад +6

    I have never seen acting like this in tanzania master j umeua salute

  • @depsmilindi8424
    @depsmilindi8424 6 месяцев назад +2

    Jamani, ningekuwa nauwezo ningekupa ukongomani ili nikujivuniye wewe kwasana Rapcha..... Like zangu nyingi from🇨🇩✌️shabaki yako sana

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 6 месяцев назад +4

    Ebhanae kumbe Hip hop si lazima ukamie kama ugomvi ni mpangilio tu wa sounds bonge la ngoma 🔥🔥🔥🔥

  • @tuzungumzeafya
    @tuzungumzeafya 4 месяца назад +6

    Master piece 🙌 vanilla katisha sana namsikia Mario na vanny boy ndani ya sauti yake 🔥

  • @nass8558
    @nass8558 5 месяцев назад +4

    Rapcha ni rapper mwe ye story nzuri na zinazogusa jamii. anatiririka nazo kwa style ya kipekee na wala hafoki. napenda styke yk.hata mtu mzima hii anasikiliza na kuelewa vyema.keep it up bro

  • @kilomoleerneus9117
    @kilomoleerneus9117 7 дней назад +1

    Anaitwa rapcha mchizi kutoka shi town......ngoma zake continuable......hazichoshi kusikiliza......salute senior

  • @mercysadock7575
    @mercysadock7575 6 месяцев назад +6

    ni ile stori ya mwaaaaanza ❤️❤️

  • @foodmark482
    @foodmark482 6 месяцев назад +5

    Kisa cha said wa Mwanza hichi

  • @a-zproduction8143
    @a-zproduction8143 6 месяцев назад +3

    Master umetisha una bonge la talent

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 6 месяцев назад +3

    Ngoma kali , video kali,vina vikali,beat kali,story kali na flow kali pia

  • @aoneelemes1028
    @aoneelemes1028 3 месяца назад +6

    Dah ideas za hiv sjui zinatoka wap sijawah ona music full story af inaeleweka namna hii... dah 🔥

  • @saidsidaz
    @saidsidaz 6 месяцев назад +3

    Mlango mpya ya Kuigiza umefunguka Master Jay Umetisha sana

  • @hamisisalim
    @hamisisalim 6 месяцев назад +4

    Waaah nyimbo inafunzo sana watu waheshimiane na uaminifu uwepo

  • @mcnyota
    @mcnyota 4 месяца назад +7

    Alafu Vannila ni fundi sana aise.. Kings hapa waliangukia kifaa🎉

  • @user-jq1kq7bb2n
    @user-jq1kq7bb2n 5 месяцев назад +4

    Hii kaz ya rapcha n msuli sisimizi matokeo tembo daah yaan anatumia nguv kdogo alafu kaz n uhakika aseee big up bro rapcha

  • @sadiqrifay5448
    @sadiqrifay5448 6 месяцев назад +4

    Rapcha is the best story taller ✍✍

  • @hair_by_dayanna
    @hair_by_dayanna 5 месяцев назад +9

    Hv master j ashajigundua ana kipaj cha kuigiza au bado

  • @user-xn5qp4km1y
    @user-xn5qp4km1y 10 дней назад +2

    Vita na insecurities, hatukua na honest na loyalty, marafiki wakatunyima privacy🙌🙌🙌

  • @tabithamlalami18
    @tabithamlalami18 5 месяцев назад +4

    Asante kwa huu mziki umetuletea story ya kweli ya yule kijana wa mwanza na demu wake aliyekuta missed call zaidi ya 30 asante umetukumbusha mwanza na umetukumbusha salma r.i.p kwao

  • @ramcymosungu4700
    @ramcymosungu4700 6 месяцев назад +4

    Master amefanya vitu vya kimaster San katuliaaa mnooo❤

  • @herielrodgers
    @herielrodgers 6 месяцев назад +4

    Masta j kauwa big up

  • @festomkomange5234
    @festomkomange5234 2 месяца назад +3

    Dah kweli life isnt fair , this piece of art work ina deserve millions of viewers . Keep going rapcha ✊

  • @user-lz7xm8mc6w
    @user-lz7xm8mc6w 6 месяцев назад +7

    Vanillah umeua mzee colas Kali san

  • @euvassammy8537
    @euvassammy8537 6 месяцев назад +3

    What a performance from Master J. Video of the year🫡

  • @geralddisbord8191
    @geralddisbord8191 6 месяцев назад +4

    We need more of Master Jay.. Great acting skills..❤

  • @nelsonbilali3888
    @nelsonbilali3888 6 месяцев назад +2

    Big up to majag, big up up to master jay n big up to the great voice Rapcha.: yu all killed it. 🙌🏽🙌🏽.: mad love from Kenya 🇰🇪

  • @user-re9gn4bt1n
    @user-re9gn4bt1n 6 месяцев назад +8

    Vannilah hajaangusha pia...Mia kwa Mia kila sehemu...audio video..lyrical

  • @user-gy9bp1kd9q
    @user-gy9bp1kd9q 6 месяцев назад +3

    Hongera shemu wangu ❤❤❤❤ MUNGU aendelee kuinuia kipaji chako na Imani utafika mbali

  • @emilyrenatus9374
    @emilyrenatus9374 6 месяцев назад +5

    Yoooo J can act as well what a talent

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 6 месяцев назад +4

    Kihukwel Hapa Nguvu Ndog Inatumika Ila Akili Nying Xan , I'm Proud Of You 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @felicianmponzi1419
    @felicianmponzi1419 6 месяцев назад +4

    Kweli Master J ni master of everything, he nailed the character well🔥

  • @user-xi7mc5sm8i
    @user-xi7mc5sm8i 5 месяцев назад +5

    Feel the music,gonga like kama unamkubali Rapcha

  • @djcheusi2627
    @djcheusi2627 6 месяцев назад +4

    Rapcha ni story teller mkali sana hajawah kutokea

  • @jacksonhanjay-kv6do
    @jacksonhanjay-kv6do 6 месяцев назад +2

    Af watatoa tuzo zao waache ujumbe kma huu.....hiii kwang sio nyimbo t n darasa kabisa....kaz nzur sanaa kuanzia audio mpk video

  • @99EVERYTHING
    @99EVERYTHING 15 часов назад

    Rapcha is slowly writing a great history

  • @ahmedysaidy9874
    @ahmedysaidy9874 5 месяцев назад +7

    Based on true story tukio lilotokea mwanza.

  • @ernestnyansambo1982
    @ernestnyansambo1982 6 месяцев назад +4

    Master J kumbe ni bonge la Actor hivi!!🔥🔥🔥🙌

  • @user-oi7qv8rp9i
    @user-oi7qv8rp9i Месяц назад +2

    Daah more than 100% I appreciate your talent Rapcha & Vanilla music

  • @user-et4ie2sm5b
    @user-et4ie2sm5b 6 месяцев назад +4

    Jama hatumi nguvu.kama anafinya tonge to la ugali.RESPCT RAPCHA.

  • @officialhysam2720
    @officialhysam2720 6 месяцев назад +150

    Wa kwanza mnipe like hata 1