SHUHUDIA ROBOTI LILIVYOINGIA MBELE YA RAIS SAMIA KWENYE UZINDUZI WA MKONGO WA MAWASILIANO
HTML-код
- Опубликовано: 9 авг 2023
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Daaaah kwakweli Mungu tunaomba utupe raisi kiongozi bora na si bora kiongozi katika taifa letu
Naomba kujua faida zake
😭😭😭aisee inaniuma hatakama mimi sio mu Tanzania 🇹🇿 mimi ni mu congo 🇨🇩 kiukweli nyakati za mzee @MAGUFULI vitu kama hivi havinge fika Tanzania 🇹🇿 ange kemea huu upuuzi daah mwenyezi mungu amulaze mahal pema peponi 😭😭😭🙏🤲🤲🙌
Pamoja sana ndugu yangu
amin yarab
Amiin
uko sahihi ndugu yangu mambo ya kishamba haya
Kwakweli ukingalia basi Tanzania Kwa unashughuli gani za kuhitaji robot wenyewe umeme wa mgao viti vyakula vya kishida wanavyotafuta vyahabika kwa mafriji kwa umeme wakuzima zima vionhoz jitafakarin muache kuiga nchi za watu waliondelea
Kuna wananchi wengi hawana ajira mnatengeneza robot wann hii ndio moja ya roho mbaya
Hii ni nchi yakipumbavu sana ,pumzika Kwa amani baba magu mema yako na mazur yako yatadumu daima
Kama hamna chaku fanya tufundishen hata mambo ya mungu tuwe na iman kuliko huo upuuzi
Daah dear Lord have mercy on us
Da Mungu atusaidie sana
Ehee Mungu kwa hili nfundishe kunyamaza maana nikisema hatari
Mungu tu ahusike Tz
Someni (1timoseo2:12)haya,kazikwenu,ilasiasa,niatali,leowanamsifia,akitoka,mbaya,siasa,niunafikitu,niwakati,wakumtafuta,MUNGU,yadunia,hayanamaana,yakobo5:1-4)
Magufur Fufuka utasaidie hv hy bajety yakuagiza marobot Vp! Mngeierekeza kutujazia Mita zamaji watanzania wote tukatumia maj bure ata kwa ck 3
Tanzania yetu. Inaitaji lehema za mungu
Mh jaman unabii huo inaenda kutimia muyaonapo hayo changamken mkaviinue vichwa vyenu kwamana ukomboz ukalibu
Kazi yake nini wafrica mko nakazi mumeharibu pesa kutengeza kitu ambacho hakina maana sasa huyo robot mkikosea mtaona kazi
Tnaiitaji madawa ndoyamsingi namba Moja pili ndotupate hao madaktari
Mashallah ❤❤❤
Mingu ailinde Nchi yangu huyu mama ametuletee shetanii atutaeale Yaah Allah
Very shame.........tpuuuuuuu........ I dont know if our brain still intact........ is something not ok somewhere.......
Oooh allah jaaalia amani
Daaah...... kweli kunatofauti kati ya binadamu na kivuli....... vivuli vikibaki.......... everything goes FU*****D
So pain and very Pain...... No solidality, no Vission,.... no goals..... no stretigies..... Just Stupidity and staying on a palace throne having a ceremony for UTUMBOOO....... my tears for my lovely Country...... so Pain for my Africa........
Wabudu shetan Tz mnaipusha African i wish nengekua Rais wa kenya Ruto ningekata husiano wetu juu bibilia lasema chitenge nawao
Waabudu sanamu ole wenu
Kusema kweli tuwe makini hii ni program ya A.I inayoendelea duniani kwasasa, nilijua Tanzania yangu haitaingia huku. NI HATARI JAMANI, Tuweni makini karibia TERMINATOR Wana take over DUNIA NZIMA 😭😭😭
Ulichokisema kimeshaonekana ndugu yangu 😢😢😢😢😢😢😢😢
Watu wengi mtaani hawana ajila nyie mnapiga makofi robot kweeeli MUNGU wape macho ya rohoni viongozi wetu tz
Kwakwel tuombeni sana hizi ni nyakati za mwisho tunako elekea hizi hizi roboti zitakuja kutuua sisi wenyewe MUNGU itetee Tanzania tupe watu sahii Katika tafifa letu
Mwenyezi Mungu tupe akili😢
Upuuz gan huo wananchi hawana kaz pesa mwamalza kutengeneza upuuz uwo mtakuja kufa vbaya na marobot yenu
Bora angalau mfundishe biashara ya forex trading duuuhhh Tanzania bana
Mungu ingili kati tanzania
Ivi tz ndo tumefikia hapa kweli!
Mama unatufundisha nini sisi waislam hivi kweli unaanza kuabudu sanamu na unalipigia 10 ewe mola wngu mzindue huyu mama hajui alitendalo
🎉🎉
Mhn...
Wenye nchi awo hadi raha❤
Mama ana uza bandali alafu anatuletea maloboti sisi yanini ayo maloboti..au ndo anaupiga mwingi?
😂😂😂😂😂sijui nacheka nini
❤❤❤
Nape huna jipya kwenye wizara ya mawasiliano tokea urudi kwenye wizara Mambo yameharibik kabisa bando juu, voucher juu yaani kaa umebaki kutuletea midoli ya umeme kutoka ulaya sijui inafaida gani kwa Tanganyika yetu.
Siyo Tanganyika bali ni Tanzania ila kama ni ziwa Tanganyika hapo sawa
Roboti ana mapoziiii zaidi ya mr blue
😂😂😂😂
Let's see what is our future
Ila Mungu anawaona
Kwakweli
Yaani naamini mataifa mengine wanatusikitikia sijui anafaida gani huyu robot
Kwan Tanzania haipo duniani 😭😭😭
Nipe kazi yakumogesha
yaan mpaka nacheka kwa kwel ila tanzania bana uwiiii
Jiuliseni hizo pembe 👹 sini ni. Ya kishetani😭😭, ewe Mungu utusamehe maana Dunia ya Sasa inaongoswa na shetani👹👹😭
Safi sana.
Hii ni Mungu ya gizani tu siipendi kamwe
Hizi kufuru huwa sizipendi huu upuzi
Hapo kuna majabu gani jamani
Ivi nanyiii mulio Kaa umo ndani munakenua tu alafu mnashangilia sisi uku tunaumia
Vitu vidogo sana hivyo
Sisi Bado sana kwa kweli vitu vya kawaida kabisa hivyo
Mungu anatuangalia tu Wacha tutape tapeeee Kisha Kun sim tutajua mung ni nani naon bad hatumjui mungu ni nani?
Sasa ilo limashine lakazi gani mbona kama ushetani mnatufundisha nini
Kazizuli mamaangu hakika Mungu aendelee kukutetea ombilangu mama kwako mm jasiliamali soko limevujwa nimeyumba kimtaji nakuomba mama unisaidie nipo kigoma mama🙏
Hiyo kazi ya robot ingepewa mtanzania akapata ugali wa wanae
Daah ❤❤❤❤❤
Mimi sina chakula robot inanisaidiaje?
Naomba kuuliza iyo pesa mgenipa mm kungekuwa na ubaya gan iyo 5 G nikapeleka mwenyewe kwa mama?
Jamani achine kutaka kuchukuwa na fasi ya Allah tume chuku wana wana ume wame kuwa wana wake wana wake wame kwahiyo hatu rizike na fasi ya mungu tuaa che
Ngoja likosee lianzekutembeza kichapo cha maana,Mie Simo
Lifinye mimacho ya ilo libibi tuki ntachela nizimie kiukweli mm magu Bado ndio raisiwangu
Alooooooh!😮😮
Kuna ulazima kwa hili robot kuwekewa mapembe na sura yakutisha?
Matangazo ya ushetani
Ni vtu vyakijinga Sana vitu muhimu nikulinda asilimali za selikali kuzbiti ufisadi nalushwa uwajibkaji kwa wtumishiwauma hyo ndoyamcngi siyo upuuzi ambao haunatija
Tanzania is Tanzania and is for Tanzanian we will and we can ❤❤❤
Safi sana. Hii ndo Tanzania ya mama Samiah tunayoitaka. Vijana hongera sana kwa kuheshimisha nchi yetu kiteknolojia!
wew fara Sana heshima gan upuuzi huo
Kufanya ivyo maanayake nini inafaidagani uyo roboti ni wa kazi gani kwenye maendereo yetu au ni kupotezeana time ya kufikiria mengine
hayo Maroboti ndiyo yatakuwa yanafanya kazi Bandarini baada ya DP WORLD kukabidhiwa Bandari
Kumbe watanzania munakuaga na ujinga nilizani munahakili hamuna kabifa munadhamini kitu kisio sema nalipokosa akili munashagiria watu wazima hovyo😂😂😂😂😂😂😂
We tunaakili
Kwakweli haya madogolingo mimi sijayaelewa rabda sijaelewa
Kazi ziendelee maendeleo na mapinduzi makubwa ya kiteknolojia
Simba na chone galaxy
WATANZANIA WENGI MNAPENDA KUKURUPUKA HUYO ROBOT SIO WA TANZANIA NZIMA HUYO NI WA AIRTEL
lakini asingekuwepo huyo roboti kazi hiyo angeifanya mtanzania wasomi wengi hawana kazi
Mungu wangu!!!
Yalabi tunusuru wajawako
Kuku anarushiwaa maidi mwesho wake watanzani watachijwa hahaha wanadam wame kaaha kuwona romboti nyinyi amujuwe African Tanzania ni ichi takatifu kwa nini ivyo very said kizazi Cha nyoka 🐍 mimi nina wawona nikiwa kwetu Nairobi Kenya western Ingo luyha 🤔 pst mubarikiwe ajawonaa hayo Diyo tenaaa mumufuge kwa jelaa
Wapuuzi kwel sas hilo robot au mtu kavaa si bora mtutafute vijana tupo amabao tunaweza tukatengeneza modern and functional robot amna kitu hapa
Robot Lina mapembe ya shetani au ndo shetani mwenyewe?
Daaaah hivi tunajua tunakojipeleka kweli jmn tunajua kwel tunakoend?
Siku ya siku wanaenda kuangalia roboti linawauwa wenyewe wapuuzi sana 😂😂😂😂
Watu wanajua kupiga ela kisomi uyo roboti anaweza kununuliwa bilioni 5 wakati uko vijijini shule hakuna na watoto wanakaa chini, wanajua maendeleo ni kuangalia mjini tu .
Kwanza ingetakiwa liwakanyage wote hapo ndani
Very good
Makubwa c shetan huyu nyie kha
Samahani sina cha kukoment ila kwanini bodyguard amekaa wakati rais amesimama?
Nawakumbusha tena mbeya maji yanasumbua sana achaneni na haya masanam mnailetea laana
Haya ni matumizi mabaya ya fedha za wa Tanzania huyo roboti atawasaidia Nini wa Tanzania alafu wanasema maendeleo au ishakuwa nchi ya maroboti Kwa raisi huyu tumepigwa mbona raisi mwinyi hasafiri hovyo na hanunui maroboti yeye anaijenga Zanzibar vizuri inauma sanaaaaaaaaa😂😂😂
Roboti apewe uteuzi ukuu wa mkoa mara
😂
Tumeishaa😂
Sio yatuchenjie ndio tukome
Sita acha kuwacheka wabongo ayomaroboti ingekua ni vijana wetu waliosoma mmewaajili ingekua poasana kuliko mtu yuko nyumbani namakalatasi yake ajila mnawapa roboti
kwenye dakika [2;14] huyo sio MAGUFULI TUSAIDIANE JAMANI KUTAZAMA VIZURI HUYO NI NANI ALOKAA PEMBENI YA KIKWETE
Roboti kauzu ata picha na mheshimiwa Rais aombi 😂😂😂
Mnashangilia kitu kinacho endeshwa namtu nyuma yake faida iko wapi sasa si bura kuwapa hata kazi watu wapate pesa kuliko maroboti
Lenyewe linatishaaa,
Nani katengeneza
nchi zilizo piga hatua wanacheka mpaka wanakaukia jinsi tulivyo mapunguani kichwani tena mpka Mh raisi wa nchi anakuja kuangalia hii toii dah mama washauri wako wanakuangamiza hawakupi ushauri unaojenga
Mwanamke ni mwanamke2 awez mshinda akili mwanaume😢
Wasengesana nyia watutunakufanjaa mnatumia ela kutengenezaloboti
Mama watakukubali tuu wacha wakomae ila watakukubali tuu japo wanajifanya hawaoni hawasikii
Duniani ni wapi tenaa 😂😂 kumbe sipo Duniani ...sasa sasa huyo roboti aki chomoa MTUTU na kuanza kumimina hapo mbele ina kuaje 😂😂