TUSIOANE (NAOMBA TUSIOANE). 👉Ili uwe mmoja wa mtu mwenye uelewa wa elimu ya mazingira (elimu dunia) wanazuoni wanakutaka uwe na uwezo wa kupokea ukweli mchungu (madhaifu) na mawazo mapya hata kama wewe ni sehemu ya huo ukweli unaoambiwa. Kwa namna nyingine ni sawa na kusema, ukubali kukosolewa kwenye mlengo ambao wewe umeusimamia iwe kiimani, kabila na vitu vingine. Uwezo wa kuziona kasoro kwenye mlengo ambao wewe unasimamia basi tunaweza kusema wewe ni mwelevu kwa maana hautangulizi hisia kwenye kuliendea jambo kwani ukitanguliza hisia huwezi kuyaona madhaifu ya unachokiamini. 👉 Mwanaume kiasili aliumbwa ili kuja kusambaza mbegu (kuwa na wanawake tofauti tofauti kimahusiano), hii ni kabla ya ujio wa imani za kidini. Mfumo wa kumtengenezea mazingira mwanaune aache kusambaza mbegu na kuwa na nyumba inayotambulika (ndoa) ulikuja baada ya kile kilichoitwa kustaraabika kwa mtu au kama waitavyo wengine binadamu (Civilization of a man kind). 👉Ujio wa ndoa bado umekuwa na changamoto nyingi kwani inamtaka mtu afanye maigizo na mwenza wake ili waweze kuendana matakwa yao (to match interests), kama huwezi kuigiza ili usimkwaze mwenzako kamwe huwezi himili ndoa na ndio maana baada ya kushindwa kufanya kile mwenza wako anachokitaka mwishowe mtaishia kuachana na mwanaume atarudi kwenye asili yake ya kusambaza mbegu. 👉Unaweza kukuta una msichana unapendana nae sana ila kwa vile hamuishi pamoja (kama ndoa) kuna vitu vingi sana anakuwa havijui kuhusu wewe na wewe pia kuna vitu vingi unakuwa huvijui kuhusu yeye kwa kifupi munafichana ili kuepushiana maumivu yote kwasababu mnapendana. Ila inavyotokea tu mmeoana, baada ya muda kila mmoja huonesha makucha yake na kuishia kuachana. Na ndipo linapokuja swala la maigizo, je unavumiliaje maumivu au maudhi unayofanyiwa na mwenza wako?. So muda mwingine inabidi uzuge hujaumia tu kwenye swala lililokuumiza ili uilinde ndoa yako (sanaa ya maigizo). 👉Sasa huyu jamaa anaitwa Mwanazuoni SHAULIN SENETOR kutoka KINASAWAZI MBEYA, anajaribu kumuambia mpenzi wake anaempenda kwa dhati kuwa wasioane kwani angependa kuona wakiendelea kuishi kwa kipindi cha maisha yao yote. Anafanya hivi kwasababu anaogopa wakioana kila mmoja atajikuta akizijua siri ambazo zilikuwa zimejificha na mwisho wakaishia kuachana kitu ambacho hakitaki kamwe kukishuhudia. Yuko tayari kutoa huduma zake zote kwa mpenzi wake kama anazotakiwa kupata mke wa ndoa ila kwa sharti moja tu WASIOANE kwasababu wakioana watajikuta wanajuana kiundani na vitu kama kibuli, wivu vitawafanya wagombane na mwisho waachane wakati walishakuwa kwenye mahusiano bila ndoa kwa miaka mingi. 👉Huu wimbo unaitwa, "TUSIOANE" kutoka kwa Mwanazuoni Shaulin Seneta Msomi.Na hii ni sanaa ya handaki na ndio mhimili wa muziki wa HIP HOP kwa kiwanda chetu hapa TANZANIA. Kuna mengi ya kujifunza huku handakini ila ni kama ubongo wako uko tayari kupokea mawazo mapya au yenye mlengo ambao hukuuamini. FOR THE LOVE OF UNDERGROUND HIP HOP
TUSIOANE (NAOMBA TUSIOANE).
👉Ili uwe mmoja wa mtu mwenye uelewa wa elimu ya mazingira (elimu dunia) wanazuoni wanakutaka uwe na uwezo wa kupokea ukweli mchungu (madhaifu) na mawazo mapya hata kama wewe ni sehemu ya huo ukweli unaoambiwa. Kwa namna nyingine ni sawa na kusema, ukubali kukosolewa kwenye mlengo ambao wewe umeusimamia iwe kiimani, kabila na vitu vingine. Uwezo wa kuziona kasoro kwenye mlengo ambao wewe unasimamia basi tunaweza kusema wewe ni mwelevu kwa maana hautangulizi hisia kwenye kuliendea jambo kwani ukitanguliza hisia huwezi kuyaona madhaifu ya unachokiamini.
👉 Mwanaume kiasili aliumbwa ili kuja kusambaza mbegu (kuwa na wanawake tofauti tofauti kimahusiano), hii ni kabla ya ujio wa imani za kidini. Mfumo wa kumtengenezea mazingira mwanaune aache kusambaza mbegu na kuwa na nyumba inayotambulika (ndoa) ulikuja baada ya kile kilichoitwa kustaraabika kwa mtu au kama waitavyo wengine binadamu (Civilization of a man kind).
👉Ujio wa ndoa bado umekuwa na changamoto nyingi kwani inamtaka mtu afanye maigizo na mwenza wake ili waweze kuendana matakwa yao (to match interests), kama huwezi kuigiza ili usimkwaze mwenzako kamwe huwezi himili ndoa na ndio maana baada ya kushindwa kufanya kile mwenza wako anachokitaka mwishowe mtaishia kuachana na mwanaume atarudi kwenye asili yake ya kusambaza mbegu.
👉Unaweza kukuta una msichana unapendana nae sana ila kwa vile hamuishi pamoja (kama ndoa) kuna vitu vingi sana anakuwa havijui kuhusu wewe na wewe pia kuna vitu vingi unakuwa huvijui kuhusu yeye kwa kifupi munafichana ili kuepushiana maumivu yote kwasababu mnapendana. Ila inavyotokea tu mmeoana, baada ya muda kila mmoja huonesha makucha yake na kuishia kuachana. Na ndipo linapokuja swala la maigizo, je unavumiliaje maumivu au maudhi unayofanyiwa na mwenza wako?. So muda mwingine inabidi uzuge hujaumia tu kwenye swala lililokuumiza ili uilinde ndoa yako (sanaa ya maigizo).
👉Sasa huyu jamaa anaitwa Mwanazuoni SHAULIN SENETOR kutoka KINASAWAZI MBEYA, anajaribu kumuambia mpenzi wake anaempenda kwa dhati kuwa wasioane kwani angependa kuona wakiendelea kuishi kwa kipindi cha maisha yao yote. Anafanya hivi kwasababu anaogopa wakioana kila mmoja atajikuta akizijua siri ambazo zilikuwa zimejificha na mwisho wakaishia kuachana kitu ambacho hakitaki kamwe kukishuhudia. Yuko tayari kutoa huduma zake zote kwa mpenzi wake kama anazotakiwa kupata mke wa ndoa ila kwa sharti moja tu WASIOANE kwasababu wakioana watajikuta wanajuana kiundani na vitu kama kibuli, wivu vitawafanya wagombane na mwisho waachane wakati walishakuwa kwenye mahusiano bila ndoa kwa miaka mingi.
👉Huu wimbo unaitwa, "TUSIOANE" kutoka kwa Mwanazuoni Shaulin Seneta Msomi.Na hii ni sanaa ya handaki na ndio mhimili wa muziki wa HIP HOP kwa kiwanda chetu hapa TANZANIA. Kuna mengi ya kujifunza huku handakini ila ni kama ubongo wako uko tayari kupokea mawazo mapya au yenye mlengo ambao hukuuamini.
FOR THE LOVE OF UNDERGROUND HIP HOP
Nakukubali sana seneta nimefanya na remix ya ngoma yako ya majani naipenda sana na nataman one day tufanye kazi by mkayo theboss
Sema idea inaukweli umetisha
Sentori ndio jina la mchezo🔥🔥💯
Shaulini ninjaaaaaaaaa we ni mbaya 🔥🔥🔥🔥🔥
Kwishaa ✊🇹🇿🏹
MwanaZuoni
Makini Sana Shaulin Seneta
Malogic yakuzidi mzee 🎉🎉🎉
Nishamjenge Nyumba kubwa ya Kifahari akae mwenyewe
ruclips.net/video/66Qq6RjxAjI/видео.htmlsi=R31i56idKbO29Oe1❤❤
Seneta🙌🙌
Kuna madini meng sana humu kwa sisi ambao tunawza kuowa 😂😂
Ngoma safi sana familia, content ❤
WE JAMAAA N9MA
Umetisha Mzee
Bonge la mbupu
repesent Kinasa wazi🔥✊
Shaulin
Mwanazuoni 🚀🚀🔥
Zaidi ya SOMO 👊
Sure
Shaolin Seneta hujawahi kufeli mwamba MADINI ya KUTOSHA Heshima sana kwako ✊🏿
ohoooo!!kaliii
From Mombasa..Madini Matupu Seneta
Pamoja toka bamburi
Familia ✊🏿
Super
Kali Sana mzazi
Heshima mzee
TUSIOANE CAUSE "Furaha ya uchumbani ni Tofauti na Furahaya Ndoani...✍️🔥🔥🔥 #Shaulin_Seneta 🙌🏻🙌🙌🙌
Wenona tena wend noma yenyew kwenye stories ♥
Eti dada baby😂😂😂😂
Oyaaa weee😂😂
Naam! Concious
Hahaha bonge La IDEA
producer aliyepiga hili beat lina hisia sana...maua yake tafadhali
Brother ngomaa kalii sanaa ni 🔥 🔥
Oii Seneta hii ni 🔥🔥🔥
Seneta 🔥🔥🔥
Senetor.... Sahihi sana..
Shaulini Mwanazuonj 🔥
shikamoo shaulin na wise G
Dizasta family
Nakibal mzee
Akili Nyingi. #MicsharikiAfrica
Mamae🔥🔥🔥
Noma
Oya haya mangoma, yanafaaa kuuzwa kabisa ila machoko wanawapa air time machoko kwa kigezo cha ubunifu
✍️🏿💥💥💣
mwanazuoni oooooooii oi
Msomi
Nice bro
Macontent deilee,sema tuma na audio sasa
Goma Kali mno
#Mwanazuoni
Uandishi mzr
🔥🔥💪💪
Mwanazuoni
Conscious
Back, today and tomorrow.
❤❤❤
Tusioane
💥💥💥🇹🇿
Content kk 🫡
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tunaomba audio ambayo haina hayo maigizo ya mwanzo yaani yaani tukiplay ianze ngoma sio hayo maigizo
audiomack.com/shaulin-seneta/song/shaulin-tusioane?share-user-id=81621294
Seneta
Kila likinijia wazo la kuoa,ntajitahid nwe naskiliza hii ngoma..😂
Duuu! Inahitaji muda kutabakari,,,, ki2 mzee
Sure
Shaulin senetaaa... one love brother 💯💯