watching you from lusaka zambia sheikh othman malim, may Allah swt bless you and indeed bless us all, the world needs people like you, well said,we have benefited a lot
❤❤wallah huy shekhe akiongea na mawaidha yake mm yananisisimua roho yangu nampenda sana nilitafuta sana namba yake ila namuomba Allah sku nimuone live Allah akuhifadhi akupe hekma sana na nuru alokupa
tunamshukuru Allah kwa kukuweka wewe sheikh othman maalim hauko kiuchawa uko ki kusudio la Mungu maneno uliyoyatamka hapo kwanzia uongoz wakiafrica had kudharau mazur ya mtu wakiafrica yanayo wasaidia wafrica wote inchini kwao hukuogopa kusema ukweli nadhani samia kayasikia na kinakikwete wameyasikia wao ndio wanatabiya hiyo wanadharau mazur ya magu ya kuendeleza africa wameleta ya wazungu yakuangamiza wafrica we samia nagenge lako lakibakikwete na kinamakamba mmesikia maneno hayo kiongoz au kiumbe ukiwa katka maisha yako ya dunian ukashindwa watendea mazuri wenzio basi we sio kiongoz muhimu dunian walasio kiumbe muhimu dunian nadhan Mungu kakufikishia ujumbe kupitia sheikh huyu uongoz wako unauwa sana watanania nakulia kilasiku na njaa isio isha 😢
ALLAH ambarik Alie asisi HUO mpango na sisi WAFUASI. Kuna watu HAPO wataropoka KUA hiio ni BIDAA. WAKATI tupo mamilioni ya WAISLAM wala HATUJUWI kama kuna MWAKA wakiislam. Sisi tunaujua sana MWAKA WA KANISANI HUU WA 2023.
Nammi nilitaka kuuliza swali Kama hilo,yaani sjawahi kusiliza mawaidha ya shekhe Othuman maalim ya kufoka jamani,anaongea hivi hivi yaani huachi kkuskiliza mawaidha yake
MashaAllah ,ahsante kwa kujitoa na kututoa kwenye hasara kwani binaadamu wote wako kwenye hasara isipokuwa wale waloamini na wakatende mema na wakausia haki na subira.Mola wetu tujaalie tuwe miongoni mwa watenda mema na utuepushie chuki ndanI ya nafsi zetu
Maneno mazimaaa hayaaaaaaaaa asofaham hafaham tenaa, neno la doby na neno asemalo alojuu mara nyingi humuangusha alochini.. Inshaallah maneno haya yawe funzo kwetuuu sote yaaaaarab
Mashallah shukran shekh othman maalim twakupenda kwa ajili ya ALLAH ALLAH akujalie umrii na afya njema sichoki kusikiliza mawaidha yako Mashallah
Masha Allah TabarakaAllah sheikh Maalim Allah akujaaliye kheir uzidi kutufunza nakutujuza dini yetu aamen yaRabb
Ma Sha Allah Tabaarakallah Allah akujaze kheri Duniani na Akhera Sheikh wetu na oote walohudhuria hapo🤲🤝🤝
MashaAllah MashaAllah naomba wakenya pia wapate rais muslim mwenye imani ya dini tuwe wenye kufata rules za kislam❤
Baaraka llahu fik, kwakweli sheikh Othman amebalikiwa hekma,busara na kipaji cha kuongea+kuskilizwa,hachoshi mazungumzo yake
Uyo ana kipaji sio bahati Mashaa Allah
Allah akuhifadhi shekhe mi nakukubali sana
Shukurani sheikh Othman mungu akujaliye umri na pepo
Aslamu alaykum warhmatullah wabarakat maashaallah barakallah FIIKIY SHEKHE WETU Othman maalim baba mwenye hekma hakika umeruzukiwa inshaallah ALLAH akulipe malipo mema duniani na akhera inshaallah 🤲❤
زادكم الله عزةً وشرفا وكرامة شيخنا الفاضل
Mwenyezi.mungn.akupe.maisha.marefu.shekh.wetu
watching you from lusaka zambia sheikh othman malim, may Allah swt bless you and indeed bless us all, the world needs people like you, well said,we have benefited a lot
MashaAllah Allah barik 🙏 well saying keep it up we need people like u❤ ☪️
Sheikh Othman Maalim M/Mungu atakulipa pepo kwa ufasaha wako wa kuwaelekeza watu mambo ya kheri
Mashallah sheikh mwenyezimungu akubarikie na akuzidishie ilmu
Allah akbar! Shekh wangu mungu akujalie mwisho mwema
Masha Allah shk.othman Allah akupe umri mrefu
Maashallah this sheikh is my best his eloquence is off the hook
MA SHA ALLAH SHEIKH UTHMAN MAALIM
JAZAKA ALLAH KHAIR.
Pokea salam kutoka Marekani USA 🇺🇸 akhi Huyu ni ndugu yako Hussein Ibrahim .
❤❤wallah huy shekhe akiongea na mawaidha yake mm yananisisimua roho yangu nampenda sana nilitafuta sana namba yake ila namuomba Allah sku nimuone live Allah akuhifadhi akupe hekma sana na nuru alokupa
Assalamu Aleykum warahmatullah wabarakatu
Alhamdhulillah
ALLAAHUMMA SALII WA SALIIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA JIMAIN ❤️❤️
Mashaallah mashaallah pongezi kwa mama samia inchi itakuwa na baraka na amani kwajili kuipa kipao mbele dini.🫡
Wa kwanza leo naomba like zang🙏🙏
Mashallah tabaraka llah 🥰 ALLAH awajaalie kheri walio hidhuriya na watakawo fwatiliya Kila mwenye uzito ALLAH amuwekeye wepesi 🤲
Maashallah very precise and to the point. Are rhey equal those who know and those who don't know.
they are not equal
MASHAALLAH TABARAKA RAHMAN ASANTE SANA SHEKH
Jazaka Allah khair shekh
Mashaallah.
Natamani kuwa mkazi wa Zanzibar.
Nawapenda sana nyoote kwa ajiri ya Allah
Akipenda ambaye umetupenda sisi kwa ajili yake.
Nasisi pia tunakupenda kwa ajili ya ALLAH
Na sisi tunakupenda pia karibu Kwa ajili ya Allah
Mashaallah sh othman maalim nafrahi sana kuskia mawaidha yako naelimika sana na nashawishika sana kujifunza Allah akulipe darja kubwa sana 🙏
Jazaakallah Khair kwa kutukumbusha tarehe ya kiislam ilipo anzia
MASH ALLAH Allah akueke Sheikh OTHMAN
Maneno mazuri Masha Allah lakini mazingira ndio hayakuandaliwa vizuri baina ya wanawake na wanaume
Sheikh Othman maalim Allah akuzidishie kheri ya duniani na ahera
اللهم انفعنا ببركتهم ونفحاتهم وأسرارهم اللهم آمين يارب العالمين.
tunamshukuru Allah kwa kukuweka wewe sheikh othman maalim hauko kiuchawa uko ki kusudio la Mungu maneno uliyoyatamka hapo kwanzia uongoz wakiafrica had kudharau mazur ya mtu wakiafrica yanayo wasaidia wafrica wote inchini kwao hukuogopa kusema ukweli nadhani samia kayasikia na kinakikwete wameyasikia wao ndio wanatabiya hiyo wanadharau mazur ya magu ya kuendeleza africa wameleta ya wazungu yakuangamiza wafrica we samia nagenge lako lakibakikwete na kinamakamba mmesikia maneno hayo kiongoz au kiumbe ukiwa katka maisha yako ya dunian ukashindwa watendea mazuri wenzio basi we sio kiongoz muhimu dunian walasio kiumbe muhimu dunian nadhan Mungu kakufikishia ujumbe kupitia sheikh huyu uongoz wako unauwa sana watanania nakulia kilasiku na njaa isio isha 😢
Ma sha Allah, Sheikh Othman Unajua Sana
Mashallah!
Allah amuhifadhi sheikh Othman M
ALLAH ambarik Alie asisi HUO mpango na sisi WAFUASI. Kuna watu HAPO wataropoka KUA hiio ni BIDAA. WAKATI tupo mamilioni ya WAISLAM wala HATUJUWI kama kuna MWAKA wakiislam. Sisi tunaujua sana MWAKA WA KANISANI HUU WA 2023.
Shekhe Umeongea vizuri Mpaka unapendeza .unaeleweka .Basi ukiwa Kwenye mawaiza Yako usifoke Sana Uwe unaongea Ivyo Wanaoniunga mkono Nipeni like zangu.
Kwani anafoka ktk mawaidha yake?
Nammi nilitaka kuuliza swali Kama hilo,yaani sjawahi kusiliza mawaidha ya shekhe Othuman maalim ya kufoka jamani,anaongea hivi hivi yaani huachi kkuskiliza mawaidha yake
Hafoki sh.othmna sjui kamaanisha nn
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! ALLAHU BAARIK
Almdulilah shekhe mora hakuzidishe kheri na barack
Allah akupe kila la kheri akusameh madhimbi yako na akurehem Amiin
Othuman maalim nakupenda sana
Mashaallah
MashaAllah ,ahsante kwa kujitoa na kututoa kwenye hasara kwani binaadamu wote wako kwenye hasara isipokuwa wale waloamini na wakatende mema na wakausia haki na subira.Mola wetu tujaalie tuwe miongoni mwa watenda mema na utuepushie chuki ndanI ya nafsi zetu
Barrakkah Allaah huu fiek kwa mawaidha yakooo….
Jazzak Allahu Khairan
Shukran lillah shukran kathyra jazakallahulkhayr 🤝
Maa'shaa Allah barakallah fiykum
Mashaallha mungu akupe kilalenye kheri na ww ❤❤
Masha Allah
Shukran ya sheikh wetu 👏👏
Mashallah kwa hilmu shukran
MashaAllah sheikh othman nakupenda kwaajili ya Allah
mashaallah othman uko vizuriii
Maa Shaa Allaah Rabby amjaalie umri mrefu wenye barka Sheikh Othman Maalim
Aamiin. Aamiin
a,alykum nimependa san allah atakulipa ostadh.. umeongea ya haki na mlengwa alielengwa awe makin juu ya kuyafnyia kz,
Mashaallah jazakumllah kheri
Shekh mkumbushe uyo Anae jiona mungu mtu mwambie uwongoz ni Amana ya allaha
Kama huna cha kuchangia acha kufuru,,Unamdhaniaje mwenzio kitu ambacho hajakiwaza..
@@idrissamohamed1100anajiona Mungu mtu kivipi hapo sijaelewa.
MashaAllah huyu sheikh amepewa kipawa na hekima.
My Sheikh Allah barik
Allha akupe mwisho mwema shekh inshallah
رضي الله عن شيخنا الفاضل عثمان معلم
Baraka lahhu fiih..
Shukran sheikh mungu akueke miaka mingi
Masha-allah 🙏🙏🙏
Mashallah one day I will meet with u inshallah
🥰🥰🥰mashaallah shekhe wetu
Shukrn Mimi naomba kufanya kazi kwenye tv yenu kama inawezekana
Shukraan Allah akuvbariki
Mashaallah uislam raha tu❤️❤️❤️❤️
Maasha,Allah Maalim
MashaAllah
Mashaalah ❤
Masha allah
Mashallah
Maashaalah
Mumependeza sana tunamuomba Allah atulinde nafitina na Hasadi
Mashaallah mashaallah
Mashaaallh 🥰
MaShaAllah
mashaallah akhenate shkh
MASHAA ALLA
Mashallah tabaraka llah
Maashalaa
Allah atuzidishie mahaba ya kupenda calendar yetu
Mashallah sheikh othuman
MASHAA ALLAH
Mashallah❤❤❤
Alhamdulilah .
Maashaallah
Maashallah sheikh wetu
Maneno mazimaaa hayaaaaaaaaa asofaham hafaham tenaa, neno la doby na neno asemalo alojuu mara nyingi humuangusha alochini.. Inshaallah maneno haya yawe funzo kwetuuu sote yaaaaarab
Mashaalah huyu kweli ni mwanazuoni
Barakallah fiika
I love you so much shekhe langu ❤❤❤❤❤
Mashaalah
MASHALLAH.
Mashallh ♥️
Masha allah 💯 alhamdullahi
Masha Allah😢😢😢😢😢