Stamina Shorwebwenzi - Msanii Bora Wa Hip Hop (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 26 мар 2024
- #StaminaShorwebwenzi #MsaniiBoraWaHipHop #SlideDigital
Stamina Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/staminashorwebwenzi
Written & Performed by Stamina
Video Directed by Eddy
Follow Stamina on:
/ staminashorwebwenzi
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz - Видеоклипы
Bwenzii i'm The one like moree
Stamina is so dope. I can't stop watching this track again and again.
I am sure he will be #1 soon due to 💖 a u t h e n t I c v i e w s 💖
Umemalizaa kaka atakayebishaa wew sio msanii bora wa hip hop,,,,, mwambie pasta anafelii mtihani wakati Yesu ni jibuu ,,,, awaeziii elewaaa
club naagiza soda mbele ya shomar kapombe... staminaaaaaaaaa
Hii nyimbo nimeisubili kwa miaka 25 sasa hatimae leo ndo imetoka much respect bro✊🏿
😂❤
Respect
We mzee 😂😂😂😂
stamina babaaaaaaaaaaaaa
Tanzanians in the house aallow us from Kenya to approve this tune,, Huyu stamina hajewai angusha beat
Imefika Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 courage stamina na kukubali sana salute kwako kaka 🙋♂️🙋♂️🙏
Kama mkenya Yuko hapa rusha likes stamina moto nani anakataa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Meru -Kenya representing.STAMINA TUNAKUAMINIA toka MERU-KENYA listening and playing the SONG.Stamina to the World 🌍🌍. follow up on
Meru side gani msela✍🏼
@@nathanmurithi01 Meru Kathelwa
@@nathanmurithi01sai kimeshika Colombo
Sana mwana
Wameru tuko hapa
Kaka angu stamina huna baya.....kiufupi broo unaweza kwenye game ya bongo.....na hakuna anaekuweza apa bongo ukweli usemwe..... salute sana bro...
Kali ya hip-hop bukavu tuna kubali🇨🇩
Wakwanza Mimi Leo like zanguu #morotown 🔥🔥🔥
Muitenni kaligraph afeeeeeeeee 🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
He Is The Greatest Of The All Time on Hip Hop. 😀💥... Stamina has Stamina on Shorwebwenz.
Baba umekasirka yani mpaka umepitiliza hahaha safi sana kk
Eti mkojo wa shoga..254 pwani wapi like za coast
Stamina💥💥💥
Morogoro moja nakumbuka enzi za kabwela niko sec. Form 1,,,,kuna wakaka wa form 3,,4,wakikaa tuu ilikua stor stamina daaa basi nilikua nasogea karibu ili nijue uyo stamina ni nani love u brooo umepambana sana
Sawa kabisa kaka naku kubali sana stamina endeleya na kazi🎉🎉 ness depuis Congo 🎉🎉
Kk unatisha tangu zamani. Congo tunakukubali sana . Apa Hona ...
Aminia kaka braza umetisha toka zama za kale from kenya listening to this dope rap to the world, got u stamina
Mzee baba sasahivi ndio naiona bongo hip hop, respect my brother hizi ndio ngoma tunataka kusikiliza aisee
Aggressive heavy beats, vina vyenye ujazoo i like this
Tz wow ❤The only artist who did this in tanzania ni Ay nimetoka kenya but khali need another collaboration with you likes,za mwamba
Braza stamina anaga kazi mbaya katika tungo zake,sijawahi ona hip hop artist mwenye rap ya style kama yake...uandishi mzuri..
Hii Kali big bro 🙌🚀
Mwamba huyu hapa ngoma kali sana hujawahi kuniangusha stamina🔥🔥🔥
From kenya uyu saa ndo king wa rap bongo alafu kwa mix Roma aingie🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉hatari sana
Representing my country.. Representing the whole rap industry... Thumb up my good people 👍
Nomaaaaaa bro aina haj kuandika kwa herufi kubwaaa🔥🔥🔥
Fundiiiiiiiiiiii HipHop umeibeba beganiii🎉🎉🎉🎉
Alf utaskia rapaa namba moja tanzania sjui young nani uko jmn stamina namba zoteeeeeeeeeee sio moja tu
Stamina ndio mkali wao kwa hii shule🔥🔥🔥 mie sikohoi kama konde 😂 🇰🇪 show me love
Nepo kijana wako tka unahaz adi leo na bado nakuhamin ujawai niangush respect broo🎉
Saruti sana captain unatisha sana sema nn Mzee baba hii punch umeuwa hatariiiiiiii
Ibweee ibweee ibweee 🙌🙌🙌🙌
Respect Ma'Bloder hujawah kuniangusha kakaaaaaaaaaaa!
Shobweeeeees Leo umetumia Moro. Moro town dadekiiii... Mbeyambeyaaaaa sikuiziiiiii❤❤❤❤❤❤ chupa kali shabikiii yako wa dhatiii mzeee
Oya Umu ndan angekuwepo young killer
Ulijuaje mwanangu
Oyaaa weeeh so poa
dah unajua kuwacollaboresha mzee😁🤙
Umeumiza sana home Boy🔥🔥🔥🙌🙌
Hip Hop Never Die, hujawahi tuangusha mashabiki zako tokea unaanza mpaka hapa ulipofikia.🎉
Mvutaji mwenye arosto kakutana na pusha..🔥 Unyama mwingi
This is big 🔥🔥🔥
hiphop bira metaflow bado haijakamilika, fidq, stamina, contawa, tox fuvu, maarifa,nyoungkiller, bando mc, these are the best lapper in tz
Always ur my no. 1 Hip Hop Artist.
ALOOOOH KULAANINA Maangamizi kama SHANGAZI kakutana na @KUSAH 😂😂😂 🙌🏾🙌🏾
Best Hip Hop Song 24 so far
Hehehehehhee Rapper ! Love from Sydney !!!! Nimekubali
Salute to you brother #Stamina Shorwebwenzi, HIP HOP is 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Brother sitami uko vizuri sana
Mkalii waooo tongwee records
Tz kunavichwa asee najivunia kuwabong staa mwenyemadin
Embu kenya representing mara ya kwanza Tanzania wameweza hapa kali sana
Dah stamina hatari kudadek🔥🔥🔥🔥
Noma sanaaa 🔥🔥🔥
Mhhhh Sharobwenzi hapa umekamia kbs, skuizi unatoa mawe mpk nahsi umewapania kuwapa somo
wapi like za huyu mwamba stamina
This is fire 🔥
Umemaliza kaka hata bigblaza wa marekani ameshakiri ya kwamba wewe ni noma 🎉🎉🎉🎉🎉
On fire 🔥 🤧
Oya weeeee😅🎉❤
Msanii Bora WA Hip Hop.. 🙌🙌
Huna mpinzani 🎉
Big up 👏
One of the best❤️❤️
Kali sanaaa
oya jamaa kanyooooooshaaaaaaaaaa😲😲😲😲😲
@stamina sharobwenza in this one fire 🙌
Mistari ya humu ndani ni🔥🔥🔥🔥🙌
🎉Ujawahi kuboa Bwenzi
All the way from Eldoret town huku matatu zote ni Stamina na Fid Q🔥🔥🔥💯 much love Nigga Stamina to the fullest❤❤
The masterpiece
Moto❤
Qubabakeee..... Anaebisha aje Na hoja ,,,,Shorwebwenzii🔥🔥🔥
Kenya 2024 my best rapper in Tz big up man ❤❤
🇰🇪📍🌍🔥 in the building
Best Hip hop 2024
Eb jarbu kuvaa earphone alafu ufungulie hili dundo kudadeq utakuja kunishukuru ❤❤
🤣🤣🤣
Jamani STAMINA ameludi huu ndo stamina Sasa lazima awachane
Nakubali Sana pacha wangu, 🤗🤗💯💯💯💯
Mdogo wanaipigia punyeeeetoooo
STAMINA gonjwa la Jiji Doctor Mwaka hawezi tibu.....
Mwanangu nakukubali sanaa ila azisha lebo hip hop tz tupate nafasi na sisi najiamin kwenye michano
Toka henzi yakabwera nalisongesha behewa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Dangerous 🔥🔥
Ngoma kali brother. Nimekubali. Peace.
Nimerudia zaid ya mara 10 aichoshi aiseee 🔥🔥🔥 star mwenye vina dah kumbe ni stamina
Stamina homa ya jiji , toka enzi za kablwela .much respect 🙌
Best rapper in Africa 🔥
Umekamia sn hii game broo!! Toka wakati wa kabwela ni ngoma baada ya ngoma respect to u👊 kuna Vingi wasanii wa hip hap vya kujifunza kutoka kwako.
Hii ni kali hii, Hii ni funzo sio ya kuita nyimbo hii, Hii sio ya kupigwa disco hii.
Na mwana HipHop bora ni wew tuu broo
Moja Khali Stamina 🔥💯
Maamen, you never disappoint the hood... the Bongo signature 👌,you nailed it..
Sasa aje yule chaijaba wa Kenya sjui OMOLO
Na club na agiza soda mbele shomari kapombe 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mkal wa hip hop tunapeperusha bendera kutoka 🇿🇦 salute kaka mkubwa 👍👍
Hongera sana aiseee mkubwa
Uyu ndo mwamba stamina ninayemjua mm ujapoa broo mikazo mwanzo mwenga
watching from Kenya.... BEAR ashakafunga
Ebo! Mi naona hiphop ishapata mwenyewe2 hao wanaojiita mbuzi tunawachinja cku ya eid😂. Gud work bro.
We ni noma kaka nakusikiliza sana me nipo south africa njoo utuone maana unajua💥💥💥💥