Ibraah Feat. Harmonize - Dharau (Official Lyrics Video)
HTML-код
- Опубликовано: 21 фев 2024
- Dharau” Featuring “Harmonize” Is Ibraah’s Latest Single . “Dharau” Is An Emotionally And Melodically Captivating Bongo Flava & Zouk Banger , Guaranteeing Fans An Emotional Rollercoaster Like None They’ve Experienced From Either Of The Artists. Tune In And Enjoy
Download and Stream on all Digital Platforms Link
onerpm.link/Ibraah-Harmonize-...
Prod By Chibby
Mixing & Mastering By Mixing Killer
Subscribe for more official content from Ibraah:
/ ibraah
Follow Ibraah
Instagram: / ibraah_tz
Twitter: / ibraah_tz
Facebook: / ibraah255
Listen to Ibraah
/ ibraah
Audiomack: audiomack.com/ibraah-tz
Apple Music : / ibraah
Spotify : open.spotify.com/artist/0Dxcb...
Boomplay: www.boomplaymusic.com/share/a...
The official RUclips channel of Ibraah. Subscribe for the latest music videos, performances, and more.
For Bookings & More
Email: Ibraahmanagement3@gmail.com
Call: +255 718 712 420
#Ibraah #Dharau #Harmonize - Видеоклипы
Ahsanteni Sana Mashabiki Zangu Mnaoendelea Kunisupport Kijana Wenu! Nawapenda Sana ❤❤❤
ibraah for life
Pamoja sana home boy
Ibra nipe namba yako
Nipe namba
Chinga❤
Kama huyu wimbo unaeza rudia marambili kama mimi nipee like❤
Siyo mara mbili hadi mara buku
Adii Mara kumii
Actually konde gang mnajua sanaaa . Me naonaga tuh shida ni management ikikaa sawa hakuna upinzani mziki wanaujua
Mpaka nimeboo watu
nakupa zaidi ya tano.....nipo Beijing ila nahis kama nipo mitaa ya home TZ👍👍👍👍👍👍
Wakwanza Mimi jamani naomba like 50k tu Zina nitosha ❤😅😅😅
Courage a toi my friend 🧡 ❤
Aliyeimba mwenyewe hajapewa hizo likes wataka upewe ww 😂 thubutu
😊😅😅
❤❤❤
Sawa wajina
Konde boy Ni mkali umeona video Ni Kali ,nipatieni likes Jamani
Me sijuhi ndo wa mwisho kucoment sijuhi watu watanipa ata like 5😢
Nipeni like mbili tu ❤❤❤
Mbn zimezid like
❤❤❤
Nataka like moja tu kwa ajili ya familia❤
Moto Sana bumu❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nice 👍
❤
umeonaee@@kenyatv2545
@ERICkKi❤plagat-bt8sh
Harmonize mfunze vizuri Ibraah aje kuwa namba one Tanzania🇹🇿 kama wewe ❤❤❤
Kama anajiona kichwa shingo nani❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️aki hii jeneredhion😢
Jaman roho mbaya mnashindwa kunipa like za chinga kweli 😢😢 ❤❤❤❤ dharau au sio
Like mwenyewe
Nimeukubali sana yaan! Bora ugalidagaa kwenye aman kulikon walinyama kwenye vita
Kama wimbo unakukumbusha Ex wako basi nipe like 😢😢
Hiyi ngoma njo inatrend Burundi iko fiti kbsa.naomb like ka 2k
🎉🎉🎉 watu mna roho mbaya 😮 hamnipei likes za chinga hata mbili, nipate kuhema?? 😢😢
P
hahahahahhahaa
Chukua🎉
😂😂😂 pokea na hii basi❤
Ikusaidie na nini sasa
Na mm msanii wa kenya FantahB nadai likes 100k🤣🤣
Harmonize is that type of an artist that ten years down the line you can till hear his music......they are never waves💯💯🇰🇪♥️♥️🔥🔥
kama huna #DHARAU gonga like hapa kumsuport IBRAA
Mungu anampa kila mtu ibraah tulikua nae sokoni karume ana uza makoti Leo star duu music ni wakila mtu ongera dogo pambana sana
Hii wimbo yanifanya nakumbuka mbali wakati dem wangu alikua akinihangaisha kwa mapenzi.
Acha like hapa kama umependa verse ya chinga zaidi
Wakwanza kutoka congo 🇨🇩 munipe like basi leo tena musinipe 🙏 like bas
Tulio nnje ya Tanzania let’s gather here ❤
Na sisi tunakupenda Sana pamoja. Na konde tutakuwa pamoja mpaka dakika ya mwisho
🎂💅💌🥰🧐🎊💖🦾🇹🇿🎁🎇💏💐🌹🟣❤️❤️
Heri nyimbo tulivu kwenye ngeu kuliko kelele mingi kwenye gemu,huu wimbo hautokii masikioni nadharau wanaoudharau huu wimbo mnisaidie Likes Jameni watanzania hamjawai niipa haki yangu leo timizeni🎉🎉🥳🥳
Tanzania ni nyimbo tu ya harmonize ambayo naweza kuyisikiza mala 10 na siichoki.love frop🇧🇮
0:21 straight up from ❤🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥 1:02 🎉🎉🎉🎉
Unajua sana ibraah like zangu nawadai from tz☺️🇹🇿
Harmonize my bro did it...... ❤❤❤❤👊🏿👊🏿Kama upo na mimi nipee like 😙
Nigerians 🇳🇬, south Africans 🇿🇦, tanzanians 🇹🇿, Rwandans 🇷🇼, Ugandans 🇿🇼, Kenyans 🇰🇪, Burundians 🇧🇮, Zambian 🇿🇲, Congolese 🇨🇩 Americans 🇺🇸,, my wicked landlord and I approve this song as our unite anthem
But that not Uganda flag it's Zimbabwe flag
Mapenz ulienpa wee skutaman mwangne wakiapoo daaah hii ngoma inankumbusha meng sna
Nasikiliza wimbo malanyingi najua kuuwasha tu pakuzimia sipaonagi jaman mpk nifosi wimbo wangu wamwaka❤❤❤❤❤❤❤❤
Naomba like jmn cjapata kitambooo
Inamfaa zuchu kuisikiliza ktk kipindi hiki kigumu anachopitia yes like
Hii ngoma inataka usikilizee ukiwa umetuliaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Oya wewwew tumemtungua @diamondPlatinum na #Mapozi yake sasa tuko #1 like nyingiiiiiii❤❤❤
Unajua adi unajua tenaaa mwaaaah nawapenda sanaa ❤❤❤❤
Hii nyimbo imepiga kabisa story yangu...#KondeMusicWorldwide
Big hup from kenya mnipee likes zangu 💪
Awww...nyimbo tamu kisho kaongezewa Gigy herself ❤
Umetisha sana ❤❤❤
Alfu wambea aty ibraah katoka konde gang mko wapi.konde gang for life .
Waliorudia zaidi ya mara moja kama Mimi like zenu❤
Wimbo umejaa kweli za duniani
Gigy umeuwa❤❤❤❤
Where there is Ibraah and harmonize we must have a national Anthem song,,Kenya is happy 😊,East Africa is celebrating 🎉,We approve this hit from 🇰🇪🇰🇪Naomba likes jamani msikuwe wachoyo
Kenyans🇰🇪🇰🇪 likes ziko wapi
KONDE NAILED IT BUT THE SON KILLED IT FOSHOO. LIKE IF YOU AGREE
Konde music worldwide 🎉🎉❤
Usjar dumu katika kumuomba Mungu atakuzidishia kibar zaid ya hapo❤
Aisee achana na likes angalia na sikiliza talent iliyotumika humu ndani hatariii ogopaa
Congo nous sommes là pour toi
Bombohlock from Kenya Only 20k likes
Hii ngoma imehit kiutofauti sana, Yes this is Chinga from south Tz, mtaalam wa kucheza na hisia za wapenda music. Huyu ni mmi kabisa 😭🔥🔥
Toka Mwaka 2024 Ume anza sija wona wimbo mzuri kama huyu ❤ Naomba like zangu Jameni 😂
hili goma jameni n motoooooo🔥🔥🔥
Nakubali ibra
😂😂😂😂 iko poa sana na mimi nipeni likes basi hata moja
KONDE KAPEWA VERSE 😄🔥🔥🙌🏽 BIG TUNE CHINGA
KING KONDE AND PRINCE CHINGAA.KAZI SAFI💰
Washa moto kaka nakukubali sana saluti kwake brza konde boy namkubali sana kuliko kitu chochote kile brooo bigapu kwenu kwani wamakonde munatupa eshima sana
KAMA UMEFURAHI HII NYIMBO KUFIKISHA 1 MILLION LEO HII LIKE HAPA
Na sisi tu akupenda sana na tulikuwa tuliku miss ki noma mungu akutangulie kwenye kazi yako amena itikia
Konde gang will always be the best music gang in Tanzania... Can I get a like for Chingaa
Mtu mbaya kabisa kwny indrastry ya hu mziki tembo harmonize ameupiga mwingi xana bila kumsahau chinga anae kuja kwa kasi xana chini ya conde world wide from Tanzania 🇹🇿 ♥
Hili ngoma napiga kila siku haipiti sijapiga 🎉🎉umeuwa ibrah
Nataka like 1 tu kwaajili ya ❤RIP❤ my brother
Wa kwanza jamani ibraa namkubali sana 🎉 naombeni likes zenu wadau na mungu atawabariki insha'Allah😢
Yaani likes zote kwa giggy - yaani that role umependeza kweli love ❤
Nice song 👍🏻👍🏻 JESHI & Chinga ❤❤🎉🎉 my favourite song 🎉🎉🎉 usisahau like zangu 🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼
Oya hawa jamaa kwa music hawafai wanafanya wonders 🔥
Hongera sana konde music world wide hii nyimbo ni kali sana hakika unyama ni mwingi kwenye hii ngoma
Unajua brother
Konde anajua ata kenya tumemkubali❤❤❤❤
Hii ngoma kali sana sikutarajia
Song of the year.. banger❤🎉
🎼🌎
Ibrah umeua sana huu wimbo mi naaamini utakuwa wimbo Bora wa mwaka Dunia nzima
Motoo 🔥🔥 sanaa. Chinga na Konde on lit. Likes and more Love ❤❤ from Kenya 🇰🇪
Kwann wakeny lazim.ujitaj kinya ndionini
Nipen like zangu tuuuu
Hit kali ndugu ibraah ,,bora ule ugali dagaa kwa amani kuliko wali nyama vitani
Best song of the year.....chinga umekalisha tembo❤❤❤
KONDE GANG FOR EVERBODY❤
I missed you ibrah ...then my boy harmonize never disappoint 💪💪💪💪💪
Kitu Kali sipend dharau ❤❤❤❤❤
Bora ugali dagaa kwenye Imani kuliko ugali nyama vitani
1🇹🇿ON TRENDING VIDEO MUSIC🎉🎉
Bora ugali dagaaa kwenye Amani kuliko wali nyama vitani,,,,, Ngoma imeenda shule
Napenda huu wimbo na stream kutoka Nairobi Kenya 🇰🇪
Gigy nakupenda
Sio kukusapot nyimbo kali hii
Huu wimbo mwezi mzima utakuwa trending 1
Bora ugali dagaa kwenye amani kuliko ugali nyama vitani,,, heavy on this🇰🇪🇹🇿
Hii ni ngoma kiukweli...Iko juu sana
Why can't we give tembo likes wivu niya nin
Chinga namba wan🔥🔥🇱🇷
The truth is I understand 5 % of the song but the sweetness in the song is top notch. Dharau
Uganda representing
When you listening you feel the massage from it
true dat I HAD TO PULLIT UP AT 5:43 AM .. Melody AJAB
Harmonize is Diamond updated version😊😊😊
Ibra is the king of young generation 👏👏🤠👏😊👌
Chinga receive flowers from Kenya 🎉
I am from Nigeria I don't understand what are you saying but I am listening your music much more
Mpk leo nyimbo namba moja on trend duh hii n maajabu
Nikiamini mi mtu wa mtu 🔥💔