USIKAE OFISINI KAIFANYE KARIAKOO IWE MASAA 24 "RAIS SAMIA AMPA MAKAVU WAZIRI JAFO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 июл 2024

Комментарии • 29

  • @user-rq4fq4pw4y
    @user-rq4fq4pw4y 16 дней назад +3

    Mama Asante kwa uteuzi wa JAFO, Waziri mzuri sana na atatusaidia sana, TRA ndo shida Tanzania

  • @mswaki_newstz
    @mswaki_newstz 16 дней назад +1

    Big up sana Rais wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania 🇹🇿

  • @imamwaki2566
    @imamwaki2566 16 дней назад +2

    Asante Raisi, sasa unaanza kueleweka

  • @princeisaac2202
    @princeisaac2202 16 дней назад

    Our President is very Calm, relaxed, composed, Not Talkative though She knows Alot, Mungu endelea kumtunza Rais Wetu, Amen.

  • @herryochola2650
    @herryochola2650 10 дней назад

    KAZI NZURI SANA MHESHIMIWA RAIS,MIMI NINA IMANI KUBWA NA WEWE.

  • @allysimu6856
    @allysimu6856 16 дней назад +5

    Asante Sana mama unazidi kutupa raha watanzania mama chukua mitano Tena kulayangu niyako chukuaa mama chukuaa Tena mama nanikama mama mashaallah

    • @user-yd1pc8uy8x
      @user-yd1pc8uy8x 16 дней назад

      Mama kaenda na wake wameshindwa Sasa jafo ataweza Hongera mama

  • @imallya6513
    @imallya6513 16 дней назад +1

    Ni kweli mama!! Lakini swala la wageni kufungua maduka nje ya kariakooo sio sawa

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 16 дней назад +1

    JAFO CHUMA back in business 💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 16 дней назад +1

    Mama nipe hiyo kazi mmi kwenye kazi i ni zaidi ya mwanaume

  • @bugapeasant1827
    @bugapeasant1827 15 дней назад

    Umengea vzuri sana Mheshomiwa Raisi

  • @AbdallahBabu-jl8ld
    @AbdallahBabu-jl8ld 15 дней назад

    Mama kama kocha wa mpira anajua kupanga timu na anajua mchezaji gani anafaa acheze wapi Nani anafaa akae wapi. Big up mama akili kubwa

  • @user-wf8eb6nm4s
    @user-wf8eb6nm4s 15 дней назад

    Tupo pamoja mama unaupiga mwingi

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 15 дней назад

    Hapa kwa jafo umeweza. Chalamila yeye anatixhia wafanya biashara. Hongera sana Rais Samia kuwapa makavu hakuna kukaa oficeni tatueni kero za wananchi km Mh Makonda. Chalamila ujumbe huo

  • @azizimohamed9171
    @azizimohamed9171 16 дней назад +2

    Kweli mama kaamua

  • @RoanCorporation
    @RoanCorporation 15 дней назад

    Mama iko mzuri Sana

  • @shabanjuma4253
    @shabanjuma4253 16 дней назад

    Mkuu jafo hongera sana kaka

  • @mohamedelmi7435
    @mohamedelmi7435 16 дней назад +1

    The problem has always been TRA, nothing but Rushwa rushwa rushwa

  • @MikaJoseph-h4p
    @MikaJoseph-h4p 16 дней назад +1

    Wakwaza leo kariakoo ime karia kooo

  • @user-mu1hx7yv9b
    @user-mu1hx7yv9b 16 дней назад

    Mama mitano Tena unajua kazi mama

  • @melitajeremia
    @melitajeremia 16 дней назад

    Perfect kabisa

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 16 дней назад

    Jaffo yuko vzr saaaaaana

  • @SAMISAI.
    @SAMISAI. 16 дней назад

    Hapa Mama kaupiga mwingi

  • @JacksonChokola-u2i
    @JacksonChokola-u2i 15 дней назад

    Yote Yako saw tuuu

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 16 дней назад

    Milori ni kero mitaani

  • @zuberiismail2972
    @zuberiismail2972 16 дней назад

    Jamani wamachinga waliosajiliwa tunaomba wasibughudhiwe ila kama sio machinga ni mfanyabiashra kaweka meza nje huyo hafai anawaletea shida wamachinga waliosajiliwa na wanachama chao kizuri sana kinaitwa KAWASO hio organization ipo smart sana sema kuna watu wanaleta siasa kariakoo kichunguzwe waache wafanya biashara na wamachinga wafanye kaz kwa ushirikiano pasiwepo na migogoro

  • @allymkamba1054
    @allymkamba1054 16 дней назад

    Kama ni Jafo yule yule basi natumai makubwa.

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 16 дней назад +1

    Hakuna jipyaa