Shaulin Seneta Tusioane (official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 74

  • @Gmafic
    @Gmafic 4 месяца назад +4

    TUSIOANE (NAOMBA TUSIOANE).
    👉Ili uwe mmoja wa mtu mwenye uelewa wa elimu ya mazingira (elimu dunia) wanazuoni wanakutaka uwe na uwezo wa kupokea ukweli mchungu (madhaifu) na mawazo mapya hata kama wewe ni sehemu ya huo ukweli unaoambiwa. Kwa namna nyingine ni sawa na kusema, ukubali kukosolewa kwenye mlengo ambao wewe umeusimamia iwe kiimani, kabila na vitu vingine. Uwezo wa kuziona kasoro kwenye mlengo ambao wewe unasimamia basi tunaweza kusema wewe ni mwelevu kwa maana hautangulizi hisia kwenye kuliendea jambo kwani ukitanguliza hisia huwezi kuyaona madhaifu ya unachokiamini.
    👉 Mwanaume kiasili aliumbwa ili kuja kusambaza mbegu (kuwa na wanawake tofauti tofauti kimahusiano), hii ni kabla ya ujio wa imani za kidini. Mfumo wa kumtengenezea mazingira mwanaune aache kusambaza mbegu na kuwa na nyumba inayotambulika (ndoa) ulikuja baada ya kile kilichoitwa kustaraabika kwa mtu au kama waitavyo wengine binadamu (Civilization of a man kind).
    👉Ujio wa ndoa bado umekuwa na changamoto nyingi kwani inamtaka mtu afanye maigizo na mwenza wake ili waweze kuendana matakwa yao (to match interests), kama huwezi kuigiza ili usimkwaze mwenzako kamwe huwezi himili ndoa na ndio maana baada ya kushindwa kufanya kile mwenza wako anachokitaka mwishowe mtaishia kuachana na mwanaume atarudi kwenye asili yake ya kusambaza mbegu.
    👉Unaweza kukuta una msichana unapendana nae sana ila kwa vile hamuishi pamoja (kama ndoa) kuna vitu vingi sana anakuwa havijui kuhusu wewe na wewe pia kuna vitu vingi unakuwa huvijui kuhusu yeye kwa kifupi munafichana ili kuepushiana maumivu yote kwasababu mnapendana. Ila inavyotokea tu mmeoana, baada ya muda kila mmoja huonesha makucha yake na kuishia kuachana. Na ndipo linapokuja swala la maigizo, je unavumiliaje maumivu au maudhi unayofanyiwa na mwenza wako?. So muda mwingine inabidi uzuge hujaumia tu kwenye swala lililokuumiza ili uilinde ndoa yako (sanaa ya maigizo).
    👉Sasa huyu jamaa anaitwa Mwanazuoni SHAULIN SENETOR kutoka KINASAWAZI MBEYA, anajaribu kumuambia mpenzi wake anaempenda kwa dhati kuwa wasioane kwani angependa kuona wakiendelea kuishi kwa kipindi cha maisha yao yote. Anafanya hivi kwasababu anaogopa wakioana kila mmoja atajikuta akizijua siri ambazo zilikuwa zimejificha na mwisho wakaishia kuachana kitu ambacho hakitaki kamwe kukishuhudia. Yuko tayari kutoa huduma zake zote kwa mpenzi wake kama anazotakiwa kupata mke wa ndoa ila kwa sharti moja tu WASIOANE kwasababu wakioana watajikuta wanajuana kiundani na vitu kama kibuli, wivu vitawafanya wagombane na mwisho waachane wakati walishakuwa kwenye mahusiano bila ndoa kwa miaka mingi.
    👉Huu wimbo unaitwa, "TUSIOANE" kutoka kwa Mwanazuoni Shaulin Seneta Msomi.Na hii ni sanaa ya handaki na ndio mhimili wa muziki wa HIP HOP kwa kiwanda chetu hapa TANZANIA. Kuna mengi ya kujifunza huku handakini ila ni kama ubongo wako uko tayari kupokea mawazo mapya au yenye mlengo ambao hukuuamini.
    FOR THE LOVE OF UNDERGROUND HIP HOP

  • @GregoryNarcis
    @GregoryNarcis 5 месяцев назад

    Nakukubali sana seneta nimefanya na remix ya ngoma yako ya majani naipenda sana na nataman one day tufanye kazi by mkayo theboss

  • @johnmichael-zg6sd
    @johnmichael-zg6sd 5 месяцев назад +3

    Sema idea inaukweli umetisha

  • @bakarisarai2285
    @bakarisarai2285 5 месяцев назад +1

    Sentori ndio jina la mchezo🔥🔥💯

  • @uchebechata9823
    @uchebechata9823 5 месяцев назад +2

    Shaulini ninjaaaaaaaaa we ni mbaya 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @FadaBronx
    @FadaBronx 5 месяцев назад

    Kwishaa ✊🇹🇿🏹

  • @petersimon2115
    @petersimon2115 4 месяца назад +1

    MwanaZuoni

  • @robertgagabhi8188
    @robertgagabhi8188 5 месяцев назад +2

    Makini Sana Shaulin Seneta
    Malogic yakuzidi mzee 🎉🎉🎉

  • @amphotericktanzania8811
    @amphotericktanzania8811 5 месяцев назад +4

    Nishamjenge Nyumba kubwa ya Kifahari akae mwenyewe

    • @BellNotification
      @BellNotification 5 месяцев назад

      ruclips.net/video/66Qq6RjxAjI/видео.htmlsi=R31i56idKbO29Oe1❤❤

  • @emmanuelmwaipopo3039
    @emmanuelmwaipopo3039 5 месяцев назад +2

    Seneta🙌🙌

  • @teilencedevard9431
    @teilencedevard9431 5 месяцев назад +3

    Kuna madini meng sana humu kwa sisi ambao tunawza kuowa 😂😂

  • @MBANGA_NAME
    @MBANGA_NAME 5 месяцев назад +3

    Ngoma safi sana familia, content ❤

  • @munixpicentertainment
    @munixpicentertainment 4 месяца назад +1

    WE JAMAAA N9MA

  • @stephanojofrey6757
    @stephanojofrey6757 5 месяцев назад +1

    Umetisha Mzee

  • @peterLoshilo
    @peterLoshilo 4 месяца назад +2

    Bonge la mbupu

  • @Ramjane_OG
    @Ramjane_OG 5 месяцев назад +2

    repesent Kinasa wazi🔥✊

  • @AlphaAbdallah-uv4rs
    @AlphaAbdallah-uv4rs 4 месяца назад +1

    Shaulin

  • @nicksonchisunga3062
    @nicksonchisunga3062 5 месяцев назад +2

    Mwanazuoni 🚀🚀🔥

  • @FrancisGeorge-ez8ov
    @FrancisGeorge-ez8ov 5 месяцев назад +2

    Zaidi ya SOMO 👊

  • @ShaqueeBlackrapper
    @ShaqueeBlackrapper 5 месяцев назад +2

    Shaolin Seneta hujawahi kufeli mwamba MADINI ya KUTOSHA Heshima sana kwako ✊🏿

  • @Nathanielmwangemi
    @Nathanielmwangemi 5 месяцев назад +2

    ohoooo!!kaliii

  • @johntengete7341
    @johntengete7341 5 месяцев назад +2

    From Mombasa..Madini Matupu Seneta

  • @dmanconscious573
    @dmanconscious573 4 месяца назад +1

    Familia ✊🏿

  • @ukokolaareaplus3288
    @ukokolaareaplus3288 5 месяцев назад +2

    Super

  • @HassanGaddafi-s7g
    @HassanGaddafi-s7g 5 месяцев назад +2

    Kali Sana mzazi

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 5 месяцев назад +1

    TUSIOANE CAUSE "Furaha ya uchumbani ni Tofauti na Furahaya Ndoani...✍️🔥🔥🔥 #Shaulin_Seneta 🙌🏻🙌🙌🙌

  • @lucasbonface-lv5ek
    @lucasbonface-lv5ek 5 месяцев назад +1

    Wenona tena wend noma yenyew kwenye stories ♥

  • @gwantadibusta
    @gwantadibusta 5 месяцев назад +3

    Eti dada baby😂😂😂😂

  • @bakarisalim9372
    @bakarisalim9372 5 месяцев назад +3

    Naam! Concious

  • @dankirunda3368
    @dankirunda3368 5 месяцев назад +1

    Hahaha bonge La IDEA

  • @IDPressLimited
    @IDPressLimited 4 месяца назад +2

    producer aliyepiga hili beat lina hisia sana...maua yake tafadhali

  • @japhetimvyombo3684
    @japhetimvyombo3684 5 месяцев назад +2

    Brother ngomaa kalii sanaa ni 🔥 🔥

  • @kzeflow
    @kzeflow 5 месяцев назад +3

    Oii Seneta hii ni 🔥🔥🔥

  • @wamtei
    @wamtei 5 месяцев назад +2

    Seneta 🔥🔥🔥

  • @Pai-3.14
    @Pai-3.14 5 месяцев назад +2

    Senetor.... Sahihi sana..

  • @gotintito4455
    @gotintito4455 5 месяцев назад +1

    Shaulini Mwanazuonj 🔥

  • @mchaletek2324
    @mchaletek2324 5 месяцев назад +1

    shikamoo shaulin na wise G

  • @Vers456
    @Vers456 5 месяцев назад +6

    Dizasta family

  • @SelemanSwalehe
    @SelemanSwalehe 5 месяцев назад +2

    Nakibal mzee

  • @micshariki.africa
    @micshariki.africa 5 месяцев назад +1

    Akili Nyingi. #MicsharikiAfrica

  • @briandelight6776
    @briandelight6776 5 месяцев назад +2

    Mamae🔥🔥🔥

  • @ItsFrankKAPANDE
    @ItsFrankKAPANDE 4 месяца назад

    Oya haya mangoma, yanafaaa kuuzwa kabisa ila machoko wanawapa air time machoko kwa kigezo cha ubunifu

  • @HaKuNaMaTaTa101eNT
    @HaKuNaMaTaTa101eNT 5 месяцев назад +2

    ✍️🏿💥💥💣

  • @kennethmasha5507
    @kennethmasha5507 5 месяцев назад +2

    mwanazuoni oooooooii oi

  • @richardbarnaba3976
    @richardbarnaba3976 5 месяцев назад +2

    Msomi

  • @edwinwilfred8343
    @edwinwilfred8343 5 месяцев назад +2

    Nice bro

  • @Galilayatz
    @Galilayatz 5 месяцев назад +2

    Macontent deilee,sema tuma na audio sasa

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 5 месяцев назад +1

    Goma Kali mno

  • @musambaruku6661
    @musambaruku6661 5 месяцев назад +2

    #Mwanazuoni

  • @mickjizze
    @mickjizze 5 месяцев назад +2

    Uandishi mzr

  • @NestymwampambaMwampamba
    @NestymwampambaMwampamba 5 месяцев назад +1

    🔥🔥💪💪

  • @Damiantuby
    @Damiantuby 5 месяцев назад +1

    Mwanazuoni

  • @deusnyengo9324
    @deusnyengo9324 4 месяца назад

    Conscious

  • @kilimapozimuvinajr.
    @kilimapozimuvinajr. 5 месяцев назад +2

    Back, today and tomorrow.

  • @fredrickkakila9392
    @fredrickkakila9392 5 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @abelnegongullo3175
    @abelnegongullo3175 5 месяцев назад +3

    Tusioane

  • @deciphertz
    @deciphertz 5 месяцев назад

    💥💥💥🇹🇿

  • @GwamakaMwandeko-qk7hy
    @GwamakaMwandeko-qk7hy 5 месяцев назад +2

    Content kk 🫡

  • @clausmangula8077
    @clausmangula8077 5 месяцев назад +2

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @daudmaikomwakapoma213
    @daudmaikomwakapoma213 4 месяца назад +1

    Tunaomba audio ambayo haina hayo maigizo ya mwanzo yaani yaani tukiplay ianze ngoma sio hayo maigizo

    • @shaulinsenetamwanazuoni
      @shaulinsenetamwanazuoni  4 месяца назад +2

      audiomack.com/shaulin-seneta/song/shaulin-tusioane?share-user-id=81621294

  • @iddymwambene8733
    @iddymwambene8733 5 месяцев назад +3

    Seneta

  • @hajikidege
    @hajikidege 5 месяцев назад +2

    Kila likinijia wazo la kuoa,ntajitahid nwe naskiliza hii ngoma..😂

  • @jossporahmsw8420
    @jossporahmsw8420 5 месяцев назад +2

    Duuu! Inahitaji muda kutabakari,,,, ki2 mzee

  • @kiondosaimon6149
    @kiondosaimon6149 5 месяцев назад +1

    Shaulin senetaaa... one love brother 💯💯