Stamina Feat Banana Zorro - Ukizaliwa (Official Video) {Part 2} SMS [Skiza 8091568] to 811
HTML-код
- Опубликовано: 27 июн 2022
- #Stamina #Ukizaliwa #SlideDigital
Stamina Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/staminashorwebwenzi
Written & Performed by Stamina & Banana Zorro
Video Directed by Khalfani
Follow Stamina on:
/ staminashorwebwenzi
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz - Видеоклипы
Siku ukizaliwa nitarudia,tena kwa sauti na utasikia,sitaki kukuonya kuhusu dunia,sababu dunia ipo na utashuhudia. Mwana wa Zorro . Strong Vocalist ever
Good and nice song from legendary
Deep message
😊😊 5:00 😊😅@@jacksonmrope365
“Usiwe mwanamke wa mwanamke,nataka uwe mwanamke wa mwanamume”. Message 💯
Usiwe mwanamke wa mwanamke,nataka uwe mwanamke".message
Ujumbe mzuri sana
Lets fight this Lgbtq ni ujinga
Neno hiyo
Atak mtoto wake awe shoga ana Lesbia
So touching. My wife is 5months pregnant. ✨ May she deliver safe. ukizaliwaaaah
Hii nyimbo imeimbwa na watu ambao wanajua wote ❤️❤️
Banana zorro fundi, mwalimu wa vocal, unyama mwingi sana. Umeniosha roho bro zorro. Stamina uko moto sana bro unajua, sauti iko poa sana, melodie kali sana, uandishi mzuri sana. Nashukuru kwakunipa muziki mzuri
Stamina is something else.
🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬👍
He is short but tall in mind. Amazing 🤩🤩
utamu unani uwa jamani,Stamina weni noma saaaaaaana.Duh
Sijui kama ipo siku Kenya tutafika hii level ya muziki. Hongera ndugu zetu waTanzania kwa kufanya muziki na passion ambayo haipo kwingine Afrika
A masterpiece that contains :-
No hot girls,
No swearing,
Tells a story,
And sends a message,
Truly a masterpiece by the masterpieces themselves. @STAMINA&ZOLO
Hii Ngoma lazima siku moja nimshikishie wangu..I'm 18 yrs but I can feel it best for my generation
Stamina hii umeandika San kaka na asa huyu Mt ulomshirikisha ooooh ameuwa vibaya kweny kitikio big up broo
Mr. Bonventure...much love from Kenya. Kazi safi. Mafans wa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 we salute you
Ngoma kaliiii sana tuendelee kusikiliza na kutizama🔥🔥🔥🔥
"Tambua we sio mdoli ukubali ukachezewa"number one fan from 254🇰🇪 you never disappoint Shorwebwenzi,waiting for part3
Tujuane tulie rudia zaidi ya mara 3😲😳😲
Mwanangu ,wanaume wenye pesa ni wengi,ila wenye mapenzi wapo wachache kishenzi apo akili ku mkichwa.Duuuh!!!!noma sana
Asanteh kwa kuendelea kuiheshimisha Moro Town na pia bongo hip hop Tz,,,,🙌🙌🙌🙌🔥🔥
Kenyan we salute you guys
Punchline 💯
Creativity 💯
Content delivery 💯❤️🔥🇰🇪
Am from Kenya, but guys let me tell you.... Stamina is 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥, nafurahia sana wakifanya kazi na Roma🔥🔥🔥......... How I wish nawezafuatanisha kiswahili kama Stamina.... Bwana, you kill the Mic everytime...... Alafu, Banana Zorro ana sauti nzuri sana, inafanana na ya GrampsMorgan ule wa Jamaica.... Tanzanians we love you guys
Love you too brother
this guy iz legends
Tanzania wana talent bro ,hasa Tracks za Roma ft Stamina
Love much bravo from Kenya
Nan anaskiliza hii nyumbo 2024
Big up Stamina and Zorro,Kenyan here
This is gold i love what stamina is doing💯💯💯💯good music
🎉🎉🎉🎉😊
This is definitely a banger. Banana is one of the most talented musician Tanzania has ever had and with the combination of hip hop maestro (Stamina) they killed it
Wenyemapenzi wachache 🥰🥰
Umewaza nn fundi mistali konk mungu ndoanajua saut nzito Tanzanian boys
Stamina...one thing about this guy is that he sings the day to day facts....manze my wish is to meet you one day...you encourage me with your songs bro...baraka kwa mpigo🙏
2²²
banana zorro made my childhood ♨ its pleasure to hear from you again
Two legends🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥 what a message hii Ngoma inafaa tuzo 🙏❤️ from Mombasa
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Stamina ana mashairi yenye Stamina
stamina ukosei nakubali me shabiki yako number one
Stamina huweza sana wapi like za stamina hapaa +254 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
HUYU STAMINA BEI GAAAAANI....UYU JAMAA ANAJUA SAAAANA...NYIMBO NZURI AISEE KAZI KUNTU....BANANA KAKAA VIZURI KWENYE CHORUS....SAMPAMBA KAKAA VIZURI KWENYE BEATI....UPENDO NI MWINGI SANA HUMU KENYA
Uganda 🇺🇬 🇺🇬 🇺🇬 🇺🇬 🇺🇬
U kill stamina much love from United States 🇺🇸 🇺🇲
But Tanzania 🇹🇿 is home
State gani Mkuu
@@bensonculture2947 Yuko buza uyo
I can hear Zorro’s voice but also his touch! This is a lesson from Zorro an Maestro
Ngoma Yenye mistary yenye mana big up saana mshabiki wako stamina kutoka congo D.RC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Heshimu Sana mamako❤️♥️🙏✨
Stamina He is one of the artists who keeps me going and I continue to love hiphop music beautiful music home artist moro town
I can’t get enough of this song, I have watched more than 15times. Thanks Stamina & B Zoro for this master piece 🔥🔥🔥
Hongeren sss a ana
@@hamisimganga3328 q
🔥
Its 27th for me🤣🤣🤣 This song is like soup to me.
Keep listening good music! 🎧
Kama kawa kazi safi, mistari hatari
nimechelewa kalimno like mwanangu
Stamina allways killing us👍👍👍🔥🔥
Very nice track Zorro B 💥💥💥👌👌💯💯 Stamina u kill it Bob 💯💯💯💣
Stamina is living he will live forever some don't understand him now but they wanna understand when it's too late but it will be the best time forever
Sichoki kuuludia ludia huu wimb siku zote ukiwashilikisha Majendali kama banana, Q chief, juma nature, Tid, au Duly Sykes lazima ngoma itambe, big up Stamina kwa kutuletea wimbo wa Kidunia,,,,,,
Stamina na Zorro nawakubali sana, hizi ni vocals powerful,Kenya fans tunawahenzi keep it up
Respect for you Brother,, Unatuwakilisha vyema Wana morogoro, watanzania na Wapenda Hip hop wote Dunian,, Iv ndo tuseme watu wafupi wanaakili nyingi ndio maana wanaandika ngoma kali Sana?,
Hakika mwana anajua mpaka anajua tena
🤣🤣🤣🤣
Qwisha 😊
Real music, real life. This is a masterpiece ! Kudos Stamina and Zorro
Mwanaume ni kuwa na chako sasa penda vys wenzako uonee utavo kula kwa jashoo!!! Respect brther stamina!!😮😮
Ukiwa kilema sawa,njiti sawa
#bora ukosee kujenga nyumba utabomoa sio kuoa
Maana mwaminifu hata kwa mwamposa utamkosa
Damn this song!! Zorro and Stamina Kiilled It!
Banana Zoro is one my finest artists TZ ever had
Ntampa mwanangu jina la marehemi mama angu,,
Courage leki Nabisco 🇨🇩
This's a Super Combination of the 2....the message is 100%+ loud ..the video is well set and mannered...no skinned girls with outer breasts /thighs... it's absolutely fantastic. Thanks guys and keep it up
A dedication to my son 🤩🤩
wewe sio mdori chunga usikachezewa ntakupa jina la mamangu marehemu....kijana wangu dhiki utaiiptia kuna nyakati za mambo yote maana ya dunia yanavutia🥂🥂ukizaaliwa my 2022 song of the year🍾🍾ukizaliwaaaa♥️♥️
#hip hop ndo mziki pekeee wenye kujenga jamiii lakini miziki mingine huwa Ni matusi mpaka unaona aibu kusikiliza ukiwa na wazazi #big. Up mtu mzima #stamina ft zoro
Am not a fan of hip hop, but stamina’s lyrics always hits⭐️ plus banana we missed him😍
Awesome project nayo mpka mwisho ✌️
Represent 🇰🇪
Wimbo Na ujumbe vyote nimeinjoy shabiki ambaye Nipo kwenye mikono salama sijutii
Stamina this is my story ... You touch me broh ... Nitarudia inshaAllah akizaliwa
A real peace of art 🇹🇿🇨🇩
"Mwanaume kamili ni kuwa na chako,Sasa penda vya wenzako uone unavyotokwa jasho"💪💪💪
This is more than big song my brother stamina
Lets support this guy,he is very intelligent
My all-time mind captivator as far as music is concerned, Stamina.It's great to see Zorro back to the industry.
This song is just on another level 🔥🔥🔥
Lazima uwe mwanafasihi ndo umwelewe stamina....huyu jamaa anajua sana 💪
We mngese ni fundi dunia ya mwisho daah umetisha kinoma ✌️🙏
I have watched more than 20times!!! Much more love Stamina && 🍌 Zoro For this AMIZING Tune!!!!
Love from Rwanda, Stamina unatupa mistari kbs, Salute!.
Sarut sholombwez🏋️🏋️🚦 waambie wasubuli taa ziwake
Ndo tunataka tungo kama hizi zinazomfikirisha msikilizaji na zinaongelea reality za maisha #blessupBro
The message is very strong from the legend banana dzoro
THIS IS PURE GOLD 🇰🇪
Kosea vyote maishani ila usikosee kuowa 🔥🔥🔥🔥🔥
Ningekuwa #Rais ningempa kitengo #stamina serikalini
I cry a lot when I listen this song 😭😭😭😭😭
Me too
Me too
Am proud being Tanzanian! I can’t get enough of this song 🤼♂️
Nyimbo nzuri sana mashairi mazuri nyimbo inqhisia Yan kwakifupi Hili Goma ni 🔥🔥🔥🔥
Macho mawili ndo kipimo cha urijali..ukitoa jicho la tatu vitu utaviona kwa mbalii🔥🔥🔥✨✨
Mr. Zorro back again with a different melody all together bringing back old memories
Good work. Stamina & Zorro listening from Busia 254
Bruh nakutambua🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mnafanya kazi njema.... 💯💯💯💯💯❤️❤️❤️💕😍
Respect à toi mon frère Stamina the best rap🙏🙏🙏🙏🇨🇩
The true meaning of Stamina is proved
tambua we sio mdoli usikubali ukachezewa👍👌🔥🔥🔥🔥🥰🥰
Big up sana bro 👍👍👍👍🙏
it's a real masterpiece of 2022 pickup my two favorite musician nice job stamina u nailed it
It's kind of music needed in our society.
Salute to Banana & Stamina
Umeua ile kizazi mwamba ukiwa na lengend banana zorro ni hatareeee!!!🔥🔥🔥🔥🔥🔥
stamina vipi bro, ukija ground nipe like, much love from kenya
Mhhh my new all time favorite. The bars are so heavy. Magic is created with the legendary Banana Dzoro and the amazing hard hitting Stamina. Am in love with the progression too.
Mwaminifu hata mwamposa utamkosa pamoja sana kaka❤❤❤❤
Thats why i love hiphop thanks it talks about real life situation.
Ngoma za stamina zinaelimisha alafu napata ladha tamu sana ya hip-hop...huku kenya tunakuaminia sana endelea kutupa nyimbo tamu...one love from kenya
Stamina nj 1 tu East Africa 🇹🇿
Stamina 💯💯📝📝
Stamina Never disappoint point, One love from Germany 🇩🇪 but Iam a South sudanese 🇸🇸
Malenga wapya mji kasoro bahari we brooo sarut kwako STAMINA mwanangu umetisha sanaaa humu ndani👑👑👑
I count you lucky all of you who heard this song
KaliSana, Hatari, Nzur Mno, We ni mbayaSana
Tenzi nyingi, Kiswahili Fasaha,
Uandishi na uwakilishi mzur wa Rap
👊👊👊👊👊
Bonge Moja la sehemu ya Pili
baada ya sehemu ya Kwanza
iliyoTUPAGAWISHA.. Can't wait Part3
weuweeee, credit©producer
Kali