RAPCHA AJIBU KIUME BIFU LAKE NA DIZASTA VINA, DAKIKA 10 ZA MAANGAMIZI IMENIONGEZEA WATU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 авг 2023
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Комментарии • 55

  • @fredrickf.8525
    @fredrickf.8525 10 месяцев назад +6

    "Shave and clean your dreads man your not pretty..." Amenyoa rasta 😃

  • @ombenimesso5119
    @ombenimesso5119 10 месяцев назад +7

    Rapcha mkali ila kwa Dizasta bd sana

  • @andrewmulongo3087
    @andrewmulongo3087 10 месяцев назад +3

    Huna mashairi ya kubato na dizasta

  • @transporter255tz
    @transporter255tz 10 месяцев назад +2

    Disasta ni legend 🐐🐐

  • @bainolatino3412
    @bainolatino3412 10 месяцев назад +2

    Rapcha kajitahidi kumvaa con boi ktk kujibu masali halafu kampata kinoma noma yani

  • @nyilawilabernard7268
    @nyilawilabernard7268 10 месяцев назад +2

    Dizasta Vina ni moto sana hila mlichangamsha game

  • @pascaltesha7329
    @pascaltesha7329 10 месяцев назад +2

    Bora hata angemdiss mtu ambaye wanaweza kubatle kuliko kumtarget vina

  • @MariamMfaume-kr7pb
    @MariamMfaume-kr7pb 10 месяцев назад +3

    Tuseme ukweli tu lapcha anajua ila kumfikia dizasta kikweli Bado sana Kwa mana anaupungufu wa mashair

    • @hamzerErasto
      @hamzerErasto 10 месяцев назад +1

      😂😂😂 lazma amsikilize role model wake

  • @bashiriwilliam5982
    @bashiriwilliam5982 10 месяцев назад +2

    Mwee D kakafanya kawe kapooleee🤣

  • @jamesmatula7249
    @jamesmatula7249 9 месяцев назад

    Ungejitoa ufahamu useme jambo ungefatwa na mawe kutoka kwa mnyama vina himself Mungu wa lap 🔥🔥🔥

  • @MbetoAthumani
    @MbetoAthumani 8 месяцев назад

    ❤❤

  • @barakamangula
    @barakamangula 10 месяцев назад +2

    Dizasta alisema utazama maji kweli umezama

  • @boyflany2836
    @boyflany2836 10 месяцев назад

    99🔥

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 10 месяцев назад +11

    Rapcha dizasta amekuuwa kabisa ata albam yako Haina mboga mitandaoni alivokuchana jamaa jina lako toka uchanwe ukwel limefifia#

  • @eddsonjeremiah6669
    @eddsonjeremiah6669 10 месяцев назад

    Mwepesi mno

  • @bizzleadam9895
    @bizzleadam9895 9 месяцев назад

    Huyu Dogo Jamaa alimwambia atampoteza abaki Jina km KONKI FIRE..." Naona kweli kampoteza kweli na kabaki Jina

  • @jamesmatula7249
    @jamesmatula7249 9 месяцев назад

    Kwanza futa candy Crush kwenye simu 🤣🤣🤣

  • @emmanuelpius6387
    @emmanuelpius6387 5 месяцев назад

    Label imekubeba na unasinzia road

  • @eliqiula
    @eliqiula 6 месяцев назад

    Mwamba rapcha waache utan

  • @amosithomas4714
    @amosithomas4714 Месяц назад

    Mbona huyo dizasita naonaga anaongea ongea tu arafu watu nimegundua wanafata mkumbo tu

  • @rashtz2785
    @rashtz2785 10 месяцев назад +1

    Rapcha aliumizwa😂

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 10 месяцев назад +3

    Hawezi kuongelea hiyo biff na Disaster sababu aligalagazwa mbaya😂

    • @Daniel_ivan.
      @Daniel_ivan. 10 месяцев назад

      Ni beef sio biff

    • @nyotamy3678
      @nyotamy3678 10 месяцев назад

      😂😂😂

    • @warakawayohana2896
      @warakawayohana2896 10 месяцев назад

      @@Daniel_ivan. Hahaha ni kituko acha ujuaji unazungumzia beef ya ng'ombe au

    • @Daniel_ivan.
      @Daniel_ivan. 10 месяцев назад

      @@warakawayohana2896 hio inaitwa homonyms mshamba ww ......... Neno moja lenye maana mbili tofauti. Alf ata Ivo beef ni slang kwaiyo linaweza likawa na maana ya nyama na ugomvi at the same time,

    • @warakawayohana2896
      @warakawayohana2896 10 месяцев назад

      @@Daniel_ivan. Sasa unazngumza nini? Au ulikuwa unakosoa nini kama unajua biff ni slang mduanzi kweli wewe mimi nilikuwa sizungumzii nyama umezaliwa 2003 unaleta ujuaji

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 10 месяцев назад

    Aaaha we umuez vna, k hukumbuk! Mwana michano Zaid ya kwenu!!!!

  • @ibraheemSaeed-wi8px
    @ibraheemSaeed-wi8px 10 месяцев назад

    Dizasta yuasifiwa bure ila hamna ki2 ulegend sio kitu mm msanii anayetoka kwa bongo records najua kakua

    • @jameskahemele6209
      @jameskahemele6209 10 месяцев назад

      😂😂😂 unajua mziki mzee? Ule moto wa dizasta ni hatari kubwa sana

  • @LomatakopaoBadboy-nl4uj
    @LomatakopaoBadboy-nl4uj 10 месяцев назад +2

    rapcha nakukubali sana uyo disaster simujuwi nikiwa congo 🇨🇩

    • @shenamtukufu1224
      @shenamtukufu1224 10 месяцев назад

      Congo lumbar not real hip hop😂😂

    • @majirabonphace
      @majirabonphace 10 месяцев назад

      Haumjui wakati umemtaja

    • @rickierunyota3613
      @rickierunyota3613 10 месяцев назад

      Congo masebene hip hop unaijulia wap bwn lo matako pao

    • @LomatakopaoBadboy-nl4uj
      @LomatakopaoBadboy-nl4uj 10 месяцев назад

      🤣🤣rapcha ni kiboko na mujuwa kwenye lile ngoma lake la monalisa alihuwa kinoma tatizo nikutobowa uku kwetu na ndo kwamana tumemjuwa

    • @felixnando9434
      @felixnando9434 10 месяцев назад +4

      Mtafute na Dizasta vinna,, ana content, anatoa story telling lakn inakupeleka uone kama movie flan hvii lakn ni maisha halisi ya Wa Tanzania.. Anza na Hatia 1,2,3
      kanisa, nobody is safe, 1, 2, 3 , confession of a mad teacher, mad philosopher, mad son, mad man, alafu malizia na wimbo usio bora😮😮😮😮😮😮,,

  • @abbymwangomile392
    @abbymwangomile392 10 месяцев назад +1

    😂 dizasta vina

  • @felixnando9434
    @felixnando9434 10 месяцев назад +3

    Huyuu kijana mtafutieni kazi hataa ya umachinga,, Pigen promo ya Dizaster vinna,, anajuaa kupanga maneno, na punch line ndio tunataka, huyuu kaambiwa tuu anyoe rasta kanunaa,, anajifanya 99 sijui ndio makolokolo gan,,

    • @youngkidy213
      @youngkidy213 10 месяцев назад +1

      Ujui music

    • @wishjrtz
      @wishjrtz 10 месяцев назад

      @@youngkidy213 ana stress

    • @omboiobed_scar
      @omboiobed_scar 7 месяцев назад

      Comment ya kisenge kwel

  • @Nyamko-christmas
    @Nyamko-christmas 10 месяцев назад +1

    Ndio tatizo la kudiss mtu aliekuzidi mwisho interview yako unaulizwa kuhusu DIZASTA VINA

  • @kwoma_tz3334
    @kwoma_tz3334 10 месяцев назад

    Dulla hiyo line ya ngosha inapatkana kwenye ngoma la propaganda

  • @kihombobadman938
    @kihombobadman938 5 месяцев назад

    Dogo inabid atulie t kwa dizasta dogo pia anajuw akn amuach d