Hapa kwa jafo umeweza. Chalamila yeye anatixhia wafanya biashara. Hongera sana Rais Samia kuwapa makavu hakuna kukaa oficeni tatueni kero za wananchi km Mh Makonda. Chalamila ujumbe huo
Jamani wamachinga waliosajiliwa tunaomba wasibughudhiwe ila kama sio machinga ni mfanyabiashra kaweka meza nje huyo hafai anawaletea shida wamachinga waliosajiliwa na wanachama chao kizuri sana kinaitwa KAWASO hio organization ipo smart sana sema kuna watu wanaleta siasa kariakoo kichunguzwe waache wafanya biashara na wamachinga wafanye kaz kwa ushirikiano pasiwepo na migogoro
Mama Asante kwa uteuzi wa JAFO, Waziri mzuri sana na atatusaidia sana, TRA ndo shida Tanzania
Big up sana Rais wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania 🇹🇿
Asante Raisi, sasa unaanza kueleweka
Our President is very Calm, relaxed, composed, Not Talkative though She knows Alot, Mungu endelea kumtunza Rais Wetu, Amen.
KAZI NZURI SANA MHESHIMIWA RAIS,MIMI NINA IMANI KUBWA NA WEWE.
Asante Sana mama unazidi kutupa raha watanzania mama chukua mitano Tena kulayangu niyako chukuaa mama chukuaa Tena mama nanikama mama mashaallah
Mama kaenda na wake wameshindwa Sasa jafo ataweza Hongera mama
Ni kweli mama!! Lakini swala la wageni kufungua maduka nje ya kariakooo sio sawa
JAFO CHUMA back in business 💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾
Mama nipe hiyo kazi mmi kwenye kazi i ni zaidi ya mwanaume
Umengea vzuri sana Mheshomiwa Raisi
Mama kama kocha wa mpira anajua kupanga timu na anajua mchezaji gani anafaa acheze wapi Nani anafaa akae wapi. Big up mama akili kubwa
Tupo pamoja mama unaupiga mwingi
Hapa kwa jafo umeweza. Chalamila yeye anatixhia wafanya biashara. Hongera sana Rais Samia kuwapa makavu hakuna kukaa oficeni tatueni kero za wananchi km Mh Makonda. Chalamila ujumbe huo
Kweli mama kaamua
Mama iko mzuri Sana
Mkuu jafo hongera sana kaka
The problem has always been TRA, nothing but Rushwa rushwa rushwa
Wakwaza leo kariakoo ime karia kooo
Mama mitano Tena unajua kazi mama
Perfect kabisa
Jaffo yuko vzr saaaaaana
Hapa Mama kaupiga mwingi
Yote Yako saw tuuu
Milori ni kero mitaani
Jamani wamachinga waliosajiliwa tunaomba wasibughudhiwe ila kama sio machinga ni mfanyabiashra kaweka meza nje huyo hafai anawaletea shida wamachinga waliosajiliwa na wanachama chao kizuri sana kinaitwa KAWASO hio organization ipo smart sana sema kuna watu wanaleta siasa kariakoo kichunguzwe waache wafanya biashara na wamachinga wafanye kaz kwa ushirikiano pasiwepo na migogoro
Kama ni Jafo yule yule basi natumai makubwa.
😂😂😂😂
Hakuna jipyaa