SHEIKH IZUDIN ALISEMA BILA WOGA MBELE YA RAIS SAMIA, TUNANYANYASWA BODA SISI WAKENYA | UNYANYASAJI
HTML-код
- Опубликовано: 16 июл 2023
- Kueelekea katika Maadhimisho ya Mwaka mpya wa Kiislam, Kongamano la Wanawake wa Kiislam Zanzibar. Mgeni rasmi Rais wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan.
Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
RUclips: / @babdeomiladu Развлечения
Safi kabisaaa, Am not Muslim but much respect to that speech, I admire Muslim preachings quite a lot, very calm, knowledgeable, smooth and very genuine wallahi. I also like when they call Mtume Salalaha Wa Salala. Well presented bro!!
Mashaa Allah welcome true religion
Join Muslim and let be one as muslim there is much more that u will be admire meyb. if u believe and have faith.wlcm bro
Asante Shekhe . Lunga Lunga na Namanga balaa ndugu. Asante Sana
Mashaa Allah sheikh izudin mola akuongoze kwa kila njia yenye kheir na manufaa
MASHALLAH ujumbe mzito na mzr tumefaidika alhamdulillah
Mashaallah ujumbe umefika speech yako shekh ni nzuri mno maneno mazuri yaliojaa hekma ndani yake hata kionqozi wa siasa ni nqumu kuonqea hayo
Mashaallah shukran Ahsante kwa mara mzr na yenye mafunzo mzr na muhimu sana
Mashaallah,waridhi wa mitume.
Jazaaka llahu khayra umepita vizuri sana
Shukran wajazaka allahu kheir Sayyid
Ma sha Allah.... Allah Baarik fiik 🤲🤲🤲
Allah ajaalie uislamu ukue kwa kishindo inshallah kwa uwezo wake jalali
Masha Allah tabarak Allah
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! ALLAHU BAARIK
JazakaAllahu kheiran sheikh
MashaaAllah tabaraka Allah 👏🥰❤
Asante sheikh 🤲
اللهم انفعنا ببركتهم ونفحاتهم وأسرارهم اللهم آمين يارب العالمين.
Mashaa Allah
What's good in your speech is that you are straight forward.
Kweli kabisa maneno yako sheikh Allah akuhifadhi yaarab
Mama Samia binti Suluhu wake Hassan atatutatulia hili swala la kwenye mipaka..Mungu akupe kheri mama
Mashallah Allah akuzidishie
Ma Sha Allah majaliwa this should happen in Kenya tu.
Wallah mimi izuddin nimsikilize stress zisitoke...yan najihis nimeingia pepon haswa.nakupenda kwa ajili ya allah
MashaAllah ❤❤❤
Maa shaa Allah
Maneno yako shekhe yapo saaana na yanaangamiza taifa siasa ya tz ni zaid ni muombe rais wangu afanyie kazi maneno manzuri hayo ili taifa hili liwe salama zaid mungu akubariki
Good message from Kenya Samia should take knot please mnatutesa!
Respect Mwalim Wang Izudin
Mashaallah
MASHA ALLAH 💖💖💖
Ameongea vzur sana... Allah akulipe
Ni kweli yaani ujinga wa wa Afrika kuhusu kishikilia mipaka ya tulio wekewa na wazungu sijui ni maradhi gani yalotushika
Thank you, shekh izudin TZ boarders ni shida sana kwa wakenya border zote ina shida
Be blessed Sheikh 🙌
Mashallah
Asant shekh
💯
Shekh la dunia
ukweli
Ni Swadakta boda yetu na majiran zetu ina ubinafsi sana .
Kweli
Hivi kweli hamkemei Ushoga na Wanawake wengi, Huenda kinyume cha maumbile kulinda Bikira zao, Zanzibar acheni kukwepa Ukweli Kemeeni hili jambo.
Msichanganye haki na batili ..nayo ni aya pia jamani
Huyu ni سامِية
Na sio سميا
Mh yani ww umetafuta wapi makosa mh haya tumeelewa
Kabisa wametutesa mm kwanza kibinafsi
Hata sisii tukijaga kwenu tunapata shida sana
Ndio kataja horohoro na lungalunga hakutaja horohoro tuu kuwa muelewa mzuri
Amesema pande zote mbili
Wewe huku watanzania wake kwa wake wamejaa wametuchukulia kazi zote za nyumba, sisi wenyewe hatuna magazine tena, wakishika pahali wanaletana wakiletana, kuna majumba hadi yamebandikwa majina yaitwa pale kwa watanzania, tena wake kwa waume wanafanya boss mmoja watanzania wake 2 au 3 na mume wa kufua na kufuta madirisha,,Waombaji zakka pia wamejaa, wametunyanyasa hadi sasa watu wameishilia Saudi sababu kazi papa Mombasa hamna tena
That' is true palipo na ukweli hasidi shetwani hakosekani👹👺
Nasisi waburundi mpakani twanyanyaswa hata njiani askari wakijuwa tu wewe nimburundi basi utawekewa uzito
Sasa Sheikh Alwi laxima USALAMA uwepo laxima kuwe PAGUMU kwa usalama wa raia na wananchi wote kwa UJUMLA!madawA miraa rasili mali za nchi jusafirishwa bila vibali hizo border ni muhimu sanakuwe na ULINZI wahali ya juu
Ukweli usemwe boda kuna ubaguzi na udhalilishaji especially kwa wakenya hao polisi wa Tanzania wamezidi
Na wapi huko?
Zanzibar
Na hapa kenya watanzania tumewachia soko yetu kubwa ya gikomba watanzania wako huru wala hatuwasumbui hata kidogo
Naomba namba ya Sheikh Izudin
Kuna benki hapo mmedhaminia kutoa da,awa na taasisi zenye miamala haram?
Hiyo ni bank ya kiislam.......islamic banking acha ujuaji
Kabisz
Ukweli ukaja tanga shida
😂MILADU USIJIFANYE KAMA HUJAONA NIQASHI SIULIKUA UNAMPOST ABUU HAATIMY RUSHA NIQAASH WATU WAONE
Acha chuki zako apo hapazungumzw habar ya nikash
Nikash ndio nini?
Na watanzania wetu wananyanyaswa pia
Nani anawanyanyasa, weee
Wapi wanapo nyanyaswa
Hii soko yote imechukuliwa na watanzania wala hatuna shida na wao mbona wao wanawasumbua sana wakenya
Hiii east Africa parliament ya wabunge kutoka inchi zote za afrika ya mashariki wao uzungumza nini kwa hiyo bunge mbona hatujawahi onyeshwa Mambo wao uzungumzia ili pia sisi tujue maswala yanayo kumba wanainchi wa hizi nchi
Uzalilishaji ni uo tu?? Tuache unafiki, kuna wanawake mumewaweka makambini uko na kupiga mapara, kuwapa kazi za kiume, kuwachanganya katika harakati ata za kuingiliana ...uo ndio uzalilishaji
ushauri wako
Amepewa muda mdogo
@@mafiatv5479 hakuna komando mwanamke tanzania ... wanawake wasipewe kaz za kiume . Na wasichanganywe
Pogezaneni kimpango wenu msiingize dini
Mhm chonka bhojo
Wabota
Ukiona shekh yupo na wakubwa bc tia X
😂😂😂😂😂
🤬👹👺
Sisi kila kukicha hupita hapo boda, hata siku moja wakenya hatujanyanyaswa! Wallahi muongo sana mufti wa shibu!! Wewe ni fattaan!!! Ima huna vibali wataka upite tu ama unataka ufanywe kama rais wababaikiwa ukipita!!! Wewe unaleta fitna shkh kikoi
Subhanallah
kuna unanyanyasaji
Sasa ww ukitumia lughaa safi ungekoseka wapi kama humpendi nyamaza
Mashaallah,waridhi wa mitume.