RAIS SAMIA AVUNJA MBAVU BAADA YA KUTOA VICHAMBO UKUMBINI, "WANAKUNYWA MAPOMBE HOVYO, HAWATUPI RAHA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 37

  • @salumshabany3454
    @salumshabany3454 3 месяца назад +1

    Mashaallah Allah Akubarik raisi wetu na Akupe mwisho mwema

  • @AbdulmalikFredrick
    @AbdulmalikFredrick 3 месяца назад +1

    Mashalahaa Alha akufanyiewepesi kwenye uongoziwako
    Alha akupe mwisho mwema

  • @AbdulmalikFredrick
    @AbdulmalikFredrick 3 месяца назад +1

    Nakupenda sana laisi wangu mpendwa umeongea vizuri
    Mashekh wetu wafikishe mawaiza
    Ulio yakumbusha

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe2967 3 месяца назад +2

    Ahsante mama

  • @tonybake7120
    @tonybake7120 3 месяца назад

    Wewe mama mama raisi wetu nakupenda sana zaidi ya sana mungu akupe maisha malefu unaongea vizuri sana

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 месяца назад +1

    Marehemu Sheikh Nyundo alikuwa akisema ukweli kwa pande zote wanawake na wanaume

  • @اللهأكبر-ذ7ث3س
    @اللهأكبر-ذ7ث3س 2 месяца назад +2

    Wanaume ni vyiongozi kwa wanawake

  • @mwanas2
    @mwanas2 3 месяца назад

    Sahihi kabisa haya......shukran mama

  • @AtanasKameja
    @AtanasKameja 3 месяца назад

    Mama Asante kwa hilo

  • @nikolausishillingi378
    @nikolausishillingi378 3 месяца назад

    Upo sawa

  • @DeborahSichone-b9c
    @DeborahSichone-b9c 3 месяца назад

    Kweli

  • @b.warron4631
    @b.warron4631 3 месяца назад +1

    Khaaaa Raha gani ebu sema hiyo Raha.unayo maaniisha😂😂

  • @davidlelo6192
    @davidlelo6192 3 месяца назад +1

    Sema mama tupone

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂 jamani tuwape raha wake zetuuuu

  • @durangobasics6195
    @durangobasics6195 2 месяца назад

    Uislamu unasemaje kuhusu wanawake kuwa viongozi? Kule nchi zenye sheria kabisa za kiislamu wana viongozi wakubwa kama mawaziri, maraisi wanawake? Nauliza nijifunze

  • @KitokiSospeter
    @KitokiSospeter 3 месяца назад +1

    Kumbe Rais nae anaijua raha ya mwanaumeeeeeeee ndani ya ndoa.

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 3 месяца назад

    wamama kweli hawapati rahaa hapo wameshangilia sanaa hawakunwi

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 3 месяца назад +2

    Angeasema mume wangu hanipi raha sio wanaume hawatupi raha

  • @swalehehashim1568
    @swalehehashim1568 3 месяца назад

    Haaaah. Allah anawaona

  • @kostajoseph5811
    @kostajoseph5811 3 месяца назад

    MUNGU AZIDI KUKUJALIA REHEMA , UHAI NA MAISHA MAREFU RAIS , WEWENI MWALIMU KWETU ZAID WEWE NDIO FARAJA YETU

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 3 месяца назад

    Dada kuwa na kiasi ktk kusema, ingestahili wakati unayasema haya hiyo mimbari isiwepo ili uqe huru kuzungumza kama wewe badala ya rais

  • @SalomeBoniface-q2r
    @SalomeBoniface-q2r 3 месяца назад

    Jamn😂😂😂😂

  • @HashimMhuza
    @HashimMhuza 3 месяца назад

    Mama tangia umechukua madalaka leo ndio umenikuna na kunipapasa

    • @IsmailMjesh
      @IsmailMjesh 2 месяца назад +1

      Unasemajee ww😂😂😂😂

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 3 месяца назад

    Kutafuna udongo ni kumshirikisha shetani ktk mfumo wako wa ulezi wa mimba. Kumbuka nyoka ndiye alilaaniwa kwamba atakula vumbi/udongo na si mwanadamu!

  • @stanleymanya438
    @stanleymanya438 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 3 месяца назад +1

    Amekuwa imam... mwanamke sio wa kumpa m......ka

    • @salehesalehe2967
      @salehesalehe2967 3 месяца назад +1

      Kafiri wewe ya huku tuachie sisi Samia atahutubia hata ndani ya mimbali

    • @edwardntamaboko3414
      @edwardntamaboko3414 3 месяца назад

      ​Kumbe hujui kama nyie ndiyo makafiri kwa mujibu wa Muhammad!

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 3 месяца назад

      @@salehesalehe2967 amekuwa imam.. maendeleo hayo

    • @ramadhanimandoa716
      @ramadhanimandoa716 3 месяца назад

      We ni kafir inakuuma kweli hapo

    • @didasseveline9013
      @didasseveline9013 3 месяца назад

      ​@@salehesalehe2967 Sasa kwenye kula kitimoto mbona mnasimamia kucha!!! Inabidi mtulie