SHEIKH IZUDIN ALISEMA BILA WOGA MBELE YA RAIS SAMIA, TUNANYANYASWA BODA SISI WAKENYA | UNYANYASAJI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 июл 2023
  • Kueelekea katika Maadhimisho ya Mwaka mpya wa Kiislam, Kongamano la Wanawake wa Kiislam Zanzibar. Mgeni rasmi Rais wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan.
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
    RUclips: / @babdeomiladu
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 89

  • @stefanogizzler
    @stefanogizzler 11 месяцев назад +11

    Safi kabisaaa, Am not Muslim but much respect to that speech, I admire Muslim preachings quite a lot, very calm, knowledgeable, smooth and very genuine wallahi. I also like when they call Mtume Salalaha Wa Salala. Well presented bro!!

    • @user-zl5mt6lk4n
      @user-zl5mt6lk4n 10 месяцев назад +3

      Mashaa Allah welcome true religion

    • @somosomo4860
      @somosomo4860 3 месяца назад +1

      Join Muslim and let be one as muslim there is much more that u will be admire meyb. if u believe and have faith.wlcm bro

  • @Ress114
    @Ress114 11 месяцев назад +4

    Asante Shekhe . Lunga Lunga na Namanga balaa ndugu. Asante Sana

  • @halimaomari3415
    @halimaomari3415 Год назад +14

    Mashaa Allah sheikh izudin mola akuongoze kwa kila njia yenye kheir na manufaa

  • @ismailburhan8622
    @ismailburhan8622 Год назад +12

    MASHALLAH ujumbe mzito na mzr tumefaidika alhamdulillah

  • @allyhassan7169
    @allyhassan7169 Год назад +5

    Mashaallah ujumbe umefika speech yako shekh ni nzuri mno maneno mazuri yaliojaa hekma ndani yake hata kionqozi wa siasa ni nqumu kuonqea hayo

  • @Samsungjprime-ww9ve
    @Samsungjprime-ww9ve Год назад +4

    Mashaallah shukran Ahsante kwa mara mzr na yenye mafunzo mzr na muhimu sana

  • @hassanabdalla9688
    @hassanabdalla9688 11 месяцев назад +4

    Mashaallah,waridhi wa mitume.

  • @mpondamedia2416
    @mpondamedia2416 Год назад +4

    Jazaaka llahu khayra umepita vizuri sana

  • @Abdulrahman.84
    @Abdulrahman.84 Год назад +3

    Shukran wajazaka allahu kheir Sayyid

  • @hassanabdulrahman189
    @hassanabdulrahman189 Год назад +3

    Ma sha Allah.... Allah Baarik fiik 🤲🤲🤲

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 7 дней назад +1

    Allah ajaalie uislamu ukue kwa kishindo inshallah kwa uwezo wake jalali

  • @rahmahasan32
    @rahmahasan32 3 дня назад

    Masha Allah tabarak Allah

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Год назад +5

    Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! ALLAHU BAARIK

  • @jaoabdiwatchingfromborehol869
    @jaoabdiwatchingfromborehol869 Год назад +1

    JazakaAllahu kheiran sheikh

  • @halimahalima1488
    @halimahalima1488 Год назад +1

    MashaaAllah tabaraka Allah 👏🥰❤

  • @knight6757
    @knight6757 Год назад +3

    Asante sheikh 🤲

  • @RayRey-ji1em
    @RayRey-ji1em Год назад +1

    اللهم انفعنا ببركتهم ونفحاتهم وأسرارهم اللهم آمين يارب العالمين.

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Год назад +3

    Mashaa Allah

  • @omarjumaan3061
    @omarjumaan3061 Год назад +5

    What's good in your speech is that you are straight forward.

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 Год назад +7

    Kweli kabisa maneno yako sheikh Allah akuhifadhi yaarab

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 11 дней назад +1

    Mama Samia binti Suluhu wake Hassan atatutatulia hili swala la kwenye mipaka..Mungu akupe kheri mama

  • @user-oz5hh4oi8r
    @user-oz5hh4oi8r Год назад +2

    Mashallah Allah akuzidishie

  • @aaliyahniqab7876
    @aaliyahniqab7876 Год назад +1

    Ma Sha Allah majaliwa this should happen in Kenya tu.

  • @user-iz2dw8rp2i
    @user-iz2dw8rp2i 11 месяцев назад

    Wallah mimi izuddin nimsikilize stress zisitoke...yan najihis nimeingia pepon haswa.nakupenda kwa ajili ya allah

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Год назад +6

    MashaAllah ❤❤❤

  • @abdallahferouz9238
    @abdallahferouz9238 Год назад +2

    Maa shaa Allah

  • @moyogems
    @moyogems 11 месяцев назад +1

    Maneno yako shekhe yapo saaana na yanaangamiza taifa siasa ya tz ni zaid ni muombe rais wangu afanyie kazi maneno manzuri hayo ili taifa hili liwe salama zaid mungu akubariki

  • @philetundo
    @philetundo Год назад +1

    Good message from Kenya Samia should take knot please mnatutesa!

  • @irakozesoulayman3048
    @irakozesoulayman3048 4 месяца назад +1

    Respect Mwalim Wang Izudin

  • @infinixoman-nd7nh
    @infinixoman-nd7nh Год назад +1

    Mashaallah

  • @sihamjamal2234
    @sihamjamal2234 11 месяцев назад

    MASHA ALLAH 💖💖💖

  • @hundredcopies2719
    @hundredcopies2719 Год назад +3

    Ameongea vzur sana... Allah akulipe

  • @abeidkhamis6130
    @abeidkhamis6130 Год назад +3

    Ni kweli yaani ujinga wa wa Afrika kuhusu kishikilia mipaka ya tulio wekewa na wazungu sijui ni maradhi gani yalotushika

  • @eastafricahealth8168
    @eastafricahealth8168 2 месяца назад

    Thank you, shekh izudin TZ boarders ni shida sana kwa wakenya border zote ina shida

  • @mosesgatsinzi7308
    @mosesgatsinzi7308 Год назад +1

    Be blessed Sheikh 🙌

  • @aminajuma1215
    @aminajuma1215 11 дней назад

    Mashallah

  • @hajikhamis6544
    @hajikhamis6544 Год назад +3

    Asant shekh

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Год назад +3

    💯

  • @osmaniidrisa6290
    @osmaniidrisa6290 Год назад +3

    Shekh la dunia

  • @yusuf131000
    @yusuf131000 11 месяцев назад +1

    ukweli

  • @saidkhamismasai1204
    @saidkhamismasai1204 Год назад +3

    Ni Swadakta boda yetu na majiran zetu ina ubinafsi sana .

  • @shakiramoha9682
    @shakiramoha9682 11 месяцев назад +1

    Kweli

  • @user-ds7ho1my4u
    @user-ds7ho1my4u 12 дней назад

    Hivi kweli hamkemei Ushoga na Wanawake wengi, Huenda kinyume cha maumbile kulinda Bikira zao, Zanzibar acheni kukwepa Ukweli Kemeeni hili jambo.

  • @marrowog8975
    @marrowog8975 Год назад +3

    Msichanganye haki na batili ..nayo ni aya pia jamani

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Год назад +4

    Huyu ni سامِية
    Na sio سميا

    • @user-yh1gs2se7e
      @user-yh1gs2se7e Год назад

      Mh yani ww umetafuta wapi makosa mh haya tumeelewa

  • @musaabdi3467
    @musaabdi3467 Год назад +1

    Kabisa wametutesa mm kwanza kibinafsi

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 Год назад +4

    Hata sisii tukijaga kwenu tunapata shida sana

    • @tintin0019
      @tintin0019 Год назад +4

      Ndio kataja horohoro na lungalunga hakutaja horohoro tuu kuwa muelewa mzuri

    • @qariibnuhamad
      @qariibnuhamad Год назад +3

      Amesema pande zote mbili

    • @habibasalim3092
      @habibasalim3092 Год назад

      Wewe huku watanzania wake kwa wake wamejaa wametuchukulia kazi zote za nyumba, sisi wenyewe hatuna magazine tena, wakishika pahali wanaletana wakiletana, kuna majumba hadi yamebandikwa majina yaitwa pale kwa watanzania, tena wake kwa waume wanafanya boss mmoja watanzania wake 2 au 3 na mume wa kufua na kufuta madirisha,,Waombaji zakka pia wamejaa, wametunyanyasa hadi sasa watu wameishilia Saudi sababu kazi papa Mombasa hamna tena

  • @AhmedMohamed-um8ox
    @AhmedMohamed-um8ox Год назад +1

    That' is true palipo na ukweli hasidi shetwani hakosekani👹👺

  • @mugambarazidjuma846
    @mugambarazidjuma846 Год назад +3

    Nasisi waburundi mpakani twanyanyaswa hata njiani askari wakijuwa tu wewe nimburundi basi utawekewa uzito

  • @sarahmuhammed6872
    @sarahmuhammed6872 Год назад +3

    Sasa Sheikh Alwi laxima USALAMA uwepo laxima kuwe PAGUMU kwa usalama wa raia na wananchi wote kwa UJUMLA!madawA miraa rasili mali za nchi jusafirishwa bila vibali hizo border ni muhimu sanakuwe na ULINZI wahali ya juu

    • @yusufhulk3032
      @yusufhulk3032 11 месяцев назад

      Ukweli usemwe boda kuna ubaguzi na udhalilishaji especially kwa wakenya hao polisi wa Tanzania wamezidi

  • @martymcfly9232
    @martymcfly9232 Год назад +1

    Na wapi huko?

  • @makhanguwakhutu2408
    @makhanguwakhutu2408 11 месяцев назад

    Na hapa kenya watanzania tumewachia soko yetu kubwa ya gikomba watanzania wako huru wala hatuwasumbui hata kidogo

  • @IsmailJumaAli-wi1xh
    @IsmailJumaAli-wi1xh 3 месяца назад

    Naomba namba ya Sheikh Izudin

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Год назад +3

    Kuna benki hapo mmedhaminia kutoa da,awa na taasisi zenye miamala haram?

    • @khamseysagrado7547
      @khamseysagrado7547 Год назад +2

      Hiyo ni bank ya kiislam.......islamic banking acha ujuaji

  • @user-cj2pf7vn4b
    @user-cj2pf7vn4b 11 месяцев назад

    Kabisz

  • @manjoriwakunesa7006
    @manjoriwakunesa7006 12 дней назад

    Ukweli ukaja tanga shida

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 Год назад +5

    😂MILADU USIJIFANYE KAMA HUJAONA NIQASHI SIULIKUA UNAMPOST ABUU HAATIMY RUSHA NIQAASH WATU WAONE

    • @khamismwalim5604
      @khamismwalim5604 Год назад

      Acha chuki zako apo hapazungumzw habar ya nikash

    • @ahz6907
      @ahz6907 11 месяцев назад

      Nikash ndio nini?

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 Год назад +1

    Na watanzania wetu wananyanyaswa pia

  • @makhanguwakhutu2408
    @makhanguwakhutu2408 11 месяцев назад

    Hii soko yote imechukuliwa na watanzania wala hatuna shida na wao mbona wao wanawasumbua sana wakenya

  • @metrom8009
    @metrom8009 11 месяцев назад

    Hiii east Africa parliament ya wabunge kutoka inchi zote za afrika ya mashariki wao uzungumza nini kwa hiyo bunge mbona hatujawahi onyeshwa Mambo wao uzungumzia ili pia sisi tujue maswala yanayo kumba wanainchi wa hizi nchi

  • @marrowog8975
    @marrowog8975 Год назад +2

    Uzalilishaji ni uo tu?? Tuache unafiki, kuna wanawake mumewaweka makambini uko na kupiga mapara, kuwapa kazi za kiume, kuwachanganya katika harakati ata za kuingiliana ...uo ndio uzalilishaji

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 Год назад

      ushauri wako

    • @qariibnuhamad
      @qariibnuhamad Год назад +1

      Amepewa muda mdogo

    • @marrowog8975
      @marrowog8975 Год назад

      @@mafiatv5479 hakuna komando mwanamke tanzania ... wanawake wasipewe kaz za kiume . Na wasichanganywe

  • @mohammedkadary2746
    @mohammedkadary2746 3 месяца назад

    Pogezaneni kimpango wenu msiingize dini

  • @yasiniselemani2412
    @yasiniselemani2412 Год назад +1

    Mhm chonka bhojo

  • @user-er1is8gg8y
    @user-er1is8gg8y 6 дней назад

    Ukiona shekh yupo na wakubwa bc tia X

  • @elsonkingtz4506
    @elsonkingtz4506 11 месяцев назад

    😂😂😂😂😂

  • @AhmedMohamed-um8ox
    @AhmedMohamed-um8ox Год назад

    🤬👹👺

  • @user-bp6fb6wo5u
    @user-bp6fb6wo5u 11 месяцев назад

    Sisi kila kukicha hupita hapo boda, hata siku moja wakenya hatujanyanyaswa! Wallahi muongo sana mufti wa shibu!! Wewe ni fattaan!!! Ima huna vibali wataka upite tu ama unataka ufanywe kama rais wababaikiwa ukipita!!! Wewe unaleta fitna shkh kikoi

    • @mariamnur1036
      @mariamnur1036 11 месяцев назад +1

      Subhanallah

    • @yusuf131000
      @yusuf131000 11 месяцев назад +1

      kuna unanyanyasaji

    • @ishaanizkeah8814
      @ishaanizkeah8814 11 месяцев назад +1

      Sasa ww ukitumia lughaa safi ungekoseka wapi kama humpendi nyamaza

  • @hassanabdalla9688
    @hassanabdalla9688 11 месяцев назад

    Mashaallah,waridhi wa mitume.