Akamatwe!! BASHUNGWA ACHUKIZWA NA MKANDARASI AAGIZA Hapo hapo ABEBWE NA POLISI\AJENGA DARAJA BOVU
HTML-код
- Опубликовано: 25 май 2024
- #habari
🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI?------------------------------
TUTAFUTE Wananchi TV
Contact:
📞 Phone: +255 686 379370
📱 WhatsApp: +255 686 379370
📧 Email: wananchihabari@yahoo.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Social Media Links
📸 Instagram: / wananchiitv
🐦 Twitter/X: x.com/wananchitv?s=21
📘 Facebook: share/ff8FJq...
-----------------------------------------------------------------------------------
-- TIMESTAMPS --
0:00 - WANANCHI TV
01:04 - SUBSCRIBE,LIKE NA KUCOMENT.
Anapataje Kazi😢
Kubwa zaidi ni kwamba uliahidi ukiwa amani makolo kuwa huyu mkandarasi hatapata kazi tena maisha yako yote ila sahv mmempa daraja mnasumbuana
Hizi siasa tu maana mimi ni mmoja wa wafanya kazi wa crsg na bahati nzuri miradi yote uliotembelea umenikuta mh.waziri nakumbuka musoma ulitoa agizo la mkurugenzi wa company aje ofsin kwako nemb tuambie alikuja au hakuja na kama alikuja ulimwambia nini na leo unamtaka tena aje ofsin kwako wananchi tunaomba kuelewa hilo na kwasasa nipo aman makolo kwenda rwanda hamna kinachoendelea na ulikuja ukamfukuza msimamiza kwa maana ya cosultant na mpaka sasa yupo na mradi umesimama hakuna chochote kinafanyika kwanini mnatudanganya wananchi kiasi hicho