King izz,,nahuyunae mbimbixhi mbonakama Nikki,,oyaa wajomba hamna mbaya kwangu asee,,fido vato panya 1000,tu ndomana haixhi kudis kundi na kumwandama joh makin kipenzi cha watu
The short guy and the last guy are blood brothers. The last guy is a hip hop killer in Tanzania. He has another hit called "Don't bother" featuring AKA. Check it
Nani Kaja Kuangalia Tena Baada Ya Kusikia Nyimbo Ya Kikosi Kazi
Hapa haujui ushike yupi uache yupi.Kila kundi lina uzani wake
Geoffrey Embasa Noma
Dah noma sana
Mimi
Niko hapa kabisa
Ila Gnako 🔥🔥🔥🔥
Wanangu like za lord eyes kumi tu zinatosha
Nn
Kauua sana akifatiwa na mnako 🙌🏽
nipo hapa
Flows Kaliiii 🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Kikosi kazi kwa awa jamaa wakasome sana, weusi hiphop yao imetulia sana hata club inachezeka, music ni biashara sio unakaza huku unakufa njaa
Kenya represented
Qali sana mkuu
Enyewe Tanzania mumetushinda Kenya hands down.
G nako best intro
Kikosi kazi inaua weusi
Mi namkubali lord eyes
nipo hapa
Watoto wamepata adabu ,kaskazini upuzi tuu
Kikos Kaz ni vichwa vitup
kaliiiiii
G Nako apa 🔥🔥🔥🔥
Nyimbo nzuri sana
Nako 2 nako soldiers ni balaaaah
Watu wa power bna hao
Hiii ni vita ya marekani na corea....
faya washa moto NYEUSII
Hiyo ndo weusi
Ukiona moja yako haikai umeikalia
SIKUJUAGA KUWA KUNABONGE LA ATO HUKU WANENE HUKU KIKOSI KAZI HAYA NATAKA UGOMVI UENDELEE TUPATE FLEVA SISI
Eeeeya
G nako lord izeeeeeee
Weusi mnarap sawa ioa HIPHOP halisi ipo TAMADUNI na KIKOSI KAZI.
Weusi
ONLY WEUSII NYEUSIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
Oya Nyie Vibonde Mnaleta Uwoga Wenu Wa Kidunya . Mnavua Nguo Hamsemi Mnaoga Au Mnakunya . Misuti Imewavaa Kama Mnakwenda Sabato
Weusi 🔥 🔥 🔥
Nawagaa kishosho
Machali ni kwere
KIKOSI KAZI wamejibu
Lord eyes Limepiga ma backup🙌
Kikosi kazi kweli ni kikosi kazi kazini ni motoooo
Babu weusi n konyo
1. G nako
2. Joh Makini
them bars 🔥
fireeee
Verse mbovu kama huyo nikki ndio kabisaa
Weusi kama mbelee
Ngom zinatisha san
As hip hop we real need this battles to keep our mcees busy to write deep barz
4 Babylon from "USA"!!!! Chupi ndo inabana mwana juu hujanenepa mwana!!! Weusi forever
Kuna Kama weusi tena
WEUSI 🔥🔥🔥
Asee hi ngoma sichok kuiskiza kila day lazma
fire fiiiiiiiiiire
Mbona unajita surulu wakati Kuna nuru mturu surulu
Wanakata kuwa awajamtaja mtu ila mistari yao ilikuwa izumuni kabisa kuwarenga kikosi kazi
Lord eyes💯
Nikiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii uwiiiiiiiiiiiiiiiii chagggga boyyy
Joh kama Joh
Sanaa weus
Weusi bigap sana bila nyieshey tauni bado
Ufiki wami mzee mwisho mkata
Mnako lod ni nouma baba
King izz,,nahuyunae mbimbixhi mbonakama Nikki,,oyaa wajomba hamna mbaya kwangu asee,,fido vato panya 1000,tu ndomana haixhi kudis kundi na kumwandama joh makin kipenzi cha watu
Yan kamoto nyie ni zima moto
Kikosi Kazi Wametisha Saana Tuache Unafki ....Gonga Like Kama Unakubali
Hawa saiv wanapigana majungu hamna mziki hapo
Mmetisha
Lord Eyes anatakiwa afanyiwe kitu special ...this is MAN IS OG
Lord 👀 went in the beat without knocking hodi...🔥
Niatar hii kitu
Ukila na wakubwa sio kufakamia
Lord eyes Unyama Sana😁
Tanzania hiii ndoitabqkia kua brand mama Isio kufa WEUSI WAMBA KONKI
safi sanaa
Daahhhh nyieee watuuu mnajuaaaa siyoo wa Dunia hiii🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Words play ya wasafi ni brave! These guys are not to play with.. Niki uko poa sana( your wordsplay are so awesome)
MNA chana mbakamnakera pumbavu mimi
Mna weza npaka nainjy
Noma
Noma sana
Nilicho kigindua Niki katesek kdg kuifikia maiki wote warefu yy mfupi na wameiweka usawa wao Ila fresh wote 💯 michano iko OG.
Mr. + mistari.... Wote wakali
G nako,Nikki na joh💪
Wanaulizia ndoa papa zilowa
Wasanii wa tamaduni wanasound the same kwel😍🇰🇪👍 weusiiii
Nakubal
I don't understand what they said but the shot boy and last two guy they killed it. Salute from Mozambique 🇲🇿
The short guy and the last guy are blood brothers. The last guy is a hip hop killer in Tanzania. He has another hit called "Don't bother" featuring AKA. Check it
And the second guy Lord eyes aka king Izzy...
Ok
Arusha salute guys daraja mbili kwa mama tina
Estamos juntos
Huku weusi kule 😂😂😂 Kikosi kazi wacha tuone,,,Kund gan Kali zaidiii 👊👊🇹🇿
Chama lang miaka buku❤❤❤❤❤❤❤weusi daima mbele Nyuma mwiko
Mc kama uyo mbishi pigeni msasa
Culture haiwez kutunzwa na watoto mchele ..mcheleee mcheleee
#songa
😀😀😀😀😀😀😀
Kikosi Kazi
Mchele mchele mchele...hahahah
😂
Tisha Sana G broo
Ukisikiliza wanavyo chana mistari ya lord eyes ndio imesimama
Niki kaokota okota Maneno
Joo nae kaokota Maneno
G nako angalau
We unajua hip hop salute mwanangu, Lord eyez kabeba full trck
Exactly ww unajua!
nirudia tena
Haya kikosi kazin
Mwamba Joh Makin
Nakubaliiiiiiiii
Nimekuwa na utata wa nafsi kwa miaka mingi kati ya Joh na Niki wa pili nani mkali. Sasa naweza kukubali kuwa Joh makini ni hatari
Bila g nako akuna weusi
Weusi my favourite much love from 🇰🇪 hii ni moto kila mtu amekill🔥🔥🤙
How about the music producer ...
Upepo wa promotion unawabeba tuu hamna kitu apoo
It's the best time mkafanye collabo na khaligraph jones
Nani karudia mwezi huu wa 6/2023 kama me
G Nako👑👑👑👑
is the best rapper in Africa leave a like if you are with me
Eti nn
Acha ujinga wewe
@@benadetamassy8819 Ni ukweli Ni vile ha rap kwa English 🙄
Et kikosi Kaz wadudu gan ume wasikia weusi au mna taka kiki
weusi
We Eleza Umbea Si ni Iconz... big up weusi
Au unamzungumzia naniwewe
Wapi kikosikazi washuhudie waaah Moto iliwashwa hauzimi big up baba lao Makini joh.
Alltym freestyle💥
Black!
Hehee sasa kumenoga kweny hiphop