Stamina Feat Banana Zorro - Ukizaliwa (Official Video) {Part 2} SMS [Skiza 8091568] to 811

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 июн 2022
  • #Stamina #Ukizaliwa #SlideDigital
    Stamina Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    ffm.to/staminashorwebwenzi
    Written & Performed by Stamina & Banana Zorro
    Video Directed by Khalfani
    Follow Stamina on:
    / staminashorwebwenzi
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @issackchekwaze2127
    @issackchekwaze2127 Год назад +32

    Siku ukizaliwa nitarudia,tena kwa sauti na utasikia,sitaki kukuonya kuhusu dunia,sababu dunia ipo na utashuhudia. Mwana wa Zorro . Strong Vocalist ever

  • @massachussets4582
    @massachussets4582 Год назад +171

    “Usiwe mwanamke wa mwanamke,nataka uwe mwanamke wa mwanamume”. Message 💯

  • @trendingpages2351
    @trendingpages2351 Год назад +6

    So touching. My wife is 5months pregnant. ✨ May she deliver safe. ukizaliwaaaah

  • @zulfaabdala7370
    @zulfaabdala7370 Год назад +9

    Hii nyimbo imeimbwa na watu ambao wanajua wote ❤️❤️

  • @SamirBSam
    @SamirBSam Год назад +6

    Banana zorro fundi, mwalimu wa vocal, unyama mwingi sana. Umeniosha roho bro zorro. Stamina uko moto sana bro unajua, sauti iko poa sana, melodie kali sana, uandishi mzuri sana. Nashukuru kwakunipa muziki mzuri

  • @bwirenasser6518
    @bwirenasser6518 Год назад +24

    Stamina is something else.
    🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬👍
    He is short but tall in mind. Amazing 🤩🤩

  • @akilimilindikarim3551
    @akilimilindikarim3551 Год назад +2

    utamu unani uwa jamani,Stamina weni noma saaaaaaana.Duh

  • @nuelmikes
    @nuelmikes 7 месяцев назад +3

    Sijui kama ipo siku Kenya tutafika hii level ya muziki. Hongera ndugu zetu waTanzania kwa kufanya muziki na passion ambayo haipo kwingine Afrika

  • @TheMint_tz
    @TheMint_tz Год назад +57

    A masterpiece that contains :-
    No hot girls,
    No swearing,
    Tells a story,
    And sends a message,
    Truly a masterpiece by the masterpieces themselves. @STAMINA&ZOLO

  • @briantomzn2441
    @briantomzn2441 Год назад +3

    Hii Ngoma lazima siku moja nimshikishie wangu..I'm 18 yrs but I can feel it best for my generation

  • @shabanmageta5936
    @shabanmageta5936 Год назад +2

    Stamina hii umeandika San kaka na asa huyu Mt ulomshirikisha ooooh ameuwa vibaya kweny kitikio big up broo

  • @ogechilinus1
    @ogechilinus1 Год назад +5

    Mr. Bonventure...much love from Kenya. Kazi safi. Mafans wa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 we salute you

  • @khamisnjiwa415
    @khamisnjiwa415 Год назад +9

    Ngoma kaliiii sana tuendelee kusikiliza na kutizama🔥🔥🔥🔥

  • @robinmdamu3938
    @robinmdamu3938 Год назад +32

    "Tambua we sio mdoli ukubali ukachezewa"number one fan from 254🇰🇪 you never disappoint Shorwebwenzi,waiting for part3

  • @clemencemtei6278
    @clemencemtei6278 Год назад +3

    Tujuane tulie rudia zaidi ya mara 3😲😳😲

  • @issackchekwaze2127
    @issackchekwaze2127 Год назад +1

    Mwanangu ,wanaume wenye pesa ni wengi,ila wenye mapenzi wapo wachache kishenzi apo akili ku mkichwa.Duuuh!!!!noma sana

  • @monnahmo_tz
    @monnahmo_tz Год назад +17

    Asanteh kwa kuendelea kuiheshimisha Moro Town na pia bongo hip hop Tz,,,,🙌🙌🙌🙌🔥🔥

  • @ommykingpin2786
    @ommykingpin2786 Год назад +33

    Kenyan we salute you guys
    Punchline 💯
    Creativity 💯
    Content delivery 💯❤️🔥🇰🇪

  • @anthonywamae6541
    @anthonywamae6541 Год назад +23

    Am from Kenya, but guys let me tell you.... Stamina is 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥, nafurahia sana wakifanya kazi na Roma🔥🔥🔥......... How I wish nawezafuatanisha kiswahili kama Stamina.... Bwana, you kill the Mic everytime...... Alafu, Banana Zorro ana sauti nzuri sana, inafanana na ya GrampsMorgan ule wa Jamaica.... Tanzanians we love you guys

  • @user-kf1yr3kx2o
    @user-kf1yr3kx2o Месяц назад

    Nan anaskiliza hii nyumbo 2024

  • @arapsambulialagat6193
    @arapsambulialagat6193 Год назад +59

    Big up Stamina and Zorro,Kenyan here

    • @lang6626
      @lang6626 Год назад

      This is gold i love what stamina is doing💯💯💯💯good music

    • @SerenakaremboDzombo
      @SerenakaremboDzombo 3 месяца назад

      🎉🎉🎉🎉😊

  • @coastylegend
    @coastylegend Год назад +83

    This is definitely a banger. Banana is one of the most talented musician Tanzania has ever had and with the combination of hip hop maestro (Stamina) they killed it

  • @jamilarahj1593
    @jamilarahj1593 Год назад +2

    Wenyemapenzi wachache 🥰🥰

  • @alextulipo6553
    @alextulipo6553 Год назад +1

    Umewaza nn fundi mistali konk mungu ndoanajua saut nzito Tanzanian boys

  • @chale6050
    @chale6050 Год назад +22

    Stamina...one thing about this guy is that he sings the day to day facts....manze my wish is to meet you one day...you encourage me with your songs bro...baraka kwa mpigo🙏

  • @sangaimwita3324
    @sangaimwita3324 Год назад +37

    banana zorro made my childhood ♨ its pleasure to hear from you again

  • @Official_Lifa
    @Official_Lifa Год назад +17

    Two legends🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥 what a message hii Ngoma inafaa tuzo 🙏❤️ from Mombasa

  • @ahutamorris
    @ahutamorris Год назад +2

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Stamina ana mashairi yenye Stamina

  • @shemamusictz
    @shemamusictz Год назад +4

    stamina ukosei nakubali me shabiki yako number one

  • @gaashbwoyke9890
    @gaashbwoyke9890 Год назад +5

    Stamina huweza sana wapi like za stamina hapaa +254 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @macdee_tv7622
    @macdee_tv7622 Год назад +2

    HUYU STAMINA BEI GAAAAANI....UYU JAMAA ANAJUA SAAAANA...NYIMBO NZURI AISEE KAZI KUNTU....BANANA KAKAA VIZURI KWENYE CHORUS....SAMPAMBA KAKAA VIZURI KWENYE BEATI....UPENDO NI MWINGI SANA HUMU KENYA

  • @imriddenvlogs1077
    @imriddenvlogs1077 Год назад +1

    Uganda 🇺🇬 🇺🇬 🇺🇬 🇺🇬 🇺🇬

  • @sbr231
    @sbr231 Год назад +9

    U kill stamina much love from United States 🇺🇸 🇺🇲
    But Tanzania 🇹🇿 is home

  • @piyemeofficial
    @piyemeofficial Год назад +22

    I can hear Zorro’s voice but also his touch! This is a lesson from Zorro an Maestro

  • @wilondjapasta2306
    @wilondjapasta2306 Год назад +1

    Ngoma Yenye mistary yenye mana big up saana mshabiki wako stamina kutoka congo D.RC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @kingranaryke786
    @kingranaryke786 Год назад +3

    Heshimu Sana mamako❤️♥️🙏✨

  • @mrpaultz254
    @mrpaultz254 Год назад +8

    Stamina He is one of the artists who keeps me going and I continue to love hiphop music beautiful music home artist moro town

  • @gloshyjm2375
    @gloshyjm2375 Год назад +88

    I can’t get enough of this song, I have watched more than 15times. Thanks Stamina & B Zoro for this master piece 🔥🔥🔥

  • @zulukrutv2543
    @zulukrutv2543 Год назад +2

    Kama kawa kazi safi, mistari hatari

  • @user-ws5sd8wf1t
    @user-ws5sd8wf1t 9 месяцев назад +1

    nimechelewa kalimno like mwanangu

  • @mariusfesto8861
    @mariusfesto8861 Год назад +45

    Stamina allways killing us👍👍👍🔥🔥

    • @alvinkulasare148
      @alvinkulasare148 Год назад

      Very nice track Zorro B 💥💥💥👌👌💯💯 Stamina u kill it Bob 💯💯💯💣

  • @georgehinzano7487
    @georgehinzano7487 Год назад +7

    Stamina is living he will live forever some don't understand him now but they wanna understand when it's too late but it will be the best time forever

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 Год назад

    Sichoki kuuludia ludia huu wimb siku zote ukiwashilikisha Majendali kama banana, Q chief, juma nature, Tid, au Duly Sykes lazima ngoma itambe, big up Stamina kwa kutuletea wimbo wa Kidunia,,,,,,

  • @williamouma8263
    @williamouma8263 2 месяца назад

    Stamina na Zorro nawakubali sana, hizi ni vocals powerful,Kenya fans tunawahenzi keep it up

  • @amilyamely7320
    @amilyamely7320 Год назад +10

    Respect for you Brother,, Unatuwakilisha vyema Wana morogoro, watanzania na Wapenda Hip hop wote Dunian,, Iv ndo tuseme watu wafupi wanaakili nyingi ndio maana wanaandika ngoma kali Sana?,

  • @ikabako2454
    @ikabako2454 Год назад +17

    Real music, real life. This is a masterpiece ! Kudos Stamina and Zorro

  • @user-cg6tl2hl1g
    @user-cg6tl2hl1g 3 месяца назад

    Mwanaume ni kuwa na chako sasa penda vys wenzako uonee utavo kula kwa jashoo!!! Respect brther stamina!!😮😮

  • @elikanacharles8141
    @elikanacharles8141 Год назад

    Ukiwa kilema sawa,njiti sawa
    #bora ukosee kujenga nyumba utabomoa sio kuoa
    Maana mwaminifu hata kwa mwamposa utamkosa

  • @tinotairo
    @tinotairo Год назад +14

    Damn this song!! Zorro and Stamina Kiilled It!

  • @nicholasmukhwana7268
    @nicholasmukhwana7268 Год назад +7

    Banana Zoro is one my finest artists TZ ever had

  • @tiktoktanzania2832
    @tiktoktanzania2832 Год назад +1

    Ntampa mwanangu jina la marehemi mama angu,,

  • @Blacksontigre25
    @Blacksontigre25 3 месяца назад +1

    Courage leki Nabisco 🇨🇩

  • @jeathjp.mwendapeke8207
    @jeathjp.mwendapeke8207 Год назад +3

    This's a Super Combination of the 2....the message is 100%+ loud ..the video is well set and mannered...no skinned girls with outer breasts /thighs... it's absolutely fantastic. Thanks guys and keep it up

  • @mourinengicha9751
    @mourinengicha9751 Год назад +1

    A dedication to my son 🤩🤩

  • @kennethmuchai8250
    @kennethmuchai8250 Год назад

    wewe sio mdori chunga usikachezewa ntakupa jina la mamangu marehemu....kijana wangu dhiki utaiiptia kuna nyakati za mambo yote maana ya dunia yanavutia🥂🥂ukizaaliwa my 2022 song of the year🍾🍾ukizaliwaaaa♥️♥️

  • @kassebo
    @kassebo Год назад +3

    #hip hop ndo mziki pekeee wenye kujenga jamiii lakini miziki mingine huwa Ni matusi mpaka unaona aibu kusikiliza ukiwa na wazazi #big. Up mtu mzima #stamina ft zoro

  • @anniebismarck4696
    @anniebismarck4696 Год назад +25

    Am not a fan of hip hop, but stamina’s lyrics always hits⭐️ plus banana we missed him😍

  • @Mungaimedia.
    @Mungaimedia. Год назад +1

    Awesome project nayo mpka mwisho ✌️
    Represent 🇰🇪

  • @hemedynamkwanga2928
    @hemedynamkwanga2928 Год назад

    Wimbo Na ujumbe vyote nimeinjoy shabiki ambaye Nipo kwenye mikono salama sijutii

  • @zingibariboy
    @zingibariboy Год назад +5

    Stamina this is my story ... You touch me broh ... Nitarudia inshaAllah akizaliwa

  • @Polepole1
    @Polepole1 Год назад +4

    A real peace of art 🇹🇿🇨🇩

  • @francismwangi6885
    @francismwangi6885 Год назад +1

    "Mwanaume kamili ni kuwa na chako,Sasa penda vya wenzako uone unavyotokwa jasho"💪💪💪

  • @abedimunga8801
    @abedimunga8801 Год назад +1

    This is more than big song my brother stamina

  • @coolzeddy_official9216
    @coolzeddy_official9216 Год назад +14

    Lets support this guy,he is very intelligent

  • @proffkiteriefred610
    @proffkiteriefred610 Год назад +18

    My all-time mind captivator as far as music is concerned, Stamina.It's great to see Zorro back to the industry.
    This song is just on another level 🔥🔥🔥

  • @mpategift9158
    @mpategift9158 Год назад

    Lazima uwe mwanafasihi ndo umwelewe stamina....huyu jamaa anajua sana 💪

  • @smarttv3882
    @smarttv3882 Год назад

    We mngese ni fundi dunia ya mwisho daah umetisha kinoma ✌️🙏

  • @alhajiFashions7563
    @alhajiFashions7563 Год назад +7

    I have watched more than 20times!!! Much more love Stamina && 🍌 Zoro For this AMIZING Tune!!!!

  • @elally2343
    @elally2343 Год назад +4

    Love from Rwanda, Stamina unatupa mistari kbs, Salute!.

  • @yusuphylameckmyongalameckm2571

    Sarut sholombwez🏋️🏋️🚦 waambie wasubuli taa ziwake

  • @elishalugodisha2038
    @elishalugodisha2038 Год назад

    Ndo tunataka tungo kama hizi zinazomfikirisha msikilizaji na zinaongelea reality za maisha #blessupBro

  • @francissifuna5616
    @francissifuna5616 Год назад +6

    The message is very strong from the legend banana dzoro

  • @finest57
    @finest57 Год назад +5

    THIS IS PURE GOLD 🇰🇪

  • @allywakita2881
    @allywakita2881 Год назад

    Kosea vyote maishani ila usikosee kuowa 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @prosperndelwa4560
    @prosperndelwa4560 Год назад

    Ningekuwa #Rais ningempa kitengo #stamina serikalini

  • @talibthetruth8709
    @talibthetruth8709 Год назад +10

    I cry a lot when I listen this song 😭😭😭😭😭

  • @evaristoiman2732
    @evaristoiman2732 Год назад +4

    Am proud being Tanzanian! I can’t get enough of this song 🤼‍♂️

  • @ayubukassim7995
    @ayubukassim7995 Год назад +1

    Nyimbo nzuri sana mashairi mazuri nyimbo inqhisia Yan kwakifupi Hili Goma ni 🔥🔥🔥🔥

  • @tupacthedon7104
    @tupacthedon7104 Год назад

    Macho mawili ndo kipimo cha urijali..ukitoa jicho la tatu vitu utaviona kwa mbalii🔥🔥🔥✨✨

  • @abdulnaseer8017
    @abdulnaseer8017 Год назад +5

    Mr. Zorro back again with a different melody all together bringing back old memories

  • @paulnalami6
    @paulnalami6 Год назад +3

    Good work. Stamina & Zorro listening from Busia 254

  • @emmanuelmulwa7247
    @emmanuelmulwa7247 Год назад +1

    Bruh nakutambua🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Princedavida
    @Princedavida Год назад

    Mnafanya kazi njema.... 💯💯💯💯💯❤️❤️❤️💕😍

  • @macwasele675
    @macwasele675 Год назад +6

    Respect à toi mon frère Stamina the best rap🙏🙏🙏🙏🇨🇩

  • @latwifusiri164
    @latwifusiri164 Год назад +7

    The true meaning of Stamina is proved

  • @wardahwamras6976
    @wardahwamras6976 Год назад

    tambua we sio mdoli usikubali ukachezewa👍👌🔥🔥🔥🔥🥰🥰

  • @mosesmuhasa4380
    @mosesmuhasa4380 Год назад +1

    Big up sana bro 👍👍👍👍🙏

  • @ayelagwet1228
    @ayelagwet1228 Год назад +7

    it's a real masterpiece of 2022 pickup my two favorite musician nice job stamina u nailed it

  • @iddimoshi8459
    @iddimoshi8459 Год назад +27

    It's kind of music needed in our society.
    Salute to Banana & Stamina

  • @josephmalale7656
    @josephmalale7656 Год назад

    Umeua ile kizazi mwamba ukiwa na lengend banana zorro ni hatareeee!!!🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kayadolf5817
    @kayadolf5817 Год назад

    stamina vipi bro, ukija ground nipe like, much love from kenya

  • @JujanaMusic
    @JujanaMusic Год назад +16

    Mhhh my new all time favorite. The bars are so heavy. Magic is created with the legendary Banana Dzoro and the amazing hard hitting Stamina. Am in love with the progression too.

    • @piusmayanga
      @piusmayanga 11 месяцев назад +1

      Mwaminifu hata mwamposa utamkosa pamoja sana kaka❤❤❤❤

  • @javanmolelijeffa8484
    @javanmolelijeffa8484 Год назад +5

    Thats why i love hiphop thanks it talks about real life situation.

  • @musanikelvin6396
    @musanikelvin6396 Год назад +2

    Ngoma za stamina zinaelimisha alafu napata ladha tamu sana ya hip-hop...huku kenya tunakuaminia sana endelea kutupa nyimbo tamu...one love from kenya

  • @tariqmaduga8051
    @tariqmaduga8051 Год назад

    Stamina nj 1 tu East Africa 🇹🇿

  • @dumillahonthebeat1719
    @dumillahonthebeat1719 Год назад +4

    Stamina 💯💯📝📝

  • @SoloAmaabwoy
    @SoloAmaabwoy Год назад +4

    Stamina Never disappoint point, One love from Germany 🇩🇪 but Iam a South sudanese 🇸🇸

  • @evonngamogwa9902
    @evonngamogwa9902 Год назад

    Malenga wapya mji kasoro bahari we brooo sarut kwako STAMINA mwanangu umetisha sanaaa humu ndani👑👑👑

  • @fidelshukran8446
    @fidelshukran8446 8 месяцев назад +1

    I count you lucky all of you who heard this song

  • @braza5397
    @braza5397 Год назад +10

    KaliSana, Hatari, Nzur Mno, We ni mbayaSana
    Tenzi nyingi, Kiswahili Fasaha,
    Uandishi na uwakilishi mzur wa Rap
    👊👊👊👊👊
    Bonge Moja la sehemu ya Pili
    baada ya sehemu ya Kwanza
    iliyoTUPAGAWISHA.. Can't wait Part3
    weuweeee, credit©producer