Manengo Ft Stamina & Mr blue - Bomba ipepee (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 июн 2019
  • #Manengo #Bombaipepee #Stamina #MrBlue #SlideDigital
    (C) Free Nations
    Manengo Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    ffm.to/manengo
    Written & Performed by Manengo
    For Bookings : Rafaelmanengo@gmail.com
    Raphael Charles Lucas popularly known as Manengo,is an hiphop artist in Tanzania (Recording Artist/ Music composer). He was born 1995 in the city Mwanza .Manengo has achieved massive gains through his mostly liked songs “ Bomba Ipepee, warm up/ warm up remix and a lot of nice songs which are doing great in east Africa
    Follow Manengo on:
    Instagram: / manengo_tz
    Facebook: / manengo.tz
    Twitter: manengo_tz?s=09
    Tiktok: www.tiktok.com/@manengo_tz?la...
    Bombaipepee● • Manengo Ft Stamina & M...
    Habari●
    • Manengo - Habari (Off...
    Kwambinde● • Manengo - Kwa Mbinde (...
    Jirani●
    • Manengo Feat Belle 9 -...
    Kwaheri●
    • Manengo_ Kwaheri (Offi...
    Mbuzi●
    • Manengo_Mbuzi (Officia...
    Warm up●
    • Manengo - Warm Up (Off...
    Hayana Jipya●
    • Manengo Ft Belle9 & Mr...
    Warm up remix●
    • WARM UP (Remix)_Maneng...
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 354

  • @dishangib
    @dishangib 7 месяцев назад +1

    Banger Hit Noma Sana Hatari Sana Aiseeee Noma Sana Nakubali Aiseeee Noma Sana 🔈🔉🔊🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @husseindatto8359
    @husseindatto8359 3 года назад +2

    Naombeni like

  • @johnsonmarick45
    @johnsonmarick45 4 года назад +1

    Stamina umetisha kama kawaaa

  • @tgeofrey
    @tgeofrey 2 года назад +1

    Shikamoo Manengo, Stamina, Mr Blue

  • @amolove_tzamolove_tz9655
    @amolove_tzamolove_tz9655 5 лет назад

    Wewewewewe!! Naona mmepenya kisa mkali weni kaimba coras ila mmetishaaaaaaaa maan na mm nikilalaliaga MTO huwa na.......

  • @ramadhanminani314
    @ramadhanminani314 4 года назад

    yani mmeuwa kinoma kabisa iyi nyimbo kali kiukweli hip pop halisi

  • @ayubauyb1233
    @ayubauyb1233 5 лет назад +3

    Bonnge la bitiiiii

  • @witnessanga3670
    @witnessanga3670 5 лет назад +2

    Bonge moj la ngom manengo sio poa

  • @daprinceonit909
    @daprinceonit909 4 года назад

    Yani me nimtam mpaka nandi Ali niomba Nim nogeshe. Kauli mbiu. Blue Nika subiri rap yake aaah ingekua kamili au sio. Bomba ipepee. Pika like ukienda kwani iko nini

  • @barnicoztv491
    @barnicoztv491 5 лет назад +1

    bonge la ngoma hili

  • @mathewsephraim7425
    @mathewsephraim7425 5 лет назад +17

    Ngoma kali aseeeeeeee
    Ira huyu manengo ndio kwanza gonga like km umeielewA
    Bomba ipepee

  • @homefilmz7400
    @homefilmz7400 3 года назад

    Dooo

  • @sefusai5334
    @sefusai5334 4 года назад

    Niko bar nakunywa pombe magufuli😎😎😎😎😎manengo

  • @BONGO_FILAMU
    @BONGO_FILAMU 5 лет назад +18

    Nani kagundua ngoma Kali... Kabla hujamsikia Blue na stamina

  • @shozylamparboom8393
    @shozylamparboom8393 5 лет назад +5

    wazee wa doria Tujuane hapaaa...Team Hip hop no bana bana pua na vidole juu hapa

  • @christophersoty101
    @christophersoty101 5 лет назад +21

    😂😂😂😂😂Amenikimbia MWANZA kaenda TABORA kaliwa
    wapi like za @MANENGO

  • @kevincray5591
    @kevincray5591 5 лет назад +14

    rock city similiki demu similiki shem💥💥💥✍✍✍dogo unaandika sana utawauwa

  • @listerboyka2672
    @listerboyka2672 4 года назад +4

    Nipo Bar nakunywa Pombe Magufuli 😂🔥🔥

  • @rajabumatuwira8792
    @rajabumatuwira8792 4 года назад +4

    "wambieni watabiri wa ndoto mi hiz ndoto znanionea, maana nkilala na mto huwa naotaga naogelea, na ununda wangu wote cjawahi kwenda segerea, gheto navuta subira kuliko poda na mmea"

  • @gervaskasala7321
    @gervaskasala7321 4 года назад

    Manengo upo juuuu,

  • @ibramuramadhani8769
    @ibramuramadhani8769 2 года назад

    Nomaaaa

  • @kuppetz
    @kuppetz 5 лет назад

    sina dem sina Shem ##na ukiona najichua jua namaumivu sehem##

  • @jobushabani9793
    @jobushabani9793 4 года назад

    Duuuuuuuuuuuui!!!!!!

  • @zezenature
    @zezenature 5 лет назад +67

    mko na bahati saaana Mr Blue hajachana hpo ndani cz mgefunikwa vinoma...love from 254

    • @datikazumari515
      @datikazumari515 5 лет назад +2

      Zeze Nature kweli kabisa

    • @sultanhassan7928
      @sultanhassan7928 3 года назад +1

      Hamna wewe...unamtambua stamina unamjua

    • @brianescobar6578
      @brianescobar6578 3 года назад +2

      Punchline ni manengo
      flow ni stamina
      enjoy the good music acheni comparison za kisenge

    • @zezenature
      @zezenature 3 года назад

      @@sultanhassan7928 namkubali pia bt byser ndio msee wa hardcore Sana kuliko yeye

    • @zezenature
      @zezenature 3 года назад

      @@brianescobar6578 umetuambia fikra zako nawe pia....acha tuwe huru

  • @leaderkyejo1705
    @leaderkyejo1705 5 лет назад

    Mm ni mtamu mpaka nandy aliniomba nimnogeshe ,,,,,,,,,,,hatareeeee

  • @mkapaliberatus3636
    @mkapaliberatus3636 5 лет назад

    Noma sana an hapo mmekutana wote mnajua kaz

  • @Ishengoma1
    @Ishengoma1 5 лет назад +1

    Jamaa anavyo itamka bodaaaaah dah!

  • @anordjosphatmasenemangosha1565
    @anordjosphatmasenemangosha1565 5 лет назад

    daaaaaaaaaaa ngoma kal sanaaaaaaa MANENGO

  • @machimulubinza5646
    @machimulubinza5646 4 года назад

    Nmeipenda manengo

  • @batterylow0.57
    @batterylow0.57 3 года назад

    Qaliiii

  • @harrismalone2316
    @harrismalone2316 4 года назад

    Nakubal boi unajua xana

  • @rainzaskatenga5643
    @rainzaskatenga5643 4 года назад

    Big up full time

  • @yusuffabian4773
    @yusuffabian4773 4 года назад

    rock town nakbali wanangu

  • @madraxnative1303
    @madraxnative1303 5 лет назад +4

    Mziki wa bongo jitaid kuwa na easy name bro...huoni kinachowaghalimu watt wa kiba wote majina yao yamekuwa mazito kwa mashabiki

  • @musaally5493
    @musaally5493 5 лет назад +17

    Manengo nakukubali sanaa hyo umeua zaid ya kwa mbinde salute kwa wanaa mkuyun mwanza @Jimmy tz adolf beat

  • @daudsango4104
    @daudsango4104 5 лет назад

    Daaaaaaaaaaaaah Mmeuaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @HabilyTech
    @HabilyTech 5 лет назад +28

    Moro stand up say STAMINA 💥💥💥💥💥💥

  • @wamichapotz9530
    @wamichapotz9530 5 лет назад

    Wakubwa ni wakubwa tu kama umenielewa wake like tusepe na jahazi tuvuke borda.

  • @alexsadala4059
    @alexsadala4059 5 лет назад +1

    nitaendesha ata garilaya

  • @shanizyusuf8210
    @shanizyusuf8210 5 лет назад

    Stamina vichwa viwili😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃nyinyi watu atarii

  • @aziziwailu7531
    @aziziwailu7531 2 года назад

    Nomaa saanaaaaa

  • @habarimtaani2254
    @habarimtaani2254 5 лет назад +9

    Ukiona natingisha kichwa angalia na Nazipu mana nina vichwa viwili ninavyotumia
    Nimecomment tena jamanii😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @mkapaliberatus3636
    @mkapaliberatus3636 5 лет назад

    Wacha bomba ipeeeeee woyooooooo

  • @clintonsyldion7684
    @clintonsyldion7684 3 года назад

    dogo umetisha kinoma

  • @hmatta3024
    @hmatta3024 5 лет назад +75

    Unapoteza muda kama mshenga wa dogo janja 😂😂 like kwa stamina

  • @mageuzimalya8386
    @mageuzimalya8386 5 лет назад

    Oooho nan huyo

  • @afrotrending9037
    @afrotrending9037 5 лет назад +1

    Nimeelewa kaz

  • @ahmedmahmudu1046
    @ahmedmahmudu1046 5 лет назад

    haya basi wote wakali ila tuliokuja kwa ajili ya mr blue tujuanae

  • @yusuphpetro2639
    @yusuphpetro2639 4 года назад

    Noumaa😍

  • @hajjichibu8117
    @hajjichibu8117 5 лет назад +3

    kali mr blue no nooooooooma big up gonga like kama una mkubali mr blue😍😘

  • @abubakarmaalim273
    @abubakarmaalim273 5 лет назад

    Hili goma shidaaaaa

  • @jeffchurum1431
    @jeffchurum1431 5 лет назад +10

    Hip hop irudi. Love from 254

  • @manothotz813
    @manothotz813 3 года назад

    Mistali imetulia kweli kweli

  • @tomplexbrigedier2282
    @tomplexbrigedier2282 5 лет назад +4

    Pole sana mnafiki Mr yuda mbele angu huwezi tamba"
    Naona unapoteza muda kama mshenga wa dogo janja"
    Bba lao jeshi la watu wafupi heshima Sana

  • @ramangole9501
    @ramangole9501 5 лет назад

    Nifayaaaaaaaaaaa

  • @bibomax4273
    @bibomax4273 5 лет назад

    ManenGO Monster

  • @francisleonardkusekwa5754
    @francisleonardkusekwa5754 5 лет назад

    Hahahaa, ukiniona najichua ujue namaumivu sehemu!!!

  • @mabustheboy9555
    @mabustheboy9555 5 лет назад +1

    noma sana

  • @bujiboytz4650
    @bujiboytz4650 5 лет назад +2

    "Nipo Kenya napewa papajones na kaligraph". Manengo

  • @Kamjay_baba_jayden.
    @Kamjay_baba_jayden. 5 лет назад

    Noma hiii👊👊👊👊

  • @molodashnonde2413
    @molodashnonde2413 5 лет назад

    Manengooooooooo kwambinde badotupo

  • @mathiasmkude362
    @mathiasmkude362 5 лет назад +7

    Kiukweli stamina unakipaji unajua nini unafanya kazi nzuri sana

  • @salimkombo7119
    @salimkombo7119 2 года назад

    Uko juu mwanangu stamina

  • @karimunjaid4271
    @karimunjaid4271 5 лет назад

    Uyu jamaa anachana sanaa

  • @rubenimnzava1489
    @rubenimnzava1489 3 года назад

    Mia xana leader unajua

  • @legawayz6093
    @legawayz6093 2 года назад

    Blue nouma 💪💪

  • @kizingahamimu5577
    @kizingahamimu5577 5 лет назад

    Umetisha iii ngoma makini sana

  • @mosesmhina9980
    @mosesmhina9980 5 лет назад

    Mmesimama sana maninja kwenye hichi kichupa

  • @silassteven9682
    @silassteven9682 4 года назад

    Hii ngoma kaliii kinyama

  • @famitoissanawanda7011
    @famitoissanawanda7011 5 лет назад

    Kweli kaka ngumu kumeza

  • @youngtaiz8359
    @youngtaiz8359 5 лет назад

    mwanangu manengo umenyooshaaaaa

  • @fatmahamisy4912
    @fatmahamisy4912 5 лет назад +2

    Manengo 😷😷🙌🙌🙌

  • @abdulhalimali1664
    @abdulhalimali1664 4 года назад

    Tumia akili kabla akili haija kutumia sawa baysa

  • @bugabasanga6239
    @bugabasanga6239 Год назад

    Hii moto mbati 2023

  • @emmanuelbonaventura4258
    @emmanuelbonaventura4258 5 лет назад

    Kali sanaa

  • @faustinekulwa2596
    @faustinekulwa2596 2 года назад

    Ngoma kariii

  • @hassanngea8430
    @hassanngea8430 5 лет назад

    Big up sana mmetisha mbaya humu

  • @woltabenadi2184
    @woltabenadi2184 5 лет назад

    Stamina umeuwa nakukubali kinoma

  • @athumaninuru6513
    @athumaninuru6513 3 года назад

    Noma kilo mbiliiii

  • @josephwangui7312
    @josephwangui7312 5 лет назад

    stamina blue Kali saana

  • @miketez2160
    @miketez2160 2 года назад

    Kali i🇰🇪❤️👌

  • @MK-xw7zr
    @MK-xw7zr 5 лет назад

    Sana bro

  • @mtelewalindi84
    @mtelewalindi84 2 года назад

    hiphop for every body

  • @sadcommpalestina516
    @sadcommpalestina516 5 лет назад +1

    wambien watabir wa ndoto, izi ndoto mimi zinanione mana nikilalaga na mto naota naogelea

  • @stahncalifornia214
    @stahncalifornia214 5 лет назад

    nyimbo kalii itakupeleka mbele

  • @pedrorachide6932
    @pedrorachide6932 4 года назад

    Mozambik 2nakumis sana Brow unaweza sana.

  • @marjanmahrez5465
    @marjanmahrez5465 5 лет назад +1

    Manengo pamoja sana ngoma kali

  • @norbertbambo4872
    @norbertbambo4872 5 лет назад

    Noma Sana manengo

  • @paulmaganga1313
    @paulmaganga1313 5 лет назад

    Guuudaa

  • @daudsango4104
    @daudsango4104 5 лет назад

    Nimrudia mara 10

  • @janewambui1523
    @janewambui1523 5 лет назад +2

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @amanikimbee6559
    @amanikimbee6559 2 года назад

    Ngoma ipepee

  • @dauddismas1898
    @dauddismas1898 5 лет назад +10

    Wap like kwa ngoma kali kutoka kwa manengo Tz

  • @antonymgina7378
    @antonymgina7378 5 лет назад

    Stamina umetisha naqubali MTU pimb

  • @tonybestsenior8874
    @tonybestsenior8874 5 лет назад

    Kali Sana!

  • @mwandegeplaza6504
    @mwandegeplaza6504 5 лет назад

    Ngoma kali saaana

  • @tomplexbrigedier2282
    @tomplexbrigedier2282 5 лет назад

    Heshima Sana...

  • @viceboy7368
    @viceboy7368 5 лет назад

    mwanza mwanza

  • @emanuelmwakibuja4598
    @emanuelmwakibuja4598 4 года назад +1

    Daaa mistar babkubwa big Sana stamina manengo na Mr blue mnanifanya nienjoy hip-hop stand-up

  • @prodyuzastanley5369
    @prodyuzastanley5369 2 года назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥