Dizasta Vina - Achia jala Ft Kaa La Moto

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 ноя 2023
  • Official music video of a record Achia jala by Dizasta Vina off the upcoming album A Father figure, Written and perfomed by Dizasta Vina & Kaa la moto & Irene, incredible nory & Gerrard Mhabi
    Shot and edited by Dee ayo.
    Stream/Download Achia jala
    Boomplay - www.boomplay.com/songs/146659...
    Mdundo - mdundo.com/song/2725437
    Audiomack - audiomack.com/dizastavina/son...
    RUclips - • Dizasta Vina - Achia j...
    Apple Music - / achia-jala-single
    Spotify - open.spotify.com/album/3xZ5AX...
    Genius - genius.com/Dizasta-vina-achia...
    Other music by Dizasta Vina
    Audiomack - audiomack.com/dizastavina
    Boom play - www.boomplay.com/artists/3288611
    RUclips - / dizastavina
    Mdundo - mdundo.com/a/2263
    Spotify - open.spotify.com/artist/1IC2b...
    Apple music - / dizasta-vina
    Deezer - www.deezer.com/artist/67967532
    Spotify playlist - open.spotify.com/playlist/37i...
    Genius - genius.com/DizastaVina
    Connect with Dizasta Vina on social medias
    Instagram - / dizastavina
    Twitter/ X - x.com/dizastavina
    Facebook - / dizastavina07
    sw.wikipedia.org/wiki/Dizasta...
    Business: Pan.authentik@yahoo.com
    Website - bio.link/dizastavina
    Lyrics
    Oya
    Mwela alikuja nikampiga sound mbumba mbaya
    Siwezi lala down town naitunza kaya
    Niko around ninavunja taya
    Michongo kibao town wana hawakuvuta waya
    Achia jala
    Ni heri kuyashinda majaribu
    Ila kufeli ni kushindwa kujaribu
    Baba alifeli siwezi feli pia
    Namiliki jina la ukoo sio sheli dia
    Siwezi lala njaa itanigaraza
    Kwahiyo usiniletee risala achia jala kwanza
    Sina kazi nimedandia ndala
    Alafu unanikazia fala
    Bro achia Jala
    Hauna shida ndo' maana unapendeza
    Alafu unaniambia hauna fedha
    Sikupi kichaka sikupi hata stata utakimbia,
    Achia jala ntakupiga mitama utajifia
    Sikupenda kuwa vikundi vya wahuni,
    Nilikuwa madini ambayo hauyakuti vitabuni,
    Nilikuwa mtu kabla enzi zangu
    Haya maisha yangu ni kitabu na hii ni peji chafu,
    So achia jala
    Dingi mwenyewe alitoboka
    Madeni kama dhambi milele nakokota
    Na alipodondoka nikarithi shida
    Ndio maana Kuelewa mtu lazima uelewe alipotoka
    So, Achia jala
    Sichezi kamali na washua
    Nitakupiga kabali nitakuua, sikuachii hata ukisali
    Matumaini yako mbali
    Nami nipo katikati ya bahari Na mashua
    Hauwezi kuwa mtoto ukishazaa
    Nina mtoto sasa, sitaki kuuza ndoto ka bidhaa
    Mwanzo nilikuwa na ndoto na iling'aa
    Lakini bahati mbaya mtoto hawezi kula ndoto ikija njaa
    Nilipenda kuwa rubani
    Ila mambo ni makubwa ukubwani
    Nikaishia kuwa mkulima fani niliyofunzwa nyumbani
    Kabla shamba halijakumbwa tufani
    So achia jala
    Nimekufata tangu Benki najua kuwa una cash
    Uliingia ukiwa empty ukatoka na mabegi
    Una-act kama Ndezi
    Unaniletea undezi nitakuletea ushenzi wewe
    Nilichora plan na sikupiga mchele
    Wenzangu wa mtaani ni'shazika tele
    Najua unahesabu time si ujaribu kurun sijui
    Nimeshika gun nitakuchezea shere
    Achia jala,
    Siwezi kudanganya kuhusu
    Haya Madusko hatuwezi kugawana nusu
    Usihubiri sisadiki maadili
    Maisha yenyewe mafupi na hatuishi mara mbili
    Achia jala
    Mbunge halijui jina langu
    Ramani ya jiji haisanifu njia zangu
    Hawajivunii ndugu zangu, Miungu haisikii sauti yangu
    Niko peke yangu mimi na gun yangu
    Nitaku pah pah
    Kisha unione mamluki
    Nitakuchezesha mabuzuki
    Nishafungwa mara tatu nimetoa roho nne
    Utakuwa wa tano, so jaribu kutoka nduki nikuonyeshe
    Nipo kazini so achia jala
    Nitakutia ngwara ufe
    Mafanikio ni kwa wale majasiri
    Walio tayari kusubiri ni makupe
    Nisikize brother
    Ni'shafanya mamziki
    Sikuvutia kukusanya mashabiki
    Naogopa kuwa begi nishazika marafiki
    Nilishalala na maiti nishajiuza kwa shangingi
    Nishafunga mahirizi, nishakula mamizizi
    Nishafuga Jinamizi mamisuba nikasizi
    Nishakuzwa na waizi waliokuzwa na machizi waso....
    Mama ananiona failure for life
    Na ninamisi kumbatio la wife
    Mkwe ananiona bwege, napeleka nuksi malangoni pake
    Shemeji ananiona sio type
    So achia jala, nitakubia roho nipe jala
    Usinizoee usinipe gwara
    Unahisi sina maadili ninafata mkumbo bwege
    huwezi kuwa consious ukiwa tumbo empty
    Achia jala
    Sijarithi mali ili nizichunge kama zako
    jala ziko mbali nizifuge Kama zako
    Wajomba masadali sio wabunge kama wako
    Sijaenda shule yako...
    I'll fucking shoot you, Achia jala
    Nimeshindwa leo sio kwamba nilisinzia jana
    Sijakwambia kwamba alisinzia baba
    Hakujua mkwanja ni maua mazuri yanafifia ghafla
    Achia jala
    Hey, so sad hunijui boy, am not of your Calibre
    Usituone tu tajiri, wengi tuna suck blood ki-Cannibal.
    Msimamo kitaliban, na roho ya kijahidina.
    Kama mbwai mbwai ndio utajua mi kikosi kama Pina.
    But I won't choose that hata ka' niko street smart.
    nna-pure fact nahisi we ni mgonjwa unahitaj.......
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 849

  • @dizastavina
    @dizastavina  7 месяцев назад +94

    Mazungumzo ya wimbo wa #achiajala ni ya kubuni na yamelenga kuchochea majadiliano kuhusu maudhui tofauti ya kijamii kama kanuni za ubaya na wema (moral values), athari za ukosefu wa malezi bora, msongo wa mawazo, ukosefu wa ajira na mahusiano kati ya ongezeko la uhalifu na umasikini. Wasanii wa hii kazi hatukulenga kuchochea maamuzi mabaya kwa namna yeyote. Tunaamini kuwa sanaa hii ni sehemu ndogo tu ya uhalisia na wasanii tunajaribu kucheza nafasi yetu tu kupeleka ujumbe kwa jamii
    Shoutout to incredible performance by @incredible_nory kuwakilisha antagonistic role kwenye wimbo. Character aliyechezwa na @incredible_nory amekuwa inspired na a legendary character Robin Hood from 1370’s ballads and tales anayesemekana alihisi kudhurumiwa umiliki wa rasilimali na akachukua maamuzi ya kulipa kisasi kwa kuchukua miliki ya walio daraja la juu la maisha na kuwapa masikini
    #DZSTVN

    • @PeterDaniels-ht7kd
      @PeterDaniels-ht7kd 7 месяцев назад +5

      Kaka me ni mwandishi wa vitabu naomba uniruhusu niandike kitabu kwa kutumia wimbo wako wa shahidi & mlemavu

    • @verosir1416
      @verosir1416 7 месяцев назад +1

      Mhuu Kal sana mtalamu

    • @sleifikhajjir262
      @sleifikhajjir262 7 месяцев назад +1

      u know what u do and u r pfct boy❤❤❤🎉🎉

    • @richardmanolo5207
      @richardmanolo5207 7 месяцев назад +1

      Daaah imekaa poa sana hii track brothers nitaifanya tena kwaajili yenu TAFADHARI

    • @bartazariluvanga3298
      @bartazariluvanga3298 7 месяцев назад

      imeenda broo hujawahi kutungusha kwenye kuandika stroy wewe n ibora zaidi ya hta waandika stry za movie bongo hpa take a time weka stry njoo na movie brooo your master mind on this all in all bonge moja la ndoma bonge moja la idea...... @dizastaVINA

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 7 месяцев назад +8

    Dizasta unajua tz huna mpizani anae mkubali dizasta like hapa %

  • @youngrappertz1735
    @youngrappertz1735 7 месяцев назад +5

    Naacha Comment leo, nitarudi 2050 nikiwa mzee kuaambia wajukuu wangu kwamba ngoma za Dizasta zimenikuza📌🔥

  • @saidamour6938
    @saidamour6938 7 месяцев назад +35

    Real mcs wamekutana wamefanya real HIP HOP real fans mko wapi? One love from Zanzibar leo kaa limewaka mpaka Zanzibar na Tribulation ipo forodhani

  • @leeskillz3734
    @leeskillz3734 7 месяцев назад +5

    (punguza maninja ndo uweze kumkumbatia mkeo) mstari wa maana sana maana ndoa nyingi huvunjika kwa watu wanaoendekeza masela na kusahau familia

  • @dankarkije
    @dankarkije 7 месяцев назад +9

    Nilikua kijiweni nimepaki bodaboda yangu Ila hii nyimbo imenirudisha ghetto nisikilize vizuri, sikuhitaji makelele ya pale kijiweni. Apa ndo narudi kijiweni baada ya kusikiliza...🙌🙌🔥

  • @ShabanAlly-lg7dp
    @ShabanAlly-lg7dp 7 месяцев назад +4

    We jamaa,ni nomaaaaa,ukitaka kujua hii ngoma,ni kali isikilize mida flan ivi ukiwa umejichokea na msongo wa mawazoo😩😩

  • @mohamedmaphya7286
    @mohamedmaphya7286 7 месяцев назад +14

    Dude tamu sana lazma vijana tujifunze kujitegemea sio wote walionavyo wamerithi wengi wao wamehustle congratulations to both of you Disasta n Kaa

  • @jofreymfugale4752
    @jofreymfugale4752 7 месяцев назад +7

    Kama unakubaliana na mimi kwamba hii Combination inatakiwa irudie collabo nyingine gonga like hapo ili washtuke

  • @nickman4435
    @nickman4435 7 месяцев назад +34

    Kitu moja kali zaidi na ngoma za Dizasta, ukianza kuiskiliza ata kama wewe ni mtu wa mbwembwe unatulia kwanza na unaanza kuwa conscious🙌🙌
    RESPECT genius 👏👏👏👏
    Meru Kenya we salute 💯

  • @howardbillionaire
    @howardbillionaire 7 месяцев назад +3

    nimerudi sababu hawa jamaa nilitamani kitambo sana walink up... kama mtu huna skio la ndani huwezi ona hii combination.... kwa haraka natamani kuona more collab btn them than hii moja... sAFI SANA @KAALAMOTO NA @DIZASTAVINA sana brothers.. sio lazima watu waonekane uchi au ziimbwe content za matusi ndio tutrend noooo..... keep on going vina.. time will tell mzee.. i believe this gonna make them notice kwamba HIP HOP is still alive n nobody can against this sababu hata trending imezama bila kick na snare... HIP HOP IS GREAT LIFE AISEEE

  • @HarunaGeorge-bp6hv
    @HarunaGeorge-bp6hv 7 месяцев назад +7

    Dizasta noma sana kabla ya kusikiliza ngoma yake nieacha like kwanz sababu najua hukosei

  • @hydratz9750
    @hydratz9750 7 месяцев назад +10

    Haya maisha yangu ni kitabu,na hii ni page Chafu, So achia JALA😂

  • @nyemomtwanga9449
    @nyemomtwanga9449 7 месяцев назад +7

    Siku na mwaka wowote kama nikiwa hai kuanzia hii nov/2023 nikipata like itanikumbusha na kunirudisha hapa kuulisha ubongo wangu tena na tena

  • @fathebwoy7619
    @fathebwoy7619 3 дня назад +1

    Mwanangu nyimbo zako kapenda brother sio mchezo

  • @christopherizdory5302
    @christopherizdory5302 7 месяцев назад +3

    Hauwezi kuwa mtoto ukisha ZAA. Na mtoto hawez kula NDOTO ikija njaa ,pia kuna mstari wa nyimbo Yako X unasema " MAISHA YA NDOTO YATAISHA UTAIRUDIA KAWAIDA NA UTAGUNDUA Kuwa HAUKUWA MALAIKA" DIZASTAR VINA bro kila nikiingia online nataman kujua kuna nn kuhusu wewe.....ni noma appreciate💯

  • @valencepaul4604
    @valencepaul4604 7 месяцев назад +4

    EA anthem “lakin bahati mbaya mtoto hawezi kula ndoto ikija njaa”🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇰🇪black you don’t have to bend knee ile ki uncle tom ,,, kipaji + maarifa+juhudi+ubunifuu= DIZASTA

  • @nivogee9830
    @nivogee9830 7 месяцев назад +11

    Combination ya akili kubwa kwenye ukubwa wa maudhui real recognize real the big chemistry of hiphop 🙌✊✊✊

  • @user-mb1yt6cn7g
    @user-mb1yt6cn7g 7 месяцев назад +6

    1day na viewers ni 24k yasipoe haya machakula ya ubongo inatia moyo sanaa ❤ wana hip hop wote tukaze tufike 1M subscribers tumsapoti dizasta azidi kutupa madude ya ubongo

  • @festobangi2560
    @festobangi2560 7 месяцев назад +8

    ONE minutes remainiiiii wananguiuuu tufurahie kitu roho inaaminiaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @festobangi2560
    @festobangi2560 7 месяцев назад +7

    Story Taylor kama story Taylor TANZANIA NA WORLD WIDE naamini sana katika kazi zako

  • @jofreymfugale4752
    @jofreymfugale4752 7 месяцев назад +3

    Uwezo wa dizasta unajulikana kuwa ni next level,, ila leo nimejua kuwa kuna KAA LA MOTO nae ana verse moto balaa

  • @MOBIGO2F
    @MOBIGO2F 7 месяцев назад +5

    Haya madusko,hatuwez kugawana NUSU.🎙️🎤🎤

  • @andreamachumi8713
    @andreamachumi8713 День назад

    Dizasta we ni hatar sanaaa mzeee huu utunzi niwa out of this planet

  • @3dwin6itta60
    @3dwin6itta60 7 месяцев назад +19

    THE GREATEST OF ALL TIME..HUTAKI PITA HIVI

  • @abelnegongullo3175
    @abelnegongullo3175 7 месяцев назад +2

    Daaaah. Kaka kwa hiki chuma aseeeh!! Ni atr sana. Yan ni zaidi ya darasa. Mungu akujalie zaidi kaka

  • @LUSAJONGASSALA-xf5qu
    @LUSAJONGASSALA-xf5qu 7 месяцев назад +2

    DIZASTA BRO WEWW NI ZAWADI KWA DUNIA ME NIMEKULA NGOMA ZOTE HIZI HAKIKA WEWE NI NOMA YA NOMA BROH HAVE LONG LIFE: confessions, hatias, no body is safes, enigma, shahidi, tribulation, muscular feminist, Sina, kesho, njia, last chapter, fallen angel, Yule Yule, gori la ushindi, maabara, word play, verteller, sister, ndoano, mlengwa, kijogoo, mwanajua, kanisa, wimbo usio Bora, achia jala etc... zote hzo zimezidi kuwa baraka kwa dunia.

  • @samwelysimon569
    @samwelysimon569 7 месяцев назад +3

    kwa yeyote anae ona hii 2050 achia jala na muscular feminist ni ngoma zilizoleta ukombozi wa fikra kwa vijana wa tanzania natumaini inafanya ivo kwenu pia

  • @hamimumatola2829
    @hamimumatola2829 7 месяцев назад +3

    Kuna tofauti kubwa kati ya fid q, geez mabovu , gwair pamoja na wewe. But iyo tofauti ndio wewe halisi .

  • @stevemwachi254
    @stevemwachi254 7 месяцев назад +3

    Siku zote nikisikiza nyimbo zenu sijutii kufeli shule maana mtaani munanifunza maisha...
    Vina-Niheri kuyashinda majaribu,ila kufeli ni kushindwa kujaribu..🔥
    Kaa-Bidii ni mazoezi tenda kwa mda uone matokeo..🔥

  • @AfrikanusAlchard
    @AfrikanusAlchard 2 дня назад +1

    Kali sana

  • @zaggyization
    @zaggyization 7 месяцев назад +14

    Kaa la moto & Dizasta hands down,🐐🐐,EA Finest

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 7 месяцев назад +3

    Shukuru leo kakaako nipo so school iz free, this iz the real meaning of school🤞thanks black Maradona🎉

  • @devisndomba3820
    @devisndomba3820 7 месяцев назад +1

    Ujawai kuniangusha kaka. Wao wanakuita vina ila kwang ww n darasa la maisha afya ya ubongo

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 7 месяцев назад +24

    The Bermuda. The BlackMaradona HimSelf. Masta in His Art. Toujours Toujours Maestro Vina. Heshima our Ancestors are proud of You.

  • @redmistmusiq
    @redmistmusiq 7 месяцев назад +2

    Achia jala__mafanikio ni Kwa wale majasiri walio tayari kusubiri ni makupe💯Dizasta🔥🔥🔥🔥🔥
    You're so bitter sio healthy,unapoteza asili💯Kaa La moto 🔥🔥🔥

  • @alwatanpt4318
    @alwatanpt4318 7 месяцев назад +3

    king of new school dizasta vina nikimaliza hii naenda ku stram tena tribulation🔥🔥🔥🔥🔥

  • @maufijose2294
    @maufijose2294 7 месяцев назад +1

    Duuh! Huyu Kaa La Moto! ASEE! Mmekutana Wote Magenius Wa Uandish! 👏👏👏

  • @daudisinani8342
    @daudisinani8342 7 месяцев назад +16

    ACHIA GWALAAAAAAAAAA.......... THE WAIT IS OVER NOW.......💯💯💯💯💯💯💯

  • @salimally2823
    @salimally2823 7 месяцев назад +5

    Vichwa viwili vyenye tunzo ngumu vimekutana,kazi safi Kaa la moto..001 representing

  • @paschalsebastian
    @paschalsebastian 7 месяцев назад +4

    Waiting Brotherhood

  • @jacksonjacksonjacksonjacks9879
    @jacksonjacksonjacksonjacks9879 7 месяцев назад +2

    Ee bhana brother kamaliza poa sana achia jala

  • @shihemicetamol6260
    @shihemicetamol6260 7 месяцев назад +15

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥this is beyond normal...dizasta for life dizasta to the universe

  • @user-yp1iw8jk9h
    @user-yp1iw8jk9h 7 месяцев назад +2

    👊❤️cku nzima Ngoma inaliaa Kama IPO nyimbo moja kweny cm🙌🙌✌️

  • @raphaelmwangosi9295
    @raphaelmwangosi9295 7 месяцев назад +2

    my best emcee ever mwanangu Dizasta Kila la kheri na nakuombea Dua Kwa Kila unalolifanya mwanangu much 💕😘💕😘🔥🔥🔥🔥💪💪💪

  • @josephmsingi6226
    @josephmsingi6226 День назад

    🙌🙌🙌 hii nyoko sana hii

  • @KEVOSHIZO
    @KEVOSHIZO 7 месяцев назад +1

    Sina kazi nimedandia ndala
    Alafu unanikazia fala
    Bro achia Jala
    Hauna shida ndo' maana unapendeza
    Alafu unaniambia hauna fedha.
    Punch line moja ya nguvu imenigusa sana!!

  • @user-tx8ub9fc3k
    @user-tx8ub9fc3k 7 месяцев назад +2

    Nakukubari bro miaka mia nipo nyuma yako razima aachie jala

  • @tipagwejr3505
    @tipagwejr3505 7 месяцев назад +2

    Nilipenda kuwa ruban ila mambo nimakubwa ukubwani..... Dah kweli Hip Hop shule

  • @negotvonline6903
    @negotvonline6903 7 месяцев назад +2

    We msengeeee unatishaaaaaaaaaaaa

  • @karimchindema9823
    @karimchindema9823 6 месяцев назад

    Hii ni zaidi ya ngoma! Chakula cha ubongo,
    Ina ushauri, inatoa stress, inafungua akili, inamfanya mtu aamke apambane na maisha, inaokoa watu waliochoka na maisha, ni somo la afya ya akili... music market strategy dah! Aisee ni hatar aisee...
    Naendelea kupata vya kufundishia wanafunzi wangu skuli kwenye somo la literature

  • @aligomatumla2930
    @aligomatumla2930 7 месяцев назад +1

    Kaka vina we mchfu bro Yan ipingwi oioi kala Kama kala ngose msafiri nakubali 👊

  • @user-qr6ci7jy9j
    @user-qr6ci7jy9j 7 месяцев назад +1

    Dizasta hiz story waga unazitunga vp, mwanajua , ahadi, tatu yaasili , sikumbaya , kesho , kanisa , maabara ., Siku mbaya
    Nanyingeni nyingi ukisikiliza ndo unajua kabsa Broo hakuna kma ww💪

  • @mzeebaba6045
    @mzeebaba6045 7 месяцев назад +1

    Konkiii... Black Maradona ft kaa LA moto... Oya weeeeee toa jala

  • @kisalaurence6177
    @kisalaurence6177 7 месяцев назад +1

    Dah Lyrical G Vina ft kaa la moto moto tuu 🙌. Nani story teller sio swali tena Uh!!!!!

  • @mobrahdaddyo6515
    @mobrahdaddyo6515 7 месяцев назад +19

    This is marvelous combination ever, D vina + Kaa la moto...... Respect brothers that's awesome

  • @user-ju5tp7bd3y
    @user-ju5tp7bd3y 7 месяцев назад +2

    Na wait fundi

  • @Cabosport
    @Cabosport 7 месяцев назад +4

    Mwenye vina viake 🕊️

  • @meovinmwangomale8512
    @meovinmwangomale8512 6 месяцев назад +1

    Ila kaa la moto ni mbad uyu jamaa all in all dizasta tujengewe Sanamu lako mamayeeee

  • @timotheovitalis4147
    @timotheovitalis4147 6 месяцев назад +2

    Unajua Kwa marapa hatar huyu mwamba aseh anajua ngoma zake zin jumbe sana aseh

  • @DanielJeremia-mj4bj
    @DanielJeremia-mj4bj 7 месяцев назад +2

    Kumbe kaa la moto big up bro

  • @NachiLapa-zo9ld
    @NachiLapa-zo9ld 7 месяцев назад +3

    No one is insane to battle vina
    He is so scaring when he wear mask for Halloween
    Huyu jamaa ni WA moto
    Muuni vina anajua kuwa ukabaji ndo njia ya mafanikio halafu mkali kaa la moto anampa ma hope kwamba kufanya KAZI Kwa bidii ndo suluhisho la mafanikio

  • @ndoloyeng
    @ndoloyeng 7 месяцев назад +1

    Oooii vunja ice si kisenge mzee 🇰🇪🇹🇿💯👊🏿👊🏿👊🏿

  • @mr.katapa_jr4074
    @mr.katapa_jr4074 7 месяцев назад +1

    Sitaki kuuza ndoto kama bidhaa..
    Ila mtoto awezi kula ndoto ikija njaa.. 🙌

  • @laxmajor
    @laxmajor 7 месяцев назад +2

    Mwalimu wangu 🗽

  • @amanidzoro1952
    @amanidzoro1952 7 месяцев назад +2

    Nzuriii. My favourite rappers from Kenya and Tanzania. (07/11/2023)

  • @wesleymakundi4197
    @wesleymakundi4197 7 месяцев назад +9

    Kind of content that should be on the media on a daily basis🤝 Unaburudika na elimu unapata

  • @raymondtsumah6410
    @raymondtsumah6410 7 месяцев назад +2

    Kala moto❤

  • @Science-concept1234
    @Science-concept1234 7 месяцев назад +2

    GENIUS NI MMOJA TUUUU NI DIZASTA HAO WENGINE NI WAPIGA KELEL NIAMINI MIMIIIIII🙌🙌🙌🙌🙌

  • @heliudjulias7748
    @heliudjulias7748 7 месяцев назад +1

    Dizasta vina recpect brad namuona skubi mtu mbaya

  • @ramalida2547
    @ramalida2547 7 месяцев назад +1

    Ata chongo uwa mfalme kwenye mji wa vipofu...dizasta vinna🙌

  • @AbdulNgolle
    @AbdulNgolle 7 месяцев назад +3

    Oyaa wee hili jinii

  • @juntwakabete1664
    @juntwakabete1664 7 месяцев назад +3

    Dizasta vina your pen's game is unmatched

  • @awardbillboard
    @awardbillboard 7 месяцев назад +1

    Kwa ufupi "JAMBO ZURI AU BAYA INATEGEMEA NA UNALITAZAMA KWA UPANDE GANI" ndioa maana unashauriwa kufikiria kwa kila upande kabla haujaamua. Kisha ukiamua kufanya hayo ni Maamuzi yako kwa sababu tayari unafahamu Kama UNACHOFANYA ni kizuri au kibaya

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 7 месяцев назад +1

    Mmekutana leo collabo safi sana

  • @emiliangasto9467
    @emiliangasto9467 7 месяцев назад +3

    Nilikua nimemiss sana aise haya madini

  • @user-ik7rj4kj3r
    @user-ik7rj4kj3r 7 месяцев назад +2

    Nomaaa sana

  • @proraysrays79
    @proraysrays79 7 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤ achia jala

  • @nasmayusuph3327
    @nasmayusuph3327 7 месяцев назад +1

    Nshalala na mait,nshajiuza kwa...😭🔥🪐

  • @prosperdeogratius4888
    @prosperdeogratius4888 7 месяцев назад +2

    Kabla hujaskiza hii,akikisha umekoga janaba..masterpiece..

  • @firingsquad2559
    @firingsquad2559 7 месяцев назад +1

    Best hiphop artist in africa,
    Aaisee, bonge ya mbshe vina, ukuye na vitu zaid kabla mwaka haujaisha broo

  • @mariamhawaya1561
    @mariamhawaya1561 7 месяцев назад +2

    Nilipenda kuwa rubani.. ila mambo ni makubwa ukubwani🙌

  • @kelelesaid3019
    @kelelesaid3019 7 месяцев назад +1

    Dah kweli kusingelikuwepo Taifa angelikata Tamaa Nyerere
    🤙

  • @Mwita-vw9rv
    @Mwita-vw9rv 7 месяцев назад +1

    Katika watu ulowai kuimba nao wakajibu almost correct as you ask ni kaa la moto. He is very talented with the melody as you have real meaning of hip pop

  • @Japharyhh
    @Japharyhh 7 месяцев назад +1

    ▶ noma sana ACHIA JALA✍️ndio ushaamua sasa tutafanyeje🙌

  • @sabinusjacob8833
    @sabinusjacob8833 7 месяцев назад +1

    Wow,hatimae vichwa zimekutana madheee let’s enjoy the story 🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼

  • @chonverymachenge
    @chonverymachenge 7 месяцев назад +10

    Turn on your notification...it's gonna be a movie, Dizasta vina & Kaa la moto 🔥🔥🙌🙌

  • @KANAELNYANDA-zh7lf
    @KANAELNYANDA-zh7lf 7 месяцев назад +1

    Bonge moja la tracker shout out to ma man #@dizasita

  • @theswordvinamc664
    @theswordvinamc664 7 месяцев назад +1

    Sema watoto wamechelewa kumjua dizasta mm dizasta ndo mwalimu wangu wa maixha kama ata wewe umewahi kumsikiliza ujue kunavitu umechukua kwa dizasta ukubali ukatae

  • @ambokilenyondo3122
    @ambokilenyondo3122 7 месяцев назад +1

    Huwa nikiandika verses then nikikusikiliza dizasta nafuta verses naludi kusoma kufwatili kiundani uandishi Bora wa bars nimegee u genius Kidogo home boy niingie booth

  • @jonathanmussa474
    @jonathanmussa474 7 месяцев назад +1

    Kakae kule kwa akina whozu na kina bonge la nyau.. siachii jala bro

  • @nackplankton1669
    @nackplankton1669 7 месяцев назад +1

    Nilijua tu itakua shule,kumamaeee Hii kichwa nihatari sana

  • @omaryahmed7100
    @omaryahmed7100 7 месяцев назад +2

    Daahh!!! Dizasta sikupingi kaka

  • @kelvinshonde4837
    @kelvinshonde4837 7 месяцев назад +1

    Nitatafuta jala mpk nipate WA kumtananisha Ila watalikosa jala langu salute kwenu

  • @MathewsamuelMagaz
    @MathewsamuelMagaz 7 месяцев назад +1

    Sema blood ulinifanya niipende hip hop,, nakukubali kinoma tu

  • @user-el6co6cj3b
    @user-el6co6cj3b 7 месяцев назад +1

    Kila nkiikutana namtu uwa namcklzsha ngoma za vina na naacha heshimaaa

  • @nkyaromwanawaarikasi9457
    @nkyaromwanawaarikasi9457 7 месяцев назад +2

    🔥🔥 Achia jala...
    🔥🔥 Siachii jala leo..
    Hii ndiyo maana halisi ya mziki wa hip hop (watu wanafurahia tungo halisi, na zaidi hawatoki wakavu, wanatoka wamejifunza kitu.)
    @Dizasta vina. Hongera sana bro.

  • @petercyprian5014
    @petercyprian5014 7 месяцев назад +6

    Philosophy iko kwenye dam ya dizasta vina ❤

  • @salumburah9377
    @salumburah9377 7 месяцев назад +2

    Jiulize kungekuw na taifa angekata tamaa Nyerere🫡

  • @bakarisalim9372
    @bakarisalim9372 7 месяцев назад +6

    Bonge la combinenga 🇹🇿+🇰🇪 swahili Rap