Dakika 10 Za Maangamizi - Manengo | Planet Bongo

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 222

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 5 лет назад +71

    😁😁😁😁😁😁😁😁 tungo chafu km kwapa la suzi👅👅👅👅 km unaipata ishu ya kwapa la suzi achia like lako apaaaa....

  • @akramburuhani1247
    @akramburuhani1247 5 лет назад +16

    Huyo noma sana hatar mwanza tupo Vizuri Kali ya mwaka

  • @welcomesimba7356
    @welcomesimba7356 4 года назад +5

    Burundi 🇧🇮 tunawapata sana Manengo iko vizuli kbsa basi tunaomba zile dakika tano tano akutane na Bosho ninja

  • @minjacsd1874
    @minjacsd1874 5 лет назад +11

    Kaa kipapaa kaa kiafande unashindana na bugger na unakaa kimakande 😁😁😁😁😁😁

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 5 лет назад +27

    "km kwl mko makini vp mpate nusnusu" km umeielewa iyi line pita na like la kibabe apa.. jamaa n balaaa nlimckia ktk ngoma yke 1 inaitwa "kw mbinde" nikamkubali bila ata ya kumjuwa na leo nd nmethibitisha km jamaa n moto wa kukalia mbali, mwanza, tanga na mbeya huwa hawaharibuuuu...

  • @frankgaspar690
    @frankgaspar690 5 лет назад +33

    Tunaanzaga kwa kucheki koment za wana kama mchizi kaua au laa ili kuokoa mbs

  • @emmanueldrawerhq7526
    @emmanueldrawerhq7526 5 лет назад +37

    1.Dizasta vina
    2.Boshoo ninja
    3.Manengo
    4.Mbeya boy

  • @scaplachafyu4512
    @scaplachafyu4512 5 лет назад +5

    the baddest one....MANENGO SAFI SNA UMEFANYA KTU KIKUBWA

  • @kadrapperlwelwe2708
    @kadrapperlwelwe2708 5 лет назад +2

    Manengo, chuma boy boshoo ninja, nawakubali kwa dk kumi ila wasanii wakubwa wanazingua !!

  • @ahmedali0333
    @ahmedali0333 5 лет назад +3

    Daaaaah huyuuu jamaaa nowmaaa sanaaaa namkubali kinomaaaa😂😂😂big up broo

  • @raphaelmalongo800
    @raphaelmalongo800 5 лет назад +12

    kanye east kanye west kanye central ukipigwa ntakua assist😁😁😁😁

  • @elishaswai3813
    @elishaswai3813 5 лет назад +8

    hawa ndo tunawataka Jamaa kaua 🔥🔥🔥🔥

  • @REVOLUTIONARYLYRICS
    @REVOLUTIONARYLYRICS 11 месяцев назад +1

    Nakubali energy ya Jr.👊🏿

  • @manassehshagile8720
    @manassehshagile8720 2 года назад +2

    Rock City Stand Up... Manengo Boy🔥🔥🔥

  • @victorkomu9715
    @victorkomu9715 5 лет назад +2

    Manengoo fire Hii Michano inashine kwa mbinde, Rocky City Boy , Home boy uko vizuri

  • @KelvinEmersonSteven
    @KelvinEmersonSteven 5 лет назад +5

    Jamaa yuko vizuri sana aiseee

  • @talikimaliki383
    @talikimaliki383 4 года назад +3

    🔥🔥😂ww ni nuhuu unajenga safina na jike shupaa

  • @mrmajaz4449
    @mrmajaz4449 5 лет назад +1

    Ya moto sana hii, hivi ndo vichwa tunavitaka...big up broo!

  • @mwerachacha6695
    @mwerachacha6695 5 лет назад +2

    Jamaa mtamu sana kwa Rapp..... Good job !!

  • @djsulumusicanalyst
    @djsulumusicanalyst 5 лет назад +3

    planet bongo djsulu from kenya walai inaweza sana

  • @bignationcoolboy.1500
    @bignationcoolboy.1500 5 лет назад +8

    Mwanza hua hawafeli
    #big'p mwamba

  • @noahnsubc1666
    @noahnsubc1666 5 лет назад

    Salute kwako bro umetisha

  • @kulwasandali2279
    @kulwasandali2279 5 лет назад

    Jamaa anajua sanaa!! Big up sanaa

  • @chrisskibaking8184
    @chrisskibaking8184 4 года назад +3

    😂😂😂😂😂 Aaaaaapana kwakweli nimenyoosha mikono huyu pimbi ni balaaaaaaaa

  • @charlzzesonconsciousness6685
    @charlzzesonconsciousness6685 5 лет назад +4

    Nlikuona super nyota fiesta mwanza unajua sana

  • @kingrasdee445
    @kingrasdee445 4 года назад

    Jamaa noma sn asee, sem mnaniboa kukatakata maneno cpend bas2.

  • @deogratiuskombe5789
    @deogratiuskombe5789 5 лет назад

    Unawezaaa Sana Mzee Hasa Kichina Mistari Umetisha Acha Nirudie Tena Mzee Endeleaa Kaz

  • @TheAm21st
    @TheAm21st 5 лет назад +5

    he is fire on his own.

  • @jayvanlee3420
    @jayvanlee3420 5 лет назад

    Umetixha xana bro!!

  • @meshack2559
    @meshack2559 4 года назад

    Duuuh uyuu jamaaa ni noma ,mistar kuntu kudadeeeeky hatar San

  • @bryanmagohabryanmagoha6066
    @bryanmagohabryanmagoha6066 4 года назад +2

    Nikimkamata mwizi simpigi
    Nampa adhabu
    Anichumie dhambi
    Au achume kidamvu
    Huku anaimba ilee ngoma ya Q chillah Chuma kisamvu😀😀😀😀

  • @abdullahtelela451
    @abdullahtelela451 5 лет назад

    Nakubali sana conXhaz manifesto.... Manengo

  • @demicheleyzmodisedenniz8730
    @demicheleyzmodisedenniz8730 Год назад

    Nawapenda sana tz nawafuatilia huku kenya..💥💥

  • @moudybiomacy7969
    @moudybiomacy7969 5 лет назад +1

    Ebwana jamaa kaua sana #Manengo..ila bado Kado kitengo fanyen adondoke

  • @mohamedjimia3535
    @mohamedjimia3535 5 лет назад +3

    dah kavaa shat la mzee wetu masha allah oman ..hi ❤❤❤🤘

  • @bramweljuma1306
    @bramweljuma1306 5 лет назад +1

    daaa noma sana manengo nmkutolea kilemba nimekaa kipapaa kiafende

  • @denisjoel1592
    @denisjoel1592 2 года назад +2

    Genius, manengo !!!

  • @teamdestination1049
    @teamdestination1049 5 лет назад +1

    Noma xaaaana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @johnsonmoding2458
    @johnsonmoding2458 5 лет назад +5

    Jr 2naitaj vichwa km ivi....
    Uyu jamaa n jambaz wa mistari mwsmba anajua kulko uwezo wake.
    Nazan anaweza kua man of da year kwa kipind iki mwaka huu

  • @musaally5493
    @musaally5493 5 лет назад

    Me nakubali sanaaa manengo toka home kitambo hicho #@jamestza

  • @grjnr5089
    @grjnr5089 5 лет назад +4

    Oy oy
    Hip hop 4 life🙌🙌

  • @ingabeibe7129
    @ingabeibe7129 5 лет назад +3

    Rock city always ❤

  • @joeljosephat345
    @joeljosephat345 5 лет назад +6

    Manengo🔥🔥🔥👏👏

  • @edwinlawi710
    @edwinlawi710 5 лет назад

    Jombaa wa 🔥🔥🔥Sana

  • @dangotesam9845
    @dangotesam9845 3 года назад

    JR anajua sana kuzinogesha #KumiZaMaangamizi 👐👐

  • @tatuhamisi2049
    @tatuhamisi2049 4 года назад +1

    Hatali menengo
    Hiz ndo ngoma 2nZozitakaaa
    Waoooooooo

  • @brianmamati3710
    @brianmamati3710 2 года назад

    Fun number one from Kenya ...napenda hiiooooo kaa kipapa kaa kiafande

  • @ashamwembele8792
    @ashamwembele8792 5 лет назад

    Yewiiiii kiruuu noma arifuuuu

  • @davidvon7897
    @davidvon7897 5 лет назад

    Manengo umetisha mzee

  • @husseinkassim6644
    @husseinkassim6644 5 лет назад

    Fire Sanaaaa Mwanbaaaaaaaa

  • @babajuma2500
    @babajuma2500 Год назад

    Kali sana bro

  • @tomplexbrigedier2282
    @tomplexbrigedier2282 5 лет назад +4

    Hatari sana aseeeeee
    #%

  • @jamsonadam5537
    @jamsonadam5537 5 лет назад

    Jamaa mkali Sana da!

  • @agricollamunishi1780
    @agricollamunishi1780 5 лет назад

    Mkaliiiiii Sana Uyu Mwambaaaaaa

  • @carekazinza6035
    @carekazinza6035 5 лет назад

    Noma sana mzee

  • @shenkosenior4674
    @shenkosenior4674 5 лет назад +5

    kaaa kipapapa kaa kiafande unashindan na baga na unakaa kimakande.😂😂😆😆😆.

  • @ocdzedon6934
    @ocdzedon6934 5 лет назад +2

    Dah noma sanaa

  • @sumardgerald1435
    @sumardgerald1435 5 лет назад +3

    yuko poa sana but anapita njia za Young killer...kwa mbaliiiii

  • @husseinkassim6644
    @husseinkassim6644 5 лет назад

    Mwana Anajua Aseeee

  • @epainetholima9490
    @epainetholima9490 5 лет назад

    Jamaaaaaa we noma

  • @draculareverse8066
    @draculareverse8066 2 года назад +1

    Banaeeeh😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @harounmohammed3732
    @harounmohammed3732 11 месяцев назад

    bingwa wa michezo isiyo na mashabiki 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @felicianbwinyende4884
    @felicianbwinyende4884 5 лет назад +1

    Da rock city# hamjawai angusha raia

  • @firstbornjames5124
    @firstbornjames5124 5 лет назад +2

    Wa kwanzaa leo
    Kauaaaa

  • @petrodaniford338
    @petrodaniford338 5 лет назад

    s_miah father of genius hongera zako kijana wako kakua kijenius

  • @FinestMax
    @FinestMax 2 года назад

    This is dope

  • @xokeeboy987
    @xokeeboy987 3 года назад

    Hiki kiumbe kimetoka sayari gan mi haooooo😀😀😀

  • @amanmbuba8918
    @amanmbuba8918 5 лет назад +1

    Tungo chafu ka kwapa la suziiiiii ahahaaa

  • @chiloclassic7004
    @chiloclassic7004 5 лет назад +4

    Tungo chafu kama kwapa la Suzi!!! Hahahahaaaa

  • @mzeebaba2184
    @mzeebaba2184 5 лет назад +4

    Yupo fit sana ila siku hizi mnazingua mzuka unakata kabisa ila leo mmetisha manengo noumaaaaa

  • @hapysemgeni9752
    @hapysemgeni9752 5 лет назад

    washaaaaaaaaaaa mistari Sum

  • @daviddavid6547
    @daviddavid6547 5 лет назад +2

    Nakubal xana

  • @danielsama1576
    @danielsama1576 5 лет назад

    tisha sana dingilai #mwanza #mwanza

  • @benardmartine244
    @benardmartine244 4 года назад +1

    This is rock city

  • @thomasallybuyanda5259
    @thomasallybuyanda5259 4 года назад +1

    Nicoment wapi Mimi..huyu Jamaa n fund

  • @kelvinmhina1685
    @kelvinmhina1685 5 лет назад

    Hizi ngosha za Mwanza hazijawahi kuniangusha!

  • @paulebby1552
    @paulebby1552 4 года назад

    Hiphop for life

  • @josboy5384
    @josboy5384 4 года назад +3

    Demu wako kashoboka na fataki kisa chpsi zako unazopeleka haziendi na mixhikaki

  • @hapysemgeni9752
    @hapysemgeni9752 5 лет назад

    Uyu Jaaaamaaaaa Kibokooooo Kabisaaaa

  • @sayuniurassa2826
    @sayuniurassa2826 5 лет назад

    manengo manengo manengo mzee hatari haijawahi tokeaaaaa

  • @justinepeter1224
    @justinepeter1224 5 лет назад

    Umeua Mzee

  • @domydocta.
    @domydocta. 5 лет назад +1

    Hatari Sana huyu Jamaa uwezo mkubwa Sana.

  • @mbunahchannel2179
    @mbunahchannel2179 5 лет назад

    wooozaaaaaa

  • @ahmaduweje463
    @ahmaduweje463 5 лет назад +1

    Kaz hizi hazinaga longolongo,unapanda usingizi unavuna tongo tongo ataree sana broo

  • @dulabajo7097
    @dulabajo7097 4 года назад

    Noma sana

  • @victorvictor3064
    @victorvictor3064 3 года назад

    Manengo,Bando and Nacha fanyeni nyimbo jmn

  • @munenemark2956
    @munenemark2956 9 месяцев назад

    Ya moto sana hii

  • @jamesmboya1762
    @jamesmboya1762 3 года назад

    This is it, niggah katembea mwanzo mwisho....hakuna zile "yooh,yooh" mpaka biti inafika katikati ...!!

  • @edwardcharles1066
    @edwardcharles1066 5 лет назад +1

    rap city haiwez wacha salam vin kama sato na sangar

  • @denismakweba3870
    @denismakweba3870 4 года назад +1

    Manengo song ahsante Mwanza

  • @yassonicmganga5506
    @yassonicmganga5506 5 лет назад +5

    Demu kashoboka kwa fataki, kisa chips nazompa hazina mishikaki,,,, tisha sana manengo

  • @Makavelithedon2086
    @Makavelithedon2086 4 года назад

    Jamaa yuko vizuri

  • @SympaPoultryFarmSPFarm
    @SympaPoultryFarmSPFarm 5 лет назад

    Jaama mkali saana nakubali kaa kippa kaakiafande

  • @hapysemgeni9752
    @hapysemgeni9752 5 лет назад +1

    Nimekunyoooshea Mikonoooò

  • @rodgersgingila9367
    @rodgersgingila9367 5 лет назад

    kaa kipapa kaa kiafande.. unashindana na baga na umekaa kimakande

  • @Biloicon
    @Biloicon 5 лет назад +2

    Daaaaaaaaaaaaah huyu mwamba ni kum******

  • @robertsylvester7728
    @robertsylvester7728 5 лет назад

    Oyooooooooo kakipapa kakia afande

  • @nyumbumjanja
    @nyumbumjanja 4 года назад

    Mkaliii

  • @alexmasubi8523
    @alexmasubi8523 5 лет назад

    Nshiiindaaa

  • @udakuudakutv7176
    @udakuudakutv7176 5 лет назад

    Duuuuuuuh nouma