WANANCHI WAANGUA VILIO MKUTANONI kwa MAKONDA WAKISUBIRI WASIKILIZWE KERO ZAO ARUSHA...
HTML-код
- Опубликовано: 7 май 2024
- WANANCHI WAANGUA VILIO MKUTANONI kwa MAKONDA WAKISUBIRI WASIKILIZWE KERO ZAO ARUSHA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Mh-makonda kupitia hili nakukubali sana,mungu akulinde sana ktk vita hii ya kutafta haki,Amina
Pastor makonda oyeeee
Dah taifa hili😢 Makonda Makonda unastahili kuwa kiongozi mkubwa kbs wa taifa hili
Huyu ni.mtu wa Mungu kweli makonda akitulia anakitu atafika mbali
Si hatuna shida maana km kaokka tu sawa
Safii!! Hadi machozi yamenifika Mungu awe pamoja nawe
Asante Mungu kuweka utumishi wa kiroho na kimwili ndani ya makonda Mungu akubariki mtumishi wetu
God bless you
Jamaa anakitu huyu.. asikilizwe 🤔🫡
Uko sahihi kabisa mhe Makonda Mkuu wa Mkoa Arusha Mungu akubariki sana akupe umri mrefu akupe Mabega makubwa uzidi kutubeba aamina yarabi Mungu aamina.
Mungu akubark sana mh.makonda
Nchi ya Chuga imepata Rais❤❤❤
Haki kabsaaaaa
😂😂kabisaaaa❤🎉
Mungu akupe umri mrefu, akupepe ulinzi kila maali ukanyagapo,
Tunakushukuru sana mama samia mungu akulinde umemuona makonda mtetezi wa watu maskini asante mama
Mungu akubariki sana Mchungaji mtarajiwa P.Makonda!
Machozi yamenitoka mimi nimuoslam Naitikia dua Amin mana umeomba kwa Mungu hukuomba kwa mtu Allah Ailinde Tanzania na watanzania
Mueshimiwa makonda Alha akulinde
Na maadui inshallah
Barikiwa sanaaa Mh.Makonda Mungu akuweke saana. Niko moshi lkni nakuombea heri na amani ktk kazi yako.
Huduma yako Mungu amekuchagua katkat ya wanyonge machozi yao ya haki na yatamkumbusha Mungu ,Mungu akutetee wewe na uzao wako ,pale palipopungua kwenye maisha yako pakaongezeke Mungu akupe wewe na mkeo uzazi na ubarikio wa watoto wako unaoomba omba kwake kila siku hakika umenarikiw sana sana huduma yako na idumu
Paulo makonda 👏👏👏👏👏👏🙏🙏🙏
Naona.watu wananena kwa lughaa jamaa anaupako bwana
Arusha tumepata mtendaji wetu in bracket (rais wa Arusha)
Asante mungu kwa kumleta makonda
UNSTOPPABLE!MUNGU AKUTUNZE!KUNA WATU MIOYO YAO IMEJAWA NA UCHUNGU SANA.KWA KUNYIMWA HAKI ZAO.KWA HAYO MAOMBI TU ROHO MTAKATIFU AMEANZA KUPONYA MIOYO ILIYOJAA UCHUNGU.
SONGA MBELE,KAZI YAKO INAONEKANA.
Duuuh kamanda kwelii kwelii huyu jamaa anatisha kama ukoma kwa mafisadi wote
Ubarikiwe sana kwa Ujasiri wa Kulitaja Jina lipitalo kila jina. Wako Maaskofu na Mapastor ambao huona aibu kulitaja jina la YESU, wanapopewa nafasi za kuomba mbele za wakuu wa Nchi.
Makonda noma sana kawa mchungaji 😂
Mungu akubariki sana Mhe. Christian Makonda. Uso wa Mungu uende nawe
Hongera sana Makonda okoa watu wanateseka sana
Mwenyezi mungu aendelee kukupa uzima nguvu na afya njema undelete kuwatetea wananchi wako 😢😢😢
Makonda Kwa haya maombi umetisha
Makonda,Mungu akupiganie❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Uko vizuri wengine wanavimba tu na hawawezi hata kutatua migogoro
Aminaaaaaaaaa 💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕
Nakuelewa makonda Mungu yu pamoja nawe
Duh!! Hii ni zaidi ya kuongoza.
Mungu akulinda Mh,makonda
Eeehhh MUNGU hivi vilio vya wamama vinaumiza sanaa isiieeehhh wapi viongozi wa Africa wanafeli daaah tunanynyazwa kwa ardhi yetu, MUNGU tuhurumie😢😢😢😢
Nakubali Boss💣💣🔥🔥🔥🔥🚀
Allah azidi kumlinda na kumhifadhi Rais wetu Samiha Suluhu Hassan,na Serikali yake, na Amhifadhi Ndugu yetu Paul Makonda..awawezeshe kutenda haki n uadilifu kwa wananchi hawa
Tanzania yetu imekuelewa damu ya YESU ikufnike pande zote .wakti was BWANA ukifika hkuna wa kupinga.
❤❤❤❤❤big up makonda 🙏🙏🙏🙏☝️☝️☝️☝️😭
Asante makonda wewe chapa kazi sisi tunapiga maombi
Brother kazi nzuri Mimi niko nyuma yako nanitasimama na Wewe daima mungu akupe maisha marefu na akuepushe na wabaya 🙏
God bless Tanzania god bless the world, keep working Mr makonda
Mungu akulinde kaka
Kam mm nnaria hivi 😭 naninatizama tu vidéo.wario kuwa wanamuona live😭😭kaka ukimarizana nawana arusha.njo n'a Burundi🇧🇮
Amen and Amen
Dah yani makonda unanifanya mpaka nataka kuhamia arusha mana we jamaa nakuelewa saana
Amina Amina Amina Makonda uko sawa
Allah akuhifadhi nataman ck moja unisaidie na mie kaka maana nina mazito kwel moyon 😢😢
Pole jamani,umeandika kwa uchungu,ipo siku utasaidika Mungu yupo.
Amina sana mkuu
Ndio maana unajiamini sana usimuache Mungu mshike
Haya makonda mungu wambinguni amempenda lli awatee wanyonge lkiwa mungu amempa nafasi hii. Nani atapinga ?
❤❤❤❤❤
Amina Haleluya
Amen amen
Mungu akupemaisha marefu makonda viongoziwengi kinachowasumbua hapa Tanzania nikiburi nazarau kwakweri wewe nimtu muhimu kwenyehiri taifa
Nashangaa wakuu wa Mikoa walopita walikua wapi dhulma zimejaaa Arusha
Ni viongozi wachache wanaotete haky za wananch tena wanyonge wa hali ya chini
Mwenyezi mungu akubariky
Respect
Amen
❤
❤❤❤
Mungu akuongoze ktk haqqi
Uijue haqqi il uachane na batili
Ningekuwa na maraka ningekuteua urais bila kula
Hiv mbona tanga hakuna mambo hayo!! Tuna kesi na TANGA cement miaka 26 toka Mwaka 1998 na mwezi march 2021 tulishinda kesi ikaamriwa tulipwe haki zetu mbele ya mh jaji Mruma wa mahakama kuu TZambapo usiku wa siku hiyo tukampoteza aliekuwa mh raisi wa jamhuri ya muungano Dk Magufuli, aisee kuanzia hapo tunapelekwapelekwa bila mtetezi hivi msaada wetu utatoka wapi jamani!!?
Ndo maan magu alikua anampenda
Huyu akishika nchi kwakeri nchi itang'aa
@@j4ally534katiba ataipigania vipi na yeye ni mtumishi wa serekali iliyoko maamlakani Rc. Hino ni kazi yetu sisi na Wewe pamoja na Wanasiasa. Wacha Makonda atusaidie Vile awezavyo. Mungu Amlinde inshaAllah
Makonda ungekuwa kilimanjaro mdogo wangu anasota mahabusu yapata mwaka amesingiziwa kesi ya mauaji sijui nasaidka vipi yupo gereza lakaranga
Amen in Jesus
MUNGU akubariki Kiongozi
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Komaa sana Makonda watasema kwa lugha nyingi lakini kazi inaonekana kwa jamii.
Makonda naomba wende n'akwa masaï nao wende wapi
Hii ndiyo aina ya uongozi na Viongozi tunayoihitaji.....
Mahakama zinatumia muda mrefu kutoka haki......
Tena rushwa imegubikwa kila mahali....
Iwe heri kwa nchi yangu Tz
Mungu ankutazama kwajicho lahuruma kaza buti usiwaogope wanadam mwogope mungu pekeake soma sana biblia kausalama wanafsi yako
Bora ata hy jamaa anaubunif kidogo ivi mkuu wa Dodoma uyu mama si angeondolewa tu maana kazi yake ni kuzungukia miradi inayojengwa anaoneshwa juu juu tu kumbe watu wanapiga ela umo umo lakini humuoni kitatua kero za wananchi kama za aridhi. Halaf na kufungua makongamano ndio kazi yake.
Natamani.makonda sikumoja angeletwa dodoma.
Kingeeleweka
Dodoma sikumbuki nilini ilipataga.mkuu wamkoa aliye changamka nakutatua kero za wananchi
Ni yupi huyo? Au ndo yule Senyamule
Dodoma tulipataga mkuu wa wilaya tu katambi, ila huyu bi mkubwa saiv sijui hat anafanya nn hapa anazingua tu
Haa😂😂 Senyamule
Aibu kubwa sana ktk nchi ii
Duuh huyu awe Rais tu bila kupingwa😢
Jamani si nawengine tuige hivi kutatua migogoro ya wananchi
Unataka kiongozi Gani? Tena
haya sasa mlizani mmemalizana na magufuli haya sasa amerudi kivingine, eti walisema uwa legacy 😂😂😂, nyambafu chuma kimerudi tena jpm
Mh....
Haki Itendeke Lakini Maana Hapo😮😮
Haki huinua taifa udhalimu ni aibu tunakuunga mkono kiongozi na viongozi wengine na waige iwe vita ya kupambana na mdhalimu kuanzia kaskazini hadi kusini mapaka nchi yetu iwe salama.
ukweli wengi wa watendaji wa kata ni maharamia!!wanawasumbua wananchi kwa tamaa za kutaka RUSHWA!!
Yasiwe maneno km ulipokuwa mwenez. Ulitatua shida za mtu km njaa, pesa, na gari, lkn haki ya watu haikupatikana waliotekwa, waliozurumiwa, na waliofukuzwa kimakosa kazn, ally hapi yuko iringa wananchi wanalia kero ni zilezile walizokueleza ww.
Huyu jamaa ana kitu
ANA CHOCHOTE KOMED TU IV USHAWAI KUMCKIA ATA CKU MOJA ANAONGELEA KATIBA MPYA?SHIDA IPO APO
@@j4ally534Katiba kaweke nyumbani kwako😂😂😂😂sisi tunataka vitendo tuuu😂😂😂😂
@@j4ally534kwahiyo akiongelea katiba ndo kafanya kazi. Mnashida sana pingapinga fc. Katiba ya chama chako tu ni hovyo halafu unakuja kushadadia ya taifa ambalo liongozwe na chama kilicho na katiba mbovu
@@j4ally534Angalia utendaji wake huyo ni mkuu wa mkoa sio mwanasiasa Elewa hilo.
Ss ww unazan vilio vitaisha kwa maigizo anayofanya shida sio viongozi mfumo m'bovu,
Upo vitani Makonda ,KIVULI CHAKO KITAISHI SAANA,MNARA WAKO UTAKUJAJENGWA na watakujaupaka rangi Tena na tena
😅
JINSI UNAVYOONGOZA MKOA NIMEPATA PICHA SIKU UKIPEWA NCHI UTAONGOZA KWA MFUMO GANI..SAFII.
Mbunge wa Arusha mjini 2025
wewe makonda ndio unatakiwa uwe raisi sio mama mama kafeli anawagopa wezi na hawachukulii hatua yeyote
Viongozi wengi wapo hivyo Tanzania nzima misukosuko ya ardhi unakuta kuwanja kimoja wanauziwa watu 10 na kila moja anapewa hati
Mama mpe huyu MTU uwaziri mkuu!
ccm ilitakiwa iangushwee yote miaka 60 ya maumivu sio muungano
Makonds
Arusha hiyo mpya na rais wao Mh Makonda
Makonda watu kama wewe dunia haiwataki, nitafute
🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
👉Jamani huku kwetu kenya mbona hakuna neema hizi...
🇹🇿 Maana Tanzania kuna MAKONDA WA HAKI...
🇰🇪 Kenya yetu nayo MAKONDA NI WA MAANDAMANO...
🇹🇿 MAKONDA WA TANZANIA Kavalia Hekima Kichwani...
🇰🇪 MAKONDA WA KENYA Kavalia Sufuria la mtori Kichwani...
😒😡😡 Afadhali nikawachunge tu mbuzi wangu wasile mahindi...
😂😂😂 itakuja tu kuwa nasubra