Usituchokoze waislamu,kabla haujamuita Rais Samia mdini tazama hizi Takwimu - Sheikh Mziwanda

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 461

  • @soudia9084
    @soudia9084 Год назад +7

    Sheikh Ilunga.mmMwenyezi Mungu amrahamu

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Год назад +6

    Shukran sheikh, ALLAH akuhifadhi, huyo mzee warioba naona fyuzi zinakatika mara kwa mara

  • @alwymohammad5336
    @alwymohammad5336 Год назад +5

    Asante Shekhe. Ukweli ni mafuta yaelea. Allah atawavunja miguu mahasidi wasiweze kusimama.

  • @shersaid7988
    @shersaid7988 Год назад +9

    Shukran Sheikh hukupindisha maneno na data unayo hao wanaomsema mama wanataka fitna.Mama anajitahidi kuonyesha upendo kwa wananchi wote na kwa muda mfupi ameonyesha mabadiliko.Kwani hijabu ndio inayoongoza nchi au hikma.Allah akubariki Shekhe.

  • @Team-t6k
    @Team-t6k Год назад +5

    Sheikh mziwanda ❤ Allah akupe mwingi

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 Год назад +4

    ukweli waislam ndio kauli zenu maashallah shekhe 🤲hao wa upande wa pili wafe vinywa wazi inshaallah kwa ubaguzi wanapenda 😭😭 yarab mpe nguvu na subra samia wet❤😭😭😭😭

  • @nassorbinfundi1196
    @nassorbinfundi1196 Год назад +21

    Wanashindwa kustahmili wenzetu, kikubwa dua ziwe nyingi ndg za waislam tumuombee huyu Rais wetu Mola amlinde,

    • @davidsimbeye1548
      @davidsimbeye1548 Год назад +1

      Tena waislam ndo wanaoongoza kumpinga mama na hasa wanawake,.
      Mimi ni mkristo lkn namkubali sana rais Samia.

    • @zubedabunto1296
      @zubedabunto1296 Год назад

      Kwa kweli subira hawana na hawana kumbukumbu. Allah tulindie mama yetu na umpe hekima ya nabii Suleiman.
      David Simbeye nmekuelewa na nimekukubali, Allah akuongoe uijue haki

    • @zubedabunto1296
      @zubedabunto1296 Год назад

      hawa majirani zetu kwa kweli!!!

    • @mansooralaisri5200
      @mansooralaisri5200 Год назад

      Tatizo wakristo, akitawala mwislam roho inawauma sana. Wanavo Amini wakristo kwamba Tz ni yao. Hata zanzibar wanajenga makanisa ili kuimeza iwe ya wakristo. Hapo ndio mmekosea. Makanisa ya Znz yote yana majini Cheketu.

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Месяц назад

      ​@@mansooralaisri5200Kila anapotawala mtu wenu kuna kuwa na Mambo mengi ya hovyo lakini pia elimu kwenu iko chini sana kulinganisha na wenzenu

  • @mrishojuma4695
    @mrishojuma4695 Год назад +9

    Huyu sheikhe Huwa namkubali saana yaani Allah akutangulie katika ukweli wako

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Год назад

    Tunajivuni kuwa waisilamu sababu mwisilam maishani kwetu tunapenda salama alhamdulilah rabillamin mwenyezi mungu atupe uvumilivu wajuu ameen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @jeremiatitus4414
    @jeremiatitus4414 Год назад

    Basi shekh Mungu azidi kukupa hekima katka kuelekeza mema ktk jamii ya tz tuishi kwa amani,

  • @hamisiramadhani3538
    @hamisiramadhani3538 Год назад +6

    Allah akuongoze sheikh

  • @mohamedmwatuwano5526
    @mohamedmwatuwano5526 Месяц назад

    Masheikh leteni mapya yasaidie masikini.

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi6871 Год назад

    Usipojua maana huambiwi maana,
    Usipojua kinachokupasa kufanya utababaika mpaka mwisho wa maisha yako. Ubabaifu tu ukweli tunauficha. Hongera sana Sheikh kwa neno hili ""msituchokozeee""

  • @HadaikaNgabona
    @HadaikaNgabona 4 месяца назад

    Tusije tukakupoteza Kama sheikh Ilunga❤❤❤❤❤❤❤😂

  • @abubakarmustwafa-lg8fe
    @abubakarmustwafa-lg8fe Год назад +2

    Mungu akuhifadhi mwamba!!Sheikh Zubeir aliyasema haya,yakatokea mengine,ila liwalo acha liwe

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 Год назад +1

    Hawa Maqafiri Tusipowakemea kwa Ukali hawatotuheshim na kutuhofia na ALLAH Amesema Maqafiri Wanawaogopeni Sana Kwa Itikadi zenu Kuliko Mimi Nilie Waumba
    Sasa Tumewavumilia Maqafiri tumechoka Sasa Tunaenda Nao Kama Wanavyotaka

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад +7

    Masheikh wengi wakifuga ndevu na kupunguza suruali wameuliwa wakiitwa magaid

  • @omaryomaryally7420
    @omaryomaryally7420 Год назад +4

    Mungu akuifadhi shekhe

  • @abdallahmgaya7521
    @abdallahmgaya7521 Год назад +2

    SEMA SHEIKH MZIWANDA, HUWA NAKUPENDA KWA KUSEMA UKWELI NA KUTOOGOPA MAZIMWI MA MASOKWE

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 Год назад +8

    Jamani hawa wazee waliostaafu tusiwape nafasi ktk vyombo vya habari, wanaongea hovyo.

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 Год назад

      Hivi unajua kuwa waanzilishi ni waarabu wenye dini yenu??😂😅

  • @cosmasparkire1837
    @cosmasparkire1837 Год назад +13

    Mimi ni m kristo lakini nawakubali sana kwa msimamo wenu kuhusu Hali hii ya kupinga hili la ushoga

    • @rahimgwotta68
      @rahimgwotta68 Год назад +1

      MASHAALLAH
      Karibu kwenye UISLAMU Dini ya Mitume wa Mwenyezi Mungu.

    • @ngoni7944
      @ngoni7944 Год назад

      ​@@rahimgwotta68 dini ya mohamed ya mtume alie abuse mtoto wa miaka 6 aisha

    • @rehemaabinelynyagawa2878
      @rehemaabinelynyagawa2878 Год назад

      ​@@rahimgwotta68 😂😂😂😂

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад

      Mbona mashoga wengi ni hao hao? Kitchen parties au ukienda Zanzibar wamejaa,well sio kama hakuna mashoga WA dini nyingine ila ushoga ni janga la taifa.

    • @annaniasbyarugaba5788
      @annaniasbyarugaba5788 Год назад +1

      Ushoga umejaa Zanzibar

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 Год назад +10

    Raisi Samia kawekwa na MUNGU, na MUNGU ndie atakae mlinda .

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 Год назад +10

    Sheikh wangu unaupiga mwingi

  • @hamoudabdullah5497
    @hamoudabdullah5497 Год назад +14

    Mzee Warioba amekosea Sanaa. Kimsingi maneno yake si sahihi kwa Amani ya nchi yanaweza yakachochea mivutano na MIGOGORO ya kidini hususan kwa wakuwa Takwimu zinaonesha wazi kuwa Raisi anapokuwa Mkiristo Waislamu wachache ndio wanaingizwa Serikali na wala hawapigi kelele. Lakini Raisi anapokuwa muislamu na akatenda haki kwa dini zote, Basi wenzetu wanaona hivyo si sahihi kwasababu wamezowea kupendelewa.
    Wanapenda kutaja neno udini kwasababu wanakusudia kutisha. Lakini wakati wa kuogopa umeondoka na Sasa tutaenda kitakwimu kwa kueleza ukweli.
    TUVUMILIANE ILI TUENDELEZE AMANI NA UPENDO WA NCHI.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад +4

      Mmmh! Inaweza kuwa kweli lakini katika maraisi wote wakristu JPM aliweka waislaam wengi, sio tu mawaziri hata wakuu WA mikoa na wilaya, aliwachanganya sana.
      Alikuwa na ukanda lakini sio udini.
      Mungu atusaidie Kwa kweli.

    • @hamadimatano4503
      @hamadimatano4503 Год назад

      @@MsAggie5 apo ni kupigwa mtu tu uwo uvumilivu ndio matongea 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Год назад +1

      Mzee Walioba amezeeka vibaya mno! 🤦‍♂️😃😃

    • @hamoudabdullah5497
      @hamoudabdullah5497 Год назад +1

      @@MsAggie5 Takwimu zinaonesha kuwa MAGUFULI ndie alieongoza kwa kupunguza Waislamu katika Serikali. Ni asilimia 20 ya nafasi zake za uteuzi ndio alizowapa Waislamu.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад +2

      @@hamoudabdullah5497 sio kweli! Fanya utafiti tena. Mkapa na Kikwete walikuwa na udini lakini Magufuli nakataa na wengi wao walikuwa wala hawajulikani. Ukinambia ukanda siwezi bisha alikuwa nao lakini sio udini

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila2182 Год назад +9

    Mimi Kwa mawazo yangu ni kwenye uongozi tuangalie uwezo na sio dinin ya mtu

    • @rugetehassan5942
      @rugetehassan5942 Год назад

      In position Integrity is first thing

    • @sadikiissa7756
      @sadikiissa7756 Год назад

      Tatizo Wakristo wengi wameshalishwa sumu na wazungu ili wauchukie Uislam ili iwe vyepesi kupitisha sheria za mila za Wazungu zenye kwenda kinyume na maandiko. Ndipo Leo unaona ushoga umeshamiri.
      Lkn Wazungu wanawajua vyema Waislam kwqmba asilimia kubwa wameshika maandiko hivyo ni vigumu kuwashawishi kupitisha mila zao za kishenzi.
      Wakristo na Waislam tushikamane na tuijue hii mitego ya Wazungu mapema.

  • @aliali-ji9ym
    @aliali-ji9ym Год назад

    ALLAH AKULIPE KHAIR NA NGUVU KUISIMAMIA DINI KWA NAFASI YAKO INSHALLAH.

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад +3

    Waislam mnatakiwa muamke sasahv mnachafuliwa kwa ajir Samia ni muislam mnapandikizwa chuki mumchukie muislam mwenzenu mama Samia amkeni mumuunge mkono

  • @isaaabdala7016
    @isaaabdala7016 Год назад +3

    Ni tabiayao hiyo sisi.mnyezi.mungu ametukataza.kubagua watu.lakini.kaziyao.kubagua.waislam.nashangaa dinigani inabagua watu.dini ya mungu watu hawabaguliwi

  • @angelomalimi2444
    @angelomalimi2444 Год назад

    Ni kweli ni serikali la udini

  • @charleslugemalila1168
    @charleslugemalila1168 Год назад +6

    Hizi si hoja za msingi kwa sasa sote watanzania mzee wetu sijamsikia lakini kama kasema hivyo kateleza au kakosea. Kweli kabisa hizi kelele ningeweza kuanza awamu iliyopita maana teuzi tuliziona

    • @lulachahayeshi93
      @lulachahayeshi93 Год назад

      Ndugu yangu Charles asante kwa maoni yako mazuri, natumai yangekuwa mazuri sana iwapo ungeyatafuta maneno yanayodaiwa kusemwa na huyo kiongozi mstaafu hadi kumfanya Sheikh Mziwanda atoe hotuba hii. Tuipende nchi yetu kuliko kitu chochote kwani hata uhuru wa kuabudu tunaupata na kuutumia vilivyo kwasababu tunayo nchi yenye amani, uimara na ustahmilivu baina ya watu wake ambao wana imani na dini tofauti.

    • @adammj6258
      @adammj6258 Год назад

      Ametaja watu 7 wote wakristo hapakua na Muslim ht mmoja lkn kulikuwa kimya,uteuzi wa muislam mmoja Wakristo tena viongozi wa juu kelele nyiingiii,,,,,hapo katumia namba so please tumia namba kukanusha, Shekh kaweka 7

    • @simbillamachiyya
      @simbillamachiyya Год назад

      Mzee Warioba akujibu mwenyewe, yeye aeleze maana ya udini! Watanazania wengine, hatuelewi Nini maana udini? Hebu iweke hiyo clip tumsikie mzee Warioba anasema habari za udini!!!

    • @adammj6258
      @adammj6258 Год назад

      @@simbillamachiyya pengine peke yako ndio habari hii umeikutia hapa mwishoni,,,andika tu 'ripoti ya Warioba' kisha njoo tubishane hapa

    • @simbillamachiyya
      @simbillamachiyya Год назад

      @@adammj6258 suala so kubishana, suala ni kufanya suluhu baina ya khitilafu Kati ya wanaokhitilafiana, Haki huwa haisemwi popote na vyovyote hii ndio Sera ya uisilam.

  • @fastanzania
    @fastanzania Год назад

    Mashallah ♥️ maalmu mziwanda

  • @cafejohn3582
    @cafejohn3582 Год назад +2

    Mungu wetu ni wa wote mungu ibariki Tanzania wabariki wakirito wote na waisilam wote sis ni wamoja na pia hizi niyakati za mwisho tubuni kwa maana ufarumu wa mbinguni umekaribia

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 Год назад

    Ni kweli kabisa, sheikh. Mwl. Nyerere alishirikiana bega kwa bega na Waislamu wakati wa kupigania Uhuru wa Tanganyika.
    Waislamu na Wakristo wote ni Watanzania. Kamwe tusiendekeze udini hapa Nchini.
    Wote tu wamoja.

  • @abdallahmgaya7521
    @abdallahmgaya7521 Год назад +3

    Na ndio maana warioba alipigwa mtama na Makonda hadi Chali, wakati anazindua Katiba ya Warioba.

  • @salehabri6957
    @salehabri6957 Год назад

    Tushachokozwa sana waislamu lakini hatuna ishu tumejaa unafip mtupu,tuachane na siasa feki ,siasa orig ni laa ilaaha illallah muhammadu rasulullah basi.

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Год назад

    Kweli kabisa kwa NINI muingilie dini,KWA KUWA KIONGOZI NI MUISLAM,DINI HII INATETEA KILA MTU NA HAKI ZA WATU,SIO MAASI

  • @gessanabuu2099
    @gessanabuu2099 Год назад +7

    Allah atawaangusha muda si mrefu hao makafir

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Год назад +1

      Qafir mama yako na baba yako walio kukunya we nyoko

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf Год назад

      @@ramadhanmahongole9293 matusi ya nini Ramadhan

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Год назад

      @@Yu-jr9uf muulize "gessan abuu "anaewatykana wakiristo eti ni makafiri huku yeye anajiona si kafiri wakati sisi wakiristo tunawaona waislamu ndio makafiri

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Год назад

      @@ramadhanmahongole9293 Kwani tafsiri ya KAFIRI ni ipi hasa? Nawe ukiwa ndio mkristo, mtoto wa Paulo aliyewezaa katika kristo.
      Yuda 1:4 Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo.

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Год назад

      @@Sheba4651 kafiri ni yule mtu ambae anaepinga dini ya Mungu wa kweli Jehova ya ukiristo huyo ndio anatakiwa kuitwa kafiri

  • @youssouphsalum786
    @youssouphsalum786 Год назад

    Wauwawee tu wasituangamize wadhalim haoooo

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Год назад +5

    Watanzania wanaozungumzia kuwa mama ni mdini ,mpango wao sio dini ,mpango wao ni kutaka madaraka ndio maana wanawashwa na viherehere ,Sasa sisi tunaishi mitaani waislamu na wakristo mbona tuko poa ,hao wanaoongea sisi hatuwataki watuache na NCHI yetu bhana

    • @SAM_163
      @SAM_163 Год назад +1

      Nikweli bro

    • @SAM_163
      @SAM_163 Год назад +1

      Hawa ni watu Hatari sana kwenye nchi

    • @Kiyonga2014
      @Kiyonga2014 Год назад

      Wapagani mbona wananyimwa haki zao!! Au hawana haki ya kuwa viongozi?

  • @hamadimatano4503
    @hamadimatano4503 Год назад +3

    sisi waislam twawapenda hao makafir ila wao hawana haja na sisi hata kidogo 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u 11 месяцев назад

    Musipotoshe tatizo linalolikabili taifa.hili hakuna wakupindisha taifa linaelekeakuzimu labudakamanawewe.ulitupiwa.minazi ukaotakutokachini ukasahau hata dhsmbi ikoje...

  • @kennedyngusa8890
    @kennedyngusa8890 Год назад

    Mmm mbona waklisto hawaongelei Mambo haya nyie. Vip?

  • @ignasmalema8354
    @ignasmalema8354 Год назад +3

    Kwanza elimu mmeanza kusoma juzijuzi tu ,mlikua mnasema elimu ni za makafiri ,kwanza samia amewekwa na wakristo ,uislam hauruhusu mwanamke kua kiongozi,

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Год назад

      kwa hiyo CCM ni wakristo?!

    • @khatibbakhresa7615
      @khatibbakhresa7615 Год назад

      Rekebisha kauli yako

    • @salehesalehe2967
      @salehesalehe2967 Год назад

      Wewe yahudi acha ujnga Tanzania sio dola ya kiislamu hivyo mwanamke anaweza kuongoza acha ushamba

    • @salehesalehe2967
      @salehesalehe2967 Год назад

      Wewe yahudi acha ujnga Tanzania sio dola ya kiislamu hivyo mwanamke anaweza kuongoza acha ushamba

    • @ignasmalema8354
      @ignasmalema8354 Год назад +1

      @@salehesalehe2967 hata kama tz sio dola ya kiislam bado anapaswa kuishi uislam ,basi ale nguluwe ,sasa kwa kua haishi nchi ya kiislam

  • @popiya2368
    @popiya2368 Год назад

    Yaani wenzetu bwana akiongoza Muislam lazima walete maneno dha

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim Год назад +1

    Takbirrrrrrr

  • @shd12m55
    @shd12m55 Год назад +1

    Inaumiza Sana aisee😢

  • @mzeemzee7503
    @mzeemzee7503 Год назад +8

    NDUGU WATANZANIA MUWE MACHO SANA MUMEANZA KUCHOCHEWA KIDINI WATU WAWAIBIYE RASILI MALI ZENU VIZURI KUWENI IMARA ALIYATABIRI HAYATI MAGHUFULI SHIKAMANENI KITU KIMOJA

  • @michaelkibiki3309
    @michaelkibiki3309 Год назад +5

    Mmeshaanza kelele Nchi hii haina Dini ila wananchi Ndio wenye Dini shehe Acha Uchochezi wewe ndio unataka kupeleka Dini serikalini Acha watu wachaguliwe kulingana na uwezo na utendaji KAZI wao

    • @suleimansalym7537
      @suleimansalym7537 Год назад +2

      Kama hujui alieanza kuleta udini ni wazir mkuu mstaafu sheikh ndio anasema watu wasilete udini labda ww hujamuelewa tu

    • @ramyramso
      @ramyramso Год назад +1

      Rudi darasni ili ue muelewa sikiliza kwanza ndo uje ukoment so unkurupuka we vip

    • @shahakaisi1920
      @shahakaisi1920 Год назад +1

      Kwl ww ni mpummbavu mbona huyo aliyesema serikali inaendeshwa kidini , humsemi? Shekh anataka kujua huyo warioba alikuwa na maana gn anaposema serikali ya awamu 6 ni yakidn!

    • @haidhabushiri9558
      @haidhabushiri9558 Год назад

      Umemuelewa lakini shekh au ndo slow learner

    • @muzneali4747
      @muzneali4747 Год назад

      Michael kibiki Kwanza sikiliza Kisha ndio u comment sio kudandia train Kwa mbele

  • @martedimohamed6327
    @martedimohamed6327 Год назад +4

    Tumesoma na kz hatupat walivyokuw wabaguz

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Год назад +5

    Kuna Askofu yeyote au Kiongozi yeyote wa Kikristu alietoa tamko Hilo au watu ambao ni Wakristu?. Maana kama Suala Hilo halikutamkwa na Askofu au Kiongozi mkubwa wa Kikristu lilipswa kutafutiwa namna ya kuliongea badala ya kuwachanganya Wakristu wote. Ukristu ni mpana sio Kila anaetamka kitu eti Kwa Kwa vile mkristu basi ni Suala la Wakristu wote

    • @jumamustapha8254
      @jumamustapha8254 Год назад +1

      Ndiyo maana ya kuonywa warioba kwa ujinga wake wa uzeeni.

    • @balqeessalum1081
      @balqeessalum1081 Год назад

      Sahihi ulichosema

    • @amriomar3398
      @amriomar3398 Год назад

      Sawa lakin yy hyo kajibi kutokan na walioba alivyongelea udin kwaiyo yy anawek saw udin gani ambao mama samia anaufany ingaw mm cpendwez na uongoz wa mam samia lakin kweny hli namtetea 😊

  • @edoedo4973
    @edoedo4973 Год назад

    LAANA KHUM MWENYEZIMUGU ANATUAMBIA MWANAMKE AFAI KUWA IMAMU WALA KIONGOZI MASHEKHE TANZANIA HII NILAANA NDANI NCHI YETU MNASHINDWA KUWONGEA UKWELI MASHEKHE MNAIBEBEA MBELEKO LAANA MNALIJUA HILO SEMA DUNI MMEIWEKA MBELE AYA ZA MWENYEZI MUNGU MMEZIWEKA MIFUKONI

  • @SAM_163
    @SAM_163 Год назад +1

    TUNACHAGUA UONGOZI KWA KUANGALIA UWEZO WA MTU SIO DINI.....
    PELEKENI WATOTO SHULE SIO MKO BUSY NA MADRASA AFU MNATAKA UONGOZI...

    • @omaar5693
      @omaar5693 Год назад

      Unachamba bila kuelewa kilichosemwa nani hajapeleka mtoto shule?

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 Год назад +1

    Wao wakiwa madarakan wanafanya watakavyo nakuweka watu wao sie hatusemi ila wariomba anamdomo sana ndio maana alipigwa kumbe alikuwa anasitahili tulimuonea huruma sana

  • @rajabsumba7786
    @rajabsumba7786 Год назад

    Tanzania ni majirani wazuri na uhusiano kati ya watanzania wenyewe kwa wenyewe ni mzuri pia baina yao na majirani zao hauna kasoro, lakin uchochezi wowote haufai.
    Uchochezi ndio unao sababisha maafa.
    Tunamuombea Rais Samia Suluhu nusra ya Allah.

  • @samuelmuthui4699
    @samuelmuthui4699 Год назад +1

    The big question is, Magufuli chose Samia as his vice president. Ana makosa Gani?

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Год назад +3

    Tuvumiliane tutafika na tusameheane tu Maana

  • @yohanamoikan7709
    @yohanamoikan7709 Год назад

    Ni suluhisho la udini ingawaje Samia unanadanganya wasio na ufahamu manake serikali ni watu watatu tu ikianzia Samia, majaliwa , tulia mwanzo mwisho ????? Na ndo maana Rais Samia hajawai kuulizwa matrilion anayotumia kusafiri kwenye nchi zinzo kubali ushoga ??? Na serikali ya CCM Kuna Siri kubwa kwenye kugawa madaraka waliapa

  • @abdallahkikungulu9141
    @abdallahkikungulu9141 Год назад

    Yuyo mzee gongo inamsumbua kichwani

  • @juliusmshani6985
    @juliusmshani6985 Год назад +3

    Hivi warioba ni mwakilishi wa wakriso? Mtu akiongea jadili alichokiongea kutumia akili yake usiweke udini wakati sio mwakilishi wa dini

    • @jumamustapha8254
      @jumamustapha8254 Год назад +1

      Ulikuwepo serikalini akiwa waziri mkuu, atueleze yeye alisimamiaje hakhi.

  • @user-xw9hg3zr4d
    @user-xw9hg3zr4d Год назад

    Swala liko kwenye hu mkataba tuache kupashana umbea ambao hauna maana na hao wanatoa maon yao kwenye mitandao ni watu kama watu wengine turud kwenye mkatab unafaa au aufai tushaur serekali. Sasa tukianza maswala y sijui tusichokozane sijui nini haina maana tena mimi naona kama nyie ndo mnachochea kabisa udini hakuna kiongozi wa kikristo ametoa kaul ya ya udini ni watu tu wakawaida tena watanzania

  • @pilatoonlinetv9660
    @pilatoonlinetv9660 Год назад

    Waislamu kwa uchochezi hamjambo. Kitu kidogo tiyari mshaanza kuandamana c mgemuuliza aliyesema awafafanulie kwanini anasema hivo? Ndo muyazungumze kwenye hadhara.!!??

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 Год назад +2

    Loves to ALLAAH (S.W) with all prophets and fellow Muslims. Watapata tabu sanaaaaaaaa

  • @user-xw9hg3zr4d
    @user-xw9hg3zr4d Год назад

    Dah sijaon pwent hum ni kama kupashana umbea tu, kiujumla kila mtu anajua mkataba ni mbovu au fai sasa kwanin nyinyi mnaunga mkono na unawambia waislam watulie maanake nini. Alaf naona nyie ndo mnachochea udin kwan kuna kiongoz w kikristo ameongelea swala la kislam je sisi wAkiristo wangekua wanasikiliz maon ya watu kwenye mitandao na kuja ju ingekuaje achen unafk

  • @DawsonKiwia-qt6zf
    @DawsonKiwia-qt6zf Год назад

    Wewe ni mfano wa kuigwa suluhisho la milele kuanzia leo sio kukaa kimya tena. Maridhiano ya kweli ni kukutanisha madhehebu yote na kukusanya mawazo, malalamiko n.k kisha kuundwa mfumo wa haki sawa kwa wote katika idara zote za serikali. (Kuondoa pia na ukabila ktk tass zote pia.

  • @hashimhassan4812
    @hashimhassan4812 Год назад

    Wasema kweli hawawezi kwisha duniani hata iwe iweje, walikufa wengi kama ilunga lkn bado

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh8577 Год назад +2

    Ndio ndio shekhe sawa sawa,

  • @kassimali2273
    @kassimali2273 Год назад +2

    Maneno mazima Akhii

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Год назад

    Haya yote yanasababishwa na kukopa kopa hovyo anae kurisha atakupangia mpaka mda WA kurara kwako JPM arikataaa haya ndo haya sasa

  • @salimabdallah5304
    @salimabdallah5304 Год назад

    Mamfuti mbona hayaongei. Yanashiba tu. Mabwenyenye mamufuti.

  • @nestor384
    @nestor384 Год назад +1

    Huyu sheikh ni nonsense! mambo haya na fikra hizi za kipumbavu usingeyasikia kipindi cha Mr Kazi Tu

  • @Zamb90
    @Zamb90 Год назад +1

    Tusome

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 Год назад

    Watakaoleta vita nchi hiii ni WAKIRISTO

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Месяц назад

      Tangu uliwahi kuona wakristo wakichoma Makanisa na kuuwa watu kwa misingi ya dini

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 Год назад +2

    Na Makamba aliyesema wazuri hawafi tuseme nini sisi wakatoliki.

    • @zariadunia6328
      @zariadunia6328 Год назад

      Mumlaani tu kwa ubwege wake shauri yake kama warioba tu

    • @jumamustapha8254
      @jumamustapha8254 Год назад

      Mpuuzi, kwahiyo wakatoliki wabaya.

  • @turojosephrukiko1622
    @turojosephrukiko1622 Год назад

    Huna maana hatupigan kuongoza Dunia waongoze watu kufanya mema ya kaisari mpe kaisari na ya mungu mpe mungu

    • @issakitundu617
      @issakitundu617 Год назад

      kwan kuwaeleza watu waache udini kwa njia iliyo sawa ili kuleta aman ya nchi ni makosa?

  • @faizaannassir2568
    @faizaannassir2568 Год назад

    Allah akulinde akuhifadh amin yaa rab Amin Well done shekh waisilamu tijikaze wako kila mahala wakrito makazini wamajaaa wao mama wanyanyue waislamu . Warioba fumba domo lako

  • @mosesembughi4284
    @mosesembughi4284 Год назад

    Munapopata mtonyo lazima mtetee .nchi ya tz haitakuja kuwa na maendelee.sababu wengine wanania ya maisha yao.sio kusimamia maendelee ya nchi.mnazani tz hatuna macho.

  • @kaegemagafu7828
    @kaegemagafu7828 Год назад

    Ubinafsi na unafiki unalitafuna taifa hili . Katiba mpya itamaliza hili pale nafasi za uongozi zitakapo koma kuwa kuteuliwa na kubaki za kushindaniwa maana watu wanajadili kama walevi tu

  • @antonymathias8219
    @antonymathias8219 Год назад

    Mama kwahilo usikubali kui ngiza neno dini hainamaana linapokuja utwala viongozi hawezi ridhisha kilamtu hizo nikelele Dada yangu watumikie wananzengo

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia9921 Год назад

    Waislamu tulikuwa pembeni mwa serikali miaka mingi wenzetu wamezoea kuwa wao ndio wanaoatahili kuwa serikalini sasa wameshikwa na butwaaa kuona sisi kwanini tupo serikalini kwa sasa

  • @mayaniphilipo9256
    @mayaniphilipo9256 Год назад

    Hv Kwann Rais Akiwa Muislam Lazima Chokochoko Ziwe Nyingi!?

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 11 месяцев назад

    Mnakuza nyie wapenda kiki mnaotaka kuonekana mitandaoni,sisi uraiani hatuoni huo udini kutoka Kwa mama,mnamuonea nyie mnaodadavua hata kama aliesema hakua na maana hiyo,mnayakuza nyie ni wachochozi,nahamtuhamasishi kubaguana Kwa udini

  • @sharomdguda
    @sharomdguda Год назад

    Hakuna kitu hapo , wanatafuta kick 2 raisi samiah Hana ayo, sheikh huyu anatafuta chokochoko tu, hana chakuhubiri fitna tu, km kasema waryoba kwanini asimwambie mwenyewe kuliko kuleta collective kana kwamba ni wakristo wote. Hakuna kitu hapo ni fitna tuu

    • @israelmwasomola6155
      @israelmwasomola6155 Год назад

      Mungu atusimamie Sasa Tanzania tulizoeya kuishi kwa aman Ila tunako elekea maneno maneno mara na machukizo ya ushoga mala udini haya mambo nikukaribisha majanga ya asili na ya vita, shekhe waambie watu waliombe taifa la Tanzania ili MUNGU amuongoze rais wetu ateuwe viongoz Bora, ukiingiz maswal ya din unachochea vita

  • @yahayahassani7627
    @yahayahassani7627 Год назад +1

    huyu anaeitwa mdini ni yupiiiii..,

    • @ahmadamohamed1907
      @ahmadamohamed1907 Год назад

      Warioba

    • @alizaharan1471
      @alizaharan1471 Год назад

      KWAHAKIKA
      NDIO MAANA WAISLAM .TUNAAMBIWA SUBRA TUNAYO NA MUNGU ATUPE SUBRA KWAKWELI
      NDIO MAANA MUNGU AMLEHEMU SHEKHE HASSANI IRUNGA ALIKUWA ANAONGEA SANA MUNGU AKAMPUMZISHA MUNGU ATULIPE WAISLAMA KWA SUBRA

  • @wakatinisasa
    @wakatinisasa Год назад +1

    Naona unaelekea Somalia utashugulikiwa halaka

    • @ramyramso
      @ramyramso Год назад

      Hamuwezi hata iweje na ajaribu mtu muone kaz

    • @wakatinisasa
      @wakatinisasa Год назад

      Hamuoni Zanzibar selekaliyote yamashe halafu Bala mnataka usawa acheni ujinga

    • @ramyramso
      @ramyramso Год назад

      @@wakatinisasa we ni mzima kweli ww sasa Zanzibar na tanganyika unaifananishaje dah akili zingine zikiingia mafuta ya taa bhna

    • @hassanhd6480
      @hassanhd6480 Год назад

      ​@@wakatinisasa asilimia 99 Zanzibar ni waislam

  • @jumakapesa2940
    @jumakapesa2940 Год назад

    Maneno haya yanathibitisha usemi wa Jaji Waryoba. Khutba hii inaonyesha udini waziwazi. Kama wakristo nao watasimama kusema hayo tutaenda wapi jamani?
    Tukaeni pamoja katika nchi yetu tumuunge mkono Rais wetu ili afanye kazi yake vizuri. Huu udini ni hatari kwa Taifa sana.

  • @saidsuleiman9018
    @saidsuleiman9018 Год назад +3

    Allah anasema hawatokubali mayahudi na na wakiristo mpka mufuwate mila zao kuyafanya haoakafri wana hatushangai wache tu waendelee kulikoroga iko siku watalinywa wenyewe

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 Год назад

    Let say kweli aliyasema either kwa kumaanisha au kwa kuteleza kwahiyo ww ndo umeyasikia peke yako ktk dini yako na ukaamua kutoa tamko au umetumwa?? Angalia ukosoaji wako usijekuwa ndo unatia chumvi zaidi maana tunayaona mengi ila tunanyamaza kmya, Afu elewa ukiongelea Ukristo unaongelea madhehebu mengi sana.

    • @andrewkissavah8272
      @andrewkissavah8272 Год назад

      Huyu shekhe kuna kitu nyuma yske anataka kuhamazisha vurugu nivizuri vyombo vya dora kumkataza kumnyamazisha shekhe huyu ,maana haoni aibu kusema ,mbona viongozi wote wa ngazi za juu wote Bara na visiwani wote ni waisilam lakini wakristo wamenyamaza kimya ,alafu tena mnaanza kumsumbua Mzee wetu warioba hebu kabula hamjaanza chokochoko mwe watu wa kutafakari

  • @gessanabuu2099
    @gessanabuu2099 Год назад +5

    Wape ukwel wao hao wanezid ubinafs

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Год назад +1

    Tuwe na subra Allah Yuko na wanyonge.

  • @zahorsalum4976
    @zahorsalum4976 Год назад

    Warioba tuache we mzee ss waTanzania tunaishi kwaupendo bl kujali dini muislam rafikiyake mkewake mpz wake mkiristo. Namkristo. Mpz wake ndo hv hv. Hatujali dini kwenye .umoja wetu .warioba tuache .utakuja kujuta. sn.ww.

  • @ramadhanilubuva1956
    @ramadhanilubuva1956 Год назад +2

    Ifike sehemu tuwaambie ukwelii hao jamaaa

  • @deusmoris3036
    @deusmoris3036 Год назад

    Mama washauri waislam wasiingile mambo ya wanasiasa sababu hakuna mwabadamu anaweza kukutetea isipokuwa Mungu wote tunakupenda

    • @issakitundu617
      @issakitundu617 Год назад +1

      na wakristo hasa ambao ni maaskof na hapohapo ni wabunge wao mama awashauri nn

    • @omaar5693
      @omaar5693 Год назад

      ​@@issakitundu617 nilitaka nitandike kitu kama iko naona haina Haja tena

  • @abdulmajidkarama6469
    @abdulmajidkarama6469 Год назад +2

    huyu sheikh aitwaje? Mungu amzidishie hikma InshaAllah

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Год назад +3

    Huyo mzee anaongea sana maneno siyo mazuri wakati nayeye alikuwa serikalini mungu anakuona wewe mzee

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 Год назад

    Wakati unataja asilimia unasahau kutaja asilimia ya waislamu na wakristo hapa nnchini? Haya mambo ya Dini msipende kuyakuza sana, ndo uchochezi mwenyew huu.
    Kwan aloongea haya mambo ya Udini ni askofu/kiongozi wa juu wa Dini?? Mbona povu sana hapa Kama sio kukuza Inshu na kutaka kuifanya hii iwe hoja?
    Kuna wakati mambo mengine inabd kunyamaza ili kuonekana una akili timamu badala ya kutumia majukwaa ili kupata umaarufu

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 Год назад

    Umefika mbali sheikh, hadi namba za mitihani kwahiyo kutumia majina au namba kwenye mitihani ipi njia bora.. kwahiyo Waislam walifaulu kwa majina yao..?, ongea kwa ufupi utaeleweka, sisi kwetu kuna msemo unasema mwongea mengi usifiwa na wachache..

    • @shaabanbellege3374
      @shaabanbellege3374 Год назад

      Mwenye akili kashaelewa ila vilaza lazma ndo wameduwaa mpk sasa

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Год назад

      @@shaabanbellege3374 Sasa hapa ameongea Nini zaidi ya kuonglea dini

  • @stanleymollel9860
    @stanleymollel9860 Год назад +2

    Nashangaa hutuba hii ni hutuba au ni kampeni

    • @ramyramso
      @ramyramso Год назад +1

      We fala kweli hujui kinachoongelewa au acha ushamba

    • @shahakaisi1920
      @shahakaisi1920 Год назад

      Lazma ushangae lkn, kabla ya kushangaa, ungemshangaa huyo warioba alipoongea alidhani watu hawatamjibu?

  • @majidukalokola7253
    @majidukalokola7253 Год назад +2

    Huyu shekh naona nidiye anayehamasisha udini.

    • @jaymandy8136
      @jaymandy8136 Год назад

      Uelewa wako ni finyu

    • @hombelozabron
      @hombelozabron Год назад

      Nisawatu na kuongozwa na kafir ni mtihani

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Год назад

      @@hombelozabron muislamu Hana elimu yoyote ya kutongoza nchi

  • @josegambi7149
    @josegambi7149 Год назад

    Mmmmh waarabu wataka tawala na Tanzania kidini. Mwache mama awaongoze hii siyo nchi ya udini wala ukabila

  • @cosmaslunyembeleka251
    @cosmaslunyembeleka251 Год назад +2

    Hoja huwa haipingwi
    Lakini ukiingiza hoja za kidini unakuwa umefungwa kifikra.
    Kama aliyetoa kauli ya kuelekea udini ulitakiwa kuomba Sheria ifanye kazi sio mjadala penginepo.
    Kwa kuwa Sheria zinafanya kazi huko unakowapeleka wenzako sio kwema.

    • @khairallahabubakar
      @khairallahabubakar Год назад +1

      Ivi ww unazifaham sheria za nchi zaidi warioba?

    • @baenikashushu5848
      @baenikashushu5848 Год назад

      Ukweli utabaki kuwa ukweli mziwanda amepasuwa jipu pale aliposema wizara ya elimu ilipokuwa umeweka utaratibu WA majina badala ya namba waislam tulifelishwa sana ,wakina jina rashidi au Salima unakatwa