Dizasta Vina - Achia jala Ft Kaa La Moto
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Official music video of a record Achia jala by Dizasta Vina off the upcoming album A Father figure, Written and perfomed by Dizasta Vina & Kaa la moto & Irene, incredible nory & Gerrard Mhabi
Shot and edited by Dee ayo.
Stream/Download Achia jala
Boomplay - www.boomplay.c...
Mdundo - mdundo.com/son...
Audiomack - audiomack.com/...
RUclips - • Dizasta Vina - Achia j...
Apple Music - / achia-jala-single
Spotify - open.spotify.c...
Genius - genius.com/Diz...
Other music by Dizasta Vina
Audiomack - audiomack.com/...
Boom play - www.boomplay.c...
RUclips - / dizastavina
Mdundo - mdundo.com/a/2263
Spotify - open.spotify.c...
Apple music - / dizasta-vina
Deezer - www.deezer.com...
Spotify playlist - open.spotify.c...
Genius - genius.com/Diz...
Connect with Dizasta Vina on social medias
Instagram - / dizastavina
Twitter/ X - x.com/dizastavina
Facebook - / dizastavina07
sw.wikipedia.o...
Business: Pan.authentik@yahoo.com
Website - bio.link/dizas...
Lyrics
Oya
Mwela alikuja nikampiga sound mbumba mbaya
Siwezi lala down town naitunza kaya
Niko around ninavunja taya
Michongo kibao town wana hawakuvuta waya
Achia jala
Ni heri kuyashinda majaribu
Ila kufeli ni kushindwa kujaribu
Baba alifeli siwezi feli pia
Namiliki jina la ukoo sio sheli dia
Siwezi lala njaa itanigaraza
Kwahiyo usiniletee risala achia jala kwanza
Sina kazi nimedandia ndala
Alafu unanikazia fala
Bro achia Jala
Hauna shida ndo' maana unapendeza
Alafu unaniambia hauna fedha
Sikupi kichaka sikupi hata stata utakimbia,
Achia jala ntakupiga mitama utajifia
Sikupenda kuwa vikundi vya wahuni,
Nilikuwa madini ambayo hauyakuti vitabuni,
Nilikuwa mtu kabla enzi zangu
Haya maisha yangu ni kitabu na hii ni peji chafu,
So achia jala
Dingi mwenyewe alitoboka
Madeni kama dhambi milele nakokota
Na alipodondoka nikarithi shida
Ndio maana Kuelewa mtu lazima uelewe alipotoka
So, Achia jala
Sichezi kamali na washua
Nitakupiga kabali nitakuua, sikuachii hata ukisali
Matumaini yako mbali
Nami nipo katikati ya bahari Na mashua
Hauwezi kuwa mtoto ukishazaa
Nina mtoto sasa, sitaki kuuza ndoto ka bidhaa
Mwanzo nilikuwa na ndoto na iling'aa
Lakini bahati mbaya mtoto hawezi kula ndoto ikija njaa
Nilipenda kuwa rubani
Ila mambo ni makubwa ukubwani
Nikaishia kuwa mkulima fani niliyofunzwa nyumbani
Kabla shamba halijakumbwa tufani
So achia jala
Nimekufata tangu Benki najua kuwa una cash
Uliingia ukiwa empty ukatoka na mabegi
Una-act kama Ndezi
Unaniletea undezi nitakuletea ushenzi wewe
Nilichora plan na sikupiga mchele
Wenzangu wa mtaani ni'shazika tele
Najua unahesabu time si ujaribu kurun sijui
Nimeshika gun nitakuchezea shere
Achia jala,
Siwezi kudanganya kuhusu
Haya Madusko hatuwezi kugawana nusu
Usihubiri sisadiki maadili
Maisha yenyewe mafupi na hatuishi mara mbili
Achia jala
Mbunge halijui jina langu
Ramani ya jiji haisanifu njia zangu
Hawajivunii ndugu zangu, Miungu haisikii sauti yangu
Niko peke yangu mimi na gun yangu
Nitaku pah pah
Kisha unione mamluki
Nitakuchezesha mabuzuki
Nishafungwa mara tatu nimetoa roho nne
Utakuwa wa tano, so jaribu kutoka nduki nikuonyeshe
Nipo kazini so achia jala
Nitakutia ngwara ufe
Mafanikio ni kwa wale majasiri
Walio tayari kusubiri ni makupe
Nisikize brother
Ni'shafanya mamziki
Sikuvutia kukusanya mashabiki
Naogopa kuwa begi nishazika marafiki
Nilishalala na maiti nishajiuza kwa shangingi
Nishafunga mahirizi, nishakula mamizizi
Nishafuga Jinamizi mamisuba nikasizi
Nishakuzwa na waizi waliokuzwa na machizi waso....
Mama ananiona failure for life
Na ninamisi kumbatio la wife
Mkwe ananiona bwege, napeleka nuksi malangoni pake
Shemeji ananiona sio type
So achia jala, nitakubia roho nipe jala
Usinizoee usinipe gwara
Unahisi sina maadili ninafata mkumbo bwege
huwezi kuwa consious ukiwa tumbo empty
Achia jala
Sijarithi mali ili nizichunge kama zako
jala ziko mbali nizifuge Kama zako
Wajomba masadali sio wabunge kama wako
Sijaenda shule yako...
I'll fucking shoot you, Achia jala
Nimeshindwa leo sio kwamba nilisinzia jana
Sijakwambia kwamba alisinzia baba
Hakujua mkwanja ni maua mazuri yanafifia ghafla
Achia jala
Hey, so sad hunijui boy, am not of your Calibre
Usituone tu tajiri, wengi tuna suck blood ki-Cannibal.
Msimamo kitaliban, na roho ya kijahidina.
Kama mbwai mbwai ndio utajua mi kikosi kama Pina.
But I won't choose that hata ka' niko street smart.
nna-pure fact nahisi we ni mgonjwa unahitaj.......
Mazungumzo ya wimbo wa #achiajala ni ya kubuni na yamelenga kuchochea majadiliano kuhusu maudhui tofauti ya kijamii kama kanuni za ubaya na wema (moral values), athari za ukosefu wa malezi bora, msongo wa mawazo, ukosefu wa ajira na mahusiano kati ya ongezeko la uhalifu na umasikini. Wasanii wa hii kazi hatukulenga kuchochea maamuzi mabaya kwa namna yeyote. Tunaamini kuwa sanaa hii ni sehemu ndogo tu ya uhalisia na wasanii tunajaribu kucheza nafasi yetu tu kupeleka ujumbe kwa jamii
Shoutout to incredible performance by @incredible_nory kuwakilisha antagonistic role kwenye wimbo. Character aliyechezwa na @incredible_nory amekuwa inspired na a legendary character Robin Hood from 1370’s ballads and tales anayesemekana alihisi kudhurumiwa umiliki wa rasilimali na akachukua maamuzi ya kulipa kisasi kwa kuchukua miliki ya walio daraja la juu la maisha na kuwapa masikini
#DZSTVN
Kaka me ni mwandishi wa vitabu naomba uniruhusu niandike kitabu kwa kutumia wimbo wako wa shahidi & mlemavu
Mhuu Kal sana mtalamu
u know what u do and u r pfct boy❤❤❤🎉🎉
Daaah imekaa poa sana hii track brothers nitaifanya tena kwaajili yenu TAFADHARI
imeenda broo hujawahi kutungusha kwenye kuandika stroy wewe n ibora zaidi ya hta waandika stry za movie bongo hpa take a time weka stry njoo na movie brooo your master mind on this all in all bonge moja la ndoma bonge moja la idea...... @dizastaVINA
Dizasta unajua tz huna mpizani anae mkubali dizasta like hapa %
Humu kuna shule sana na hii ndio Hip Hop
Ila kaa la moto ni mbad uyu jamaa all in all dizasta tujengewe Sanamu lako mamayeeee
Lecturer wa Mtaa👂👂💥💥💥
kufeli ni kushindwa kujaribu...
Daah wewe ni noumaaaaaa
akili nyingi sanaaaa
Kubwa ✊🏿✊🏿✊🏿
Haujawah kufeli💪
Haipingwi mwamba wa Kali🙏🎵
Daaa uyu jmaaa🙌🙌🙌noma sana
Illest kabisa kaka upo kwenye sayari yako.
Kali sana
Ila aisee bro una content Kali sana Yan nataman Dunia ielew Aya madini adim
Noma mzee 🔥🔥🔥🔥
Dizasta Vinna❤❤❤❤ unajua ninja
KAAAAAA LA MOTO
Oyaaaaaaaaaaa
Safi sana ...kazi kubwa mno
Nomaa
Naiweka katika repeat mode
Ramani ya jiji haisadifu njia zangu🎶🎶
Vina ni habari noma
Kaa lam moto kauaaaa
Kaka vina we mchfu bro Yan ipingwi oioi kala Kama kala ngose msafiri nakubali 👊
Huyu kaa la 🔥🙌🙌🙌
Hili dude ni kubwa 🔥
Moto wa gesi
Aiseeee🎉
Ukiacha jembe sahau kupata sembe🔥🔥🔥
Real mcs wamekutana wamefanya real HIP HOP real fans mko wapi? One love from Zanzibar leo kaa limewaka mpaka Zanzibar na Tribulation ipo forodhani
Bonge moja la tracker shout out to ma man #@dizasita
255 na 254 on top nakubali kaa la moto kiumbe
Nakupenda hip hop kuliko mpira ..🤐🤐🤐
Scooby,rochi,pachito, Noriega 👀 nakubali
Vina &kaa la moto ni moto
Pamoja sana, kitabu🙏
Noma sanaaa🎉🎉🎉
Dizasta we Noma sana
Namiliki jina la ukoo sio sheli dia ❤❤
Hayo yote chini ya mbuyu! Tafakari hayo!
Maisha yanagadhabu nyingi sana
Dude Tamu na zuri, Linafundisha na kusisimua hisia za Vijana Wapambanaji.
Oya dizasta upati ktu leo respect hipo ya ziki la nazi.achia jala kaaaaa
Iko imara sana🔥🔥
Dizasta noma sana kabla ya kusikiliza ngoma yake nieacha like kwanz sababu najua hukosei
Kumuelewa mtu ni lazima uelewe alipotoka 👊
Salute vina nmetoka mbali sana na wewe vile hujui tu mwanangu nakukubali kinoma yaan
Yes fam ✌🏽
Noma sana dizastar
Nilikua kijiweni nimepaki bodaboda yangu Ila hii nyimbo imenirudisha ghetto nisikilize vizuri, sikuhitaji makelele ya pale kijiweni. Apa ndo narudi kijiweni baada ya kusikiliza...🙌🙌🔥
We msengeeee unatishaaaaaaaaaaaa
NOMA SANA UNYAMA....🙏🙏🙏
Kali sana hii
Mpaka wasemee kaka ww niwamoto ❤
Bro. Upo vizuri mzee🔥🔥
Asantee EDGER🙏🙏 Asante Vina Asante sana
Mnaiponya sana Mitaa Wazee ✊
Kaa la moto uko juu
🔥🔥🔥
siachii jala broo
Daaahh
Kwahyo wanangu tukaibe sio
Unaujua mziki
Oyaa wee hili jinii
Mmetisha sana
Dzasta na kaa la moto inakua Bomu lenyewe
Namiliki jina la ukoo na sio sheri
🙌🙌🙌 hii nyoko sana hii
Ndo venyee street kunaenda
Mmeua sana aisee hii ni masterpiece for many centuries to come
Dizasta ww no noma
(punguza maninja ndo uweze kumkumbatia mkeo) mstari wa maana sana maana ndoa nyingi huvunjika kwa watu wanaoendekeza masela na kusahau familia
😮😮 zito..una ACT Kama ndez
Ngoma kali kaka a.k.a The Verteller
Kaka meshabiki yako sana
Story Taylor kama story Taylor TANZANIA NA WORLD WIDE naamini sana katika kazi zako
Dizasta respect nakukubali sana 🎉😊
Nomaaa sana
Huwa nikiandika verses then nikikusikiliza dizasta nafuta verses naludi kusoma kufwatili kiundani uandishi Bora wa bars nimegee u genius Kidogo home boy niingie booth
Naacha Comment leo, nitarudi 2050 nikiwa mzee kuaambia wajukuu wangu kwamba ngoma za Dizasta zimenikuza📌🔥
na reply kwako😎
Niko pamoja na ww mzee hichi kichwa never seen before
Namiliki jina la ukoo sio Sheri dear.
Kaa la moto kiumbe
Haya maisha yangu ni kitabu,na hii ni page Chafu, So achia JALA😂
Oya we boya achia jala ntakupiga daga
Vina mzee ni 100%
Baba alifeli sitafeli pia
Nasubiri Kwa hamu kubwaaaaa mnooooo kama mda haisogei vileee!!!!
bonge la ngoma kaka ujawah feli
Mwenye vina viake 🕊️
Hip hop yetu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🎉🎉🎉🎉
KAZI NZURI 🙌
We jamaa balaa sna aiseee
Dizasta ni jini
🎶🎶🎶🎶🎶Umetisha
Hii ni bonge la ngoma good vibe
Kumbe kaa la moto big up bro
Nilipenda kuwa rubani.. ila mambo ni makubwa ukubwani🙌
Nakukubari bro miaka mia nipo nyuma yako razima aachie jala
Unabalaaaaa
Unajua Kwa marapa hatar huyu mwamba aseh anajua ngoma zake zin jumbe sana aseh