Ndo Jins mziki ulivyooo mzeee. Sio TZ tu Trap kwa Africa imetokewa kutokukubalika sana si unaona Hadi NASTY C anaimba mziki mkubwa ila hana NUMBERS nying wala nin😔
💥💥💥💥 ninja hii ngoma iko fiti MAN...IKO FITI SANA NAIRUDILIA back to back kila ikiisha umetisha na flow alafu punch za uzani wa real hustler...gonga like kama hili goma limeku TOUCH 👌🏾👊🏾💪🏾💯
nakuita toto la mtaa coz nlikuwa sina smart now nimepata ndio maana unaona comment nyingi zangu kila ngoma ako iko siku ntakutafuta coz mi mwenyewe nachana mzeya froma ununio
The talent..the mix of fresh tz Swahili and English.. originality of sound dispite the English.. quality..you ma make it .God is ruler of every thing and every one.. work and trust.. work for him and not for man...one day your voice Will hit Africa and the glob ...
Bongea la nyimbo sema bongo tup nyuma sana😱😱 2024
Nyimbo kubwa ila bongo tupo nyuma sana kimziki nice song bro 2023 again im here
😂hatupo nyuma kimziki its Just izi ngoma hazikubalik BONGO.
Ndo Jins mziki ulivyooo mzeee. Sio TZ tu Trap kwa Africa imetokewa kutokukubalika sana si unaona Hadi NASTY C anaimba mziki mkubwa ila hana NUMBERS nying wala nin😔
Shida media zetu zinapromote sana bongofleva
Uyu mwamba anatishaaaaaa🎤
Inabidi tu views every nigga hii talent ata kama wachache ila umoja hakuna kinachoshindikana
Tanzanian first raper sijawahi kuskiya nyimbo kali kama hii .....you nailed it broo keep it up💪
Kujiamini ndo Lifestyle 2024 💯💯💯
Kali sana 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
This song should have 1million views plus Tz mnatuangusha love from Ke🇰🇪🇰🇪
Usiku wa manane ilkua na tafakari,mgongo kwenye bed macho kwenye Dari💯
Till die 2024 Ngoma Kali nalaumu bongo kwanin hatupendi kusapot hip hop
Nyimbo kali sana beat lake hatari 🔥🔥🔥
I like this song sijui mbona watanzania ngoma za wasanii wao wakiimba English hawaipi promo sana na vile ni dope world sound.❤❤🇰🇪🇰🇪
Ngoma Kali ni Kali hata mahaters wakihate wenye wanajua ngoma ni hot wataview msanii Ako ba SEMA 2 ni vile BDO hajatusua
Dah kuna watu wanajua ila basi tu😢😢😢
💥💥💥💥 ninja hii ngoma iko fiti MAN...IKO FITI SANA NAIRUDILIA back to back kila ikiisha umetisha na flow alafu punch za uzani wa real hustler...gonga like kama hili goma limeku TOUCH 👌🏾👊🏾💪🏾💯
Kibongo bongo inakua inakata sana watu wanaopewa sana airtime ni wale wabovu ila pure artist ndo kama ivo wanawekewa ukuta lets go team canabbino
Kawimbo kazuri🎉
Manka anasema kawimbo kazuri😀😀😀manka wa rombo anasikiliza hip hop ♥ 🎶 put your hands up
Here because of O.G🔥 noma hii
Saana tu...baada ya kazi kubwa na sio zari
Y'all somebody tell me why the Fcuk am I finding out about this gem now? Bro, you are who you think you are!! Love from Texas!
Ujue jamani kwenye hiphop lufer ni bonge la producer sema tu ndo hivo ana nyota ya kimya kimya kama tud thomas
Nmerudi tena leo kwenye hii hit song friday 15 November 2024🔥🔥🔥🔥
director apeww maua yake🎉🎉 kichupa kikali mnooo
🎉🎉 unajua we mjinga
Aliyepiga hii beat mungu amuongezee miaka mingine 100
My roLe model we just geTting stArteD again 💔✊🏿
Danger is dangerous goma kali unyama ni mwingi
Hunkumbusha Ngwea kwa saana aiseee
Motooo🔥🔥watching toka Kenya🇰🇪
MOST UNDERRATED RAPPER.....keep it up bro
coniboi nakuita tena coniboi 🎉🎉🎉🎉
nakuita toto la mtaa coz nlikuwa sina smart now nimepata ndio maana unaona comment nyingi zangu kila ngoma ako iko siku ntakutafuta coz mi mwenyewe nachana mzeya froma ununio
Hakikaaa
I'm here again 2024
Underated song 🎉
We need this kind of hiphop in Ke..this is 🔥🔥🔥
"Najiendesha kama Tesla".. Ivo TU yaani 🔥
Top hip bro did know it's swahili yu need promote this iko dope brother
Duuuu hip-hop is back aisee.
yo king of tz bro big lov
Killing me with the song ❤it’s one of my best choice song all the way from United States
Jamaa we ni mkali balaa
Asante mungu nimekua ingawa baba alinikataa sikumtupa nilimjua Japo ndugu walishangaaa
ii ngoma ingekua tumeifikisha ata 1m wadau
Unyamaa mwingiii😎
Mjomba kapotea sanaa...ila nmkubali sanaa
Beat vocal kali sana kazi safi @iddi kutoka Nairobi kenya "What u niggaz trying to hate damme !
Ngoma kalii Sanaa nafurah kuona kila Ngoma unazotoa ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Ikopouwa nimeipenda michano na Uandishi ukopouwaaaa Sana
Nakukubali mpaka nakukubali tena🔥🔥🔥🔥
Producer na yeye apewe maua yake 🎉
dah livee apewe maua yake kabsa
This Gee is very artist 👊🏾
Iyo environment🎉🎉Better than that.....but nyimbo ni kali kama fakiiiiiiin❤Respect...keep it up broh
Noma me nmekubali corras 2 ya mnyamwez
Funga mwaka hii 2024 2025 Tunaaamka Nayo Upya 🎉
Talented sana bro
Sounds like kijana wetu wa +254 kayvo kforce apa views yafaa niwe 200M hiphop mafans walipotea Bongo
Ngoma ya karne homeboy🎉
This song huwa fire inafaa kua na millions of vies
cannabino fundi🥇
Ngoma kali. Ila nakuombea upone kaka, amen
Kujiamini ndio ishakua lifestyle🔥🔥
Hakuna ngoma imefanywa kama hii tz 2023 💪💪💪amini bro naomba lyrics yake
Dah Bongo wasanii wapo kumbe cheki goma zito ili
OG brought me
Ni ilali Bad apa kutoka Burundi 🥳🥰🥰 son Kali san
#kon boy jithihatha zinakua zaidi ya mtoto anae tambaaa🇹🇿💪😌
We ni 🔥 mwamba🙆🙆🙆❤️
back on the game don`t give up bro .....hawajakuvuja mkono wala mguu ....we miss u broo ....outer 254kenya
One love mwanangu Canabino ✊🏿 Tanzania🇹🇿
Nyimbo kubwa san ila ttzo ni hii nchi
I luv this...everything on point..from the beat to the punch lines big up conboi
hii nyimbo nikubwa sema bongo dah safi sana mgwani conboi
You are who you think you are Conboi.. My favorite songgg. Keep pushing kaka
Jamaa nimemfwatilia sana,, anajua mpaka anajua tena,, ila Bado kidogo huyu ni ft za mbeleeeee so sooon
Hip hop sana👊👊
Ngoma yangu Bora ya muda wote
Cannabino🤯...Top sana💯 Kwa Wana wa #Mombasa
Uwiiiii Umetisha my best song ever
The talent..the mix of fresh tz Swahili and English.. originality of sound dispite the English.. quality..you ma make it .God is ruler of every thing and every one.. work and trust.. work for him and not for man...one day your voice Will hit Africa and the glob ...
Conboi wewe ni mkar sana next levo
Huyu ana damu ya mombasani ize broo hop kali
Broo amini hii nngoma sku yaa kwanza naicheki nmeirudia maraa 63 big up bruh
I first heard this song in the ghetto of Lusaka streets since I been a fan
🇿🇲🇿🇲
Mzee umetisha sana
Big done bro
Umeupiga mwingi bro keep burning fire Jah bless 🙌
Bonge la wimbo Appreciat ma men
Hatari bado 2024 💣🔥🚒
Hit song, listening from 🇺🇸
Beat imeshiba 🙌🙌
Hili goma limepick kinoma kwa playlists za Spotify
Nimelikuta best hip hop 2023
Amazing sana
Ngoma kubwa kaka.. mashairi mazito bruh! 💪
sana kamanda you practise next level rap
Dah..ningekuwa na pesa..ningewekeza mzigo kwenye kichupa ya hii nyimbo
Ur my best man bradah❤
Hiphop kali kutoka Tanzania 🇹🇿
Consistency bro!!
Budah u lit
Legendary..mkuu ulipotelea wapi
Kaka wajua love from kenya
Tanzania ni kwann Hawa improve vipaji
nyimbo bora kwangu hii
Juxt ruuuum bro. 1️⃣9️⃣ Nobbis
Master piece of all time 🔥
Dah whne I feel down this is the song boost my energy back!