WARM UP (Remix) - Manengo Feat Nacha,P The Mc,Stamina,Moni Centrozone,Nuhmziwanda
HTML-код
- Опубликовано: 10 мар 2021
- #Manengo #WarmUp(Remix) #Nacha #PTheMc #Stamina #MoniCentrozone #NuhMziwanda #SlideDigital
(C) Free Nations
Manengo Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/manengo
Written & Performed by Manengo
For Bookings : Rafaelmanengo@gmail.com
Raphael Charles Lucas popularly known as Manengo,is an hiphop artist in Tanzania (Recording Artist/ Music composer). He was born 1995 in the city Mwanza .Manengo has achieved massive gains through his mostly liked songs “ Bomba Ipepee, warm up/ warm up remix and a lot of nice songs which are doing great in east Africa
Follow Manengo on:
Instagram: / manengo_tz
Facebook: / manengo.tz
Twitter: manengo_tz?s=09
Tiktok: www.tiktok.com/@manengo_tz?la...
Bombaipepee● • Manengo Ft Stamina & M...
Habari●
• Manengo - Habari (Off...
Kwambinde● • Manengo - Kwa Mbinde (...
Jirani●
• Manengo Feat Belle 9 -...
Kwaheri●
• Manengo_ Kwaheri (Offi...
Mbuzi●
• Manengo_Mbuzi (Officia...
Warm up●
• Manengo - Warm Up (Off...
Hayana Jipya●
• Manengo Ft Belle9 & Mr...
Warm up remix●
• WARM UP (Remix)_Maneng...
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz - Развлечения
Mohdy kutoka 254,naikubali bongo hip hop
P the Mc yuko level tofauti🔥🔥😍 kama unaiubali gonga like ukipita
Kila wakiskia NACHA 🔥🔥🔥
Wapi likes za Nyasubi
Bandle ni moto wa kiotea mbali
P mawenge 💪💪💪💪💥💥💥💥💥
Mawenge❤
nengo mwanza mwanza✊
majengo sokoni 👏🏻
pmawenge baba unajua 🔥🔥🔥
Ndoo ya barafu henessy 1
Coca nyingiii😁😁👊
Simuoni Bagdady humu jmaniiiii
Nilidhan n macho yangu tu ndo hayajamuona
BONGE LA PUMBU WANANGU YAANII 💥💥💥💥💥💥💥💥 ILA MONI CENTROZONE KACHIIIIINJAAAAAAAAAAA
p mawenge
Umu namba1
nacha2
Stamina wameuwa
Hawa wote mafundiii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Oyaaa mzee ft Jaivah & Frida amani
goma kali wazee mnajua xn
mnabadilisha game
Goma litaishi sana wajanja tunaelewa
Napika walimwengu na mboga dagaa mchele ivi ninani apo kapita ivyo majibu tafazali💥💥💥💥
We need another one of 2023 from this crew❤
Stamina na nyi daaa. Munatisha sana
Tanzania dsm ii ngoma ni faya
Central Zone, Unahisi wana wamekutenga na ulishare nao madesa, Hawaja kutenga wanasubiri upate Pesa....... noma sana
Kuna marapa Bora halafu Kuna p mawenge 🙌🙌🙌🙌🙌
Nacha aliua sana hii kitu
More love nengo kuwaleta hawa jamaa pamoja
Daaa Hili Song La moto sanaa ,Ivi nani kwanza anaangalia video huku anasoma comment Tujuane Haraka aisee
Iddy munyamwez apa man👊
Na Nina mkubar xana p mawenge Ogg 💪
@@iddyismaily4914 Nakubali man
Nalikubali pia
Nom san
Maweng3ee🔥🔥🔥💥
Like za moniiiiiiiiiiiiii
Hennesy moja coca nyingiii😀😀😀
P Mawenge💪💪💪
Mwanetu moni unatubeba centra zone! we proud of u
Humu kawakalisha majengo sokoni 🔥🔥🔥
Walio chizika Na verse ya MONI CENTROZONE GONGA LIKE HAPAAAAAA
Yupo tangu watu wameolewa na king konk
Mmeua wakali🔥🔥🔥
Moni hiyo sauti balaaaaaah (indodomya)
Hip hop is fire
Sitaki mechi na vibonde Dimba la kati la kwangu MUKOKO TONOMBE
watu wa Yanga tuishinayo hii 💚💚💛💛
P Mawenge, flow hatari sana kaka
hapa kakosekana Mr Blue Simba mwenyewe
Hatariii
ndio iyo mwanangu """ Upo tu sahihi #MajengoSokonCrew#malume
Ni mimi tu ndo narudiarudia verse ya P Mawenge? 🔥🔥🔥🔥🔥
Tupo wengi
Tupo weng
Mm pia
Mawenge kaua sana
Huyu Mwamba ni hatari sana mzee
Ngone💯💯💯
Sana wanangu presoo ni Ile ile 💪👊👊
Mziwanda korasi umeinyosha sana
Anaitwa Manengo hatari mtu huyu,🇰🇪
The beats tu wueh 🔥 🔥 🔥
My boy Nacha n mr bonventure
Nmeikubali ✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️ kinomaaaaaaa
Damn it,hiyo kitu ni hatari p mawenge, Moni centrozone
Nacha mnomaa Sanaa umepita🔥🔥🙌🙌
mbati Kali zaidi ya kawaida
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪kam inbox
nyasubi ndani ya mbanyu. hatar sana uyu mwamba
Jamaa ukweli usemwe majengo sokoni aka centrozone kaua🔥🔥🔥🔥
Hapa ni punchlines tupu 🔥🔥🔥🔥 na hii ni warm up tu
Hip kaz Nakubali wahuni kazin
Hom Boy Manengo hapa tushatoboa mwamba, wengi tunaishi tegeta nyuki ila hatujui utamu wa asali.
P Mawenge kawaonea sana madogo 😀😀😀😀
Mawenge na moni centrozone wameua balaa
nengo kawaua kabisa
Nacha Kenya loves you. Top top song
.malume.....ndo ya barafu na koka moja
Bloody of bloody salute NACHA💪💪💪
@Kingmapesah yes buanaa
Nacha is killin in, “Muhind anachachawa namuua Fernabache nampa Basel!!”
Hennessey moja coca nyingiiiiii😂
Wamemchokoza bea😀😀😀
Nacha❤
Mko deep sana wahuni
Am from kenya Rapper still nawatambua 💥💥💥💯💬💬👊👊
Mawenge na Moni wameuaaaaaaa
All in all Stamina kauaaa
Anaitwa Manengo hatari mtu huyu
Mawengeeeee
Kali saaana 💯💯💯💯
Nacha oyooooooo💪💪
Hahahaha 🙄🙄🤔🤔 jamn mmetihach San wan big up Jah bless kwa Wana hip hop like 👆👆👆🙏manengo& nach
Manengo hatajwi ila mitaa ndio inamtaja...
Qariiiiiii @Nivoneel
Kama umekubali p mawenge nionee like yako
Mawenge killer💪💪💪
Daima me ni mbele tu...💪💪
Wengeeeeeeeee wakisikia Nachaaaaaaaaaaaaaa 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 mkumbuke hii ni *Warm up tu sio Mechi*
Moniiiiiiiiii🏋🏋🏋
NACHA representing Nyasubi 💥💥💥
Nani anakubali Manengo kaua
Kaliii sana. Bagdad yukwap
Stamina mmempa respect Sana amestahili
Oa nawakubali xqna madem wanao ikubali hip hop kuluko kawaida yan
Hamna kitu kabisa
uku stamina umeuwa babaangu umenikumbusha enz jana naleo
Henees moja kila nyingi
Waliofunika kwa namba
1. P Mawenge (Kwa sababu anaflow kali, vocal kali na Punch kali pia hana sifa za hiyo mistari ya kicomedy lakini ukimsikia lazima utacheka na kufurahi pia utajifunza na ujumbe wake hufika sawia kabisa)
2. Moni Centrozone ( Ana sifa inayokaribiana na Pmawenge ila kikubwa anapochana kwenye Bum Bap anakuwaga wa tofauti sana)
3. Nacha( Ana sifa ya mistari ya kicommedy na kudeliver ujumbe fulani hivi)
4. Manengo(Mistari ya kiComedy ni mingi kuliko Content, nimeishia kucheka au umeniburudisha lakini sijajifunza kitu. Ila sio mbaya kwa kuwa umenifurahisha pia naongeza siku za kuishi)
5. Stamina(Umewapa watoto ujinga wa mistari ya kicommedy sana kuliko content, ila pia hiyo mistari ina raha yake sio mibaya mwanangu STAMINA. Nakukubali sana kaka unatisha. Pia unazo ngoma zako za ujumbe na mafunzo ikiwemo ile uliyo fanya na Proffesor jay na zingine za zamani)
EXTRA-(Heshima pia ziende kwa #nuhmziwanda kwa Chorus Kali.
Kiujumla woote mmeua kwa aina ya mistari yenu hakuna aliyekuwa na mistari mibaya humo.
Msikilize TN stamina Kwa makini
Ujamuelewa kwa umakin stamina rudia ten vizuri
Mmetisha yaaan ngumu kuliko
Sitaki mechi na vibonde 🔥🔥🔥🔥
Hakika inapendeza
Ngoma Kali san
kama richard munduri na mradi wa richmond dondosha like za @moni centrozone hapa
Nyimbo INA choma kwahakiiiii
Really hip hop watu wamekaza ile mbaya
Moni.... Fireeeeeeee
Mon cetrozone 🔥🔥🔥🔥🔥 home boy dom city
mawenge umepita kama goma lako iviii
Muhindi anamawazo🦻🏼🎶🎶