"km kwl mko makini vp mpate nusnusu" km umeielewa iyi line pita na like la kibabe apa.. jamaa n balaaa nlimckia ktk ngoma yke 1 inaitwa "kw mbinde" nikamkubali bila ata ya kumjuwa na leo nd nmethibitisha km jamaa n moto wa kukalia mbali, mwanza, tanga na mbeya huwa hawaharibuuuu...
😁😁😁😁😁😁😁😁 tungo chafu km kwapa la suzi👅👅👅👅 km unaipata ishu ya kwapa la suzi achia like lako apaaaa....
kwapa la suzy ndo stor gan mzee
Huyo noma sana hatar mwanza tupo Vizuri Kali ya mwaka
Burundi 🇧🇮 tunawapata sana Manengo iko vizuli kbsa basi tunaomba zile dakika tano tano akutane na Bosho ninja
Kaa kipapaa kaa kiafande unashindana na bugger na unakaa kimakande 😁😁😁😁😁😁
"km kwl mko makini vp mpate nusnusu" km umeielewa iyi line pita na like la kibabe apa.. jamaa n balaaa nlimckia ktk ngoma yke 1 inaitwa "kw mbinde" nikamkubali bila ata ya kumjuwa na leo nd nmethibitisha km jamaa n moto wa kukalia mbali, mwanza, tanga na mbeya huwa hawaharibuuuu...
I never knew it before......
Tunaanzaga kwa kucheki koment za wana kama mchizi kaua au laa ili kuokoa mbs
Mm huwa naanzaga ivo kabisa
Eti ili kuokoa MBs 😂😂😂😂🙌🙌
aminii 😂😂😂
amini
1.Dizasta vina
2.Boshoo ninja
3.Manengo
4.Mbeya boy
Kabisa Mzaziiiii
Mbeya boy moja jamaa anaweza
Hamna dakika kumi ya maangamizi kama ya Mbeya boy chuma number 1 yule
@@abrahamdaniel7564 yaaaahhh
Raf mc
the baddest one....MANENGO SAFI SNA UMEFANYA KTU KIKUBWA
Manengo, chuma boy boshoo ninja, nawakubali kwa dk kumi ila wasanii wakubwa wanazingua !!
Daaaaah huyuuu jamaaa nowmaaa sanaaaa namkubali kinomaaaa😂😂😂big up broo
kanye east kanye west kanye central ukipigwa ntakua assist😁😁😁😁
hawa ndo tunawataka Jamaa kaua 🔥🔥🔥🔥
Nakubali energy ya Jr.👊🏿
Rock City Stand Up... Manengo Boy🔥🔥🔥
Manengoo fire Hii Michano inashine kwa mbinde, Rocky City Boy , Home boy uko vizuri
Jamaa yuko vizuri sana aiseee
🔥🔥😂ww ni nuhuu unajenga safina na jike shupaa
Ya moto sana hii, hivi ndo vichwa tunavitaka...big up broo!
Jamaa mtamu sana kwa Rapp..... Good job !!
planet bongo djsulu from kenya walai inaweza sana
Mwanza hua hawafeli
#big'p mwamba
Salute kwako bro umetisha
Jamaa anajua sanaa!! Big up sanaa
😂😂😂😂😂 Aaaaaapana kwakweli nimenyoosha mikono huyu pimbi ni balaaaaaaaa
Nlikuona super nyota fiesta mwanza unajua sana
Jamaa noma sn asee, sem mnaniboa kukatakata maneno cpend bas2.
Unawezaaa Sana Mzee Hasa Kichina Mistari Umetisha Acha Nirudie Tena Mzee Endeleaa Kaz
he is fire on his own.
Umetixha xana bro!!
Duuuh uyuu jamaaa ni noma ,mistar kuntu kudadeeeeky hatar San
Nikimkamata mwizi simpigi
Nampa adhabu
Anichumie dhambi
Au achume kidamvu
Huku anaimba ilee ngoma ya Q chillah Chuma kisamvu😀😀😀😀
Nakubali sana conXhaz manifesto.... Manengo
Nawapenda sana tz nawafuatilia huku kenya..💥💥
Ebwana jamaa kaua sana #Manengo..ila bado Kado kitengo fanyen adondoke
dah kavaa shat la mzee wetu masha allah oman ..hi ❤❤❤🤘
daaa noma sana manengo nmkutolea kilemba nimekaa kipapaa kiafende
Genius, manengo !!!
Noma xaaaana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jr 2naitaj vichwa km ivi....
Uyu jamaa n jambaz wa mistari mwsmba anajua kulko uwezo wake.
Nazan anaweza kua man of da year kwa kipind iki mwaka huu
Me nakubali sanaaa manengo toka home kitambo hicho #@jamestza
Oy oy
Hip hop 4 life🙌🙌
Jama noooooona sana
Rock city always ❤
Manengo🔥🔥🔥👏👏
Jombaa wa 🔥🔥🔥Sana
JR anajua sana kuzinogesha #KumiZaMaangamizi 👐👐
Hatali menengo
Hiz ndo ngoma 2nZozitakaaa
Waoooooooo
Fun number one from Kenya ...napenda hiiooooo kaa kipapa kaa kiafande
Yewiiiii kiruuu noma arifuuuu
Manengo umetisha mzee
Fire Sanaaaa Mwanbaaaaaaaa
Kali sana bro
Hatari sana aseeeeee
#%
Jamaa mkali Sana da!
Mkaliiiiii Sana Uyu Mwambaaaaaa
Noma sana mzee
kaaa kipapapa kaa kiafande unashindan na baga na unakaa kimakande.😂😂😆😆😆.
Dah noma sanaa
yuko poa sana but anapita njia za Young killer...kwa mbaliiiii
Mwana Anajua Aseeee
Jamaaaaaa we noma
Banaeeeh😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥
bingwa wa michezo isiyo na mashabiki 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Da rock city# hamjawai angusha raia
Wa kwanzaa leo
Kauaaaa
s_miah father of genius hongera zako kijana wako kakua kijenius
This is dope
Hiki kiumbe kimetoka sayari gan mi haooooo😀😀😀
Tungo chafu ka kwapa la suziiiiii ahahaaa
Tungo chafu kama kwapa la Suzi!!! Hahahahaaaa
Yupo fit sana ila siku hizi mnazingua mzuka unakata kabisa ila leo mmetisha manengo noumaaaaa
washaaaaaaaaaaa mistari Sum
Nakubal xana
tisha sana dingilai #mwanza #mwanza
This is rock city
Nicoment wapi Mimi..huyu Jamaa n fund
Hizi ngosha za Mwanza hazijawahi kuniangusha!
Hiphop for life
Demu wako kashoboka na fataki kisa chpsi zako unazopeleka haziendi na mixhikaki
Uyu Jaaaamaaaaa Kibokooooo Kabisaaaa
manengo manengo manengo mzee hatari haijawahi tokeaaaaa
Umeua Mzee
Hatari Sana huyu Jamaa uwezo mkubwa Sana.
wooozaaaaaa
Kaz hizi hazinaga longolongo,unapanda usingizi unavuna tongo tongo ataree sana broo
Noma sana
Manengo,Bando and Nacha fanyeni nyimbo jmn
Ya moto sana hii
This is it, niggah katembea mwanzo mwisho....hakuna zile "yooh,yooh" mpaka biti inafika katikati ...!!
rap city haiwez wacha salam vin kama sato na sangar
Manengo song ahsante Mwanza
Demu kashoboka kwa fataki, kisa chips nazompa hazina mishikaki,,,, tisha sana manengo
Jamaa yuko vizuri
Jaama mkali saana nakubali kaa kippa kaakiafande
Nimekunyoooshea Mikonoooò
kaa kipapa kaa kiafande.. unashindana na baga na umekaa kimakande
Daaaaaaaaaaaaah huyu mwamba ni kum******
Oyooooooooo kakipapa kakia afande
Mkaliii
Nshiiindaaa
Duuuuuuuh nouma