KISA NILICHOKISHUHUDIA NA KUNICHANGANYA MPAKA LEO //SHEIKH OTHMAN MAALIM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Vijana wengi wamekua hawana heshima kwa wazazi wao hawajua kua mzazi ni PEPO au ni MOTO KWAKE.

Комментарии • 126

  • @rashidamashaallahnyimbohio1664
    @rashidamashaallahnyimbohio1664 5 месяцев назад

    Mashaallah mawaidha yako yanamafunzo sana Allah akuhifadhi Sheikh Othman

  • @bintiomariwendo2279
    @bintiomariwendo2279 Год назад +3

    Mola akupe umri mrefu sana Sheikh Othman Maalim uzidi kutuelimisha na kutupatia nasaha. Jazakallah kheir.

  • @zuhoor-mc7hq
    @zuhoor-mc7hq Год назад +7

    Subhaanallah ALLAHU AKBARU ☝️ MASHA ALLAH Yaa الله tujaalie Tuwapende wazz wetu na tujaalie tuwe walady swalihy kwao YAA RAHMAN 🤲 Yaa الله nakuomb wahurumie wazz Wang km walivyonilea utotoni Amiin tujaalie kalimatul shahada wakati wa mauti yetu amiin

  • @HadijaSalim-qx8fw
    @HadijaSalim-qx8fw Год назад +2

    Mashaallah tabaraka Allah shukran kwa darsa yko shekh Allah Atujalie tupate radh Zake na radh za wazazi wawili

  • @frdosr5794
    @frdosr5794 5 месяцев назад

    Takbiir!JazzakAllahu khayr duniya wal Akhera InshaAllah,Allah atufanyie wepesi wa kuwatunza wazazi wetu na vizazi vyetu kwa wema na uadilifu InshaAllah.

  • @Asma-m1j
    @Asma-m1j Год назад +10

    Ustaz nimekupenda kwa ajili ya Allah, mawaidha yako yanayomzungumziya Allah pamoja na mama yananiingiya hadi penye mishipa Allah akupe mwisho mwema

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 Год назад +2

    Shukran
    Shukran
    Mungu akulinde sheikh wetu

  • @JumaMweso-vh4qy
    @JumaMweso-vh4qy Год назад

    Shukran San kwa ku2kumbusha mung akupe umr mlef Ameen🙏

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Год назад +5

    Allah akuhifadh shekhe wetu

  • @leilamacaneyyakub
    @leilamacaneyyakub 10 месяцев назад

    shukran ustadh mungu akuzidishie umri

  • @rehemawanjala-bu5oq
    @rehemawanjala-bu5oq Год назад

    Mashallah kiswa kizuri. Allah akupe maisha marefu uzidi kutufungua macho

  • @saumumushai2190
    @saumumushai2190 Год назад

    Mwenyezi Mungu Allah swt akubariki kwa kukumbusha ..na vijana wapate Tawfiq ya kusikia na kufuata... insha'Allah

  • @nusrasadick3516
    @nusrasadick3516 Год назад +4

    Shukran shekhe wetu Allah akuzidishie siha njema uzidi kutuwaadhishia mawaidha adhim

    • @fatmazakaria539
      @fatmazakaria539 Год назад +1

      Alllha akujaalie filidaus iwe makazi yako shekhe nakupenda sanaa 🤲🤲🤲😘

  • @WardaAli-t4v
    @WardaAli-t4v Год назад

    Shukran jazaka llahu lkheir kwa ukumbusho

  • @hamadiomari7804
    @hamadiomari7804 Год назад +3

    Mungu atujalie tuishi vizur na wazazi wetu

  • @ummusulaish5586
    @ummusulaish5586 Год назад +3

    Shukran sana Sheikh kwa ukumbusho

  • @moedinofficial1028
    @moedinofficial1028 Год назад +2

    Subhanallah ❤ my ALLMIGHTY make easier our mothers in this world and here after insha ALLAH ❤RABBI nagadig kuwa walidkodha kaduceysto adiga darts my ALLAH ❤RABBI nagadig Kuwa walidkodha karalinoqdho idinkadha my RABBI❤ amiin ya RABBI ❤insha ALLAH 🤲🏻❤️💞💕❤️

  • @MariamNyagawa-sq3hi
    @MariamNyagawa-sq3hi Год назад +6

    Mashaallah Allah awahifadhi wanazuoni wetu wazidi kutuonyesha nuru ya allah

  • @sumaiyaally4959
    @sumaiyaally4959 Год назад +1

    Ameen tusife bila radhi ya Allah na wazaziwetu

  • @MariamShebuge
    @MariamShebuge Год назад

    Sheghe Othman we baba kwanza kiukweli mm nakupendaga sana tangu enzi za ujana wangu mpaka sasayani nikisikia tu mawaidha Yako moyo wangu unasuuzika mungu akupe uhai mkubwa uzidi kutupa mawaidha mazuri jazakkallahu gheri sheghe❤❤❤❤❤😂

  • @FARAJIFADHILI-v6x
    @FARAJIFADHILI-v6x 6 месяцев назад

    Allah akupe umri mlefu sheikh wetu

  • @sumahyasaid7711
    @sumahyasaid7711 Год назад

    😢😢😢shukran ostadh kwa kutukumbusha kutii wazazi na kuwa kumbuka

  • @halimasalum788
    @halimasalum788 Год назад

    Allah akulipe kheri shekh Kwa ajili ya maneno ya Allah ❤

  • @ShamimMsofe
    @ShamimMsofe 10 месяцев назад

    Mashalala Allhal akupe umri mrefu . Akupe leo na kesho ahera

  • @rizikibakari3598
    @rizikibakari3598 Год назад +2

    Shukurn sheikh wetu 🙏

  • @mwanasitiomar9914
    @mwanasitiomar9914 Год назад +2

    Allah akulipe kher kwa mafunzo yote unayo tufunza inshallah

  • @TwalaaTaib
    @TwalaaTaib Год назад +1

    Mashallah Allah Bless u sheikh hakika ww allah akupe kila la kheri na furaha Jazakallahu kheryn Frm Kenya❤🎉

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Год назад

    Subhannallah, Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim, Allah akulipe kher inshallah

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 Год назад +1

    Barak Allah feeq, Jazzaka Allah kheri

  • @shankshankarcade2123
    @shankshankarcade2123 7 месяцев назад

    SubhanaAllah jazakallahu kheiran

  • @mwatangamasolwa5258
    @mwatangamasolwa5258 Год назад +2

    Asalam aleykum warahmatuh wabarakatuh sheikh wangu mawaidha mazuri sana ila hata wazazi nao wanachangia kuharibika watoto kwa malezi ya hovyo mtoto kila kukicha neno la mzazi ni tusi sheikh othumani maalim weka maidha kwa wazazi sasa wajifunze nini malezi bora kwa watoto innshaallah

  • @BintiSuleiman-f5v
    @BintiSuleiman-f5v Год назад

    Mashaallah Allah atuongoze na cc na vizazi vyetu Yarrab

  • @qamarbashir8149
    @qamarbashir8149 Год назад +2

    MashaAllah sheikh baraka lahu

  • @farhiaisabella3166
    @farhiaisabella3166 Год назад +3

    Masha Allah

  • @jumahamad3723
    @jumahamad3723 11 месяцев назад

    Maaashallah mawaidha mazur sana

  • @KhadijaMbwana-kb8ib
    @KhadijaMbwana-kb8ib Год назад

    Alhandullillah tunakuelewa sana sheikh wetu

  • @Aminachande-wg6vi
    @Aminachande-wg6vi Год назад +1

    Mungu awajaalie Wanamaker wrote waishi Marshall marefu

  • @nusratsemtawa5390
    @nusratsemtawa5390 Год назад

    Jazakallah kheir

  • @nurumwavyema1777
    @nurumwavyema1777 Год назад

    Nakupenda sana kwa Ajil ya Allah

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Год назад +2

    Yarabb tujaaliye sisi na vizazi vyetu 🤲

  • @nasramusaro
    @nasramusaro Год назад +1

    Jazakalah kher

  • @zulfajuma8394
    @zulfajuma8394 Год назад +1

    Naumia sana shekh kwaajil ya kisa hiki

  • @HarounAbdiBakar
    @HarounAbdiBakar 10 месяцев назад

    Mashaallah mashaallah ❤🎉

  • @shakilabakari6928
    @shakilabakari6928 Год назад +9

    Yarrab tujaalie tupate radh za wazazi wetu na allah atujalie sis na vizazi vyetu inshallah

  • @russysalimu2498
    @russysalimu2498 Год назад +2

    Ya ALLAH tunusuru mimi nandugu zangu na vizazi vyetu inshaallah

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Год назад +1

    Subhanallah, Allah atuhifadhi na vizazi vyetu.

  • @dihamejr-bh6np
    @dihamejr-bh6np Год назад

    MashaAllah tabarakallah

  • @HalimaKa-u3l
    @HalimaKa-u3l Год назад

    Sheikh Othman maalim Allah akupe umri

  • @saadasuleiman1427
    @saadasuleiman1427 Год назад +1

    Kweli kabisaa shekh na kutapika mpk wazaa

  • @AbdiShui-xo7qi
    @AbdiShui-xo7qi Год назад +1

    shkuran sana shekhe wetu

  • @timaali8254
    @timaali8254 Год назад +1

    Subhaanallahi ❤May Almighty grant my parents in this world and here after In Shaa Allah 🙏

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Год назад +2

    Mashalla Allah ❤❤❤

  • @fatumafatuma
    @fatumafatuma Год назад

    Allah Atujaalie Tusikilize yanayo Semwa na Kuya fuata inshaallah

  • @KHALIFAMPYA-TV
    @KHALIFAMPYA-TV Год назад +1

    Jazaakllahul khair

  • @MzuriMwinyi
    @MzuriMwinyi Год назад +3

    MashaAllah

  • @gkirunguofficial9028
    @gkirunguofficial9028 Год назад

    shekhe,,,unasauti y usanii kweli kweli,,,allah akuzidie ne'ema

  • @MaryamKhamis-rj7pj
    @MaryamKhamis-rj7pj Год назад +2

    Napata mashaka sana ni ninavoishi jee sheikh mzazi anapomlazimisha mwanawe kumuacha mke wake ni Haki kumtii

  • @sadakimwaki9791
    @sadakimwaki9791 Год назад +2

    Mashaalah tabarak llah

  • @FahadNassor
    @FahadNassor Год назад

    Maashaallah

  • @MauaIssa-u9s
    @MauaIssa-u9s Год назад

    Subhana llah

  • @KhamisHajji-gm4ns
    @KhamisHajji-gm4ns Год назад

    Yarabi husnaa

  • @AminaKikome
    @AminaKikome Год назад +1

    MashaAllah ❤❤❤

  • @swabirattwas6796
    @swabirattwas6796 Год назад +2

    ALLAHU AKBAR 😪🤲

  • @mwanaidiissa10
    @mwanaidiissa10 Год назад +1

    Mashallah

  • @abeliever6823
    @abeliever6823 Год назад +1

    انا لله وانا اليه راجعون
    Maneno makali sana
    Mola awarehemu wazazi wetu
    Mola amrehemu mama

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 Год назад +2

    Mashallah tabaraka Rakhman ❤

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Год назад +1

    Wazazi huwapenda kupitiliza watoto wao ndio maana watoto hukosa adabu

  • @RahmahMasaood-pb1wm
    @RahmahMasaood-pb1wm Год назад +4

    Takbiiir

  • @aplus3805
    @aplus3805 Год назад

    Allah tupe nusra

  • @greenrosesshebety8227
    @greenrosesshebety8227 Год назад +1

    So sweet 😋 💖 💓 💕

  • @Asma-m1j
    @Asma-m1j Год назад +1

    Takbiiiiirrrrrr❤❤❤❤❤❤

  • @neemamzande8547
    @neemamzande8547 Год назад +1

    Nauliza ivi kwa mfano mama alifariki nikabaki na baba lkn bbngu nimlevi anakunywa pombe na aswali je uyo nafaa nimseidie au la nisaidie. Jomon 😢😢😢😢

    • @hashimurajabu2089
      @hashimurajabu2089 7 месяцев назад

      Baba ni baba we fanya kwenye nafasi yako hukumu anaijua allah

  • @MariamMohamed-bw8xf
    @MariamMohamed-bw8xf 5 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @mariamissa9405
    @mariamissa9405 Год назад

    Subhanallah

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Год назад +1

    Tatizo malezo yawazee wenyewe wanawalea kwakuwaohopa watoto kama watoto waoman wanaongoza wazazi wao kama bata

  • @MaryamKhamis-rj7pj
    @MaryamKhamis-rj7pj Год назад +1

    Naumia kuona mwenzangu Hana mawasiliano mazuri na wazazi na hata afanye wema Gani baba yake haridhiki naomba nijue jee ni Haki kumtii anavotaka

  • @Hashim-p4d
    @Hashim-p4d 6 месяцев назад

    Husbunallah wanemal wakiil 😢

  • @Faizamideva-bv6oo
    @Faizamideva-bv6oo Год назад +1

    Innalillahi wainnaileihi rajiun

  • @meselemanihoka5107
    @meselemanihoka5107 Год назад

    MashAllah

    • @fatumankya610
      @fatumankya610 Год назад

      Allah atusanehe pale tulipoteleza Kwa ndimi zetu Kwa kuwatolea maneno yasiyowaridhia wazazi wetu

  • @miminaah3911
    @miminaah3911 Год назад

    Naam

  • @ibrahimmzungu3849
    @ibrahimmzungu3849 Год назад +4

    Wakwanza kulike

  • @mariamkai2705
    @mariamkai2705 Год назад +1

    Yarrab tujaalie tupate radh za wazazi

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Год назад +2

    Tatizo wazazi ndio wamewaharibu watoto kwa malezi yakuwaogopa

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 Год назад

      Omba hidaya kwa watoto sio malezi kuna watu wakali kwa watoto wao na wamepotea. Allah atustiri sisi na vizazi vyetu

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 Год назад

      @@fatmaabdallah7709 Hata vip watoto tunawapa mapenzi yakupitiliza tunawaogopa kuwaambia lolote mwisho hugeuka nyoka wakatutafuna

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 Год назад

      @@fatmaabdallah7709 kweli uwe mkali mtoto akutawale napinga

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 Год назад

      @@fatmaabdallah7709 oman wazee hawana kauli watoto ndio wenye sauti nasema kwauhakika kabisa nimekaa oman miaka 14 kikazi nimeyaona

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 Год назад

      @@fatmaabdallah7709 watoto waoman mzee ndio kawa mtoto tatizo mapenzi namtoto ukimpenda sana huzuzuka

  • @dickikahese9681
    @dickikahese9681 Год назад +4

    shekhe othman maalim nakupenda sana nduguyangu naitwa salumu naishi dodoma kila mawaidha unayotoa nayashika ni elimu kubwa sana unatufunza mwenyezi mungu inshaalwah akupe kilma kirefu chema

  • @TatuMshamu
    @TatuMshamu Год назад +4

    Allah tujalie tuishi vizuri na wazazi wetu

  • @mariamsefu825
    @mariamsefu825 Год назад +2

    Maa sha allah

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Год назад +1

    Subhana Allah

  • @mrsab303
    @mrsab303 Год назад +1

    MashaAllah ❤❤❤❤❤

  • @ZubeirMaalim
    @ZubeirMaalim Год назад +1

    Mashaallah