ASKOFU MPEMBA: SAMIA HUWEZI JIFANYA MWEMA WAKATI NI MBAYA.ASKOFU KAKIWASHA SAKATA LA KUTEKWA SATIVA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 июл 2024

Комментарии • 64

  • @HenryKisusi
    @HenryKisusi 11 дней назад +10

    Twende kazi 🔥🔥🔥 Mzee Fumbua Macho, Submarine, Agayaaa bakwigwa duhu bawilage namhala 💪💪💪, hatuna viongozi wa katika serikali Tanzania,

  • @Master-ww7ur
    @Master-ww7ur 21 час назад

    Message sent and delivered, wajitathmini

  • @estambuya3901
    @estambuya3901 11 дней назад +8

    Asante baba mchungaji.

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 7 дней назад

    Watanzania tuachane na vyema vya siiasa tuungane kuonyesha hisia zetu maumivu makubwa maisha magumu

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 11 дней назад +14

    Ccm waondoke tumewachoka jamaniii Mungu baba tuhurumie tuokoe na watesaji hawa . Safari wataondoka.

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 11 дней назад +2

      Mhh wataondoka!. Wakati sasa watu wengi ndiyo kwanza wanahamia CCM?

    • @mariamfaicalhassan2890
      @mariamfaicalhassan2890 11 дней назад +1

      ​@@edsonnelson4464yaani msigwa kuhamia ndiyo wanahamia wanaohamia wamepotea

    • @Vickypaulo-kr8kj
      @Vickypaulo-kr8kj 11 дней назад +1

      Tuombe tuu mungu atawatengua 🤕🤕🤕

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 11 дней назад +2

      Kama kila mmoja wetu ataona anao wajibu wa kupiga Kura ya ya kuikataa CCM na kulinda kura zetu basi CCM asubuhi na mapema itang'oka na kamwe haitakaa isimame!!?

    • @healingclinic698
      @healingclinic698 10 дней назад

      ​@@edsonnelson4464kuhamia kwa watu haibadilisha unyama ushenzi na ubaya wa CCM hata malaika wakihamia CCM haitabadilisha ukweli

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 6 дней назад

    Upo mtumishi

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 9 дней назад +1

    Unakosea unaposema wa Tanzania ni waoga badala ya kuhijumlisha naww.
    Sema Mimi ndo muoga namba moja.

    • @salumuledi7143
      @salumuledi7143 9 дней назад

      Mwenyezi mungu akulani kwa kuvuruga amani acha uaskofu uende kweye siasa acha kutupotosha sisi sio wajinga kamawewe

  • @kirimbakisalum1950
    @kirimbakisalum1950 10 дней назад

    Rev. I understand your motion.

  • @fauzseif7344
    @fauzseif7344 6 дней назад

    Wewe sio askofu wewe ni mbaya sana nanyie mnao jifanya maaskofu ndo mlio wamaliza watu rwanda

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana 8 дней назад

    Sisi waafrika watawala wanapenda kutumia nguvu badala ya hekima namba moja hekima

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d 8 дней назад +1

    Mbona wanaosema ni wakristo huo ni udini Tu umewajaa tuambieni bas huo ubaya wa mama hamsemi mama Mbaa mama upumbavu huo

  • @victorrobert7797
    @victorrobert7797 9 дней назад

    Tungekuwa na watumishi 10 kama huyu hapa Tz tungefika mbali

  • @kashiririrkaasongwisye9487
    @kashiririrkaasongwisye9487 11 дней назад

    Mzee fumbua macho sikuizi wanaweka mtandao ila meter kumi tu kutoka office kuu ukitoka hapo hamna ni bando tu!

  • @MbarakaHamza-op9dx
    @MbarakaHamza-op9dx 9 дней назад +1

    Kwani miaka ya 90 ww ulikuwa wapi?na ulifanya nn?acha porojo.

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 7 дней назад

    Viongozi wa nchii hii hawataki wenye akili

  • @gilbertmathias7594
    @gilbertmathias7594 11 дней назад +3

    Wewe tunakujua sana mshenzi tu wa tabia ww unawambia waache woga wakati mwenyewe huko marekani mpumbavu mmoja tu.

    • @user-jc8el6je5e
      @user-jc8el6je5e 10 дней назад +4

      Utakuwa ccm

    • @aaronswai3092
      @aaronswai3092 10 дней назад +4

      Wewe hujitambui kama humuelewi Askofu Mpemba

    • @komangohill5957
      @komangohill5957 9 дней назад

      Alitoroka kama roketi akikwepa kifo. Hoja ya kifo naye ni muoga

    • @user-eo4bl3do8k
      @user-eo4bl3do8k 8 дней назад

      Ndio maana hii nchi haiendelei kwa watu kama Hawa INZI,wa kijani karibu sisi kizazi cha sasa tutaingia barabarani kama KENYA

    • @user-gr9wc7bc2m
      @user-gr9wc7bc2m 3 дня назад

      Mbona unamtukana amefanya nini

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h 11 дней назад +2

    Wewe ndomchungaji wakweli wengine machawa tu uko sawa sana ujinga umezidi chii kitwima padri nawewe nimewaelewa sana

  • @ezrakaturitsaofficialtz7873
    @ezrakaturitsaofficialtz7873 11 дней назад +2

    Kiongozi wa nchi ukiona unalaumiwa sana hakuna baraka hapo Mungu kumbuka Rehema na Mheshimiwa Rais Samia Jitokeze hadharani ukatae sifa ya kufananishwa na Mungu unayopewa na Nabii hiyo sifa usipoikataa itakugharimu na wewe umesema ni kama chura husikii saa endelea kusifiwa finally utakuja kuelewa kwamba hata herode Mungu alimpa hekima akasau kumrudishia Mungu utukufu akapigwa na chango Mhe Rais Samia wewe ni msikivu sasa jitokeze hadharani kwa ukali na ukatae kuitwa Mungu kiongozi wa nchi kusifiwa na watu kwamba ni mfano wa Mungu itakugharimu usipokemea hilo kuwa mkali kabisa ili hiyo hali ya kutukuzwa kama Mungu watu waache mara moja

    • @maureenlilykiwia1515
      @maureenlilykiwia1515 8 дней назад

      Hivi vya kusifiwa havijaanza kwake vimeanza kwa aliyepita na hao wanasifia ni wanafiki duniani hakuna. Kila kitu utasikia mama amefanya mama ametupa mama hili mama lile sasa hapo Mungu huwa hakai kimya lazima aingilie kati kwa hili

  • @fauzseif7344
    @fauzseif7344 6 дней назад

    Wewe huwezi nyie nyoote naona udini umewajaa kutekwa hata nyie huenda mh huenda

  • @knight6757
    @knight6757 11 дней назад

    😂

  • @ezrakaturitsaofficialtz7873
    @ezrakaturitsaofficialtz7873 11 дней назад +2

    Mhe Rais kumbuka hata hayati Magufuli alisifiwa mpaka kuitwa simba wa Yuda alikataa akasema mimi ni mwanadamu tu msinipigie magoti na wewe kuwa mkali wewe ni mwanadamu tu unahitaji msaada wa Mungu lakini ukiwa husikilizi ushauri wa viongozi wa dini itakugharimu kuwa mwenyenyekevu na usikie maonyo ya viongozi wa dini ukiwa kama chura kama unavyosema husikii neno la Mungu linasema pasipo mashauri nchi huangamia Mhe Rais this is your time to be serious and say your not an Example of GOD your just human being

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 10 дней назад

    Baba ni kweli, wew endelea kuwaelewesha watu,

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri 11 дней назад

    MBONA WEWE ASKOFU UNAPANDISHA KIDOLE JUU HUKO SAWA MIMI NAJIULIZA SANA

  • @deogratiusmaila676
    @deogratiusmaila676 11 дней назад +2

    Lete vitu tiririka Mtumishi

  • @HenryKisusi
    @HenryKisusi 11 дней назад

    Haha hahahaha tulia 😂😂 Bangaladesh, nyosha miguu, kaza mkanda, kunywa uji. Agayaaa bakwigwa duhu!
    Watu wanatekwa ovyo ovyo tu, tumepuzwa na mama Abul wa Kizimkazi Zanzibari anatukanyaga tumechoka.

  • @PaulSanga-m3p
    @PaulSanga-m3p 9 дней назад

    😮ukiuwa kwa upanga naweutauawa kwa upanga

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 10 дней назад

    😅😅😅😅😅Eti pafumu 😂😂😂Nacheka kama mazuri vilee 😂😢😢😢😢

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 11 дней назад

    Lijamaa linakuwaga na ma'points, lakini linavyo chamba walengwa wana wananuna na kutoyafania kazi kwa wakati, asilimia 70 ya waTZ ukiwabwatiza wana hamaki japo si kwa kucharuka bali kubata pia kunasaidia na ujumbe unafika ki shari.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 10 дней назад

    Watanzania wamechoka lakini tunaburuzwa tuu tuanenda kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa bila tume huru kitu kitachofanyika kutoa baazi ya serekali za mitaa danganya toto lakini sio sulisho lazima hili watanzania waliangalie sana kwa makini ndio maana na muamini sana tundundulisu mwabukusi explanation tume. Huru kwanza hata km new costuetion ltachelewa tungelianziasha sasahivi ili Dunia kweke macho hapo

  • @OdiloMagungu-uf5is
    @OdiloMagungu-uf5is 11 дней назад

    Ccm ni watu wabaya miaka yote

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 11 дней назад

    Mbwa nyie Magufuli hakuuwa mtu yeyote hawa wanao teka watu ndio walio kuwa wanauwa watu ili kumchafuwa JPM.

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 11 дней назад +4

      Akili ikikutuma kuandikia mbwa comment ukiamini kwamba mbwa ana uwezo wa kusoma na kuelewa ulichokiandik basi jitafakari akili yako, yawezekana ulishatoka katika utu wala wewe si binadamu bali uko kwenye kundi hilo unalowasiliana nalo!

    • @StevenGendo-vx9jo
      @StevenGendo-vx9jo 11 дней назад

      Mbwa ni ww na familia yako yote ni mijibwa

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 9 дней назад

    Tanzania ujinga umepandikizwa na ccm, kwasababu inatengeneza mazingira ya kutukuzwa ili kila mtu awe chini yao yani watu wawe wanajikosha kwao tu kwa kila jambo hali inayotengeneza hongo umaskini na kutokujiamini.
    Hiki chama kimeingilia karibia taasisi zote hata zile nyeti..na zenyewe ziko kimya hazijitetei.
    Akitokea wa kujisimamia na kufuata misingi ya sheria na taratibu za nchi, huyo mtu anaonekana mbaya kwa7bu anakuwa anaharibu maslahi ya wanaojiita wenye nchi.
    Kazi kununua magari & pikipiki za kuhonga vijana.

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 10 дней назад

    Acha hizo mbona ww ulikimbia si urudi tuandamane sote

    • @victorrobert7797
      @victorrobert7797 9 дней назад

      Hata kama alikimbia ana haki ya kusema maovu ya nchi hii ,hata wewe ungekubali kuuwawa ,alifanya uamuzi mzuri kuamia USA.

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 8 дней назад

      Abaķ mmàlize kama wengine mliowaua

  • @shabanikimpinga6769
    @shabanikimpinga6769 10 дней назад

    Ngojeni.kije.chama.kingine.mtajuta

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 10 дней назад +1

      Una maana gani? Ungekuwepo wakati Nyerere anadai uhuru ungeungana na wazungu.

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma1569 11 дней назад +1

    ASK MPEMBA NI TAPERII MAMA TENA 2225

    • @petromgaya1746
      @petromgaya1746 10 дней назад

      Iyo 2225 nadhani mtamchagua 🚮🚮🚮 chawa wa mama 😝

    • @MyahudiMgalilaya-vh6ss
      @MyahudiMgalilaya-vh6ss 10 дней назад

      Hata kuandika hujui unakazana na mama tena! Kilema wa hakili

  • @saidisaidi4502
    @saidisaidi4502 11 дней назад

    Wewe ujielewi kwanza wacha ukafiri halafu ndio ulete huo😊 ujinga wako hakuna mtz muoga isipokuwa tunajielewa wewe umri wako ni wa nyerere Sasa ulifanyanini wakati nyerere anaitia nchi shimoni nyerere aliwanywesha uji wa njano na hukuchukua hiyo hatua ukuchukua watu walikufa wakati wa nyerere na ulikuwa kijana bona ukuvaa bomu kafiri wee

  • @ShuwarMdudu
    @ShuwarMdudu 11 дней назад +1

    We msenge hanisiiii

  • @MwanakomboNassor-bw3by
    @MwanakomboNassor-bw3by 11 дней назад

    Mwema kwako nani kila Rais unamchamba wewe utakufa nacho kijiba cha roho

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika5017 11 дней назад +1

    Wambie baba wameongeza Kodi tena