RAPCHA AJIBU KIUME BIFU LAKE NA DIZASTA VINA, DAKIKA 10 ZA MAANGAMIZI IMENIONGEZEA WATU
HTML-код
- Опубликовано: 1 авг 2023
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
"Shave and clean your dreads man your not pretty..." Amenyoa rasta 😃
Rapcha mkali ila kwa Dizasta bd sana
Huna mashairi ya kubato na dizasta
Disasta ni legend 🐐🐐
Rapcha kajitahidi kumvaa con boi ktk kujibu masali halafu kampata kinoma noma yani
Dizasta Vina ni moto sana hila mlichangamsha game
Bora hata angemdiss mtu ambaye wanaweza kubatle kuliko kumtarget vina
Tuseme ukweli tu lapcha anajua ila kumfikia dizasta kikweli Bado sana Kwa mana anaupungufu wa mashair
😂😂😂 lazma amsikilize role model wake
Mwee D kakafanya kawe kapooleee🤣
Ungejitoa ufahamu useme jambo ungefatwa na mawe kutoka kwa mnyama vina himself Mungu wa lap 🔥🔥🔥
❤❤
Dizasta alisema utazama maji kweli umezama
99🔥
Rapcha dizasta amekuuwa kabisa ata albam yako Haina mboga mitandaoni alivokuchana jamaa jina lako toka uchanwe ukwel limefifia#
Mwepesi mno
Huyu Dogo Jamaa alimwambia atampoteza abaki Jina km KONKI FIRE..." Naona kweli kampoteza kweli na kabaki Jina
Kampoteza wap
Kwanza futa candy Crush kwenye simu 🤣🤣🤣
Label imekubeba na unasinzia road
Mwamba rapcha waache utan
Mbona huyo dizasita naonaga anaongea ongea tu arafu watu nimegundua wanafata mkumbo tu
Rapcha aliumizwa😂
😂😂
Hawezi kuongelea hiyo biff na Disaster sababu aligalagazwa mbaya😂
Ni beef sio biff
😂😂😂
@@Daniel_ivan. Hahaha ni kituko acha ujuaji unazungumzia beef ya ng'ombe au
@@warakawayohana2896 hio inaitwa homonyms mshamba ww ......... Neno moja lenye maana mbili tofauti. Alf ata Ivo beef ni slang kwaiyo linaweza likawa na maana ya nyama na ugomvi at the same time,
@@Daniel_ivan. Sasa unazngumza nini? Au ulikuwa unakosoa nini kama unajua biff ni slang mduanzi kweli wewe mimi nilikuwa sizungumzii nyama umezaliwa 2003 unaleta ujuaji
Aaaha we umuez vna, k hukumbuk! Mwana michano Zaid ya kwenu!!!!
Dizasta yuasifiwa bure ila hamna ki2 ulegend sio kitu mm msanii anayetoka kwa bongo records najua kakua
😂😂😂 unajua mziki mzee? Ule moto wa dizasta ni hatari kubwa sana
rapcha nakukubali sana uyo disaster simujuwi nikiwa congo 🇨🇩
Congo lumbar not real hip hop😂😂
Haumjui wakati umemtaja
Congo masebene hip hop unaijulia wap bwn lo matako pao
🤣🤣rapcha ni kiboko na mujuwa kwenye lile ngoma lake la monalisa alihuwa kinoma tatizo nikutobowa uku kwetu na ndo kwamana tumemjuwa
Mtafute na Dizasta vinna,, ana content, anatoa story telling lakn inakupeleka uone kama movie flan hvii lakn ni maisha halisi ya Wa Tanzania.. Anza na Hatia 1,2,3
kanisa, nobody is safe, 1, 2, 3 , confession of a mad teacher, mad philosopher, mad son, mad man, alafu malizia na wimbo usio bora😮😮😮😮😮😮,,
😂 dizasta vina
Huyuu kijana mtafutieni kazi hataa ya umachinga,, Pigen promo ya Dizaster vinna,, anajuaa kupanga maneno, na punch line ndio tunataka, huyuu kaambiwa tuu anyoe rasta kanunaa,, anajifanya 99 sijui ndio makolokolo gan,,
Ujui music
@@youngkidy213 ana stress
Comment ya kisenge kwel
Ndio tatizo la kudiss mtu aliekuzidi mwisho interview yako unaulizwa kuhusu DIZASTA VINA
Dulla hiyo line ya ngosha inapatkana kwenye ngoma la propaganda
Propaganda
Dogo inabid atulie t kwa dizasta dogo pia anajuw akn amuach d