Weusi - Hii Hapa (Official Lyric Video)
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Weusi presents the official lyric video to Hii Hapa.
Available to Stream / Download: africori.to/hii...
© 2024 WEUSI COMPANY Limited
Distribution by Africori: www.africori.com
#weusi #HiiHapa
Aliefrahi kumsikia Dc like zake hapa tafadhali
kwa katuma voice tu
@@user-ls3xk7sl8kHapana, alikuwepo studio ila kwenye video tu ndo hayupo.
video mbovu wameharibu sana
Sio official video
Ila dc smart sana,,ndoto ileile tembea nao
Kama unatokea chuga kama mm na weusi like hapa
Uyu papa papaaa anaua sana izi chapter
hii hapa tunaipa Hip Hop Bora ya mwaka 2024
Kama umeikubali ngoma ya wanaume wa kaskazin tia like wanangu
nakubar
sijapenda location
Weusiiiiiiiiiii
ILA JOH MAKINI NI NYOKO KUMAMAQ... Amefunika balaaaaa
Hatari na nusu kamaliza kawachinjia mbali sana wenzake hiiii hapa hiii ok ok 👌 👌 👌
Wameingia ubaridi siuzi Makoti/si shamba la kahawa mtakula makofi❤
Hii hapa hii ok ok nikipusa Mjini 🔥🔥
Aliegundua video imeshootiwa njia ya Mbezi chini Kama unaenda round about ya Kawe like hapa
True..😅😅
Ambao tupo kwa jili ya mheshimiwa tujuane
WEUSI to the next leval
Now these are the Legends of TANZANIA.... BIG UP MAJAMBAZ MKO JUU.. Much love from Kenya
Kama unawakubali weusi gonna like apa wanangu tujuane
Hii beat is the best in Tz so far
Wadudu tujuane apa like kwangu
Mmetisha Sana weusi Respect kwenu
Hii ndo ile hip hip yetu sasa ....
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Joh Makini passion's on the mic, hilarious man.
Apo mmeuaa weusi wa kazii
Represent form ma city A.Town ✊✊
This was an awesome one take. Tek a big up 👊🏾
DC ndani ya nyumba
Eeey 🔥🔥 love from Kenya💖💖🇰🇪🇰🇪
Frm 254 Mombasa BIG UP WEUSI HIPHOP MUSIC TO THE WRLD.....RYNOKE 25
nick kauwaaaaaaaaaa,like kwakeeee
Hii hapa hii
Hii hapa hii chuma imetuwa mjini show show
Joh Makini nnaye Mjua ni huyu sasa 🎉🎉
Weusi mjin Kuna watu na misikule 😊
Hiiii apaaa hiiii
Unyama ni mwingi sana yani humuna baya 🔥🔥🔥💯✈️
Kazi nzuli
Dope song,
dope visuals...a single shot video, no cuts no edit.
inanikumbusha Mercy form GOOD music era
Huyu ndo Gnako aliyekuwa anauliziwa na Khaligraph Jones
Wara wara❤❤❤❤❤🎉
Another Banger. Legends 🙌👏👏
Weusi one more time 🙌
Hii apa hii ni kani kinoma ila Hiii apa hii Weusi tunatakiwa kuchange video zetu ziwe creative na high quality inakuaje hii apa hii mmeifanyia makosa ivyo ok ok ok safari hii nikubadilisha video
Hii ni Lyrics video mzee siyo official video
@@idysco ndo isiwe kali afu ni video ya ICONS
Sijapenda mbn mistar ya nick muimbe nyie au yupi busy na majukumu ila ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Weusi mtu 5 center half humu tuu🔥🔥🔥 ok ok hii hapa hii Hakuna Matata
🔥 🔥 🔥
Joh kaua sana huyu jamaaa...
North ✊
From Congo 🇨🇩,, Big up kwenu ma sujaa, 💪
MotoSana🔥🔥🔥
Hawa ndo black,weusiiii,nakubali xana hili kundi japo vyonbo kabatini lkn Lina chemistry kubwa east Africa,,lov sana weusi
GOATED LEVELS 🚀🚀🚀
Dangerous #hii hapa
hii hapa hii. African Dance
Hii apa imepita🎉🎉🎉🎉
Makinii doing it the Kenrick Lamar style .. mad love from Kenya
Mwotoo, wakenya niwaone apa 🇰🇪
Nimerudi kuisikiliza hii track baada ya Crown FM kumpost Kipanya..Bonge ya Track
Ngoma zangu mbili bora kwa sasa. HII HAPA Weusi na Kiboss ya Jay Mo.
Amazing hiphop from TZ representing fro 🇰🇪 always teaching
Kali sana#Hii hapa hii!!!
TOP
Wablack🎉
Weus Never disappointed
nimefungua bucha navunja ma G.O.A.T, damnnn JOH💥💥🤘🤘
Paul maker 🔥🔥🔥🔥🎶
Kwa video wangeleta cloud ya watu it's a kind of anthem song waimbe pamoja.ni Ngoma tamu
ingesemekana wanaiga fanya wewe ya kikosi kazi
Joh amecheza sana na wordplay .. ni noma .. kafunika 😊
Safari na wabadilishia lockiiii#WEUSI#
Lord Eyes📌
Video ndogo sana lakkin nyimbo kubwa saaana
DC 🔥🔥🔥
Asee Tuacheni Yote, Huyu Jamaa MUFASA Aliyefanya Hii Video Ni Fundi Sana na anajua Sana! Hivi Nani Mwingine Aliyegundua Kama Hii Video INA SHORT MOJA TU??? Yani ni SINGLE SHORT VIDEO. mwanzo mwisho Short Moja na Video Haiboa😂😂😂 MUFASA FUNDI KABISA✊
💥💥💥
Angalau sasa Weusi wanamtambua Lord, nlimaind skendo ya Ray c, Sema naona ulinganifu wa kuto muona Nick kwa chupa, I really understand what you brothers are doing,,,,, ok ok hii hapa hii❤😁😁✊✊✊👊
Hii apa hii
Wakuu mboo ngoma kali alafu video sio mm roo imeniuma naombeni video nzuri wapoloo
Ni lyrics video
Sio kira mtu anaimba hiphop imupendeze ila nyinyi wakali nimependa kinoma ❤❤❤❤❤
Naaa watakuwwkea vichwaa. A hi ngoma ninoma nanusu weusi tuko pamoja sana Kila ngoma lazima inuke mtaani
Hii ndo rap game tulimis toka tz much love from 254
⚡️⚡️⚡️
🔥🔥🔥
Sema G nako 🙌🙌
🔥🔥🔥🔥
Joh makini's Verse 🔥🔥🔥
All the way from southAfrica Nawakilisha #32 number
makinii
weusiiiiiiiiiiiiiii
Na hata nisipomuona Mzee wa matusi ,,Dr bonta,najua mumemuwakilisha vema lov sana kwa bonta...
Makin Joh
Nani anasoma comment mwaka mzima😅
Namuona lod eeeeeeez
HII NGOMA UJUE USIISHUKULIE POA AISEEE 🥵🥵🥵🥵♨
Okay okay
Tareh 11 juny nimeskiza hii panch mara kumi
❤❤❤❤
Lord eyez kafunika
Weusi Ni Noma🔥🔥🔥🔥🔥
Joh kakimbizaaaa watuu hapaa
🔥
Nice song me from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Lord eyes
Wadudu
🦅
Mbuzi anachinjwa joh kafungua bucha
Kazi nomaaa❤❤❤