Subhaanallah ALLAHU AKBARU ☝️ MASHA ALLAH Yaa الله tujaalie Tuwapende wazz wetu na tujaalie tuwe walady swalihy kwao YAA RAHMAN 🤲 Yaa الله nakuomb wahurumie wazz Wang km walivyonilea utotoni Amiin tujaalie kalimatul shahada wakati wa mauti yetu amiin
Takbiir!JazzakAllahu khayr duniya wal Akhera InshaAllah,Allah atufanyie wepesi wa kuwatunza wazazi wetu na vizazi vyetu kwa wema na uadilifu InshaAllah.
Subhanallah ❤ my ALLMIGHTY make easier our mothers in this world and here after insha ALLAH ❤RABBI nagadig kuwa walidkodha kaduceysto adiga darts my ALLAH ❤RABBI nagadig Kuwa walidkodha karalinoqdho idinkadha my RABBI❤ amiin ya RABBI ❤insha ALLAH 🤲🏻❤️💞💕❤️
Sheghe Othman we baba kwanza kiukweli mm nakupendaga sana tangu enzi za ujana wangu mpaka sasayani nikisikia tu mawaidha Yako moyo wangu unasuuzika mungu akupe uhai mkubwa uzidi kutupa mawaidha mazuri jazakkallahu gheri sheghe❤❤❤❤❤😂
Asalam aleykum warahmatuh wabarakatuh sheikh wangu mawaidha mazuri sana ila hata wazazi nao wanachangia kuharibika watoto kwa malezi ya hovyo mtoto kila kukicha neno la mzazi ni tusi sheikh othumani maalim weka maidha kwa wazazi sasa wajifunze nini malezi bora kwa watoto innshaallah
shekhe othman maalim nakupenda sana nduguyangu naitwa salumu naishi dodoma kila mawaidha unayotoa nayashika ni elimu kubwa sana unatufunza mwenyezi mungu inshaalwah akupe kilma kirefu chema
Mashaallah mawaidha yako yanamafunzo sana Allah akuhifadhi Sheikh Othman
Mola akupe umri mrefu sana Sheikh Othman Maalim uzidi kutuelimisha na kutupatia nasaha. Jazakallah kheir.
Subhaanallah ALLAHU AKBARU ☝️ MASHA ALLAH Yaa الله tujaalie Tuwapende wazz wetu na tujaalie tuwe walady swalihy kwao YAA RAHMAN 🤲 Yaa الله nakuomb wahurumie wazz Wang km walivyonilea utotoni Amiin tujaalie kalimatul shahada wakati wa mauti yetu amiin
Our hi op
Mashaallah tabaraka Allah shukran kwa darsa yko shekh Allah Atujalie tupate radh Zake na radh za wazazi wawili
آمين يارب العالمين
Takbiir!JazzakAllahu khayr duniya wal Akhera InshaAllah,Allah atufanyie wepesi wa kuwatunza wazazi wetu na vizazi vyetu kwa wema na uadilifu InshaAllah.
Ustaz nimekupenda kwa ajili ya Allah, mawaidha yako yanayomzungumziya Allah pamoja na mama yananiingiya hadi penye mishipa Allah akupe mwisho mwema
AAMYN
Shukran
Shukran
Mungu akulinde sheikh wetu
Mansha ala barakala
Shukran San kwa ku2kumbusha mung akupe umr mlef Ameen🙏
Allah akuhifadh shekhe wetu
shukran ustadh mungu akuzidishie umri
Mashallah kiswa kizuri. Allah akupe maisha marefu uzidi kutufungua macho
Mwenyezi Mungu Allah swt akubariki kwa kukumbusha ..na vijana wapate Tawfiq ya kusikia na kufuata... insha'Allah
Shukran shekhe wetu Allah akuzidishie siha njema uzidi kutuwaadhishia mawaidha adhim
Alllha akujaalie filidaus iwe makazi yako shekhe nakupenda sanaa 🤲🤲🤲😘
Shukran jazaka llahu lkheir kwa ukumbusho
Mungu atujalie tuishi vizur na wazazi wetu
Shukran sana Sheikh kwa ukumbusho
Subhanallah ❤ my ALLMIGHTY make easier our mothers in this world and here after insha ALLAH ❤RABBI nagadig kuwa walidkodha kaduceysto adiga darts my ALLAH ❤RABBI nagadig Kuwa walidkodha karalinoqdho idinkadha my RABBI❤ amiin ya RABBI ❤insha ALLAH 🤲🏻❤️💞💕❤️
Mashaallah Allah awahifadhi wanazuoni wetu wazidi kutuonyesha nuru ya allah
Ameen
Ameen tusife bila radhi ya Allah na wazaziwetu
Sheghe Othman we baba kwanza kiukweli mm nakupendaga sana tangu enzi za ujana wangu mpaka sasayani nikisikia tu mawaidha Yako moyo wangu unasuuzika mungu akupe uhai mkubwa uzidi kutupa mawaidha mazuri jazakkallahu gheri sheghe❤❤❤❤❤😂
Allah akupe umri mlefu sheikh wetu
😢😢😢shukran ostadh kwa kutukumbusha kutii wazazi na kuwa kumbuka
Allah akulipe kheri shekh Kwa ajili ya maneno ya Allah ❤
Mashalala Allhal akupe umri mrefu . Akupe leo na kesho ahera
Shukurn sheikh wetu 🙏
Allah akulipe kher kwa mafunzo yote unayo tufunza inshallah
Mashallah Allah Bless u sheikh hakika ww allah akupe kila la kheri na furaha Jazakallahu kheryn Frm Kenya❤🎉
Allah akuhiifadii shk wetu
Subhannallah, Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim, Allah akulipe kher inshallah
Barak Allah feeq, Jazzaka Allah kheri
SubhanaAllah jazakallahu kheiran
Asalam aleykum warahmatuh wabarakatuh sheikh wangu mawaidha mazuri sana ila hata wazazi nao wanachangia kuharibika watoto kwa malezi ya hovyo mtoto kila kukicha neno la mzazi ni tusi sheikh othumani maalim weka maidha kwa wazazi sasa wajifunze nini malezi bora kwa watoto innshaallah
Mashaallah Allah atuongoze na cc na vizazi vyetu Yarrab
MashaAllah sheikh baraka lahu
Masha Allah
Maaashallah mawaidha mazur sana
Alhandullillah tunakuelewa sana sheikh wetu
Mungu awajaalie Wanamaker wrote waishi Marshall marefu
Jazakallah kheir
Nakupenda sana kwa Ajil ya Allah
Yarabb tujaaliye sisi na vizazi vyetu 🤲
Jazakalah kher
Naumia sana shekh kwaajil ya kisa hiki
Mashaallah mashaallah ❤🎉
Yarrab tujaalie tupate radh za wazazi wetu na allah atujalie sis na vizazi vyetu inshallah
Ameen yaa Rabbi🤲🏼
Ya ALLAH tunusuru mimi nandugu zangu na vizazi vyetu inshaallah
Subhanallah, Allah atuhifadhi na vizazi vyetu.
MashaAllah tabarakallah
Sheikh Othman maalim Allah akupe umri
Kweli kabisaa shekh na kutapika mpk wazaa
shkuran sana shekhe wetu
Subhaanallahi ❤May Almighty grant my parents in this world and here after In Shaa Allah 🙏
Mashalla Allah ❤❤❤
Allah Atujaalie Tusikilize yanayo Semwa na Kuya fuata inshaallah
Jazaakllahul khair
MashaAllah
shekhe,,,unasauti y usanii kweli kweli,,,allah akuzidie ne'ema
Napata mashaka sana ni ninavoishi jee sheikh mzazi anapomlazimisha mwanawe kumuacha mke wake ni Haki kumtii
Mashaalah tabarak llah
Maashaallah
Subhana llah
Yarabi husnaa
Yaalla tupe mwisho mwema
MashaAllah ❤❤❤
ALLAHU AKBAR 😪🤲
Mashallah
انا لله وانا اليه راجعون
Maneno makali sana
Mola awarehemu wazazi wetu
Mola amrehemu mama
Mashallah tabaraka Rakhman ❤
Wazazi huwapenda kupitiliza watoto wao ndio maana watoto hukosa adabu
Takbiiir
Allahu Akbar
Allah tupe nusra
So sweet 😋 💖 💓 💕
Takbiiiiirrrrrr❤❤❤❤❤❤
Allahu akbar
Allahu akbar
Nauliza ivi kwa mfano mama alifariki nikabaki na baba lkn bbngu nimlevi anakunywa pombe na aswali je uyo nafaa nimseidie au la nisaidie. Jomon 😢😢😢😢
Baba ni baba we fanya kwenye nafasi yako hukumu anaijua allah
❤❤❤❤❤❤
Subhanallah
Tatizo malezo yawazee wenyewe wanawalea kwakuwaohopa watoto kama watoto waoman wanaongoza wazazi wao kama bata
Naumia kuona mwenzangu Hana mawasiliano mazuri na wazazi na hata afanye wema Gani baba yake haridhiki naomba nijue jee ni Haki kumtii anavotaka
Husbunallah wanemal wakiil 😢
Innalillahi wainnaileihi rajiun
MashAllah
Allah atusanehe pale tulipoteleza Kwa ndimi zetu Kwa kuwatolea maneno yasiyowaridhia wazazi wetu
Naam
Wakwanza kulike
Inamaana gani hiyo
Mashallah
MashaAllah ❤
Yarrab tujaalie tupate radh za wazazi
Tatizo wazazi ndio wamewaharibu watoto kwa malezi yakuwaogopa
Omba hidaya kwa watoto sio malezi kuna watu wakali kwa watoto wao na wamepotea. Allah atustiri sisi na vizazi vyetu
@@fatmaabdallah7709 Hata vip watoto tunawapa mapenzi yakupitiliza tunawaogopa kuwaambia lolote mwisho hugeuka nyoka wakatutafuna
@@fatmaabdallah7709 kweli uwe mkali mtoto akutawale napinga
@@fatmaabdallah7709 oman wazee hawana kauli watoto ndio wenye sauti nasema kwauhakika kabisa nimekaa oman miaka 14 kikazi nimeyaona
@@fatmaabdallah7709 watoto waoman mzee ndio kawa mtoto tatizo mapenzi namtoto ukimpenda sana huzuzuka
shekhe othman maalim nakupenda sana nduguyangu naitwa salumu naishi dodoma kila mawaidha unayotoa nayashika ni elimu kubwa sana unatufunza mwenyezi mungu inshaalwah akupe kilma kirefu chema
Amiin ya rabbal alamyiin
Amin
Allah tujalie tuishi vizuri na wazazi wetu
Maa sha allah
Subhana Allah
MashaAllah ❤❤❤❤❤
Mashallaah mungu akujalie shekhe
Mashaallah