Rapcha ft Vanillah - 40 Missed Calls (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 12 дек 2023
- STREAM/DOWNLOAD TTTV2: linktr.ee/rapcha
LYRICS
Someone is playing with me
kuna mtu ananichezea
Someone is playing with me
Nashuka kiuchumi ndoa yangu inachafuka
Kuna mchezo unaendelea they are playing with me
Muda mchache kwenye ndoa maumivu yamenizidia
Huu ni mwezi wa tano unaingia
Nkitazama muda ni Saa sita usiku,
baada ya kumtafuta sana
huyu mwenzangu ndo nyumbani anaingia
Niambie umetoka wapi Salma
Hii kesi isidingo si tumetoka kuisolve jana
Isingefika 40 missed calls ka ulikua kwa mama
Nakuambiaga huniheshimu Salma unanidharau sana
story zako mjini naambiwa
Hamna kitu kinaniuma kama habari kwamba mi namegewa
Unanipandisha hasira
navokuambia ukweli afu unanijibu kwa kufoka
kama unaonewa Hebu Leta simu yako, fungua!!!
Salma usinipandishie, icho kiburi chako ntakupasua
Naichukua nianze kuipekua akaja kuikwapua
Akili ikaflip, gun nkanyanyua
Salma Kanijia juu, Nimechoka maisha ya kubaniwa
Bora tu tuachane umezidi kunitishia
Story za malaya wako nikikuambia unajifanya mkali
Kama we kidume fyatua..
Gun shots!!
[Chorus: Vanilla]
Nilikupenda mpaka kufuru
nikawa nawaza jidhuru
ukiwa mbali
Tena nikakupa uhuru
na ukashindwa shukuru
ikawa ndo dosari
Ukaenda ku date na wale
Mi wakuwa nasota we ule
Na mie kukuacha siwezi
Ni bora dunia tuiache aah
[Verse 2: Rapcha]
Fahamu zinarudi akili imeduaa
Salma anateseka chini baada ya risasi nne kumvaa
Hofu kubwa inaniingia nikiangalia
Damu yake inavyonililia chini inatapakaa
Ndo Idea ya kukamatwa ikanijia
Nikajua haitopita muda mapolisi watanitimbia
Ila nguvu zote zishaniishia
Nikiumia kuona safari yetu ya mapenzi ilipokwamia
Dhambi inaanza kunitafuna
Natamani nirudishe muda nyuma niongee na Salma
Najiona mnafki kwa kumwaga damu
kwa makosa ambayo moyoni najua kuwa na mimi nafanya
Itanitesa maisha yangu yote hii memory
Ego zetu zimefanya tumeharibu destiny
Vita na Insecurities hakukuwa na honesty
Na loyalty marafiki wakatunyima privacy
litimie agano
Nahisi Mungu ametuchagua mi na wewe tuwe mfano
Salma, hukustahili hii adhabu ninakiri
Naomba kabla haujafika mbali nisubiri
Gun shot!!
[Vanilla]
Roho yangu inauma
Kosa lako kuzichezea hisia zangu Inamaana hukuona
Nilivyopambana kuziheshimu hisia zako? Aaah
[Chorus]
Nilikupenda mpaka kufuru
nikawa nawaza jidhuru
ukiwa mbali
Tena nikakupa uhuru
na ukashindwa shukuru
ikawa ndo dosari
Ukaenda ku date na wale
Mi wakuwa nasota we ule
Na mie kukuacha siwezi
Ni bora dunia tuiache aah
Audio produced by: / papa_tz
Mixing and Mastering by: / yogobeats
Join Our Family:
/ rapcha_tz
/ rapcha_tz
/ rapcha_tz
#rapcha #vanillah #40missedcalls - Видеоклипы
Kuna mda nshawahi kusema kwamba rapcha ni kijana ambaye hatumii nguvu nyingi kwenye kazi lakini akifanya anafanya kweli📌📌❤️Kama unaniunga mkono please twende pamoja
Naunga mikono sio mikono mmoja..Rapcha ni fire
Ni rapcha kaka not lapcha..and your right, anajua sana
Lapcha😂😂
Is true
King 👑👑👑👑👑 rapcha 😅😅🎉🎉❤❤❤
Hii ni historia ya Saidi .... kule Mwanza kama unakubaliana na mimi gonga like
Hii song story inafanania na lile tukio la maharusi mwanza mume alomuua mkewe kwa risasi na yeye akaenda kujipiga risasi ziwani📌
"Najiona mnafki Kwa kumwaga Damu Kwa makosa ambayo moyoni najua na Mimi nafanya" 😢 ..... Hongera sna #Rapcha nyimbo nzuri sanaa
TRUE STORY in MWANZA axeeeeee!!!!! Unajuaa kutupa Storey ❤
Wanawake tunazidi midomo sana, mwanaume unaona umemchoka bora uondoke , mwanaume kaumbwa kumiliki lazima ukiwa nae ujimilikishe shuka chini jinyenyekeze onyesha una adabu mbona maisha yataenda vizur, tujifunze kuheshim wanaume zetu maana tumeumbwa tutawaliwe sio tujitawale iko iyo maandiko yanasema.. sad ending though too bada jmn tusifikie uku. Rapcha Master j zaylisaa big up🙏
Real talk!
Thanks mamy, nyumba nyingi Zina vujika kwa hilo, yes Kuna wengine wavulana Wana kuwa too much, but mkee ana takiwa kutizama njisi yaku endelesha Familia
Ahsante
Nitahakikisha 40 missed calls inafikisha views milion
Video imefufua wimbo masterjay Ametendea haki uhusika majonzi yanarudi juu ya tukio la mwanza haya hebu namimi nipeni like sijui hata zinakazi gani ila LIKES TU
😂😂😂 ila likee
Once again...!!I ll never force my children to follow the same artist I like.The will have the total freedom to choose between following RAPCHA or leaving in my house..PURE TALENT EVER SEEN
😂😂
Ambao tume rudia zaidi ya mala 3 huu wimbo naomba tujuane....🙏
😂
VANILLA AMELIPWA NGAPI JAMANI SIO KWA KOLASI KALI HIIIIII🔥🔥🔥🔥
Sema ukiachana na miatari. Embu mchek masta j alivovaa uhusika. Oya wee masta igweeee🔥🔥🔥
Kwani nikichelewa ndo sipati like kabisa😂😂
Master Jay (Joachim Kimario) ameua sana kwenye acting. I never thought he could be this best in acting. He needs a role in our movie industry
SIO KAWAIDA YANGU KUKOMENT KWENYE RUclips LAKIN NAOMBA NISEME KUNA NYAZIFA ZA SANAA WAMEPEWA WATU AMBAOO HAWANA UTASHI. MASTER J NA MAJANI NYIE NI ZAID YA BARAZA LA SANAA. RESPECT LEGEND🎉
Uwakikaa kiogozii
Jaman wanawake ambao mpo kwenye ndoa na pia katika mahusiano ya kimapenz ya kawaida kama unajua upo na kijana au mwanaume ambaye unamwona yup seriously na wewe na anakupenda sana kupita kiasi jitahid usichezee hisia zake kama ukiona humpendi bora umwambie mapema kuliko kuendelea kumfanyia vituko maana watu hao Huwa na hasira sana wanapochezewa hisia zao 😢😢😢
Master J kumbe ni mtu loyal tu
Hii ngoma acha tuipe mauwa yake ........walio angalia zaid ya mara mbili kwa ajil ya mashar matam pita hapa na like tuende sawa
10x a Day and still watching
Nimelal naiplay tu
Master J. Ametisha saana... Darasa kubwa sana wimbo huu na video yake
Hii ni historia ya kweli ilitokea Buswelu Mwanza, baada ya jamaa kumshut wife nayeye alienda kujipiga risasi ZIWA VICTORIA.
isipo ingia top five ya trending siingii RUclips mwaka huu mpaka uishe
Master ni noma anajua kuigiza mno ila sema iki kisa kinafanana na cha mwanza
Nimetafuta makosa kwenye hii ngoma naona umekuw mtihan mgumu....iko sawa kila kitu
Wangapi wanaisikiliza Tena hii Ngoma, 10 may 2024
Master j bonge mmoja la actor. Mpeni likes zake
kam mnakumbuka jisa kilichotokea mwanza cha mchimba madin na mkewe basi master kapita mulemule
Kweli rapcha ni last King of 90's baby kama unamuelewa rapcha twende p1 weka like
Ngoma hii inaendana na kile kisa ambacho kilitokea kule mwanza 2022👍👍👍
Master J aendelee na uigizaji, anakipaji sana. Bonge la ngoma uandishi umetulia.
Dah! Vanilla ni nyoko🔥🔥🔥🔥
hii imafanan na ile stori ya mwanza . fulle respect from Chamazi,Dar es salaam🇹🇿🇹🇿🇹🇿🎉🎉
Kweli
ndio
Vanillah umeua mzee colas Kali san
Kwenye uhalisia master Jay umetisha sana kwenye hii video
binafsi master jay. ameonyesha u master wake
ni ile stori ya mwaaaaanza ❤️❤️
Mater J's Acting is going to cost peoples' jobs🔥
Master J is a good character inabi afanye filamu moja classic na mi niwemo
Tunaoangalia Mara kwa Mara ihi video gonga likes hapa❤❤
Cha ajabu ngoma kama hizi hazipewi nafasi kama makirikiri Yao, dope lyrics dope video dope casting.....hizi ndio materials tunahitaji Kwa industry
Kisa cha said wa Mwanza hichi
Huwa mnaesma ngoma tuh! Hii ni bonge kiukweli❤❤ hayaaaah nupeni likes basi
Master J kumbe ana uwezo mkubwa ivi wa kuigiza? This is one of the best performances hadi nimefeel uhalisia wa nyimbo na video. Good job to Zaylissa too
My favorite song in 2023 to 2024 hii videoo ndio nmeionaa leoo january 29 2024 nmeaangliaa zaid ya maraa 10 master j kauvaa uhusikaa vizurii
Naomba like ZA vannila kutoka king's music aap
Master umetisha una bonge la talent
Based on true story tukio lilotokea mwanza.
Vanilla may God bless u broo💯💯 💯💯 unyama mwingiii
Basi bana nimekaa mahali karibu na barabaran nachek hii video 😅😅nimefika kwenye hicho kipande master j anataka kujilipua then kuna scania ikapita hapa barabarani tairi ikapasuka nimeshtuka kinoma 😅😅😅true story mazee 😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂
Vita na insecurities, hatukua na honest na loyalty, marafiki wakatunyima privacy🙌🙌🙌
Huyo vanilla kanogesha wimbo
Feel the music,gonga like kama unamkubali Rapcha
No body talks about the chorus ❤❤vanillah ukoo juu sana
Mapenz yanaumiza sana,😞jibu ni kukimbia,,lia ukiwa mbali na mtu anaekuumiza,,itachukua muda ila ipo siku utamsahau tu na utajua ulifanya maamuz yaliyosahihi 👏😔(bado yupo moyon mwangu na nampenda ❤ila its too late siwez kuwa nae)
Pole sana
You will be fine
rapcha mamae nataka kumaliza mb zang mimeliludia zaid ya mara 10
Hivi ndivyomahusiano mengi yalivyo currently... Am sure Kuna some of us tuko missed call ya 50😂... Big up bro unatufunza through your songs
Waaah nyimbo inafunzo sana watu waheshimiane na uaminifu uwepo
3:35 best story ...... True story ile ya mwanza yule bwanake nae akaenda kujiua baharini umetisha sana mwanangu RAPCHA🎉maua yako kaka🎉🎉
wanao sema Master na bidada ndio wameba hii sound niunge hapa mimi naona mtu mpka atazame kideo big up kwa masta zailissa rapcha
Vannilah hajaangusha pia...Mia kwa Mia kila sehemu...audio video..lyrical
Bonge la movie
Video Kama ile story ya said wa buswelu na swalleha mwil wa said ulipatikana ziwan mwanza 2021 good idea yatuacha vibaya maamuz ya hasira
imefanana kilakitu
Dah ideas za hiv sjui zinatoka wap sijawah ona music full story af inaeleweka namna hii... dah 🔥
Ebhanae kumbe Hip hop si lazima ukamie kama ugomvi ni mpangilio tu wa sounds bonge la ngoma 🔥🔥🔥🔥
Mlango mpya ya Kuigiza umefunguka Master Jay Umetisha sana
RAPCHA IS GOOD WITH STORY TELLING RAP MPAKA BASI ASEEE
He is so good 🔥🔥
Vanillah love from canada 🇨🇦
Yan naskliza zaidi ya Mara 10
Everything amazing, master j 👏performance
Master amefanya vitu vya kimaster San katuliaaa mnooo❤
Rapcha ni story teller mkali sana hajawah kutokea
Vanilla shikamoo👏
Hv master j ashajigundua ana kipaj cha kuigiza au bado
Alafu Vannila ni fundi sana aise.. Kings hapa waliangukia kifaa🎉
Jama hatumi nguvu.kama anafinya tonge to la ugali.RESPCT RAPCHA.
This song is poweful. there's a lot to learn from this. thanks Rapcha, vanillah and Master J for putting out such a masterpiece
Master piece 🙌 vanilla katisha sana namsikia Mario na vanny boy ndani ya sauti yake 🔥
Mbali na kuujua mziki master J anajua na kuigiza very talented.
Ngoma kali , video kali,vina vikali,beat kali,story kali na flow kali pia
Hii atory kama ya saidi wa mwanza hadi alivyojifyatua risasi ya kidevu
Master J kumbe ni bonge la Actor hivi!!🔥🔥🔥🙌
Kama umeipenda 40 missed call dondosha like hapa👍👍👍👍 @chizoboyofficial2✌️
Rapcha is the best story taller ✍✍
Hii inanikumbusha said wa mwanza aliye mpigia mke wake more than 40 missed call akasema alkuwa kwamama akamshuti the same story km hii big up sana Rapcha
Daah nmefurahi sanaa kumuona master
Masta j kauwa big up
The song should be verified by TBS. From audio (verses with amazing chorus from Vannila 🙌🏽) to qualified video (MJ killed 😅) 🔥 🔥
❤ wimbo wa kupokelea kwenye simu yangu
Ukweli asie comment hapa atakuwa ni mchawi vers kali kideo kikali vanilla kolas kali nimeanza kukuheshim xx 🔥🔥🔥
Feels like a tribute to the deaths of those beloved souls from Mwanza last year😢Swalha/Said
Exactly kuna namna idea imetokea kwao
Sure
Mwamba nimemkubali kumbe uko vizuri ❤❤ nilikuwa kwenye sikufatilii saiv nakifuatilia sasa
Hii si story ya kweli ya kaka said na swlha siku ya simba na yanga ngao ya jamii
Best verse “Naomba kabla haujafika mbali subiria”
Yani nakubali sana haya Mambo mpeni maua😂 jaman
Napoona nyimbo kama hizi, naamini mziki bado unaishi!
Rapcha I'm your number one fan from Zambia 🇿🇲
Huu wimbo ni simulizi ya yule kaka wa mwanza alie muuwa McEwen nayeye kujiuwa
Yan hii nyimbo kuna tukio 2021 nafikiri or 2022 kuna kaka alifanya hivi huko mwanza na jina lamke lilikuwa hili salima umetisha mwamba
Wanao sikiza hii ngoma na kusikia sauti ya vanny boi wapi like zake...😅
Vanilla 🔥🔥🔥 kiungo matata
Mungu atusaidiye maana maisha aya magumu ❤❤❤❤❤❤