Rapcha ft Vanillah - 40 Missed Calls (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 12 дек 2023
- STREAM/DOWNLOAD TTTV2: linktr.ee/rapcha
LYRICS
Someone is playing with me
kuna mtu ananichezea
Someone is playing with me
Nashuka kiuchumi ndoa yangu inachafuka
Kuna mchezo unaendelea they are playing with me
Muda mchache kwenye ndoa maumivu yamenizidia
Huu ni mwezi wa tano unaingia
Nkitazama muda ni Saa sita usiku,
baada ya kumtafuta sana
huyu mwenzangu ndo nyumbani anaingia
Niambie umetoka wapi Salma
Hii kesi isidingo si tumetoka kuisolve jana
Isingefika 40 missed calls ka ulikua kwa mama
Nakuambiaga huniheshimu Salma unanidharau sana
story zako mjini naambiwa
Hamna kitu kinaniuma kama habari kwamba mi namegewa
Unanipandisha hasira
navokuambia ukweli afu unanijibu kwa kufoka
kama unaonewa Hebu Leta simu yako, fungua!!!
Salma usinipandishie, icho kiburi chako ntakupasua
Naichukua nianze kuipekua akaja kuikwapua
Akili ikaflip, gun nkanyanyua
Salma Kanijia juu, Nimechoka maisha ya kubaniwa
Bora tu tuachane umezidi kunitishia
Story za malaya wako nikikuambia unajifanya mkali
Kama we kidume fyatua..
Gun shots!!
[Chorus: Vanilla]
Nilikupenda mpaka kufuru
nikawa nawaza jidhuru
ukiwa mbali
Tena nikakupa uhuru
na ukashindwa shukuru
ikawa ndo dosari
Ukaenda ku date na wale
Mi wakuwa nasota we ule
Na mie kukuacha siwezi
Ni bora dunia tuiache aah
[Verse 2: Rapcha]
Fahamu zinarudi akili imeduaa
Salma anateseka chini baada ya risasi nne kumvaa
Hofu kubwa inaniingia nikiangalia
Damu yake inavyonililia chini inatapakaa
Ndo Idea ya kukamatwa ikanijia
Nikajua haitopita muda mapolisi watanitimbia
Ila nguvu zote zishaniishia
Nikiumia kuona safari yetu ya mapenzi ilipokwamia
Dhambi inaanza kunitafuna
Natamani nirudishe muda nyuma niongee na Salma
Najiona mnafki kwa kumwaga damu
kwa makosa ambayo moyoni najua kuwa na mimi nafanya
Itanitesa maisha yangu yote hii memory
Ego zetu zimefanya tumeharibu destiny
Vita na Insecurities hakukuwa na honesty
Na loyalty marafiki wakatunyima privacy
litimie agano
Nahisi Mungu ametuchagua mi na wewe tuwe mfano
Salma, hukustahili hii adhabu ninakiri
Naomba kabla haujafika mbali nisubiri
Gun shot!!
[Vanilla]
Roho yangu inauma
Kosa lako kuzichezea hisia zangu Inamaana hukuona
Nilivyopambana kuziheshimu hisia zako? Aaah
[Chorus]
Nilikupenda mpaka kufuru
nikawa nawaza jidhuru
ukiwa mbali
Tena nikakupa uhuru
na ukashindwa shukuru
ikawa ndo dosari
Ukaenda ku date na wale
Mi wakuwa nasota we ule
Na mie kukuacha siwezi
Ni bora dunia tuiache aah
Audio produced by: / papa_tz
Mixing and Mastering by: / yogobeats
Join Our Family:
/ rapcha_tz
/ rapcha_tz
/ rapcha_tz
#rapcha #vanillah #40missedcalls Видеоклипы
Kuna mda nshawahi kusema kwamba rapcha ni kijana ambaye hatumii nguvu nyingi kwenye kazi lakini akifanya anafanya kweli📌📌❤️Kama unaniunga mkono please twende pamoja
Naunga mikono sio mikono mmoja..Rapcha ni fire
Ni rapcha kaka not lapcha..and your right, anajua sana
Lapcha😂😂
Is true
King 👑👑👑👑👑 rapcha 😅😅🎉🎉❤❤❤
Wanawake tunazidi midomo sana, mwanaume unaona umemchoka bora uondoke , mwanaume kaumbwa kumiliki lazima ukiwa nae ujimilikishe shuka chini jinyenyekeze onyesha una adabu mbona maisha yataenda vizur, tujifunze kuheshim wanaume zetu maana tumeumbwa tutawaliwe sio tujitawale iko iyo maandiko yanasema.. sad ending though too bada jmn tusifikie uku. Rapcha Master j zaylisaa big up🙏
Real talk!
Thanks mamy, nyumba nyingi Zina vujika kwa hilo, yes Kuna wengine wavulana Wana kuwa too much, but mkee ana takiwa kutizama njisi yaku endelesha Familia
Ahsante
"Najiona mnafki Kwa kumwaga Damu Kwa makosa ambayo moyoni najua na Mimi nafanya" 😢 ..... Hongera sna #Rapcha nyimbo nzuri sanaa
Hii ni historia ya Saidi .... kule Mwanza kama unakubaliana na mimi gonga like
Once again...!!I ll never force my children to follow the same artist I like.The will have the total freedom to choose between following RAPCHA or leaving in my house..PURE TALENT EVER SEEN
😂😂
TRUE STORY in MWANZA axeeeeee!!!!! Unajuaa kutupa Storey ❤
Sema ukiachana na miatari. Embu mchek masta j alivovaa uhusika. Oya wee masta igweeee🔥🔥🔥
SIO KAWAIDA YANGU KUKOMENT KWENYE RUclips LAKIN NAOMBA NISEME KUNA NYAZIFA ZA SANAA WAMEPEWA WATU AMBAOO HAWANA UTASHI. MASTER J NA MAJANI NYIE NI ZAID YA BARAZA LA SANAA. RESPECT LEGEND🎉
Uwakikaa kiogozii
Ambao tume rudia zaidi ya mala 3 huu wimbo naomba tujuane....🙏
😂
Master Jay (Joachim Kimario) ameua sana kwenye acting. I never thought he could be this best in acting. He needs a role in our movie industry
Video imefufua wimbo masterjay Ametendea haki uhusika majonzi yanarudi juu ya tukio la mwanza haya hebu namimi nipeni like sijui hata zinakazi gani ila LIKES TU
😂😂😂 ila likee
Nitahakikisha 40 missed calls inafikisha views milion
Mater J's Acting is going to cost peoples' jobs🔥
Master J. Ametisha saana... Darasa kubwa sana wimbo huu na video yake
hii imafanan na ile stori ya mwanza . fulle respect from Chamazi,Dar es salaam🇹🇿🇹🇿🇹🇿🎉🎉
Kweli
ndio
Hii song story inafanania na lile tukio la maharusi mwanza mume alomuua mkewe kwa risasi na yeye akaenda kujipiga risasi ziwani📌
Jaman wanawake ambao mpo kwenye ndoa na pia katika mahusiano ya kimapenz ya kawaida kama unajua upo na kijana au mwanaume ambaye unamwona yup seriously na wewe na anakupenda sana kupita kiasi jitahid usichezee hisia zake kama ukiona humpendi bora umwambie mapema kuliko kuendelea kumfanyia vituko maana watu hao Huwa na hasira sana wanapochezewa hisia zao 😢😢😢
Hii ngoma acha tuipe mauwa yake ........walio angalia zaid ya mara mbili kwa ajil ya mashar matam pita hapa na like tuende sawa
10x a Day and still watching
Nimelal naiplay tu
VANILLA AMELIPWA NGAPI JAMANI SIO KWA KOLASI KALI HIIIIII🔥🔥🔥🔥
Master J kumbe ana uwezo mkubwa ivi wa kuigiza? This is one of the best performances hadi nimefeel uhalisia wa nyimbo na video. Good job to Zaylissa too
isipo ingia top five ya trending siingii RUclips mwaka huu mpaka uishe
Kwani nikichelewa ndo sipati like kabisa😂😂
This song is poweful. there's a lot to learn from this. thanks Rapcha, vanillah and Master J for putting out such a masterpiece
Nimetafuta makosa kwenye hii ngoma naona umekuw mtihan mgumu....iko sawa kila kitu
Master J kumbe ni mtu loyal tu
Naomba like ZA vannila kutoka king's music aap
wanao sema Master na bidada ndio wameba hii sound niunge hapa mimi naona mtu mpka atazame kideo big up kwa masta zailissa rapcha
Mapenz yanaumiza sana,😞jibu ni kukimbia,,lia ukiwa mbali na mtu anaekuumiza,,itachukua muda ila ipo siku utamsahau tu na utajua ulifanya maamuz yaliyosahihi 👏😔(bado yupo moyon mwangu na nampenda ❤ila its too late siwez kuwa nae)
Pole sana
You will be fine
Master J aendelee na uigizaji, anakipaji sana. Bonge la ngoma uandishi umetulia.
Master ni noma anajua kuigiza mno ila sema iki kisa kinafanana na cha mwanza
Cha ajabu ngoma kama hizi hazipewi nafasi kama makirikiri Yao, dope lyrics dope video dope casting.....hizi ndio materials tunahitaji Kwa industry
Kweli rapcha ni last King of 90's baby kama unamuelewa rapcha twende p1 weka like
kam mnakumbuka jisa kilichotokea mwanza cha mchimba madin na mkewe basi master kapita mulemule
3:35 best story ...... True story ile ya mwanza yule bwanake nae akaenda kujiua baharini umetisha sana mwanangu RAPCHA🎉maua yako kaka🎉🎉
Hivi ndivyomahusiano mengi yalivyo currently... Am sure Kuna some of us tuko missed call ya 50😂... Big up bro unatufunza through your songs
Video Kama ile story ya said wa buswelu na swalleha mwil wa said ulipatikana ziwan mwanza 2021 good idea yatuacha vibaya maamuz ya hasira
imefanana kilakitu
No body talks about the chorus ❤❤vanillah ukoo juu sana
Hii ni historia ya kweli ilitokea Buswelu Mwanza, baada ya jamaa kumshut wife nayeye alienda kujipiga risasi ZIWA VICTORIA.
binafsi master jay. ameonyesha u master wake
My favorite song in 2023 to 2024 hii videoo ndio nmeionaa leoo january 29 2024 nmeaangliaa zaid ya maraa 10 master j kauvaa uhusikaa vizurii
RAPCHA IS GOOD WITH STORY TELLING RAP MPAKA BASI ASEEE
He is so good 🔥🔥
Dah! Vanilla ni nyoko🔥🔥🔥🔥
Everything amazing, master j 👏performance
Wangapi wanaisikiliza Tena hii Ngoma, 10 may 2024
Feels like a tribute to the deaths of those beloved souls from Mwanza last year😢Swalha/Said
Exactly kuna namna idea imetokea kwao
Sure
The song should be verified by TBS. From audio (verses with amazing chorus from Vannila 🙌🏽) to qualified video (MJ killed 😅) 🔥 🔥
Vanilla may God bless u broo💯💯 💯💯 unyama mwingiii
Rapcha I'm your number one fan from Zambia 🇿🇲
Master j bonge mmoja la actor. Mpeni likes zake
Kwenye uhalisia master Jay umetisha sana kwenye hii video
Vanillah love from canada 🇨🇦
Ngoma hii inaendana na kile kisa ambacho kilitokea kule mwanza 2022👍👍👍
Hii story ni ya yule tajiri wa samaki wa Mwanza aliyemuua mkewe kisha nae akaenda kujiua ziwa victoria🎉
😂😂😂😂
Sahiii kabisa
Hakika
Basi bana nimekaa mahali karibu na barabaran nachek hii video 😅😅nimefika kwenye hicho kipande master j anataka kujilipua then kuna scania ikapita hapa barabarani tairi ikapasuka nimeshtuka kinoma 😅😅😅true story mazee 😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂
Acha na mistar mcheki master alivyo uwa kwenye uhusika Noma sana pia uyu shemej yetu nae kacheza sana Safi Heshima kwa director 🎉🎉🎉
Mbali na kuujua mziki master J anajua na kuigiza very talented.
Master J is a good character inabi afanye filamu moja classic na mi niwemo
Huwa mnaesma ngoma tuh! Hii ni bonge kiukweli❤❤ hayaaaah nupeni likes basi
Mwamba nimemkubali kumbe uko vizuri ❤❤ nilikuwa kwenye sikufatilii saiv nakifuatilia sasa
Hii inanikumbusha said wa mwanza aliye mpigia mke wake more than 40 missed call akasema alkuwa kwamama akamshuti the same story km hii big up sana Rapcha
I have never seen acting like this in tanzania master j umeua salute
Jamani, ningekuwa nauwezo ningekupa ukongomani ili nikujivuniye wewe kwasana Rapcha..... Like zangu nyingi from🇨🇩✌️shabaki yako sana
Ebhanae kumbe Hip hop si lazima ukamie kama ugomvi ni mpangilio tu wa sounds bonge la ngoma 🔥🔥🔥🔥
Master piece 🙌 vanilla katisha sana namsikia Mario na vanny boy ndani ya sauti yake 🔥
Rapcha ni rapper mwe ye story nzuri na zinazogusa jamii. anatiririka nazo kwa style ya kipekee na wala hafoki. napenda styke yk.hata mtu mzima hii anasikiliza na kuelewa vyema.keep it up bro
Anaitwa rapcha mchizi kutoka shi town......ngoma zake continuable......hazichoshi kusikiliza......salute senior
ni ile stori ya mwaaaaanza ❤️❤️
Kisa cha said wa Mwanza hichi
Master umetisha una bonge la talent
Ngoma kali , video kali,vina vikali,beat kali,story kali na flow kali pia
Dah ideas za hiv sjui zinatoka wap sijawah ona music full story af inaeleweka namna hii... dah 🔥
Mlango mpya ya Kuigiza umefunguka Master Jay Umetisha sana
Waaah nyimbo inafunzo sana watu waheshimiane na uaminifu uwepo
Alafu Vannila ni fundi sana aise.. Kings hapa waliangukia kifaa🎉
Hii kaz ya rapcha n msuli sisimizi matokeo tembo daah yaan anatumia nguv kdogo alafu kaz n uhakika aseee big up bro rapcha
Rapcha is the best story taller ✍✍
Hv master j ashajigundua ana kipaj cha kuigiza au bado
Vita na insecurities, hatukua na honest na loyalty, marafiki wakatunyima privacy🙌🙌🙌
Asante kwa huu mziki umetuletea story ya kweli ya yule kijana wa mwanza na demu wake aliyekuta missed call zaidi ya 30 asante umetukumbusha mwanza na umetukumbusha salma r.i.p kwao
Master amefanya vitu vya kimaster San katuliaaa mnooo❤
Masta j kauwa big up
Dah kweli life isnt fair , this piece of art work ina deserve millions of viewers . Keep going rapcha ✊
Vanillah umeua mzee colas Kali san
What a performance from Master J. Video of the year🫡
We need more of Master Jay.. Great acting skills..❤
Big up to majag, big up up to master jay n big up to the great voice Rapcha.: yu all killed it. 🙌🏽🙌🏽.: mad love from Kenya 🇰🇪
Vannilah hajaangusha pia...Mia kwa Mia kila sehemu...audio video..lyrical
Hongera shemu wangu ❤❤❤❤ MUNGU aendelee kuinuia kipaji chako na Imani utafika mbali
Yoooo J can act as well what a talent
Kihukwel Hapa Nguvu Ndog Inatumika Ila Akili Nying Xan , I'm Proud Of You 🎉🎉🎉🎉🎉
Kweli Master J ni master of everything, he nailed the character well🔥
Feel the music,gonga like kama unamkubali Rapcha
Rapcha ni story teller mkali sana hajawah kutokea
Af watatoa tuzo zao waache ujumbe kma huu.....hiii kwang sio nyimbo t n darasa kabisa....kaz nzur sanaa kuanzia audio mpk video
Rapcha is slowly writing a great history
Based on true story tukio lilotokea mwanza.
Master J kumbe ni bonge la Actor hivi!!🔥🔥🔥🙌
Daah more than 100% I appreciate your talent Rapcha & Vanilla music
Jama hatumi nguvu.kama anafinya tonge to la ugali.RESPCT RAPCHA.
Wa kwanza mnipe like hata 1
Sawaa😅
Rapcha umemtesa sana mzee wa watu aise. Video imekuwa powa sana.😂😂😂
Master j katish san
Hongeraaaaaaa🎉
Nimekupa