Dizasta Vina - Achia jala Ft Kaa La Moto

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Official music video of a record Achia jala by Dizasta Vina off the upcoming album A Father figure, Written and perfomed by Dizasta Vina & Kaa la moto & Irene, incredible nory & Gerrard Mhabi
    Shot and edited by Dee ayo.
    Stream/Download Achia jala
    Boomplay - www.boomplay.c...
    Mdundo - mdundo.com/son...
    Audiomack - audiomack.com/...
    RUclips - • Dizasta Vina - Achia j...
    Apple Music - / achia-jala-single
    Spotify - open.spotify.c...
    Genius - genius.com/Diz...
    Other music by Dizasta Vina
    Audiomack - audiomack.com/...
    Boom play - www.boomplay.c...
    RUclips - / dizastavina
    Mdundo - mdundo.com/a/2263
    Spotify - open.spotify.c...
    Apple music - / dizasta-vina
    Deezer - www.deezer.com...
    Spotify playlist - open.spotify.c...
    Genius - genius.com/Diz...
    Connect with Dizasta Vina on social medias
    Instagram - / dizastavina
    Twitter/ X - x.com/dizastavina
    Facebook - / dizastavina07
    sw.wikipedia.o...
    Business: Pan.authentik@yahoo.com
    Website - bio.link/dizas...
    Lyrics
    Oya
    Mwela alikuja nikampiga sound mbumba mbaya
    Siwezi lala down town naitunza kaya
    Niko around ninavunja taya
    Michongo kibao town wana hawakuvuta waya
    Achia jala
    Ni heri kuyashinda majaribu
    Ila kufeli ni kushindwa kujaribu
    Baba alifeli siwezi feli pia
    Namiliki jina la ukoo sio sheli dia
    Siwezi lala njaa itanigaraza
    Kwahiyo usiniletee risala achia jala kwanza
    Sina kazi nimedandia ndala
    Alafu unanikazia fala
    Bro achia Jala
    Hauna shida ndo' maana unapendeza
    Alafu unaniambia hauna fedha
    Sikupi kichaka sikupi hata stata utakimbia,
    Achia jala ntakupiga mitama utajifia
    Sikupenda kuwa vikundi vya wahuni,
    Nilikuwa madini ambayo hauyakuti vitabuni,
    Nilikuwa mtu kabla enzi zangu
    Haya maisha yangu ni kitabu na hii ni peji chafu,
    So achia jala
    Dingi mwenyewe alitoboka
    Madeni kama dhambi milele nakokota
    Na alipodondoka nikarithi shida
    Ndio maana Kuelewa mtu lazima uelewe alipotoka
    So, Achia jala
    Sichezi kamali na washua
    Nitakupiga kabali nitakuua, sikuachii hata ukisali
    Matumaini yako mbali
    Nami nipo katikati ya bahari Na mashua
    Hauwezi kuwa mtoto ukishazaa
    Nina mtoto sasa, sitaki kuuza ndoto ka bidhaa
    Mwanzo nilikuwa na ndoto na iling'aa
    Lakini bahati mbaya mtoto hawezi kula ndoto ikija njaa
    Nilipenda kuwa rubani
    Ila mambo ni makubwa ukubwani
    Nikaishia kuwa mkulima fani niliyofunzwa nyumbani
    Kabla shamba halijakumbwa tufani
    So achia jala
    Nimekufata tangu Benki najua kuwa una cash
    Uliingia ukiwa empty ukatoka na mabegi
    Una-act kama Ndezi
    Unaniletea undezi nitakuletea ushenzi wewe
    Nilichora plan na sikupiga mchele
    Wenzangu wa mtaani ni'shazika tele
    Najua unahesabu time si ujaribu kurun sijui
    Nimeshika gun nitakuchezea shere
    Achia jala,
    Siwezi kudanganya kuhusu
    Haya Madusko hatuwezi kugawana nusu
    Usihubiri sisadiki maadili
    Maisha yenyewe mafupi na hatuishi mara mbili
    Achia jala
    Mbunge halijui jina langu
    Ramani ya jiji haisanifu njia zangu
    Hawajivunii ndugu zangu, Miungu haisikii sauti yangu
    Niko peke yangu mimi na gun yangu
    Nitaku pah pah
    Kisha unione mamluki
    Nitakuchezesha mabuzuki
    Nishafungwa mara tatu nimetoa roho nne
    Utakuwa wa tano, so jaribu kutoka nduki nikuonyeshe
    Nipo kazini so achia jala
    Nitakutia ngwara ufe
    Mafanikio ni kwa wale majasiri
    Walio tayari kusubiri ni makupe
    Nisikize brother
    Ni'shafanya mamziki
    Sikuvutia kukusanya mashabiki
    Naogopa kuwa begi nishazika marafiki
    Nilishalala na maiti nishajiuza kwa shangingi
    Nishafunga mahirizi, nishakula mamizizi
    Nishafuga Jinamizi mamisuba nikasizi
    Nishakuzwa na waizi waliokuzwa na machizi waso....
    Mama ananiona failure for life
    Na ninamisi kumbatio la wife
    Mkwe ananiona bwege, napeleka nuksi malangoni pake
    Shemeji ananiona sio type
    So achia jala, nitakubia roho nipe jala
    Usinizoee usinipe gwara
    Unahisi sina maadili ninafata mkumbo bwege
    huwezi kuwa consious ukiwa tumbo empty
    Achia jala
    Sijarithi mali ili nizichunge kama zako
    jala ziko mbali nizifuge Kama zako
    Wajomba masadali sio wabunge kama wako
    Sijaenda shule yako...
    I'll fucking shoot you, Achia jala
    Nimeshindwa leo sio kwamba nilisinzia jana
    Sijakwambia kwamba alisinzia baba
    Hakujua mkwanja ni maua mazuri yanafifia ghafla
    Achia jala
    Hey, so sad hunijui boy, am not of your Calibre
    Usituone tu tajiri, wengi tuna suck blood ki-Cannibal.
    Msimamo kitaliban, na roho ya kijahidina.
    Kama mbwai mbwai ndio utajua mi kikosi kama Pina.
    But I won't choose that hata ka' niko street smart.
    nna-pure fact nahisi we ni mgonjwa unahitaj.......

Комментарии • 856

  • @dizastavina
    @dizastavina  10 месяцев назад +106

    Mazungumzo ya wimbo wa #achiajala ni ya kubuni na yamelenga kuchochea majadiliano kuhusu maudhui tofauti ya kijamii kama kanuni za ubaya na wema (moral values), athari za ukosefu wa malezi bora, msongo wa mawazo, ukosefu wa ajira na mahusiano kati ya ongezeko la uhalifu na umasikini. Wasanii wa hii kazi hatukulenga kuchochea maamuzi mabaya kwa namna yeyote. Tunaamini kuwa sanaa hii ni sehemu ndogo tu ya uhalisia na wasanii tunajaribu kucheza nafasi yetu tu kupeleka ujumbe kwa jamii
    Shoutout to incredible performance by @incredible_nory kuwakilisha antagonistic role kwenye wimbo. Character aliyechezwa na @incredible_nory amekuwa inspired na a legendary character Robin Hood from 1370’s ballads and tales anayesemekana alihisi kudhurumiwa umiliki wa rasilimali na akachukua maamuzi ya kulipa kisasi kwa kuchukua miliki ya walio daraja la juu la maisha na kuwapa masikini
    #DZSTVN

    • @PeterDaniels-ht7kd
      @PeterDaniels-ht7kd 10 месяцев назад +6

      Kaka me ni mwandishi wa vitabu naomba uniruhusu niandike kitabu kwa kutumia wimbo wako wa shahidi & mlemavu

    • @verosir1416
      @verosir1416 10 месяцев назад +1

      Mhuu Kal sana mtalamu

    • @sleifikhajjir262
      @sleifikhajjir262 10 месяцев назад +1

      u know what u do and u r pfct boy❤❤❤🎉🎉

    • @richardmanolo5207
      @richardmanolo5207 10 месяцев назад +1

      Daaah imekaa poa sana hii track brothers nitaifanya tena kwaajili yenu TAFADHARI

    • @bartazariluvanga3298
      @bartazariluvanga3298 10 месяцев назад

      imeenda broo hujawahi kutungusha kwenye kuandika stroy wewe n ibora zaidi ya hta waandika stry za movie bongo hpa take a time weka stry njoo na movie brooo your master mind on this all in all bonge moja la ndoma bonge moja la idea...... @dizastaVINA

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 10 месяцев назад +15

    Dizasta unajua tz huna mpizani anae mkubali dizasta like hapa %

  • @joramsumary7731
    @joramsumary7731 10 месяцев назад +2

    Humu kuna shule sana na hii ndio Hip Hop

  • @meovinmwangomale8512
    @meovinmwangomale8512 9 месяцев назад +3

    Ila kaa la moto ni mbad uyu jamaa all in all dizasta tujengewe Sanamu lako mamayeeee

  • @bazoloemanuel5897
    @bazoloemanuel5897 10 месяцев назад +1

    Lecturer wa Mtaa👂👂💥💥💥

  • @mamencodox6996
    @mamencodox6996 10 месяцев назад +2

    kufeli ni kushindwa kujaribu...

  • @PaulineJoseph-oy5km
    @PaulineJoseph-oy5km 10 месяцев назад +1

    Daah wewe ni noumaaaaaa

  • @alfredsoso9070
    @alfredsoso9070 10 месяцев назад +1

    akili nyingi sanaaaa

  • @fahadjafari1923
    @fahadjafari1923 10 месяцев назад +1

    Kubwa ✊🏿✊🏿✊🏿

  • @evonmkamila1891
    @evonmkamila1891 10 месяцев назад +1

    Haujawah kufeli💪

  • @RamadhaniMkopi
    @RamadhaniMkopi 10 месяцев назад +1

    Haipingwi mwamba wa Kali🙏🎵

  • @ernestemack9135
    @ernestemack9135 10 месяцев назад +1

    Daaa uyu jmaaa🙌🙌🙌noma sana

  • @josmomlundwa9858
    @josmomlundwa9858 10 месяцев назад +1

    Illest kabisa kaka upo kwenye sayari yako.

  • @AfrikanusAlchard
    @AfrikanusAlchard 3 месяца назад +1

    Kali sana

  • @josureabely8899
    @josureabely8899 10 месяцев назад +3

    Ila aisee bro una content Kali sana Yan nataman Dunia ielew Aya madini adim

  • @ommygraphics4355
    @ommygraphics4355 10 месяцев назад +1

    Noma mzee 🔥🔥🔥🔥

  • @Daizo530
    @Daizo530 10 месяцев назад +1

    Dizasta Vinna❤❤❤❤ unajua ninja

  • @farijjmohammed7723
    @farijjmohammed7723 10 месяцев назад +1

    KAAAAAA LA MOTO

  • @hamzermahundu6371
    @hamzermahundu6371 10 месяцев назад +1

    Oyaaaaaaaaaaa

  • @aliuali4690
    @aliuali4690 10 месяцев назад +1

    Safi sana ...kazi kubwa mno

  • @kaJEMBEvip
    @kaJEMBEvip 10 месяцев назад +1

    Nomaa

  • @chrisk.efreestylerofficial149
    @chrisk.efreestylerofficial149 10 месяцев назад +1

    Naiweka katika repeat mode

  • @youngdira1584
    @youngdira1584 10 месяцев назад +1

    Ramani ya jiji haisadifu njia zangu🎶🎶

  • @paschalewamtaa726
    @paschalewamtaa726 10 месяцев назад +1

    Vina ni habari noma

  • @hamzermahundu6371
    @hamzermahundu6371 10 месяцев назад +1

    Kaa lam moto kauaaaa

  • @aligomatumla2930
    @aligomatumla2930 10 месяцев назад +1

    Kaka vina we mchfu bro Yan ipingwi oioi kala Kama kala ngose msafiri nakubali 👊

  • @EmmanuelMwaipopo-i8z
    @EmmanuelMwaipopo-i8z 10 месяцев назад +1

    Huyu kaa la 🔥🙌🙌🙌

  • @royalmbwana
    @royalmbwana 10 месяцев назад +1

    Hili dude ni kubwa 🔥

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 10 месяцев назад +1

    Moto wa gesi

  • @Josephkp629
    @Josephkp629 10 месяцев назад +1

    Aiseeee🎉

  • @FlorianThaddeo-lk6lp
    @FlorianThaddeo-lk6lp 10 месяцев назад +1

    Ukiacha jembe sahau kupata sembe🔥🔥🔥

  • @saidamour6938
    @saidamour6938 10 месяцев назад +37

    Real mcs wamekutana wamefanya real HIP HOP real fans mko wapi? One love from Zanzibar leo kaa limewaka mpaka Zanzibar na Tribulation ipo forodhani

  • @KANAELNYANDA-zh7lf
    @KANAELNYANDA-zh7lf 10 месяцев назад +1

    Bonge moja la tracker shout out to ma man #@dizasita

  • @MouriceKelvin1992
    @MouriceKelvin1992 10 месяцев назад +2

    255 na 254 on top nakubali kaa la moto kiumbe

  • @omary3238
    @omary3238 10 месяцев назад +1

    Nakupenda hip hop kuliko mpira ..🤐🤐🤐

  • @frankchitemo2480
    @frankchitemo2480 10 месяцев назад +1

    Scooby,rochi,pachito, Noriega 👀 nakubali

  • @kefasonmahenga2917
    @kefasonmahenga2917 10 месяцев назад +1

    Vina &kaa la moto ni moto

  • @raphaelboniventus7215
    @raphaelboniventus7215 10 месяцев назад +1

    Pamoja sana, kitabu🙏

  • @ceylordollargeniusrapper
    @ceylordollargeniusrapper 10 месяцев назад +1

    Noma sanaaa🎉🎉🎉

  • @emanuelyigwira2511
    @emanuelyigwira2511 10 месяцев назад +1

    Dizasta we Noma sana

  • @Yusuph-px6ci
    @Yusuph-px6ci 10 месяцев назад +1

    Namiliki jina la ukoo sio sheli dia ❤❤

  • @jesseykariuki4028
    @jesseykariuki4028 10 месяцев назад +1

    Hayo yote chini ya mbuyu! Tafakari hayo!

  • @luc_96
    @luc_96 10 месяцев назад +1

    Maisha yanagadhabu nyingi sana

  • @leonardkweka1104
    @leonardkweka1104 10 месяцев назад +1

    Dude Tamu na zuri, Linafundisha na kusisimua hisia za Vijana Wapambanaji.

  • @Jabir-s6b
    @Jabir-s6b 10 месяцев назад +1

    Oya dizasta upati ktu leo respect hipo ya ziki la nazi.achia jala kaaaaa

  • @HitmakerTk2
    @HitmakerTk2 10 месяцев назад +1

    Iko imara sana🔥🔥

  • @HarunaGeorge-bp6hv
    @HarunaGeorge-bp6hv 10 месяцев назад +8

    Dizasta noma sana kabla ya kusikiliza ngoma yake nieacha like kwanz sababu najua hukosei

  • @bensonthobias6765
    @bensonthobias6765 10 месяцев назад +1

    Kumuelewa mtu ni lazima uelewe alipotoka 👊

  • @TISADURO
    @TISADURO 10 месяцев назад +1

    Salute vina nmetoka mbali sana na wewe vile hujui tu mwanangu nakukubali kinoma yaan

  • @RamadhaniMkopi
    @RamadhaniMkopi 10 месяцев назад +1

    Noma sana dizastar

  • @dankarkije
    @dankarkije 10 месяцев назад +11

    Nilikua kijiweni nimepaki bodaboda yangu Ila hii nyimbo imenirudisha ghetto nisikilize vizuri, sikuhitaji makelele ya pale kijiweni. Apa ndo narudi kijiweni baada ya kusikiliza...🙌🙌🔥

  • @negotvonline6903
    @negotvonline6903 10 месяцев назад +2

    We msengeeee unatishaaaaaaaaaaaa

  • @rashidisanju9628
    @rashidisanju9628 10 месяцев назад +1

    NOMA SANA UNYAMA....🙏🙏🙏

  • @godfreypatrick510
    @godfreypatrick510 10 месяцев назад +1

    Kali sana hii

  • @wakijivu8562
    @wakijivu8562 10 месяцев назад +1

    Mpaka wasemee kaka ww niwamoto ❤

  • @msailomsailo5840
    @msailomsailo5840 10 месяцев назад +1

    Bro. Upo vizuri mzee🔥🔥

  • @harunahozzah5847
    @harunahozzah5847 10 месяцев назад +1

    Asantee EDGER🙏🙏 Asante Vina Asante sana

  • @heriluoga
    @heriluoga 10 месяцев назад +1

    Mnaiponya sana Mitaa Wazee ✊

  • @jumangala
    @jumangala 10 месяцев назад +1

    Kaa la moto uko juu

  • @mosesiyobo275
    @mosesiyobo275 10 месяцев назад +1

    siachii jala broo

  • @omaryahmed7100
    @omaryahmed7100 10 месяцев назад +1

    Daaahh

  • @DARAJANI_TV
    @DARAJANI_TV 10 месяцев назад +1

    Kwahyo wanangu tukaibe sio

  • @josehmafarasi3795
    @josehmafarasi3795 10 месяцев назад +1

    Unaujua mziki

  • @AbdulNgolle
    @AbdulNgolle 10 месяцев назад +3

    Oyaa wee hili jinii

  • @IbrahimKanuto-vv1zl
    @IbrahimKanuto-vv1zl 10 месяцев назад +1

    Mmetisha sana

  • @macksonjuma5180
    @macksonjuma5180 10 месяцев назад +1

    Dzasta na kaa la moto inakua Bomu lenyewe

  • @piusmayanga
    @piusmayanga 10 месяцев назад +1

    Namiliki jina la ukoo na sio sheri

  • @josephmsingi6226
    @josephmsingi6226 3 месяца назад

    🙌🙌🙌 hii nyoko sana hii

  • @flex-jd6hx
    @flex-jd6hx 10 месяцев назад +1

    Ndo venyee street kunaenda

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 Месяц назад +1

    Mmeua sana aisee hii ni masterpiece for many centuries to come

  • @MuhidiniAbdul
    @MuhidiniAbdul 10 месяцев назад +1

    Dizasta ww no noma

  • @leeskillz3734
    @leeskillz3734 10 месяцев назад +5

    (punguza maninja ndo uweze kumkumbatia mkeo) mstari wa maana sana maana ndoa nyingi huvunjika kwa watu wanaoendekeza masela na kusahau familia

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry4249 10 месяцев назад +1

    😮😮 zito..una ACT Kama ndez

  • @MosesSongoma
    @MosesSongoma 10 месяцев назад +1

    Ngoma kali kaka a.k.a The Verteller

  • @Chrissluvanda
    @Chrissluvanda 10 месяцев назад +1

    Kaka meshabiki yako sana

  • @festobangi2560
    @festobangi2560 10 месяцев назад +7

    Story Taylor kama story Taylor TANZANIA NA WORLD WIDE naamini sana katika kazi zako

  • @Ali-kl4zc
    @Ali-kl4zc 10 месяцев назад +1

    Dizasta respect nakukubali sana 🎉😊

  • @AlfredKihwili-d1r
    @AlfredKihwili-d1r 10 месяцев назад +2

    Nomaaa sana

  • @ambokilenyondo3122
    @ambokilenyondo3122 10 месяцев назад +1

    Huwa nikiandika verses then nikikusikiliza dizasta nafuta verses naludi kusoma kufwatili kiundani uandishi Bora wa bars nimegee u genius Kidogo home boy niingie booth

  • @youngrappertz1735
    @youngrappertz1735 10 месяцев назад +6

    Naacha Comment leo, nitarudi 2050 nikiwa mzee kuaambia wajukuu wangu kwamba ngoma za Dizasta zimenikuza📌🔥

  • @kilimapozimuvinajr.
    @kilimapozimuvinajr. 10 месяцев назад +1

    Namiliki jina la ukoo sio Sheri dear.

  • @nathanmalaki3392
    @nathanmalaki3392 10 месяцев назад +1

    Kaa la moto kiumbe

  • @hydratz9750
    @hydratz9750 10 месяцев назад +10

    Haya maisha yangu ni kitabu,na hii ni page Chafu, So achia JALA😂

  • @robertmjuba4440
    @robertmjuba4440 10 месяцев назад +1

    Oya we boya achia jala ntakupiga daga

  • @harrismalone5455
    @harrismalone5455 10 месяцев назад +2

    Vina mzee ni 100%

  • @allyntepatz
    @allyntepatz 10 месяцев назад +1

    Baba alifeli sitafeli pia

  • @allychavala9979
    @allychavala9979 10 месяцев назад +2

    Nasubiri Kwa hamu kubwaaaaa mnooooo kama mda haisogei vileee!!!!

  • @Steven3.
    @Steven3. 10 месяцев назад +2

    bonge la ngoma kaka ujawah feli

  • @Cabosport
    @Cabosport 10 месяцев назад +4

    Mwenye vina viake 🕊️

  • @Paschal-t8p
    @Paschal-t8p 10 месяцев назад +1

    Hip hop yetu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🎉🎉🎉🎉

  • @ankochoka
    @ankochoka 10 месяцев назад +1

    KAZI NZURI 🙌

  • @noahgondwe4779
    @noahgondwe4779 10 месяцев назад

    We jamaa balaa sna aiseee

  • @kasimuadili3832
    @kasimuadili3832 10 месяцев назад +1

    Dizasta ni jini

  • @BockrineSimchimba
    @BockrineSimchimba 10 месяцев назад +2

    🎶🎶🎶🎶🎶Umetisha

  • @Eddynation90Eddynation-xk6dh
    @Eddynation90Eddynation-xk6dh 10 месяцев назад +2

    Hii ni bonge la ngoma good vibe

  • @DanielJeremia-mj4bj
    @DanielJeremia-mj4bj 10 месяцев назад +2

    Kumbe kaa la moto big up bro

  • @mariamhawaya1561
    @mariamhawaya1561 10 месяцев назад +2

    Nilipenda kuwa rubani.. ila mambo ni makubwa ukubwani🙌

  • @BockrineSimchimba
    @BockrineSimchimba 10 месяцев назад +2

    Nakukubari bro miaka mia nipo nyuma yako razima aachie jala

  • @hamzermahundu6371
    @hamzermahundu6371 10 месяцев назад +1

    Unabalaaaaa

  • @timotheovitalis4147
    @timotheovitalis4147 10 месяцев назад +2

    Unajua Kwa marapa hatar huyu mwamba aseh anajua ngoma zake zin jumbe sana aseh