Weusi - Humu Tu (Official Lyric Video)
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Weusi presents the official lyric video to Humu Tu.
Available to Stream / Download: africori.to/hum...
© 2024 WEUSI COMPANY Limited
Distribution by Africori: www.africori.com
#weusi #HumuTu - Видеоклипы
Joh na macho ya bwana wameuwa
Wow nyeusiii ...., Kama wew NI WA pande za kaskazini gonga like hapa ..., Weusi NI Noma sana
G T A NAKO nama punchlines kibao . kali sana
Itifaki imezingatiwa niite kinana, Michongo inakumbatiwa aka king'ang'a .
Daraja mbili ololoo paka kijenge mwanama, kula piano kula michano hakuna Pang'ang'a.
Kipazani ni kukaza kama napiga mikasi.
Sisomi naenda mbele kama napiga reverse.
Mchezoni tukifika mnachapwa redunducy .
Na ngoma zetu mbele ya wazazi hazina ma ukakasi.
GOMA KALI SANAAAAAAAAAAAA
Joh makini kubabake🔥
gnako bwana
💪 💪
Hajawahi kuharibu,
Unique hair-cut,
Unique wear style za kibaveta flan hv
Heshima
Mi ndo yule mjanja naeheshim washamba🎤🎤🎤🎤unyama mwingi
Ngoma iko na TBS ❤ wapi likes za Gnako 😂😂😂😂
Kubali kataa weusi ndio wamiliki wa Rap ya Bongo!!!
Weusi is fire 🔥 big up
Ila joh... jamaaa nakukubali sana... weusi piga piga
Kama umewa #SUBSCRIBE hawa #Weusi mnipe like zangu 🎉
Sema G nako kauwa sana humu ndani flow tofauti kabisa, ni waya
G Nako ni nani.. He's always 💥
Humjui jaman .. aliye rap verse ya mwishoni
Mbarikiwe watumish wa Mungu humu Tu uwiiiiiiiii
Ngoma kali video kali big up bros🎉🎉
Ila G nako🎉🎉🎉
🔥🔥🔥🔥
Kama umeskia joh ame mtaja mwamba putin like. Hapa tumpemauwa joh
Weus mnatisha
Putini kikomunistiiii
Ubunifu 🙌🙌
Shukran sana weusi kambuni 🙏🙏
Lody eyes kaua sana humu
G nako hatari
Mm ndo wa kwanza weka like apo kam zote
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
Lord eyes🏆
weusi ft wakadinali from kenya
itifaki imezingatia G-NAKO Ni Wa MOTO 🔥 Hakuna Pang'ang'a ni HUMU TUUUU 🤜💥🤛
G nako 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Lord umefunika
Tumekutana humu tu mazee
Weusiiii humu tu🎼🎼
Nice Track from Weusi...
Huo ndo mziki tulio wazoea, siyo mapiano
iko poa weusi on the top thisbis hip hop
❤❤❤
Hii comment ni ya 200 na niyatofauti sana Humu tuu ni bonge la ngoma ila alie uwa zaidi ya wote Ni Producer Stino One.. naombeni like zangu...
G amenifulahisha sana jinsi ame change 🙏
Weusi mpo vizure nakupenda sana
Kipazani?
Mukakasi?
Pang'ang'a?
Naomba tasfiri hapo G... 😂
GTA - #Weusi Version
Tunaharbu lakin hatuaribikiw" King izzzzz
Mi ndo yule mjanja naeheshimu washamba!! Anayewaweza weusi kwa mistari ajitokeze
King eyes
Kubababake!!!
Wow
Cassin Falls
With weusi Kila kitu ni freshy..aty mjanja anaeheshimu washamba😂😂
Nikki amenikosea sana.....
Iko cw
Umetishaaaa sanaaaa ❤️❤️❤️❤️
Texas USA watching and listening ❤
Humu tuu ni bonge la movie weusi 👊👊 👊 East Africa ni ya weusi na Africa nzimaaa ni humu tuu kuba'babaake 👊👊 whoouuuffff
Nooooma sana kaskazini bendera juuuuuuu Viamba ya R chuuuuga
Wote wame uwa
Saf,sana. Nikalibishe na mimi ata Ngoma moja tu bro 🎸
KAMISS MUHESHIMIWA HUMU KUBABAKE
Great job for weusi family
respect weusi good vibe good 🎵
Weusi 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Kubababakee 👊🏿
Hit song
Showing love from South Africa🔥🔥🔥
K
U
B
A
B
A
B
A
A
K
E
Hakuna zaidi yako bro much love Rasta
G nako atar
home swety homee❤❤😊😊😊
Maarifa,hapa tungojee Chupa lingine after 10yrs
I've been a fan since #wapolo Weusi king wengine I don't bother
Ngoma kali sana🎉🎉big up weusi
Kali sana 🎉
G nako hatabarikagi ujimsubiri kwenye vesi
G.nako
Humu tuuuuu kubababajeeeee sema sijamsikia dxapo aiseee
Weusi familia kabisaaaaa
Kwisha sanaa.mugger la hapa
U guys are missing wapili
Big up weusi. Mtu tatu with no DC kwa sasa
Karii sana ii karibuni na kwanguu mchiztv
Joh mnyama
Yente
Hamjambo vijana wa Mungu, embu mnipe maana ya neno humu tu 🤔
Bonge la ngomaa
Mzeee shàyoo na kipotoshi wanatka ligi na tuga ❤
SHAYO IN IDEAS, humu tu
Weusi awana baya 🎉🎉🎉
Eh bwana daaah 🔥🔥🔥💯🎉❤
Umu umu tunaskuma gurudumu iko sawa.jeshi inasound ki uko flani
All verses killed so fire
Kuba babaaake is typing.........
Kazi nzuri
Noma sana mazee cham iko ngori 🔥🔥
hatariii sana 🔥🔥🔥
Weusi 🔥🔥🔥🔥🔥
WEUSI 🔥🔥🔥 Humu tuu💪🇹🇿
Nomaaaah🌏🌏
Nawaza kuna vato ilitangaza vita Kwa weusi kwishaaaa habari yake kubababakeeeeeeeee
Mjanja tunaheshim washamba❤
Ila g nako maua yake jamn
🔥🔥🔥
Weusiiiiiiii