SHUHUDIA ROBOTI LILIVYOINGIA MBELE YA RAIS SAMIA KWENYE UZINDUZI WA MKONGO WA MAWASILIANO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 авг 2023
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Комментарии • 200

  • @rachelkihaka9204
    @rachelkihaka9204 25 дней назад +13

    Daaaah kwakweli Mungu tunaomba utupe raisi kiongozi bora na si bora kiongozi katika taifa letu

  • @Damas_243
    @Damas_243 23 дня назад +37

    😭😭😭aisee inaniuma hatakama mimi sio mu Tanzania 🇹🇿 mimi ni mu congo 🇨🇩 kiukweli nyakati za mzee @MAGUFULI vitu kama hivi havinge fika Tanzania 🇹🇿 ange kemea huu upuuzi daah mwenyezi mungu amulaze mahal pema peponi 😭😭😭🙏🤲🤲🙌

    • @joabPeter-rm1vm
      @joabPeter-rm1vm 22 дня назад +1

      Pamoja sana ndugu yangu

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 22 дня назад +1

      amin yarab

    • @zakhiaomary3717
      @zakhiaomary3717 16 дней назад

      Amiin

    • @amereciumfemium885
      @amereciumfemium885 14 дней назад

      uko sahihi ndugu yangu mambo ya kishamba haya

    • @pillyseleman8090
      @pillyseleman8090 10 дней назад

      Kwakweli ukingalia basi Tanzania Kwa unashughuli gani za kuhitaji robot wenyewe umeme wa mgao viti vyakula vya kishida wanavyotafuta vyahabika kwa mafriji kwa umeme wakuzima zima vionhoz jitafakarin muache kuiga nchi za watu waliondelea

  • @AishaJuma-zf6pw
    @AishaJuma-zf6pw 8 дней назад +4

    Kuna wananchi wengi hawana ajira mnatengeneza robot wann hii ndio moja ya roho mbaya

  • @StephenMalubi
    @StephenMalubi 13 дней назад +4

    Hii ni nchi yakipumbavu sana ,pumzika Kwa amani baba magu mema yako na mazur yako yatadumu daima

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 22 дня назад +17

    Kama hamna chaku fanya tufundishen hata mambo ya mungu tuwe na iman kuliko huo upuuzi

  • @creticiadonald1904
    @creticiadonald1904 2 дня назад

    Daah dear Lord have mercy on us

  • @ZainabuSanga-yd7fg
    @ZainabuSanga-yd7fg 11 дней назад +1

    Da Mungu atusaidie sana

  • @user-lf1iy3tr6k
    @user-lf1iy3tr6k 15 дней назад +2

    Ehee Mungu kwa hili nfundishe kunyamaza maana nikisema hatari

  • @pamelaaugustino5909
    @pamelaaugustino5909 2 дня назад

    Mungu tu ahusike Tz

  • @JofryDaud-kc2du
    @JofryDaud-kc2du 19 дней назад +1

    Someni (1timoseo2:12)haya,kazikwenu,ilasiasa,niatali,leowanamsifia,akitoka,mbaya,siasa,niunafikitu,niwakati,wakumtafuta,MUNGU,yadunia,hayanamaana,yakobo5:1-4)

  • @MapandaBagiligwa
    @MapandaBagiligwa 24 дня назад +4

    Magufur Fufuka utasaidie hv hy bajety yakuagiza marobot Vp! Mngeierekeza kutujazia Mita zamaji watanzania wote tukatumia maj bure ata kwa ck 3

  • @ElizabettEmanuel
    @ElizabettEmanuel 14 часов назад

    Tanzania yetu. Inaitaji lehema za mungu

  • @ReahAdam
    @ReahAdam 19 дней назад +2

    Mh jaman unabii huo inaenda kutimia muyaonapo hayo changamken mkaviinue vichwa vyenu kwamana ukomboz ukalibu

  • @MitchellErmina
    @MitchellErmina 18 дней назад +2

    Kazi yake nini wafrica mko nakazi mumeharibu pesa kutengeza kitu ambacho hakina maana sasa huyo robot mkikosea mtaona kazi

  • @jumamaster934
    @jumamaster934 24 дня назад +4

    Tnaiitaji madawa ndoyamsingi namba Moja pili ndotupate hao madaktari

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 24 дня назад

    Mashallah ❤❤❤

  • @fatimakhatibu8256
    @fatimakhatibu8256 15 дней назад +1

    Mingu ailinde Nchi yangu huyu mama ametuletee shetanii atutaeale Yaah Allah

  • @coneephraim7756
    @coneephraim7756 Месяц назад +4

    Very shame.........tpuuuuuuu........ I dont know if our brain still intact........ is something not ok somewhere.......

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 24 дня назад +3

    Oooh allah jaaalia amani

  • @coneephraim7756
    @coneephraim7756 Месяц назад +6

    Daaah...... kweli kunatofauti kati ya binadamu na kivuli....... vivuli vikibaki.......... everything goes FU*****D
    So pain and very Pain...... No solidality, no Vission,.... no goals..... no stretigies..... Just Stupidity and staying on a palace throne having a ceremony for UTUMBOOO....... my tears for my lovely Country...... so Pain for my Africa........

  • @EdwinAbuya-en6yl
    @EdwinAbuya-en6yl 18 часов назад

    Wabudu shetan Tz mnaipusha African i wish nengekua Rais wa kenya Ruto ningekata husiano wetu juu bibilia lasema chitenge nawao

  • @emmanuelmlekwangano9991
    @emmanuelmlekwangano9991 22 дня назад +6

    Waabudu sanamu ole wenu

  • @msafirlaizer2368
    @msafirlaizer2368 10 месяцев назад +3

    Kusema kweli tuwe makini hii ni program ya A.I inayoendelea duniani kwasasa, nilijua Tanzania yangu haitaingia huku. NI HATARI JAMANI, Tuweni makini karibia TERMINATOR Wana take over DUNIA NZIMA 😭😭😭

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 28 дней назад +3

      Ulichokisema kimeshaonekana ndugu yangu 😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @JaneDaimon
    @JaneDaimon 22 дня назад +3

    Watu wengi mtaani hawana ajila nyie mnapiga makofi robot kweeeli MUNGU wape macho ya rohoni viongozi wetu tz

  • @user-do7pj7xg5u
    @user-do7pj7xg5u 12 дней назад +1

    Kwakwel tuombeni sana hizi ni nyakati za mwisho tunako elekea hizi hizi roboti zitakuja kutuua sisi wenyewe MUNGU itetee Tanzania tupe watu sahii Katika tafifa letu

  • @JulianaKokujuna
    @JulianaKokujuna 20 дней назад +2

    Mwenyezi Mungu tupe akili😢

  • @FatmaRashid-rr8yw
    @FatmaRashid-rr8yw 13 дней назад +2

    Upuuz gan huo wananchi hawana kaz pesa mwamalza kutengeneza upuuz uwo mtakuja kufa vbaya na marobot yenu

  • @FranceMaiko-cs6il
    @FranceMaiko-cs6il 11 дней назад +1

    Bora angalau mfundishe biashara ya forex trading duuuhhh Tanzania bana

  • @Upendo-hi1be
    @Upendo-hi1be 20 дней назад +1

    Mungu ingili kati tanzania

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 21 день назад +1

    Ivi tz ndo tumefikia hapa kweli!

  • @SalamaJuma-mg3ru
    @SalamaJuma-mg3ru 5 дней назад +1

    Mama unatufundisha nini sisi waislam hivi kweli unaanza kuabudu sanamu na unalipigia 10 ewe mola wngu mzindue huyu mama hajui alitendalo

  • @ShadrackJr
    @ShadrackJr 23 дня назад

    🎉🎉

  • @tumainikomba9008
    @tumainikomba9008 19 дней назад

    Mhn...

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 24 дня назад

    Wenye nchi awo hadi raha❤

  • @talekush5623
    @talekush5623 10 месяцев назад +6

    Mama ana uza bandali alafu anatuletea maloboti sisi yanini ayo maloboti..au ndo anaupiga mwingi?

    • @Kondoa805
      @Kondoa805 17 дней назад

      😂😂😂😂😂sijui nacheka nini

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 21 день назад

    ❤❤❤

  • @emanuelnyab9872
    @emanuelnyab9872 26 дней назад +3

    Nape huna jipya kwenye wizara ya mawasiliano tokea urudi kwenye wizara Mambo yameharibik kabisa bando juu, voucher juu yaani kaa umebaki kutuletea midoli ya umeme kutoka ulaya sijui inafaida gani kwa Tanganyika yetu.

    • @EllyjTengeneza
      @EllyjTengeneza 12 дней назад

      Siyo Tanganyika bali ni Tanzania ila kama ni ziwa Tanganyika hapo sawa

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 10 месяцев назад +4

    Roboti ana mapoziiii zaidi ya mr blue

  • @patrixvii
    @patrixvii 21 день назад

    Let's see what is our future

  • @user-ti5iu7lj5s
    @user-ti5iu7lj5s 12 дней назад

    Ila Mungu anawaona

  • @JumaSalim-bd1ff
    @JumaSalim-bd1ff 22 дня назад +2

    Yaani naamini mataifa mengine wanatusikitikia sijui anafaida gani huyu robot

  • @rahamkibinda6137
    @rahamkibinda6137 22 часа назад

    Kwan Tanzania haipo duniani 😭😭😭

  • @HanifaNgasa
    @HanifaNgasa 22 дня назад

    Nipe kazi yakumogesha

  • @user-xc5or1ph8x
    @user-xc5or1ph8x 5 дней назад +1

    yaan mpaka nacheka kwa kwel ila tanzania bana uwiiii

  • @carondiwa795
    @carondiwa795 День назад

    Jiuliseni hizo pembe 👹 sini ni. Ya kishetani😭😭, ewe Mungu utusamehe maana Dunia ya Sasa inaongoswa na shetani👹👹😭

  • @thegalaxy2298
    @thegalaxy2298 10 месяцев назад +2

    Safi sana.

  • @MercyNjuguna-vw8gy
    @MercyNjuguna-vw8gy 13 дней назад +1

    Hii ni Mungu ya gizani tu siipendi kamwe

  • @JosephmwitaJosephmwita
    @JosephmwitaJosephmwita 23 дня назад +3

    Hizi kufuru huwa sizipendi huu upuzi

  • @eddakasela
    @eddakasela 26 дней назад +3

    Hapo kuna majabu gani jamani

  • @user-rn2dl1rg8b
    @user-rn2dl1rg8b 17 дней назад +1

    Ivi nanyiii mulio Kaa umo ndani munakenua tu alafu mnashangilia sisi uku tunaumia

  • @xmathematics_
    @xmathematics_ 10 месяцев назад

    Vitu vidogo sana hivyo

  • @johnshayo9635
    @johnshayo9635 28 дней назад +1

    Sisi Bado sana kwa kweli vitu vya kawaida kabisa hivyo

  • @josephatmdede2304
    @josephatmdede2304 12 часов назад

    Mungu anatuangalia tu Wacha tutape tapeeee Kisha Kun sim tutajua mung ni nani naon bad hatumjui mungu ni nani?

  • @KelvinZabron-xs2vp
    @KelvinZabron-xs2vp 11 дней назад +1

    Sasa ilo limashine lakazi gani mbona kama ushetani mnatufundisha nini

  • @helenajoel5101
    @helenajoel5101 25 дней назад +5

    Kazizuli mamaangu hakika Mungu aendelee kukutetea ombilangu mama kwako mm jasiliamali soko limevujwa nimeyumba kimtaji nakuomba mama unisaidie nipo kigoma mama🙏

    • @pillyseleman8090
      @pillyseleman8090 10 дней назад

      Hiyo kazi ya robot ingepewa mtanzania akapata ugali wa wanae

  • @JosephBahati-bz4bu
    @JosephBahati-bz4bu 6 дней назад

    Daah ❤❤❤❤❤

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 22 дня назад +2

    Mimi sina chakula robot inanisaidiaje?

  • @user-jn2qj5wf6c
    @user-jn2qj5wf6c 3 дня назад

    Naomba kuuliza iyo pesa mgenipa mm kungekuwa na ubaya gan iyo 5 G nikapeleka mwenyewe kwa mama?

  • @ZawadiMwabadilanga
    @ZawadiMwabadilanga 19 дней назад

    Jamani achine kutaka kuchukuwa na fasi ya Allah tume chuku wana wana ume wame kuwa wana wake wana wake wame kwahiyo hatu rizike na fasi ya mungu tuaa che

  • @ataamansi8941
    @ataamansi8941 22 дня назад

    Ngoja likosee lianzekutembeza kichapo cha maana,Mie Simo

    • @user-dx4ow8vq1c
      @user-dx4ow8vq1c 9 дней назад

      Lifinye mimacho ya ilo libibi tuki ntachela nizimie kiukweli mm magu Bado ndio raisiwangu

  • @isaackijoti1283
    @isaackijoti1283 19 дней назад

    Alooooooh!😮😮

  • @josephnziku2997
    @josephnziku2997 25 дней назад +1

    Kuna ulazima kwa hili robot kuwekewa mapembe na sura yakutisha?

  • @yasiniSwedi-qg5oc
    @yasiniSwedi-qg5oc Месяц назад +2

    Ni vtu vyakijinga Sana vitu muhimu nikulinda asilimali za selikali kuzbiti ufisadi nalushwa uwajibkaji kwa wtumishiwauma hyo ndoyamcngi siyo upuuzi ambao haunatija

  • @PLAYPROGAMING568K
    @PLAYPROGAMING568K 10 месяцев назад

    Tanzania is Tanzania and is for Tanzanian we will and we can ❤❤❤

  • @cleophacephelician6739
    @cleophacephelician6739 10 месяцев назад +2

    Safi sana. Hii ndo Tanzania ya mama Samiah tunayoitaka. Vijana hongera sana kwa kuheshimisha nchi yetu kiteknolojia!

  • @user-gq1bu4do5t
    @user-gq1bu4do5t 16 дней назад

    Kufanya ivyo maanayake nini inafaidagani uyo roboti ni wa kazi gani kwenye maendereo yetu au ni kupotezeana time ya kufikiria mengine

  • @franktangeki9342
    @franktangeki9342 10 месяцев назад +1

    hayo Maroboti ndiyo yatakuwa yanafanya kazi Bandarini baada ya DP WORLD kukabidhiwa Bandari

  • @user-mc2dp1rj9d
    @user-mc2dp1rj9d 22 дня назад +1

    Kumbe watanzania munakuaga na ujinga nilizani munahakili hamuna kabifa munadhamini kitu kisio sema nalipokosa akili munashagiria watu wazima hovyo😂😂😂😂😂😂😂

  • @allykomsonde7813
    @allykomsonde7813 23 дня назад +1

    Kwakweli haya madogolingo mimi sijayaelewa rabda sijaelewa

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 10 месяцев назад

    Kazi ziendelee maendeleo na mapinduzi makubwa ya kiteknolojia

  • @WiliamSimbamtoto
    @WiliamSimbamtoto День назад

    Simba na chone galaxy

  • @Blaze_media_Tv
    @Blaze_media_Tv 10 дней назад

    WATANZANIA WENGI MNAPENDA KUKURUPUKA HUYO ROBOT SIO WA TANZANIA NZIMA HUYO NI WA AIRTEL

    • @irenelaurent5359
      @irenelaurent5359 9 дней назад

      lakini asingekuwepo huyo roboti kazi hiyo angeifanya mtanzania wasomi wengi hawana kazi

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga 14 дней назад

    Mungu wangu!!!

  • @AbuuThabiti
    @AbuuThabiti 23 дня назад +3

    Yalabi tunusuru wajawako

  • @user-gi3io1ew8e
    @user-gi3io1ew8e 20 дней назад

    Kuku anarushiwaa maidi mwesho wake watanzani watachijwa hahaha wanadam wame kaaha kuwona romboti nyinyi amujuwe African Tanzania ni ichi takatifu kwa nini ivyo very said kizazi Cha nyoka 🐍 mimi nina wawona nikiwa kwetu Nairobi Kenya western Ingo luyha 🤔 pst mubarikiwe ajawonaa hayo Diyo tenaaa mumufuge kwa jelaa

  • @Abynardo_decruel
    @Abynardo_decruel 21 час назад

    Wapuuzi kwel sas hilo robot au mtu kavaa si bora mtutafute vijana tupo amabao tunaweza tukatengeneza modern and functional robot amna kitu hapa

  • @lucysanka1665
    @lucysanka1665 24 дня назад +1

    Robot Lina mapembe ya shetani au ndo shetani mwenyewe?

  • @josephatmdede2304
    @josephatmdede2304 12 часов назад

    Daaaah hivi tunajua tunakojipeleka kweli jmn tunajua kwel tunakoend?

  • @nikrahayubu-sz3pw
    @nikrahayubu-sz3pw День назад

    Siku ya siku wanaenda kuangalia roboti linawauwa wenyewe wapuuzi sana 😂😂😂😂

  • @ismailkasim9060
    @ismailkasim9060 16 дней назад

    Watu wanajua kupiga ela kisomi uyo roboti anaweza kununuliwa bilioni 5 wakati uko vijijini shule hakuna na watoto wanakaa chini, wanajua maendeleo ni kuangalia mjini tu .

  • @HildaEliphazi-dt3nh
    @HildaEliphazi-dt3nh День назад

    Kwanza ingetakiwa liwakanyage wote hapo ndani

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 9 месяцев назад

    Very good

  • @user-hm4or9sf8y
    @user-hm4or9sf8y 9 дней назад +2

    Makubwa c shetan huyu nyie kha

  • @ChristopherNelian-ko7jr
    @ChristopherNelian-ko7jr 11 дней назад

    Samahani sina cha kukoment ila kwanini bodyguard amekaa wakati rais amesimama?

  • @josephmwakalobo7104
    @josephmwakalobo7104 18 дней назад

    Nawakumbusha tena mbeya maji yanasumbua sana achaneni na haya masanam mnailetea laana

  • @ShaidaAfati
    @ShaidaAfati 19 дней назад

    Haya ni matumizi mabaya ya fedha za wa Tanzania huyo roboti atawasaidia Nini wa Tanzania alafu wanasema maendeleo au ishakuwa nchi ya maroboti Kwa raisi huyu tumepigwa mbona raisi mwinyi hasafiri hovyo na hanunui maroboti yeye anaijenga Zanzibar vizuri inauma sanaaaaaaaaa😂😂😂

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 10 месяцев назад +3

    Roboti apewe uteuzi ukuu wa mkoa mara

    • @c-4839
      @c-4839 9 месяцев назад +1

      😂

  • @SarrahayAlex
    @SarrahayAlex 6 дней назад +1

    Tumeishaa😂

  • @SULUMUABDUL
    @SULUMUABDUL 24 дня назад +1

    Sio yatuchenjie ndio tukome

  • @AdmiringCakeSlice-nq6qi
    @AdmiringCakeSlice-nq6qi 20 дней назад

    Sita acha kuwacheka wabongo ayomaroboti ingekua ni vijana wetu waliosoma mmewaajili ingekua poasana kuliko mtu yuko nyumbani namakalatasi yake ajila mnawapa roboti

  • @frankfortunatus1419
    @frankfortunatus1419 19 дней назад

    kwenye dakika [2;14] huyo sio MAGUFULI TUSAIDIANE JAMANI KUTAZAMA VIZURI HUYO NI NANI ALOKAA PEMBENI YA KIKWETE

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 10 месяцев назад

    Roboti kauzu ata picha na mheshimiwa Rais aombi 😂😂😂

  • @saidsaid-oj6qx
    @saidsaid-oj6qx 13 дней назад

    Mnashangilia kitu kinacho endeshwa namtu nyuma yake faida iko wapi sasa si bura kuwapa hata kazi watu wapate pesa kuliko maroboti

  • @user-gk1fz3zw8e
    @user-gk1fz3zw8e 13 дней назад

    Lenyewe linatishaaa,

  • @joycerichard9274
    @joycerichard9274 10 месяцев назад

    Nani katengeneza

  • @user-qv8qo3ff3q
    @user-qv8qo3ff3q 21 день назад

    nchi zilizo piga hatua wanacheka mpaka wanakaukia jinsi tulivyo mapunguani kichwani tena mpka Mh raisi wa nchi anakuja kuangalia hii toii dah mama washauri wako wanakuangamiza hawakupi ushauri unaojenga

  • @PiliSalehe-lt9ul
    @PiliSalehe-lt9ul 21 день назад

    Mwanamke ni mwanamke2 awez mshinda akili mwanaume😢

  • @qwueenalimoja9071
    @qwueenalimoja9071 11 часов назад

    Wasengesana nyia watutunakufanjaa mnatumia ela kutengenezaloboti

  • @bongo39
    @bongo39 10 месяцев назад

    Mama watakukubali tuu wacha wakomae ila watakukubali tuu japo wanajifanya hawaoni hawasikii

  • @officialaziry3305
    @officialaziry3305 15 дней назад

    Duniani ni wapi tenaa 😂😂 kumbe sipo Duniani ...sasa sasa huyo roboti aki chomoa MTUTU na kuanza kumimina hapo mbele ina kuaje 😂😂